GEOR-DAVIE AWATUKANA MANABII VIJANA. AWAITA WAJINGA NA UJINGA UJINGA

Ойын-сауық

Пікірлер: 32

  • @annaezra2344
    @annaezra23446 күн бұрын

    Imemuuma geor devie maan mungu kawainua watumishi wake kazi yake kugawa hela

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op6 күн бұрын

    Wewe uko vizuri sana na unaeleweka, sahihisha upotofu wa tafsiri ya neno la Mungu! Kakitu kadogo ndio vya Mungu! Hauko kimaokoto!

  • @PeacePallanje
    @PeacePallanje2 күн бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu. Hizo points za injili ulizozimwaga hapo ni msingi wa Imani. Songa mbele na BWANA AKUHIFADHI NA KUKUINUA SANA.

  • @lucaskiswizah7097
    @lucaskiswizah70974 күн бұрын

    Mungu akibariki Sana na ainue utumishi wako. Umejibu vizuri Sana,kwa Neno,kwa mifano thabiti. G.Devy,Ngurumo ya upako,anajisahau alikotoka,anaiacha kweli ya Maandiko

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu49056 күн бұрын

    Geor devi sio Mtumishi WA Mungu

  • @sarahshayo-wo4hg
    @sarahshayo-wo4hg6 күн бұрын

    Uko vizuri saana nakufuatilia Mtumishi WA MUNGU songa mbele usikatishwe na maneno ya watu mti wenye matunda lazima urushiwe mawe

  • @lucaskiswizah7097
    @lucaskiswizah70974 күн бұрын

    Dharau,siyo tabia ya Mungu. Kudharau kinyonge,ni hatari. Mungu amejionyesha kwetu akiwatumia vijana,akiwaita vijana. >Yeremia >Daud >Samwel >

  • @annaezra2344
    @annaezra23446 күн бұрын

    Jamani Hawa mabinti kwanza wamevaaje duuh, roho ya yezebeli kwanza huyo geor devie, hajawahi kukemea dhambi nasikia hasira nikimsikia Hana mungu anajua anayemtimikia

  • @matiredms917
    @matiredms9176 күн бұрын

    Mwalimu Jacob isiogope mapepo ya Geodaev. Nabii Yeremiah anatuambia kwenye Sura ya17:9-11 ambapo neno linasema:"Amelaaniwa anayemtegemea Mwanadamu.....na Amebarikiwa anayemtegemea Mungu". Wewe unasema kweli na kweli itaweka huru mtumishi. Usiowaogope hao.

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi32876 күн бұрын

    Mbona wao wakitowa nabii wanawapa mbele za watu wa nakwambia ww uwafuate wivu tu hivyo vita Sasa mtumishi ww ongea tu kule kitu Mungu anakuonyesha

  • @odiliaamnaay4429
    @odiliaamnaay44295 күн бұрын

    Huyu baba anafikiri yeye ni Mungu anagawa yeye. Bwana amewaweka Manabii wake kwa kusudi lake. Unabii wake ni wa kishetani. Mpumbavu Mkuu.

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa69046 күн бұрын

    Duuuuh! Aiseee.

  • @lucaskiswizah7097
    @lucaskiswizah70974 күн бұрын

    Dharau,siyo tabia ya Mungu. Kudharau kinyonge,ni hatari. Mungu amejionyesha kwetu akiwatumia vijana,akiwaita vijana. >Yeremia >Daud >Samwel >Bonnke >Yusufu

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i3 күн бұрын

    Acha uwongo kwani ugomvi wowote ukitokea mbele kuna suruhisho acha kudanganya watu hubirini ufalme wa Mungu sio siasa

  • @user-yd4et4sd9b
    @user-yd4et4sd9b6 күн бұрын

    Kweli, watu wamepotea, MUNGU tusaidie.

  • @HAAM670
    @HAAM6706 күн бұрын

    Mtumishi hauko peke yako unayetabiri/uliyetabiri mambo ya nchi. Kuna Manabii Wengine wengi wanatabiri the same message. Akina Nabii Edmound Mystic, Samwel Rolinga, Deo Njeni, Prophet Sanga, na wengine wengi tu. Sasa hili la kumkufuru Roho Mt kwa huyu Baba yetu nadhani ameghafilika tu, inatakiwa kumwombea amalize mraba wake salama. Mungu aturehemu. Muhimu pia kuzingatia, kila Nabii ana zama zake. Huwezi kuwa Nabii Mkuu zama zote, Kulikuwa na zama za Nabii Eliya, Elisha, Samweli, n.k, n.k

  • @odiliaamnaay4429
    @odiliaamnaay44295 күн бұрын

    Wakenya bado wako mtaani yeye anasema amani. Unabii wake umefubaa. Mbona hakuwatabiria kabla ya hizo ghasia za Kenya.

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo71006 күн бұрын

    Jamani ivi hao mabinti uvaaji Gani huo nawekaa wamepachika miguu pamoja miguu haijafunikwa halafu wapombele ya huyo manaesema nabii mkuu mbona sisawa jambo kama hili kuonekana kanisani ,Yani mi sielewi hili nikanisa au

  • @beatricemortensen8533
    @beatricemortensen85336 күн бұрын

    Mtumishi Jacob usiogope, yaelekea huyu Jodev hata Biblia sijui.

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-966 күн бұрын

    nabiii piga kazi achana na kina geo hawo kila mtu ameitwa kivyake kwaiyo kila mtu na wito wake 😂😂😂

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71495 күн бұрын

    Mtumishi Jackob usimjibu anayekudhihaki kama vile yeye hakuanzia kwa Kristo! bali soma maandiko asikie,kisha achana naye songa mbele kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazarethi aliyekutuma, toa maono wasikie wasisikie ni juu yao...

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71495 күн бұрын

    Manabii wengine wengi waliotoa unabii nyakati hizi na yakatokea, walikua wanakwenda Ikulu za hao wasioamini? Ona Mungu alivyo na uwezo mkubwa anavyowafunua manabii waongo! Ole!

  • @annamfinanga3944
    @annamfinanga39446 күн бұрын

    Nyumba moja yanini kugombea fito!!!

  • @hopeeli9641
    @hopeeli96416 күн бұрын

    Acha kikombe chake kifurike vizuri ili aazibiwe vizuri.

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k3 күн бұрын

    Tatizo siyo unabii hapana ni discipline kwa sasa kila kijana anajiita nabii na kutoa toa unabii usio na maana siku moja nilikuwa namwona kijana mmoja anatoa unabii kwamba dar itazama adi mvua imekatika dar haijazama na aliwatangazia watu kuhama na wengine wakahama

  • @lucaskiswizah7097
    @lucaskiswizah70974 күн бұрын

    Upo wakati Nabii Mkuu,aliiponda Biblia hii anayoitumia kwamba ilishachakachuliwa. Huenda kwa sasa ana misingi mingine ya utumishi wake

  • @hopeeli9641
    @hopeeli96416 күн бұрын

    Kwani Samuel alijaa mkononi? Je Nabii Yeremia amejaa mkononi? Anajitoa tu ufahamu. Kuna mambo Mungu Anawaficha wenye hekima na kuwafunulia watoto wadogo Mathayo 11:25. Manabii wazee Wanatakiwa wajifunze kwa kuhani Eli na Samuel, waache kujimwambafai.

  • @kigongomasalu7402
    @kigongomasalu74026 күн бұрын

    Mwl Jacob chapa mwendo achana na watoto wa baba Yao Lucifer

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi32876 күн бұрын

    Wamezowa kuwaambia watu wachawi mbele za watu mbona hawawafuati pembeni 😂

Келесі