SEREKALI YAJIBU MASWALI KUHUSU BANDARI YA ZANZIBAR
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 17
Namshukuru mungu sijakua msomi sana wa kuweza kudanganya kama mnavyotudanganya sema nyie endeleeni tu kula good life mimi nikitangulia tambua na wewe utakuja
Hata mfanye nn tatizo liko palepale..mpaka mjenge bandari kubwa..jamani..
@nailamohd7693
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Kuleni maisha bara inawalinda musijali
Wasanii wanaongelea kitu then hkn follow up
Walevi awo mulowaweka sio watendaji Bali ni marafiki zenu endeleeni Nchi kuwapa wahindi na waaarabu tunakutizameni tu wakiharibu watu weupe Munakaa kimya wakiharibu weusi munawahamisha Acheni ubaguzi Uwo bora muviuze hivi visiwa matupe chetu Rais wangu mm Salmin Amour na Shein wengine naona Zogo tu Bye Bye tunakate Canada au Marekani musituchoshe
Ect wakisema wabaya ila huku wanakiri 😂 duu kuleni maisha bana
@hajihassan5433
Жыл бұрын
Serikali ni ya Umoja wa Kitaifa hata,hiyo ECT ni Sehemu ya Serikali
Hichi ndo kifaaaa Makamu wa pili akisema kitu ujuwe hataki mchezo wala hacheki nampenda sana
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
Ila anakuwa hana mrejesho wa tamko lake au agizo lake
Sasa kila siku porojo hzo hzoo
Jamani malalamiko mengi sana mizigo inachelewa sana jamani Mwanzo mzigo kutoka dubai ilikuwa ni siku 28 Sasa miez 2 hiii hatar jamani Biashara zinakufa znz Jitahidini sana Jengine Bandari ya malindi kwa nn isiengezwe maeneo ya majahqzi ukoo Majahaz tafuteni sehem nyengine hiyo sehem ekeni meli angalau zifike japo meli 2
Wapeni wawekezaji
Porojo tu kwani hadi aje waz kiongozi ndo atoe magizo nyinyi wazir na naibu na na wakuu wabandari hamukuyaona haya ????
Serikali gani?, nani aliowachaguwa 2020?.
Nyinyi mnaojitia usomi mlimshauri rais vibaya alikua aanze na ujenzi wa bandari kwanza ili kuimarisha uchumi zbar ni nchi ya biashara ndo mana mambo zbar biashara imedorora wacheni siasa fanyeni kazi sio kila siku ahadi tu
Nafkir serkali ina nia nzur sana kwa wananchi wake Dr mwinyi tunakuamini fanya kaz