Ukiri wa kishujaa wa Mbarikiwa akiwa MAHAKAMANI leo. Ama nife ama uovu ushindwe.
Жүктеу.....
Пікірлер: 35
@wazomyakinifu2301 Жыл бұрын
Kukosa elimu ya sheria ni shida kweli. Wewe mchungaji hujui kuwa km kesi bado inaendelea mahakamani hupaswi kuiongelea kwa mtindo wako huo?
@KafugeFrancis-be8qp Жыл бұрын
Mungu aendelee kukusimamia wewe pamoja na familia Yako Kwa yote unayopitia katika kipindi hiki unachopitia magumu mtumishi
@dominacassian7060 Жыл бұрын
nawawombea nawapenda niko Rwanda Mungu awabariki natena awashindanie.
@stanleymanya438 Жыл бұрын
Mungu akubariki sanaaa!!! Uko wazi sana mtumishi!!
@wilsonkakili2481 Жыл бұрын
Punguza maneno Mungu hampiganii mtumwa wake kwa naneno mani
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Isaya 58:1, Piga kelele usiache, paza sauti yako kama tarumbeta, uwaambie watu wangu dhambi yao na nyuma ya yakobo kosa lao.
@mussaissa6796
Жыл бұрын
Upumbavu wa kutojua sheria huo Kesi ikishakuwa mahakamani iwe una haki la hutakiwi kuiongelea nje ya mahakama Sasa hapo kama ni haki yenu mmeshaichafua tayari Na kama si haki yenu basi hilo ni kosa jingine juu ya lile mliloshtakiwa nalo.
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Hizo sheria ni za kishetani na zina lengo la kutaka watu wawe wanaonewa na asiweko mtu wa kuongea chochote. Kitu kama hicho hakipo, watufunge au watuache huru tutaongea sana.
@mussaissa6796
Жыл бұрын
@@HelbethMlelwa Ni sawa kwa akili zenu Ila na watachokufanyeni wao pia ni sawa kwa akili zao
@rithersospeterkati2303 Жыл бұрын
Amen Amen Mtu wa Mungu.
@frankfelix3876 Жыл бұрын
mchungaji mungu anataka watu kama wewe wenye kusimama kwaujasiri mungu atakupigania
@mikbete Жыл бұрын
One of the 7 spirits of God!
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Kwaungozi huu wa kristoani mtapotezwa Sana ira mtashinda mkiungana kupinga uovu wa aina hiii ameni
@ennyngalawa2809 Жыл бұрын
Alhamdulilai
@prosperjuma905 Жыл бұрын
Elimu ni jambo la muhimu sana. Mtumishi hajui kuwa hapo anavunja sheria.
@hamismabula9934
Жыл бұрын
Sheria za kutengenezwa na watu hizi kwa matakwa yao hata ukizifuata utanyanyaswa tu kwa jinsi wanavyotaka!!! Heri aongee tu ah!
@josephemmanuel388
Жыл бұрын
tanzania kunashelia kavuke kwenye zebra uone upo kwenye zebra 🦓 pikpik zinapita gali zinapita tanzania shelia bado
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Eeeh niache uovu tu
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Hakika wewe ni Elia
@rithersospeterkati2303 Жыл бұрын
Ushoga hatutaki kabisa ufe.
@bernardjohn8788 Жыл бұрын
Mbona kama mwezi mchanga?
@jeremiamadinga9579 Жыл бұрын
Unaelim gani yakupinduwa dunia kama siokulopokalopka
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Elimu yangu ni ile waliyosoma akina Petro na Yohana Matendo ya Mitume 4:13 Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.
@michaelmwalimu6057 Жыл бұрын
Huyo atakuja kufungwa huwezi amini, hajawahi kukaa jela huyo hata kutwa moja, Nataka mbarikiwa ajue kuwa magereza kuna mtu anaitwa nyapara na mwingine anaitwa kiherehere mbona atanyooka huyo
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Nashangaa unajiita njia ya Kristo, badala ya kuweka njia ya shetani. Haya unayoyaandika ni ya kishetani 100%
@michaelmwalimu6057
Жыл бұрын
Hata kusoma hujui inaitwa Nia ya kristo Mtu wenu jela inamngoja
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Sawa ni "NIA YA SHETANI"
@jeremiamadinga9579 Жыл бұрын
Huyu mchungaji nimwehu
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Wewe uliyeokoka na una akili nyingi sijui nini kimekuvuta kwa mwehu huyu
@IsayaKonki-gf6vv Жыл бұрын
Nisaidieni namb kikosi kazi
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
0714483548
@foncetecelectricalandelect34 Жыл бұрын
Yani mtoto kauawa vipi? hebu elezeeni kwanza
@failaprince9250 Жыл бұрын
Mama askofo mbo umeshindwa nawaamini wako wamefunika kichwa lakini wewe atakani sani nikichwa wazitu kamanimekukwaza utanisamee
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Mwanamke amepewa nyele ndefu ili ziwe badala ya mavazi. Hivyo ukivaa kitambaa ameen, na usipovaa kitambaa ameen.
@bernardjohn8788
Жыл бұрын
Unafahamu maana ya askofu au unaharisha tuu Kila kinachokuja mdomoni.
Пікірлер: 35
Kukosa elimu ya sheria ni shida kweli. Wewe mchungaji hujui kuwa km kesi bado inaendelea mahakamani hupaswi kuiongelea kwa mtindo wako huo?
Mungu aendelee kukusimamia wewe pamoja na familia Yako Kwa yote unayopitia katika kipindi hiki unachopitia magumu mtumishi
nawawombea nawapenda niko Rwanda Mungu awabariki natena awashindanie.
Mungu akubariki sanaaa!!! Uko wazi sana mtumishi!!
Punguza maneno Mungu hampiganii mtumwa wake kwa naneno mani
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Isaya 58:1, Piga kelele usiache, paza sauti yako kama tarumbeta, uwaambie watu wangu dhambi yao na nyuma ya yakobo kosa lao.
@mussaissa6796
Жыл бұрын
Upumbavu wa kutojua sheria huo Kesi ikishakuwa mahakamani iwe una haki la hutakiwi kuiongelea nje ya mahakama Sasa hapo kama ni haki yenu mmeshaichafua tayari Na kama si haki yenu basi hilo ni kosa jingine juu ya lile mliloshtakiwa nalo.
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Hizo sheria ni za kishetani na zina lengo la kutaka watu wawe wanaonewa na asiweko mtu wa kuongea chochote. Kitu kama hicho hakipo, watufunge au watuache huru tutaongea sana.
@mussaissa6796
Жыл бұрын
@@HelbethMlelwa Ni sawa kwa akili zenu Ila na watachokufanyeni wao pia ni sawa kwa akili zao
Amen Amen Mtu wa Mungu.
mchungaji mungu anataka watu kama wewe wenye kusimama kwaujasiri mungu atakupigania
One of the 7 spirits of God!
Kwaungozi huu wa kristoani mtapotezwa Sana ira mtashinda mkiungana kupinga uovu wa aina hiii ameni
Alhamdulilai
Elimu ni jambo la muhimu sana. Mtumishi hajui kuwa hapo anavunja sheria.
@hamismabula9934
Жыл бұрын
Sheria za kutengenezwa na watu hizi kwa matakwa yao hata ukizifuata utanyanyaswa tu kwa jinsi wanavyotaka!!! Heri aongee tu ah!
@josephemmanuel388
Жыл бұрын
tanzania kunashelia kavuke kwenye zebra uone upo kwenye zebra 🦓 pikpik zinapita gali zinapita tanzania shelia bado
Eeeh niache uovu tu
Hakika wewe ni Elia
Ushoga hatutaki kabisa ufe.
Mbona kama mwezi mchanga?
Unaelim gani yakupinduwa dunia kama siokulopokalopka
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Elimu yangu ni ile waliyosoma akina Petro na Yohana Matendo ya Mitume 4:13 Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.
Huyo atakuja kufungwa huwezi amini, hajawahi kukaa jela huyo hata kutwa moja, Nataka mbarikiwa ajue kuwa magereza kuna mtu anaitwa nyapara na mwingine anaitwa kiherehere mbona atanyooka huyo
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Nashangaa unajiita njia ya Kristo, badala ya kuweka njia ya shetani. Haya unayoyaandika ni ya kishetani 100%
@michaelmwalimu6057
Жыл бұрын
Hata kusoma hujui inaitwa Nia ya kristo Mtu wenu jela inamngoja
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Sawa ni "NIA YA SHETANI"
Huyu mchungaji nimwehu
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Wewe uliyeokoka na una akili nyingi sijui nini kimekuvuta kwa mwehu huyu
Nisaidieni namb kikosi kazi
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
0714483548
Yani mtoto kauawa vipi? hebu elezeeni kwanza
Mama askofo mbo umeshindwa nawaamini wako wamefunika kichwa lakini wewe atakani sani nikichwa wazitu kamanimekukwaza utanisamee
@HelbethMlelwa
Жыл бұрын
Mwanamke amepewa nyele ndefu ili ziwe badala ya mavazi. Hivyo ukivaa kitambaa ameen, na usipovaa kitambaa ameen.
@bernardjohn8788
Жыл бұрын
Unafahamu maana ya askofu au unaharisha tuu Kila kinachokuja mdomoni.