NOMA! MELI INAVYOCHIMBA KUONGEZA KINA CHA BAHARI KWENYE BANDARI YA TANGA

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeanza upanuzi wa bandari ya Tanga kwa kuongeza kina ili meli ziweze kufika karibu na gati kwa ajili ya kushusha na kupandisha shehena mbalimbali za mizigo.

Пікірлер: 121

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma27604 жыл бұрын

    Ila uncle Magu tunaanzaje kukuchuki haya mambo ni maajabu mazito sana tena ndani ya muda mfupi

  • @fatemaligalawa4151

    @fatemaligalawa4151

    4 жыл бұрын

    Yaani anatufumbua macho saana

  • @harunimfaume6280

    @harunimfaume6280

    4 жыл бұрын

    Saaana kwakweli magu kazi zinaonekanaa

  • @lamecktheonest225

    @lamecktheonest225

    4 жыл бұрын

    Mungu amzidishie tu,

  • @rachelemanuel1184

    @rachelemanuel1184

    4 жыл бұрын

    fatema ligalawa bhhhhjhjhiiuiiooooppppphop

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi80294 жыл бұрын

    Wangapi wameiona meli hi kwa mara ya Kwanza Kama Mimi?

  • @peterkichochi7510

    @peterkichochi7510

    4 жыл бұрын

    Hiyo huwa ina iba madini

  • @chiefmahucha6847

    @chiefmahucha6847

    4 жыл бұрын

    @@peterkichochi7510 waweza kuwa sahihi Mkuu... Wachina huwa sio watu wazuri kabisaa... Sio kweli kuwa wanatoka watupu

  • @mordally

    @mordally

    4 жыл бұрын

    Acha ushamba meli hizi zilikuwapo muda mrefu bandari ya Dar miaka 5 mpaka sita iliyopita wakati wakiongeza kina cha bandari kwako wewe ni mara ya kwanza 😄😄😄

  • @salimhusseni4784

    @salimhusseni4784

    3 жыл бұрын

    @@peterkichochi7510 Hinawezeka kiuwalisia veni zote za madeni zimetoka nchi kavu na kuelewa Baharin hata mafuta pia nimadin kunabahaz ya nchi wanamafuta Baharin ujakosea ndugu yangu wenzetu wametuzid maarifa kwakwel

  • @jumanyangasa3662
    @jumanyangasa36624 жыл бұрын

    kichina duh naona kama naangalia movie ya kichina hapa ila magu 👏🏾👏🏾👏🏾🙏🏾

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma75814 жыл бұрын

    Sio siri Harali Rais upende kiki wanavyo sema kama Nchi imezungukwa na miradi inaendelea Mungu akutangulie na akuongozee aendelee kukuongozaa na Akuongozee Hekima Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿 Mungu mbariki Rais wetu JPM 🇹🇿

  • @ahmedmsangi1653
    @ahmedmsangi16534 жыл бұрын

    Mimi ninani nisimpongeze RAISI Magufuli kwayote haya

  • @abednego3876
    @abednego38764 жыл бұрын

    Tecknolojia tuwaachie wenzetu tu ... sisi Wabongo tunajua Fitna na Majungu tu.

  • @adammakoye4198
    @adammakoye41984 жыл бұрын

    ukikijuwa KICHINA raha sana nimemuelewa sana mchina kuliko mswahili oh shishishingiii maanake tope

  • @nyangetangelesi8864

    @nyangetangelesi8864

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @zuuothman9170

    @zuuothman9170

    4 жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @mwanaidhussen1325

    @mwanaidhussen1325

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @naldinhosalgado1342

    @naldinhosalgado1342

    4 жыл бұрын

    @@kassimrajabu7805 0

  • @eligiuselias4469
    @eligiuselias44694 жыл бұрын

    Tuwaombee watu wasio mwelewa Magufuri jamani wapate kumwelewa Kazi anazofanya

  • @shayopaterini8678

    @shayopaterini8678

    4 жыл бұрын

    Namwelewa saana ila cpend ile ya kujifanya mungu mtu pia mtu akikukosea ktka maisha ndio unaonngeza juhud na co kuwachukia

  • @MultiSeptember28
    @MultiSeptember284 жыл бұрын

    Nimefanya kazi sana kwenye meli hii.

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza16994 жыл бұрын

    Asante Ayo

  • @SKILLS360TV
    @SKILLS360TV4 жыл бұрын

    Pamoja sana OK pitia hapa KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii bofya kapicha kushoto

  • @ImpressiveFacts

    @ImpressiveFacts

    4 жыл бұрын

    Nime sub. Naomba nawe unisapot kwa kusub channel yangu

  • @SKILLS360TV

    @SKILLS360TV

    4 жыл бұрын

    @@ImpressiveFacts OK Tayali khasante

  • @Fursa3000
    @Fursa30004 жыл бұрын

    Hatari Sana. Kina kikiwa kirefu kitasaidia sana. Hongereni sana viongozi. Pigeni Kazi.

  • @sulemohd4812

    @sulemohd4812

    4 жыл бұрын

    Safi sana tanga kuzuli sana raisi magufuli anataka tanga iwe kwenye mji mpya hongera raisi

  • @sistimasawe5936
    @sistimasawe59364 жыл бұрын

    Hahaaaaaaaaaa huyo jamaa katuuza dhuuu mkalimani nikikukamata utakula kofi

  • @collinedward8449

    @collinedward8449

    4 жыл бұрын

    Tueleweshe wew basi

  • @petkudfilmsandnewskudililw7579
    @petkudfilmsandnewskudililw75794 жыл бұрын

    hao jamaa n wajanja huenda wanachimba madini na si kuongeza kina , tukumbuke.mzungu ana technq nyingi za wizi

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter38944 жыл бұрын

    Wakati wengine wanapiga kelele ili waandamane bila sababu ss tunachimba bandari

  • @lamecktheonest225

    @lamecktheonest225

    4 жыл бұрын

    Edison Peter yaani we acha tu

  • @rajabomary5280
    @rajabomary52804 жыл бұрын

    Nimemuelewa sana huyu mchina "My shoe shall soon shine" ukitaka kujua maana yake njoo inbobo

  • @2pacshakur912
    @2pacshakur9124 жыл бұрын

    Yani wabongo sijuwi mupoje hata mkali mani hamumuamin dah

  • @philemonmagesa5548

    @philemonmagesa5548

    Жыл бұрын

    Umewaona eeh?

  • @reubenbusanji2904
    @reubenbusanji29044 жыл бұрын

    Utawala w JPM tutasikia na kuona mengi

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz59824 жыл бұрын

    apa kazi tu

  • @bjzee1981
    @bjzee19814 жыл бұрын

    Eti kichina chetu sio kizuri. Hata neno moja unalijua kweli😁 Ila hii kazi mnge mpa juma sharobaro

  • @florencekashaija7539
    @florencekashaija75394 жыл бұрын

    Wa kwanza kucomment na kulike hivi wanaofanya hayo walinyonya titi la mama,?

  • @Fursa3000

    @Fursa3000

    4 жыл бұрын

    K😂😂😂😂

  • @nuratyj6815

    @nuratyj6815

    4 жыл бұрын

    Kulikoni

  • @naimasaid7763
    @naimasaid77634 жыл бұрын

    Duh, nimeangalia lkn bado najiuliza cjui wanachimbaje

  • @idrisachalahani9311
    @idrisachalahani93114 жыл бұрын

    Km ushapanda MV MAGOGONI gonga like twende sawa na speed yake

  • @omaniallybakari2372
    @omaniallybakari23724 жыл бұрын

    Yan kwel tunahaja yakuitusha uchaguz jaman wanini rais wetu aongoze hadi aseme bas

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv26013 жыл бұрын

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @abdkhalidi6625
    @abdkhalidi66254 жыл бұрын

    Daaaahhhh nooooooma kazi mzr mhshmw rais

  • @sadickjuma7264
    @sadickjuma72644 жыл бұрын

    Du nimemkumbua sana mzee majuto lala salama baba maana ungekuwapo unge mfunika jamaa anae tafsiri

  • @qualiamaxwell6305
    @qualiamaxwell63054 жыл бұрын

    chali ya R inatafsiri ma luga ma nn ni mafursa arifu 😂😂😂😂

  • @atikombogolo2356
    @atikombogolo23564 жыл бұрын

    Milard ungemleta yule.mkalima wa Mchina uso wa Mbuvu kivule aje atafsiro haoa😄😄😄😄

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure69514 жыл бұрын

    Hivi vitu vimefanyika hata Huko nyuma sio vitu vigeni sema tulikuwa sio wa wa Media sana siku hizi Kila kitu ni Media lazima muone kama kitu Kipyaa..

  • @saumsaid5717

    @saumsaid5717

    4 жыл бұрын

    Acha unafki we kaa mbali huko wewe kuku ukila ukimaliza unapangusa midomo chini

  • @bausiwessaomar983
    @bausiwessaomar9834 жыл бұрын

    Mchanga ubaki usisafirishwe

  • @thebios2553
    @thebios25534 жыл бұрын

    Iyo meli inaonyesha tofauti kubwa ya uwezo wakufikili wa mtu mweusi na mweupe cha muhimu uhai😂😂

  • @anthonymchilika3224
    @anthonymchilika32244 жыл бұрын

    Atleast anachosema Magu anakifanya tunaona hela zinapo enda hata kama hali ni ngumu .......hatusikii tena bilioni moja za mboga na vijisenti....wizi unausikia kwa mbali......tena mdogo mdogo

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo60332 жыл бұрын

    Wapiga diri kipindi Cha Magu walinuna mpaka wkafanya miundo mbinu Yao,

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Жыл бұрын

    Mchanga ubakie usisafirishwe mana mchina atoki patupu

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud90884 жыл бұрын

    Magu wewe nomaaa haya Mimi sijawai kuyaona

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru18224 жыл бұрын

    Chimbine basi tule matunda bado mapema tuanze kulä hela ya mafuta ya inchi yetu ya tz

  • @hayfaswaleh8048
    @hayfaswaleh8048 Жыл бұрын

    Hawo walaqay wanachukuwa nawe za denymo mawe zabaki kwenye meli na udhongo wana mwaga

  • @deusmichael2290
    @deusmichael22904 жыл бұрын

    Movie ya kichina hiyo iliyotafsiriwa kwa kiswahili..😁😁

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya65004 жыл бұрын

    Yi ho.. Shenjinye kushyi wo yenteshihu koshe kuye yinchenjen.... Mkalimali tafadhali...

  • @loveofficial74
    @loveofficial744 жыл бұрын

    Mbona hawaendi kumwaga mitope yao mbali wanamwaga kwenye boya namba moja milango ya kuingilia meli na njia ndo hiyohiyo ya kuingilia meli. Bora hata wangetoka nje zaidi yaan

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza16994 жыл бұрын

    Ayo, umefanya vizuri kutuletea makara haya. Bandari wamezubaa

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph7403 жыл бұрын

    Ah jamani wakalimani Mbona mmesahau kusema ‘ Alisema pia wanafanya kazi masaa 24 na wakati mwingine wanashindia KASHATA na KAHAWA Lkn wao hawajali wanapiga kazi tu MWANZO MWENGA ili kukamilisha mradi Kwa haraka ili Watanzania tufaidike..!...Muwe mnamalizia sentence ‘ maana nimemsikia hapo mchina kasema...!

  • @dreamhighmotivation121
    @dreamhighmotivation1214 жыл бұрын

    INGIA HAPO JUU BOFYA JINA ''MAUNO FENI TV'' UPATE BURUNDANI YA MIUNO YA KISWAZI NA WEASWAZI NI HATARI SANA USISAHAU KUSUBSCRIBE PLEASE ASANTE

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda22984 жыл бұрын

    Duuu ni JPM hiyo au

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume62804 жыл бұрын

    Duuuu wachina hawa watu ni balaa kwakweli

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf82104 жыл бұрын

    Jmn kichina raha 😃😃😃

  • @augustinosafari4935
    @augustinosafari49354 жыл бұрын

    nani kaona kwamba wanatumia windows xp ya kizamani kama mimi!! aisee waje wanilipe niwaekee windows 10 ya kisasa ili waongeze ufanisi kwenye software zao

  • @jonathantz8540
    @jonathantz85404 жыл бұрын

    Kwa masimulizi ya sauti tembelea KZread channel yangu kama stori sauti Tanzania usisahau kusubscribe ahsante

  • @ImpressiveFacts

    @ImpressiveFacts

    4 жыл бұрын

    Naomba tupeane support kwa kupeana sub mdau

  • @emmanuelnyove8292
    @emmanuelnyove82924 жыл бұрын

    Nasikia kunduchichiii cha kundichaaaa mkuundugu yangucheiiii

  • @allymadunda7931
    @allymadunda79314 жыл бұрын

    Nisawa

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda79274 жыл бұрын

    Xi zhang jiu myula ninho ninho

  • @thebios2553
    @thebios25534 жыл бұрын

    Kama ww ni engineer uliyesoma nakumaliza hela za serikali za mkopo ila hiyo meli ndio leo umeiona usilie gonga like one day yes

  • @misschagga8042
    @misschagga80424 жыл бұрын

    Video fupi milard tuwekee ndefu tuone vitu vingi na nje huko kwa taratibuuu

  • @franciscogosbert9603
    @franciscogosbert96034 жыл бұрын

    Mnakuwepo na nyinyi wanapomwaga hayo matope? Wasije wakawa wananyonya Madini humo 😄,wajanja wajanja hao

  • @hatwabiswalehe262

    @hatwabiswalehe262

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @ototek8037
    @ototek80374 жыл бұрын

    Wabongo tujifunze kitu, hao maopareta wamesoma na wanapiga kaz kubwa lakini hawajui kingeleza. Hawana mawazo finyu wala hawashangai wala kumdhalau mwenzake ambaye anaongea au kuandika kingeleza kibovu.

  • @madamcolethaa641

    @madamcolethaa641

    4 жыл бұрын

    Umeona

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    4 жыл бұрын

    Tumerithishwa utumwa kila kitu chetu hakina thamani ili tuone wanastahili kututawala kwa kuwa hatustahili sisi wenyewe,lugha yetu ya kijinga mfumo wa asili wa maisha yetu wa kijinga ili tujidharau wenyewe ili tuwanyenyekee

  • @barakamarando5221

    @barakamarando5221

    4 жыл бұрын

    Jifunze na wewe kuandika vizuri r ,na l ni kiingereza siyo kiingeleza alafu unajita mswahili

  • @ototek8037

    @ototek8037

    4 жыл бұрын

    @@barakamarando5221 siijui lugha hiyo..kumbe ni kingereza sio kingeleza? Basi na wewe usione ufahari kushobokea ujinga, naijuwa lugha yangu inaitwa kiswahili.

  • @viniaskadunda5768
    @viniaskadunda57684 жыл бұрын

    Wenzetu awapumziki ila wabongo utakuta mtu kazi yake ofisini tu utaona baada ya masaa matatu anasinzia

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.69994 жыл бұрын

    Mashariti ya ajabu ajabu wameyatoa

  • @augustinepaul8739
    @augustinepaul87394 жыл бұрын

    Nimesikia neno Wali wana hotpot hapo

  • @abemapaul8547

    @abemapaul8547

    4 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @solomonimkwere498
    @solomonimkwere4984 жыл бұрын

    kusudi ya kuongeza kina iliiweje mungu alikosea

  • @amiriabubakari8391

    @amiriabubakari8391

    4 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu baada ya kutuumba akatuamuru tukasome je tukiumwa tusitumie dawa?soma vtabu ndugu acha kuuliza maswali ambayo vitabu vimeelekeza,jenga nyumba yako usichimbe msingi au kuongeza ktu fulani

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah95366 ай бұрын

    .

  • @ImpressiveFacts
    @ImpressiveFacts4 жыл бұрын

    Pamoja sana millardayo. Kwa wale wenye channel changa kama mimi naomba tupeane support kwa kusub channel. Gonga sub kisha niandikie "Done" nami nita sub channel yako

  • @ismailshamte4429
    @ismailshamte44292 жыл бұрын

    Munaharibu pesa bute tu, bandar zenye kina cha asili zipo

  • @nyandajr

    @nyandajr

    2 жыл бұрын

    Hiyo video siyo ya leo pia bandari lazima maboresho

  • @ismailshamte4429

    @ismailshamte4429

    2 жыл бұрын

    @@nyandajr najua

  • @danielmoses2244
    @danielmoses22444 жыл бұрын

    *KONGOLE KWA JPM TUNASONGA MBELE ... KANUNI NI MOJA TU: NO RETREAT NO SURRENDER*

  • @asiakheir6406
    @asiakheir64064 жыл бұрын

    Magu apongezwe kwa bara cyo zanzibar na kama hahusiki zanzibar kwanini anakwenda kuomba kura?

  • @nightwishisthegreatestband6355

    @nightwishisthegreatestband6355

    4 жыл бұрын

    Nyie si mna kiongozi?

  • @frankchristian6979
    @frankchristian69794 жыл бұрын

    Hatari sanaaa kzread.info/dash/bejne/jHZ-lqaKhMm8maQ.html

  • @khadijaomar8427
    @khadijaomar84274 жыл бұрын

    Tz pia mwachimba bahari nilijua ni kenya peke yake 🤣🤣🤣

  • @rasterwangu9708

    @rasterwangu9708

    4 жыл бұрын

    Ni kitambo saana

  • @khadijaomar8427

    @khadijaomar8427

    4 жыл бұрын

    @@rasterwangu9708 oook

  • @khadijaomar8427

    @khadijaomar8427

    4 жыл бұрын

    @@mohamedslh5478 kunani tena

  • @davidnicholaus5304
    @davidnicholaus53044 жыл бұрын

    Sio dredging ni drealing

  • @danielmoses2244

    @danielmoses2244

    4 жыл бұрын

    *NO, ABSOLUTELY NOT* SI *DREALING* BALI *DREDGING* KAMA ILIVYOTAMKWA ... MZUNGUMZAJI YUKO SAHIHI KABISA

  • @ezronmagai8623
    @ezronmagai86234 жыл бұрын

    Watanzania wenzangu magufuli atawale milele yote

  • @reubenbusanji2904

    @reubenbusanji2904

    4 жыл бұрын

    Magufuli asitawale milele bali fikra zake ndo zitawale milele

  • @frankmwampamba166
    @frankmwampamba1664 жыл бұрын

    Uyu anatafsir au anaongea anachokiona

  • @shwalyshwaly2213
    @shwalyshwaly22134 жыл бұрын

    Mh wemkalimani utupigi fixsi kwe maana iyo lugha simchezo

Келесі