KWANINI BEI YA SAMAKI ZANZIBAR NI GHALI............?
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
kzread.info/dash/bejne/g4Wew7NwldyfgMo.html
kzread.info/dash/bejne/f6eXxMlwl9XTabw.html
Пікірлер: 10
Ramadhan madogo umetoa hoja ya maana. Utaratibu wa mnada unawapa fursa na kuwagawa walaji katika matabaka, nakuonekana kua samaki hawatoshi, hebu tungalifikiria upya kadhia hii ukizingatia kua madalali wao ndio wanufaika wa mnada kuliko hata wavuvi ukilinganisha na work load iliotumika. Zen nachukua fursa ya kuwapongeza kwa docmentary nzur
@ktvtzonline
Жыл бұрын
Asante sana kwa kuwa sehemu ya wafuatiliaji wetu.
Mnadanganya takwimu za kupika maana sijaona kupimwa kwa kilo ingawa mezani naziona.
sasa ivi inachangia asilimia 5 na sisi wengine tunakula vidagaa mana hawanunuliki jee ikishangia asilimia 10 si ndo itakua balaa au mimi nafahamu vibaya ?
@Asilimedia
Жыл бұрын
😂😂😂😂 itakapo ikiingia Asilimia 10 itakuwa bei Poa maaana Samaki watakuwa wengi 😀😀
@hamadali6377
Жыл бұрын
Acha watu wachume hawaangaliii mtu wanaangalia matumbo yao tu lkn mm namshaur wazir siku moja aende uko baharini
@mohamededdi7527
Жыл бұрын
Mana Yale ndio hivo hivo ulivofahamu, hahaha.
@khamiszahour6139
Жыл бұрын
utakula broila