Ghafla Mbarikiwa akuta kesi nyingine mahakamani. ahubiri kwa msimamo wa ajabu
Жүктеу.....
Пікірлер: 112
@charleskuyeko4400 Жыл бұрын
Mchungaji Mbarikiwa kuweka wakili si dhambi. Ukiweka wakili utashinda kesi zako na utaendelea kufanya kazi yako ya kumtumikia Mungu hapo Kikosi kazi. Lakini ukiamua kusimama mwenyewe mahakamani bila wakili ukweli ni kwamba utafungwa jela, jambo ambalo litarudisha nyuma kazi ya Mungu. Nakushauri Mtumishi wa Mungu weka wakili kwa kila kesi zako ulizofunguliwa. Mungu awe nawe.
@godfreymbuya-go5zd Жыл бұрын
Mungu amesismama naona shetani mavi debe muukumu wa haki anarudi na kesi tutashinda Kwa maana tupo pamoja kikosi kazi Mungu ni mwema
@frenkfarm1139 Жыл бұрын
sindiefu kutoka mbinguni moja kwa moja 💪 songa mbele 💪 baba mbalikiwa mungu kakuchangua kukomboa fikra zetu nakusimika bendela ya mungu mungu kakuamini sana sanaaaaaaa songa mbele baba
@joelmaroa4. Жыл бұрын
Mapenzi ya Mungu, na yafanyike...Kuishi ni Kristo kufa ni faida, kote kote ni kushinda. LAKINI WOTE WANAOHUSIKA KATIKA KUMHANGAISHA MCH MBARIKIWA, WASIPOTUBU WAKIWA HAI WATAJUTA SANA WAKIWA KABURINI. Na itakuwa too late, Kwa Sasa wanajiona wajanja na wenye akili lakini huko mbele WATAJUTA SANA. Kwa nini walifanya haya!!! Kujaribu kuzima nuru ya Mungu isiangaze duniani.
@cathelinematondo3992 Жыл бұрын
Baba yangu Mchungaji wangu Mbarikiwa Mwakipesile wewe ni Shujaa.Mungu amekuamini kwa viwango vya Juuuuuuuuuuuu sana.
@alexelegwa4327 Жыл бұрын
Nakataa kesi kwako katika jina la yesu. A aye sukuma kesi kwako imrudie kwa jina la yesu, nguvu za Wanganga z ichomeke kwako, natabiri kesi yako ikatike kwa uwepo wa mungu amina
@geofreypaul163 Жыл бұрын
“Kwa maana kwa neema niliyopewa namwambia kila mtu aliyeko kwenu asinie makuu kupita ilivyompasa kunia; bali awe na nia ya kiasi, kama Mungu alivyomgawia kila mtu kiasi cha imani. ” - Warumi 12:3 (Biblia Takatifu)
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Kunia Makuu ni Kujitamba kwenye vitu vilivyo zaidi ya Uwezo wako, Kwamba unatamba kwenye jambo usiloliweza hata kulifanya(yaani unakua muongo) Hivyo unapaswa kufanya Na kusema yale unayoyaweza au unaamini unaweza kulingana na IMANI Uliyogawiwa na uhakika wa Njia ya kupita kufikia hapo, na ufahamu wako unakuambia naweza, sio NAWEZA YA MDOMONI TU, Ila hata kwa kidole chako huwezi kugusa. Ndio maana ya hilo andiko
@bartolomeuhenrique1574 Жыл бұрын
Amen,niseme tu hivi mtumishi wa Bwana Yesu,huu ni wakati wa utawala wa Wana wa Giza yesu mwikozi aliasema,niwakati wa Giza,
@mawazomolani2677 Жыл бұрын
Pole sana MUNGU YU PAMOJA NAWE
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Pole Sana Mchungaji Kwa masumbufu unayopitia pamoja na hayo bado una heri Sana!
@mnyakyusambunifu143 Жыл бұрын
Mungu Unaye mtumikia Atakutetea Mtumishi na Kukupigania
@zabronbarosha2271 Жыл бұрын
Pole kamanda wa yesu mwenye haki ni jasili zaidi ya simba kaza buti
@aengelukalula7036 Жыл бұрын
EE MUNGU WEWE WAJUWA YOTE HAYA MUNGU AKUTIYE NGUVU BABA😭🙏🏿
@Duduqwe234 Жыл бұрын
Mbarikiwa Unajihesabia Saana Haki Yaaani Una Maneno ya Hovyo Sana Ambayo Yanathibitisha Kwamba Wewe Huna Maana Ya Kuwa Mtumishi wa Mungu Uliwaswma Vibaya Watumishi Wengi sana Tena Kwa Kuwataja Majina, Usiwe Mpumbavu Kiasi hicho!
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ili kukujuurisha kwamba si mchungaji kama wachungaji wengine ndio maana hayumo kwenye umoja wenu. Mwacheni afanye yale ambayo Mungu wake kamtuma.
@ambitiousholyspirit395 Жыл бұрын
Ee Mungu mkumbuke mtumishi wako katika madhira haya!
@lucksonsikaona505 Жыл бұрын
Don,t fear god you will victory against your enemies stand as adaniel
@teachingtruthmission2140 Жыл бұрын
Sina namna ya kuweza kumshauri huyu ndugu...Ni muhubiri mzuri sana ila nadhani hekima inahitajika ..kwa walio jilan wanapaswa kumwambia apunguze kuongea ongea na Bwna atamtetea ..Kuna mambo mengine atamlaumu Mungu vita ni vya Bwna
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Biblia anayosoma imeuagigiza AONGEZE KUONGEA SIO APUNGUZE (ISAYA 58:1). Kwake hiyo ndiyo hekima. Unayomshauri ni uchawa, unyumbu na unafiki
@paulsamuel5691 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu
@brother.jamesmarongo2777 Жыл бұрын
Mtumishi tafadhali Kuna haja ya kuepuka na mda mwingi na kesi na serikali. Plzzz.leave them alone
@zephaniafrangson3140 Жыл бұрын
Mungu msimamie mtumishi wako wewe ni mungu hujawahishindwa hata siku moja.machozi ya mtumishi huyu mtayalipia siku Moja wote mnaomsema vibaya
@josphenembunde5805 Жыл бұрын
God is good we glorify him always
@josephadoph9992 Жыл бұрын
Baba nakutia moyo ,Dunia ndo ilivo Haki IPO japo itachelewa,zaidi weka imani kwa mungu,zaidi zaidi,unayoyapitia hata me pia napitia mazito ILa Haki imeonekana
@Rastermirish Жыл бұрын
Wakristo wa siku hizi ni Wa ajabu sana mnampeleka ndugu yenu mhakamani wakati neno la mungu linasema tuonyane tuwadibishane kuwa neno Sasa kumwekea mtu makesi siujinga hiyo dah
@nesielias9493 Жыл бұрын
Wanafunguaje kesi juu ya kesi , yaani unamshitaki Mtu kabla hujamalizana nae nae anakufungulia kesi utaratibu gani huwo😢
@emmanuelcharles5613 Жыл бұрын
Dunia haija wahi kutambuwa haki Wala haija wahi kutambuwa kweli haija wahi kuelewa mungu ni nani Ila wakati ukifika wakati mungu ata simama mwenyewe kuwapa haki kwa wale wanae onewa
@selemsigala4771 Жыл бұрын
Mungu akushindie vita yako dhidi ya watesi wako.
@marymtoni5723 Жыл бұрын
Mungu akiwa upande wako hakuna aliye juu yako
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
You are a solder of Jesus Christ. God is great and Jesus Christ is King of kings and Lord of lords.
@seifmohamed8725 Жыл бұрын
Nakushauri mbarikiwa ingia kwenye uislam kabla halijakukuta jambo lolote ili hata ukifa ufe kifo kizuri (ufe ukiwa kwenye haki na lolote litakako kukuta utakuwa umedhulumiwa na mwenye kudhulumiwa atalipwa haki yake na mwenyezi mungu
@thimothtadeus7395
Жыл бұрын
Tatizo haiko kwenye dini tatizo ni anapigania haki
@leahdaniel1117
Жыл бұрын
Imeandikwa mwenye haki wangu ataishi kwa Imani, pia huelewi Vita anayopigana Ni Vita gani,siku zote shetani Vita yake Ni kwa watakatifu tu tofauti na hapo hao walioupande wake hashuguliki nao
@jesuspower2390
Жыл бұрын
sasa haki gani ya uislam hiyo haki juszi wamewaua waislam wenzao zaidi ya 200 Sudani acha unafiki uende mbinguni dini ya haki mnafuga majini na mnaswali nano msikitini? dini ya haki quran ianaya za kuomba majini na mpaka yakamdhuru mwenzio, dini ya haki vijana wote panya road ni waislam? dini ya haki wa alkaida na wote waislam, dini ya haki boko haram mnaua wakenya kila kukicha na tena mmevaa na mijuba? dini ya haki inaua watu kila siku alshaba.. Tena seif usipomkiri YESU na umesoma ujumbe huu huna cha kujitetea siku ya mwisho YESU ni njia ya kweli na uzima, ba biblia imesema huwezi kuuona ufalme bila njia ya YESU... mtume wenu mwenyewe mohamed anawakana. 😄
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Wewe hujui uslamu ni nini. Kusilim ni sawa na kusema KUSALIMU AMRI mbele za Mungu, kwamba hutaki mabaya unataka Mema, sasa Mbarikiwa ana makosa gani yatakayomfanya Asilim, hapo alipo ni Muislamu, Wazungu wasiwaweue ndugu zangu, Uislam au ukristo sio Hayo Majina ni Maisha safi na Ya Haki...
@azizabuyonde8368 Жыл бұрын
Mungu awatanguliye
@oscarsagala.com. Жыл бұрын
USIOGOPE mbarikiwa MUNGU Atakutetea MBAKA mwisho na UTASHINDA Tunakuombea
@alunekyusa4905 Жыл бұрын
Wewe ni kamanda Mungu amekuamini sana tena sana,wanstimiza unabiii
@naftalimhemi4163 Жыл бұрын
Kuweni na kiasi mwongozao au mwongozwao
@subirachristopher1984 Жыл бұрын
samahan nipo nje ya mada, mm ninahitaji kuvipata vitabu vya mch mbarikiwa, naomba utaratibu wa kuvipata. maelekezo
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Hta wachungaji nao wanavita wanapigana vita.kweli kila kazi inachangamoto yke
@cathelinematondo3992 Жыл бұрын
MUNGU Wewe utabaki kuwa Mungu kwa Nyakati zote na majira yote
@johnmalembo6464 Жыл бұрын
Usinge shtaki... Hapo wamekutega Ili wakufirisi. Iwe heri
@petermwasyika Жыл бұрын
Ameen baba
@epafraditopajenga4650 Жыл бұрын
Hata Ndugu Yetu , Paulo Mtume Baada Ya Kuona Mitume Wale Wakwaza Wapo Yerusalem Alienda kuhuburi Nchi Za Uarabuni Karibu Miaka Kumi Na Nne.
@ScolaJulius-fe5ti Жыл бұрын
Vita ikiwa ni ya Bwana atapambana mwenyewe ikiwa ni yako ndiyo itabidi uipambanie
@pastorgodsonjohn8562 Жыл бұрын
Shetani hawezi kumtafuta mtu asiye na kitu hii ni ishara njema kuwa ndani yako kuna kitu kikubwa
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
Neno linasema usiogope.. Isaya
@stellapaul-kr4yj Жыл бұрын
Kweli kabisa
@cathelinematondo3992 Жыл бұрын
MUNGU angalia maumivu ya mtumishi wako huyu 😭😭😭
@musajulias3392 Жыл бұрын
Ameni baba
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
MUNGU APOKEE SIFA NA UTUKUFU KWA KILA JAMBO, KATIKA JINA LA YESU KRISTO, WA NAZARETH
@johnsonjohn-qz7cq Жыл бұрын
Kwa hekima hii na akili kubwa namna hii wachungaji wa theology ya wazungu lazima wajikwae sanaa
@simonmsimbege-ty7yk Жыл бұрын
Kusudila MUNGU litasimama tu chakufanya sisi tunaendelea kupambania haki
@RamadhaniRamadhani-yd4hq Жыл бұрын
Hawata kuweza we we ni yule aliempiga goliati
@zabronbarosha2271 Жыл бұрын
Hapa nakumbuka vita ya bishop kakobe na serikali juu ya kupitisha umeme juu ya kanisa na mabadiiko ya siku ya uchaguzi usiwe jumapili na uhalali wa ulai wake serikali haitaki wasema kweli songa mbele usirudi nyuma
@johnbocko8020
Жыл бұрын
Uliwaambia wa EAGT Kama wanapeleka mashitaka mahakamani, waiitwe kanisa, bali waiitwe krabu. Je wewe unashitakije mahakamani? Nawewe uitwe krabu?
@zawadimwaibako4065
Жыл бұрын
@@johnbocko8020 uwe mwelewa wewe, ameshitakiwa na wala hajashitaki.
@chrispincharles3616 Жыл бұрын
BABA WEWE NI SHUJAA, NA KWA LOLOTE UMEANDIKA HISTORIA YA KUTOSHA MAISHA YAKO YAONGEZWE KAMA KITABU KIPYA CHA BIBLIA. WATU WA AINA YAKO ULIMWENGU HATUSTAHILI KUWA NAWE.
@Veni584 Жыл бұрын
Mungu ni mkubwa wangekuwahi usingepata nafasi ya kufungua kesi yako
@jesuspower2390 Жыл бұрын
Jamani leo mko wachache nimeamini haya ndio yale mambo mmepanga kusaidiana kusonga mbele ukigeuka nyuma unashangaa uko pekeyako
@PastorsTz
Жыл бұрын
Kilikuwa na mambo mengi hivyo mahakani ilikuwa emergency leo....pili sio lazima wawepo wengi..na hongera kwa point hiyo maana hata YESU walimkimbia ila bado tunasonga
@bensonmwananchi7701
Жыл бұрын
Wanaogopa kuunganishwa a kesi.
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Taarifa ilikua ya Ghafra sana, wengi hawakujua
@leticiageorge Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@shadraachshadinho Жыл бұрын
May God protect you in every step you take
@marymtoni5723 Жыл бұрын
Shujaa usiogope Bwana yuko pamoja na wewe
@mahembe23 Жыл бұрын
Unapoteza muda kuongea ongea saana.... We mwombe Mungu ndio mwenye majibu..... Huyo Paulo unayemnukuu... Alikua anaomba tu... Ukisimulia saana wanadamu watakukatisha tamaa.. Paulo lisema kwnn kunikatisha tamaa..... We bado hujapigwa vita baba.... Stefano huku anapigwa mawe lakini anasema mbingu zinafunguka.... Kwann aliona hayo? Jibu ni kwamba alikua rohoni..... Nyamaza wacha kutafuta huruma ya wanadamu kama kweli umetumwa na Mungu.... Na mateso au kuuwawa ndio ushindi katika kristo.....
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
James mahembe Sijajua unasema Paulo yupi, yeye ndiye aliyesema nina maneno mengi ila ni wavivu kusikia . Jifunze kusoma biblia wewe mwenyewe
@judithtitomalyeta4000 Жыл бұрын
Mhuuuu pole sana
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Hta mchungaji mwasasu alikuwa analalamika sana kuhusu vita hivyo vywachungaji.Hko mbeya pananini ombeni sana krsheni sana kazi yamungu nimkubwa sana
@maswamills3161
Жыл бұрын
Mengine wanajitakia.
@zawadimwaibako4065
Жыл бұрын
@@maswamills3161 huna roho ya ubinadamu kabisa, unaye furahia mwingine anapoumia!
@maswamills3161
Жыл бұрын
@@zawadimwaibako4065 majaribu yamewekwa kwa ajili ya wamchao MUNGU na WATUMISHI wake.Siyo kwa Sababu ya Waovu.Vita VYETU SII VYA DAMU NA NYAMA.Vita VYA WATUMISHI wa MUNGU na WATAKATIFU dhidi ya Adui Shetani vina UWANDA wake na KAMANDA wake.
@zawadimwaibako4065
Жыл бұрын
@@maswamills3161 sasa kama unajua hayo kwa nini unafurahia mwenzio anapoumia wakati biblia inasema lieni pamoja na wanaolia
@maswamills3161
Жыл бұрын
@@zawadimwaibako4065 umeniona wapi nikifurahia au Nikirukaruka kwa hayo.Unafahamu vizuri maana ya "Lieni nao wanaolia ,Kilio siyo Ushindi Bali Ni Kitendo Cha wakati wa tukio ,likipita tunatafuta vya USHINDI baada ya KULIA.
@wamburakinyunyi3854 Жыл бұрын
Usiogope kama da wa YESU yeye atasimama Amina
@txsoundsrecord3663 Жыл бұрын
Shida ni nini
@pastorjacksonmbilinyi1849 Жыл бұрын
Jitafakari tatizo unakibur sana itakugarim
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ingenigharimu usingehangaika kufuatilia. Mimi yangu yanajulikana ndio maana na mashetani kama wewe unapata nafasi ya kutukana. Wewe yako ni siri kwa kuwa ni aibu kila kona. Tupe location tujue ulipo ili tufuatilie hali yako
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Hujui kutofautisha Kiburi na Hekima ndio maana Unabwatuka mimaandishi usiyoweza kuielezea. Mambo ya Haki kwenu nyie wahuni na waovu ni UPUUZI Ndio maana unaona mbarikiwa ana kiburi.
@marianaduncan6330 Жыл бұрын
Kiongozi kipofu,na waumini vipofu,Mwenye haki akitawalama watu wake watakuwa na haki,ila akiwa muovu na watu watakuwa waovu,hubiri injili ya KRISTO,Acha kudeal na mambo ya serikari yatakusumbua ukakosa na kulisahau kusudi ambalo BWANA YESU KRISTO amekuitia ,YESU KRISTO anarudi ,tuna mda mchache tu Duniani, hivyo komboa wakati ,hubiri injili watu waokolewe ,
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Wazungu walipokufanya chawa walikuambia serikali sio binadamu? Sisi tunashughulika na ubaya bila kujali uko kwa nani. Tukana utukanavyo ila kwetu hiyo ndiyo Injili. Kutua mtatuua ndiyo kama mlivyoua mwanangu. Mtasheherekea kwa muda
@marianaduncan6330
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile unapoteza mda komboa wakati, hubiri injili watu wakombolewe,hao waumini unaowasumbua utakuja kuulizwa Kwa ajili ya nafsi hizo , hubiri umpeleekee BWANA YESU KRISTO matunda,
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
@@marianaduncan6330 wewe umeukomboa kuua? Na je una waumini ambao hauwapotezei wakati? Kama huna ujue hujui ulisemalo. Yaani maluweluwe ya wazungu ndio unajua Injili
@jerusalemsuccess4562 Жыл бұрын
Leo yamekuwa maandiko matakatifu wakati uliita biblia ni kitabu Cha shetani? Acha kutumia biblia andikja kitabu chako, ulisema biblia hii ni kitabu Cha shetani.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ulisikiliza kichawa. Au kwenye clip hiyo ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kusikiliza mahubiri ya mhubiri huyu na ulisikiliza ukiwa umetafsiliwa na machawa. Vinginevyo ungejua kuwa mhubiri huyu ndiye anayeihubiri na kuishi Biblia kwa maneno na vitendo. Rudia kusikiliza hiyo clip bila kutumia akili ya chawa. Kisha sikiliza mahubiri ya mhubiri huyu ya kabla ya clip hiyo.
@yusuphusaimoni4182
Жыл бұрын
Pasta naomba nikushauri hubiri injiri acha majibizano na serikali me sioni kabisa we kuwapanda chuki watu was mungu piga goti na siyo kuongea unakosea sanaaa Sanaa pasta
@maswamills3161
Жыл бұрын
@@yusuphusaimoni4182 aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yatamkuta.anajipeleka pagumu .
@maswamills3161
Жыл бұрын
Shida KWELI 💯
@zephaniafrangson3140
Жыл бұрын
Mungu mtunze mtumishi wako wewe ni mungu hujawahishindwa hata siku Moja .wote wanaokomment kwakumtukana mtumishi huyu mungu awashughulikie na kuwaondolea ushetani walionao.
@s.flavor38 Жыл бұрын
Waumini nanyie kuitikia2🙄🙄🙄
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
S. favor Njoo tukuitikie wewe
@s.flavor38
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile muitikieni mungu
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
@@s.flavor38 Anasemea wapi huyo Mungu tukamuitikie, sauti yake inasikika wapi? Huku kwetu haipo, zaidi ya kupitia watu wake ambao hata tukisoma biblia Tunaona watu walikua wakisema Yaliyo ya Mungu, na Waliokua wanasikiliza WALIWAITIKIA WALE Waliokua wanawaambia Sio Mungu tena ambaye hawamuoni...
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Hajatufundisha kiburi cha kukaa kimya anaposema, nidhamu ni pamoja na kuitika unapoambiwa jambo kisha kwenda kuteleleza. Kwenda kutekeleza bila kuitikia hutaeleweka kwamba Unaenda au hauendi kufanya hivyo...
@thepowerofchristministry1918 Жыл бұрын
Sasa hapo hauko sawa huo ni unafiki au kutoelewa.imani ya usilam haipo ktk maandiko ya biblia.acha dini za watu wewe endelea na mambo yako
@denismlwati3285
Жыл бұрын
Nyie watu kusema Tabia nyingi za kiislam ni Tabia za kimungu Ni kosa ? Mfano au Ni uongo uvaaji wao , uaminifu waonwalio wengi n,k je wakristo wengi sio wavaaji wa hovyo visurual vya mbano na vimin kanisani ukiwasema wanasema bwana anaagaliaoyo naamin moyo wako unakushuhudia kabisa huu Ni ukweli
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Mafarisayo type
@rachelcharlse6156
Жыл бұрын
Mbn ulikua unasema biblia wazungu wamepoteza waafrika kuwaaminisha maandiko,VIP kuhusu mbn waitumia tena bible acha kuidharau biblia utasumbuliwa sana jikague kabla ya kulalamikia unayopitia mungu huwa hadhiakiwi
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
@@rachelcharlse6156 ulisikiliza kwa kutumia sikio la chawa ndiyo maana. Siku zote natumia nini? Rudi ukasikilize tena kwa sikio lako clip hiyo
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
@@rachelcharlse6156 Alisema HIVI "BIBLIA HII HAINA TATIZO, TATIZO NI HAO WANAOSEMWA WALIILETA BIBLIA" Akiwa na Maana waliochapisha biblia na kuja nayo afrika waliitafsiri kwa hila ndio maana ikawapoteza waaafrika, ila ukiitafsiri kwa msaada wa Mungu itakusaidia sana. Kama ALIVYOITAFSIRI KWANGU HADI MIMI ANDREW FUIME NIKAACHA KUJIZINI NA MENO KUACHA KUUMA BILA KUNG'OA, tena hata hakuniombea, na jina langu alikua Halijui. Lakini nilikua kwenye Dini moja, waliitafsiri hiyo biblia kwa msaada wa wazungu ikaniacha na Kujizini na Meno kuuma sana, nikawa wa Hivyo, ni biblia hiyohiyo na maandiko ni Hayohayo... Kasikilize tena ile Clip utamuelewa vizuri
Пікірлер: 112
Mchungaji Mbarikiwa kuweka wakili si dhambi. Ukiweka wakili utashinda kesi zako na utaendelea kufanya kazi yako ya kumtumikia Mungu hapo Kikosi kazi. Lakini ukiamua kusimama mwenyewe mahakamani bila wakili ukweli ni kwamba utafungwa jela, jambo ambalo litarudisha nyuma kazi ya Mungu. Nakushauri Mtumishi wa Mungu weka wakili kwa kila kesi zako ulizofunguliwa. Mungu awe nawe.
Mungu amesismama naona shetani mavi debe muukumu wa haki anarudi na kesi tutashinda Kwa maana tupo pamoja kikosi kazi Mungu ni mwema
sindiefu kutoka mbinguni moja kwa moja 💪 songa mbele 💪 baba mbalikiwa mungu kakuchangua kukomboa fikra zetu nakusimika bendela ya mungu mungu kakuamini sana sanaaaaaaa songa mbele baba
Mapenzi ya Mungu, na yafanyike...Kuishi ni Kristo kufa ni faida, kote kote ni kushinda. LAKINI WOTE WANAOHUSIKA KATIKA KUMHANGAISHA MCH MBARIKIWA, WASIPOTUBU WAKIWA HAI WATAJUTA SANA WAKIWA KABURINI. Na itakuwa too late, Kwa Sasa wanajiona wajanja na wenye akili lakini huko mbele WATAJUTA SANA. Kwa nini walifanya haya!!! Kujaribu kuzima nuru ya Mungu isiangaze duniani.
Baba yangu Mchungaji wangu Mbarikiwa Mwakipesile wewe ni Shujaa.Mungu amekuamini kwa viwango vya Juuuuuuuuuuuu sana.
Nakataa kesi kwako katika jina la yesu. A aye sukuma kesi kwako imrudie kwa jina la yesu, nguvu za Wanganga z ichomeke kwako, natabiri kesi yako ikatike kwa uwepo wa mungu amina
“Kwa maana kwa neema niliyopewa namwambia kila mtu aliyeko kwenu asinie makuu kupita ilivyompasa kunia; bali awe na nia ya kiasi, kama Mungu alivyomgawia kila mtu kiasi cha imani. ” - Warumi 12:3 (Biblia Takatifu)
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Kunia Makuu ni Kujitamba kwenye vitu vilivyo zaidi ya Uwezo wako, Kwamba unatamba kwenye jambo usiloliweza hata kulifanya(yaani unakua muongo) Hivyo unapaswa kufanya Na kusema yale unayoyaweza au unaamini unaweza kulingana na IMANI Uliyogawiwa na uhakika wa Njia ya kupita kufikia hapo, na ufahamu wako unakuambia naweza, sio NAWEZA YA MDOMONI TU, Ila hata kwa kidole chako huwezi kugusa. Ndio maana ya hilo andiko
Amen,niseme tu hivi mtumishi wa Bwana Yesu,huu ni wakati wa utawala wa Wana wa Giza yesu mwikozi aliasema,niwakati wa Giza,
Pole sana MUNGU YU PAMOJA NAWE
Pole Sana Mchungaji Kwa masumbufu unayopitia pamoja na hayo bado una heri Sana!
Mungu Unaye mtumikia Atakutetea Mtumishi na Kukupigania
Pole kamanda wa yesu mwenye haki ni jasili zaidi ya simba kaza buti
EE MUNGU WEWE WAJUWA YOTE HAYA MUNGU AKUTIYE NGUVU BABA😭🙏🏿
Mbarikiwa Unajihesabia Saana Haki Yaaani Una Maneno ya Hovyo Sana Ambayo Yanathibitisha Kwamba Wewe Huna Maana Ya Kuwa Mtumishi wa Mungu Uliwaswma Vibaya Watumishi Wengi sana Tena Kwa Kuwataja Majina, Usiwe Mpumbavu Kiasi hicho!
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ili kukujuurisha kwamba si mchungaji kama wachungaji wengine ndio maana hayumo kwenye umoja wenu. Mwacheni afanye yale ambayo Mungu wake kamtuma.
Ee Mungu mkumbuke mtumishi wako katika madhira haya!
Don,t fear god you will victory against your enemies stand as adaniel
Sina namna ya kuweza kumshauri huyu ndugu...Ni muhubiri mzuri sana ila nadhani hekima inahitajika ..kwa walio jilan wanapaswa kumwambia apunguze kuongea ongea na Bwna atamtetea ..Kuna mambo mengine atamlaumu Mungu vita ni vya Bwna
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Biblia anayosoma imeuagigiza AONGEZE KUONGEA SIO APUNGUZE (ISAYA 58:1). Kwake hiyo ndiyo hekima. Unayomshauri ni uchawa, unyumbu na unafiki
Pole sana mtumishi wa mungu
Mtumishi tafadhali Kuna haja ya kuepuka na mda mwingi na kesi na serikali. Plzzz.leave them alone
Mungu msimamie mtumishi wako wewe ni mungu hujawahishindwa hata siku moja.machozi ya mtumishi huyu mtayalipia siku Moja wote mnaomsema vibaya
God is good we glorify him always
Baba nakutia moyo ,Dunia ndo ilivo Haki IPO japo itachelewa,zaidi weka imani kwa mungu,zaidi zaidi,unayoyapitia hata me pia napitia mazito ILa Haki imeonekana
Wakristo wa siku hizi ni Wa ajabu sana mnampeleka ndugu yenu mhakamani wakati neno la mungu linasema tuonyane tuwadibishane kuwa neno Sasa kumwekea mtu makesi siujinga hiyo dah
Wanafunguaje kesi juu ya kesi , yaani unamshitaki Mtu kabla hujamalizana nae nae anakufungulia kesi utaratibu gani huwo😢
Dunia haija wahi kutambuwa haki Wala haija wahi kutambuwa kweli haija wahi kuelewa mungu ni nani Ila wakati ukifika wakati mungu ata simama mwenyewe kuwapa haki kwa wale wanae onewa
Mungu akushindie vita yako dhidi ya watesi wako.
Mungu akiwa upande wako hakuna aliye juu yako
You are a solder of Jesus Christ. God is great and Jesus Christ is King of kings and Lord of lords.
Nakushauri mbarikiwa ingia kwenye uislam kabla halijakukuta jambo lolote ili hata ukifa ufe kifo kizuri (ufe ukiwa kwenye haki na lolote litakako kukuta utakuwa umedhulumiwa na mwenye kudhulumiwa atalipwa haki yake na mwenyezi mungu
@thimothtadeus7395
Жыл бұрын
Tatizo haiko kwenye dini tatizo ni anapigania haki
@leahdaniel1117
Жыл бұрын
Imeandikwa mwenye haki wangu ataishi kwa Imani, pia huelewi Vita anayopigana Ni Vita gani,siku zote shetani Vita yake Ni kwa watakatifu tu tofauti na hapo hao walioupande wake hashuguliki nao
@jesuspower2390
Жыл бұрын
sasa haki gani ya uislam hiyo haki juszi wamewaua waislam wenzao zaidi ya 200 Sudani acha unafiki uende mbinguni dini ya haki mnafuga majini na mnaswali nano msikitini? dini ya haki quran ianaya za kuomba majini na mpaka yakamdhuru mwenzio, dini ya haki vijana wote panya road ni waislam? dini ya haki wa alkaida na wote waislam, dini ya haki boko haram mnaua wakenya kila kukicha na tena mmevaa na mijuba? dini ya haki inaua watu kila siku alshaba.. Tena seif usipomkiri YESU na umesoma ujumbe huu huna cha kujitetea siku ya mwisho YESU ni njia ya kweli na uzima, ba biblia imesema huwezi kuuona ufalme bila njia ya YESU... mtume wenu mwenyewe mohamed anawakana. 😄
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Wewe hujui uslamu ni nini. Kusilim ni sawa na kusema KUSALIMU AMRI mbele za Mungu, kwamba hutaki mabaya unataka Mema, sasa Mbarikiwa ana makosa gani yatakayomfanya Asilim, hapo alipo ni Muislamu, Wazungu wasiwaweue ndugu zangu, Uislam au ukristo sio Hayo Majina ni Maisha safi na Ya Haki...
Mungu awatanguliye
USIOGOPE mbarikiwa MUNGU Atakutetea MBAKA mwisho na UTASHINDA Tunakuombea
Wewe ni kamanda Mungu amekuamini sana tena sana,wanstimiza unabiii
Kuweni na kiasi mwongozao au mwongozwao
samahan nipo nje ya mada, mm ninahitaji kuvipata vitabu vya mch mbarikiwa, naomba utaratibu wa kuvipata. maelekezo
Hta wachungaji nao wanavita wanapigana vita.kweli kila kazi inachangamoto yke
MUNGU Wewe utabaki kuwa Mungu kwa Nyakati zote na majira yote
Usinge shtaki... Hapo wamekutega Ili wakufirisi. Iwe heri
Ameen baba
Hata Ndugu Yetu , Paulo Mtume Baada Ya Kuona Mitume Wale Wakwaza Wapo Yerusalem Alienda kuhuburi Nchi Za Uarabuni Karibu Miaka Kumi Na Nne.
Vita ikiwa ni ya Bwana atapambana mwenyewe ikiwa ni yako ndiyo itabidi uipambanie
Shetani hawezi kumtafuta mtu asiye na kitu hii ni ishara njema kuwa ndani yako kuna kitu kikubwa
Neno linasema usiogope.. Isaya
Kweli kabisa
MUNGU angalia maumivu ya mtumishi wako huyu 😭😭😭
Ameni baba
MUNGU APOKEE SIFA NA UTUKUFU KWA KILA JAMBO, KATIKA JINA LA YESU KRISTO, WA NAZARETH
Kwa hekima hii na akili kubwa namna hii wachungaji wa theology ya wazungu lazima wajikwae sanaa
Kusudila MUNGU litasimama tu chakufanya sisi tunaendelea kupambania haki
Hawata kuweza we we ni yule aliempiga goliati
Hapa nakumbuka vita ya bishop kakobe na serikali juu ya kupitisha umeme juu ya kanisa na mabadiiko ya siku ya uchaguzi usiwe jumapili na uhalali wa ulai wake serikali haitaki wasema kweli songa mbele usirudi nyuma
@johnbocko8020
Жыл бұрын
Uliwaambia wa EAGT Kama wanapeleka mashitaka mahakamani, waiitwe kanisa, bali waiitwe krabu. Je wewe unashitakije mahakamani? Nawewe uitwe krabu?
@zawadimwaibako4065
Жыл бұрын
@@johnbocko8020 uwe mwelewa wewe, ameshitakiwa na wala hajashitaki.
BABA WEWE NI SHUJAA, NA KWA LOLOTE UMEANDIKA HISTORIA YA KUTOSHA MAISHA YAKO YAONGEZWE KAMA KITABU KIPYA CHA BIBLIA. WATU WA AINA YAKO ULIMWENGU HATUSTAHILI KUWA NAWE.
Mungu ni mkubwa wangekuwahi usingepata nafasi ya kufungua kesi yako
Jamani leo mko wachache nimeamini haya ndio yale mambo mmepanga kusaidiana kusonga mbele ukigeuka nyuma unashangaa uko pekeyako
@PastorsTz
Жыл бұрын
Kilikuwa na mambo mengi hivyo mahakani ilikuwa emergency leo....pili sio lazima wawepo wengi..na hongera kwa point hiyo maana hata YESU walimkimbia ila bado tunasonga
@bensonmwananchi7701
Жыл бұрын
Wanaogopa kuunganishwa a kesi.
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Taarifa ilikua ya Ghafra sana, wengi hawakujua
😭😭😭😭😭😭
May God protect you in every step you take
Shujaa usiogope Bwana yuko pamoja na wewe
Unapoteza muda kuongea ongea saana.... We mwombe Mungu ndio mwenye majibu..... Huyo Paulo unayemnukuu... Alikua anaomba tu... Ukisimulia saana wanadamu watakukatisha tamaa.. Paulo lisema kwnn kunikatisha tamaa..... We bado hujapigwa vita baba.... Stefano huku anapigwa mawe lakini anasema mbingu zinafunguka.... Kwann aliona hayo? Jibu ni kwamba alikua rohoni..... Nyamaza wacha kutafuta huruma ya wanadamu kama kweli umetumwa na Mungu.... Na mateso au kuuwawa ndio ushindi katika kristo.....
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
James mahembe Sijajua unasema Paulo yupi, yeye ndiye aliyesema nina maneno mengi ila ni wavivu kusikia . Jifunze kusoma biblia wewe mwenyewe
Mhuuuu pole sana
Hta mchungaji mwasasu alikuwa analalamika sana kuhusu vita hivyo vywachungaji.Hko mbeya pananini ombeni sana krsheni sana kazi yamungu nimkubwa sana
@maswamills3161
Жыл бұрын
Mengine wanajitakia.
@zawadimwaibako4065
Жыл бұрын
@@maswamills3161 huna roho ya ubinadamu kabisa, unaye furahia mwingine anapoumia!
@maswamills3161
Жыл бұрын
@@zawadimwaibako4065 majaribu yamewekwa kwa ajili ya wamchao MUNGU na WATUMISHI wake.Siyo kwa Sababu ya Waovu.Vita VYETU SII VYA DAMU NA NYAMA.Vita VYA WATUMISHI wa MUNGU na WATAKATIFU dhidi ya Adui Shetani vina UWANDA wake na KAMANDA wake.
@zawadimwaibako4065
Жыл бұрын
@@maswamills3161 sasa kama unajua hayo kwa nini unafurahia mwenzio anapoumia wakati biblia inasema lieni pamoja na wanaolia
@maswamills3161
Жыл бұрын
@@zawadimwaibako4065 umeniona wapi nikifurahia au Nikirukaruka kwa hayo.Unafahamu vizuri maana ya "Lieni nao wanaolia ,Kilio siyo Ushindi Bali Ni Kitendo Cha wakati wa tukio ,likipita tunatafuta vya USHINDI baada ya KULIA.
Usiogope kama da wa YESU yeye atasimama Amina
Shida ni nini
Jitafakari tatizo unakibur sana itakugarim
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ingenigharimu usingehangaika kufuatilia. Mimi yangu yanajulikana ndio maana na mashetani kama wewe unapata nafasi ya kutukana. Wewe yako ni siri kwa kuwa ni aibu kila kona. Tupe location tujue ulipo ili tufuatilie hali yako
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Hujui kutofautisha Kiburi na Hekima ndio maana Unabwatuka mimaandishi usiyoweza kuielezea. Mambo ya Haki kwenu nyie wahuni na waovu ni UPUUZI Ndio maana unaona mbarikiwa ana kiburi.
Kiongozi kipofu,na waumini vipofu,Mwenye haki akitawalama watu wake watakuwa na haki,ila akiwa muovu na watu watakuwa waovu,hubiri injili ya KRISTO,Acha kudeal na mambo ya serikari yatakusumbua ukakosa na kulisahau kusudi ambalo BWANA YESU KRISTO amekuitia ,YESU KRISTO anarudi ,tuna mda mchache tu Duniani, hivyo komboa wakati ,hubiri injili watu waokolewe ,
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Wazungu walipokufanya chawa walikuambia serikali sio binadamu? Sisi tunashughulika na ubaya bila kujali uko kwa nani. Tukana utukanavyo ila kwetu hiyo ndiyo Injili. Kutua mtatuua ndiyo kama mlivyoua mwanangu. Mtasheherekea kwa muda
@marianaduncan6330
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile unapoteza mda komboa wakati, hubiri injili watu wakombolewe,hao waumini unaowasumbua utakuja kuulizwa Kwa ajili ya nafsi hizo , hubiri umpeleekee BWANA YESU KRISTO matunda,
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
@@marianaduncan6330 wewe umeukomboa kuua? Na je una waumini ambao hauwapotezei wakati? Kama huna ujue hujui ulisemalo. Yaani maluweluwe ya wazungu ndio unajua Injili
Leo yamekuwa maandiko matakatifu wakati uliita biblia ni kitabu Cha shetani? Acha kutumia biblia andikja kitabu chako, ulisema biblia hii ni kitabu Cha shetani.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ulisikiliza kichawa. Au kwenye clip hiyo ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kusikiliza mahubiri ya mhubiri huyu na ulisikiliza ukiwa umetafsiliwa na machawa. Vinginevyo ungejua kuwa mhubiri huyu ndiye anayeihubiri na kuishi Biblia kwa maneno na vitendo. Rudia kusikiliza hiyo clip bila kutumia akili ya chawa. Kisha sikiliza mahubiri ya mhubiri huyu ya kabla ya clip hiyo.
@yusuphusaimoni4182
Жыл бұрын
Pasta naomba nikushauri hubiri injiri acha majibizano na serikali me sioni kabisa we kuwapanda chuki watu was mungu piga goti na siyo kuongea unakosea sanaaa Sanaa pasta
@maswamills3161
Жыл бұрын
@@yusuphusaimoni4182 aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yatamkuta.anajipeleka pagumu .
@maswamills3161
Жыл бұрын
Shida KWELI 💯
@zephaniafrangson3140
Жыл бұрын
Mungu mtunze mtumishi wako wewe ni mungu hujawahishindwa hata siku Moja .wote wanaokomment kwakumtukana mtumishi huyu mungu awashughulikie na kuwaondolea ushetani walionao.
Waumini nanyie kuitikia2🙄🙄🙄
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
S. favor Njoo tukuitikie wewe
@s.flavor38
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile muitikieni mungu
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
@@s.flavor38 Anasemea wapi huyo Mungu tukamuitikie, sauti yake inasikika wapi? Huku kwetu haipo, zaidi ya kupitia watu wake ambao hata tukisoma biblia Tunaona watu walikua wakisema Yaliyo ya Mungu, na Waliokua wanasikiliza WALIWAITIKIA WALE Waliokua wanawaambia Sio Mungu tena ambaye hawamuoni...
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
Hajatufundisha kiburi cha kukaa kimya anaposema, nidhamu ni pamoja na kuitika unapoambiwa jambo kisha kwenda kuteleleza. Kwenda kutekeleza bila kuitikia hutaeleweka kwamba Unaenda au hauendi kufanya hivyo...
Sasa hapo hauko sawa huo ni unafiki au kutoelewa.imani ya usilam haipo ktk maandiko ya biblia.acha dini za watu wewe endelea na mambo yako
@denismlwati3285
Жыл бұрын
Nyie watu kusema Tabia nyingi za kiislam ni Tabia za kimungu Ni kosa ? Mfano au Ni uongo uvaaji wao , uaminifu waonwalio wengi n,k je wakristo wengi sio wavaaji wa hovyo visurual vya mbano na vimin kanisani ukiwasema wanasema bwana anaagaliaoyo naamin moyo wako unakushuhudia kabisa huu Ni ukweli
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Mafarisayo type
@rachelcharlse6156
Жыл бұрын
Mbn ulikua unasema biblia wazungu wamepoteza waafrika kuwaaminisha maandiko,VIP kuhusu mbn waitumia tena bible acha kuidharau biblia utasumbuliwa sana jikague kabla ya kulalamikia unayopitia mungu huwa hadhiakiwi
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
@@rachelcharlse6156 ulisikiliza kwa kutumia sikio la chawa ndiyo maana. Siku zote natumia nini? Rudi ukasikilize tena kwa sikio lako clip hiyo
@Afrikahuru28
Жыл бұрын
@@rachelcharlse6156 Alisema HIVI "BIBLIA HII HAINA TATIZO, TATIZO NI HAO WANAOSEMWA WALIILETA BIBLIA" Akiwa na Maana waliochapisha biblia na kuja nayo afrika waliitafsiri kwa hila ndio maana ikawapoteza waaafrika, ila ukiitafsiri kwa msaada wa Mungu itakusaidia sana. Kama ALIVYOITAFSIRI KWANGU HADI MIMI ANDREW FUIME NIKAACHA KUJIZINI NA MENO KUACHA KUUMA BILA KUNG'OA, tena hata hakuniombea, na jina langu alikua Halijui. Lakini nilikua kwenye Dini moja, waliitafsiri hiyo biblia kwa msaada wa wazungu ikaniacha na Kujizini na Meno kuuma sana, nikawa wa Hivyo, ni biblia hiyohiyo na maandiko ni Hayohayo... Kasikilize tena ile Clip utamuelewa vizuri