NOMA! MELI INAVYOCHIMBA KUONGEZA KINA CHA BAHARI KWENYE BANDARI YA TANGA
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeanza upanuzi wa bandari ya Tanga kwa kuongeza kina ili meli ziweze kufika karibu na gati kwa ajili ya kushusha na kupandisha shehena mbalimbali za mizigo.
Пікірлер: 121
Ila uncle Magu tunaanzaje kukuchuki haya mambo ni maajabu mazito sana tena ndani ya muda mfupi
@fatemaligalawa4151
4 жыл бұрын
Yaani anatufumbua macho saana
@harunimfaume6280
4 жыл бұрын
Saaana kwakweli magu kazi zinaonekanaa
@lamecktheonest225
4 жыл бұрын
Mungu amzidishie tu,
@rachelemanuel1184
4 жыл бұрын
fatema ligalawa bhhhhjhjhiiuiiooooppppphop
Wangapi wameiona meli hi kwa mara ya Kwanza Kama Mimi?
@peterkichochi7510
4 жыл бұрын
Hiyo huwa ina iba madini
@chiefmahucha6847
4 жыл бұрын
@@peterkichochi7510 waweza kuwa sahihi Mkuu... Wachina huwa sio watu wazuri kabisaa... Sio kweli kuwa wanatoka watupu
@mordally
4 жыл бұрын
Acha ushamba meli hizi zilikuwapo muda mrefu bandari ya Dar miaka 5 mpaka sita iliyopita wakati wakiongeza kina cha bandari kwako wewe ni mara ya kwanza 😄😄😄
@salimhusseni4784
3 жыл бұрын
@@peterkichochi7510 Hinawezeka kiuwalisia veni zote za madeni zimetoka nchi kavu na kuelewa Baharin hata mafuta pia nimadin kunabahaz ya nchi wanamafuta Baharin ujakosea ndugu yangu wenzetu wametuzid maarifa kwakwel
kichina duh naona kama naangalia movie ya kichina hapa ila magu 👏🏾👏🏾👏🏾🙏🏾
Sio siri Harali Rais upende kiki wanavyo sema kama Nchi imezungukwa na miradi inaendelea Mungu akutangulie na akuongozee aendelee kukuongozaa na Akuongozee Hekima Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿 Mungu mbariki Rais wetu JPM 🇹🇿
Mimi ninani nisimpongeze RAISI Magufuli kwayote haya
Tecknolojia tuwaachie wenzetu tu ... sisi Wabongo tunajua Fitna na Majungu tu.
ukikijuwa KICHINA raha sana nimemuelewa sana mchina kuliko mswahili oh shishishingiii maanake tope
@nyangetangelesi8864
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@kassimrajabu7805
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@zuuothman9170
4 жыл бұрын
😅😅😅😅
@mwanaidhussen1325
4 жыл бұрын
😂😂😂
@naldinhosalgado1342
4 жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 0
Tuwaombee watu wasio mwelewa Magufuri jamani wapate kumwelewa Kazi anazofanya
@shayopaterini8678
4 жыл бұрын
Namwelewa saana ila cpend ile ya kujifanya mungu mtu pia mtu akikukosea ktka maisha ndio unaonngeza juhud na co kuwachukia
Nimefanya kazi sana kwenye meli hii.
Asante Ayo
Pamoja sana OK pitia hapa KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii bofya kapicha kushoto
@ImpressiveFacts
4 жыл бұрын
Nime sub. Naomba nawe unisapot kwa kusub channel yangu
@SKILLS360TV
4 жыл бұрын
@@ImpressiveFacts OK Tayali khasante
Hatari Sana. Kina kikiwa kirefu kitasaidia sana. Hongereni sana viongozi. Pigeni Kazi.
@sulemohd4812
4 жыл бұрын
Safi sana tanga kuzuli sana raisi magufuli anataka tanga iwe kwenye mji mpya hongera raisi
Hahaaaaaaaaaa huyo jamaa katuuza dhuuu mkalimani nikikukamata utakula kofi
@collinedward8449
4 жыл бұрын
Tueleweshe wew basi
hao jamaa n wajanja huenda wanachimba madini na si kuongeza kina , tukumbuke.mzungu ana technq nyingi za wizi
Wakati wengine wanapiga kelele ili waandamane bila sababu ss tunachimba bandari
@lamecktheonest225
4 жыл бұрын
Edison Peter yaani we acha tu
Nimemuelewa sana huyu mchina "My shoe shall soon shine" ukitaka kujua maana yake njoo inbobo
Yani wabongo sijuwi mupoje hata mkali mani hamumuamin dah
@philemonmagesa5548
Жыл бұрын
Umewaona eeh?
Utawala w JPM tutasikia na kuona mengi
apa kazi tu
Eti kichina chetu sio kizuri. Hata neno moja unalijua kweli😁 Ila hii kazi mnge mpa juma sharobaro
Wa kwanza kucomment na kulike hivi wanaofanya hayo walinyonya titi la mama,?
@Fursa3000
4 жыл бұрын
K😂😂😂😂
@nuratyj6815
4 жыл бұрын
Kulikoni
Duh, nimeangalia lkn bado najiuliza cjui wanachimbaje
Km ushapanda MV MAGOGONI gonga like twende sawa na speed yake
Yan kwel tunahaja yakuitusha uchaguz jaman wanini rais wetu aongoze hadi aseme bas
THE BIGGEST BOSS NASRI
Daaaahhhh nooooooma kazi mzr mhshmw rais
Du nimemkumbua sana mzee majuto lala salama baba maana ungekuwapo unge mfunika jamaa anae tafsiri
chali ya R inatafsiri ma luga ma nn ni mafursa arifu 😂😂😂😂
Milard ungemleta yule.mkalima wa Mchina uso wa Mbuvu kivule aje atafsiro haoa😄😄😄😄
Hivi vitu vimefanyika hata Huko nyuma sio vitu vigeni sema tulikuwa sio wa wa Media sana siku hizi Kila kitu ni Media lazima muone kama kitu Kipyaa..
@saumsaid5717
4 жыл бұрын
Acha unafki we kaa mbali huko wewe kuku ukila ukimaliza unapangusa midomo chini
Mchanga ubaki usisafirishwe
Iyo meli inaonyesha tofauti kubwa ya uwezo wakufikili wa mtu mweusi na mweupe cha muhimu uhai😂😂
Atleast anachosema Magu anakifanya tunaona hela zinapo enda hata kama hali ni ngumu .......hatusikii tena bilioni moja za mboga na vijisenti....wizi unausikia kwa mbali......tena mdogo mdogo
Wapiga diri kipindi Cha Magu walinuna mpaka wkafanya miundo mbinu Yao,
Mchanga ubakie usisafirishwe mana mchina atoki patupu
Magu wewe nomaaa haya Mimi sijawai kuyaona
Chimbine basi tule matunda bado mapema tuanze kulä hela ya mafuta ya inchi yetu ya tz
Hawo walaqay wanachukuwa nawe za denymo mawe zabaki kwenye meli na udhongo wana mwaga
Movie ya kichina hiyo iliyotafsiriwa kwa kiswahili..😁😁
Yi ho.. Shenjinye kushyi wo yenteshihu koshe kuye yinchenjen.... Mkalimali tafadhali...
Mbona hawaendi kumwaga mitope yao mbali wanamwaga kwenye boya namba moja milango ya kuingilia meli na njia ndo hiyohiyo ya kuingilia meli. Bora hata wangetoka nje zaidi yaan
Ayo, umefanya vizuri kutuletea makara haya. Bandari wamezubaa
Ah jamani wakalimani Mbona mmesahau kusema ‘ Alisema pia wanafanya kazi masaa 24 na wakati mwingine wanashindia KASHATA na KAHAWA Lkn wao hawajali wanapiga kazi tu MWANZO MWENGA ili kukamilisha mradi Kwa haraka ili Watanzania tufaidike..!...Muwe mnamalizia sentence ‘ maana nimemsikia hapo mchina kasema...!
INGIA HAPO JUU BOFYA JINA ''MAUNO FENI TV'' UPATE BURUNDANI YA MIUNO YA KISWAZI NA WEASWAZI NI HATARI SANA USISAHAU KUSUBSCRIBE PLEASE ASANTE
Duuu ni JPM hiyo au
Duuuu wachina hawa watu ni balaa kwakweli
Jmn kichina raha 😃😃😃
nani kaona kwamba wanatumia windows xp ya kizamani kama mimi!! aisee waje wanilipe niwaekee windows 10 ya kisasa ili waongeze ufanisi kwenye software zao
Kwa masimulizi ya sauti tembelea KZread channel yangu kama stori sauti Tanzania usisahau kusubscribe ahsante
@ImpressiveFacts
4 жыл бұрын
Naomba tupeane support kwa kupeana sub mdau
Nasikia kunduchichiii cha kundichaaaa mkuundugu yangucheiiii
Nisawa
Xi zhang jiu myula ninho ninho
Kama ww ni engineer uliyesoma nakumaliza hela za serikali za mkopo ila hiyo meli ndio leo umeiona usilie gonga like one day yes
Video fupi milard tuwekee ndefu tuone vitu vingi na nje huko kwa taratibuuu
Mnakuwepo na nyinyi wanapomwaga hayo matope? Wasije wakawa wananyonya Madini humo 😄,wajanja wajanja hao
@hatwabiswalehe262
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Wabongo tujifunze kitu, hao maopareta wamesoma na wanapiga kaz kubwa lakini hawajui kingeleza. Hawana mawazo finyu wala hawashangai wala kumdhalau mwenzake ambaye anaongea au kuandika kingeleza kibovu.
@madamcolethaa641
4 жыл бұрын
Umeona
@hadijamandanje6189
4 жыл бұрын
Tumerithishwa utumwa kila kitu chetu hakina thamani ili tuone wanastahili kututawala kwa kuwa hatustahili sisi wenyewe,lugha yetu ya kijinga mfumo wa asili wa maisha yetu wa kijinga ili tujidharau wenyewe ili tuwanyenyekee
@barakamarando5221
4 жыл бұрын
Jifunze na wewe kuandika vizuri r ,na l ni kiingereza siyo kiingeleza alafu unajita mswahili
@ototek8037
4 жыл бұрын
@@barakamarando5221 siijui lugha hiyo..kumbe ni kingereza sio kingeleza? Basi na wewe usione ufahari kushobokea ujinga, naijuwa lugha yangu inaitwa kiswahili.
Wenzetu awapumziki ila wabongo utakuta mtu kazi yake ofisini tu utaona baada ya masaa matatu anasinzia
Mashariti ya ajabu ajabu wameyatoa
Nimesikia neno Wali wana hotpot hapo
@abemapaul8547
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁
kusudi ya kuongeza kina iliiweje mungu alikosea
@amiriabubakari8391
4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu baada ya kutuumba akatuamuru tukasome je tukiumwa tusitumie dawa?soma vtabu ndugu acha kuuliza maswali ambayo vitabu vimeelekeza,jenga nyumba yako usichimbe msingi au kuongeza ktu fulani
.
Pamoja sana millardayo. Kwa wale wenye channel changa kama mimi naomba tupeane support kwa kusub channel. Gonga sub kisha niandikie "Done" nami nita sub channel yako
Munaharibu pesa bute tu, bandar zenye kina cha asili zipo
@nyandajr
2 жыл бұрын
Hiyo video siyo ya leo pia bandari lazima maboresho
@ismailshamte4429
2 жыл бұрын
@@nyandajr najua
*KONGOLE KWA JPM TUNASONGA MBELE ... KANUNI NI MOJA TU: NO RETREAT NO SURRENDER*
Magu apongezwe kwa bara cyo zanzibar na kama hahusiki zanzibar kwanini anakwenda kuomba kura?
@nightwishisthegreatestband6355
4 жыл бұрын
Nyie si mna kiongozi?
Hatari sanaaa kzread.info/dash/bejne/jHZ-lqaKhMm8maQ.html
Tz pia mwachimba bahari nilijua ni kenya peke yake 🤣🤣🤣
@rasterwangu9708
4 жыл бұрын
Ni kitambo saana
@khadijaomar8427
4 жыл бұрын
@@rasterwangu9708 oook
@khadijaomar8427
4 жыл бұрын
@@mohamedslh5478 kunani tena
Sio dredging ni drealing
@danielmoses2244
4 жыл бұрын
*NO, ABSOLUTELY NOT* SI *DREALING* BALI *DREDGING* KAMA ILIVYOTAMKWA ... MZUNGUMZAJI YUKO SAHIHI KABISA
Watanzania wenzangu magufuli atawale milele yote
@reubenbusanji2904
4 жыл бұрын
Magufuli asitawale milele bali fikra zake ndo zitawale milele
Uyu anatafsir au anaongea anachokiona
Mh wemkalimani utupigi fixsi kwe maana iyo lugha simchezo