Ukiri wa kishujaa wa Mbarikiwa akiwa MAHAKAMANI leo. Ama nife ama uovu ushindwe.

Пікірлер: 35

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 Жыл бұрын

    Kukosa elimu ya sheria ni shida kweli. Wewe mchungaji hujui kuwa km kesi bado inaendelea mahakamani hupaswi kuiongelea kwa mtindo wako huo?

  • @KafugeFrancis-be8qp
    @KafugeFrancis-be8qp Жыл бұрын

    Mungu aendelee kukusimamia wewe pamoja na familia Yako Kwa yote unayopitia katika kipindi hiki unachopitia magumu mtumishi

  • @dominacassian7060
    @dominacassian7060 Жыл бұрын

    nawawombea nawapenda niko Rwanda Mungu awabariki natena awashindanie.

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sanaaa!!! Uko wazi sana mtumishi!!

  • @wilsonkakili2481
    @wilsonkakili2481 Жыл бұрын

    Punguza maneno Mungu hampiganii mtumwa wake kwa naneno mani

  • @HelbethMlelwa

    @HelbethMlelwa

    Жыл бұрын

    Isaya 58:1, Piga kelele usiache, paza sauti yako kama tarumbeta, uwaambie watu wangu dhambi yao na nyuma ya yakobo kosa lao.

  • @mussaissa6796

    @mussaissa6796

    Жыл бұрын

    Upumbavu wa kutojua sheria huo Kesi ikishakuwa mahakamani iwe una haki la hutakiwi kuiongelea nje ya mahakama Sasa hapo kama ni haki yenu mmeshaichafua tayari Na kama si haki yenu basi hilo ni kosa jingine juu ya lile mliloshtakiwa nalo.

  • @HelbethMlelwa

    @HelbethMlelwa

    Жыл бұрын

    Hizo sheria ni za kishetani na zina lengo la kutaka watu wawe wanaonewa na asiweko mtu wa kuongea chochote. Kitu kama hicho hakipo, watufunge au watuache huru tutaongea sana.

  • @mussaissa6796

    @mussaissa6796

    Жыл бұрын

    @@HelbethMlelwa Ni sawa kwa akili zenu Ila na watachokufanyeni wao pia ni sawa kwa akili zao

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 Жыл бұрын

    Amen Amen Mtu wa Mungu.

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 Жыл бұрын

    mchungaji mungu anataka watu kama wewe wenye kusimama kwaujasiri mungu atakupigania

  • @mikbete
    @mikbete Жыл бұрын

    One of the 7 spirits of God!

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Жыл бұрын

    Kwaungozi huu wa kristoani mtapotezwa Sana ira mtashinda mkiungana kupinga uovu wa aina hiii ameni

  • @ennyngalawa2809
    @ennyngalawa2809 Жыл бұрын

    Alhamdulilai

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Жыл бұрын

    Elimu ni jambo la muhimu sana. Mtumishi hajui kuwa hapo anavunja sheria.

  • @hamismabula9934

    @hamismabula9934

    Жыл бұрын

    Sheria za kutengenezwa na watu hizi kwa matakwa yao hata ukizifuata utanyanyaswa tu kwa jinsi wanavyotaka!!! Heri aongee tu ah!

  • @josephemmanuel388

    @josephemmanuel388

    Жыл бұрын

    tanzania kunashelia kavuke kwenye zebra uone upo kwenye zebra 🦓 pikpik zinapita gali zinapita tanzania shelia bado

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Жыл бұрын

    Eeeh niache uovu tu

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Жыл бұрын

    Hakika wewe ni Elia

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 Жыл бұрын

    Ushoga hatutaki kabisa ufe.

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Жыл бұрын

    Mbona kama mwezi mchanga?

  • @jeremiamadinga9579
    @jeremiamadinga9579 Жыл бұрын

    Unaelim gani yakupinduwa dunia kama siokulopokalopka

  • @HelbethMlelwa

    @HelbethMlelwa

    Жыл бұрын

    Elimu yangu ni ile waliyosoma akina Petro na Yohana Matendo ya Mitume 4:13 Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.

  • @michaelmwalimu6057
    @michaelmwalimu6057 Жыл бұрын

    Huyo atakuja kufungwa huwezi amini, hajawahi kukaa jela huyo hata kutwa moja, Nataka mbarikiwa ajue kuwa magereza kuna mtu anaitwa nyapara na mwingine anaitwa kiherehere mbona atanyooka huyo

  • @HelbethMlelwa

    @HelbethMlelwa

    Жыл бұрын

    Nashangaa unajiita njia ya Kristo, badala ya kuweka njia ya shetani. Haya unayoyaandika ni ya kishetani 100%

  • @michaelmwalimu6057

    @michaelmwalimu6057

    Жыл бұрын

    Hata kusoma hujui inaitwa Nia ya kristo Mtu wenu jela inamngoja

  • @HelbethMlelwa

    @HelbethMlelwa

    Жыл бұрын

    Sawa ni "NIA YA SHETANI"

  • @jeremiamadinga9579
    @jeremiamadinga9579 Жыл бұрын

    Huyu mchungaji nimwehu

  • @HelbethMlelwa

    @HelbethMlelwa

    Жыл бұрын

    Wewe uliyeokoka na una akili nyingi sijui nini kimekuvuta kwa mwehu huyu

  • @IsayaKonki-gf6vv
    @IsayaKonki-gf6vv Жыл бұрын

    Nisaidieni namb kikosi kazi

  • @HelbethMlelwa

    @HelbethMlelwa

    Жыл бұрын

    0714483548

  • @foncetecelectricalandelect34
    @foncetecelectricalandelect34 Жыл бұрын

    Yani mtoto kauawa vipi? hebu elezeeni kwanza

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 Жыл бұрын

    Mama askofo mbo umeshindwa nawaamini wako wamefunika kichwa lakini wewe atakani sani nikichwa wazitu kamanimekukwaza utanisamee

  • @HelbethMlelwa

    @HelbethMlelwa

    Жыл бұрын

    Mwanamke amepewa nyele ndefu ili ziwe badala ya mavazi. Hivyo ukivaa kitambaa ameen, na usipovaa kitambaa ameen.

  • @bernardjohn8788

    @bernardjohn8788

    Жыл бұрын

    Unafahamu maana ya askofu au unaharisha tuu Kila kinachokuja mdomoni.

Келесі