RAIS MWINYI AANZA KUIJENGA MPYA PEMBA KWA KASI
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Пікірлер: 61
Allah ajalie kher Insha Allah na amlinde rais wetu na maadui
@killingofficial5005
Жыл бұрын
Ameen
Leteni mwarabu atujengee pemba bandari kubwa bagamoyo watching watanganyika waendelee kupiga kelele
@jumaothman9449
Жыл бұрын
Umeongea tunamuhitaji mwarabu aje aijenge bandari yetu ya Pemba kama Tanganyika hawamtaki sisi tunamtaka
Kuna jengo la abiria mbona hawaruhusiwi kukaa wanaishia kubaki nje tu,je hiyo ni hakki?
Ndo gati Gani io kutia watu ujinga tu ,Gati umbali wake ni km unatoka chake mpk wete .
Ivi nyie hamuoni ata haya bandari gani iyo ya kujidai haifai ata kuegesha vidau
Nyinyi bhana sasa kuekwa hayo mabati juu ndio maendelea😅😅😅😅😅😂
@ahmedalbalooshi8518
8 ай бұрын
Kake bora hayo mabati kuliko makuti,angalau wanaojiweza kutembea hawatazongwa ni jua au mvua
Mungu akutangulie Rais mwiny baada y karume n ww t kwa zanbar
Mwenyezi Mungu atujaalie tuzidi kufanikiwa katika kheri.
Tengenezi barabara sahivi za mkowani ni mbovu sana ni mtihani ulize fumbi na mashimo mengi mkowani shida tupu😮
WAONGO WAKUBWA HAKUNA LOLOTE LA MAANA LABDA KULA PESA.HAKUNA KILICHOONGEZEKA KULETA MELI KUBWA ZA MAKONTENA
Munataja mambo mengiii lkn hatuoni kinachotendeka
Sio tu bandari barabara mbovu sana kutoka mkoani to chake tengezeni barabara ya kufika happo bandarini
We are not serious kuna bandari gani hapo kuweka hio Shade Yadi hata konteina moja hamna Barabara mbovu zote
Mbona sisi ni masikini wa kudanganyana kila siku waongo wakubwa sisi tulipo huku katika nchi za watu tunaumia sana tukiona uchafu kama huo tunatamani hukokwetu japo robo tufikie kama Hawa wezetu
@mudighurayra
Жыл бұрын
Wewe unachangia nini katika nchi yako or unaumia 2
@mbaroukally8655
Жыл бұрын
Hivi ww nikuulize upo sawasawa na watu wengine,mtu anafurahia alichonacho
@mbingwaali7791
11 ай бұрын
Hapo tumefanikiwa kuezeka baada ya miaka mingi na meli ya kontena haiwez kuja, kwani huko si mushapita siasa za kijinga
Kashapigwa Mtu hapo
Masha Allah miss you pemba
Teleteeni DPW Watujengee bandari ya kisasa mkataba miaka yote
Munatuchezea akili zetu,bandari gani hiyo!si ndio ile ile,munatufanya sisi watoto
@mbaroukally8655
Жыл бұрын
Lete hiyo ya kwenu
@saidkhamis9507
Жыл бұрын
@@mbaroukally8655 kwamba ndio hamuoni au munataka tunyamaze tusiongee?linapoamuliwa kufanywa jambo lifanywe kikweli sio leo umefanya na kesho munarejea pale pale kama uwezo haupo ni bora liachwe tusubiri mbeleni,ila inakera kwakweli
@nailamohd7693
Жыл бұрын
😅😅😅
@IbnuAlly-cg2gn
6 ай бұрын
Eti Pemba imefunguliwa kwa tuta lile
Mashallah pemba imependeza
@ahmedalbalooshi8518
8 ай бұрын
Ilitupwa na watawala waliotangulua etu sababu ni siasa.
Kumbe wameeka bati tuu juu sehemu ya kutembea kwa miguu
mashallah mitano tena mwinji
Utapeli tu Pemba hakuna mradi hata mmoja mkubwa
Mashallah!
Mi naona mijiwe tu hapo hem ipigeni plasta iyo mijiwe
Wanachekesha kweli nlijuwa bandari ya maana
@saidkhamis9507
Жыл бұрын
Umeonae!vichekesho kwakweli,ety unaweka godoro kwenye kitanda cha kamba na shuka lakufuma,khaa!umeona waapi?
@nailamohd7693
Жыл бұрын
Usanii mtupu 😅
Air port
Bandari gani hioo,,, nchi ishawashinda hii
Hakuna bandari hapo, nilidhani kuna bandari mpya kumbe ndio hio hio ah wp, ni usanii tu hapo. Bandari haina hata ramani, bandari gn inayojengwa kwa TSH 5B wakati bandari ya Tanga kukamilika kwake ni TSH 400B
@nailamohd-wn6sb
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@alhudhaify7810
Жыл бұрын
@@nailamohd-wn6sb kwn unadhani uongo, hakuna meli kubwa inayoweza kufunga gati pale. Bado usiasa umetawala ktk maendeleo bandari itakayojengwa mpigaduri , m/pwani zote ni kubwa zenye ramani kubwa na zenye bajeti kubwa. Et unaenda kujenga bandari kwa Bilioni tano khaaa!!! Bilioni 5 hio ni pesa ya kifusi tu et
@saidkhamis9507
Жыл бұрын
@@alhudhaify7810 tena bandari inajengwa kwa miezi tu imeisha!na nilijuwa zitakuja meli zaakontena ije ishushe,kumbe kontena zinatiwa kwenye Azam kama abiriaa!aaa!balahau hii too much,kweli mjenga nchi ni mwananchi na muuza nchi ni mwananchi,kiongozi nzima anasimama mbele ya hadhara anasifia!lla simlaumu saana ndio anatekeleza majukumu yake na kulinda ugali wake
@nailamohd7693
Жыл бұрын
Kwani maendeleo yanatangazwa ya naonekana tuu km yapo ila hapo hamna kitu usanii tuu ndio ulokuwepo ccm haiwezi kuleta maendeleo miaka 60 naa bado tuu unachekelea 🎤 maik 😅 ah
Hakun mel kubw hat moj itakay fung hap bandar ndog
Meli za tanga mbona sahivi hamna pemba.. tukitaka kwenda tanga mpaka tupite unguja dar si wengine hatuwezi kupanda mitumbi & mashua
Bandari za ukweli hazijengwi mwaka mmoja. Zanzibar yangu inaharibiwa
@abubakarishaka129
8 ай бұрын
😂😂😂
katombweni uko nyinyi mikundu wa kimakunduchi
Na Wete pia alone co mkoani tu peke yake
Hongera sana dr. Mwinyi
Congratulations to our president, in fact, I agree with you
Ndioo hongera nimependa nani kama mwinyi, meli kubwa zitakuja kuleta kontena kama Dar.
Hongera serekali ila ushauri wangu miradi munayo ifanya iwena manufaaa ya muda mrefu siyo baada tamiaka 5 ikawabaki kuwa nimiradi isiyo jitosheleza tena
Mwinyi anafanya haya kwa maslaha yake na sio ya wapemba... hata ashushe dhahabu Pemba basi hatumtaki.. kama kweli ana nia nzuri basi aturudishie nchi yetu.. ajiuzulu atuwachie wazanzibari tusiemchagua tumpe tunaemtaka ama si hivyo ni kubabaisha bwege na usanii tu. .... Hasbiyallah waneemal wakeel
@jumahaji3777
Жыл бұрын
Ww unawez kurudish nchi
@jumahaji3777
Жыл бұрын
Ww unawez kurudish nchi
@nailamohd7693
Жыл бұрын
Hamna bandari hapo 😮
Mwenpye macho ya kuona ndio ataopna😊
Wapemba sasa tupo furahan kias kikubwa san