AWAMU YA PILI YAANGUKIA MKOANI PEMBA KWENYE BANDARI

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
#Muuminina​ #Dida​ #Juhuditz​ #Al​-Muuminin #Adila​
#Mwanacha​ #Afnania​ #Stumai​ #Zuchu​
#muminina​ #Qadiria​ #zanzibarqaswida​ #AFNAANIA​ #DIRECTORONE​.T #Future​ Tz #Wasafi​ Media #Z​MASTORY #Juhuditz​ #JUMA​FAKIH #Zanzibar​Qaswida #AQAZ​Studio #Al​-muuminin #Yas​mediaTv #stumai​ #zbc #tbc #futuretz #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #youtube #youtuber #youtubechannel #revolutionreal #blacksmokeyeye #smokeyeye #glow #glowingskin #discoverunder5k #discoverunder10k

Пікірлер: 15

  • @MohamedAli-qf6et
    @MohamedAli-qf6et6 ай бұрын

    Bado hapajajengwa bandari Pemba. Liliopo ni tuta tu na udarara wa njia yenye kipaa cha bati .Iliyopo ni kampeni ya ccm katika kumsafishia Mwinyi aendelee kula matunda ya mavamizi ya Watanganyika dhidi ya maisha ya Wazanzibari waliyotaabani kwa njaa .Ziangalieni sura za ndigu zenu Wazanzibari zilivyo taabani wakati mfalme Mwinyi na malkia wakingara vizuri mno .

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim6 ай бұрын

    Ila apo hamuna mulichokifungua maana hatukioni

  • @Hawanalugha
    @Hawanalugha6 ай бұрын

    Wallah mtoto wa mwinyi ataifikisha mbali zanzibar

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    6 ай бұрын

    AKIPEWA ZANZIBAR ARIJOJO @hajiabdalla6500. Mtoto wa Mwinyi ataifikisha mbali sana Zanzibar Ikulu kuwa Dodoma, alikochaguliwa na Rais Pombe kuwa Mkuu wa Mawakala wa Ukoloni wa Tanganyika.

  • @rayaomar6299

    @rayaomar6299

    6 ай бұрын

    Keshaofikisha maana njaa kwenda mbele

  • @seifmohd5357

    @seifmohd5357

    6 ай бұрын

    Aifikishe mara ngapi mana saiv kila mtu hoi bin taaban

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi85186 ай бұрын

    Na hio ya WETE inahitaji kutanuliwa

  • @ZANAMBER12
    @ZANAMBER126 ай бұрын

    Sawa jengeni lakini mwaka 2025 mutapuzika tu sisi tunataka Zanzibar huru

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    6 ай бұрын

    Subiri utasikia vipigo kama huko nyuma

  • @HamisMberwa

    @HamisMberwa

    6 ай бұрын

    Hahah

  • @muzneali4747
    @muzneali47476 ай бұрын

    @Allykhator kwani sasa uko mtumwa wa nani?? Au ndio nyie mnataka kufanya wenzenu watumwa?? Acha hizo chuki binafsi haitokufikisha popote

  • @alhudhaify7810
    @alhudhaify78106 ай бұрын

    Hakuna bandari hapo ni tuta tu km matuta mengine

  • @Allybinamour
    @Allybinamour6 ай бұрын

    nliposkia bandari inataka kutanuliwa nlizani itakua kama ile ya tanganyika,ilio na uwezo wakuchukua meli zinazobeba kontena 4000 tena meli zaid ya 5 kwa wakati mmoja.maskini zanzibar yetu inasikitisha wallah

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    6 ай бұрын

    Tushukuru angalau kuwekewa hilo paa maana ilikuwa shida ikinyesha mvua.

  • @saidsalum1419

    @saidsalum1419

    6 ай бұрын

    😅😅😅

Келесі