Mbarikiwa ashusha mahubiri mazito mahakamani leo. Baada ya "vimbwanga" mahakamani
Жүктеу.....
Пікірлер: 91
@legendouglas Жыл бұрын
Mungu akupiganie... Ndo maombi yetu huku Kenya🇰🇪🇰🇪.... Baada ya dhiki ni faraja... Unapojaribiwa usikate tamaa... Injili nayo piga Kila mahali.. Nairobi tnakusikiza. Umetumwa kw wachache ambao watakubali yesu tu. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@linkreuben3108 Жыл бұрын
MOTO UMEWAKA, HAUTAZIMIKA MPAKA YESU ATAKAPORUDI, wameshafnya uhuni mwingi sasa yatosha!!!!!!!!!!!!! Mbarikiwa Jembe!!!!!
@leticiageorge Жыл бұрын
Duh! Haya mahangaiko mpaka Lini Mungu?😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😱😱😱
@frenkfarm1139 Жыл бұрын
baba mbalikiwa 💪 ushindi upo japo goliati nimlefu ndio ananguvu ndio ila hamshindi mungu Alie muumba lazima mungu ainue mutu wamkumuangusha goliati baba mbalikiwa mungu kakuchangua kutukomboa fikra zetu zilizo tekwa tangu zamani baba naamini unaweza mpinge goliati 💪 wako ututoe kwenye utumwa inawezekana sana sana sana sana
@numbulajango9040 Жыл бұрын
mimi nawaambia huyu mtu wawe nae makini sana hapa ndo anazidi kuwateka watu na kufahamika harafu kumbuka ushindi ni lazima aupate na wale watu wenye walikuwa wanajiuliza maswali bila majibu siku ameshinda ndo mtaelewa kuwa Tanzania bila uovu inawezekana HATA MMI NI MIONGONI MWA WANAO MFUATILIA SIO MFUASI WAKE.
@joelmaroa4. Жыл бұрын
Natamani Sana kuwa kama Mchungaji Mbarikiwa. Shujaa wa Tanzania, Africa na dunia Kwa ujumla wake.
@mbwanahasan2971
Жыл бұрын
Mbona rahisi sana ila jitoe tu muhanga kwa kusema ukweli na kubali kufungwa kuuliwa
@cuthbertsebastian9626 Жыл бұрын
ata kwenye moto Yesu yupo maana Yesu ndiye aliyeuumba. Huenda kwa njia hiyo wataokoka wengi. Amen
@francismaliyao2175 Жыл бұрын
Kama hujui vzr bora ukae kimya kuliko kuchangia pumba,unayosema ni ya kweli japokuwa ni magumu sana. Wengi wetu ni waogà sana tunapenda kuwapendeza wanadamu sio Mungu,Mungu aliye hai akutetee,kuna vitabu vilipatikana kutokàna na mateso. Kama hauigizi endelea mbele.
@mestonisimzosha203 Жыл бұрын
-GADAFI -MAGUFURI -MBARIKIWA MWAKIPESIRE WAZALENDO wakweli WANAZIFIA NCHI ZAO😢😢😢😭😭..La!!!hivi kweli viongozi Hamjuwi Umuhimu wa Uwepo wa MBARIKIWA hapa TANZANIA??.....
@majigedioniz8049
Жыл бұрын
Sasa alie shikilia kesi yake mahakamani kaoa mtoto wa mwenye sauti ya mwisho Asa unaweza ukamkosoa mkwilima wako na umempa mamlaka ya juu
@veronicanzingula5426 Жыл бұрын
Mungu ni Mwema chapa Injili baba Wala usirud nyuma tuko tunakuombea
@sweetluc2660 Жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nawe Baba utashinda
@jeremiatitus4414 Жыл бұрын
Duh.. unaeleweka Mungu awe pamoja nawe, Mungu ni zaidi yao,jamn ogopeni Mungu jmn viongoz mueleweni huyu mtumishi jmn dunia Ina mwisho..tutasimama hukumuni bila kujali
@estermachea3373 Жыл бұрын
Mungu akulindeni
@johnsonjohn-qz7cq Жыл бұрын
Uzao wa kiyahudi ushindi lazima Ameeen
@majigedioniz8049
Жыл бұрын
Ameeen
@furahajoy3168 Жыл бұрын
Mungu awateteye watu wa dunia hawanauruma
@mrimimarwa6485 Жыл бұрын
Mungu atasimama nakuwafutilia mbali hawa wanaokufatilia kwajina la yesu
@geraldsenkondo4334 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi, Naomba MUNGU Kwamba jambo hili liishe kwa Amani. Jitahidi kutii Sheria ambayo ulishiriki kuitengeneza kupitia mbunge ulie mchagua, kama zilikua na tatizo tujaribu kuzipinga kwa mijadala na sio kuzivunja, Watakufunga na kwakua mbunge wako alizikubali hakimu hatakua na hatia, kumbuka pasiposheria kilamwanadamu ana haki yake hivyo ili kuzuia fujo inabidi kuwe na namna kutafsiri inavyokubakika , Hata hivyo nakupa pole sana kwa unayopitia pia nimependa ujasiri wako. Jitahidi sana kufuata utaratibu.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Wangefuata sheria zao hata wasingenipeleka mahakamani. Kwani walinipa kibali wao wenyewe na wamekikataa macho makavu. Sina utaratibu zaidi ya taratibu zao wenyewe. Kwa hapa wafanye watakalo.
@humphreymwihambi4330
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Kibali original kiko wapi? Au wewe ulipewa copy? Nauliza tu kwa jicho la kisheria. Hakimu kutaka original ni sahihi. Shida yangu original anayo nani
@mashakambugi6730 Жыл бұрын
kinachokosekana hapa ni Utii, Usikivu na unyenyekevu kwa mtu Mungu ili kumtofautisha nawengi.
@estermsigwa1476
Жыл бұрын
Sahihi
@cathelinematondo3992 Жыл бұрын
Hatuna kwa kwenda Baba zaidi ya kuja kwako 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@pazasauti4207 Жыл бұрын
Simama Mungu yuko pamoja nawewe
@cathelinematondo3992 Жыл бұрын
MUNGU angalia maumivu na mahangaiko haya 😭😭😭😭
@Peaceman-S Жыл бұрын
Serikali huyu mtu nikumpa kesi ya uhujumu uchumi alafu awekwe ndan na kesi isisomwe miaka 7akitoka akili itakuwa sawah....wengine tumefiwa na mama ambaye alikuwa mweny imani zaidi yake kafa mtoto akili zimemruka kawa kama kavuta ndumu anazani wokovu ni kuwa na kiburi na misimamo ya ajabu kanisa lisipate kibali hili ni chimbo la boko haramu...
@geofreywayesu5638
Жыл бұрын
Ww Mungu sio shangazi ako
@eliakisinga5360
Жыл бұрын
Hata akiwekwa miaka ishilini wewe utapata faida gani unawajua watu wanahujumu uchumi au unaropoka tu
@devotasanga9239
Жыл бұрын
Kufungwa kwa watu wa Mungu hilo ni jambo la kawaida sana na wala hatushangai, kwani ilishaandikwa hivyo na ndio njia waliopitia Baba zetu. Lakini tambueni kuwa kumfunga/kumtesa/kumuua mwenywe HAKI haitakuwa rahisi kama mnavyofikiri ninyi.
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
Mr laugh alafu wakiisha mpa kesi wewe utafaidika na nini??
@joshualwinga Жыл бұрын
Twende Kwa Nani Babà kama si kwakoo Twende Kwa Nani Baba kama so kwakoo hatuna msaada kwingine kama sikwakoo Tunaomba utusaidie Baba janga hili tuliepuke Baba matatizo haya mpaka lini???????? Tumechoka Baba kuyumbishwa kama Hatuna thamani mbele zako Baba!! Serikali tuhurumieni Mtuache huru tuabudu Kwa Uhuru pasipo na usumbufu huuu sisi nasi ni binadam kama nyiee
@michaelpatrick9137 Жыл бұрын
Jamaa ana imanii Kali mno,namuombea sana Mungu amshindie
@lulumpenja459 Жыл бұрын
Mi nachojua huko unaenda kwa ajili ya kumtangaza Yesu na waovu wote wanasemezana na mioyo Yao wakihtaji kumkiri Yesu ila wamefungwa pasipo kujijua
@henrytimothy3048 Жыл бұрын
Hapa safi haya ndo mambo tunataka
@mikbete Жыл бұрын
Wewe ni mhubili, wa kizazi hiki, YOU ARE HERE FOR TIME LIKE THIS.
@musajulias3392 Жыл бұрын
❤ameni baba
@jeremiatitus4414 Жыл бұрын
Mungu hashindani na mtu milele,Ila kinachoendelea ni kuutengeneza ushuhuda
@wardawarda-fp3qe
Жыл бұрын
Jamani sijaelewa alipatwa nani jamani 🤔🤔😢😢
@martinsimtenda5990 Жыл бұрын
Mungu mwenye uwezo na nguvu asiwaache kabisa
@piussimtala5111 Жыл бұрын
Hivi kunashida gani? Nafuatilia Ila sielewi,nakutana na malalamiko,mara chawa ... Poleni kwa yote!!wanangu wanapenda sana nyimbo za kikosi kazi
@thimoteslangay2010
Жыл бұрын
Fuatilia vizur clip zake utajuwa kwanini wanamhangaisha mahakamani
@leahdaniel1117 Жыл бұрын
Kanisa Lina umoja hili MUNGU awe nanyi daima
@elijiusdaniel9817 Жыл бұрын
Majeshi mbele kwa mbele hakuna kurudi nyuma.
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Ana heri kila mtu asikiaye sauti ya mtu mtumishi huyu .
@user-kx3nq8lz3t Жыл бұрын
Mamlaka muwe na mpaka mumuache mbarikiwa aihubiri ya kweli
@musajulias3392 Жыл бұрын
Eliya eliya eliya eliya eliya atakamasio lakini nimemuona
@chrispincharles3616 Жыл бұрын
Baba tutakufa wote tu, maana bila wewe na injili yako ya kuacha dhambi kwelikweli, nilikuwa najizini na kutazama filamu za ngono usiku kucha hata ikapelelea nikadisko pale chuo cha Udsm mwaka 2017, nilipiteza matumaini ya kufanya chochote humu duniani. Hizi ndizo nyakati alitabiri Nabii Daniel, kwamba nyakati hizo hataelewa mwovu awaye yeyote...dunia si muda either itatawaliwa kwa haki tu au itavunwa!
@user-kx3nq8lz3t Жыл бұрын
Kinachomtesa Mbarikiiwa ni kusema ukweli Kama huu
@musajulias3392 Жыл бұрын
Uzao wa wayahudi huu
@veronicakiganga4547 Жыл бұрын
Tenzi 71.
@noeleliasi8401 Жыл бұрын
BIBLIA NAISOMAGA LAKINI MAJIBU YA MASWALI YANGU NIMEANZA KUYAPATA , KUMBE MATENDO YA MITUME YAPO MPKA SASA, NIMEANZA KUYAONA KIKOSI KAZI CHA INJILI HAKIKA..
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
Yaani hawa wamebeba wakovu wa kwenye biblia
@jitabojilala6162 Жыл бұрын
Mwanasheria wa mbinguni ,Haki itendeke tu wakienda kinyume na haki Mungu atatandika watu
@angelalphonce9368 Жыл бұрын
Mubarikiwe jaribu kuomba Tina usijihesabie haki saaana jaribu Toba na kukaa kimya lakin huko kuongea ubu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Unataka nijihesabie dhambi? Kwa hilo siwezi. Niombe toba kwa kuacha uovu, kuabudu, kukemea uovu, kulalamika ninapoumizwa? Kwa hilo utanisamehe sitaweza.
@humphreymwihambi4330
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Sioni issue sana. Swali langu una mawakili au unajiwakilisha mwenyewe? Km huna ni busara uwe nao. Mitego km hiyo huwa wanawamudu sana waendesha mashtaka wa serikali
@ellyelly5833 Жыл бұрын
We ni mtumishi wa Mungu au na wewe ni muhuni tu mbona kila ck malakamiko badala ya kueneza injili?
@Peaceman-S
Жыл бұрын
kala ndumu zimemrandua
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
INJIRI amekuachia wewe uieneze.
@maryjonh311
Жыл бұрын
Mmmmh
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
@@Peaceman-S Yaani Wewe kwenye CHANNEL yako kunautumbo bila hata unyamaze Yaani UKI endelea ku comment upumbavu humu nimekukalili nitakuandama Mpaka
@faustinpesambili7085 Жыл бұрын
Kachanganyikiwa huyu ila watu hawaelewi
@Peaceman-S
Жыл бұрын
serikali itakula nae sahani moja akili zimemruka awekwe ndan Mwak mmoja akitoka akili zitakuwa sawah
@johnsonjohn-qz7cq
Жыл бұрын
We Faustin mwehu kweli chizi saanaa
@chrispincharles3616
Жыл бұрын
Tuonyeshe cha kwako ambaye hujachanganyikiwa tuje tukitazame na kwako ewe chawa
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
@@dismassamwel7130 NIMEINGIA KWWNYE CHANNEL YAKO YA YOU TUBE NILICHO KUTANA NACHO NI AIBU TUPU,na ukiendelea ku comment wehu huu nita anika utumbo nilio uona ili watu wajuwe kati ya wewe na Mbarikiwa nani ni kichaa na Mpumbavu.
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
@@Peaceman-S Mbona nimeingia Kwenye CHANNEL yako nimekutana na madudu tuu.nahisi kati ya Wewe na mbarikiwa Wewe ndio punguwani
@johnbocko8020 Жыл бұрын
Imeandikwa wapendeni adui zenu,wabarikini wanowaudhi nk. Je hayo hayajaandikwa ktk Biblia yako?
@nurunswebe4203 Жыл бұрын
Unataka trend KZread wewe tushakuchoka
@mbwanahasan2971
Жыл бұрын
Mbona unasikiliza maneno yake maku mmoja wewe
@nurunswebe4203
Жыл бұрын
@@mbwanahasan2971 kuma lamama ako wewe msenge kuma nyoko wewe
@mbwanahasan2971
Жыл бұрын
@@nurunswebe4203 sawa ila wewe inaelekea umezaliwa kwenye mkundu wa mama yako ndio maana choko wewe mama yako na baba yako ungezaliwa kwenye kuma usingenitukana hivyo inaelekea umetokea mkunduni kwa mama yako choko mtoa maji wee
@nurunswebe4203
Жыл бұрын
@@mbwanahasan2971 kuma lamama ako limeoza
@mbwanahasan2971
Жыл бұрын
@@nurunswebe4203 nionyeshe mama yako Basi Ili nije kumfira maana inaonyesha wazi kuwa wewe hujatokea kumani mwa mama yako ndio maana unakandia maku umetokea mkunduni ndio maana unawashwa na wewe kama hutaki msikiliza mchungaji mbalikiwa pita kule umetumwa ama huku sio kwa machoko sawa?hatutaki wafirwaji maku mmoja hivi wee
@bishopstephanosaid9205 Жыл бұрын
Clip yako ya biblia ni kitabu cha kishetani kinaleta roho mbaya mmhhhh aisee umejirogaa mwenyewe
@laurentngussa1735
Жыл бұрын
ACHA mawazo finu unayejiita Bishop kwa kusikiliza kipande tu cha clip bila kusikiliza clip nzima ya alichomaanisha Mch. Mbarikiwa. Kasikilize clip nzima ndo utaelewa maudhui na ufafanuzi wake kuhusu Biblia kama una nia njema, lakini kama una kusudi ovu usipotoshe watu.
@lukaerinest8004
Жыл бұрын
Uelewa wako bishop ni mdogo kwani yesu akisema sija leta amani duniani bali upanga kufitinisha watu na nduguze je utasema ni gaidi
@noeleliasi8401
Жыл бұрын
Eti bishop???, unasoma title unacoment huo si uvivu tu kama uvivu mwingine.? Acheni kupoteza watu lasivyo mbadilishe hizo title zenu za ubishop
@angelalphonce9368
Жыл бұрын
Yaani pale alipokua anawatukana wachungaji wezake Tena wazeee ! Nilimwambia hukuhuki KZread kua ipo siku hutatukana wachungaji mtandaoni Ila utakuja kivingine
@joshualwinga Жыл бұрын
Twende Kwa Nani Babà kama si kwakoo Twende Kwa Nani Baba kama so kwakoo hatuna msaada kwingine kama sikwakoo Tunaomba utusaidie Baba janga hili tuliepuke Baba matatizo haya mpaka lini???????? Tumechoka Baba kuyumbishwa kama Hatuna thamani mbele zako Baba!! Serikali tuhurumieni Mtuache huru tuabudu Kwa Uhuru pasipo na usumbufu huuu sisi nasi ni binadam kama nyiee
Пікірлер: 91
Mungu akupiganie... Ndo maombi yetu huku Kenya🇰🇪🇰🇪.... Baada ya dhiki ni faraja... Unapojaribiwa usikate tamaa... Injili nayo piga Kila mahali.. Nairobi tnakusikiza. Umetumwa kw wachache ambao watakubali yesu tu. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MOTO UMEWAKA, HAUTAZIMIKA MPAKA YESU ATAKAPORUDI, wameshafnya uhuni mwingi sasa yatosha!!!!!!!!!!!!! Mbarikiwa Jembe!!!!!
Duh! Haya mahangaiko mpaka Lini Mungu?😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😱😱😱
baba mbalikiwa 💪 ushindi upo japo goliati nimlefu ndio ananguvu ndio ila hamshindi mungu Alie muumba lazima mungu ainue mutu wamkumuangusha goliati baba mbalikiwa mungu kakuchangua kutukomboa fikra zetu zilizo tekwa tangu zamani baba naamini unaweza mpinge goliati 💪 wako ututoe kwenye utumwa inawezekana sana sana sana sana
mimi nawaambia huyu mtu wawe nae makini sana hapa ndo anazidi kuwateka watu na kufahamika harafu kumbuka ushindi ni lazima aupate na wale watu wenye walikuwa wanajiuliza maswali bila majibu siku ameshinda ndo mtaelewa kuwa Tanzania bila uovu inawezekana HATA MMI NI MIONGONI MWA WANAO MFUATILIA SIO MFUASI WAKE.
Natamani Sana kuwa kama Mchungaji Mbarikiwa. Shujaa wa Tanzania, Africa na dunia Kwa ujumla wake.
@mbwanahasan2971
Жыл бұрын
Mbona rahisi sana ila jitoe tu muhanga kwa kusema ukweli na kubali kufungwa kuuliwa
ata kwenye moto Yesu yupo maana Yesu ndiye aliyeuumba. Huenda kwa njia hiyo wataokoka wengi. Amen
Kama hujui vzr bora ukae kimya kuliko kuchangia pumba,unayosema ni ya kweli japokuwa ni magumu sana. Wengi wetu ni waogà sana tunapenda kuwapendeza wanadamu sio Mungu,Mungu aliye hai akutetee,kuna vitabu vilipatikana kutokàna na mateso. Kama hauigizi endelea mbele.
-GADAFI -MAGUFURI -MBARIKIWA MWAKIPESIRE WAZALENDO wakweli WANAZIFIA NCHI ZAO😢😢😢😭😭..La!!!hivi kweli viongozi Hamjuwi Umuhimu wa Uwepo wa MBARIKIWA hapa TANZANIA??.....
@majigedioniz8049
Жыл бұрын
Sasa alie shikilia kesi yake mahakamani kaoa mtoto wa mwenye sauti ya mwisho Asa unaweza ukamkosoa mkwilima wako na umempa mamlaka ya juu
Mungu ni Mwema chapa Injili baba Wala usirud nyuma tuko tunakuombea
Mungu yupo pamoja nawe Baba utashinda
Duh.. unaeleweka Mungu awe pamoja nawe, Mungu ni zaidi yao,jamn ogopeni Mungu jmn viongoz mueleweni huyu mtumishi jmn dunia Ina mwisho..tutasimama hukumuni bila kujali
Mungu akulindeni
Uzao wa kiyahudi ushindi lazima Ameeen
@majigedioniz8049
Жыл бұрын
Ameeen
Mungu awateteye watu wa dunia hawanauruma
Mungu atasimama nakuwafutilia mbali hawa wanaokufatilia kwajina la yesu
Pole sana mtumishi, Naomba MUNGU Kwamba jambo hili liishe kwa Amani. Jitahidi kutii Sheria ambayo ulishiriki kuitengeneza kupitia mbunge ulie mchagua, kama zilikua na tatizo tujaribu kuzipinga kwa mijadala na sio kuzivunja, Watakufunga na kwakua mbunge wako alizikubali hakimu hatakua na hatia, kumbuka pasiposheria kilamwanadamu ana haki yake hivyo ili kuzuia fujo inabidi kuwe na namna kutafsiri inavyokubakika , Hata hivyo nakupa pole sana kwa unayopitia pia nimependa ujasiri wako. Jitahidi sana kufuata utaratibu.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Wangefuata sheria zao hata wasingenipeleka mahakamani. Kwani walinipa kibali wao wenyewe na wamekikataa macho makavu. Sina utaratibu zaidi ya taratibu zao wenyewe. Kwa hapa wafanye watakalo.
@humphreymwihambi4330
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Kibali original kiko wapi? Au wewe ulipewa copy? Nauliza tu kwa jicho la kisheria. Hakimu kutaka original ni sahihi. Shida yangu original anayo nani
kinachokosekana hapa ni Utii, Usikivu na unyenyekevu kwa mtu Mungu ili kumtofautisha nawengi.
@estermsigwa1476
Жыл бұрын
Sahihi
Hatuna kwa kwenda Baba zaidi ya kuja kwako 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Simama Mungu yuko pamoja nawewe
MUNGU angalia maumivu na mahangaiko haya 😭😭😭😭
Serikali huyu mtu nikumpa kesi ya uhujumu uchumi alafu awekwe ndan na kesi isisomwe miaka 7akitoka akili itakuwa sawah....wengine tumefiwa na mama ambaye alikuwa mweny imani zaidi yake kafa mtoto akili zimemruka kawa kama kavuta ndumu anazani wokovu ni kuwa na kiburi na misimamo ya ajabu kanisa lisipate kibali hili ni chimbo la boko haramu...
@geofreywayesu5638
Жыл бұрын
Ww Mungu sio shangazi ako
@eliakisinga5360
Жыл бұрын
Hata akiwekwa miaka ishilini wewe utapata faida gani unawajua watu wanahujumu uchumi au unaropoka tu
@devotasanga9239
Жыл бұрын
Kufungwa kwa watu wa Mungu hilo ni jambo la kawaida sana na wala hatushangai, kwani ilishaandikwa hivyo na ndio njia waliopitia Baba zetu. Lakini tambueni kuwa kumfunga/kumtesa/kumuua mwenywe HAKI haitakuwa rahisi kama mnavyofikiri ninyi.
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
Mr laugh alafu wakiisha mpa kesi wewe utafaidika na nini??
Twende Kwa Nani Babà kama si kwakoo Twende Kwa Nani Baba kama so kwakoo hatuna msaada kwingine kama sikwakoo Tunaomba utusaidie Baba janga hili tuliepuke Baba matatizo haya mpaka lini???????? Tumechoka Baba kuyumbishwa kama Hatuna thamani mbele zako Baba!! Serikali tuhurumieni Mtuache huru tuabudu Kwa Uhuru pasipo na usumbufu huuu sisi nasi ni binadam kama nyiee
Jamaa ana imanii Kali mno,namuombea sana Mungu amshindie
Mi nachojua huko unaenda kwa ajili ya kumtangaza Yesu na waovu wote wanasemezana na mioyo Yao wakihtaji kumkiri Yesu ila wamefungwa pasipo kujijua
Hapa safi haya ndo mambo tunataka
Wewe ni mhubili, wa kizazi hiki, YOU ARE HERE FOR TIME LIKE THIS.
❤ameni baba
Mungu hashindani na mtu milele,Ila kinachoendelea ni kuutengeneza ushuhuda
@wardawarda-fp3qe
Жыл бұрын
Jamani sijaelewa alipatwa nani jamani 🤔🤔😢😢
Mungu mwenye uwezo na nguvu asiwaache kabisa
Hivi kunashida gani? Nafuatilia Ila sielewi,nakutana na malalamiko,mara chawa ... Poleni kwa yote!!wanangu wanapenda sana nyimbo za kikosi kazi
@thimoteslangay2010
Жыл бұрын
Fuatilia vizur clip zake utajuwa kwanini wanamhangaisha mahakamani
Kanisa Lina umoja hili MUNGU awe nanyi daima
Majeshi mbele kwa mbele hakuna kurudi nyuma.
Ana heri kila mtu asikiaye sauti ya mtu mtumishi huyu .
Mamlaka muwe na mpaka mumuache mbarikiwa aihubiri ya kweli
Eliya eliya eliya eliya eliya atakamasio lakini nimemuona
Baba tutakufa wote tu, maana bila wewe na injili yako ya kuacha dhambi kwelikweli, nilikuwa najizini na kutazama filamu za ngono usiku kucha hata ikapelelea nikadisko pale chuo cha Udsm mwaka 2017, nilipiteza matumaini ya kufanya chochote humu duniani. Hizi ndizo nyakati alitabiri Nabii Daniel, kwamba nyakati hizo hataelewa mwovu awaye yeyote...dunia si muda either itatawaliwa kwa haki tu au itavunwa!
Kinachomtesa Mbarikiiwa ni kusema ukweli Kama huu
Uzao wa wayahudi huu
Tenzi 71.
BIBLIA NAISOMAGA LAKINI MAJIBU YA MASWALI YANGU NIMEANZA KUYAPATA , KUMBE MATENDO YA MITUME YAPO MPKA SASA, NIMEANZA KUYAONA KIKOSI KAZI CHA INJILI HAKIKA..
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
Yaani hawa wamebeba wakovu wa kwenye biblia
Mwanasheria wa mbinguni ,Haki itendeke tu wakienda kinyume na haki Mungu atatandika watu
Mubarikiwe jaribu kuomba Tina usijihesabie haki saaana jaribu Toba na kukaa kimya lakin huko kuongea ubu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Unataka nijihesabie dhambi? Kwa hilo siwezi. Niombe toba kwa kuacha uovu, kuabudu, kukemea uovu, kulalamika ninapoumizwa? Kwa hilo utanisamehe sitaweza.
@humphreymwihambi4330
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Sioni issue sana. Swali langu una mawakili au unajiwakilisha mwenyewe? Km huna ni busara uwe nao. Mitego km hiyo huwa wanawamudu sana waendesha mashtaka wa serikali
We ni mtumishi wa Mungu au na wewe ni muhuni tu mbona kila ck malakamiko badala ya kueneza injili?
@Peaceman-S
Жыл бұрын
kala ndumu zimemrandua
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
INJIRI amekuachia wewe uieneze.
@maryjonh311
Жыл бұрын
Mmmmh
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
@@Peaceman-S Yaani Wewe kwenye CHANNEL yako kunautumbo bila hata unyamaze Yaani UKI endelea ku comment upumbavu humu nimekukalili nitakuandama Mpaka
Kachanganyikiwa huyu ila watu hawaelewi
@Peaceman-S
Жыл бұрын
serikali itakula nae sahani moja akili zimemruka awekwe ndan Mwak mmoja akitoka akili zitakuwa sawah
@johnsonjohn-qz7cq
Жыл бұрын
We Faustin mwehu kweli chizi saanaa
@chrispincharles3616
Жыл бұрын
Tuonyeshe cha kwako ambaye hujachanganyikiwa tuje tukitazame na kwako ewe chawa
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
@@dismassamwel7130 NIMEINGIA KWWNYE CHANNEL YAKO YA YOU TUBE NILICHO KUTANA NACHO NI AIBU TUPU,na ukiendelea ku comment wehu huu nita anika utumbo nilio uona ili watu wajuwe kati ya wewe na Mbarikiwa nani ni kichaa na Mpumbavu.
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
@@Peaceman-S Mbona nimeingia Kwenye CHANNEL yako nimekutana na madudu tuu.nahisi kati ya Wewe na mbarikiwa Wewe ndio punguwani
Imeandikwa wapendeni adui zenu,wabarikini wanowaudhi nk. Je hayo hayajaandikwa ktk Biblia yako?
Unataka trend KZread wewe tushakuchoka
@mbwanahasan2971
Жыл бұрын
Mbona unasikiliza maneno yake maku mmoja wewe
@nurunswebe4203
Жыл бұрын
@@mbwanahasan2971 kuma lamama ako wewe msenge kuma nyoko wewe
@mbwanahasan2971
Жыл бұрын
@@nurunswebe4203 sawa ila wewe inaelekea umezaliwa kwenye mkundu wa mama yako ndio maana choko wewe mama yako na baba yako ungezaliwa kwenye kuma usingenitukana hivyo inaelekea umetokea mkunduni kwa mama yako choko mtoa maji wee
@nurunswebe4203
Жыл бұрын
@@mbwanahasan2971 kuma lamama ako limeoza
@mbwanahasan2971
Жыл бұрын
@@nurunswebe4203 nionyeshe mama yako Basi Ili nije kumfira maana inaonyesha wazi kuwa wewe hujatokea kumani mwa mama yako ndio maana unakandia maku umetokea mkunduni ndio maana unawashwa na wewe kama hutaki msikiliza mchungaji mbalikiwa pita kule umetumwa ama huku sio kwa machoko sawa?hatutaki wafirwaji maku mmoja hivi wee
Clip yako ya biblia ni kitabu cha kishetani kinaleta roho mbaya mmhhhh aisee umejirogaa mwenyewe
@laurentngussa1735
Жыл бұрын
ACHA mawazo finu unayejiita Bishop kwa kusikiliza kipande tu cha clip bila kusikiliza clip nzima ya alichomaanisha Mch. Mbarikiwa. Kasikilize clip nzima ndo utaelewa maudhui na ufafanuzi wake kuhusu Biblia kama una nia njema, lakini kama una kusudi ovu usipotoshe watu.
@lukaerinest8004
Жыл бұрын
Uelewa wako bishop ni mdogo kwani yesu akisema sija leta amani duniani bali upanga kufitinisha watu na nduguze je utasema ni gaidi
@noeleliasi8401
Жыл бұрын
Eti bishop???, unasoma title unacoment huo si uvivu tu kama uvivu mwingine.? Acheni kupoteza watu lasivyo mbadilishe hizo title zenu za ubishop
@angelalphonce9368
Жыл бұрын
Yaani pale alipokua anawatukana wachungaji wezake Tena wazeee ! Nilimwambia hukuhuki KZread kua ipo siku hutatukana wachungaji mtandaoni Ila utakuja kivingine
Twende Kwa Nani Babà kama si kwakoo Twende Kwa Nani Baba kama so kwakoo hatuna msaada kwingine kama sikwakoo Tunaomba utusaidie Baba janga hili tuliepuke Baba matatizo haya mpaka lini???????? Tumechoka Baba kuyumbishwa kama Hatuna thamani mbele zako Baba!! Serikali tuhurumieni Mtuache huru tuabudu Kwa Uhuru pasipo na usumbufu huuu sisi nasi ni binadam kama nyiee