NABII MKUU AWAKARIBISHA MASHEKHE WA DAR NA KUWAPA TSH. MILlONI 5 ZAWADI - GeorDavie TV
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
#1million
Пікірлер: 1 000
Hakuna nabii baadae ya nabii MUHAMMAD I SWALAUWAHU ALAYHIM WASALAM, hao siyo mashekhe na nawala siyo WAISLAM,kanzu kofiya nakoti ninguwotu,ALLAH atawafedhehesha hao,AMIN
@jumafundi3133
Жыл бұрын
Kweli
@yasinhemed1680
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa ila ALLAH atawaumbua tu kama ni kweli waislamu na wameamini et.. eti....kuna nabii baada ya Myume MUHAMMADI basi hao wamekufuru wameipinga Qur aan ambayo haina shaka hata chembe
@abuumkota5505
Жыл бұрын
Kwan wanatumia kitabu gani hawa mbona wameruka mipaka hivi
@ashahassan2667
Жыл бұрын
Allah atawadhalilisha hapa duniani na kesho akhera
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Nimenyewe imejivishaa sikiliza hata matamshi yao sheytwan yupo kazin
Mashee mlio fika kwa nabii ,mungu awabariki,msiogope maneno ya watu,,wana masikio hawakusikia ,wanamacho hawakuonaaa tuwaombee mungu nao waoneee mbarikiwe sanaaa
@rauhiyasaad5384
Жыл бұрын
Kuvaa kanzu na kozi sio ishekh, nafsi zitawasuta. Allah hachezewi wanafanya dini kama club ya mpira mara simba mara yanga. Allah atupe mwisho mwema
Njaaa kali mungu tusaidie mashekhe nyinyi duh
@blandinasylvester3558
Жыл бұрын
Mweh umenichekesha 🤣🤣🤣
@kinogekimbeho3781
Жыл бұрын
Hakuna hata sheikh hapo
@rashidmshindo1527
Жыл бұрын
awa wazee wananjaa wapumbavu sana
@samxx411
Жыл бұрын
Hivi na wewe na akili zako ndo ushaamini masheikh lkn nyie ndugu zetu wepesi kuamini ila waulize kutoka msikiti gani tuwafate tukathibitishe kama utawaona hao
@robertphilip385
Жыл бұрын
Kweli Tanzania kunauchawa wa ainanyingi
Kwa Mwislam wa kweli amecheka sanaaaa!!!! ukistaajabu ya Zumaridi utayaona ya Joe Devi!!!!(Geor Davie)
Allah tunakuomba watu Hawa wape udhalili utakao shuhudiwa na watu wote Amiin
@rakshanbilally-1341
Жыл бұрын
Ameen ..mana wayafanyayo sikama awayajui ila ndio wao hawajui wako wapi Allah atawateremshia kichapo hawatasahau katika maisha yao.
@huss668
Жыл бұрын
Ameen Yaa rabbil alameen
@HusseinHassan-ch7lj
Жыл бұрын
Amin ya Allah
@khairatsuleiman4606
Жыл бұрын
Ety anataka n'a yy apewe unabii Laana ya Allaah Subhaanahuu wataala imshukie Haw n'a wanyama n'a wamepotea zaid kulko wanyama Ila adhabu ya Allaah Subhaanahuu wataala n kali zaid Basi wasubr makafiri
@masiwamohamed7814
Жыл бұрын
@@rakshanbilally-1341 jj
Molah utunusuru katika dunia hihi utujaze imani kamili utukinge na unafki na utufishe tukiwa weslam kamili sisi na vizazi vyetu. Amin Amin insha Allah
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Amyn
@pazi8207
Жыл бұрын
Mtiani mkubwa
@everlynenanjala9747
Жыл бұрын
Hawa ni wanacha wa chama kimoja ,,unafiki mkubwa😎😎
@everlynenanjala9747
Жыл бұрын
Hawa ni wanacha wa chama kimoja ,,unafiki mkubwa😎😎
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
Amin.
njaaa mbaya sanaa aisee wamejivisha vikanzu kumbe makafakiri mungu awalani awa watu pamoja na nabii wao mkuund
Subhannallah, mungu atunusuru
Inalilahi wainalihi lajiuni mungu tujalie wisho wema wajawako
@jamillahkheir6536
Жыл бұрын
Yaaniii
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Amina huyo nabii wao msanii katafuta wasanii wenziwe
@user-mq6lu2po3y
Жыл бұрын
Si waislam ao
@glorymbata9195
Жыл бұрын
hata Mungu haindikwi hivyo,siyo mungu andika Mungu,
@glorymbata9195
Жыл бұрын
Kila kinywa kitakiri kuwa Yesu ndiye Bwana na yanatimia sasa
Inalillah wainaillahi rajiun Hakuna mashekh hapo guys tubadirike tujitambue na tuache mazoea njaa isitufanye tutetereke katika imani zetu
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Hapana shekh hapoo wamefundishwa haoo eti jinalake Abuu bakar sidiik
@MtazameKristoTv
Жыл бұрын
Wewe ni shehe kwani?
@mgongolwajoseph6901
Жыл бұрын
Hata muhamadi alimtangaza yesu kuwa yuu juu yake na amaktaja maranyingi nahata bikira maria alimtaja ma34 ninyi kinani mpinge dini dunian kwamungu hakuna dini
@janviersobhane6492
Жыл бұрын
Huyo nabii anataka kusifiwa na kila mtu mwisho wake wa kudhihirishwa kwamba sio mtumishi wa Mungu umekaribia,na kuhusu hao mashehe ukweli hao sio mashehe,kama kweli ni mashehe wajitambulishe ni misikiti gani wanahudumu pale Der esalam.
@rabiministry2389
Жыл бұрын
Msingi wa dini ni upendo na kujariana bila kujari rangi dini wala utaifa. Ni salama zaidi kama dini zitakuwa na upendo na kujariana namna hii.
Waislam oyeeee... kitaeleweka tu, mkatae mkubali YESU NI BWANA WA MABWANA, NA MFALME WA WAFALME. Na kipindi hiki waislam wengi wataokoka kote duniani, itakuwa ni jambo la kihistoria ulimwenguni kote. Yesu hakuwa anacheza kamari alipokuwa ametundikwa msalabani kwa ajili ya hukumu ya watu wote. Alaaa... mtakuja kwa Yesu kwa lazima. Gloryyyyyyy be to Jesus!!
Ili ujue hakuna shekhe hapo Salam tuh.Wanaangaika nayo njaa ni mbaya Sanaa.Hata mtume anatuambia ufangiri upo Karibu na ukafiri ni kweli kabisaaa...
@bernahappy2450
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daah ndoivo dunia imeisha tumuombe mungu mwisho mwema
Mungu atujalie mwisho mwema wenye kheri kwetu na Hawa wote awaongoze kwenye dini ya Haki na hao masheikh wanaosema ni masheikh Allah awafanyie wepesi katika imani zao dhaifu hakika mtume wetu na nabii wetu ni mmoja tu!Muhammad (s.a.w) ,Kila nafsi inajua inachokichuma hapa duniani tukumbushane mema jamani na kukatazana mabaya hakika kifo huja bila taarifa
@Churchofecclesia
Жыл бұрын
Hahaha eti dini ya haki utakufa kwenye dini yako na MBINGUNI hutapaona, hakuna dini yenye haki, zaidi ya dini ya kumwamini YESU KRISTO, sio kuamini dini yako ya kiislam au ya kikristo bali ni kumwamini YESU KRISTO, na ndio dini itakayokupeleka MBINGUNI
Subuhana Allah jamani Allah atusaidie ni mtihani huu
Inna lillahi wainna ilaihi raajiun YAA RABBI nakuomba uwadhalilishe watu Hawa duniani na akhera
@rahel6725
Жыл бұрын
Hawadaliliki Ila watawashabgaza
@user-cf7ho1mb4h
Жыл бұрын
Baba naomba nyota utumisi sitaki pesa Niko Kenya Mombasa Huku tuakupata vizuri
subhana allah .. Hawaa zao zinawapeleka pabaya allah awanusuru. njaa ni mtihani mkubwa
@Fatuma_12323
Жыл бұрын
Subaana Allah nime walaani hawa wanajifanya waisilamu Allah awalaani
@jakobongwara3038
Жыл бұрын
Hizo njaa zitawaponza shetani anawatu wake hongera hatanguruwe watariwa mmenasa
Naona Dini mpya inaenda kutokea Mwakani... krislam au Chrislam
@Tchimbatchimba
Жыл бұрын
😱😱😱
@adamufundikira7878
Жыл бұрын
@@Tchimbatchimba waisilam mnabwata sanaa kwani hamjifunzi mtume Muhammad alisema mjifunze kwa waliotangulia yaani Kristian
@fadhilamaulid9843
Жыл бұрын
@@adamufundikira7878 tujifunze nn na kitabu chetu kimeshaeleza kwa uwazi na tumejifunza kweli maana tunatawadha na kusali kama biblia inavyosema tunasli msikitini kama biblia inavyosema
Allah azidi kuwabariki na kuwatia nguvu Amiin
Hii kweli Kali, Innalillah wainnaillaih Rajjiuun
Subhana Allah mungu atunusuru hakuna watu hapo njaa
@enockmohamed8872
Жыл бұрын
Ni undugu tu, huwezi kuwatenganisha waislamu na wakristo hapa tz waislamu, Zanzibar ndio waliowapa maeneo wamisional wa mwanzoni kbs na wakawachangia pesa wajenge makanisa
@azizimasawe
Жыл бұрын
Acha hizo wewe
Yaani nikiona hivyo nafurahi sana kushirikiana, bila ya kujali dini Mungu mmoja.
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Nabii wenu anazima video yake aliodhalilishwa na mungu akusifia zinaa
@elishasalingo1819
Жыл бұрын
Njaa tuu mashehe wangu. Heri muokoke tu
@tztanzania2262
Жыл бұрын
@@elishasalingo1819 njaa kweli kweli kujidhalilisha tu
@medimisi6930
Жыл бұрын
mungu mmoja sisi wa islam mungu wa kwetu anaitwa allah wa kwenu nyny wakristo anaitwa nani ili tujue kua mungu wetu ni mmoja. nasubili jibu kwa yyte anaeweza kulipata
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@@medimisi6930 halipo na halitokei
mungu mtu.. Mashehe wa mchongo jamaa anatafuta kila njia ya kujiinua.
@allyabdallahally4854
Жыл бұрын
Uzuri wa dini ya kislam ukiongea tu unajulikana wewe ni nani
@kassimali2273
Жыл бұрын
Umeona kama nilivo ona mm ao wote sio mashekh wamevalishwa ili jamaa akuwe kwenye sector yake
@kibwanamwalimu9654
Жыл бұрын
mawazo yako yako sawa sawa na mm kwanza angalia salamu wanavyo itoa mwislamu ana lafidh nzury sanaa ktka kuitoa salam
@ashrafurwegoshora4227
Жыл бұрын
Ukiona watu wenye akili wanakubaliana kufanya jambo la kipumbavu "Wana maslahi" by mwl Nyerere
@danielimusa7601
Жыл бұрын
@@kassimali2273 live kiongozi mashekh wanamsimamo ni balaa hawawezi kujisaliti kijinga namna hiyo eti kisa pesa. Uyu jamaa nilipumbavu sana.
Mungu ataawadhalilisha hapa hapa duniani kwa kumuongopea mungu kwamba wao ni waislamu.kanzu ni vazi uislamu ni iimani
Subhaanallah subhaanallah subhaanallah
Mungu mmoja rangi yetu ni moja
Asante mashekhe mungu awabariki kwakumtia moyo nabiii
Wazee wataka kiki duniani tu lkn Wana sahau kuwa Kuna kesho kwa ALLAH
NAKAMA KWELI NYINYI WAISLAM KWELI BASI INSHA'ALLAH MUNGU ATAWAJIBU
@josegambi7149
Жыл бұрын
Achen unafiki ninyi lazima wote mkiri
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
@@josegambi7149 mbona wewe hujakiri
@josegambi7149
Жыл бұрын
@@wasilaahmad7913 mimi ninajua ndo maana inawapasa kukili na kutubu kuwa yesu ni bwana. Hilo ni jina lipitalo majina yote. Ila katika hali ya unabii hakuna na haji kutokea kama manabii waliopita.
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
@@josegambi7149 yesu kazaliwa na nani?
@josegambi7149
Жыл бұрын
@@wasilaahmad7913 yesu alizaliwa na bikra mariam. Na alizaliwa kwa uweza wa roho mtakatifu. Alizaliwa kwa kusudi maalumu. Je, mtume muhamad alizaliwa na nani?
Shee namba 3 ni mnafiki sana kabisaaaaa ananjaa sana
@sahiyaali4466
Жыл бұрын
😂😂😂
@user-ye9jz2om8q
3 ай бұрын
Kabisa kaka
Hawa ndio mashekhe wakweli mungu ndie mwanzo nanimwisho amen
subhanallah Allah atawatshoma aba besilamu ni ma cheikh
Innlilah wainna ilayhi rajiun. Wapuuzi wakubwa nynyi wote makafiri.
Subuhanallah mungu atunusuru
asante sana baba nabi mku kwa kuponesha Watu nakufanya Mambo yanapendeza sana wana damu naona kama wewe ndiye yesu Kriston utukumbuke nasisi tuko Congo
Haya vana ALLAH tunamkabidh Mjuzi Mwenye Khabar zote
Kila got litapigwa na kila ulimi utakiri ya kwamba Yesu ni bwana
Hii ndio tanzania umoja ni nguvu
Wote Hawa wamesha angamia na Allah awajalie awape Lana hapa Duniani na kesho Akhera Ameen, na Hawa cyo mashekhe ispokuwa ni wanakharamu wasio na dini wamejidai kwamba ni mashekhe Hali ya kuwa ni makafiri waliopewa psa na hyu mtoto wa ibilisi waufedheheshe Uislamu lkn kw uwezo wake Allah hawatoshinda mbwa Hawa na atakae waunga mkono Hawa mbwa Allah hatomuacha, Inshaallah,
Innalillah wainnailayh rajiuun Ndugu waislamu turudini kwa Allah kwan yeye ni msaada tosha kwetu na pia ni haramu kufanya kama hivyo kwan kuna maneno hapo yanawatoa katika uislamu
Great... Every knee shall bow and every toung shall confess that Jesus is Lord
@frankshirima4029
Жыл бұрын
Amen
@omaryally7243
Жыл бұрын
Wala hawa sio waislam jamn wala wasituumize kichwa
@baby_face_
Жыл бұрын
now they’ve confess Jesus is God Islam ☪️ must confess Jesus is God
@kingshairsalon
Жыл бұрын
Ya kaisari mpeni kaisari na ya mpeni mungu
@mariajerome726
Жыл бұрын
@@frankshirima4029 amen 🙏🏻
MUNGU ni mmoja tu congratulations NABII MKUU MUNGU WA MBINGUNI AKUTUNZE
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
Mungu wa waislamu na Mungu wa wakristo ni tofauti,wao wanamuita Allah na wetu anaitwa Yahweh
@rickmsodoki348
Жыл бұрын
huu nimtihan kabisa mungu tupe mwisho mwem
@eliudkibona7926
Жыл бұрын
Mungu sio mmoja ndugu
Asanteni
Dah haya mambo Bhan mungu atujalie mwisho mwem
Ameeen. Karibuni sana hapo mmefika
@lailaoman3856
Жыл бұрын
Munajidanganya,ao si waislam awo ni makafiri kama nyie
@lailaoman3856
Жыл бұрын
Nakama waislam,basi ni waislam jina,atuwatambui katika dini yetu,mimi ataunipe tilioni,siwezi acha kumuabudu allha,na muhamadi mtume wetu,au nabii wetu,na niwamwanzo,na niwa mwisho
Asante Mungu wa Geo Devi leo shekhe anasema uje Dar Mungu YESU aonekane duh injili iende mbele
@aloyceiluminata3650
Жыл бұрын
Kwahyo huyo nabii wenu ni mungu yesu au siyo??..mtaenda kuchomwa Kama kuni kenge nyieee...usimwabudu binadamu wenzako
Dini sio Ubaguzi Dini ni Upendo na Mungu ni wetu sote, wanaotenda mema watang'aa miongoni mwa jamii kwa matendo yao mema!!!
@samwelsimon4800
Жыл бұрын
Ubarikiwe
Hakika kila Goti lutapigwa Ameen 😍♥️🙏
Imani nan pesa mungu tijalie waja wako tuwe na imani ya kweli
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
Njaaaa mbaya
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Usiombe njaa
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
@@sabihaibrahim143 🤣🤣🤣🤣😝😝
Waislam tubaki katika dini yetu hao si waislam bali ni wakristo walio vaa kanzu.
Hao mashee wana maana yao sio Kama munavyo zani din ni moja tu mungu awabaliki mashehe wetu
@evalinamwakilema7402
Жыл бұрын
Ameen mungu ni mmoja tu
Hallelujah hallelujah.Asante YESU kwa Mashehe kwa kuijua kweli ya MUNGU MKUU anayefanya kazi kwa kiwango kikubwa kupitia Nabii Mkuu Mhe. Dkt.GeorDavie Balozi wa Amani ❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.Hakika hawa ni Mashujaa wa Imani hallelujah 🔥🔥🔥🔥🔥
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Hao wasanii sio mashekh kwa shekh hapo humuoni
@gh7naa
Жыл бұрын
Shehe wapi hao
@gh7naa
Жыл бұрын
Njaaa
@gh7naa
Жыл бұрын
Anasaidia kwa kuchorwa kiama
@gh7naa
Жыл бұрын
Kakusanya vshehe njaaa
Pesa ilimfanya yesu akasalitiwa,waislamu wa kweli hatushangai Kwa hili
@faithmapondo7370
Жыл бұрын
Kumbe unamkubali Yesu🤣😆😂
Njaaa mbaya sana yaani mnaema u kristo ni ukafiri sasa hivi mnafunga safari no no Dunia imeisha
Innalilah waina ilayh rajiun..hizbu shaytwani humul ghafilun ...
Subhanallah!! Awa Wana elmu ya Allah kwel😢😢😢😢😢
@Ibrahym2422
Жыл бұрын
Mjuzi ni Allah ila wamekufuru Hawa na wanatakiwa watubie haswaa. Ndio maana wakiambiwa someni kwa watu wa sunna hawataki hiv ahlul sunna aweza kweli fanya upumbavu kama huu. Wallah hii diyn inafanyiwa mzaha saana Hawa ni wakutengwa kabisaa majahili haya
@hidayajuma907
Жыл бұрын
Nendeni zenu hamwezi hata kuwashawishi waislam kwa staili hii .Uislam kutokuwepo,upo na utaendelea kuwepo.Nabii wa mwisho ni MUHAMMAD TU. Msijichoreshe nyie waislam na NJAA ZENU. Hamwezi kumpata muislam mjinga kama nyie
@Churchofecclesia
Жыл бұрын
Wewe ndo huna elimu ya kweli, una elimu ya dini yako yenye miungu majini,mizimu, waganga,wachawi na washirikina, njoo kwa YESU KRISTO upate elimu ya kweli ya MUNGU ALIE HAI(YESU KRISTO) ambae hashirikiani na miungu unayoitumikia wewe kupitia dini yako, maana yeye ndie MUNGU MWENYEZI
@Churchofecclesia
Жыл бұрын
@@hidayajuma907 wewe ndo mjinga eti muhammad ndo nabii wa mwisho unaon kama MUNGU(YESU KRISTO) ameishiwa kuleta manabii atii
Innalillah wainnaillah rajiun
Hawaa si waislamu mana ata salamu hawajuwi kutowa na km lengo kuipoteza dini yetu ya kiislamu hawatoweza maana allah atailinda dini kislm hadi mwisho wa maisha yetu Hawa wamepangwa ila tushkur sn huu umma kuombewa kw allah na mtume Muhammad kuwa tusilipwe dunian ila wote wangekuwa kuku
Mashehe Sasa Mumgeukie YESU Kristo ,msibaki kukubali Kazi zake bila kumkabidhi Maisha yenu.Bwana Yesu Kristo asifiwe.
End time sign ya Chrislam...Jitahidi kuwa First Group Trumpet is about to sound
@MtazameKristoTv
Жыл бұрын
In Christ we are the trumpet and we sound great
@MtazameKristoTv
Жыл бұрын
In Christ we are the trumpet and we sound great
@desderyblessmakoi8218
Жыл бұрын
@@MtazameKristoTv prepare your soul,spirit for rapture.Trumpet is about to sound
@prosperkisama655
Жыл бұрын
Really this is the last time and one among the signs is those too much loving money and to make yourself proudly
@johnpatric3742
Жыл бұрын
NJAA MBAYA Sana hao WOTE ni madalali wa vyumba vya elfhamsini hamsini hakuna hata mmoja anae juwa Dini wa mekwenda kuchukuwa Chao wasepe huyo anaejiita nabii a napenda SIFA kukuza lebo yake ya kazi na SIFA tu nasema tena mm mtt wa mjini tena kwa sana hao walio kwenda huko arusha wa mekwenda kidili na wamepewa mchongo na mtu wa hapo kanisani sawa
Inalilah wainna ilayh rajiuun
Jamani waislamu kwanini katika kila mnalolizungumza mnazungumzia kifo. kifo kipo ila maisha pia yapo ishi sasa bila hofu ya mauti ukiingia kwa yesu
Iyu sio mutumichi wa mungu
Innalillah wainillah rajiun
Jamani kuweni MAKINI NA MTU HUYU ETI NABII IPO SKU MTULIA
Jamni subuhanallah Allah awaogize Kwa njia ya kheri nyinyi mashehe ni chaa ya wasumbuwa
Mbona Leo hamsemi Takbiiiirrr
Mungu nimwaminifu anabadilisha wathu kwawakati yake
@abdulhalimumlai3056
Жыл бұрын
Ama Shetwani analeta ubunifu wake na njaa huwafanya watu kukufuru Kwa thaman ndogo Sasa wakauza roho zao.
sifa nyingi kwa mwanadamu!!! kulikoni!?? sisi sote tunapaswa kushuka Yesu tu ndiye anapaswa kuinuliwa!!!
@gibsonjosephat6352
Жыл бұрын
Soma vizuri biblia Hawa lazima wawepo haya Mungu aliwaweka akima Musa
😭😭😭😭Innalillahi wainna ilayhi raajioun 😥😥 Hakika mtaenda kujibu mbele ya Allah. Uislamu uko mbali na Sana na Matendo yenu. Rudini na tubieni kwa Allah kbla ya kifo kuwafika. Ndugu katika iiman hawa sio Masheikh n waluchokifny ni kinyume n Mafunzo y dini y kiislamu. Wapuuzeni n tuwaombeen dua Allah awaongoe ktk njia y haki aaamin
Ee mungu nipe ufahamu wa kujitabua, na unipe mwisho mwema,, usiniludishe nilikotoka, allha kareem, usinipe njaa ya kukufuru , nitosheke na nilichonacho, unipugizie mitihan, Allah, Alllah tujaliwa waja wako utuongonze njia iliyonyooka
@sadamkapilima
Жыл бұрын
😭😭😭😭 Msiba mkubwa wallah but... Quran ilisha tabir haya
@saramss7262
Жыл бұрын
@@sadamkapilima wewe mwenyewe ndio msibaa mzitoo
@sadamkapilima
Жыл бұрын
@@saramss7262 Sallah kila mtu anaruhusiwa kutoa maon kulingana na ufahamu wake Kwa hyo hao walio jitambulisha kuwa ni mashekhe we unaona ni mashekhe Oky me mtazamo wangu cjalazimisha uamin ninacho Amin relax
@fikafikan8484
Жыл бұрын
Amiin insha Allah
Innalilaih Wainna illaih rajiuna njaa mbaya sana
Innalillah wainna ilyhi rajiun ....... kiukweli hao so waislamu hao n wakristo kma wakristo wengne na huo n mchezo wa kuigiza t ..........
Nimewapenda Hawa mashehe bure, mko vizur Mungu wetu sote ni mmoja.Mungu awahifadhi mwendelee kuwa mabalozi wa Mungu aliye hai.mkimtangaza Mungu kupitia matendo makuu aliyoyatenda .Hongera mtumishi wa Mungu Geordevi .zekaria ...watu watashika upindo wa vazi wakisema tutakwenda naww kwasbb tumemuona Mungu wako.
@alhajimbiru186
Жыл бұрын
Akili hawana hao, ni makafiri wenzie na waliotengenezwa
@alhajimbiru186
Жыл бұрын
Wa mchongo hao na njaaa ,pia hata firauni alikuwa na wafuasi wake,na hao wote mafiraun
@alhajimbiru186
Жыл бұрын
Mashehe gani hata Salam hawajui ,hao makafiri wenzako
AMEEEEENI this wonderful
@binammwanafa2033
Жыл бұрын
😁 muslam ukimuona wamjua n kauli zake zinajuilisha 😁 ao wezenu hamjui hata Act 😁
Nashangaa watu wanayumbayumba katika imani zao kwa tamaa za pesa!!
@lifeinmiddleeast8179
Жыл бұрын
5tatizo siyo Imani hakuna dini inayoamrisha uovu ,Ila wanadam tujitambue.kwamba hakuna cha bure
Hawa ndio mashekh njaa wanaouzalilisha uislamu M/mungu awalaani fi Dunia wal akhera
@user-nb4gt2zf8d
Ай бұрын
Umeongea vibaa sanaa
Njaa imetoka tumboni imeamia kichwani.... Mambo ya ajabu kama haya lazima yatatokea kazi kweli kweli. Allah waongoze hawa watu au vunja migongo yao.
Inna lilahi wainna ilayhi raajjighuun
Innalillah wainnailaih rajiun
Na hii njaa mlionayo mtatiwa hata mdole mpewe pesa mtakubali wallah...Mungu alivyotuambia kuwa na subra hakukosea waislaam wa Sasa hatuna subira...
Hao cyo masheikh Wana njaa tu hao Innalillah wainnalilaihlaajun
Duh,Hakika njaa Na matumbo yatatupeleka motoni
@hamisigwalema4786
Жыл бұрын
Nahitaji mawasiliano
Njaa mbaya kweli😃😃
Nyinyi sio waislamu, mnasema Yesu ni Mungu? ALLAAH hadhihakiwi, atawalipa. Ameen
Mashehe mumekuja kuomba mukate...pole sana!!!
Inalillahi wainailahi rajuun. Allah atujaalie mwisho mwema. Atuepushe na iiman za mashweitwani tufe tukiwa waislam Amyn. Wanafki hawa Tubieni kwa Allah huyo siyo nabii pesahizo zitawaingiza pabaya na njaazenu hizo
Kuna mengi ya kuuzunisha ktk hii dunia Ila wacha 😂😂🤭 Mungu pekee anajua
Hapo hakuna mwenye elimu hata mmoja wallahi hao ni wasanii wa bongo move watupu😢😢
@amanaoman9690
Жыл бұрын
Ndo namuona namzee tarimo😁🥺msanii wa bongo move wanatafuta pesa hawa
SUBHAANA LLAH. INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUWNA NYINYI SIO MASHEKHE BALI NYINYI NI MASHEHENA NA WANAAFIQ WAKUBWA WANAAFIQ NJAA MMEKUBALI KUUZA AKHERA DINI NA AKHERA YENU KWA SABABU YA UBWABWA
Bwana Yesu asifiwe 🙏🙏🙏🙏
@maswamills3161
Жыл бұрын
AMEN
@ahmadmadaai1357
Жыл бұрын
Asifiwe au asifirw
Njaaa tu ila sisi bado ni binadamu tu mungu ndio atawahukumu
Mh hatari kwa kweli, mungu atupe mwisho mwema mana ni hatari ya hali ya juu kabisa mungu atusameh kwa sote ishaalwah na awape mwisho mwema kwa sote ishaalwah
Mungu ni mwema
Mkali wenu hongera kwa hichi ulichoenda kukifanya baada ya kurudi dar
@aaaaaah290
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumahamis5137
Жыл бұрын
Mashehe wa mchongo tumesamda waisilaam
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Si Mashekh hao hawajulikani hatta
Wa mchongo hao hakuna shehe hapo, trust me!!
@pazi8207
Жыл бұрын
Kweli kabisa
njaa mbaya sana leo waslamu Tena mashee kukubali kunanabii baada ya muhamadi aisee mnaizaraulisha wislamu
Nakukubali sana na nakuamini sana Nabii mkuu mpaka nimezaa mtt na kumpa jina lako yani Geordavie namuomba MUNGU mwanangu ajekuwa kama ww Nabii wangu.
🥰🥰🥰🥰🙏🙏👍👍😭😭
Allahu Akbar huu ni msiba
@mwanakhatib5825
Жыл бұрын
Mungu awa kalibu na yiyi huu ni mtihani njaa inatupeleka pabaya Sana mashehee wetu
@mwanakhatib5825
Жыл бұрын
Munamfuata shetanu huyo hata kucheka kwake munamjuwa Kama huyo ni shetani ibilisi maruni