NABII MKUU AWAKARIBISHA MASHEKHE WA DAR NA KUWAPA TSH. MILlONI 5 ZAWADI - GeorDavie TV

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
#1million

Пікірлер: 1 000

  • @muhammedabdurahman7953
    @muhammedabdurahman7953 Жыл бұрын

    Hakuna nabii baadae ya nabii MUHAMMAD I SWALAUWAHU ALAYHIM WASALAM, hao siyo mashekhe na nawala siyo WAISLAM,kanzu kofiya nakoti ninguwotu,ALLAH atawafedhehesha hao,AMIN

  • @jumafundi3133

    @jumafundi3133

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @yasinhemed1680

    @yasinhemed1680

    Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa ila ALLAH atawaumbua tu kama ni kweli waislamu na wameamini et.. eti....kuna nabii baada ya Myume MUHAMMADI basi hao wamekufuru wameipinga Qur aan ambayo haina shaka hata chembe

  • @abuumkota5505

    @abuumkota5505

    Жыл бұрын

    Kwan wanatumia kitabu gani hawa mbona wameruka mipaka hivi

  • @ashahassan2667

    @ashahassan2667

    Жыл бұрын

    Allah atawadhalilisha hapa duniani na kesho akhera

  • @kalssambaboo9932

    @kalssambaboo9932

    Жыл бұрын

    Nimenyewe imejivishaa sikiliza hata matamshi yao sheytwan yupo kazin

  • @angellammbaga7847
    @angellammbaga7847 Жыл бұрын

    Mashee mlio fika kwa nabii ,mungu awabariki,msiogope maneno ya watu,,wana masikio hawakusikia ,wanamacho hawakuonaaa tuwaombee mungu nao waoneee mbarikiwe sanaaa

  • @rauhiyasaad5384

    @rauhiyasaad5384

    Жыл бұрын

    Kuvaa kanzu na kozi sio ishekh, nafsi zitawasuta. Allah hachezewi wanafanya dini kama club ya mpira mara simba mara yanga. Allah atupe mwisho mwema

  • @simonitaagesti4765
    @simonitaagesti4765 Жыл бұрын

    Njaaa kali mungu tusaidie mashekhe nyinyi duh

  • @blandinasylvester3558

    @blandinasylvester3558

    Жыл бұрын

    Mweh umenichekesha 🤣🤣🤣

  • @kinogekimbeho3781

    @kinogekimbeho3781

    Жыл бұрын

    Hakuna hata sheikh hapo

  • @rashidmshindo1527

    @rashidmshindo1527

    Жыл бұрын

    awa wazee wananjaa wapumbavu sana

  • @samxx411

    @samxx411

    Жыл бұрын

    Hivi na wewe na akili zako ndo ushaamini masheikh lkn nyie ndugu zetu wepesi kuamini ila waulize kutoka msikiti gani tuwafate tukathibitishe kama utawaona hao

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    Жыл бұрын

    Kweli Tanzania kunauchawa wa ainanyingi

  • @rashidyahya99
    @rashidyahya99 Жыл бұрын

    Kwa Mwislam wa kweli amecheka sanaaaa!!!! ukistaajabu ya Zumaridi utayaona ya Joe Devi!!!!(Geor Davie)

  • @sadamabdulally1979
    @sadamabdulally1979 Жыл бұрын

    Allah tunakuomba watu Hawa wape udhalili utakao shuhudiwa na watu wote Amiin

  • @rakshanbilally-1341

    @rakshanbilally-1341

    Жыл бұрын

    Ameen ..mana wayafanyayo sikama awayajui ila ndio wao hawajui wako wapi Allah atawateremshia kichapo hawatasahau katika maisha yao.

  • @huss668

    @huss668

    Жыл бұрын

    Ameen Yaa rabbil alameen

  • @HusseinHassan-ch7lj

    @HusseinHassan-ch7lj

    Жыл бұрын

    Amin ya Allah

  • @khairatsuleiman4606

    @khairatsuleiman4606

    Жыл бұрын

    Ety anataka n'a yy apewe unabii Laana ya Allaah Subhaanahuu wataala imshukie Haw n'a wanyama n'a wamepotea zaid kulko wanyama Ila adhabu ya Allaah Subhaanahuu wataala n kali zaid Basi wasubr makafiri

  • @masiwamohamed7814

    @masiwamohamed7814

    Жыл бұрын

    @@rakshanbilally-1341 jj

  • @boraihano2612
    @boraihano2612 Жыл бұрын

    Molah utunusuru katika dunia hihi utujaze imani kamili utukinge na unafki na utufishe tukiwa weslam kamili sisi na vizazi vyetu. Amin Amin insha Allah

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Amyn

  • @pazi8207

    @pazi8207

    Жыл бұрын

    Mtiani mkubwa

  • @everlynenanjala9747

    @everlynenanjala9747

    Жыл бұрын

    Hawa ni wanacha wa chama kimoja ,,unafiki mkubwa😎😎

  • @everlynenanjala9747

    @everlynenanjala9747

    Жыл бұрын

    Hawa ni wanacha wa chama kimoja ,,unafiki mkubwa😎😎

  • @noorbazaar9063

    @noorbazaar9063

    Жыл бұрын

    Amin.

  • @AhmedHassan-zh8dd
    @AhmedHassan-zh8dd Жыл бұрын

    njaaa mbaya sanaa aisee wamejivisha vikanzu kumbe makafakiri mungu awalani awa watu pamoja na nabii wao mkuund

  • @sadithebest9582
    @sadithebest9582 Жыл бұрын

    Subhannallah, mungu atunusuru

  • @jumajaphaly3714
    @jumajaphaly3714 Жыл бұрын

    Inalilahi wainalihi lajiuni mungu tujalie wisho wema wajawako

  • @jamillahkheir6536

    @jamillahkheir6536

    Жыл бұрын

    Yaaniii

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    Amina huyo nabii wao msanii katafuta wasanii wenziwe

  • @user-mq6lu2po3y

    @user-mq6lu2po3y

    Жыл бұрын

    Si waislam ao

  • @glorymbata9195

    @glorymbata9195

    Жыл бұрын

    hata Mungu haindikwi hivyo,siyo mungu andika Mungu,

  • @glorymbata9195

    @glorymbata9195

    Жыл бұрын

    Kila kinywa kitakiri kuwa Yesu ndiye Bwana na yanatimia sasa

  • @hamisimtusi1796
    @hamisimtusi1796 Жыл бұрын

    Inalillah wainaillahi rajiun Hakuna mashekh hapo guys tubadirike tujitambue na tuache mazoea njaa isitufanye tutetereke katika imani zetu

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    Hapana shekh hapoo wamefundishwa haoo eti jinalake Abuu bakar sidiik

  • @MtazameKristoTv

    @MtazameKristoTv

    Жыл бұрын

    Wewe ni shehe kwani?

  • @mgongolwajoseph6901

    @mgongolwajoseph6901

    Жыл бұрын

    Hata muhamadi alimtangaza yesu kuwa yuu juu yake na amaktaja maranyingi nahata bikira maria alimtaja ma34 ninyi kinani mpinge dini dunian kwamungu hakuna dini

  • @janviersobhane6492

    @janviersobhane6492

    Жыл бұрын

    Huyo nabii anataka kusifiwa na kila mtu mwisho wake wa kudhihirishwa kwamba sio mtumishi wa Mungu umekaribia,na kuhusu hao mashehe ukweli hao sio mashehe,kama kweli ni mashehe wajitambulishe ni misikiti gani wanahudumu pale Der esalam.

  • @rabiministry2389

    @rabiministry2389

    Жыл бұрын

    Msingi wa dini ni upendo na kujariana bila kujari rangi dini wala utaifa. Ni salama zaidi kama dini zitakuwa na upendo na kujariana namna hii.

  • @chrisjjustina5210
    @chrisjjustina5210 Жыл бұрын

    Waislam oyeeee... kitaeleweka tu, mkatae mkubali YESU NI BWANA WA MABWANA, NA MFALME WA WAFALME. Na kipindi hiki waislam wengi wataokoka kote duniani, itakuwa ni jambo la kihistoria ulimwenguni kote. Yesu hakuwa anacheza kamari alipokuwa ametundikwa msalabani kwa ajili ya hukumu ya watu wote. Alaaa... mtakuja kwa Yesu kwa lazima. Gloryyyyyyy be to Jesus!!

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Жыл бұрын

    Ili ujue hakuna shekhe hapo Salam tuh.Wanaangaika nayo njaa ni mbaya Sanaa.Hata mtume anatuambia ufangiri upo Karibu na ukafiri ni kweli kabisaaa...

  • @bernahappy2450

    @bernahappy2450

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nuruathman6453
    @nuruathman6453 Жыл бұрын

    Daah ndoivo dunia imeisha tumuombe mungu mwisho mwema

  • @samirally9693
    @samirally9693 Жыл бұрын

    Mungu atujalie mwisho mwema wenye kheri kwetu na Hawa wote awaongoze kwenye dini ya Haki na hao masheikh wanaosema ni masheikh Allah awafanyie wepesi katika imani zao dhaifu hakika mtume wetu na nabii wetu ni mmoja tu!Muhammad (s.a.w) ,Kila nafsi inajua inachokichuma hapa duniani tukumbushane mema jamani na kukatazana mabaya hakika kifo huja bila taarifa

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    Жыл бұрын

    Hahaha eti dini ya haki utakufa kwenye dini yako na MBINGUNI hutapaona, hakuna dini yenye haki, zaidi ya dini ya kumwamini YESU KRISTO, sio kuamini dini yako ya kiislam au ya kikristo bali ni kumwamini YESU KRISTO, na ndio dini itakayokupeleka MBINGUNI

  • @ashirawaziri3195
    @ashirawaziri3195 Жыл бұрын

    Subuhana Allah jamani Allah atusaidie ni mtihani huu

  • @maryamnuru2024
    @maryamnuru2024 Жыл бұрын

    Inna lillahi wainna ilaihi raajiun YAA RABBI nakuomba uwadhalilishe watu Hawa duniani na akhera

  • @rahel6725

    @rahel6725

    Жыл бұрын

    Hawadaliliki Ila watawashabgaza

  • @user-cf7ho1mb4h

    @user-cf7ho1mb4h

    Жыл бұрын

    Baba naomba nyota utumisi sitaki pesa Niko Kenya Mombasa Huku tuakupata vizuri

  • @Alakhyasirabuammar
    @Alakhyasirabuammar Жыл бұрын

    subhana allah .. Hawaa zao zinawapeleka pabaya allah awanusuru. njaa ni mtihani mkubwa

  • @Fatuma_12323

    @Fatuma_12323

    Жыл бұрын

    Subaana Allah nime walaani hawa wanajifanya waisilamu Allah awalaani

  • @jakobongwara3038

    @jakobongwara3038

    Жыл бұрын

    Hizo njaa zitawaponza shetani anawatu wake hongera hatanguruwe watariwa mmenasa

  • @gabrielchacha1551
    @gabrielchacha1551 Жыл бұрын

    Naona Dini mpya inaenda kutokea Mwakani... krislam au Chrislam

  • @Tchimbatchimba

    @Tchimbatchimba

    Жыл бұрын

    😱😱😱

  • @adamufundikira7878

    @adamufundikira7878

    Жыл бұрын

    @@Tchimbatchimba waisilam mnabwata sanaa kwani hamjifunzi mtume Muhammad alisema mjifunze kwa waliotangulia yaani Kristian

  • @fadhilamaulid9843

    @fadhilamaulid9843

    Жыл бұрын

    @@adamufundikira7878 tujifunze nn na kitabu chetu kimeshaeleza kwa uwazi na tumejifunza kweli maana tunatawadha na kusali kama biblia inavyosema tunasli msikitini kama biblia inavyosema

  • @JacobMaganga-re9ji
    @JacobMaganga-re9ji26 күн бұрын

    Allah azidi kuwabariki na kuwatia nguvu Amiin

  • @HusseinRj
    @HusseinRj Жыл бұрын

    Hii kweli Kali, Innalillah wainnaillaih Rajjiuun

  • @lombardocrich6177
    @lombardocrich6177 Жыл бұрын

    Subhana Allah mungu atunusuru hakuna watu hapo njaa

  • @enockmohamed8872

    @enockmohamed8872

    Жыл бұрын

    Ni undugu tu, huwezi kuwatenganisha waislamu na wakristo hapa tz waislamu, Zanzibar ndio waliowapa maeneo wamisional wa mwanzoni kbs na wakawachangia pesa wajenge makanisa

  • @azizimasawe

    @azizimasawe

    Жыл бұрын

    Acha hizo wewe

  • @mariajerome726
    @mariajerome726 Жыл бұрын

    Yaani nikiona hivyo nafurahi sana kushirikiana, bila ya kujali dini Mungu mmoja.

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    Nabii wenu anazima video yake aliodhalilishwa na mungu akusifia zinaa

  • @elishasalingo1819

    @elishasalingo1819

    Жыл бұрын

    Njaa tuu mashehe wangu. Heri muokoke tu

  • @tztanzania2262

    @tztanzania2262

    Жыл бұрын

    @@elishasalingo1819 njaa kweli kweli kujidhalilisha tu

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    Жыл бұрын

    mungu mmoja sisi wa islam mungu wa kwetu anaitwa allah wa kwenu nyny wakristo anaitwa nani ili tujue kua mungu wetu ni mmoja. nasubili jibu kwa yyte anaeweza kulipata

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    @@medimisi6930 halipo na halitokei

  • @danielimusa7601
    @danielimusa7601 Жыл бұрын

    mungu mtu.. Mashehe wa mchongo jamaa anatafuta kila njia ya kujiinua.

  • @allyabdallahally4854

    @allyabdallahally4854

    Жыл бұрын

    Uzuri wa dini ya kislam ukiongea tu unajulikana wewe ni nani

  • @kassimali2273

    @kassimali2273

    Жыл бұрын

    Umeona kama nilivo ona mm ao wote sio mashekh wamevalishwa ili jamaa akuwe kwenye sector yake

  • @kibwanamwalimu9654

    @kibwanamwalimu9654

    Жыл бұрын

    mawazo yako yako sawa sawa na mm kwanza angalia salamu wanavyo itoa mwislamu ana lafidh nzury sanaa ktka kuitoa salam

  • @ashrafurwegoshora4227

    @ashrafurwegoshora4227

    Жыл бұрын

    Ukiona watu wenye akili wanakubaliana kufanya jambo la kipumbavu "Wana maslahi" by mwl Nyerere

  • @danielimusa7601

    @danielimusa7601

    Жыл бұрын

    @@kassimali2273 live kiongozi mashekh wanamsimamo ni balaa hawawezi kujisaliti kijinga namna hiyo eti kisa pesa. Uyu jamaa nilipumbavu sana.

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7u2 ай бұрын

    Mungu ataawadhalilisha hapa hapa duniani kwa kumuongopea mungu kwamba wao ni waislamu.kanzu ni vazi uislamu ni iimani

  • @FatmaFatmA-qk3zl
    @FatmaFatmA-qk3zl Жыл бұрын

    Subhaanallah subhaanallah subhaanallah

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba4474 Жыл бұрын

    Mungu mmoja rangi yetu ni moja

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js9 ай бұрын

    Asante mashekhe mungu awabariki kwakumtia moyo nabiii

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Жыл бұрын

    Wazee wataka kiki duniani tu lkn Wana sahau kuwa Kuna kesho kwa ALLAH

  • @akramdinn8602
    @akramdinn8602 Жыл бұрын

    NAKAMA KWELI NYINYI WAISLAM KWELI BASI INSHA'ALLAH MUNGU ATAWAJIBU

  • @josegambi7149

    @josegambi7149

    Жыл бұрын

    Achen unafiki ninyi lazima wote mkiri

  • @wasilaahmad7913

    @wasilaahmad7913

    Жыл бұрын

    @@josegambi7149 mbona wewe hujakiri

  • @josegambi7149

    @josegambi7149

    Жыл бұрын

    @@wasilaahmad7913 mimi ninajua ndo maana inawapasa kukili na kutubu kuwa yesu ni bwana. Hilo ni jina lipitalo majina yote. Ila katika hali ya unabii hakuna na haji kutokea kama manabii waliopita.

  • @wasilaahmad7913

    @wasilaahmad7913

    Жыл бұрын

    @@josegambi7149 yesu kazaliwa na nani?

  • @josegambi7149

    @josegambi7149

    Жыл бұрын

    @@wasilaahmad7913 yesu alizaliwa na bikra mariam. Na alizaliwa kwa uweza wa roho mtakatifu. Alizaliwa kwa kusudi maalumu. Je, mtume muhamad alizaliwa na nani?

  • @hansboy1443
    @hansboy1443 Жыл бұрын

    Shee namba 3 ni mnafiki sana kabisaaaaa ananjaa sana

  • @sahiyaali4466

    @sahiyaali4466

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @user-ye9jz2om8q

    @user-ye9jz2om8q

    3 ай бұрын

    Kabisa kaka

  • @AngelOmary
    @AngelOmary2 ай бұрын

    Hawa ndio mashekhe wakweli mungu ndie mwanzo nanimwisho amen

  • @merissehassa5705
    @merissehassa5705 Жыл бұрын

    subhanallah Allah atawatshoma aba besilamu ni ma cheikh

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 Жыл бұрын

    Innlilah wainna ilayhi rajiun. Wapuuzi wakubwa nynyi wote makafiri.

  • @rhma6073
    @rhma6073 Жыл бұрын

    Subuhanallah mungu atunusuru

  • @kinoisfilsinsamboy
    @kinoisfilsinsamboy Жыл бұрын

    asante sana baba nabi mku kwa kuponesha Watu nakufanya Mambo yanapendeza sana wana damu naona kama wewe ndiye yesu Kriston utukumbuke nasisi tuko Congo

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Жыл бұрын

    Haya vana ALLAH tunamkabidh Mjuzi Mwenye Khabar zote

  • @theafricaiknow6615
    @theafricaiknow6615 Жыл бұрын

    Kila got litapigwa na kila ulimi utakiri ya kwamba Yesu ni bwana

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Жыл бұрын

    Hii ndio tanzania umoja ni nguvu

  • @killingofficial5005
    @killingofficial5005 Жыл бұрын

    Wote Hawa wamesha angamia na Allah awajalie awape Lana hapa Duniani na kesho Akhera Ameen, na Hawa cyo mashekhe ispokuwa ni wanakharamu wasio na dini wamejidai kwamba ni mashekhe Hali ya kuwa ni makafiri waliopewa psa na hyu mtoto wa ibilisi waufedheheshe Uislamu lkn kw uwezo wake Allah hawatoshinda mbwa Hawa na atakae waunga mkono Hawa mbwa Allah hatomuacha, Inshaallah,

  • @mohamedkitwana7501
    @mohamedkitwana7501 Жыл бұрын

    Innalillah wainnailayh rajiuun Ndugu waislamu turudini kwa Allah kwan yeye ni msaada tosha kwetu na pia ni haramu kufanya kama hivyo kwan kuna maneno hapo yanawatoa katika uislamu

  • @apostlekwfrancis1516
    @apostlekwfrancis1516 Жыл бұрын

    Great... Every knee shall bow and every toung shall confess that Jesus is Lord

  • @frankshirima4029

    @frankshirima4029

    Жыл бұрын

    Amen

  • @omaryally7243

    @omaryally7243

    Жыл бұрын

    Wala hawa sio waislam jamn wala wasituumize kichwa

  • @baby_face_

    @baby_face_

    Жыл бұрын

    now they’ve confess Jesus is God Islam ☪️ must confess Jesus is God

  • @kingshairsalon

    @kingshairsalon

    Жыл бұрын

    Ya kaisari mpeni kaisari na ya mpeni mungu

  • @mariajerome726

    @mariajerome726

    Жыл бұрын

    @@frankshirima4029 amen 🙏🏻

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 Жыл бұрын

    MUNGU ni mmoja tu congratulations NABII MKUU MUNGU WA MBINGUNI AKUTUNZE

  • @josephmusagasa5566

    @josephmusagasa5566

    Жыл бұрын

    Mungu wa waislamu na Mungu wa wakristo ni tofauti,wao wanamuita Allah na wetu anaitwa Yahweh

  • @rickmsodoki348

    @rickmsodoki348

    Жыл бұрын

    huu nimtihan kabisa mungu tupe mwisho mwem

  • @eliudkibona7926

    @eliudkibona7926

    Жыл бұрын

    Mungu sio mmoja ndugu

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Жыл бұрын

    Asanteni

  • @privamushi2512
    @privamushi2512 Жыл бұрын

    Dah haya mambo Bhan mungu atujalie mwisho mwem

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Ameeen. Karibuni sana hapo mmefika

  • @lailaoman3856

    @lailaoman3856

    Жыл бұрын

    Munajidanganya,ao si waislam awo ni makafiri kama nyie

  • @lailaoman3856

    @lailaoman3856

    Жыл бұрын

    Nakama waislam,basi ni waislam jina,atuwatambui katika dini yetu,mimi ataunipe tilioni,siwezi acha kumuabudu allha,na muhamadi mtume wetu,au nabii wetu,na niwamwanzo,na niwa mwisho

  • @justinekashililika6329
    @justinekashililika6329 Жыл бұрын

    Asante Mungu wa Geo Devi leo shekhe anasema uje Dar Mungu YESU aonekane duh injili iende mbele

  • @aloyceiluminata3650

    @aloyceiluminata3650

    Жыл бұрын

    Kwahyo huyo nabii wenu ni mungu yesu au siyo??..mtaenda kuchomwa Kama kuni kenge nyieee...usimwabudu binadamu wenzako

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Жыл бұрын

    Dini sio Ubaguzi Dini ni Upendo na Mungu ni wetu sote, wanaotenda mema watang'aa miongoni mwa jamii kwa matendo yao mema!!!

  • @samwelsimon4800

    @samwelsimon4800

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Жыл бұрын

    Hakika kila Goti lutapigwa Ameen 😍♥️🙏

  • @jumajaphaly3714
    @jumajaphaly3714 Жыл бұрын

    Imani nan pesa mungu tijalie waja wako tuwe na imani ya kweli

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    Жыл бұрын

    Njaaaa mbaya

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    Usiombe njaa

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    Жыл бұрын

    @@sabihaibrahim143 🤣🤣🤣🤣😝😝

  • @samtanzania
    @samtanzania Жыл бұрын

    Waislam tubaki katika dini yetu hao si waislam bali ni wakristo walio vaa kanzu.

  • @ABDULGAMETZ
    @ABDULGAMETZ Жыл бұрын

    Hao mashee wana maana yao sio Kama munavyo zani din ni moja tu mungu awabaliki mashehe wetu

  • @evalinamwakilema7402

    @evalinamwakilema7402

    Жыл бұрын

    Ameen mungu ni mmoja tu

  • @richardIyanga
    @richardIyanga Жыл бұрын

    Hallelujah hallelujah.Asante YESU kwa Mashehe kwa kuijua kweli ya MUNGU MKUU anayefanya kazi kwa kiwango kikubwa kupitia Nabii Mkuu Mhe. Dkt.GeorDavie Balozi wa Amani ❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.Hakika hawa ni Mashujaa wa Imani hallelujah 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    Жыл бұрын

    Hao wasanii sio mashekh kwa shekh hapo humuoni

  • @gh7naa

    @gh7naa

    Жыл бұрын

    Shehe wapi hao

  • @gh7naa

    @gh7naa

    Жыл бұрын

    Njaaa

  • @gh7naa

    @gh7naa

    Жыл бұрын

    Anasaidia kwa kuchorwa kiama

  • @gh7naa

    @gh7naa

    Жыл бұрын

    Kakusanya vshehe njaaa

  • @kassimualli1755
    @kassimualli1755 Жыл бұрын

    Pesa ilimfanya yesu akasalitiwa,waislamu wa kweli hatushangai Kwa hili

  • @faithmapondo7370

    @faithmapondo7370

    Жыл бұрын

    Kumbe unamkubali Yesu🤣😆😂

  • @JohnsonArajick
    @JohnsonArajick2 ай бұрын

    Njaaa mbaya sana yaani mnaema u kristo ni ukafiri sasa hivi mnafunga safari no no Dunia imeisha

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah9630 Жыл бұрын

    Innalilah waina ilayh rajiun..hizbu shaytwani humul ghafilun ...

  • @rashidimmsami327
    @rashidimmsami327 Жыл бұрын

    Subhanallah!! Awa Wana elmu ya Allah kwel😢😢😢😢😢

  • @Ibrahym2422

    @Ibrahym2422

    Жыл бұрын

    Mjuzi ni Allah ila wamekufuru Hawa na wanatakiwa watubie haswaa. Ndio maana wakiambiwa someni kwa watu wa sunna hawataki hiv ahlul sunna aweza kweli fanya upumbavu kama huu. Wallah hii diyn inafanyiwa mzaha saana Hawa ni wakutengwa kabisaa majahili haya

  • @hidayajuma907

    @hidayajuma907

    Жыл бұрын

    Nendeni zenu hamwezi hata kuwashawishi waislam kwa staili hii .Uislam kutokuwepo,upo na utaendelea kuwepo.Nabii wa mwisho ni MUHAMMAD TU. Msijichoreshe nyie waislam na NJAA ZENU. Hamwezi kumpata muislam mjinga kama nyie

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    Жыл бұрын

    Wewe ndo huna elimu ya kweli, una elimu ya dini yako yenye miungu majini,mizimu, waganga,wachawi na washirikina, njoo kwa YESU KRISTO upate elimu ya kweli ya MUNGU ALIE HAI(YESU KRISTO) ambae hashirikiani na miungu unayoitumikia wewe kupitia dini yako, maana yeye ndie MUNGU MWENYEZI

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    Жыл бұрын

    @@hidayajuma907 wewe ndo mjinga eti muhammad ndo nabii wa mwisho unaon kama MUNGU(YESU KRISTO) ameishiwa kuleta manabii atii

  • @sumasule6207
    @sumasule6207 Жыл бұрын

    Innalillah wainnaillah rajiun

  • @abdulswamadmohd8179
    @abdulswamadmohd8179 Жыл бұрын

    Hawaa si waislamu mana ata salamu hawajuwi kutowa na km lengo kuipoteza dini yetu ya kiislamu hawatoweza maana allah atailinda dini kislm hadi mwisho wa maisha yetu Hawa wamepangwa ila tushkur sn huu umma kuombewa kw allah na mtume Muhammad kuwa tusilipwe dunian ila wote wangekuwa kuku

  • @Punda284
    @Punda284 Жыл бұрын

    Mashehe Sasa Mumgeukie YESU Kristo ,msibaki kukubali Kazi zake bila kumkabidhi Maisha yenu.Bwana Yesu Kristo asifiwe.

  • @desderyblessmakoi8218
    @desderyblessmakoi8218 Жыл бұрын

    End time sign ya Chrislam...Jitahidi kuwa First Group Trumpet is about to sound

  • @MtazameKristoTv

    @MtazameKristoTv

    Жыл бұрын

    In Christ we are the trumpet and we sound great

  • @MtazameKristoTv

    @MtazameKristoTv

    Жыл бұрын

    In Christ we are the trumpet and we sound great

  • @desderyblessmakoi8218

    @desderyblessmakoi8218

    Жыл бұрын

    @@MtazameKristoTv prepare your soul,spirit for rapture.Trumpet is about to sound

  • @prosperkisama655

    @prosperkisama655

    Жыл бұрын

    Really this is the last time and one among the signs is those too much loving money and to make yourself proudly

  • @johnpatric3742

    @johnpatric3742

    Жыл бұрын

    NJAA MBAYA Sana hao WOTE ni madalali wa vyumba vya elfhamsini hamsini hakuna hata mmoja anae juwa Dini wa mekwenda kuchukuwa Chao wasepe huyo anaejiita nabii a napenda SIFA kukuza lebo yake ya kazi na SIFA tu nasema tena mm mtt wa mjini tena kwa sana hao walio kwenda huko arusha wa mekwenda kidili na wamepewa mchongo na mtu wa hapo kanisani sawa

  • @FatmaFatmA-qk3zl
    @FatmaFatmA-qk3zl Жыл бұрын

    Inalilah wainna ilayh rajiuun

  • @melckdirector
    @melckdirector10 ай бұрын

    Jamani waislamu kwanini katika kila mnalolizungumza mnazungumzia kifo. kifo kipo ila maisha pia yapo ishi sasa bila hofu ya mauti ukiingia kwa yesu

  • @iradukundadavid5917
    @iradukundadavid5917 Жыл бұрын

    Iyu sio mutumichi wa mungu

  • @mahmoudjuma3825
    @mahmoudjuma3825 Жыл бұрын

    Innalillah wainillah rajiun

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa2499 Жыл бұрын

    Jamani kuweni MAKINI NA MTU HUYU ETI NABII IPO SKU MTULIA

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Жыл бұрын

    Jamni subuhanallah Allah awaogize Kwa njia ya kheri nyinyi mashehe ni chaa ya wasumbuwa

  • @noelbernard6390
    @noelbernard6390 Жыл бұрын

    Mbona Leo hamsemi Takbiiiirrr

  • @marieayinkam4521
    @marieayinkam4521 Жыл бұрын

    Mungu nimwaminifu anabadilisha wathu kwawakati yake

  • @abdulhalimumlai3056

    @abdulhalimumlai3056

    Жыл бұрын

    Ama Shetwani analeta ubunifu wake na njaa huwafanya watu kukufuru Kwa thaman ndogo Sasa wakauza roho zao.

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Жыл бұрын

    sifa nyingi kwa mwanadamu!!! kulikoni!?? sisi sote tunapaswa kushuka Yesu tu ndiye anapaswa kuinuliwa!!!

  • @gibsonjosephat6352

    @gibsonjosephat6352

    Жыл бұрын

    Soma vizuri biblia Hawa lazima wawepo haya Mungu aliwaweka akima Musa

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Жыл бұрын

    😭😭😭😭Innalillahi wainna ilayhi raajioun 😥😥 Hakika mtaenda kujibu mbele ya Allah. Uislamu uko mbali na Sana na Matendo yenu. Rudini na tubieni kwa Allah kbla ya kifo kuwafika. Ndugu katika iiman hawa sio Masheikh n waluchokifny ni kinyume n Mafunzo y dini y kiislamu. Wapuuzeni n tuwaombeen dua Allah awaongoe ktk njia y haki aaamin

  • @zihinjishinifa7573
    @zihinjishinifa7573 Жыл бұрын

    Ee mungu nipe ufahamu wa kujitabua, na unipe mwisho mwema,, usiniludishe nilikotoka, allha kareem, usinipe njaa ya kukufuru , nitosheke na nilichonacho, unipugizie mitihan, Allah, Alllah tujaliwa waja wako utuongonze njia iliyonyooka

  • @sadamkapilima

    @sadamkapilima

    Жыл бұрын

    😭😭😭😭 Msiba mkubwa wallah but... Quran ilisha tabir haya

  • @saramss7262

    @saramss7262

    Жыл бұрын

    @@sadamkapilima wewe mwenyewe ndio msibaa mzitoo

  • @sadamkapilima

    @sadamkapilima

    Жыл бұрын

    @@saramss7262 Sallah kila mtu anaruhusiwa kutoa maon kulingana na ufahamu wake Kwa hyo hao walio jitambulisha kuwa ni mashekhe we unaona ni mashekhe Oky me mtazamo wangu cjalazimisha uamin ninacho Amin relax

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    Жыл бұрын

    Amiin insha Allah

  • @hamischilinga6706
    @hamischilinga6706 Жыл бұрын

    Innalilaih Wainna illaih rajiuna njaa mbaya sana

  • @aliabdalla5757
    @aliabdalla5757 Жыл бұрын

    Innalillah wainna ilyhi rajiun ....... kiukweli hao so waislamu hao n wakristo kma wakristo wengne na huo n mchezo wa kuigiza t ..........

  • @neemasamwelishange2432
    @neemasamwelishange2432 Жыл бұрын

    Nimewapenda Hawa mashehe bure, mko vizur Mungu wetu sote ni mmoja.Mungu awahifadhi mwendelee kuwa mabalozi wa Mungu aliye hai.mkimtangaza Mungu kupitia matendo makuu aliyoyatenda .Hongera mtumishi wa Mungu Geordevi .zekaria ...watu watashika upindo wa vazi wakisema tutakwenda naww kwasbb tumemuona Mungu wako.

  • @alhajimbiru186

    @alhajimbiru186

    Жыл бұрын

    Akili hawana hao, ni makafiri wenzie na waliotengenezwa

  • @alhajimbiru186

    @alhajimbiru186

    Жыл бұрын

    Wa mchongo hao na njaaa ,pia hata firauni alikuwa na wafuasi wake,na hao wote mafiraun

  • @alhajimbiru186

    @alhajimbiru186

    Жыл бұрын

    Mashehe gani hata Salam hawajui ,hao makafiri wenzako

  • @apostlej.rministiryprophet2219
    @apostlej.rministiryprophet2219 Жыл бұрын

    AMEEEEENI this wonderful

  • @binammwanafa2033

    @binammwanafa2033

    Жыл бұрын

    😁 muslam ukimuona wamjua n kauli zake zinajuilisha 😁 ao wezenu hamjui hata Act 😁

  • @shigellalambo9724
    @shigellalambo9724 Жыл бұрын

    Nashangaa watu wanayumbayumba katika imani zao kwa tamaa za pesa!!

  • @lifeinmiddleeast8179

    @lifeinmiddleeast8179

    Жыл бұрын

    5tatizo siyo Imani hakuna dini inayoamrisha uovu ,Ila wanadam tujitambue.kwamba hakuna cha bure

  • @RashidAbbas-zy6xx
    @RashidAbbas-zy6xx2 ай бұрын

    Hawa ndio mashekh njaa wanaouzalilisha uislamu M/mungu awalaani fi Dunia wal akhera

  • @user-nb4gt2zf8d

    @user-nb4gt2zf8d

    Ай бұрын

    Umeongea vibaa sanaa

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Жыл бұрын

    Njaa imetoka tumboni imeamia kichwani.... Mambo ya ajabu kama haya lazima yatatokea kazi kweli kweli. Allah waongoze hawa watu au vunja migongo yao.

  • @ahmedmbarouk3463
    @ahmedmbarouk3463 Жыл бұрын

    Inna lilahi wainna ilayhi raajjighuun

  • @ibrahimshabani7512
    @ibrahimshabani7512 Жыл бұрын

    Innalillah wainnailaih rajiun

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Жыл бұрын

    Na hii njaa mlionayo mtatiwa hata mdole mpewe pesa mtakubali wallah...Mungu alivyotuambia kuwa na subra hakukosea waislaam wa Sasa hatuna subira...

  • @user-do6ts4pr4s
    @user-do6ts4pr4s6 ай бұрын

    Hao cyo masheikh Wana njaa tu hao Innalillah wainnalilaihlaajun

  • @mswadickbushumbiro6923
    @mswadickbushumbiro6923 Жыл бұрын

    Duh,Hakika njaa Na matumbo yatatupeleka motoni

  • @hamisigwalema4786

    @hamisigwalema4786

    Жыл бұрын

    Nahitaji mawasiliano

  • @josephmazengo1113
    @josephmazengo1113 Жыл бұрын

    Njaa mbaya kweli😃😃

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Жыл бұрын

    Nyinyi sio waislamu, mnasema Yesu ni Mungu? ALLAAH hadhihakiwi, atawalipa. Ameen

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 Жыл бұрын

    Mashehe mumekuja kuomba mukate...pole sana!!!

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Inalillahi wainailahi rajuun. Allah atujaalie mwisho mwema. Atuepushe na iiman za mashweitwani tufe tukiwa waislam Amyn. Wanafki hawa Tubieni kwa Allah huyo siyo nabii pesahizo zitawaingiza pabaya na njaazenu hizo

  • @abelmbilinyi1262
    @abelmbilinyi1262 Жыл бұрын

    Kuna mengi ya kuuzunisha ktk hii dunia Ila wacha 😂😂🤭 Mungu pekee anajua

  • @iddysatu7313
    @iddysatu7313 Жыл бұрын

    Hapo hakuna mwenye elimu hata mmoja wallahi hao ni wasanii wa bongo move watupu😢😢

  • @amanaoman9690

    @amanaoman9690

    Жыл бұрын

    Ndo namuona namzee tarimo😁🥺msanii wa bongo move wanatafuta pesa hawa

  • @maalimsule9203
    @maalimsule9203 Жыл бұрын

    SUBHAANA LLAH. INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUWNA NYINYI SIO MASHEKHE BALI NYINYI NI MASHEHENA NA WANAAFIQ WAKUBWA WANAAFIQ NJAA MMEKUBALI KUUZA AKHERA DINI NA AKHERA YENU KWA SABABU YA UBWABWA

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe 🙏🙏🙏🙏

  • @maswamills3161

    @maswamills3161

    Жыл бұрын

    AMEN

  • @ahmadmadaai1357

    @ahmadmadaai1357

    Жыл бұрын

    Asifiwe au asifirw

  • @rhma6073
    @rhma6073 Жыл бұрын

    Njaaa tu ila sisi bado ni binadamu tu mungu ndio atawahukumu

  • @ambarnelly6071
    @ambarnelly6071 Жыл бұрын

    Mh hatari kwa kweli, mungu atupe mwisho mwema mana ni hatari ya hali ya juu kabisa mungu atusameh kwa sote ishaalwah na awape mwisho mwema kwa sote ishaalwah

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema

  • @alisiaaly5018
    @alisiaaly5018 Жыл бұрын

    Mkali wenu hongera kwa hichi ulichoenda kukifanya baada ya kurudi dar

  • @aaaaaah290

    @aaaaaah290

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jumahamis5137

    @jumahamis5137

    Жыл бұрын

    Mashehe wa mchongo tumesamda waisilaam

  • @khadidjasuleiman8006

    @khadidjasuleiman8006

    Жыл бұрын

    Si Mashekh hao hawajulikani hatta

  • @jamalmanzi5239
    @jamalmanzi5239 Жыл бұрын

    Wa mchongo hao hakuna shehe hapo, trust me!!

  • @pazi8207

    @pazi8207

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @barakakasamia5036
    @barakakasamia5036 Жыл бұрын

    njaa mbaya sana leo waslamu Tena mashee kukubali kunanabii baada ya muhamadi aisee mnaizaraulisha wislamu

  • @nuratybarua2979
    @nuratybarua2979 Жыл бұрын

    Nakukubali sana na nakuamini sana Nabii mkuu mpaka nimezaa mtt na kumpa jina lako yani Geordavie namuomba MUNGU mwanangu ajekuwa kama ww Nabii wangu.

  • @rahmaal8926
    @rahmaal8926 Жыл бұрын

    🥰🥰🥰🥰🙏🙏👍👍😭😭

  • @ellamsakafu60
    @ellamsakafu60 Жыл бұрын

    Allahu Akbar huu ni msiba

  • @mwanakhatib5825

    @mwanakhatib5825

    Жыл бұрын

    Mungu awa kalibu na yiyi huu ni mtihani njaa inatupeleka pabaya Sana mashehee wetu

  • @mwanakhatib5825

    @mwanakhatib5825

    Жыл бұрын

    Munamfuata shetanu huyo hata kucheka kwake munamjuwa Kama huyo ni shetani ibilisi maruni

Келесі