Breaking; Hakimu wa kesi ya Mbarikiwa ajitoa baada ya kulalamikiwa kupendelea upande wa waliomshitak

Пікірлер: 94

  • @jacobyusuph5763
    @jacobyusuph5763 Жыл бұрын

    Apostle Mbarikiwa Mwakipesile nakupenda sana baba, ipo siku nitakuja kuzuru Kanisani kwako Mbeya Isyesye. Nawapenda sana

  • @edwinmanji74

    @edwinmanji74

    Жыл бұрын

    Kabisa ndugu nami naungana na wewe natamani siku moja nimtembelee huyu mtumishi kwa kweli

  • @hopesengo6972
    @hopesengo6972 Жыл бұрын

    Nawapenda Sana ,naamin IPO siku nitakuja Mbeya,MUNGU azidi kuwatunza 🙏🙏🙏

  • @elizabethmunuo5379

    @elizabethmunuo5379

    Жыл бұрын

    Pongezi mtu wa Mungu mtetezi wake yu hai

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Жыл бұрын

    Kwa haya unayopitia na unavyo onekana hakika MUNGU yupo pamoja nawe.

  • @Mjakazisafi8361
    @Mjakazisafi8361 Жыл бұрын

    AMEN AMEN 🙏🙏 BABA MCHUNGAJI MUNGU YUKO UPANDE WAKO UTASHINDA AMEN 🙏

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Жыл бұрын

    Mh mungu wa rehema onekana juu ya mtumishi wako,asiabike ili jina lako lisitukanwe,,

  • @marymwapiya1274
    @marymwapiya1274 Жыл бұрын

    Mungu aendelee kukupigania mtumishi wa Mungu kwa imani utashinda,Mungu wetu siyo mwanadamu ata aseme uongo

  • @molineadema4872
    @molineadema4872 Жыл бұрын

    Mbingu zikinyamaza haimanishi kwamba akuna jibu hakika Mungu anashughulika na hili jambo mtumishi haki utapata

  • @mozesjoseph7630
    @mozesjoseph7630 Жыл бұрын

    Hongera sana mtumishi. Wa mngu. Mbarikiwa. Hongera. Sana Yani sana. Tungekuwa. Na wahubiri. Kama. Wewe. Hata. Watano. Watu. Wengi. Wangeokoka. Hongera sanaaaaaaaaaaa. Amina

  • @eliudezekiel8615
    @eliudezekiel8615 Жыл бұрын

    Hongereni ninyi ni washindi natamani sana ningekuwa mbea ningejuunga nanyi

  • @goddaughter8312
    @goddaughter8312 Жыл бұрын

    Mungu ajawai shindwa na shoshote. Mungu amesha tenda. Hallelujah

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Жыл бұрын

    Yupo Mungu mbinguni asikiaye maombi yetu, nae ndo hakimu ahukumuye kwa haki, nami naomba kwa reheba zake afanye na kwa mapenzi yake ili dunia ijue tunaye mtetezi wa maisha yetu.

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Жыл бұрын

    Uwezi shindana na nguvu ya MUNGU ukabaki salama.

  • @julianambilinyi3341
    @julianambilinyi3341 Жыл бұрын

    Jamani Serikali yetu iingilie Kati Jambo hili Hawa watu hata kwa muonekano wao utashuhudiwa kuwa sio watu wa Vita au wafanya fujo niwatu wanaosafili kuutafuta mji ujao.Mama yetu SAMIA SURUHU HASAN Liangalie hili harileti sura nzuri kwa nchi yetu na jamii mzima .Muangalie mtu huyu wa MUNGU anavyoosumbuliwa inauma sana .Nini hasa kinatafutwa nyuma ya hii kesi?

  • @fidelisikidungu825

    @fidelisikidungu825

    Жыл бұрын

    Mhubiri Mkuu Yesu kristo alikataza kuuwawa kwa kupigwa mawe mwanamke aliyekutwa akizini Lkn pia aliuliza Nani kwenu Hana dhambi awe wa kwanza kumpiga jiwe Lakini pia MUNGU hapendi kufa kwa mwenye dhambi Watu wote wametenda dhambi wahubiriwe watubu siyo wauwawe Mwakipesile siyo mfuasi wa YESU halisi

  • @fidelisikidungu825

    @fidelisikidungu825

    Жыл бұрын

    Elewa Shetani mwovu mtendadhambi Mkuu hajauwawa hadi leo siyo kwamba MUNGU mwenyezi ameshindwa kumuwa bali bado ana nafasi ya kutubu Maana kila goti litapigwa..

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Жыл бұрын

    Naijulikane yakuwa yupo Mungu katika Izrael 🛐 Mungu anaedumu wa kuaminiwa, jana Leo hata milele.

  • @billmkushi849

    @billmkushi849

    Жыл бұрын

    Katiak Tanzania

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Жыл бұрын

    Mbarikiwa neno la kinywa chetu ni ushindi. Naomba ubadirishe ulimi wako kwa sababu ushindi uko karibu. Watahaibika Mungu atawahaibisha kama wakina Meshaki walishinda hata wewe utashinda. Hakuna jela sema ushindi upo.

  • @AbelDelaGenese
    @AbelDelaGenese Жыл бұрын

    Poleni sana, Jemedari wa vita yu upande wenu. Muamuzi wa mambo yote

  • @davinesfarm2178
    @davinesfarm2178 Жыл бұрын

    Mungu hata waacha wajifulahishe wanadamu na sheria zao walizotunga wanadamu kwajili ya kurinda mikate yao,hata wakijifulahisha kuzima MUTUMWA WA MUNGU .MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU TU.

  • @josephmwamalumbili8011
    @josephmwamalumbili8011 Жыл бұрын

    Ameeeni BABA MUNGU yu upande wetu kwa mema mengi uliyoyafanya ndiyo maana wameumbuka kwa kutoa siri SIO Bure ni Mungu tu ndiyo kawaumbua. Tuko pamoja baba kila hatua ameeeni

  • @mussamhando22
    @mussamhando22 Жыл бұрын

    Haijalishi hayo yote unayoyapitia, lkn ninachoamini Ushindi umeamriwa kwako, kwa jina la YESU.

  • @restituta5206
    @restituta5206 Жыл бұрын

    Mungu azidi kuwatia nguvu.Mungu ajitukuze. Amina

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Жыл бұрын

    MUNGU SIO MWANADAMU

  • @dicksonsheja251
    @dicksonsheja251 Жыл бұрын

    Hafungwi mtu hapo, Naamini kupitia jina la yesu

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Жыл бұрын

    Mtumishi usilie Tena kuanzia Leo Anza kumsifu na kumshangilia MUNGU kwa matendo makuu anayoenda kukutendea mshangilie MUNGU

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Жыл бұрын

    KIFO CHA MTOTO, WOKOVU MBARIKIWA, hakitakuwa cha bure! Serikali iwachukulie Hatua waliotajwa!!!!!!!! Kuua Isiwe Fashion!!!!!!!!!!!!

  • @sarahpetro8012
    @sarahpetro8012 Жыл бұрын

    hizo ni kuta tu za yerico zitabomoka sio mda ucjal mtumishi zab 7:1

  • @BHULENGE
    @BHULENGE Жыл бұрын

    Mtumishi unaingia vitani huku umeshindwa? No no no Mungu wetu ni mkubwa sana hufanya njia pasipo na njiani. Yeye ni mshindi zaidi ya mshindi. Amini katika kushinda hadi tone la mwisho.

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 Жыл бұрын

    Pole kwa kuondokewa na mpendwa wako. Na changamoto zote unazopata.Jipe Moyo mkuu

  • @irenenyauhule6017
    @irenenyauhule6017 Жыл бұрын

    Baba angu mungu yupo na mama na Wana kikosi kazi mungu yupo na ndie atakaye watoa hapo!

  • @amashapatrick211
    @amashapatrick211 Жыл бұрын

    Katika watu.ambao MUNGU haoni.haya kuitwa MUNGU wako ni wewe BABA kwa sababu ya haki umesimama katika kweli hakika Mungu anajivunia sana MUNGU mwenyewe ndiye mtengenezaji wa Film hii aisee mpaka pale itakapo ishia hakika

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Жыл бұрын

    Watakimbiana wote.Kila atakae kuwa kimbelembele yatamkuta yle ya kina Meshak na Abednego.Cdhani kama kuna Hakimu atakae thubutu kujitoa ufahamu kwenye hii kesi.

  • @jollyesther
    @jollyesther Жыл бұрын

    mchungaji mubarikiwa na team yako MUNGU AWATIYE NGUVU NA AWAPIGANIE MPAKA SIKU YA MWISHO.

  • @michaelmtega8279
    @michaelmtega8279 Жыл бұрын

    Acha mapambano yaendelee watashindana lakini hawata shinda

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Жыл бұрын

    Je akipigwa mchungaji kondoo mtatawanyika au mtakomaa???? Basi jifunzeni sana kwake mpate kuwa jasiri hata wakati kimbunga kipitapo.Maana nacho ni cha muda tu.Bali Mungu ni wa milele.

  • @faithmariam
    @faithmariam Жыл бұрын

    Vita si vietu mbali Mungu atakupigania, najua yakwamba Mungu ndio mshidi🙏🙏🙏🙏

  • @lindakapongo8421

    @lindakapongo8421

    Жыл бұрын

    kweli gonna si kitu cha ajabu kwa muþumishi

  • @jakobongwara3038

    @jakobongwara3038

    Жыл бұрын

    Kwanini watuwamungu baada yakupinga shetani mafirimasoni mmeanza kugombania vieo

  • @clemencelisonga8261
    @clemencelisonga8261 Жыл бұрын

    Mmm Mimi nafikirikia sana hivi kuna nini kinakuja baada ya hili mbona naona kama Iko shida sana mbele ni kama hili tukio linatabili jambo baya mbele Mungu nisaidie mbona naona giza nisaidie nisaidie mungu wangu

  • @user-yp9ll4dx5h
    @user-yp9ll4dx5h9 ай бұрын

    Barikiwa Mtumishi Mungu akutie nguvu.

  • @prophetislael5265
    @prophetislael5265 Жыл бұрын

    Wanampiga vita sana huyu mtumishi ila Mungu kampa ujasili wakuto ogopa jambo lolote

  • @emanuelcharles406
    @emanuelcharles406 Жыл бұрын

    Osiongope shujaa wa Yesu Yesu yuko pamoja nawe kumbuk yalimkuta yeremia nawe utashinda....jipe moyo tupo pamoja kukuombeea.....

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Жыл бұрын

    Duh jaman inauma sana uonevu umezidi sana Tanzania sio kwa usumbufu huu Mungu ingilia kati.

  • @mestonianatori7254
    @mestonianatori7254 Жыл бұрын

    Muhukumu wa HAKI Anakuja kutowa haki na kuonyesha haki iko juu ya Sheria iko juu ya kanuni na Taratibu... YUKO MUNGU ANAE TAWALA KULIKO Wauwaji wanavyotawalaaa....

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 Жыл бұрын

    Alimadamu Tunaendelea Na Ibada, Mungu Atatushindia Tu.

  • @nathashaiganineza7112
    @nathashaiganineza7112 Жыл бұрын

    Muhukumu wa Haki ni Yesu Kristo asie pendelea mtu

  • @tezbnyenge8450
    @tezbnyenge8450 Жыл бұрын

    Mungu huwatetea nakuwaokoa watumishi wake baba mungu atakuokoa

  • @juliusmbuba5029
    @juliusmbuba5029 Жыл бұрын

    Mwamuzi wa hiyo kesi kuwa makini na Hilo swala Kwa kuwa ni kesi inayohusiana na maswala ya Mungu ukihukumu vibaya Mungu atakupiga mke wa pilato wakati pilato anaenda kumhukumu yesu mke alimwambia pilato usiku huu sijalala Kwa ajili ya huyu mtu uwe makini

  • @musa-bomani-gmg378
    @musa-bomani-gmg378 Жыл бұрын

    Mungu akusimamie mtumishi

  • @victorbarnabas2809
    @victorbarnabas2809 Жыл бұрын

    Yesu ni mshindi , mjapo pita ktk misuko suko mbali mbali msiogope yeye aliye mshindi wa kifo na mauti atawavusha salama, alishatupa taarifa kupitia Yohana 16 so kikubwa ni kutokata tamaa na kutoruhusu hofu kuingia ndani yenu, Nawaombea na napenda mjue kuwa msukumo wa kuokoka ulitoka kwenye clip zako, Mshukuru Mungu Kwa kila unalopitia

  • @tabithaibrahim8493

    @tabithaibrahim8493

    Жыл бұрын

    Tujapopita katika maji mengi hayatatugharikisha.

  • @veronicakiganga4547
    @veronicakiganga4547 Жыл бұрын

    Bwana Yesu Atakuja vanilla....Tenzi

  • @lemomomiseyeki7047
    @lemomomiseyeki7047 Жыл бұрын

    Mungu watete wanao onewa

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 Жыл бұрын

    LAKINI PIA MTUMISHI SI DHAMBI KUMUWEKA MWANASHERIA. LAKINI MWANASHERIA ALIYE WA UPANDE WAKO, YAANI ALIYEOKOKA. INGEPENDEZA UKAFANYA HIVYO PIA. TUNAKUPENDA NDUGU

  • @memoryngambi7570
    @memoryngambi7570 Жыл бұрын

    Mungu yupo kazini

  • @kimanidatch6096
    @kimanidatch6096 Жыл бұрын

    Simama tu mtumishi WA MUNGU,,,.utauona mkono wa Mungu wako.

  • @carolrokovu5
    @carolrokovu5 Жыл бұрын

    Nawasalimu kutoka kenya mutumishi wa mungu mungu akubariki u sijali kwalilo limekupata

  • @happyiskaka
    @happyiskaka Жыл бұрын

    Namtukuza Sana MUNGU Kwa AJILI YENU hakuna silaha itakayo inuka juu yenu ISAYA 54:17

  • @denisianubitse5601

    @denisianubitse5601

    Жыл бұрын

    Mtetezi wetu tu hai ushindi ni lazima, ni muda tu tunasubilia kwani neno linasema kila jambo na wakati wake.

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano9050 Жыл бұрын

    Njoo Bwana, sisi tu watu wako

  • @user-fe7xx8ld6q
    @user-fe7xx8ld6q Жыл бұрын

    Mungu kama nihaki na isimame haki Kwa hili tujue mungu upo,mungu ujawai kumwacha mwenye haki,

  • @adolphineapingi7774
    @adolphineapingi7774 Жыл бұрын

    Ukili ushindi maana yupo, Mungu wetu ni mwema.

  • @HelbethMlelwa

    @HelbethMlelwa

    Жыл бұрын

    Kukiri ushindi wakati mazingira hayaendani na ushindi, hizo ni bangi/utahira tulionao walokole.

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Жыл бұрын

    Hivi rais huoni au una Udini?

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 Жыл бұрын

    Msemaukweli mpenzi wa mungu

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 Жыл бұрын

    Naye ni nani atakayewadhuru, mkiwa wenye juhudi ktk kutenda mema? Lkn mjapoteswa kwasababu ya haki mna heri. Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike ; bali mtakaseni Kristo Bwana mioyoni mwenu. 1Petro 3:13-14

  • @adolphineapingi7774
    @adolphineapingi7774 Жыл бұрын

    Mungu ahone kane kama mda wa Mordekai.

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 Жыл бұрын

    hata yesu aliuliza mbona unanimity kofi

  • @faustinazawadi2947
    @faustinazawadi2947 Жыл бұрын

    TUNASHUKULU MUNGU YEYE ANAWEZA

  • @estershenene8787
    @estershenene8787 Жыл бұрын

    Baba yang mung akupiganie na awe hakim mkuu kwako wanadam si kit

  • @fortunataangelo5575
    @fortunataangelo5575 Жыл бұрын

    Hakimu atakaye hukumu, hii kesi inabidi ajipange sana, Tena ajikague sana nafsini mwake asiwe na Hila, bila hivyo Asijekujikuta akipingana na Mungu, akapatwa na mabaya, ya kujitakia

  • @bahatinyandula6425
    @bahatinyandula6425 Жыл бұрын

    Mungu utakapo pelekwa mbele ya liwari usijisumbue kuongea muachie atakupigania kwakua unahaki

  • @GJGJ-sx4yd
    @GJGJ-sx4yd Жыл бұрын

    Baba.na.mama.nilisema.imekisha.bado.vita.si.zetu.mungu.atapigana.ulizi.wetu.baba.namama.unatoka.kwa.mungu

  • @HermaniDaudi-yp8pf
    @HermaniDaudi-yp8pf10 ай бұрын

    🙏

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 Жыл бұрын

    RAISI SAMIA SURUHU HASANI hivi Uko Rikizo?Mpaka 2025.

  • @adolphineapingi7774
    @adolphineapingi7774 Жыл бұрын

    Bwana Yesu akutie nguvu

  • @margaretkahunguka8198
    @margaretkahunguka8198 Жыл бұрын

    Mungu yuko upande wenu

  • @bahatinyandula6425
    @bahatinyandula6425 Жыл бұрын

    Mbarikiwa mimi namuelewa sana tatizolake anaralamika mnooo nimuombe akaekimya amuachie mngu mbona kama hamuamini?

  • @Mbarikiwa_Mwakipesile

    @Mbarikiwa_Mwakipesile

    Жыл бұрын

    Wewe kwa nini haujamwachia Mungu acomment? Au haumwamini? Au wewe ndiye huyo Mungu?

  • @mestonisimzosha203

    @mestonisimzosha203

    Жыл бұрын

    @@Mbarikiwa_Mwakipesile 🤓

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 Жыл бұрын

    Mtumishi usife moyo Mungu wa Mbinguni alie hai atakushindia

  • @esnathnoah-oj1bj
    @esnathnoah-oj1bj Жыл бұрын

    Mbarikiwa usiwe unakata tamaa ivo amini utashinda sasa ukisema hutarajii ushindi na sisis tu washindi sema nitashinda

  • @monicagerald6676

    @monicagerald6676

    Жыл бұрын

    Hata mimi namtia moyo, ushindi uko upande wake, Mungu hajawahi kushindwa.

  • @macklinakabyazi3036

    @macklinakabyazi3036

    Жыл бұрын

    Mwanadamu anapopitia misukosuk o mingi inamfanya mtu akate tamaa, Kumbuka hata BWANA Yesu alipokuwa anasubiri ile saa ya kusulubiwa ifike alionekana kukata tamaa ndiyo maana akaomba kuwa kama kuna uwezekano kile kikombe kimuepuke, lakini kwa sababu alikuwa mwana wa Mungu na alijua anachokifanya ndo maana akasema mapenzi ya Mungu yatimie. Hivyo yeye kama mwanadamu anachoka na mambo anayopitia, kuuliwa mtoto wake na mambo anayopitia lazima achoke, Mungu aendelee kumtetea katika magumu yote.

  • @beroyachurchchannel

    @beroyachurchchannel

    Жыл бұрын

    Muda utasema ushindi upo .

  • @johnmalembo6464

    @johnmalembo6464

    Жыл бұрын

    Usiogope... Usilegeze msimamo... Mbingu zinakutazama Ili zijivunie wewe kama Ayubu.... Hata kama tutafungwa na kuuawa Bado mbingu zinakutazama kama washindi....iwe heri Kwa watz

  • @saramss7262
    @saramss7262 Жыл бұрын

    MUNGU wetu ALALIIIIIIIIIII TUPO PABAYA

  • @rahma6189
    @rahma6189 Жыл бұрын

    HIVI HUYU RAISI ÝUPO AU KASAFIRI MBONA HAONGEI CHOCHOTE HATUJAWAHI PATA RAISI KAMAHUYU TOKA TANZANIA IANZE ILA MUNGU ATASIMAMA

  • @saitotiraphael6743
    @saitotiraphael6743 Жыл бұрын

    jitie nguvu mchungaji,maana nyakati hizi ni nyakati ngumu kwa wateule

Келесі