#Q

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!

Пікірлер: 405

  • @gebramoturi9023
    @gebramoturi90233 жыл бұрын

    Hawa matapeli tu, mmeshindwa kujibu swali, kazi kucheka tu.

  • @godymussa1919

    @godymussa1919

    2 жыл бұрын

    Kiukwel wameshindwa kujib me naon usaniii mwingi

  • @florianakhweso5749

    @florianakhweso5749

    2 жыл бұрын

    @@godymussa1919 we kama UNATAKA KUELEWA ungesikiliza had mwisho.hapa sio INJILI ya MWENDOKASI hapa NI CHUO KIKUU CHA MANABII SAWAAAA?????USIMPANGIE MWALIMU/MKUFUNZI NAMNA YA KUFUNDISHA

  • @dicksonsakala326
    @dicksonsakala3262 жыл бұрын

    Kwanza uyoo dada apo mwneyew sijapenda alivyovaa... yupo uchii

  • @stevenkushoka8753

    @stevenkushoka8753

    Жыл бұрын

    Nmepata hasira kweli sema basi tu

  • @severinifulgensi2686
    @severinifulgensi26864 жыл бұрын

    Mbona bibilia inasema kabisa mwanaume asivae mavaz yampasayo mwanamke,kadhalika mwanamke asivae mavaz yampasayo mwanaume

  • @solomonrwabose7600

    @solomonrwabose7600

    3 жыл бұрын

    Basi wewe umesoma nakuele. Achana na uchawi wa hawa. Neno la Mungu halitabadilika milele. Usiwaweke ndugu zako majaribuni nawe hutajaribiwa

  • @robertlyimo4144

    @robertlyimo4144

    3 жыл бұрын

    Suruali za kike haziwezi kuvaliwa na wanaume

  • @ngwanafabian9668

    @ngwanafabian9668

    3 жыл бұрын

    @@robertlyimo4144 suruali ni suruali ya kike ni wewe umeipatia jina. Iko njia iliyosawa machoni pa mtu lakini mwishowe ni mauti.

  • @amulimugisho925

    @amulimugisho925

    3 жыл бұрын

    Kipindi cha zamani walikuwa na vaa kanzu nipe utafauti wa kanzu ya kike na kiume

  • @aaronmabondo6263

    @aaronmabondo6263

    2 жыл бұрын

    Biblia haijataja nguo za kike ni aina gani, kwahiyo wanaovaa kanzu wanavaa gauni au...... tafsiri ya mavazi ni yawanajamii , ndiyo maana askari wa zamani walikuwa wanavaa sketi na watu walikuwa wanaona sawa

  • @severinifulgensi2686
    @severinifulgensi26864 жыл бұрын

    Usiseme marekani nabii tuambie bibilia inasemaji kuhusu mavazi

  • @simonkaranjamuguro6128

    @simonkaranjamuguro6128

    3 жыл бұрын

    Mchungaji unahepa swali jibu kwa andiko...lasema nini??wanathiolojia hawa.kumbukumbu la torati 22:5

  • @williamnamende1023

    @williamnamende1023

    2 жыл бұрын

    Nikweli MUNGU atusaidie tunapotea

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    Hapa pazuri Sana masuluali wanawake ya NN mbona wanaume hawavai siketi Kama bibilia ilivyokataza

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    Mmmmh KWENDA mbinguni Ni kwa mtu mmoja inabidi tujikane na kusoma bibilia nguo za mwanamuke zipo za wanaume zipo SULUALI za NN wanawake walokole mwahunili NN wapagani wanatushangaa na mavaxi ya kishetani na MATENDO yetu mabaya

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Жыл бұрын

    Na hapo ndipo wanapofeli wachungaji wengi hawaendani na mafunzo ya Biblia bali wanaend na matakwa yao binafsi

  • @claraelengabulunda6750
    @claraelengabulunda6750 Жыл бұрын

    Mungu akusamehe sana ila Yesu anakuja wewe endeleya kudanganya hao ambao awajuwi biblia

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    Mmmmh na jehanamu panatisha

  • @sikuzanlyanda692
    @sikuzanlyanda6924 жыл бұрын

    Nakuonya geordavie tubu madhambi yako umewakosesha watu wa Mungu kwa miaka mingi ukijifanya ni mtu wa Mungu huku ukifanya yampendezayo shetani.

  • @priscajoseph228

    @priscajoseph228

    4 жыл бұрын

    We nani wa kuonyaa!!!

  • @viniaskadunda5768

    @viniaskadunda5768

    4 жыл бұрын

    Kazi ya kuonya ni ya Mungu pekee ndie atujuae sisi wanadamu

  • @faustafabian3442

    @faustafabian3442

    2 жыл бұрын

    Unaweza kutuhakikishia kwa ushahidi wa uwazi

  • @mwalimukingunge8512
    @mwalimukingunge85124 жыл бұрын

    Acha maswala ya nyakati,, bibilia inasema nini? Mwenyezi Mungu hana umarekani wala uswahili ama uarabu,,,

  • @janenkhwazi2457

    @janenkhwazi2457

    3 жыл бұрын

    Hujamsikiliza vizuri pastor anachomanisha

  • @godymussa1919

    @godymussa1919

    2 жыл бұрын

    Kiukweli hat mimi sijaelewa haya majib sasa kama hakuna kanuni nini maana ya kuabudu

  • @alexismona8242

    @alexismona8242

    2 жыл бұрын

    Warabu ndo usiseme labuda we huwajui unawasikia kira dini Ina ishu yake

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    2 жыл бұрын

    Dini haina modern life, bibila kama quran ibakie vile vile, kama kuna neno kwenye bibilia inaongelea mavazi ya wanadamu wachamungu atoe hilo andiko sio kurukaruka,

  • @avitalpha2415

    @avitalpha2415

    2 жыл бұрын

    Mkiacha ushamba mtaelewa! Kwa mfano umeenda kwenye nchi barafu imeenea kila kona utavaa sketi? So ukivaa suruali ndo umemuacha Mungu? Au wa hadzabe wenye kuvaa vingozi tu hapo kati hawaokoki? The mind motives matters! Nakubali kama unaona unakwaza wengine Biblia inasema usifanye! Na kama wengine wanafanya/ wanavaa utaponaje? Biblia inasema akwazaye na akwazikaye ni sawa so the issue ni wewe kuwa salama regardless mazingira! Hicho ndo anachokimaanisha Mtumishi!

  • @andreaotaigo40
    @andreaotaigo403 жыл бұрын

    Kumbukumbu la Torati 22:5 - Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako.

  • @barakamanase2853

    @barakamanase2853

    3 жыл бұрын

    Naam na 1 petro3:3 inaonesha

  • @feristagaspa2692

    @feristagaspa2692

    Жыл бұрын

    Ukumbuke kuna suruali za kike na zakiume

  • @andreaotaigo40

    @andreaotaigo40

    Жыл бұрын

    Wajidandanya ndugu yangu na kama wataka kupingana na mandiko pinga maake maskio unayo yamkini huskii na macho unayo yamkini uone na akili unayo ila hutambui ila takachokuambia nikwamba anayo heri yule alisikiae neno na kulitii

  • @lucywilson5875

    @lucywilson5875

    Жыл бұрын

    @@feristagaspa2692 shetani ametwist kupotosha watu, hakunaga suruali ya mwanamke. ni katika kupotosha watu.

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    Yes haya NDO tuambizane shetani kakaa kanisani katawala SS tunashangilia na bila kujua KUWA anatupeleka jehanamu mmmh na MUNGU ATUSAIDIE MAANA jehanamu ipo

  • @mwaminimahoro2307
    @mwaminimahoro23072 жыл бұрын

    Baba ambaye unajiita nabii mku Mungu akusamehe sana. lakini ujuwe kama siku zina kujia ambazo utatowa hesabu yaaya maneno ambayo uko na zungumza hapa kwenye mtandao.mtumishi wa Mungu niwa kuongoza watu kwenye njia iliyo bora.tubu baba nauombe msamaa tena hapa hapa kwenye mtandao uambiye watu yakwamba nime jibu kwa kujipendekeza sikujibu kama mtumishi wa Mungu na Mungu atakusamehe.nauombe Mungu akupe roho mtakatifu awe kiongozi wako uachane na hayo ambayo umo ndani asante na Mungu akubariki kuyasikiya haya.yesu anakuja.

  • @godfreylyimo4177

    @godfreylyimo4177

    2 жыл бұрын

    Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako. Kum 22:5 SUV

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    Ukweli mbinguni Ni mbali Sana Ila neno la MUNGU HALINA UKISASA na KUVAA suluali KWA wanawake Ni dhambI na hata kusuka nywele Ni dhambI na KUJICHUBUA Ni dhambI na MAWIGI Ni dhambi

  • @claraelengabulunda6750

    @claraelengabulunda6750

    Жыл бұрын

    Amen

  • @daudiskorei5987

    @daudiskorei5987

    Жыл бұрын

    Wewe ndo utubu usiyejua chochote kabisa huyo amekuzidi pa kubwa Sana anajielewa kwahyo km hujapenda majibu yake nenda na Imani yako

  • @christinephilip5043

    @christinephilip5043

    Жыл бұрын

    ​@@daudiskorei5987 Hukum inakuja ndugu

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 Жыл бұрын

    Ndugu yangu utatoa hesabu.Msiwe waalimu wengi.Ole wake awakoseshae wadogo hawa.

  • @geoffreymtenzi395
    @geoffreymtenzi3954 жыл бұрын

    Anachosema Nabii ni sawa imani yako ndio inayoweza kukingana na habari yoyote hata iwe vipi kwa yule anayeamini lkn naye asiwe kwazo..ila ukweli ni kama ifuatavyo kama wewe ni kweli upo katika imani kama hiyohiyo ambaye unamtumikia Mungu hutakiwi kuwa mtu wa kukwaza ..utabadilika baada ya kuwa katika kundi hilo lkn imani ya mtu ndio njia ya kushinda yoote hivyo yampasa mtu mwenye imani kuishi katika kweli yote maana imani huangalia katika yote hivyo huweza kutambua hili ni kwazo kwa wale ambao sio thabiti katika imani hivyo tuna ambiwa ole wao wenye mambo ya kukwaza ni hivyo kwa uelewa wangu

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 Жыл бұрын

    Amen I connect

  • @ixmaillypeter5109
    @ixmaillypeter51093 жыл бұрын

    Apo mchumgaji akuna mnapotezwa tu jibu swali sio kucheka cheka inamaana si swali la muhimu sasa

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 Жыл бұрын

    Amen amen I received

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas67604 жыл бұрын

    Hallelujah amen

  • @violethsaro8097
    @violethsaro8097 Жыл бұрын

    Hongereni kwa kazi nzuri,Nabarikiwa sana

  • @maryjoviny6991
    @maryjoviny69912 жыл бұрын

    Olee wenu mnaopunguza neno la Mungu ,nakuoiongeza suruhali mliookoka msivae

  • @abduomar8438

    @abduomar8438

    Жыл бұрын

    Hahaha 🤣🤣 mutajijuwa

  • @rosechesko975
    @rosechesko9754 жыл бұрын

    Wanawake tuone aibu hata ww mma hapo hilo vazi halipendezi tena upo mbele ya wanaume

  • @otianajonifas8630

    @otianajonifas8630

    3 жыл бұрын

    Nikweli kabisa hata wewe mwenyewe hilo vazi halimpi MUNGU utukufu mfano unao

  • @williamnamende1023

    @williamnamende1023

    2 жыл бұрын

    Kweli hiyo gauni haifai

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    Tena hatuwezi toboa KWA KUVAA OVYO Kama makahaba alafu tuseme MUNGU ANAANGALIA MOYO mmmh

  • @abduomar8438

    @abduomar8438

    Жыл бұрын

    @@geitandelwa299 hahaha 🤣🤣 wanaume wamevaa yeye mwanamke yuko uchi wanawake mutaingia motoni wengi sana

  • @user-gc5ip7mu9k
    @user-gc5ip7mu9k10 ай бұрын

    Mavazi siyo Imani angalia matendo unaweza ukavaa gauni lefu au vitenge Imani hakuna tupunguze kuchunguzana na majungu iyo nitamaa tutafute Imani Kwanza jaman

  • @sigansaidack141
    @sigansaidack1413 жыл бұрын

    Mungu katika kila kizazi anamtuma nabii wake mmoja lakini sio manabii wengi ambao wanagusia mafanikio ya mwili lakini sio ya rohoni ,je nabii wa kweli aweza kugusia tu mafanikio ya mwili

  • @sigansaidack141

    @sigansaidack141

    3 жыл бұрын

    Mungu anasema kuwa wak:12.msienende namna ya ulimwengu

  • @jimmyalfa1694
    @jimmyalfa1694 Жыл бұрын

    What a jok..achana na kazi ya Mungu hujitambui..nawaonea huruma wasio soma Bible

  • @viniaskadunda5768
    @viniaskadunda57684 жыл бұрын

    Mambo yote yatapita lakini neno litabakia kuwa jipya kila siku. Sasaivi tunavunja maagizo ya Mungu yatupasa kutubu sana

  • @jonathansaidi2474

    @jonathansaidi2474

    4 жыл бұрын

    Neno ni nini kwa welewa wako?

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    Na ndio MAANA mambo ya dunia yametulemea Ni vilio TU Ila shida dhambI na KIBURI vimezidi tunajifanya tumejiumba

  • @magnifiquentkrtmna320
    @magnifiquentkrtmna3204 жыл бұрын

    Kwakweri baba unafanya kazi nzuri... Ila sijasikia unaongerea mavazi... . Apana kusema nyakati zimebadirika. Yesu hajabadirika . Wafundishe wamini wako wabadirik

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    Yes KUVAA nguo fupi za kubana MAWIGI KUJICHUBUA Ni dhambi

  • @joycebebard2079
    @joycebebard20793 жыл бұрын

    Ujibu swali mwanake apaswii kuvaa mavazi yampasayo mwanaume

  • @mwesi527
    @mwesi527 Жыл бұрын

    Yani we ni kuni flan hiv amazing huko kuzimu ah sir Geo d

  • @maryjoviny6991
    @maryjoviny69912 жыл бұрын

    Mavazi nisababu ya kuangusha watu,na ureta ushawishi kutamanisha wanaume nakuwaangusha

  • @geraldleger5793
    @geraldleger579311 ай бұрын

    Mungu awasamehe. Ila kipofu akiongoza kipofu wore Ni shimoni TU .

  • @noahmadali3877
    @noahmadali38774 жыл бұрын

    vicheko vmezid vinaharibu mada

  • @messagevoicemusic5034
    @messagevoicemusic50342 жыл бұрын

    Jibu swali achana na muzunguko

  • @ericasinga3367
    @ericasinga33674 жыл бұрын

    Roho mtakatifu ndiye kiongozi wetu na hao wanaoongozwa naye ndio wana wa Mungu

  • @felixmwakio7282

    @felixmwakio7282

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @cliffdenis144
    @cliffdenis1444 жыл бұрын

    Jibu vimavazi vunavyovaliwa in dhambi MTU yoyote mwenye roho wa mungu ndani anamjulisha tu.....tatizo watumishi mnatafutia tumbo

  • @priscajoseph228

    @priscajoseph228

    4 жыл бұрын

    Unataka ataftie nini.. Mtumishi wa Mungu anakula madhabauni pake...muombe Mungu akutoe ignorance and give you wisdom

  • @cliffdenis144

    @cliffdenis144

    4 жыл бұрын

    @@priscajoseph228 kula hanyimwi ila kwa hekima na kiasi na point ni kuwa usipindishe maandiko kuogoa waumini watachukia wahame kwa kuhofia shekel itapungua sema ukwel anakubal akubali anaekata akatae aende msalaba wa kristo auombi au kubebembeleza unaamuru kila MTU anaeumini aishi maisha safi ....

  • @tausipaschel155
    @tausipaschel155 Жыл бұрын

    Wala msiifuatishe namna ya dunia hii walokole kaeni macho na watumishi Kama hawa.

  • @yusterjohn4038

    @yusterjohn4038

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa Tausi hujakosea kabisa

  • @Chalresi-zg9iq

    @Chalresi-zg9iq

    9 ай бұрын

    Uko sahihi sana,uyu mchungaji mungu amsameee sana,anajizima dataaaa

  • @aroundtheworld4173
    @aroundtheworld41733 жыл бұрын

    Ulaya na marekani ysko makanisa mengi wanawake wanavaa magauni marefu na kufunika vichwa vyao, danganyeni wasiogika huko, uzao wa nyoka?

  • @zakarianyakunga9207
    @zakarianyakunga9207 Жыл бұрын

    Hayo siyo Majibu unazunguka mbuyu watu wanauliza kuvaa kimalaya kikahaba je hawakinzani na BIBLE HATUISHI KUTOKANA NA ULIMWENGU UNAENDAJE TUNAISHI KUTOKANA NA NENO LA MUNGU LINASEMAJE HIVI KUMBE KATIKA WANA WA MUNGU KUNA WANAO TUMIWA NA MUNGU KUWAJALIBU WENGINE MAANA BIBLIA INASEMA SHETANI NDO MTEGA MITEGO WANAFANYA KAZI YA SHETANI.

  • @Veni584
    @Veni5842 жыл бұрын

    Ni kweli zamani tulikaa tofauti wanawake na wanaume

  • @jacksonkipuyo441
    @jacksonkipuyo4413 жыл бұрын

    Wewe ndugu yangu umesidi unacheka nini tumia busara umesidi mnaendelea kutuchanganya

  • @otianajonifas8630

    @otianajonifas8630

    3 жыл бұрын

    Mtumishi anacheka hatariii

  • @leckshajoseph2356
    @leckshajoseph23563 жыл бұрын

    Nakumbuka mama angu aliwahi nisomea kipengere kwenye biblia kinasema naalaaniwe avae mavazi ya kiume

  • @adeltusbashara9720
    @adeltusbashara97204 жыл бұрын

    Mtu yeyote aliyeokolewa ni kuhani! Kuhani alivaa nguo ndefu basi! Na mtu akijiona ni nabii au mtu wa rojoni ayatambue haya kuwa ni maagizo ya Bwana.

  • @mugalishyaalexandre8547

    @mugalishyaalexandre8547

    4 жыл бұрын

    Hi ndiyo jibu .Basi

  • @mugalishyaalexandre8547

    @mugalishyaalexandre8547

    4 жыл бұрын

    But this Man has great insight.

  • @aroundtheworld4173

    @aroundtheworld4173

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @suleimanali8317
    @suleimanali83174 жыл бұрын

    huwezi kujibu hilo swali ndani ya Biblia Yesu hakuingia kanisani,endelea kujichekesha

  • @roseboaz1819

    @roseboaz1819

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethbryton7088

    @elizabethbryton7088

    3 жыл бұрын

    Dunia imeisha watu wanapotoshwa jaman mrudien mungu

  • @salomengas9113
    @salomengas91134 жыл бұрын

    Ukiwa na roho wa Mungu ndsni yako utavas kiheshima,,wanaovaa vibaya kwa kanisa yafas tuwaombee sana wapate mwangaza wa Mungu mwenyewe aeambadilise, we need to dress decently .

  • @obedcosmas1649

    @obedcosmas1649

    4 жыл бұрын

    hivyo imetosha tuwaombee sio kuangalia wanafanya nini

  • @stevenkushoka8753

    @stevenkushoka8753

    Жыл бұрын

    Yani uvae mavazi ya kikahaba halafu useme Mungu anampima mtu kama anamuabudu kweli si ushetani huo kama vyuoni hawaruhusu iweje kwenye nyumba za ibada

  • @jusitinekyando4804
    @jusitinekyando48044 жыл бұрын

    Kwer neno la 2timotheo3:5-7

  • @yoabumahengeofficial9937
    @yoabumahengeofficial99373 жыл бұрын

    Acha kudanganya watu wa MUNGU

  • @clasclass

    @clasclass

    Жыл бұрын

    Alafu anacheka, shame kn him

  • @esterlwanda9824
    @esterlwanda98242 жыл бұрын

    unawapeleka wengi Sana Sana jehanamu wewe nabii

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    HUU ndo ukweli Ila MUNGU yipo na atusaidie SS wanadamu KIMUTAFUTA MUNGU was mbingu na NCHI

  • @mwalimukingunge8512
    @mwalimukingunge85124 жыл бұрын

    Musipoangalia kanisa litakuwa eneo la kuandaa wapagani wa kwenda motoni

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    3 жыл бұрын

    we surely need to be careful. seriously

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Жыл бұрын

    Sio kila chakula kijengacho mwili. vingine vina shibisha ila avijengi,hukweli ni kwamba atuwezi kuingia nyumbani mwa Mungu kama tunaingia disco,

  • @clasclass
    @clasclass Жыл бұрын

    Oh my God, why is this man leading people to hell,lets follow pastor cassian paschal and meshack of ukweli ministries, be blessed

  • @princes6045
    @princes60452 жыл бұрын

    Yesu karibu mioyoni mwetu

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын

    Mmmmm!!

  • @evelynekomba7216
    @evelynekomba7216 Жыл бұрын

    Mambo yote yatapita, lkn neno litasimama.

  • @momfive8847
    @momfive88474 жыл бұрын

    I blessed with your topic.thank you Daddy.

  • @jacksonkipuyo441
    @jacksonkipuyo4413 жыл бұрын

    Na bii Hao wapampe wako wanasheka Sana kiazi kwamba tu nashindwa kuelewa je maswali yetu ni ujinga wawe na busara

  • @delishaluhyaqueen6950
    @delishaluhyaqueen69502 жыл бұрын

    I am blessed with your word father Thank you

  • @williamnamende1023

    @williamnamende1023

    Жыл бұрын

    Don't trust everybody ,each teaching

  • @donudonu2.r

    @donudonu2.r

    27 күн бұрын

    Najua wewe ni mfuasi wake.

  • @focusernest5610
    @focusernest56107 ай бұрын

    The great satun in the world

  • @user-bs6mq3my2s
    @user-bs6mq3my2s Жыл бұрын

    Lord is my first

  • @maryannewakesho1686
    @maryannewakesho16863 жыл бұрын

    Mwanamke kujistiri

  • @user-kn7rv5il4n
    @user-kn7rv5il4n11 ай бұрын

    Mtu aongozwaye na roho atayatimiza yale yampendezayo MUNGU na pia atayanena sawa sawa na neno la MUNGU

  • @abelmbilinyi1262
    @abelmbilinyi1262 Жыл бұрын

    alafu naona ungejibu kupitia maandiko na sio story , coz biblia haipitwi na wakati hata siku moja

  • @zainayolamu6486
    @zainayolamu64862 жыл бұрын

    Kweli kabisa hayo mambo hata kazini yapo ukipoteza imani tu unaacha kazi mwenyewe

  • @abduomar8438

    @abduomar8438

    Жыл бұрын

    Mmh unaacha kazi

  • @simontv8124
    @simontv8124 Жыл бұрын

    Nyie wadanganyeni tu wale ambao ukweli wa Mungu hawaijui...

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 Жыл бұрын

    Vip kuhusu andiko hili Kumb 22:5. Nielekeze hapa

  • @makwayapasian4296
    @makwayapasian42964 жыл бұрын

    Huwa nakuuelewa sana Dr ,kwa waliokimbia umande hawawezi kukuelewa

  • @mariamukija3594

    @mariamukija3594

    3 жыл бұрын

    Kuwamakini wewe Mungu hajipingi nanenolake,

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Жыл бұрын

    Mungu.habadiliki.wanawake.wanaovaa masuruali kanisani.bado.elimu kama ana hofu.ya Mungu hawezi kuvaa suluali tufuate ya Mungu sio.ya dunia siku za.mwisho ni hatari unaambiwa.wengi watajifanya watauwa lakini.nguvu ya Mungu wataikataa Mungu atutakase tuendelee kufundisha watu ibilisi.amepofusha fikira zao wasifikiri

  • @jullietkambura8249
    @jullietkambura82494 жыл бұрын

    Siku hisi wedazimu walevi na watu wa pangi na malaya na wote wako kanisani na paster hakuwangi pamoja nao kazi ja baba ni kuombea watu simavasi

  • @alexismona8242
    @alexismona82422 жыл бұрын

    Kweli unajuwa kujibu Tena umejibu viziri sana kabisa

  • @jonathansaidi2474
    @jonathansaidi24744 жыл бұрын

    2korinto 5 :16 bibilia inasema hatumtambui mtu kwanjisi yamwili bali kwa matendo shida watanzania wanaishi mapokeo ya unafiki wa wachungaji yao ubarikiewe nabi Mungu akuinui wegi wa krito waanamini mavazi badala roho wabwana hata mchawai mlevi mnafki huvaa nguo ndefu mafarisayo bado wapo africa

  • @kelvineddon3829
    @kelvineddon3829 Жыл бұрын

    Genious napenda kicheko cha upako😂😂😂

  • @user-kv1bj8ci6t
    @user-kv1bj8ci6t4 ай бұрын

    Yaaaaaaan najua huwez kujibu hilo😂swali make ata mtangazaji mwenyew yuko😂uchiii wote apo matapeli tu kazi kukenua menoooo 2 yaaan kweli huyu nabiii mhuniii

  • @zenataashura792
    @zenataashura7923 жыл бұрын

    Manabii wauongo niwengitu soma Mathayo 7/15 unaweza endeleya jinsi Mungu atakusaidiya

  • @paulwanyama4610
    @paulwanyama4610 Жыл бұрын

    Kumbukumbu la torati 22:5 hivi kama ni halali wanawake kuvaa suruali ni sawa pia wanaume tukavae sketi,wanawake siku zote wamekua watu wa kupingana na maumbile ya mungu,huyu mchungaji kwanza hanakufuru

  • @kishumuioinyaku6841
    @kishumuioinyaku6841 Жыл бұрын

    Ninyi ni wapotoshaji tu na mtalipia kwa upotoshaji wenu, kwa madai ya unabii wenu mnawapotosha watu

  • @neemasafari6538
    @neemasafari65382 жыл бұрын

    mungu anifungea nanipate kazo

  • @kihilamasuke6976
    @kihilamasuke69762 жыл бұрын

    Hakika njia ya kuzimu ni Pana hao wanaokufuata watapotea maana maandiko hayako na Wewe 1korintho 11.6-9 1timotheo 2.9

  • @clintonarnold6291
    @clintonarnold62912 жыл бұрын

    Mnachekacheka2

  • @baya7067
    @baya70672 жыл бұрын

    Mm ninaenenda kulingana na neno la mungu sienendi nawakati tafathali mungu atatuhukumu kulingana na neno lake suruali tupilia mbali kabisa

  • @deobenedictakyoo3140
    @deobenedictakyoo31403 жыл бұрын

    Kfup, tunapimwa Imani ck za mwsho

  • @maryannewakesho1686
    @maryannewakesho16863 жыл бұрын

    Danganyweni kabisa,,

  • @josephmonganwa2120
    @josephmonganwa2120 Жыл бұрын

    Naitwa Joseph Mosoba, nipo upande wa Sirari, Kenya, nakuhitaji sana, nitakufikiaje mtumishi wa Mungu..? Naomba namba yako, ili nije nikutimie ujumbe wangu. Asante..

  • @geraddavid7123
    @geraddavid7123 Жыл бұрын

    hiyo haimpendezi mungu

  • @davidomari8660
    @davidomari86603 жыл бұрын

    Hili n tatizo lingine

  • @johnmartin6615
    @johnmartin6615 Жыл бұрын

    Huwa nakuelewa sana hapa hueleweki

  • @armyofgodworshipersminitri7610
    @armyofgodworshipersminitri76104 жыл бұрын

    Na mnapo ulizwa acheni kutoa majibu yasiyoridhisha ,hata asiyesari anaona kabisa kwamba ni majibu ya unjanja ujanja

  • @africanambassadorsathletic3399

    @africanambassadorsathletic3399

    4 жыл бұрын

    Je ni jibu la swali gani YESU aliulizwa na mafarisayo likawaridhisha? Endelea kufuatilia historia na kazi za Nabii MKUU wa karne hii utajua ukweli anatumiwa na MUNGU kwa kiwango gani!

  • @stephenpeter6697

    @stephenpeter6697

    4 жыл бұрын

    Kwakweli minachoka

  • @arnaudkaburugutu3870
    @arnaudkaburugutu38704 жыл бұрын

    Wasi angalie America, yenyewe imekuwa bala la giza, ina hitaji injili upya, sasa giza hilo ndilo linakuja kufunika makanisa ya kisasa, Ni wakati wakushimama imala, shika saana mulicopewa wakupotea wapoteye

  • @arnaudkaburugutu3870

    @arnaudkaburugutu3870

    4 жыл бұрын

    Hata kama nabii mukuuu ana ujasili wakuongea hivo mwenyewe jambo hilo limamkwaza ndani 🕵🕵😀😀😀

  • @oiseauxsympa1147

    @oiseauxsympa1147

    4 жыл бұрын

    @@arnaudkaburugutu3870 😁😁😁

  • @shukuranikibona5893

    @shukuranikibona5893

    4 жыл бұрын

    Hakika MUNGU atunusuru kwa kweli...maana wengi wataikosa mbingu kwa ajili ya makwazo ya wengine....dhambi huwezi ukakaa nayo halafu ukawa Salama@salimini... Dhambi inakimbiwa!!!

  • @africanambassadorsathletic3399

    @africanambassadorsathletic3399

    4 жыл бұрын

    Nabii MKUU wa karne ya 21! Barikiwa sana Mtu wa MUNGU kwa ajili yako injili ya Kristo Yesu Katika nyakati hizi imeheshimika!

  • @arnaudkaburugutu3870

    @arnaudkaburugutu3870

    4 жыл бұрын

    @@africanambassadorsathletic3399 MITHALI 7:10 Kwani kuna mavazi ya kikahaba? Mwenye ameokoka hafai kuvaaa kama malaya Mwenye anavaa kama kahaba na yeye ni kahaba

  • @ambadedekilala973
    @ambadedekilala9734 жыл бұрын

    bibli inasemaje kwa wanaoleta makwazo?injili imewekwa maji.mbinguni mbali sana

  • @ambadedekilala973

    @ambadedekilala973

    4 жыл бұрын

    Injili imekuwa kama siasa

  • @lameckjackson9606
    @lameckjackson9606 Жыл бұрын

    Nisaidien kuangalia kumb.torati 22.5

  • @edmundmushi2788
    @edmundmushi27882 жыл бұрын

    Anapatikan arush sehem gan

  • @danielmarunda153

    @danielmarunda153

    Жыл бұрын

    Kisongo

  • @lebonjulesrugondera7063
    @lebonjulesrugondera70632 жыл бұрын

    Mbona hujatoa maandiko kwenye biblia kuhusu mavazi maandiko kwenye biblia yako wazi

  • @Bahrain-me3ht
    @Bahrain-me3ht4 жыл бұрын

    Mimi ni caroline naitaji nabii anisaidie

  • @alphaachannel5439
    @alphaachannel5439 Жыл бұрын

    Hizi ni nyakati za mwisho kuweni makini sana na mnachokula kiroho (si kila kinachopakuliwa kuwa chafaa na hiki hakifai kwa watu) na huu ndo ukweli acha kujipendeza kwa watu sema kweli ya Mungu

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 Жыл бұрын

    kicheko chako huwa hakibariki

  • @mshanibeatrice7449
    @mshanibeatrice7449 Жыл бұрын

    Sio kwa kujichekesha huko

  • @rogersjoseph7363
    @rogersjoseph7363 Жыл бұрын

    Acha kudanganya watu wewe hujiwi bibilia wewe ni mtoto mchanga kiroho hujui lolote uko gizani sana pole nabii mkuu ni yesu pekee were no nabii uchwara tu ulaaniwe kwa maana ufundisha injili ya namna nyingine

  • @isacklyanga1250
    @isacklyanga1250 Жыл бұрын

    Usidanganye watu kuna mavazi ya ukahaba kabisa na kuna mavazi ya heshima.

  • @severinifulgensi2686
    @severinifulgensi26864 жыл бұрын

    Sijakuelewa ukisema utamaduni wa waizraeli wakati hapo tunaambiwa ni maagizo ya mungu?

  • @aroundtheworld4173

    @aroundtheworld4173

    3 жыл бұрын

    Kawanasa wajinga

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088
    @kuziririzaisabatosiitegeko70883 жыл бұрын

    Twambiye sisi wa mlimani

  • @evamringo2331
    @evamringo23313 жыл бұрын

    Kwani maandiko yanasemaje kuhusu mavazi ...

  • @alexrafael986

    @alexrafael986

    3 жыл бұрын

    Soma kitabu cha kutoka

  • @aroundtheworld4173

    @aroundtheworld4173

    3 жыл бұрын

    1 Timotheo 2 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ⁹ Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; ¹⁰ bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.

  • @mysonsobe2536

    @mysonsobe2536

    2 жыл бұрын

    Soma Kumbukumbu la Torati 22:5

  • @agnessmalyeek9387

    @agnessmalyeek9387

    Жыл бұрын

    Jamani usimuulize mtu mwingine mavazi jali wewe binafsi mazuri au mmabaya

  • @eudosiaalexander527
    @eudosiaalexander5272 жыл бұрын

    Naomba no ya nabii

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Жыл бұрын

    Jamani ufalmeufalme

  • @user-kv1bj8ci6t
    @user-kv1bj8ci6t4 ай бұрын

    Jibu swali uliloulizwa usianzeee kuzunguka zunguka ww siunajiita nabii mkuu sasa sijajua kati ya ww na MUNGU Nan nabii mkuu yaaan ww unakufuruu

  • @GodfreyJonathan-ez1wi
    @GodfreyJonathan-ez1wi Жыл бұрын

    Soma kutoka 22:5 inasemaje siyo kutapeli watu

  • @jestonjonas5591
    @jestonjonas55914 жыл бұрын

    wewe baba acha kupotosho njia ya Mungu iliyonyooka,wewe Mungu anakuona.

  • @obedcosmas1649

    @obedcosmas1649

    4 жыл бұрын

    nyie watu mbona mnanifurahisha nyie kanisani mnafata mavazi au kashajibu simamia imani yako basi ukiangalia utatamani utakwama

  • @jonathansaidi2474

    @jonathansaidi2474

    4 жыл бұрын

    Huna mandikoo acha ujuaji

  • @mysonsobe2536

    @mysonsobe2536

    2 жыл бұрын

    @@obedcosmas1649 Kwa hiyo uache watu wafanye yaliyokatazwa na Mungu kanisani eti uangalie imani yako tu wala usiyakemee