RAIS MWINYI AANZA KUIJENGA MPYA PEMBA KWA KASI

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 61

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Жыл бұрын

    Allah ajalie kher Insha Allah na amlinde rais wetu na maadui

  • @killingofficial5005

    @killingofficial5005

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 Жыл бұрын

    Leteni mwarabu atujengee pemba bandari kubwa bagamoyo watching watanganyika waendelee kupiga kelele

  • @jumaothman9449

    @jumaothman9449

    Жыл бұрын

    Umeongea tunamuhitaji mwarabu aje aijenge bandari yetu ya Pemba kama Tanganyika hawamtaki sisi tunamtaka

  • @saidkhamis9507
    @saidkhamis9507 Жыл бұрын

    Kuna jengo la abiria mbona hawaruhusiwi kukaa wanaishia kubaki nje tu,je hiyo ni hakki?

  • @NoufalSalim-yb4ob
    @NoufalSalim-yb4ob10 ай бұрын

    Ndo gati Gani io kutia watu ujinga tu ,Gati umbali wake ni km unatoka chake mpk wete .

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 Жыл бұрын

    Ivi nyie hamuoni ata haya bandari gani iyo ya kujidai haifai ata kuegesha vidau

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah299010 ай бұрын

    Nyinyi bhana sasa kuekwa hayo mabati juu ndio maendelea😅😅😅😅😅😂

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    8 ай бұрын

    Kake bora hayo mabati kuliko makuti,angalau wanaojiweza kutembea hawatazongwa ni jua au mvua

  • @binmawanja1252
    @binmawanja125211 ай бұрын

    Mungu akutangulie Rais mwiny baada y karume n ww t kwa zanbar

  • @explorepembaisland
    @explorepembaisland Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu atujaalie tuzidi kufanikiwa katika kheri.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Жыл бұрын

    Tengenezi barabara sahivi za mkowani ni mbovu sana ni mtihani ulize fumbi na mashimo mengi mkowani shida tupu😮

  • @lusakaone7782
    @lusakaone778211 ай бұрын

    WAONGO WAKUBWA HAKUNA LOLOTE LA MAANA LABDA KULA PESA.HAKUNA KILICHOONGEZEKA KULETA MELI KUBWA ZA MAKONTENA

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 Жыл бұрын

    Munataja mambo mengiii lkn hatuoni kinachotendeka

  • @abdulazizimohd4230
    @abdulazizimohd423011 ай бұрын

    Sio tu bandari barabara mbovu sana kutoka mkoani to chake tengezeni barabara ya kufika happo bandarini

  • @dulaomar5537
    @dulaomar5537 Жыл бұрын

    We are not serious kuna bandari gani hapo kuweka hio Shade Yadi hata konteina moja hamna Barabara mbovu zote

  • @alitwaqwa739
    @alitwaqwa739 Жыл бұрын

    Mbona sisi ni masikini wa kudanganyana kila siku waongo wakubwa sisi tulipo huku katika nchi za watu tunaumia sana tukiona uchafu kama huo tunatamani hukokwetu japo robo tufikie kama Hawa wezetu

  • @mudighurayra

    @mudighurayra

    Жыл бұрын

    Wewe unachangia nini katika nchi yako or unaumia 2

  • @mbaroukally8655

    @mbaroukally8655

    Жыл бұрын

    Hivi ww nikuulize upo sawasawa na watu wengine,mtu anafurahia alichonacho

  • @mbingwaali7791

    @mbingwaali7791

    11 ай бұрын

    Hapo tumefanikiwa kuezeka baada ya miaka mingi na meli ya kontena haiwez kuja, kwani huko si mushapita siasa za kijinga

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis654411 ай бұрын

    Kashapigwa Mtu hapo

  • @arafamke
    @arafamke11 ай бұрын

    Masha Allah miss you pemba

  • @JumamjakaMjaka-yx5vw
    @JumamjakaMjaka-yx5vw11 ай бұрын

    Teleteeni DPW Watujengee bandari ya kisasa mkataba miaka yote

  • @saidkhamis9507
    @saidkhamis9507 Жыл бұрын

    Munatuchezea akili zetu,bandari gani hiyo!si ndio ile ile,munatufanya sisi watoto

  • @mbaroukally8655

    @mbaroukally8655

    Жыл бұрын

    Lete hiyo ya kwenu

  • @saidkhamis9507

    @saidkhamis9507

    Жыл бұрын

    @@mbaroukally8655 kwamba ndio hamuoni au munataka tunyamaze tusiongee?linapoamuliwa kufanywa jambo lifanywe kikweli sio leo umefanya na kesho munarejea pale pale kama uwezo haupo ni bora liachwe tusubiri mbeleni,ila inakera kwakweli

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    Жыл бұрын

    😅😅😅

  • @IbnuAlly-cg2gn

    @IbnuAlly-cg2gn

    6 ай бұрын

    Eti Pemba imefunguliwa kwa tuta lile

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Жыл бұрын

    Mashallah pemba imependeza

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    8 ай бұрын

    Ilitupwa na watawala waliotangulua etu sababu ni siasa.

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr Жыл бұрын

    Kumbe wameeka bati tuu juu sehemu ya kutembea kwa miguu

  • @bikeymmaka9152
    @bikeymmaka9152 Жыл бұрын

    mashallah mitano tena mwinji

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury29072 ай бұрын

    Utapeli tu Pemba hakuna mradi hata mmoja mkubwa

  • @explorepembaisland
    @explorepembaisland Жыл бұрын

    Mashallah!

  • @drabdi6806
    @drabdi680611 ай бұрын

    Mi naona mijiwe tu hapo hem ipigeni plasta iyo mijiwe

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr Жыл бұрын

    Wanachekesha kweli nlijuwa bandari ya maana

  • @saidkhamis9507

    @saidkhamis9507

    Жыл бұрын

    Umeonae!vichekesho kwakweli,ety unaweka godoro kwenye kitanda cha kamba na shuka lakufuma,khaa!umeona waapi?

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    Жыл бұрын

    Usanii mtupu 😅

  • @user-vm1pu5qh5x
    @user-vm1pu5qh5x Жыл бұрын

    Air port

  • @salmahilal3577
    @salmahilal357711 ай бұрын

    Bandari gani hioo,,, nchi ishawashinda hii

  • @alhudhaify7810
    @alhudhaify7810 Жыл бұрын

    Hakuna bandari hapo, nilidhani kuna bandari mpya kumbe ndio hio hio ah wp, ni usanii tu hapo. Bandari haina hata ramani, bandari gn inayojengwa kwa TSH 5B wakati bandari ya Tanga kukamilika kwake ni TSH 400B

  • @nailamohd-wn6sb

    @nailamohd-wn6sb

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @alhudhaify7810

    @alhudhaify7810

    Жыл бұрын

    @@nailamohd-wn6sb kwn unadhani uongo, hakuna meli kubwa inayoweza kufunga gati pale. Bado usiasa umetawala ktk maendeleo bandari itakayojengwa mpigaduri , m/pwani zote ni kubwa zenye ramani kubwa na zenye bajeti kubwa. Et unaenda kujenga bandari kwa Bilioni tano khaaa!!! Bilioni 5 hio ni pesa ya kifusi tu et

  • @saidkhamis9507

    @saidkhamis9507

    Жыл бұрын

    @@alhudhaify7810 tena bandari inajengwa kwa miezi tu imeisha!na nilijuwa zitakuja meli zaakontena ije ishushe,kumbe kontena zinatiwa kwenye Azam kama abiriaa!aaa!balahau hii too much,kweli mjenga nchi ni mwananchi na muuza nchi ni mwananchi,kiongozi nzima anasimama mbele ya hadhara anasifia!lla simlaumu saana ndio anatekeleza majukumu yake na kulinda ugali wake

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    Жыл бұрын

    Kwani maendeleo yanatangazwa ya naonekana tuu km yapo ila hapo hamna kitu usanii tuu ndio ulokuwepo ccm haiwezi kuleta maendeleo miaka 60 naa bado tuu unachekelea 🎤 maik 😅 ah

  • @user-vh6hh6ul2h
    @user-vh6hh6ul2h10 ай бұрын

    Hakun mel kubw hat moj itakay fung hap bandar ndog

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Жыл бұрын

    Meli za tanga mbona sahivi hamna pemba.. tukitaka kwenda tanga mpaka tupite unguja dar si wengine hatuwezi kupanda mitumbi & mashua

  • @aboudinternational1819
    @aboudinternational1819 Жыл бұрын

    Bandari za ukweli hazijengwi mwaka mmoja. Zanzibar yangu inaharibiwa

  • @abubakarishaka129

    @abubakarishaka129

    8 ай бұрын

    😂😂😂

  • @brytonmnyama6562
    @brytonmnyama656210 ай бұрын

    katombweni uko nyinyi mikundu wa kimakunduchi

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t Жыл бұрын

    Na Wete pia alone co mkoani tu peke yake

  • @salummohd4971
    @salummohd497111 ай бұрын

    Hongera sana dr. Mwinyi

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah689311 ай бұрын

    Congratulations to our president, in fact, I agree with you

  • @mbingwaali7791
    @mbingwaali779111 ай бұрын

    Ndioo hongera nimependa nani kama mwinyi, meli kubwa zitakuja kuleta kontena kama Dar.

  • @jumahamad117
    @jumahamad117 Жыл бұрын

    Hongera serekali ila ushauri wangu miradi munayo ifanya iwena manufaaa ya muda mrefu siyo baada tamiaka 5 ikawabaki kuwa nimiradi isiyo jitosheleza tena

  • @salyali7807
    @salyali7807 Жыл бұрын

    Mwinyi anafanya haya kwa maslaha yake na sio ya wapemba... hata ashushe dhahabu Pemba basi hatumtaki.. kama kweli ana nia nzuri basi aturudishie nchi yetu.. ajiuzulu atuwachie wazanzibari tusiemchagua tumpe tunaemtaka ama si hivyo ni kubabaisha bwege na usanii tu. .... Hasbiyallah waneemal wakeel

  • @jumahaji3777

    @jumahaji3777

    Жыл бұрын

    Ww unawez kurudish nchi

  • @jumahaji3777

    @jumahaji3777

    Жыл бұрын

    Ww unawez kurudish nchi

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    Жыл бұрын

    Hamna bandari hapo 😮

  • @salummohd4971
    @salummohd497111 ай бұрын

    Mwenpye macho ya kuona ndio ataopna😊

  • @hamidakhatib9777
    @hamidakhatib9777 Жыл бұрын

    Wapemba sasa tupo furahan kias kikubwa san