AWAMU YA PILI YAANGUKIA MKOANI PEMBA KWENYE BANDARI
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
#Muuminina #Dida #Juhuditz #Al-Muuminin #Adila
#Mwanacha #Afnania #Stumai #Zuchu
#muminina #Qadiria #zanzibarqaswida #AFNAANIA #DIRECTORONE.T #Future Tz #Wasafi Media #ZMASTORY #Juhuditz #JUMAFAKIH #ZanzibarQaswida #AQAZStudio #Al-muuminin #YasmediaTv #stumai #zbc #tbc #futuretz #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #youtube #youtuber #youtubechannel #revolutionreal #blacksmokeyeye #smokeyeye #glow #glowingskin #discoverunder5k #discoverunder10k
Пікірлер: 15
Bado hapajajengwa bandari Pemba. Liliopo ni tuta tu na udarara wa njia yenye kipaa cha bati .Iliyopo ni kampeni ya ccm katika kumsafishia Mwinyi aendelee kula matunda ya mavamizi ya Watanganyika dhidi ya maisha ya Wazanzibari waliyotaabani kwa njaa .Ziangalieni sura za ndigu zenu Wazanzibari zilivyo taabani wakati mfalme Mwinyi na malkia wakingara vizuri mno .
Ila apo hamuna mulichokifungua maana hatukioni
Wallah mtoto wa mwinyi ataifikisha mbali zanzibar
@khatibal-zinjibari6956
6 ай бұрын
AKIPEWA ZANZIBAR ARIJOJO @hajiabdalla6500. Mtoto wa Mwinyi ataifikisha mbali sana Zanzibar Ikulu kuwa Dodoma, alikochaguliwa na Rais Pombe kuwa Mkuu wa Mawakala wa Ukoloni wa Tanganyika.
@rayaomar6299
6 ай бұрын
Keshaofikisha maana njaa kwenda mbele
@seifmohd5357
6 ай бұрын
Aifikishe mara ngapi mana saiv kila mtu hoi bin taaban
Na hio ya WETE inahitaji kutanuliwa
Sawa jengeni lakini mwaka 2025 mutapuzika tu sisi tunataka Zanzibar huru
@ahmedalbalooshi8518
6 ай бұрын
Subiri utasikia vipigo kama huko nyuma
@HamisMberwa
6 ай бұрын
Hahah
@Allykhator kwani sasa uko mtumwa wa nani?? Au ndio nyie mnataka kufanya wenzenu watumwa?? Acha hizo chuki binafsi haitokufikisha popote
Hakuna bandari hapo ni tuta tu km matuta mengine
nliposkia bandari inataka kutanuliwa nlizani itakua kama ile ya tanganyika,ilio na uwezo wakuchukua meli zinazobeba kontena 4000 tena meli zaid ya 5 kwa wakati mmoja.maskini zanzibar yetu inasikitisha wallah
@ahmedalbalooshi8518
6 ай бұрын
Tushukuru angalau kuwekewa hilo paa maana ilikuwa shida ikinyesha mvua.
@saidsalum1419
6 ай бұрын
😅😅😅