WAPEWA UNABII KUHUSU

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 251

  • @mercymutabe1306
    @mercymutabe13063 жыл бұрын

    Amen nabii hallelujah asande sana kutuombea wakenya

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai18612 жыл бұрын

    Nabii GeorDavie unatisha!!!!! Una upendo na huruma ya ajabu. Umetumika kusaidia watu wengi Sana. Nakupenda na kukuheshimu mno. Naomba utamke neno kwa ajili yangu na familia yangu.Ahsante Sana. Mungu akubariki na familia yako

  • @dorothhokororo5301
    @dorothhokororo5301 Жыл бұрын

    Baba najiunganisha na ibada na mafundisho,NAMI napokea baraka zote nabarikiwa sana.natamani kufikia Arisha

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies17823 жыл бұрын

    Mungu akumbuke wakenya asante nabii kwa kutukumbuka sis jirani yenu nanyi mbarikuwe

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @nicksonlangatfromnakuru8533
    @nicksonlangatfromnakuru85333 жыл бұрын

    amen! amen! niko na shida mingi sijui nifanyaje nikutane na nabii.

  • @ndunguedwin4798
    @ndunguedwin47983 жыл бұрын

    GOD of this Mighty prophet Geordavie is a great GOD 🙏

  • @estherngogo3385
    @estherngogo33853 жыл бұрын

    Whaooo nimeskia furaha sana jinsi baba unavyohudumia , asante na tunapokea.

  • @maggieolomi3650
    @maggieolomi3650 Жыл бұрын

    Najiconekt na kufunguliwa sasa mimi na familia yangu amen

  • @halimaomar2795
    @halimaomar27953 жыл бұрын

    Mm mpaka nifike na wadogo zng, nipo Kenya acha nitafute tickets, maana hali katika family nzima ya babangu siyakawaida naisi Kuna watu walitufunga, japo muislam but I will make sure nxt yr inshallah 🙏 nafika hapa nikajue mbivu na mbichi

  • @joycekatana2482
    @joycekatana24823 жыл бұрын

    mungu akubariki kwa kufungua watu

  • @rapttortom4826
    @rapttortom4826 Жыл бұрын

    I'm from Kenya I pray to meet this Great Man of GOD 🇰🇪🇰🇪

  • @shangazshangaz4222
    @shangazshangaz4222 Жыл бұрын

    Baba nabiiiimkuuu tusaidie wadada haya tunayapitia sana sisi kwamwanaume mungu awasimamie alisha hilopepo baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @lyzekeyz328
    @lyzekeyz3283 жыл бұрын

    Mzee wetu pia walai mzee abdull ajeakombolewe

  • @user-ng6yt2od7l

    @user-ng6yt2od7l

    3 жыл бұрын

    Umeonae

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 Жыл бұрын

    Nabii mkuu,Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..............................

  • @SleepyAlpineVillage-yp2sz
    @SleepyAlpineVillage-yp2sz4 ай бұрын

    Uko big up nabii mkuu wangu

  • @webnty323
    @webnty323 Жыл бұрын

    Nisaidiye papa mimi nimefirisika sana nataka nijuwe familiya zangu

  • @rosinakalunda5969
    @rosinakalunda59693 жыл бұрын

    God blessing you

  • @sarahmgaya9853
    @sarahmgaya98533 жыл бұрын

    Amina nabii naomba unipe unabii wako nafatilia sana unabii wako adui zangu wote waaibike

  • @user-pr4nu4ws9o
    @user-pr4nu4ws9o5 ай бұрын

    Amen babangu

  • @petermollel1471
    @petermollel14713 жыл бұрын

    I receive in Jesus name. Amen

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын

    amina wasaidie baba

  • @vickjohn6830

    @vickjohn6830

    3 жыл бұрын

    Tunaomba Namba tunapata shida kupata Namba zako

  • @saldakltl7611
    @saldakltl76113 жыл бұрын

    Amen Amen 🙌🙋‍♀️🔥🔥🔥🔥👏👏👏

  • @amselinah7920
    @amselinah79203 жыл бұрын

    Nabii naomba unipe unabii wa maisha yangu me ni mkenya na nimekua nafuatilia channel yako sana may God bless all your good work you have been doing ,.,.papa pray for me

  • @annakamasha5705

    @annakamasha5705

    3 жыл бұрын

    Nabii naomba namba pleaz

  • @adjafamkungilwa1154
    @adjafamkungilwa11543 жыл бұрын

    Dunia ya leo watu wanakuwa vipofu japo wana macho Watu hawatafuti mungu tena watafuta miujiza,Dahh??

  • @paulkasamabrama8329

    @paulkasamabrama8329

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @azamtv7410

    @azamtv7410

    3 жыл бұрын

    True

  • @robertlyimo5830

    @robertlyimo5830

    3 жыл бұрын

    We unayeona elezea unachoona kwa usahihi

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Watu wa mungu wana potea kukosa maarifaa.hizi siku wakristo wana penda vitu vya rahisi

  • @corannotremedecine8368
    @corannotremedecine83683 жыл бұрын

    Asanten kw Film ambayo mnaendeley kutuchezeya

  • @josephinebahati5599

    @josephinebahati5599

    3 жыл бұрын

    Kanisa lipo sehemugani

  • @joycecollection6876

    @joycecollection6876

    3 жыл бұрын

    Kwa kweeli flam Yao tumeijua

  • @emimwakalinga4262
    @emimwakalinga42623 жыл бұрын

    Nabii uko vizuri sana nikijakupata ela ntakuja uko arusha

  • @juliethmsengi4188
    @juliethmsengi4188 Жыл бұрын

    Dad 🙏 nimeipenda hii....ishi Sana BIG DADY.....

  • @tedylaulet8933
    @tedylaulet89333 жыл бұрын

    Namm napokea uponyaji kupitia madhabahu hii roho za kukatariwa nazitowesha kwa jina la yesu

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92183 жыл бұрын

    Amen.

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai20723 жыл бұрын

    Asante nimeamini Kenya

  • @eliasimakobe9098
    @eliasimakobe90983 жыл бұрын

    Amina sana mchungaji yodefi

  • @atusagileysanga6412
    @atusagileysanga6412 Жыл бұрын

    Amina kubwa

  • @jamessichimata3100
    @jamessichimata31003 жыл бұрын

    Ameen

  • @michaelmugambi5223
    @michaelmugambi52233 жыл бұрын

    Naomba kufunguliwa nikiwa kenya magojwa yananisubua pia nafanya biadhara sifanikiei ..

  • @nooor1120
    @nooor11203 жыл бұрын

    Wakristo nyote nendeni kuombewa huko kanisani kwa hali hio mtakuwa na maisha mazuri nyote duniani hakuna mwenye tabu wala maradhi

  • @meena-ol6fo

    @meena-ol6fo

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁mungu sijui alitutofautisha na wanyama watu waongopewa kaa wanyama

  • @Cuero_mio
    @Cuero_mio3 жыл бұрын

    This is very touching I would like to meet this man of God over my sister's issue

  • @lucyhusein4043

    @lucyhusein4043

    2 жыл бұрын

    Nabi naomba inirudishie dhaman yangu sifanikiwi napambana sana baba

  • @mutabazijonathan7278
    @mutabazijonathan72783 жыл бұрын

    Mungu ni mkubwa nabii una kazi kubwa

  • @adjafamkungilwa1154
    @adjafamkungilwa11543 жыл бұрын

    Yesu amesema nimwewapa bure nanyi toweni bure,sasahuyu anae toza pesa ili kumuona tu inakuwaje tena Mbona ni kama ajifanya mungu mtu huyu mzee?aisee mungu atuokowe mana kweli ishara ziko wazi kwamba ninyakati za mwisho

  • @annkim2690

    @annkim2690

    3 жыл бұрын

    Watu hawataki kuisoma Bibilia watajionea

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Wa kristo wa sasa wanapenda vitu rahisi,wamekua wavivu kudoma biblia 😢😢

  • @luhizomkombozi5763
    @luhizomkombozi5763 Жыл бұрын

    Namwomba MUNGU siku moja nifike mahali hapo!!! Nimeiona nguvu ya MUNGU kwa NABII MKUU GEOIRDAVIE!!

  • @yolandasira3013
    @yolandasira30133 жыл бұрын

    Amen

  • @nabintumiruho5142
    @nabintumiruho51422 жыл бұрын

    Mtumishi waMungu uniombeye mungu afunguwe nyumba yangu mimi naikaa kenya

  • @brendaaluoch7088
    @brendaaluoch70883 жыл бұрын

    Tutubu dhambi zetu Messiah anarudi tuishi kwa njia yautakakatifu,tuwachane na hii michezo mingi jameni

  • @wilsonletiet7852
    @wilsonletiet78523 жыл бұрын

    Duuh! Eh Mungu tupe roho ya ufahamu na utufunguwe macho tupate kuona

  • @rachellaizer941
    @rachellaizer9413 жыл бұрын

    Nabii msaidie hiyo kijana maana unayoona ni kweli wanageukaga haswa wanajisahau sana wakishapata hela na kuwa mahandsome

  • @gladyswandela1565
    @gladyswandela15653 жыл бұрын

    amen

  • @valentineinnocent6647
    @valentineinnocent66473 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😘😘😘😘🥰❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Amen Amen Amen awasaidiye Baba

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Muombeni MUNGU WA MBINGU NA NCHI NA KUTUBU DHAMBI ZENU VINGINEVYO mmmmh tutateseka Sana na hii DUNIA

  • @alexmatiko373
    @alexmatiko373 Жыл бұрын

    Nabii mkuu.❤

  • @halimaleila2323
    @halimaleila23233 жыл бұрын

    Nazidi. Kuomba. Mungu. Siku. 1.nifike.mahari.apa,🇧🇮

  • @tymlesshodari1010
    @tymlesshodari10103 жыл бұрын

    Amen 🙏 but wait huyu pastor huwa anahubiri neno mda gani 🤔

  • @phinerjulius8487

    @phinerjulius8487

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 swali la kibabe

  • @espekahambu4437
    @espekahambu44373 жыл бұрын

    Namba plis

  • @sharinv8864
    @sharinv88643 жыл бұрын

    Haki siku hizi watu badala kumuita mungu baba wanapigia binadamu magoti mungu atusamehe.

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Huu mtihani kwakweli. Atapoteza wengi.

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    😢😢jamani dah. Sisi binadamu tumeanza kuji tafutia laana kwa kweli

  • @ikeedaudi
    @ikeedaudi3 жыл бұрын

    Msichana mkenya 😂😂😂😂😂rudisha msichana wetu naniiii kwetu tunabiiiii

  • @mmasymery391

    @mmasymery391

    3 жыл бұрын

    Kaaa kwakutulia

  • @hildpaul7823

    @hildpaul7823

    3 жыл бұрын

    Tuliza mawemge wewe kenya😳😳😳😳

  • @marykarebeti9410

    @marykarebeti9410

    3 жыл бұрын

    Amrudishe ili iweje?? Umeona Tz hakuna wa kukaa nae??

  • @BavaziBamutara-mc5xt
    @BavaziBamutara-mc5xt Жыл бұрын

    Nabi yamungu mambo yako inaniguza sana

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa55663 жыл бұрын

    Yaani watu wanathubutu kusema wazi wazi kanisani kuwa walikuwa Wana mahusiano ya ki mapenzi na mtu fulani na sasa anaye mwingine,lakini mchungaji hakemei uasherati/uzinzi bsdala yake anabariki na kuombea mafanikio ya ki maisha,kumuona mtumishi hadi uchomeke rupia jamani,hebu tujiulize na tuwe makini

  • @annkim2690

    @annkim2690

    3 жыл бұрын

    Hata inashangaza wana tangaza usinzi

  • @marykarebeti9410

    @marykarebeti9410

    3 жыл бұрын

    🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies17823 жыл бұрын

    Natamani nifike huku kwa nabii mkuu asaidie family yetu

  • @hildpaul7823

    @hildpaul7823

    3 жыл бұрын

    Uje nikupeleke

  • @beatriceshauri4497
    @beatriceshauri44972 жыл бұрын

    Ee mwenyezi mungu naomba unifungue namimi

  • @janetnyabitanga9087
    @janetnyabitanga90872 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @severinngloo3772
    @severinngloo3772 Жыл бұрын

    Kazi,iyendelehe,.mdogowake.wamngu.adisula.mnafanana.bwanabwa

  • @michaellyeme7397
    @michaellyeme7397 Жыл бұрын

    Baba naomba nisaidie mimi na Familia yangu na vijana wetu wapate ajira,

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Жыл бұрын

    Kama huwa una tabia ya kwenda kwa waganga Basi nishauri nenda kwa huyu ili Kama ni nguvu zilezile za kiganga Basi umesaidika lakini pia Kama kweli ni nguvu za mungu Basi umepona pia,,lakini Kama umeokoka tulia hapo hapo muombe mungu atakusaidia

  • @vailethseth9036
    @vailethseth90363 жыл бұрын

    Kiruuu kumbe ni hela kumuona😎😎

  • @exaudmungure2795

    @exaudmungure2795

    3 жыл бұрын

    Shalom Nabii Naomba Tamko La Kaka Aangu Hana Tatizo La Kifamili Yuko Dar Mm Naitwa Exaud E Mungure Kaka Anaitwa Safnati E Mungure Asante Halipona Hile Tumbo Hakufanyiwa Hopreheni Tena Iliisha Kabisa Asante Sana Nabii Was Bwana.

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Nashangaa. Tena mamilioni.

  • @victoryustas1847
    @victoryustas18473 жыл бұрын

    Uislamu haya mambo ya unabii hatun mungu atosha

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Mungu peke ndo wapekee. Wakristo tuamke.

  • @danielshauri4681
    @danielshauri4681 Жыл бұрын

    Nivizuri sana

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther59083 жыл бұрын

    🖐

  • @abdulrahmanpaskalina7627
    @abdulrahmanpaskalina76273 жыл бұрын

    🤲🙏

  • @user-kf6ox4pe5b
    @user-kf6ox4pe5b2 ай бұрын

    Nifungue Mie pia nabii mkuu

  • @elviramawang6652
    @elviramawang66522 жыл бұрын

    Namimi naomba unabii maisha hayaendi Kila siku ni struggle here n there

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын

    Ameni na Mimi pia napokea una bii

  • @evamringo2331
    @evamringo23313 жыл бұрын

    Yesu yuko wapi Apo jaman...

  • @adjafamkungilwa1154

    @adjafamkungilwa1154

    3 жыл бұрын

    Nimesikia akitamka walahi,je nanyi mesikia ?

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mimimwenyew361
    @mimimwenyew3613 жыл бұрын

    Da majibu menginr magumu mujibu. Me naweza rahisisha tu KUWA ntampeleka mahakamani tuu maana no way out

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂acha vupofu wabaki huko huko.wanao penda vitu vya rahisi kuliko ku soma biblia

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 Жыл бұрын

    Baba nakuaminia uongezeke

  • @nenemagadau1954
    @nenemagadau1954 Жыл бұрын

    nakupenda jamani

  • @amanimanase5794
    @amanimanase57943 жыл бұрын

    Kijamaa kinapenda kulelewa hichi hahahaaaa chapenda pesa sana

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Bwana mungu atu saidie. Dunia ime fika mwisho wake

  • @marykarebeti9410

    @marykarebeti9410

    3 жыл бұрын

    Unataka apende nini sasa?? Uuwiihhh

  • @happinessshilie4019

    @happinessshilie4019

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын

    Wasaidieni baba

  • @wilsonletiet7852
    @wilsonletiet78523 жыл бұрын

    Mmmmh! Umesarender kwa Dervie na siyo kwa Yesu???

  • @shakila3982
    @shakila39823 жыл бұрын

    Hmmmm 😏😏😏😏eti mtu kukuona lazima ulipwe laki 5, Mungu halipiki

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Hii ni biashara sio tena kanisa. Pia watu wamependa vitu rahisi ndo maana wana tumia hio njia yaku toa hela zao

  • @geophreymhagama9560
    @geophreymhagama95603 жыл бұрын

    Nguvu ni ya Mungu sio ya nabii

  • @alamera5986
    @alamera59863 жыл бұрын

    Ok

  • @estermumbua7329
    @estermumbua73293 жыл бұрын

    Aki nabii sinikufikie

  • @myra123myra9
    @myra123myra93 жыл бұрын

    Jamani mtu anielekeza kanisani pake mchungaji mimi mkenya pliz🙏

  • @alimachitechi2107
    @alimachitechi21073 жыл бұрын

    Unapatilishawa unabii na una kubali sasa kama nambi patala usaidie.unawaotoa imani

  • @estherimbotsi7553

    @estherimbotsi7553

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maureenwanjiku8971
    @maureenwanjiku89713 жыл бұрын

    Naomba kuconet na nabii

  • @solonyamwita777
    @solonyamwita7772 жыл бұрын

    Jmn mm Sina laki Tano Nina elf kumi TU kwaiyo sirhusiwi kumuona nisaieni?

  • @chrispinchristopher3914
    @chrispinchristopher39143 жыл бұрын

    Huyu nabii kanisa lake liko wapi hapa dar

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe96493 жыл бұрын

    Inna lillah waina illah rajion

  • @shabaniezekeeli2216
    @shabaniezekeeli2216 Жыл бұрын

    Ee mungu apigae ngurumo

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын

    I believed

  • @drallicemugasa3086
    @drallicemugasa30863 жыл бұрын

    Kiboko haki ya nani

  • @nenemagadau1954
    @nenemagadau1954 Жыл бұрын

    ww baba ww

  • @webnty323
    @webnty323 Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes87003 жыл бұрын

    Daaaaa

  • @emmanulefisto8822
    @emmanulefisto88223 жыл бұрын

    Iyonjoo majina yangu ya fb

  • @queenambakisye5576
    @queenambakisye55763 жыл бұрын

    Nabii nakuomba. Niombee. Nauzao wangu

  • @azamtv7410

    @azamtv7410

    3 жыл бұрын

    Nimekuombea mwanangu

  • @madamloveness7274
    @madamloveness72743 жыл бұрын

    Mm ningesema ntampeleka mahakamani maana no way out ,Ila kumuona nabii Ni 500,000 acha nibaki tu . Mmepewa bure na toeni bure

  • @agapejosceline7683

    @agapejosceline7683

    3 жыл бұрын

    Vipofu na wavivu ndo wana enda huko.hii ni biashara mungu atu fungue macho

  • @catherinemhagama7505
    @catherinemhagama75053 жыл бұрын

    Nabii geordavies naomba namba yako ya simu naishi Mkoani Ruvuma

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther59083 жыл бұрын

    🙏🙏🙏♥️

  • @estherpassaris4912
    @estherpassaris49123 жыл бұрын

    Nabii niombee yule mume niko nayeye anataka kuniacha. Hatujaoana tuko mahusiano niombe isifujike nimeteseka sana

  • @annkim2690

    @annkim2690

    3 жыл бұрын

    Achana nae Mungu anakuepusha na makubwa na kumbuka ukifa leo utaenda wapi coz kuna jehanam na mbinguni

  • @eerikannaedwn1012

    @eerikannaedwn1012

    Жыл бұрын

    baba ndoa yangu inayumba Sana nisaidie ikae sawa baba yangu Mami nitakutolea ushuda kwakile utachonisaidia

  • @eerikannaedwn1012

    @eerikannaedwn1012

    Жыл бұрын

    nikotayari kutoa sadaka yaukombozi baba

  • @alimachitechi2107
    @alimachitechi21073 жыл бұрын

    Hata angalia sasa hio ndo yesu ayuko sasa unawasa eeeeee we iyo kazi yako ni kufuncha nyumba kwanza hakiona munapendana ndo anawanachanisha

  • @alimachitechi2107
    @alimachitechi21073 жыл бұрын

    Nyi mume ingia

Келесі