Breaking; Hakimu wa kesi ya Mbarikiwa ajitoa baada ya kulalamikiwa kupendelea upande wa waliomshitak
Жүктеу.....
Пікірлер: 94
@jacobyusuph5763 Жыл бұрын
Apostle Mbarikiwa Mwakipesile nakupenda sana baba, ipo siku nitakuja kuzuru Kanisani kwako Mbeya Isyesye. Nawapenda sana
@edwinmanji74
Жыл бұрын
Kabisa ndugu nami naungana na wewe natamani siku moja nimtembelee huyu mtumishi kwa kweli
@hopesengo6972 Жыл бұрын
Nawapenda Sana ,naamin IPO siku nitakuja Mbeya,MUNGU azidi kuwatunza 🙏🙏🙏
@elizabethmunuo5379
Жыл бұрын
Pongezi mtu wa Mungu mtetezi wake yu hai
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Kwa haya unayopitia na unavyo onekana hakika MUNGU yupo pamoja nawe.
@Mjakazisafi8361 Жыл бұрын
AMEN AMEN 🙏🙏 BABA MCHUNGAJI MUNGU YUKO UPANDE WAKO UTASHINDA AMEN 🙏
@janethmwihumbo1289 Жыл бұрын
Mh mungu wa rehema onekana juu ya mtumishi wako,asiabike ili jina lako lisitukanwe,,
@marymwapiya1274 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukupigania mtumishi wa Mungu kwa imani utashinda,Mungu wetu siyo mwanadamu ata aseme uongo
@molineadema4872 Жыл бұрын
Mbingu zikinyamaza haimanishi kwamba akuna jibu hakika Mungu anashughulika na hili jambo mtumishi haki utapata
@mozesjoseph7630 Жыл бұрын
Hongera sana mtumishi. Wa mngu. Mbarikiwa. Hongera. Sana Yani sana. Tungekuwa. Na wahubiri. Kama. Wewe. Hata. Watano. Watu. Wengi. Wangeokoka. Hongera sanaaaaaaaaaaa. Amina
@eliudezekiel8615 Жыл бұрын
Hongereni ninyi ni washindi natamani sana ningekuwa mbea ningejuunga nanyi
@goddaughter8312 Жыл бұрын
Mungu ajawai shindwa na shoshote. Mungu amesha tenda. Hallelujah
@selemanimasatu2421 Жыл бұрын
Yupo Mungu mbinguni asikiaye maombi yetu, nae ndo hakimu ahukumuye kwa haki, nami naomba kwa reheba zake afanye na kwa mapenzi yake ili dunia ijue tunaye mtetezi wa maisha yetu.
@ugalidona-cs2yn Жыл бұрын
Uwezi shindana na nguvu ya MUNGU ukabaki salama.
@julianambilinyi3341 Жыл бұрын
Jamani Serikali yetu iingilie Kati Jambo hili Hawa watu hata kwa muonekano wao utashuhudiwa kuwa sio watu wa Vita au wafanya fujo niwatu wanaosafili kuutafuta mji ujao.Mama yetu SAMIA SURUHU HASAN Liangalie hili harileti sura nzuri kwa nchi yetu na jamii mzima .Muangalie mtu huyu wa MUNGU anavyoosumbuliwa inauma sana .Nini hasa kinatafutwa nyuma ya hii kesi?
@fidelisikidungu825
Жыл бұрын
Mhubiri Mkuu Yesu kristo alikataza kuuwawa kwa kupigwa mawe mwanamke aliyekutwa akizini Lkn pia aliuliza Nani kwenu Hana dhambi awe wa kwanza kumpiga jiwe Lakini pia MUNGU hapendi kufa kwa mwenye dhambi Watu wote wametenda dhambi wahubiriwe watubu siyo wauwawe Mwakipesile siyo mfuasi wa YESU halisi
@fidelisikidungu825
Жыл бұрын
Elewa Shetani mwovu mtendadhambi Mkuu hajauwawa hadi leo siyo kwamba MUNGU mwenyezi ameshindwa kumuwa bali bado ana nafasi ya kutubu Maana kila goti litapigwa..
@dadamuebrania1539 Жыл бұрын
Naijulikane yakuwa yupo Mungu katika Izrael 🛐 Mungu anaedumu wa kuaminiwa, jana Leo hata milele.
@billmkushi849
Жыл бұрын
Katiak Tanzania
@christinenyagiro6662 Жыл бұрын
Mbarikiwa neno la kinywa chetu ni ushindi. Naomba ubadirishe ulimi wako kwa sababu ushindi uko karibu. Watahaibika Mungu atawahaibisha kama wakina Meshaki walishinda hata wewe utashinda. Hakuna jela sema ushindi upo.
@AbelDelaGenese Жыл бұрын
Poleni sana, Jemedari wa vita yu upande wenu. Muamuzi wa mambo yote
@davinesfarm2178 Жыл бұрын
Mungu hata waacha wajifulahishe wanadamu na sheria zao walizotunga wanadamu kwajili ya kurinda mikate yao,hata wakijifulahisha kuzima MUTUMWA WA MUNGU .MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU TU.
@josephmwamalumbili8011 Жыл бұрын
Ameeeni BABA MUNGU yu upande wetu kwa mema mengi uliyoyafanya ndiyo maana wameumbuka kwa kutoa siri SIO Bure ni Mungu tu ndiyo kawaumbua. Tuko pamoja baba kila hatua ameeeni
@mussamhando22 Жыл бұрын
Haijalishi hayo yote unayoyapitia, lkn ninachoamini Ushindi umeamriwa kwako, kwa jina la YESU.
@restituta5206 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwatia nguvu.Mungu ajitukuze. Amina
@liesharehema5193 Жыл бұрын
MUNGU SIO MWANADAMU
@dicksonsheja251 Жыл бұрын
Hafungwi mtu hapo, Naamini kupitia jina la yesu
@leahdaniel1117 Жыл бұрын
Mtumishi usilie Tena kuanzia Leo Anza kumsifu na kumshangilia MUNGU kwa matendo makuu anayoenda kukutendea mshangilie MUNGU
@linkreuben3108 Жыл бұрын
KIFO CHA MTOTO, WOKOVU MBARIKIWA, hakitakuwa cha bure! Serikali iwachukulie Hatua waliotajwa!!!!!!!! Kuua Isiwe Fashion!!!!!!!!!!!!
@sarahpetro8012 Жыл бұрын
hizo ni kuta tu za yerico zitabomoka sio mda ucjal mtumishi zab 7:1
@BHULENGE Жыл бұрын
Mtumishi unaingia vitani huku umeshindwa? No no no Mungu wetu ni mkubwa sana hufanya njia pasipo na njiani. Yeye ni mshindi zaidi ya mshindi. Amini katika kushinda hadi tone la mwisho.
@joycemagessa350 Жыл бұрын
Pole kwa kuondokewa na mpendwa wako. Na changamoto zote unazopata.Jipe Moyo mkuu
@irenenyauhule6017 Жыл бұрын
Baba angu mungu yupo na mama na Wana kikosi kazi mungu yupo na ndie atakaye watoa hapo!
@amashapatrick211 Жыл бұрын
Katika watu.ambao MUNGU haoni.haya kuitwa MUNGU wako ni wewe BABA kwa sababu ya haki umesimama katika kweli hakika Mungu anajivunia sana MUNGU mwenyewe ndiye mtengenezaji wa Film hii aisee mpaka pale itakapo ishia hakika
@kichenjekichenje2072 Жыл бұрын
Watakimbiana wote.Kila atakae kuwa kimbelembele yatamkuta yle ya kina Meshak na Abednego.Cdhani kama kuna Hakimu atakae thubutu kujitoa ufahamu kwenye hii kesi.
@jollyesther Жыл бұрын
mchungaji mubarikiwa na team yako MUNGU AWATIYE NGUVU NA AWAPIGANIE MPAKA SIKU YA MWISHO.
@michaelmtega8279 Жыл бұрын
Acha mapambano yaendelee watashindana lakini hawata shinda
@machoguhamery3731 Жыл бұрын
Je akipigwa mchungaji kondoo mtatawanyika au mtakomaa???? Basi jifunzeni sana kwake mpate kuwa jasiri hata wakati kimbunga kipitapo.Maana nacho ni cha muda tu.Bali Mungu ni wa milele.
@faithmariam Жыл бұрын
Vita si vietu mbali Mungu atakupigania, najua yakwamba Mungu ndio mshidi🙏🙏🙏🙏
@lindakapongo8421
Жыл бұрын
kweli gonna si kitu cha ajabu kwa muþumishi
@jakobongwara3038
Жыл бұрын
Kwanini watuwamungu baada yakupinga shetani mafirimasoni mmeanza kugombania vieo
@clemencelisonga8261 Жыл бұрын
Mmm Mimi nafikirikia sana hivi kuna nini kinakuja baada ya hili mbona naona kama Iko shida sana mbele ni kama hili tukio linatabili jambo baya mbele Mungu nisaidie mbona naona giza nisaidie nisaidie mungu wangu
@user-yp9ll4dx5h9 ай бұрын
Barikiwa Mtumishi Mungu akutie nguvu.
@prophetislael5265 Жыл бұрын
Wanampiga vita sana huyu mtumishi ila Mungu kampa ujasili wakuto ogopa jambo lolote
@emanuelcharles406 Жыл бұрын
Osiongope shujaa wa Yesu Yesu yuko pamoja nawe kumbuk yalimkuta yeremia nawe utashinda....jipe moyo tupo pamoja kukuombeea.....
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Duh jaman inauma sana uonevu umezidi sana Tanzania sio kwa usumbufu huu Mungu ingilia kati.
@mestonianatori7254 Жыл бұрын
Muhukumu wa HAKI Anakuja kutowa haki na kuonyesha haki iko juu ya Sheria iko juu ya kanuni na Taratibu... YUKO MUNGU ANAE TAWALA KULIKO Wauwaji wanavyotawalaaa....
@epafraditopajenga4650 Жыл бұрын
Alimadamu Tunaendelea Na Ibada, Mungu Atatushindia Tu.
@nathashaiganineza7112 Жыл бұрын
Muhukumu wa Haki ni Yesu Kristo asie pendelea mtu
@tezbnyenge8450 Жыл бұрын
Mungu huwatetea nakuwaokoa watumishi wake baba mungu atakuokoa
@juliusmbuba5029 Жыл бұрын
Mwamuzi wa hiyo kesi kuwa makini na Hilo swala Kwa kuwa ni kesi inayohusiana na maswala ya Mungu ukihukumu vibaya Mungu atakupiga mke wa pilato wakati pilato anaenda kumhukumu yesu mke alimwambia pilato usiku huu sijalala Kwa ajili ya huyu mtu uwe makini
@musa-bomani-gmg378 Жыл бұрын
Mungu akusimamie mtumishi
@victorbarnabas2809 Жыл бұрын
Yesu ni mshindi , mjapo pita ktk misuko suko mbali mbali msiogope yeye aliye mshindi wa kifo na mauti atawavusha salama, alishatupa taarifa kupitia Yohana 16 so kikubwa ni kutokata tamaa na kutoruhusu hofu kuingia ndani yenu, Nawaombea na napenda mjue kuwa msukumo wa kuokoka ulitoka kwenye clip zako, Mshukuru Mungu Kwa kila unalopitia
@tabithaibrahim8493
Жыл бұрын
Tujapopita katika maji mengi hayatatugharikisha.
@veronicakiganga4547 Жыл бұрын
Bwana Yesu Atakuja vanilla....Tenzi
@lemomomiseyeki7047 Жыл бұрын
Mungu watete wanao onewa
@christianchando7041 Жыл бұрын
LAKINI PIA MTUMISHI SI DHAMBI KUMUWEKA MWANASHERIA. LAKINI MWANASHERIA ALIYE WA UPANDE WAKO, YAANI ALIYEOKOKA. INGEPENDEZA UKAFANYA HIVYO PIA. TUNAKUPENDA NDUGU
@memoryngambi7570 Жыл бұрын
Mungu yupo kazini
@kimanidatch6096 Жыл бұрын
Simama tu mtumishi WA MUNGU,,,.utauona mkono wa Mungu wako.
@carolrokovu5 Жыл бұрын
Nawasalimu kutoka kenya mutumishi wa mungu mungu akubariki u sijali kwalilo limekupata
@happyiskaka Жыл бұрын
Namtukuza Sana MUNGU Kwa AJILI YENU hakuna silaha itakayo inuka juu yenu ISAYA 54:17
@denisianubitse5601
Жыл бұрын
Mtetezi wetu tu hai ushindi ni lazima, ni muda tu tunasubilia kwani neno linasema kila jambo na wakati wake.
@simonphabiano9050 Жыл бұрын
Njoo Bwana, sisi tu watu wako
@user-fe7xx8ld6q Жыл бұрын
Mungu kama nihaki na isimame haki Kwa hili tujue mungu upo,mungu ujawai kumwacha mwenye haki,
@adolphineapingi7774 Жыл бұрын
Ukili ushindi maana yupo, Mungu wetu ni mwema.
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Kukiri ushindi wakati mazingira hayaendani na ushindi, hizo ni bangi/utahira tulionao walokole.
@wilfredlukowo9476 Жыл бұрын
Hivi rais huoni au una Udini?
@emmiemmi3861 Жыл бұрын
Msemaukweli mpenzi wa mungu
@pericykiko6198 Жыл бұрын
Naye ni nani atakayewadhuru, mkiwa wenye juhudi ktk kutenda mema? Lkn mjapoteswa kwasababu ya haki mna heri. Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike ; bali mtakaseni Kristo Bwana mioyoni mwenu. 1Petro 3:13-14
@adolphineapingi7774 Жыл бұрын
Mungu ahone kane kama mda wa Mordekai.
@lindakapongo8421 Жыл бұрын
hata yesu aliuliza mbona unanimity kofi
@faustinazawadi2947 Жыл бұрын
TUNASHUKULU MUNGU YEYE ANAWEZA
@estershenene8787 Жыл бұрын
Baba yang mung akupiganie na awe hakim mkuu kwako wanadam si kit
@fortunataangelo5575 Жыл бұрын
Hakimu atakaye hukumu, hii kesi inabidi ajipange sana, Tena ajikague sana nafsini mwake asiwe na Hila, bila hivyo Asijekujikuta akipingana na Mungu, akapatwa na mabaya, ya kujitakia
@bahatinyandula6425 Жыл бұрын
Mungu utakapo pelekwa mbele ya liwari usijisumbue kuongea muachie atakupigania kwakua unahaki
RAISI SAMIA SURUHU HASANI hivi Uko Rikizo?Mpaka 2025.
@adolphineapingi7774 Жыл бұрын
Bwana Yesu akutie nguvu
@margaretkahunguka8198 Жыл бұрын
Mungu yuko upande wenu
@bahatinyandula6425 Жыл бұрын
Mbarikiwa mimi namuelewa sana tatizolake anaralamika mnooo nimuombe akaekimya amuachie mngu mbona kama hamuamini?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Wewe kwa nini haujamwachia Mungu acomment? Au haumwamini? Au wewe ndiye huyo Mungu?
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile 🤓
@henrysizya239 Жыл бұрын
Mtumishi usife moyo Mungu wa Mbinguni alie hai atakushindia
@esnathnoah-oj1bj Жыл бұрын
Mbarikiwa usiwe unakata tamaa ivo amini utashinda sasa ukisema hutarajii ushindi na sisis tu washindi sema nitashinda
@monicagerald6676
Жыл бұрын
Hata mimi namtia moyo, ushindi uko upande wake, Mungu hajawahi kushindwa.
@macklinakabyazi3036
Жыл бұрын
Mwanadamu anapopitia misukosuk o mingi inamfanya mtu akate tamaa, Kumbuka hata BWANA Yesu alipokuwa anasubiri ile saa ya kusulubiwa ifike alionekana kukata tamaa ndiyo maana akaomba kuwa kama kuna uwezekano kile kikombe kimuepuke, lakini kwa sababu alikuwa mwana wa Mungu na alijua anachokifanya ndo maana akasema mapenzi ya Mungu yatimie. Hivyo yeye kama mwanadamu anachoka na mambo anayopitia, kuuliwa mtoto wake na mambo anayopitia lazima achoke, Mungu aendelee kumtetea katika magumu yote.
@beroyachurchchannel
Жыл бұрын
Muda utasema ushindi upo .
@johnmalembo6464
Жыл бұрын
Usiogope... Usilegeze msimamo... Mbingu zinakutazama Ili zijivunie wewe kama Ayubu.... Hata kama tutafungwa na kuuawa Bado mbingu zinakutazama kama washindi....iwe heri Kwa watz
@saramss7262 Жыл бұрын
MUNGU wetu ALALIIIIIIIIIII TUPO PABAYA
@rahma6189 Жыл бұрын
HIVI HUYU RAISI ÝUPO AU KASAFIRI MBONA HAONGEI CHOCHOTE HATUJAWAHI PATA RAISI KAMAHUYU TOKA TANZANIA IANZE ILA MUNGU ATASIMAMA
@saitotiraphael6743 Жыл бұрын
jitie nguvu mchungaji,maana nyakati hizi ni nyakati ngumu kwa wateule
Пікірлер: 94
Apostle Mbarikiwa Mwakipesile nakupenda sana baba, ipo siku nitakuja kuzuru Kanisani kwako Mbeya Isyesye. Nawapenda sana
@edwinmanji74
Жыл бұрын
Kabisa ndugu nami naungana na wewe natamani siku moja nimtembelee huyu mtumishi kwa kweli
Nawapenda Sana ,naamin IPO siku nitakuja Mbeya,MUNGU azidi kuwatunza 🙏🙏🙏
@elizabethmunuo5379
Жыл бұрын
Pongezi mtu wa Mungu mtetezi wake yu hai
Kwa haya unayopitia na unavyo onekana hakika MUNGU yupo pamoja nawe.
AMEN AMEN 🙏🙏 BABA MCHUNGAJI MUNGU YUKO UPANDE WAKO UTASHINDA AMEN 🙏
Mh mungu wa rehema onekana juu ya mtumishi wako,asiabike ili jina lako lisitukanwe,,
Mungu aendelee kukupigania mtumishi wa Mungu kwa imani utashinda,Mungu wetu siyo mwanadamu ata aseme uongo
Mbingu zikinyamaza haimanishi kwamba akuna jibu hakika Mungu anashughulika na hili jambo mtumishi haki utapata
Hongera sana mtumishi. Wa mngu. Mbarikiwa. Hongera. Sana Yani sana. Tungekuwa. Na wahubiri. Kama. Wewe. Hata. Watano. Watu. Wengi. Wangeokoka. Hongera sanaaaaaaaaaaa. Amina
Hongereni ninyi ni washindi natamani sana ningekuwa mbea ningejuunga nanyi
Mungu ajawai shindwa na shoshote. Mungu amesha tenda. Hallelujah
Yupo Mungu mbinguni asikiaye maombi yetu, nae ndo hakimu ahukumuye kwa haki, nami naomba kwa reheba zake afanye na kwa mapenzi yake ili dunia ijue tunaye mtetezi wa maisha yetu.
Uwezi shindana na nguvu ya MUNGU ukabaki salama.
Jamani Serikali yetu iingilie Kati Jambo hili Hawa watu hata kwa muonekano wao utashuhudiwa kuwa sio watu wa Vita au wafanya fujo niwatu wanaosafili kuutafuta mji ujao.Mama yetu SAMIA SURUHU HASAN Liangalie hili harileti sura nzuri kwa nchi yetu na jamii mzima .Muangalie mtu huyu wa MUNGU anavyoosumbuliwa inauma sana .Nini hasa kinatafutwa nyuma ya hii kesi?
@fidelisikidungu825
Жыл бұрын
Mhubiri Mkuu Yesu kristo alikataza kuuwawa kwa kupigwa mawe mwanamke aliyekutwa akizini Lkn pia aliuliza Nani kwenu Hana dhambi awe wa kwanza kumpiga jiwe Lakini pia MUNGU hapendi kufa kwa mwenye dhambi Watu wote wametenda dhambi wahubiriwe watubu siyo wauwawe Mwakipesile siyo mfuasi wa YESU halisi
@fidelisikidungu825
Жыл бұрын
Elewa Shetani mwovu mtendadhambi Mkuu hajauwawa hadi leo siyo kwamba MUNGU mwenyezi ameshindwa kumuwa bali bado ana nafasi ya kutubu Maana kila goti litapigwa..
Naijulikane yakuwa yupo Mungu katika Izrael 🛐 Mungu anaedumu wa kuaminiwa, jana Leo hata milele.
@billmkushi849
Жыл бұрын
Katiak Tanzania
Mbarikiwa neno la kinywa chetu ni ushindi. Naomba ubadirishe ulimi wako kwa sababu ushindi uko karibu. Watahaibika Mungu atawahaibisha kama wakina Meshaki walishinda hata wewe utashinda. Hakuna jela sema ushindi upo.
Poleni sana, Jemedari wa vita yu upande wenu. Muamuzi wa mambo yote
Mungu hata waacha wajifulahishe wanadamu na sheria zao walizotunga wanadamu kwajili ya kurinda mikate yao,hata wakijifulahisha kuzima MUTUMWA WA MUNGU .MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU TU.
Ameeeni BABA MUNGU yu upande wetu kwa mema mengi uliyoyafanya ndiyo maana wameumbuka kwa kutoa siri SIO Bure ni Mungu tu ndiyo kawaumbua. Tuko pamoja baba kila hatua ameeeni
Haijalishi hayo yote unayoyapitia, lkn ninachoamini Ushindi umeamriwa kwako, kwa jina la YESU.
Mungu azidi kuwatia nguvu.Mungu ajitukuze. Amina
MUNGU SIO MWANADAMU
Hafungwi mtu hapo, Naamini kupitia jina la yesu
Mtumishi usilie Tena kuanzia Leo Anza kumsifu na kumshangilia MUNGU kwa matendo makuu anayoenda kukutendea mshangilie MUNGU
KIFO CHA MTOTO, WOKOVU MBARIKIWA, hakitakuwa cha bure! Serikali iwachukulie Hatua waliotajwa!!!!!!!! Kuua Isiwe Fashion!!!!!!!!!!!!
hizo ni kuta tu za yerico zitabomoka sio mda ucjal mtumishi zab 7:1
Mtumishi unaingia vitani huku umeshindwa? No no no Mungu wetu ni mkubwa sana hufanya njia pasipo na njiani. Yeye ni mshindi zaidi ya mshindi. Amini katika kushinda hadi tone la mwisho.
Pole kwa kuondokewa na mpendwa wako. Na changamoto zote unazopata.Jipe Moyo mkuu
Baba angu mungu yupo na mama na Wana kikosi kazi mungu yupo na ndie atakaye watoa hapo!
Katika watu.ambao MUNGU haoni.haya kuitwa MUNGU wako ni wewe BABA kwa sababu ya haki umesimama katika kweli hakika Mungu anajivunia sana MUNGU mwenyewe ndiye mtengenezaji wa Film hii aisee mpaka pale itakapo ishia hakika
Watakimbiana wote.Kila atakae kuwa kimbelembele yatamkuta yle ya kina Meshak na Abednego.Cdhani kama kuna Hakimu atakae thubutu kujitoa ufahamu kwenye hii kesi.
mchungaji mubarikiwa na team yako MUNGU AWATIYE NGUVU NA AWAPIGANIE MPAKA SIKU YA MWISHO.
Acha mapambano yaendelee watashindana lakini hawata shinda
Je akipigwa mchungaji kondoo mtatawanyika au mtakomaa???? Basi jifunzeni sana kwake mpate kuwa jasiri hata wakati kimbunga kipitapo.Maana nacho ni cha muda tu.Bali Mungu ni wa milele.
Vita si vietu mbali Mungu atakupigania, najua yakwamba Mungu ndio mshidi🙏🙏🙏🙏
@lindakapongo8421
Жыл бұрын
kweli gonna si kitu cha ajabu kwa muþumishi
@jakobongwara3038
Жыл бұрын
Kwanini watuwamungu baada yakupinga shetani mafirimasoni mmeanza kugombania vieo
Mmm Mimi nafikirikia sana hivi kuna nini kinakuja baada ya hili mbona naona kama Iko shida sana mbele ni kama hili tukio linatabili jambo baya mbele Mungu nisaidie mbona naona giza nisaidie nisaidie mungu wangu
Barikiwa Mtumishi Mungu akutie nguvu.
Wanampiga vita sana huyu mtumishi ila Mungu kampa ujasili wakuto ogopa jambo lolote
Osiongope shujaa wa Yesu Yesu yuko pamoja nawe kumbuk yalimkuta yeremia nawe utashinda....jipe moyo tupo pamoja kukuombeea.....
Duh jaman inauma sana uonevu umezidi sana Tanzania sio kwa usumbufu huu Mungu ingilia kati.
Muhukumu wa HAKI Anakuja kutowa haki na kuonyesha haki iko juu ya Sheria iko juu ya kanuni na Taratibu... YUKO MUNGU ANAE TAWALA KULIKO Wauwaji wanavyotawalaaa....
Alimadamu Tunaendelea Na Ibada, Mungu Atatushindia Tu.
Muhukumu wa Haki ni Yesu Kristo asie pendelea mtu
Mungu huwatetea nakuwaokoa watumishi wake baba mungu atakuokoa
Mwamuzi wa hiyo kesi kuwa makini na Hilo swala Kwa kuwa ni kesi inayohusiana na maswala ya Mungu ukihukumu vibaya Mungu atakupiga mke wa pilato wakati pilato anaenda kumhukumu yesu mke alimwambia pilato usiku huu sijalala Kwa ajili ya huyu mtu uwe makini
Mungu akusimamie mtumishi
Yesu ni mshindi , mjapo pita ktk misuko suko mbali mbali msiogope yeye aliye mshindi wa kifo na mauti atawavusha salama, alishatupa taarifa kupitia Yohana 16 so kikubwa ni kutokata tamaa na kutoruhusu hofu kuingia ndani yenu, Nawaombea na napenda mjue kuwa msukumo wa kuokoka ulitoka kwenye clip zako, Mshukuru Mungu Kwa kila unalopitia
@tabithaibrahim8493
Жыл бұрын
Tujapopita katika maji mengi hayatatugharikisha.
Bwana Yesu Atakuja vanilla....Tenzi
Mungu watete wanao onewa
LAKINI PIA MTUMISHI SI DHAMBI KUMUWEKA MWANASHERIA. LAKINI MWANASHERIA ALIYE WA UPANDE WAKO, YAANI ALIYEOKOKA. INGEPENDEZA UKAFANYA HIVYO PIA. TUNAKUPENDA NDUGU
Mungu yupo kazini
Simama tu mtumishi WA MUNGU,,,.utauona mkono wa Mungu wako.
Nawasalimu kutoka kenya mutumishi wa mungu mungu akubariki u sijali kwalilo limekupata
Namtukuza Sana MUNGU Kwa AJILI YENU hakuna silaha itakayo inuka juu yenu ISAYA 54:17
@denisianubitse5601
Жыл бұрын
Mtetezi wetu tu hai ushindi ni lazima, ni muda tu tunasubilia kwani neno linasema kila jambo na wakati wake.
Njoo Bwana, sisi tu watu wako
Mungu kama nihaki na isimame haki Kwa hili tujue mungu upo,mungu ujawai kumwacha mwenye haki,
Ukili ushindi maana yupo, Mungu wetu ni mwema.
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Kukiri ushindi wakati mazingira hayaendani na ushindi, hizo ni bangi/utahira tulionao walokole.
Hivi rais huoni au una Udini?
Msemaukweli mpenzi wa mungu
Naye ni nani atakayewadhuru, mkiwa wenye juhudi ktk kutenda mema? Lkn mjapoteswa kwasababu ya haki mna heri. Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike ; bali mtakaseni Kristo Bwana mioyoni mwenu. 1Petro 3:13-14
Mungu ahone kane kama mda wa Mordekai.
hata yesu aliuliza mbona unanimity kofi
TUNASHUKULU MUNGU YEYE ANAWEZA
Baba yang mung akupiganie na awe hakim mkuu kwako wanadam si kit
Hakimu atakaye hukumu, hii kesi inabidi ajipange sana, Tena ajikague sana nafsini mwake asiwe na Hila, bila hivyo Asijekujikuta akipingana na Mungu, akapatwa na mabaya, ya kujitakia
Mungu utakapo pelekwa mbele ya liwari usijisumbue kuongea muachie atakupigania kwakua unahaki
Baba.na.mama.nilisema.imekisha.bado.vita.si.zetu.mungu.atapigana.ulizi.wetu.baba.namama.unatoka.kwa.mungu
🙏
RAISI SAMIA SURUHU HASANI hivi Uko Rikizo?Mpaka 2025.
Bwana Yesu akutie nguvu
Mungu yuko upande wenu
Mbarikiwa mimi namuelewa sana tatizolake anaralamika mnooo nimuombe akaekimya amuachie mngu mbona kama hamuamini?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Wewe kwa nini haujamwachia Mungu acomment? Au haumwamini? Au wewe ndiye huyo Mungu?
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile 🤓
Mtumishi usife moyo Mungu wa Mbinguni alie hai atakushindia
Mbarikiwa usiwe unakata tamaa ivo amini utashinda sasa ukisema hutarajii ushindi na sisis tu washindi sema nitashinda
@monicagerald6676
Жыл бұрын
Hata mimi namtia moyo, ushindi uko upande wake, Mungu hajawahi kushindwa.
@macklinakabyazi3036
Жыл бұрын
Mwanadamu anapopitia misukosuk o mingi inamfanya mtu akate tamaa, Kumbuka hata BWANA Yesu alipokuwa anasubiri ile saa ya kusulubiwa ifike alionekana kukata tamaa ndiyo maana akaomba kuwa kama kuna uwezekano kile kikombe kimuepuke, lakini kwa sababu alikuwa mwana wa Mungu na alijua anachokifanya ndo maana akasema mapenzi ya Mungu yatimie. Hivyo yeye kama mwanadamu anachoka na mambo anayopitia, kuuliwa mtoto wake na mambo anayopitia lazima achoke, Mungu aendelee kumtetea katika magumu yote.
@beroyachurchchannel
Жыл бұрын
Muda utasema ushindi upo .
@johnmalembo6464
Жыл бұрын
Usiogope... Usilegeze msimamo... Mbingu zinakutazama Ili zijivunie wewe kama Ayubu.... Hata kama tutafungwa na kuuawa Bado mbingu zinakutazama kama washindi....iwe heri Kwa watz
MUNGU wetu ALALIIIIIIIIIII TUPO PABAYA
HIVI HUYU RAISI ÝUPO AU KASAFIRI MBONA HAONGEI CHOCHOTE HATUJAWAHI PATA RAISI KAMAHUYU TOKA TANZANIA IANZE ILA MUNGU ATASIMAMA
jitie nguvu mchungaji,maana nyakati hizi ni nyakati ngumu kwa wateule