TANZANIA BARA INAFAIDIKA NA ZANZIBAR

#SERIKALITATU #KATIBAMPYA #MFUMOWASERIKALI #MUUNGANO #MAKAMUWAKWANZARAISWAZANZIBAR #OTHMANMASOUD
"Nini Zanzibar inaweza kushirikiana na Tanzania Bara katika misingi ya kiuchumi ukitazama Tanzania Bara inaweza kufaidika Sana na Zanzibar Kwa sababu ya historia yake, mahali ilipo. Kama walivyoona wenzetu wa Wachina Wana Visiwa vyao kama Macau ni Visiwa ambavyo havijawahi kuwa nchi huru ni sehemu ya China miaka yote lakini Kwa sababu ya mahitaji ya kiuchumi wameweza kuvifanya vile ndio maana wana policy ya nchi moja mifumo tofauti. Kwa mazingira ya Visiwa viachwe vijiendeshe Kwa misingi inayokubalika Kwa uchumi wa visiwa na wamefaidika Sana. Ukitazama China uwekezaji mkubwa umetoka kwenye Visiwa hivyo" Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Mhe Othman Masoud.
#HakunaKuleft
#LiveOnClouds360
Tazama LIVE 📺 @Cloudstv kupitia | Azam channel no 403| Dstv no 387| Startimes no 109| antenna/497

Пікірлер: 59

  • @saidmohd7240
    @saidmohd72402 жыл бұрын

    Hongera Me. Othman Kwa kuusema Wazii Muungano! Huu ni muungano WA nchi mbili huru zilizo ungana! Wanachama WA Umoja wa mataifa!

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @OmerSuley-gl7go

    @OmerSuley-gl7go

    6 ай бұрын

    ​@@sleemhamoud4394Sasa waarabu na Zanzibar wapi na wap? Mbon unakuwa pimbi ww

  • @saidabdala4980
    @saidabdala49802 жыл бұрын

    Hakuna haki ZANZIBAR. Serekali ina jeshi la nato la CCM. Linaitwa mazombi. Au watu wasio julikana. Hebu muulizeni kuhusu LUKUVI kule kanisani. Mulizeni vipi kuhusu jecha. .

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27472 жыл бұрын

    nakukubali sana makamu wangu Allah akuhifadhi, unaufasaha mashaallaah.

  • @sirborybravo6249
    @sirborybravo62492 жыл бұрын

    Hongera

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis4872 жыл бұрын

    Hongera omo

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim8302 жыл бұрын

    Kazi njema mh

  • @obillaezra6205
    @obillaezra62052 жыл бұрын

    Yupo very straight forward

  • @w4058
    @w40582 жыл бұрын

    Na pia uuzwaji wa pombe pia una sababisha Wazanzibar kutokuajiriwa

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27472 жыл бұрын

    Ilove Zanzibar

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    2 жыл бұрын

    I love Tanganyika

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Жыл бұрын

    Wakitaka kufahamu unachokisema waweke zanzibar kujitegemea wenywe

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji89232 жыл бұрын

    Kiongozi huyu Ana maono mazuri nchi lazima ibadilike kisiasa zaidi kuelekea kibiashara ndiyo italeta matokeo bora

  • @edwardleonard7402
    @edwardleonard74028 ай бұрын

    Wapeni Zanzibar yao bhanna Kila siku Zanzibar Zanzibar Kuna nn Kwan apo

  • @sasi_tv6702
    @sasi_tv67022 жыл бұрын

    Ipo vyema Hii Nimeikubali Maswali yake na majibu yake... Ila narejeya Tena kwa ushauri iyo meza ondoeni apo HAIENDANI na location ya apo🤔

  • @dadaagnes4483

    @dadaagnes4483

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂 hata mimi nimeiangalia sana nikaitafakari sikupata jibu

  • @musasabuu2808

    @musasabuu2808

    2 жыл бұрын

    Wanasulibili chakula

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    Жыл бұрын

    @@dadaagnes4483 kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah22992 жыл бұрын

    Wanasema nchi hawajaipata kwa makaratasi na hawaitowi kwa makaratasi akili kichwani mwenu tafuteni njia nzuri ya kushuhulikia hilo tatizo

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.

  • @masoudali2163
    @masoudali21632 жыл бұрын

    WATU WAZIMA MNAKAA KITAKO MUNAJADILI TANI 2000.HAHAHAHA

  • @ommymehmed8880
    @ommymehmed88802 жыл бұрын

    wanapenda sana kumuhoji hyu mtu

  • @hamadali3231

    @hamadali3231

    2 жыл бұрын

    Vp kwani haifai kumuuliza

  • @ommymehmed8880

    @ommymehmed8880

    2 жыл бұрын

    Inafaa sana ...ila ni kwann hatupati ladha nyengine ...wahojiwe na waupande mwengine ,tuwasikie kauli zao je zinaendana na haya tuliyonayo sasa Zanzibar???

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman31582 жыл бұрын

    kwasababu aiwezekani Mali zinatoka Tanzania bara Zinajenga Zanzibar

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    2 жыл бұрын

    Mali gani iyo inayo jenga Zanzibar

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Жыл бұрын

    Kivip ?Zanzibar! Kuna arhdi uko Kuna madini uko Kuna misitu uko Kuna ziwa uko

  • @user-pm7yo3xi3h

    @user-pm7yo3xi3h

    Жыл бұрын

    Zanzibar Hakuna chochote Kuna watanganyika tele na kila siku wanajazana tu huku. Sijui wanafata mini huku hali ya kuwa hakuna kitu cha maana.

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman31582 жыл бұрын

    Tanzania na Zanzibar twafauti Bora muungano uvunjike

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 жыл бұрын

    Ungemwambia Kwanza aondoke studio maana Yuko bara huku, halafu ndio ufikirie kuuvunja Muungano

  • @omarhababuu3159

    @omarhababuu3159

    2 жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 kwanza waodoshe wakenya wakongo wachina wahindi wazungu waburundi waganda wasomali warwanda nk mulokuwa hamujaungana ikisha mungano uvunjwe ndomuwaondoshe wazanzibari

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 жыл бұрын

    @@omarhababuu3159 hahahaha,,,,,wahindi hawajataka Muungano uvunjike

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    2 жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 Hawa wanajidai utafikiri Zanzibar ni Mbinguni..!!!

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    2 жыл бұрын

    @@mamboshepea8888 wana umasikini wa akili,,,,,

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman31582 жыл бұрын

    Tanzania Bara wamasai wanauwawa kwa bunduki wananyan'qanywa maeneo yao

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72952 жыл бұрын

    Hamna kitu huyu!!

  • @salehkhalfan7345

    @salehkhalfan7345

    Жыл бұрын

    Ww una nn hata hao mabosi wko hawamfikii

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@salehkhalfan7345 Hahahaha,,,,,,hamna kitu hapo!

  • @salehkhalfan7345

    @salehkhalfan7345

    Жыл бұрын

    @@jumakapilima7295 Nlijua tu utakuja hapa

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@salehkhalfan7345 na Mimi nilijua Tu , ungekuja hapa!!

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*..

  • @samirsamir7177
    @samirsamir71772 жыл бұрын

    Wacheni Ujinga uwo semeni Tanganyika. Yani mumelishwa ujinga mpaka kuita nchi yenu jina lake imekuwa mnaona dhambi au aibu? Ndo maana Watanganyika wengi wanakuwa wajinga sana katika historia hawajui chochote kwa kusomeshwa mambo ya uwongo. Ni upumbavu ulopitiza mpaka vyombo vya habari badala ya kutoa elimu sahihi na wao ndo wanazidi kulisha watu matango pori.

  • @sleemhamoud4394

    @sleemhamoud4394

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lYmIvMxumcLNfLA.html 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

Келесі