#mwamposa #kakobe #diamondKatika ibada ya tarehe 2 /2/2020Askofu kakobe akemea vikali kwa baadhi ya mitume na manabii kutumia maji na mafuta aongea jana katika ibada
Жүктеу.....
Пікірлер: 1 200
@paulmallya95732 жыл бұрын
Kakobe umekosa cha kufanya. Mwache Mwamposa, mbona ilijulikana kuwa ulikuwa unafuga majoka ndani na huzungumzii Hilo. Mwamposa shine and rising Amen
@nathaliamhule20812 жыл бұрын
Tumwachie Mungu mwenyewe ,maana hii vita ni ya Mungu SI mwanadam yoyote
@barakabiz80763 жыл бұрын
Mtoto ambae mungu alimpa upako wa kuokoa watu duniani na mm nikiwa moja wapo kuokolewa mtume. mwamposa ama borodosa ni Powe ⚡⚡⚡⚡
@jasminsaid4142
2 жыл бұрын
Mwamposa alibarikiwa Toka tumboni kwa mama yake
@immaculatejohn9906
2 жыл бұрын
Acha ujinga
@jenipherhenry209
2 жыл бұрын
But unatakiwa kujua tulipewa buree tunatoa buree but watumish wa Leo n after money
@lucasmabula8340
Жыл бұрын
MATHAYO 7:21-23 kaisome na uielewe usifkiri kila mtumishi anayeponya katumwa na MUNGU, kama ni hivyo basi hata waganga wa kienyeji nao wametumwa na MUNGU. Tujifunzeni NENO mpendwa ili tuijue kweli nayo ituweke huru YOHANA 8:31-32 Tusiwe watu wa kufuata ishara, maajabu na uponyaji hivyo hata ibilisi hufanya
@diwenagoodiani8087
Жыл бұрын
@@jasminsaid4142 una uhakika jihadharini na manabii was uongo
@gracejulius233 жыл бұрын
Watu tumepona kupitia madhabahu hiyo ya mwamposa ambayo wewe unaona ni uganga Ila tumepona kupitia jina la Yesu kristo aliyehi wa madhabahu ya inuka uangaze au sema SHINE AND ARISE
@meryngugi7392
3 жыл бұрын
Amen
@husseingabo5497
2 жыл бұрын
Kwan mtu ukienda Kwa mganga ndio hauponi. Huyo mwamposa mganga kama waganga wengine wa kienyeji sema kajificha kwenye mwanvuli wa din
Mwamposa kuinuliwa kwake na mungu ameponya maisha ya wengi sana muachen mtume
@glorybonifasi3704
3 жыл бұрын
Hujaoka wewe anaponya watu wapi, Mungu akupe macho ya rohoni sisi tuliokoka tumeona anatumia uchawi
@carolinederi5690
2 жыл бұрын
@EPAFRA MWANSASU kwa halali sio njia ya mkato au ulimuona Yesu akitumia mafuta ya upako?
@winifridaagidy7733
2 жыл бұрын
Msizungumzie mabaya juu ya watumishi wa mungu usitizame kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio wakati wewe unaboliti
@carolinederi5690
2 жыл бұрын
@@winifridaagidy7733 Nabii wa uongo awatatoka kuzimu direct wako miongoni mwetu Yesu mwenyewe alisema utawajua kwa matendo...mafuta ya upako ni sign moja yao ya kuwatambua...
@VANDABOYMEDIA
2 жыл бұрын
@@carolinederi5690 ndio. Alitumia tope kumponya kipofu au hujui biblia
@ellyjoel9689 Жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi kwa ujumbe mzito aliye na sikio ayasikie hayo ambayo Roho ayambia makanisa
@johnmushi97663 жыл бұрын
Mi kweli mckilizaji tyuu c mwongelei mtu kwa ubaya wala mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@anganilekajigilikajigili2641
3 жыл бұрын
Uko upande gani kukemea ama kuacha ubovu unaendelea maana Mungu ukimfwata kiroho na kweli njia zake ziko wazi😀😆
@christinaamosisakiluamosis2835
Жыл бұрын
Mungu nisaidie nifundishe kunyamaza nisinene neno lolote baya juu ya watumishi wa Mungu maana neno linasema usihikumu usije kuhukumiwa sina mamlaka ya kuwanenea watumishi vibaya Mungu ndiye anawajua wa lio wake
@nyawawawanyawawa9353 жыл бұрын
Mtaumbuana sana. Hivi mnaoneana wivu kwa kuzidiana Mbinu upigaji, balaa lingine Wafrika hujifanya wenye dini kuliko walioleta Dini hususani Wanawake
@brendagunder16623 жыл бұрын
Imeandikwa usimseme Mtumishi wa mungu vibaya...kila mtu na ufunuo wako nb dini safi niileinayompendeza Mungu😇
@khamismwalimu2681
3 жыл бұрын
Hawa wote waongo wakubwa wanawaibia wenziwao
@livingstoneberege3348
2 жыл бұрын
Imeandikwa kitabu gani? Je tuliache Karisa la BWANA YESU litumbukie shimoni //KWA TAARIFA YAKO ILE SIYO INJILI YA BWANA YESU //KATIKA KITABU CHA WA GALATIA PAULO ANASEMA NI INJILI YA NAMNA NYINGINE KISHA AKASEMA NA WALAANIWE (WAGALATIA 1:8-9
@claudiadismas4487
2 жыл бұрын
Nae kakobe anahistoria yake,alisemwa vibaya ila amesahau na kusema wengine
@helenmpali7137
Жыл бұрын
Sasa hii ya mwamposa inampendeza Mungu kweli??
@sarahtaste28762 жыл бұрын
Eeh Mungu kupitia madhabahu ya arise and shine naomba Mungu unipe utulivu wa imani simwabudu Mwamposa naliabudu jina la Yesu Kristo
@sevefred1456
2 жыл бұрын
Amen amen
@mariammwamaso3984
2 жыл бұрын
Ameen
@boniphacemvungi9317
2 жыл бұрын
Jichanganye umepumbazwa
@neemakasawanga1259
Жыл бұрын
Hauna lolote, miujiza ndo iliyokupeleka.
@floraelias8769
Жыл бұрын
Umep9tea maana unaab7du anachokiab7du mwam0osa toka hko hrk ww
@MarryMarcel3 күн бұрын
Mungu akupe Maish Marefu baba yangu nakukubar mafundisho ykooo
@RehemaKasanga-vu5nj2 күн бұрын
Mzee nyamaza Jaman Mbona mnamtangulia Mungu kwenye kaz yake Hivi mmekuaje ninyi Watumishi wa MUNGU Watu wanachojua wanapona mwachen Mungu ajitwalie utukufu wake
@edwindaniel58322 жыл бұрын
Unavyo mfaahamu mungu kakobe ni kwa kadri mungu alivyo kujalia kumjua mungu Hana mwisho ufaamu wako ndio una mwisho mugu hufanya apendavyo sio wewe ufaamuvyo usimsengenye mtumishi na kama wewe ni mwema ulisha wai kumwita uka fanya nae mazungumzo toa Kwanza kibanzi jichoni kwako ndio uone boriti jichoni kwa mwenzio
@neemaemmanuel3048
2 жыл бұрын
Facts 💯
@ynyynyyny2 жыл бұрын
Baba yangu kakobe Nakupenda lakini kwa mwamposa hafanyi biashara, bei ya maji ni Ile Ile ya kawaida na viwete wanatembea vipofu wanaona,kifupi tunafunguliwa sana sana
@markonjoregwa261
7 ай бұрын
Nakupa pole
@taifaramadhan8684
5 күн бұрын
acha uongo ww. Viwete na vipofu bado wapo wengi sana mitaani na mikoani. wale ni vipofu na viwete wa kutengenezwa sio wa ukweli ukweli. yule ni muongo anawatapeli na kuwadanganya watu wajinga wajinga waso jitambua.
@taifaramadhan8684
5 күн бұрын
@@markonjoregwa261kabisa hakika. tena pole haswaaa. tuna haki ya kumshukuru sana mola wetu kua Waislamu alhamdulilah kwa neema hii ya Uislamu.
@ynyynyyny
2 күн бұрын
Asiyejua maana haambiwi maana
@godfreymwamaso24242 жыл бұрын
Ubarikiwe lakini tunamshuru Mungu watu wanaponywa anapolitaja jina la Yesu tumtie. moyo anaponya roho za watu.wa Mungu tumuombee. mtumishi Mwamposa anafanya kazi ya Mungu imeandikwa usihukumu usije.ukahukumiwa Amen
@davidmwambona2973
2 жыл бұрын
ameen balikiwa
@barakanestory35212 жыл бұрын
Mwamposa ni mtumishi wabwana,nakatumwa na Mungu kweli, mwambie Mungu atakuonyesha.mwamposa na huyo unaye mtaja tofauti, mwamposa ni Moto.
@neemakigala3578
2 жыл бұрын
Hallelujah
@halmaharuna63 жыл бұрын
Aaah wee mwamposa noma alfu yeye ajiiti nabii mwaache aponye watu ata mim nimepona kweny madhabao ile maji mafuta saf tunatumia weka na ww maji mafuta mwamposa ❤❤❤mungu akupe umri mrefu mwamposa
@emmanuelchipanha6765
3 жыл бұрын
Bibilia gani imesema mafuta yanaponya??,
@pamerakinabo3646
3 жыл бұрын
@@emmanuelchipanha6765 kakobe we mbwaa tuu.mbonawewe ulikuwa unanyanganya watumishi wako cheni hereni za dhahabu.na kanisa lako ukifungua macho unakutana na majoka. Huna lolote wewe ndiyo tapeli mkubwa huna uponyaji wowote. Acga wivu mwamposa anaponyaaa na ha na utapeli kama wewe.
@jmsonlinetvmalya871
3 жыл бұрын
Yes mungu anatutendea kupitia mafuta na maji
@godfreywilliam9673
3 жыл бұрын
@@emmanuelchipanha6765 lejea kwenye biblia
@abdullahhaji8779
3 жыл бұрын
Ww muislamu au mkristo
@magrethpius85663 жыл бұрын
Jamani kwa Mtumishi wa Mungu Mwamposa maji ni bure mafuta ni bure Mwamposa yuko na Mungu kabisa,mm namkubali tena na muelewa sana, kupitia Mwamposa familia yangu imeponywa,tena kupitia TV.Na wewe hubiri habari za Mungu acha uongo wa kusema vitu vya kutunga na kuchafua watumishi wa Mungu
Kwan kupona ndio nini Kwan hata Kwa mganga wa kienyeji SI unapona sisi hatuhoji kupona sisi tunahoji njia anazotumia kukuponesha je ni za mungu kweli au laaa?
@chichasam90323 жыл бұрын
Ushafuliaaa kakobe achaaa wenzio na wao wapige helaaa
@lestutaleo7220
3 жыл бұрын
Atulieee dawa ya mwaposa imwingie, kwa ss habar ya mjin Ni mwaposaaa
@sophiapeter43083 жыл бұрын
Hubir Neno la Mungu acha kumponda mwenzako
@paulchibona8020
3 жыл бұрын
Amina
@hamzaadrin9413 жыл бұрын
We mwenyewe mwizi kama mwamposa Sema mwamposa kakupokonya waumini ladhima ikuume
@anithakalumuna9965
3 жыл бұрын
Alikiibia nini? Anaongea ukweli
@aidanmbilinyi8184
3 жыл бұрын
Hao wote n wamoja story zao tunazo na shuhuda watu wamezitoa
@hoseaseif6602
3 жыл бұрын
Usione kibanzi katikajicho lamwenzko nawakati wewe unaboriti toa boriti yako Kwanza
@chifukimwelitvimam723
3 жыл бұрын
Unacho kisema unauhakikaa ?
@prophetmlokozi4633
3 жыл бұрын
😅
@tinajj48812 жыл бұрын
Haaaaaaaaa utajibeba achanana mwamposa wewe sio level zako hizo 👌👌
@doricemtungi2773 жыл бұрын
Maji na mafuta yapo kwenye kumbukumbu la torati mbona ukikanyaga unakuwa na miguu ya shaba na leo nimekanyaga kwa mwamposa hatumuachi kamwe man of god mwamposa Asante kwa kutuponya
@mwalimunyemba6183
3 жыл бұрын
Oh pole kakobe umekwishs
@aidanmbilinyi8184
3 жыл бұрын
Poleni san wenznu tunpikia samaki na tunkunywa mafuta na samaki endlen kufata miujiza mtajuta sana kakobe tapeli na huyo mwamposa ni wale wale tu
@samwelnyankena9873
3 жыл бұрын
Mh kazi mnayo karbu sabato achanen na huo ujinga
@teresiamwita1788
3 жыл бұрын
Mmetuibia......Sasa hv Mmezidiana mnapigana madongo nyie mtakuwa kuni
@naomibuchanga9047
2 жыл бұрын
Yaan mm kwa shda nilizokuwa nazo hanishawishi kakobe bas na iwe hvyo
@prophethenrywenani1692 жыл бұрын
Very man of God yafaa tuombe mungu jamani maana siku zamwisho ndio hizo Sasa
@danielmchome15063 жыл бұрын
Wewe nimtumishi wa Mungu nafikiri hata wewe ulisemwa vibaya ulikatiswa tamaa,Pima unacho kiongea,kwanza usije ukawasema wenzako vibaya,kwa sababu Mtumishi wa Mungu hawezi hubiri neno LA Mungu akaponya kwa jina LA yesu afu tukasema nishetan ,Mungu sio mwanadamu,anatenda kama anavyo ona
@nightnessrobert205
Жыл бұрын
Fy
@user-mn2hb7xt9kКүн бұрын
Roho ya wivu. Huleta anguka hata kama mungu alikupa chako. Kapumzike mzeee
@teklahyela45762 жыл бұрын
Mungu ndo hakimu wa wote Amina
@rehemadaudi7423 жыл бұрын
Pole kwenu msioongozwa na roho mtasikia mengi,
@ibambasymanyama4914
3 жыл бұрын
We unaonaje anaongea ukweli au la?
@dibabatv5761
3 жыл бұрын
@@ibambasymanyama4914 yupo sahihi ndyo
@chayogasperi97833 жыл бұрын
Watu si wanapenda miujiza , acha waibiwe .
@Moon-rp5tm
3 жыл бұрын
Aki naenda kusomea uchungaji maana ndo makolo walikoamia
@laurencemwanga6441 Жыл бұрын
Asante kwa kuona Hill. Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maiarifa, wanataka miujiza hawana haja na Mungu.
@margaritoraphael38052 жыл бұрын
Wivu tu huo ..Kakobe mhubiri Kristo acha kuhubiri watumishi wa Mungu...Yupo atakae wahukumu na kuzichambua kazi zao
Tena huyu alivuka mipaka akawa anafanya watu kma misukule anawavalisha nguo nyekundu na nyeupe huyuuu baba alikuwa anafanya uchawi mpk watu wakaingilia kati ndio kufungwa kanisa alikuwa anawaingiza watu kwenye uchawi live
@anganilekajigilikajigili2641
3 жыл бұрын
Utatamani ukimbie ndio ulipotezwa mazima🤣🤣
@kelvinmapunda25892 жыл бұрын
Mwamposa anatibu kwa kukwambia muamini Mungu utaponywa kwa damu ya yesu tatzo lipo wapi ni maji tu au Kuna mengine?.
@lucykapinga369
Жыл бұрын
Kama siyo tatizo chukua mafuta nyumbani kwamko yatamkie hivyo na umuamin MUNGU Anaishi hakika pia yata fanya kazii kikubwa kinachotakiwa watumishii watangaze injiliii kisawa sawa Tuache dhambi tyuvae silaha za MUNGU Tupate kuzishinda hila za Shetani .TUWEZE KUVIOMBEA WENYEWEEEEE AYOMAVITYUU UWAyanatokea waaapii
Asante baba askofu kakobe kwakutufumbua macho naroho lakini Kwa MTUMISHI wamungu mwamposa sio hivo kwani TUNAPOKEA UPONYAJI tukiwa mbali sana nahatumjui nahatujui .maji anatuambia tutumie yanyumbani namafuta yanyumbani ukweli ndio huo
@eliasjonas3561
Ай бұрын
Hawajui tu ni wivu wao acha tuendelee kupokea tupo nyumbani
@happinessmwenda27733 жыл бұрын
HONGERA BABA NYUMBA YAKO PALE BARABARANI NI NZURI SANA MZEE.YESU ATAONDOKA NA WACHACHE
@priscamdindile36793 жыл бұрын
Nakukubar sana mtumishi wamungu
@endrualay67972 жыл бұрын
Kakobe hiyo siyo kazi yako acha magugu na ngano vikuwe pamoja mwenye kazi hiyo anafahamu lakuanya
@gracemwakibolwa7910
Жыл бұрын
Kabisa ndugu sio kazi yake atulie hata yy wanamsema hivyo hivyo.
@magrethmallya77283 жыл бұрын
Karibuni sana ROMAN KATOLIKI. Huku maji ya baraka ni Bure kabisaa.
@fabianbenardngatunga2713
2 жыл бұрын
Kweli tulibatizwa kwa maji tumekombolewa kwa damu ya Yesu mengine ni uwongo
@salomeshila36713 жыл бұрын
Kakobe umechanganyikiwa kweli acha wenzako wamuhubiri kristo kamq wewe umeshindwa jua kila nabii anaufunuo wake mungu aliempa kwahiyo wewe unaufunuo wako na mwenzako nae kapewa kivyake acha hivyo
@rosehaule220
2 жыл бұрын
Yy mwenyewe alifanya hayo nyuma je tusadiki.kwamba na yy alikuwa akipelekewa taharifa tuamini.miujiza hipi mmmmh
@michaelnzunda73473 жыл бұрын
Ona.. ona.. akiona kibanzi kwenye jicho la mwenziwe anasahau kutoa boriti kwenye jicho lake
@fabricehavugimana3296
3 жыл бұрын
Uyu nimutumishi wa mungu
@mahewamahewa6461
3 жыл бұрын
Acha kuropoka
@eliakazilo60786 ай бұрын
MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae
@AnabAbdallah-ii7ou3 ай бұрын
Nampenda sana mtume mwaponsa mpaka ni ingie kabulini
@matorahusseni9363 жыл бұрын
Laaillah ilallah Muhammad allasullullah kama unamwamin Allah usiache kulaik
@vumiliamwakasyuka2911
2 жыл бұрын
Mko sawa baba.acha tuu
@danielmbughi268
2 жыл бұрын
Allah sio mungu wakweli Bora ungemjua yesu mwana wa mungu wa kweli
@ZuhuraMwanafuno
Ай бұрын
Yesi siyo mungu
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Tangu mwaka 208 natembelea magongo nimepona mwaka 2018 sinaulemavu tena Arise and shines kiboko yao Mwamposa Mungu akulinde na akutie nguvu pambana mpaka kieleweke shetani ataisoma namba
@Churchofecclesia
3 жыл бұрын
bora hata umeongea, hawa kaz yao ni kukandiana tu, pkea uponyaj tembea, BWANA atukuzwe sanaa
@marwamwita7673
3 жыл бұрын
👍 Mwamposa ni MTUME wa Mungu ametusaidia wenge na anahekima sana huwa apendi kuwasema vibaya watumishi wenzake na ametufundisha sisi pia tusiwaseme watumishi wa Mungu vibaya. KAKOBE MUNGU AKUPE HEKIMA NA UPAKO WA KUFICHA.
@charlesmakulumo233
3 жыл бұрын
Acha utapeli na ww au mwamposa Ni hawala yako?
@tymchanneltv1143
3 жыл бұрын
Mafuta ndio yenye kufanya kazi ila sio mwamposa, kwasababu mafuta hayapatani na uchawi pamoja na majini na yanatengenezwa na kuuzwa duniani kote. Kama ukilogwa mafuta yanatoa uchawi. Ni utapeli na pesa wanaitafuta na wanailamba. Muislamu akienda kwa mwamposa hakuna tofauti na akienda kwa mganga kote huko Ni Haramu. Na Ni shirki,
@Churchofecclesia
3 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 sio kila mafuta, mafuta yanayotoa uchawi na majini ni yalioombewa kwa JINA LA YESU KRISTO, vingine kama hayajaombewa kwa jina la BWANA WA MAJESHI, hayawez kufanya kaz, na ndo maana pia kuna mafuta ya kichawi, mafuta ya kifreemason
@schollastickamathanacki60622 жыл бұрын
Yesu lisaidie kanisa lako Mimi naogopa Sana hakika ni nyakat za mwisho watu wengi wameikimbia kweli 😭😭😭wametimukia huko kwenye mafuta
@janemagogo5219
2 жыл бұрын
Angalia neno linasemaje kwenye Biblia mengineyo tumwachie yeye Mungu aonaye motor hata viuno.
@felistawilliam67372 жыл бұрын
Nyiee mponden mwezenu Alafu Mungu anamuinua zaidi na said kila itwapo leo
@marrypatrick32763 жыл бұрын
Sikuwahi kumwamini huyu mzee Ata siku moja
@janethmasawe7863
Жыл бұрын
Yy mwenyewe Ni tajiri wa kutupa angalia lile jumba lake la kifahari alilonalo tuhubirieni injili malumbano msiyape nafasi zamani yy alijaza kanisa Kama mwamposa kila nabii anakuja kwa wakati wake na atapita na watakuja wengine fahamu pia wapo manabii wengi walikuja na wamepita
@halmaharuna63 жыл бұрын
Yeye aigize ni kwel kabisaaa mwamposa anaponya
@tifababynchimbi8454
3 жыл бұрын
Anayeponya Mungu peke yake
@asmahassan1044
3 жыл бұрын
Karibun kwa waislam hakuna makuu leo nabii huyu kesho huyu.😄😄😄😄😄😄
@alfredshungu32703 жыл бұрын
mmmh askofu kakobe hebu muhubiri Mungu tu hayo mambo ya Kusema watumishi wa Mungu hapana
@estermathias83543 жыл бұрын
Kwakwel maji hpn.💃💃💃💃yesu anatosha
@gracengonde8553
3 жыл бұрын
Huyu sialiweka pesa za watu mpaka Jana zikajaa
@Churchofecclesia
3 жыл бұрын
mtakufa kaeni hvohvo, ndo maana mnakung'utwa na nguvu za giza, watu wa giza wenyewe wanatumia maji na mafuta yao ya kichawi, vp kuhusu sisi WANA WA MUNGU(BENEHA ELOHIM), je sisi sinzaidi ya wao, watu wa giza wameyaiga kwetu, lkn sisi watu wa YESU ndo tnajiganya ooh YESU anatosha, ni sawa YESU anatosha, lkn maandiko yanasema imani bila matendo imekufa nafsini mwako, unasemaje unamwamininYESU KRISTO, halaf hyo imani yako huionyesh kwake, unapomwamin YESU anza kuamini na vifaa vyake vitakatifu, maji, mafuta, udongo, chumv, vitambaa, nguo, maandiko yenyewe yameweka waz kuhusu hv vtu, mitume walitumia nguo kuponya watu, wakatumia na mafuta kuwapaka watu baada ya kuwaponya, kwann sisi ndo tunajifany hatutak, KRISTO YESU mwenyewe anasema ROHO WA BWANA yuko juu yangu kwa sabab amenipaka mafuta, sasa sisi ndo tunajifanya hatutak kutumia, ndo maana mnagandamizwa na nguvu za giza kwa sabab ya ubish
@richardboaz-mashagospel23463 жыл бұрын
Kwa ujumbe huu mimi ni mtoto wa Bishop Amon Lukama Redeemed Gospel church binafsi nimekuelewa sana sana sana sana....huo ndio uongo wa shetani ameuingiza kanisani. Wateule tuamke!
@saramungumwemakweliametend5089
3 жыл бұрын
Wewe ndo umesema kiekima Kaka laiki zingine duhu
@neemakigala3578
2 жыл бұрын
Kasome wakorinto wa kwanza ukaone jinsi Mungu anavyogawa karama but roho atendae niyuleyuleee...kuwa mtoto wa bishop sio kumjua Mungu...imani na kiyajua maandiko ndio siri ya kupokea nguvu za Mungu....tuwaheshimu watumishi wa Mungu...sio sisi tulowatumaa
@richardboaz-mashagospel2346
2 жыл бұрын
@@neemakigala3578 karama ya kuvaa barakoa na kuogopa corona? Maana mwanajeshi huyu anakimbia adui corona akiungana mkono na watu wa dunia kukimbia.....haya nguvu yake ilikua kwenye barakoa? By the way nahisi umeshaambiwa tayari na wale waliomwambia yeye kua barakoa ni deal leo wamebadili msimamo wamemwambia tena najua barakoa sio issue...je ni Mungu alisema naye juu ya barakoa kuvaa au kutovaa? Je Mungu wake anabahatisha kama wanadamu? Hapana kitu hapo, karama ya barakoa sitaielewa bora askofu gwajima alivyosimama na kiukweli aliishinda corona, hofu na mauti kwa jina la aliye juu sio kwa barakoa. Bye
@lucasmabula8340
Жыл бұрын
@@neemakigala3578 unafikiri kila mtumishi ni mtumishi wa MUNGU kasome kitabu cha MATHAYO 7:21-23 utaona jinsi gani YESU anatoa tahadhari anasema anavyotoa tahadhari, usifikiri kuwa Kila alitajae jina la YESU ni mtumishi wa MUNGU la hasha wengine no mawakala wa shetani
@yuventmpiru7738
Жыл бұрын
Mtoto wa kuzaa au nawe umeshajisahau kusema mtoto wa Yesu Kristo
@nancymorenje38803 жыл бұрын
Amesahau alikuwa nakusanya pete za watu za ndoa. Ndoa za watu wengi zimevunjika. Mungu hajakutuma uhukumu, we chapa injili utaeleweka
@unjushekimweri6787
3 жыл бұрын
Kakobe alikiri mbele za watu
@amirikoshuma3039
3 жыл бұрын
Na mwamposa akiri alihusika kwenye ajali ya kukanyagana kisa mafuta
@emmadora7848
3 жыл бұрын
Waliodanganywa ndio wajinga
@oscarphilip2428
3 жыл бұрын
Injili ni pamoja na hicho anachokifanya, kuwahubiria watu waijue kweli.
@nancymorenje3880
3 жыл бұрын
@@oscarphilip2428 Nikweli kabisa Oscar, kinacho tusikitisha ni pale Mtumishi wa Mungu unaposimama kwenye Madhabahu na kumsema Mtumishi mwenzie. Kama vile yeye ni kipimo cha haki, wanasahau haki ni ya Mungu. Ukiamini na kuona Mwenzio anakosea mfuate kwa upendo umwambie kile unachokiona hakikosawa kwako na si kwake.
@muelimishetv53373 жыл бұрын
Amina baba mungu akubaliki
@peterdaimon-ug6fd5 ай бұрын
Appreciate you
@gloryisaac14773 жыл бұрын
Tuachien mwamposa wetu
@Moon-rp5tm
3 жыл бұрын
Mchuuzi mwamposya
@ericbadu37263 жыл бұрын
Ndugu, tatizo la kuweka imani katika vitu vingine badala ya Yesu Messia. Yesu alisema tumuabudu Baba katika kweli na Roho. Ukiongozwa na Roho Mtakatifu hakuna binadamu atakaye kudanganya. Kama ni watu kupona, inatokea lakini sio kila mtu anaepona. Yesu ndiye mponyaji na anajua kwanini anaruhusu wengine wapone na wengine wasipone. Yesu mwenyewe hakumponya kila mtu alivyokuwa anafanya kazi yake duniani. Ila aliweka njia ya binadamu wote kupona na hukumu ya moto wa jehanamu kwa kutoa uhai wake. Kikubwa tuikubali hii neema tuliyopewa na tuache haya malumbano ya pembene.
@magesantejo3509
Жыл бұрын
Ok
@rehemajuma4301 Жыл бұрын
Ikiwa mwamposa anatumia ushirikina kuponya basi ushirikina wake ni kiboko 💪ndio ninaouhitaji wengine ni feki. Mtume Mwamposa Mungu AKUPE umri mrefu kwa maana huchagui dini Wala kabila.mungu U pamoja nawe✌️
@elizabethfatuma90532 жыл бұрын
Amen ukweli njo uwo Wateule tuwe Macho
@ernestkipenya42383 жыл бұрын
Mungu akusamehe bure ewe KAKOBE kumsema vibaya mtumishi mwenzio sio jambo jema hata kidogo. Napenda kukutia moyo ewe mtumishi wa Mungu Bulldozer Mwamposa kuwa hata Yesu alitukanwa na kudharauliwa sembuse wewe'! Tuko nyuma yako piga kazi, Mungu yu pamoja nawe, kwani yeye ndiye anajua alikuleta hapa kwa makusudi gani.
@carolinederi5690
2 жыл бұрын
Kwa nini watu awajiulizi wale walio tutanglia kuokoka awatumii mafuta wala maji wala awamiliki magari wala mali kwa nini hawa watumishi wa 20century wapita wazee wao kiinjil kwani theolojia ya bible si moja au nini?....
@immaculatejohn9906
2 жыл бұрын
@DOMKY INFO yaan hawa watu wamefungwa fahamu cjui wamelogwa dah
@verenavedasto7385
Жыл бұрын
Kumbe wachungaji ampendani mungu akusamehe kabisa soma Bible vizuri utaona mafundisho ya mafuta na maji
@graceifuja43314 жыл бұрын
Amen,kkwel ya Mungu iwaweke huru
@sarunyanda1741
2 жыл бұрын
Wivu tu umekujaa mzee
@witnessombetu6703 жыл бұрын
Ubiri neno na sio watumishi wenzio machafuko ni mengi Kuna kundi kubwa la wenye mahitaji wagonjwa makahaba majambazi tulishe chakula na sio wahubir
@cassianaltho1483
3 жыл бұрын
Kwa hivyo mchungaji anapokosea hapaswi kukosolewa si ndio?
@nyahingapeter8835
2 жыл бұрын
Kwan hayo so mahubiri
@geraldlutamigwa75563 жыл бұрын
Mbona manabii wote mko dar tu? Hamkai vijijin
@dillaygundya2345
3 жыл бұрын
Safi kaka ,umeuliza sawia
@shedrackmwaipopo9427
3 жыл бұрын
Wamapiga hela mjini
@fatumajuma1157
3 жыл бұрын
Vjijin hali ni mbaya hawatapata hela
@rehemafyumagwa8005
3 жыл бұрын
Hahahaha
@habibamanyanda9868
3 жыл бұрын
Ndo soko lilipo😁
@charlesphiliph5283 жыл бұрын
Wacha basi wivu,hubiri injili basi.Muhubiri YESU.Hata YESU aliambiwa anatoa pepo kwa belizebuli.Mwamposa hata bishana na wewe,yeye Ni mbele kwa mbele.Watu Mtwara wanapokea, Zanzibar nk.wanapona kupitia TV.
@robinahumphrey9725
3 жыл бұрын
Wewe unayemwambia ivyo...unamjua au unamuona kwa picha...??? Nakupa shauli katubu.....acha Baba awapize waache utapeli...waganga wakienyeji wameingia makanisani.
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Matayo 24:4,5 kwanini hamzingatii maonyo ya Yesu? Matayo 24:24 Hakuna Nabii Sasa hivi baada ya Muhammad. Matayo 7:22,23 ngojeni kukataliwa.
@ericamwkyokile46812 жыл бұрын
usimpige vita Mwamposa.Injili ni ileile ila Mungu anatoa ufunuo na kumgawia mtu karama vile apendavyo
@esterkyando4275
2 жыл бұрын
Mwache mwaposa mbona wewe ulichuwa dhahabu zawatu
@shalomsichone6728
Жыл бұрын
Nisiku za mwisho wengi wataacha kweli na kufwata tamaa zao wenyewe
@muriithipaul85593 жыл бұрын
Beans asifiwe,,baba askofu,,naomba niweze kukutana naww,,naitwa Paul kutoka Kenya,, ukiosta ujumbe huu,tafathsli unijibu
@queendanford45463 жыл бұрын
Mh mungu atulehemu
@monicaisaya61433 жыл бұрын
Mimi namsikiliza Mungu binadamu mtanifanya nitangetange maana kilamtu anakuja na yake Mungu atusamee kweli🙆🙆
@faithyhilary1259
3 жыл бұрын
Mungu azid kutuhudumia
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Mungu yupi? Maana hata Yesu ameitwa Mungu na Paulo au Mama yake Maryamu mwana wa Imran?
Wewe mwenyewe ndio walewale we mara ya mwisho kufika kwenu kigoma lini na kunakanisa lako kule acha kuzungumzia maisha ya watu hubili mambo ya mungu kwani kwenye biblia maji na mafuta hayaja zungumziwa soma ISAYA 10:27,soma MARKO 6:13 hayo yalikua mawe sio mafuta
@constantinohaule2998
2 жыл бұрын
Ulisahau Samweli alimpaka mafuta Daudi
@user-lb6tw9tl2v7 ай бұрын
Kakobe mtumishi wa Mungu kwelikweli kina mwamposa waganga tu
@lilymwashumbe48906 ай бұрын
Mungu akubariki kwa huo ufunuo
@allyhamisi63943 жыл бұрын
Mtume wa mwisho ni MOHAMMAD acheni kudanganya watu halafu muogopeni Mwenyezi Mungu aliye wapa pumzi na nguvu ya kudanganya hao watu basi
@josephmusagasa5566
3 жыл бұрын
Soma Biblia utaelewa
@naimaabdallah9491
3 жыл бұрын
Muhammad mwenyewe muongo
@allyhamisi6394
3 жыл бұрын
@@naimaabdallah9491 🙏🏾
@nivermwangajile43573 жыл бұрын
Angalia sana mzee simama na imani yako
@gloryrestorationministrygr63742 жыл бұрын
Nani anakumbika saa ya maajabu kwahiyo baada ya saa ya maajabu sasa mzee wetu katulia mwamposa msikilize mzee kakobe alikutangulia kwenye izo izo ishu kwahiuo kakobe akiongea kitu inabidi muelewe. Mimi sasa hivi namwamini kakobe sio yuye wa saa ya maajabu huyu sasa ndo halisi big up baba
@mwelumanguli87142 жыл бұрын
Wewe mwenyewe ujihoji kwanza kabla hujamnyoshea kidole😂😂
@pascalnicolaus69863 жыл бұрын
Umesahau moja,Kuna maombi ya pesa mara laki mbili mpaka ya tsh 1000:Kama unachagua simu au bidhaa.ahnsante pia mwimbaj Pascal casian
@glorybonifasi3704
3 жыл бұрын
Ni kweli siku za mwisho tuombe sanaa Mungu tuone mm nimeona
@paskalmagiri44663 жыл бұрын
Mark 6;13 isaya 10;27 Yesu alitumia mate na matope naamani alipona kwenye maji kila kitu kikiombewa kinatumika panua ubongo
@gestinabunganiekuya6300
3 жыл бұрын
Yesu alifanya hivyo lakini alikuwa akifanya muujiza kupitia maji, alikuwa harudii kufanya muujiza mwingine kupitia maji hayohayo tuombe roho mtakatifu atupe macho ya rohoni tupate kuona shetani ametupiga upofu hatujielewi tulio wengi tunafata miujiza hatutafuti ufalme wa Mungu. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kusema ukweli.
@elishakayagwa9371
3 жыл бұрын
Acha ujinga, Yesu aliponya watu wangapi wenye tatizo la macho kwa tope? Funguka ww hapo uliyelala
Na hapo ndio unapokosea hivi kweli imani yako sahihi ? Huyo unaemfananisha na yesu wanaendana ?
@mecklinmalawandu186 Жыл бұрын
Baba askofu tuna kuheshimu wafundishe waumini wako neno la nungu acha majungu kanisani,tumia kipawa chako ulicho pewa na mungu,sio kuwajaza chuki kondoo wako kwa watumishi wengine wa mungu,fanya yako baba,kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha nyuma
@veronicajohn77133 жыл бұрын
Asante Askofu
@julianapatrick79112 жыл бұрын
Watumishi wa Mungu mpemdane najua ulikuwa wakwanza ila kilamchungaji na namna yake. Freedom of worship
@evaristmbuya6220
2 жыл бұрын
Acha kutetea matapeli
@lilianmugyabuso8908
2 жыл бұрын
Anasema ukweli mtupu Kakobe
@epifaniamilinga28483 жыл бұрын
Watumishi wa mungu mmefika pabaya.kila siku kusemana.mnamwabisha Kristo.wanawashinda hata wanasiasa.jaribuni kukaa pamoja,mmtukuze mungu
@suzanasunday3855
2 жыл бұрын
Kabisa wanamuaibisha Mungu
@davidkasambala2575
2 жыл бұрын
Uyu kakobe kawaibia sana waumini wake zaabu
@jenipherkaramba7250
Жыл бұрын
Mwacheni mwamposa wetu .Mtabaki na utopolo wenu Tu.
@rahmbanzi6202 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho lakn mafuta ya mwamposa ni mafuta ya kawaida kabisa na maji ya kawaida kabisa Kama hayo ya nyumbn kwako kikubwa ni ile nguvu ya upako iliyoachiliwa ndani ya mafuta na maji alaf Nina swali kwako mbona tumepona ? Mbona tumefunguliwa vifungo vilivo tutesa kwa miaka mingi nyumba zetu zimefunguliwa ndoa zetu zimepona watoto wetu wamefunguliwa ? Usimuhukumu mtu iyo ni kazi yamungu
@user-ng6yt2od7l
2 жыл бұрын
Wambie kina Tomaso walikuwepo yangu zamani hao na hawata Amini kamwe maana ndowalivyo💃💃
@zahirinashoo8813
Жыл бұрын
Asiwatishe watu waende wasinunue maji wala mafuta ya pale wachukue ya nyumbani kwao yaachiliwe upako na wataponywa nakufunguliwa
@MchungajikiwiaW.F.C5 ай бұрын
Baba ubarikiwe uishi milele
@Pihansmo11293 жыл бұрын
Mwamposa uko sahihi. Tangu lini mganga akaagiza matembele🤣🤣😂🤣
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Mganga anaagiza kuku na mbuzi
@lucykullaya12813 жыл бұрын
Paulo mtume wa NYAKATI hizi,,,,,, am so proud you BISHOP
@mosesbonamsafi5047
Жыл бұрын
karibu FGBF
@deputyarchbishoppatriciaki84242 жыл бұрын
Ukweli usemwe katika JINA KUU LA YESU. Asante Mtumishi wa MUNGU umeliona hili, unabii wa uongo nimeingia na akapoteza Kanisa la BWANA
@rachelmpimbe1331
2 жыл бұрын
Clear Malisa alinitabiria bila hata hao vijana maana sikuaga mtu kwamba naenda hebu acha kusema watu vibaya
@rachelmpimbe1331
2 жыл бұрын
Halafu wewe si ndio watu wanakusikiliza kupitia tv hawaruhusiwi kukanyaga madhabahu jamani? Halafu Yesu aliponya hadi kwa matope ninini shida kwenye maji kwani!!
@stevec.s.majessah16262 жыл бұрын
Huyu amesahau yeye pia alikuwa akiuza na kuombea leso na nguo, kuwapa kina mama kuwashawishi kimiujiza waume zao wahamie Kanisa lake! Hana tofauti na Mwamposa.
@kapeljjkapeljj54073 жыл бұрын
Huyu naye akae kwa kutulia wakat yeye alkua anawaambia watu watoe dhahabu zao wakiingia kwenye kanisani lake apo mwenge atuache na MWAMPOSA wetu anatusaidia sana aacha uongo maji gan yanauzwa kwa laki du baba umetisha.hubir neno la Mungu acha kumsakama mwenzio
@shalompeter5983
2 жыл бұрын
Wanafanya biashara ya maji cyo kumuhubir krsto
@mariammulungu9884 жыл бұрын
oooh haleluyaaa
@rosemarysamwel18822 жыл бұрын
Mwamposa is the best for me
@josephmwaisobwa66503 жыл бұрын
Takbiiiiiiriiiiiiiiii
@abubakarihamissi41783 жыл бұрын
Ww mwenyewe mpigaji nakujua nje ndani tangia 95 unakuja migo migo kule na ww mwizi tu.
@irenejohn2025
3 жыл бұрын
Mungu akushuhudie ulichokiongea ...mna usemlo hulijua ,hakuna mwanadamu anaemjua mwanadamu nje na ndani
@abubakarihamissi4178
3 жыл бұрын
@@irenejohn2025 dada kakobe ninamfahamu vzr sana hakuna mchungaji humo ni tapeli na sio yy tu mpaka mashekhe baadhi nao wamekuwa matapeli injili ya kweli inatoka ndani ya moyo wako kwa kusoma maandiko lkn sio ya hawa viongozi wasaka tonge, tafakari juu ya hilo.
@emmanuelgontako59673 жыл бұрын
Sema Mtumishi wa Mungu, watu wapone. Tuwaze kuingia mbinguni.
@abuuanswaaronlinetv4747
2 жыл бұрын
Unaumwa sana wewe hakuna karifir lolote litakwenda mbinguni nyoote motoni
@@abuuanswaaronlinetv4747 Hujuwi chochote we mpagani
@utukufumponji7966
Жыл бұрын
Soma neno,yote yanafanyika
@johnamelye58073 жыл бұрын
Bwana ndiye mchungaji wangu
@joshuamollel241 Жыл бұрын
Mungu atusaidie
@valenakomba76863 жыл бұрын
HUIRINI MUNGU MSILAUMIANE AU KUHUKUMIANA. NI MUNGU PEKE YAKE NDO ANAPASHWA KUHUKUMU.NA IMEANDIKA PIA . WE KAMA HIYO MBINU ILIKUPITA , BASI AACHE WENZIO ATAJIRIKE KA MAJI.
@godfreymasele8853
3 жыл бұрын
Ukiuufahamu ukweli utakuweka huru na ukweli ni NENO LA MUNGU. YESU ALISEMA OMBENI LOLOTE KWAJINA LANGU MTAPEWA.
@mhifadhi7973 жыл бұрын
Mmeanza kuongea siri zenu
@zumbeshauri8114
3 жыл бұрын
Hahahahahaaaa kabisa ndugu yangu alisahau kuwa amewahi kuchukua dhahabu zawatu anawaambia zimeingia majini tupa kwenye chemba ya choo wakati zinaenda chumbani kwake?
@lestutaleo7220
3 жыл бұрын
Anaongea ya mwenzie yake moyon. Acha mbwembwe kakobe
@sijaonamsagati6967
3 жыл бұрын
Baba Askofu Zakaria kakobe MUNGU Akubariki Sana nakufahamu, nakupenda Sana nakuombea Endelea kuponya kanisa la Yesu kristo, Wauza njiwa waliofukuzwa na Yesu kristo hekaluni, wamerudi tena
@hekimapeter2813
3 жыл бұрын
Ngoja atoe silazake kumbe anavofanyaga
@chayogasperi9783
3 жыл бұрын
Wamezidiana sadaka , labda kondoo wake wanaendelea kupungua wanaenda kwa Mwamposa .
@kalaluwakisaka32112 жыл бұрын
Aminaa
@willymtewele18692 жыл бұрын
Kakobe uko sahihi dunia imekwisha waambie Yesu alisha sema watakuja kwa jina langu kumbe
Пікірлер: 1 200
Kakobe umekosa cha kufanya. Mwache Mwamposa, mbona ilijulikana kuwa ulikuwa unafuga majoka ndani na huzungumzii Hilo. Mwamposa shine and rising Amen
Tumwachie Mungu mwenyewe ,maana hii vita ni ya Mungu SI mwanadam yoyote
Mtoto ambae mungu alimpa upako wa kuokoa watu duniani na mm nikiwa moja wapo kuokolewa mtume. mwamposa ama borodosa ni Powe ⚡⚡⚡⚡
@jasminsaid4142
2 жыл бұрын
Mwamposa alibarikiwa Toka tumboni kwa mama yake
@immaculatejohn9906
2 жыл бұрын
Acha ujinga
@jenipherhenry209
2 жыл бұрын
But unatakiwa kujua tulipewa buree tunatoa buree but watumish wa Leo n after money
@lucasmabula8340
Жыл бұрын
MATHAYO 7:21-23 kaisome na uielewe usifkiri kila mtumishi anayeponya katumwa na MUNGU, kama ni hivyo basi hata waganga wa kienyeji nao wametumwa na MUNGU. Tujifunzeni NENO mpendwa ili tuijue kweli nayo ituweke huru YOHANA 8:31-32 Tusiwe watu wa kufuata ishara, maajabu na uponyaji hivyo hata ibilisi hufanya
@diwenagoodiani8087
Жыл бұрын
@@jasminsaid4142 una uhakika jihadharini na manabii was uongo
Watu tumepona kupitia madhabahu hiyo ya mwamposa ambayo wewe unaona ni uganga Ila tumepona kupitia jina la Yesu kristo aliyehi wa madhabahu ya inuka uangaze au sema SHINE AND ARISE
@meryngugi7392
3 жыл бұрын
Amen
@husseingabo5497
2 жыл бұрын
Kwan mtu ukienda Kwa mganga ndio hauponi. Huyo mwamposa mganga kama waganga wengine wa kienyeji sema kajificha kwenye mwanvuli wa din
@ZuhuraMwanafuno
Ай бұрын
Mganga mlimpa nyie tunguli mwacheni mwamposa wawatu
Mwamposa kuinuliwa kwake na mungu ameponya maisha ya wengi sana muachen mtume
@glorybonifasi3704
3 жыл бұрын
Hujaoka wewe anaponya watu wapi, Mungu akupe macho ya rohoni sisi tuliokoka tumeona anatumia uchawi
@carolinederi5690
2 жыл бұрын
@EPAFRA MWANSASU kwa halali sio njia ya mkato au ulimuona Yesu akitumia mafuta ya upako?
@winifridaagidy7733
2 жыл бұрын
Msizungumzie mabaya juu ya watumishi wa mungu usitizame kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio wakati wewe unaboliti
@carolinederi5690
2 жыл бұрын
@@winifridaagidy7733 Nabii wa uongo awatatoka kuzimu direct wako miongoni mwetu Yesu mwenyewe alisema utawajua kwa matendo...mafuta ya upako ni sign moja yao ya kuwatambua...
@VANDABOYMEDIA
2 жыл бұрын
@@carolinederi5690 ndio. Alitumia tope kumponya kipofu au hujui biblia
Ubarikiwe Mtumishi kwa ujumbe mzito aliye na sikio ayasikie hayo ambayo Roho ayambia makanisa
Mi kweli mckilizaji tyuu c mwongelei mtu kwa ubaya wala mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@anganilekajigilikajigili2641
3 жыл бұрын
Uko upande gani kukemea ama kuacha ubovu unaendelea maana Mungu ukimfwata kiroho na kweli njia zake ziko wazi😀😆
@christinaamosisakiluamosis2835
Жыл бұрын
Mungu nisaidie nifundishe kunyamaza nisinene neno lolote baya juu ya watumishi wa Mungu maana neno linasema usihikumu usije kuhukumiwa sina mamlaka ya kuwanenea watumishi vibaya Mungu ndiye anawajua wa lio wake
Mtaumbuana sana. Hivi mnaoneana wivu kwa kuzidiana Mbinu upigaji, balaa lingine Wafrika hujifanya wenye dini kuliko walioleta Dini hususani Wanawake
Imeandikwa usimseme Mtumishi wa mungu vibaya...kila mtu na ufunuo wako nb dini safi niileinayompendeza Mungu😇
@khamismwalimu2681
3 жыл бұрын
Hawa wote waongo wakubwa wanawaibia wenziwao
@livingstoneberege3348
2 жыл бұрын
Imeandikwa kitabu gani? Je tuliache Karisa la BWANA YESU litumbukie shimoni //KWA TAARIFA YAKO ILE SIYO INJILI YA BWANA YESU //KATIKA KITABU CHA WA GALATIA PAULO ANASEMA NI INJILI YA NAMNA NYINGINE KISHA AKASEMA NA WALAANIWE (WAGALATIA 1:8-9
@claudiadismas4487
2 жыл бұрын
Nae kakobe anahistoria yake,alisemwa vibaya ila amesahau na kusema wengine
@helenmpali7137
Жыл бұрын
Sasa hii ya mwamposa inampendeza Mungu kweli??
Eeh Mungu kupitia madhabahu ya arise and shine naomba Mungu unipe utulivu wa imani simwabudu Mwamposa naliabudu jina la Yesu Kristo
@sevefred1456
2 жыл бұрын
Amen amen
@mariammwamaso3984
2 жыл бұрын
Ameen
@boniphacemvungi9317
2 жыл бұрын
Jichanganye umepumbazwa
@neemakasawanga1259
Жыл бұрын
Hauna lolote, miujiza ndo iliyokupeleka.
@floraelias8769
Жыл бұрын
Umep9tea maana unaab7du anachokiab7du mwam0osa toka hko hrk ww
Mungu akupe Maish Marefu baba yangu nakukubar mafundisho ykooo
Mzee nyamaza Jaman Mbona mnamtangulia Mungu kwenye kaz yake Hivi mmekuaje ninyi Watumishi wa MUNGU Watu wanachojua wanapona mwachen Mungu ajitwalie utukufu wake
Unavyo mfaahamu mungu kakobe ni kwa kadri mungu alivyo kujalia kumjua mungu Hana mwisho ufaamu wako ndio una mwisho mugu hufanya apendavyo sio wewe ufaamuvyo usimsengenye mtumishi na kama wewe ni mwema ulisha wai kumwita uka fanya nae mazungumzo toa Kwanza kibanzi jichoni kwako ndio uone boriti jichoni kwa mwenzio
@neemaemmanuel3048
2 жыл бұрын
Facts 💯
Baba yangu kakobe Nakupenda lakini kwa mwamposa hafanyi biashara, bei ya maji ni Ile Ile ya kawaida na viwete wanatembea vipofu wanaona,kifupi tunafunguliwa sana sana
@markonjoregwa261
7 ай бұрын
Nakupa pole
@taifaramadhan8684
5 күн бұрын
acha uongo ww. Viwete na vipofu bado wapo wengi sana mitaani na mikoani. wale ni vipofu na viwete wa kutengenezwa sio wa ukweli ukweli. yule ni muongo anawatapeli na kuwadanganya watu wajinga wajinga waso jitambua.
@taifaramadhan8684
5 күн бұрын
@@markonjoregwa261kabisa hakika. tena pole haswaaa. tuna haki ya kumshukuru sana mola wetu kua Waislamu alhamdulilah kwa neema hii ya Uislamu.
@ynyynyyny
2 күн бұрын
Asiyejua maana haambiwi maana
Ubarikiwe lakini tunamshuru Mungu watu wanaponywa anapolitaja jina la Yesu tumtie. moyo anaponya roho za watu.wa Mungu tumuombee. mtumishi Mwamposa anafanya kazi ya Mungu imeandikwa usihukumu usije.ukahukumiwa Amen
@davidmwambona2973
2 жыл бұрын
ameen balikiwa
Mwamposa ni mtumishi wabwana,nakatumwa na Mungu kweli, mwambie Mungu atakuonyesha.mwamposa na huyo unaye mtaja tofauti, mwamposa ni Moto.
@neemakigala3578
2 жыл бұрын
Hallelujah
Aaah wee mwamposa noma alfu yeye ajiiti nabii mwaache aponye watu ata mim nimepona kweny madhabao ile maji mafuta saf tunatumia weka na ww maji mafuta mwamposa ❤❤❤mungu akupe umri mrefu mwamposa
@emmanuelchipanha6765
3 жыл бұрын
Bibilia gani imesema mafuta yanaponya??,
@pamerakinabo3646
3 жыл бұрын
@@emmanuelchipanha6765 kakobe we mbwaa tuu.mbonawewe ulikuwa unanyanganya watumishi wako cheni hereni za dhahabu.na kanisa lako ukifungua macho unakutana na majoka. Huna lolote wewe ndiyo tapeli mkubwa huna uponyaji wowote. Acga wivu mwamposa anaponyaaa na ha na utapeli kama wewe.
@jmsonlinetvmalya871
3 жыл бұрын
Yes mungu anatutendea kupitia mafuta na maji
@godfreywilliam9673
3 жыл бұрын
@@emmanuelchipanha6765 lejea kwenye biblia
@abdullahhaji8779
3 жыл бұрын
Ww muislamu au mkristo
Jamani kwa Mtumishi wa Mungu Mwamposa maji ni bure mafuta ni bure Mwamposa yuko na Mungu kabisa,mm namkubali tena na muelewa sana, kupitia Mwamposa familia yangu imeponywa,tena kupitia TV.Na wewe hubiri habari za Mungu acha uongo wa kusema vitu vya kutunga na kuchafua watumishi wa Mungu
@neemathobias9462
2 жыл бұрын
Amen
@rechomwaigaga2476
2 жыл бұрын
Amina kubwaa
@rahmbanzi620
2 жыл бұрын
Barikiwa magreth
@nancyjohnson6620
2 жыл бұрын
Tena Kama amezeeka akae uko atulie🤣🤣🤣
@Bitlontravels555
2 жыл бұрын
Amina. Watumishi waache kuchafuana wafanye walichoitiwa
Asiye mpenda Mwamposa asage Chupa abwiye mtasema Sana mindonimesha pona ahaaa
@husseingabo5497
2 жыл бұрын
Kwan kupona ndio nini Kwan hata Kwa mganga wa kienyeji SI unapona sisi hatuhoji kupona sisi tunahoji njia anazotumia kukuponesha je ni za mungu kweli au laaa?
Ushafuliaaa kakobe achaaa wenzio na wao wapige helaaa
@lestutaleo7220
3 жыл бұрын
Atulieee dawa ya mwaposa imwingie, kwa ss habar ya mjin Ni mwaposaaa
Hubir Neno la Mungu acha kumponda mwenzako
@paulchibona8020
3 жыл бұрын
Amina
We mwenyewe mwizi kama mwamposa Sema mwamposa kakupokonya waumini ladhima ikuume
@anithakalumuna9965
3 жыл бұрын
Alikiibia nini? Anaongea ukweli
@aidanmbilinyi8184
3 жыл бұрын
Hao wote n wamoja story zao tunazo na shuhuda watu wamezitoa
@hoseaseif6602
3 жыл бұрын
Usione kibanzi katikajicho lamwenzko nawakati wewe unaboriti toa boriti yako Kwanza
@chifukimwelitvimam723
3 жыл бұрын
Unacho kisema unauhakikaa ?
@prophetmlokozi4633
3 жыл бұрын
😅
Haaaaaaaaa utajibeba achanana mwamposa wewe sio level zako hizo 👌👌
Maji na mafuta yapo kwenye kumbukumbu la torati mbona ukikanyaga unakuwa na miguu ya shaba na leo nimekanyaga kwa mwamposa hatumuachi kamwe man of god mwamposa Asante kwa kutuponya
@mwalimunyemba6183
3 жыл бұрын
Oh pole kakobe umekwishs
@aidanmbilinyi8184
3 жыл бұрын
Poleni san wenznu tunpikia samaki na tunkunywa mafuta na samaki endlen kufata miujiza mtajuta sana kakobe tapeli na huyo mwamposa ni wale wale tu
@samwelnyankena9873
3 жыл бұрын
Mh kazi mnayo karbu sabato achanen na huo ujinga
@teresiamwita1788
3 жыл бұрын
Mmetuibia......Sasa hv Mmezidiana mnapigana madongo nyie mtakuwa kuni
@naomibuchanga9047
2 жыл бұрын
Yaan mm kwa shda nilizokuwa nazo hanishawishi kakobe bas na iwe hvyo
Very man of God yafaa tuombe mungu jamani maana siku zamwisho ndio hizo Sasa
Wewe nimtumishi wa Mungu nafikiri hata wewe ulisemwa vibaya ulikatiswa tamaa,Pima unacho kiongea,kwanza usije ukawasema wenzako vibaya,kwa sababu Mtumishi wa Mungu hawezi hubiri neno LA Mungu akaponya kwa jina LA yesu afu tukasema nishetan ,Mungu sio mwanadamu,anatenda kama anavyo ona
@nightnessrobert205
Жыл бұрын
Fy
Roho ya wivu. Huleta anguka hata kama mungu alikupa chako. Kapumzike mzeee
Mungu ndo hakimu wa wote Amina
Pole kwenu msioongozwa na roho mtasikia mengi,
@ibambasymanyama4914
3 жыл бұрын
We unaonaje anaongea ukweli au la?
@dibabatv5761
3 жыл бұрын
@@ibambasymanyama4914 yupo sahihi ndyo
Watu si wanapenda miujiza , acha waibiwe .
@Moon-rp5tm
3 жыл бұрын
Aki naenda kusomea uchungaji maana ndo makolo walikoamia
Asante kwa kuona Hill. Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maiarifa, wanataka miujiza hawana haja na Mungu.
Wivu tu huo ..Kakobe mhubiri Kristo acha kuhubiri watumishi wa Mungu...Yupo atakae wahukumu na kuzichambua kazi zao
Weweeeeee tulia tupokee miujiza haukujua naww enzi zako walivyokutukana
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Nyani hajioni
@floraamani4196
3 жыл бұрын
Hata serikali iliingilia kati kakobe na tra
@aysherkitoi6547
3 жыл бұрын
Tena huyu alivuka mipaka akawa anafanya watu kma misukule anawavalisha nguo nyekundu na nyeupe huyuuu baba alikuwa anafanya uchawi mpk watu wakaingilia kati ndio kufungwa kanisa alikuwa anawaingiza watu kwenye uchawi live
@anganilekajigilikajigili2641
3 жыл бұрын
Utatamani ukimbie ndio ulipotezwa mazima🤣🤣
Mwamposa anatibu kwa kukwambia muamini Mungu utaponywa kwa damu ya yesu tatzo lipo wapi ni maji tu au Kuna mengine?.
@lucykapinga369
Жыл бұрын
Kama siyo tatizo chukua mafuta nyumbani kwamko yatamkie hivyo na umuamin MUNGU Anaishi hakika pia yata fanya kazii kikubwa kinachotakiwa watumishii watangaze injiliii kisawa sawa Tuache dhambi tyuvae silaha za MUNGU Tupate kuzishinda hila za Shetani .TUWEZE KUVIOMBEA WENYEWEEEEE AYOMAVITYUU UWAyanatokea waaapii
@lucykapinga369
Жыл бұрын
Tukuwe kirohoo zambi tuacheee
Ww kakobee jamani muache mtumish mwamposaa usimhukumu ,
Asante baba askofu kakobe kwakutufumbua macho naroho lakini Kwa MTUMISHI wamungu mwamposa sio hivo kwani TUNAPOKEA UPONYAJI tukiwa mbali sana nahatumjui nahatujui .maji anatuambia tutumie yanyumbani namafuta yanyumbani ukweli ndio huo
@eliasjonas3561
Ай бұрын
Hawajui tu ni wivu wao acha tuendelee kupokea tupo nyumbani
HONGERA BABA NYUMBA YAKO PALE BARABARANI NI NZURI SANA MZEE.YESU ATAONDOKA NA WACHACHE
Nakukubar sana mtumishi wamungu
Kakobe hiyo siyo kazi yako acha magugu na ngano vikuwe pamoja mwenye kazi hiyo anafahamu lakuanya
@gracemwakibolwa7910
Жыл бұрын
Kabisa ndugu sio kazi yake atulie hata yy wanamsema hivyo hivyo.
Karibuni sana ROMAN KATOLIKI. Huku maji ya baraka ni Bure kabisaa.
@fabianbenardngatunga2713
2 жыл бұрын
Kweli tulibatizwa kwa maji tumekombolewa kwa damu ya Yesu mengine ni uwongo
Kakobe umechanganyikiwa kweli acha wenzako wamuhubiri kristo kamq wewe umeshindwa jua kila nabii anaufunuo wake mungu aliempa kwahiyo wewe unaufunuo wako na mwenzako nae kapewa kivyake acha hivyo
@rosehaule220
2 жыл бұрын
Yy mwenyewe alifanya hayo nyuma je tusadiki.kwamba na yy alikuwa akipelekewa taharifa tuamini.miujiza hipi mmmmh
Ona.. ona.. akiona kibanzi kwenye jicho la mwenziwe anasahau kutoa boriti kwenye jicho lake
@fabricehavugimana3296
3 жыл бұрын
Uyu nimutumishi wa mungu
@mahewamahewa6461
3 жыл бұрын
Acha kuropoka
MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae
Nampenda sana mtume mwaponsa mpaka ni ingie kabulini
Laaillah ilallah Muhammad allasullullah kama unamwamin Allah usiache kulaik
@vumiliamwakasyuka2911
2 жыл бұрын
Mko sawa baba.acha tuu
@danielmbughi268
2 жыл бұрын
Allah sio mungu wakweli Bora ungemjua yesu mwana wa mungu wa kweli
@ZuhuraMwanafuno
Ай бұрын
Yesi siyo mungu
Tangu mwaka 208 natembelea magongo nimepona mwaka 2018 sinaulemavu tena Arise and shines kiboko yao Mwamposa Mungu akulinde na akutie nguvu pambana mpaka kieleweke shetani ataisoma namba
@Churchofecclesia
3 жыл бұрын
bora hata umeongea, hawa kaz yao ni kukandiana tu, pkea uponyaj tembea, BWANA atukuzwe sanaa
@marwamwita7673
3 жыл бұрын
👍 Mwamposa ni MTUME wa Mungu ametusaidia wenge na anahekima sana huwa apendi kuwasema vibaya watumishi wenzake na ametufundisha sisi pia tusiwaseme watumishi wa Mungu vibaya. KAKOBE MUNGU AKUPE HEKIMA NA UPAKO WA KUFICHA.
@charlesmakulumo233
3 жыл бұрын
Acha utapeli na ww au mwamposa Ni hawala yako?
@tymchanneltv1143
3 жыл бұрын
Mafuta ndio yenye kufanya kazi ila sio mwamposa, kwasababu mafuta hayapatani na uchawi pamoja na majini na yanatengenezwa na kuuzwa duniani kote. Kama ukilogwa mafuta yanatoa uchawi. Ni utapeli na pesa wanaitafuta na wanailamba. Muislamu akienda kwa mwamposa hakuna tofauti na akienda kwa mganga kote huko Ni Haramu. Na Ni shirki,
@Churchofecclesia
3 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 sio kila mafuta, mafuta yanayotoa uchawi na majini ni yalioombewa kwa JINA LA YESU KRISTO, vingine kama hayajaombewa kwa jina la BWANA WA MAJESHI, hayawez kufanya kaz, na ndo maana pia kuna mafuta ya kichawi, mafuta ya kifreemason
Yesu lisaidie kanisa lako Mimi naogopa Sana hakika ni nyakat za mwisho watu wengi wameikimbia kweli 😭😭😭wametimukia huko kwenye mafuta
@janemagogo5219
2 жыл бұрын
Angalia neno linasemaje kwenye Biblia mengineyo tumwachie yeye Mungu aonaye motor hata viuno.
Nyiee mponden mwezenu Alafu Mungu anamuinua zaidi na said kila itwapo leo
Sikuwahi kumwamini huyu mzee Ata siku moja
@janethmasawe7863
Жыл бұрын
Yy mwenyewe Ni tajiri wa kutupa angalia lile jumba lake la kifahari alilonalo tuhubirieni injili malumbano msiyape nafasi zamani yy alijaza kanisa Kama mwamposa kila nabii anakuja kwa wakati wake na atapita na watakuja wengine fahamu pia wapo manabii wengi walikuja na wamepita
Yeye aigize ni kwel kabisaaa mwamposa anaponya
@tifababynchimbi8454
3 жыл бұрын
Anayeponya Mungu peke yake
@asmahassan1044
3 жыл бұрын
Karibun kwa waislam hakuna makuu leo nabii huyu kesho huyu.😄😄😄😄😄😄
mmmh askofu kakobe hebu muhubiri Mungu tu hayo mambo ya Kusema watumishi wa Mungu hapana
Kwakwel maji hpn.💃💃💃💃yesu anatosha
@gracengonde8553
3 жыл бұрын
Huyu sialiweka pesa za watu mpaka Jana zikajaa
@Churchofecclesia
3 жыл бұрын
mtakufa kaeni hvohvo, ndo maana mnakung'utwa na nguvu za giza, watu wa giza wenyewe wanatumia maji na mafuta yao ya kichawi, vp kuhusu sisi WANA WA MUNGU(BENEHA ELOHIM), je sisi sinzaidi ya wao, watu wa giza wameyaiga kwetu, lkn sisi watu wa YESU ndo tnajiganya ooh YESU anatosha, ni sawa YESU anatosha, lkn maandiko yanasema imani bila matendo imekufa nafsini mwako, unasemaje unamwamininYESU KRISTO, halaf hyo imani yako huionyesh kwake, unapomwamin YESU anza kuamini na vifaa vyake vitakatifu, maji, mafuta, udongo, chumv, vitambaa, nguo, maandiko yenyewe yameweka waz kuhusu hv vtu, mitume walitumia nguo kuponya watu, wakatumia na mafuta kuwapaka watu baada ya kuwaponya, kwann sisi ndo tunajifany hatutak, KRISTO YESU mwenyewe anasema ROHO WA BWANA yuko juu yangu kwa sabab amenipaka mafuta, sasa sisi ndo tunajifanya hatutak kutumia, ndo maana mnagandamizwa na nguvu za giza kwa sabab ya ubish
Kwa ujumbe huu mimi ni mtoto wa Bishop Amon Lukama Redeemed Gospel church binafsi nimekuelewa sana sana sana sana....huo ndio uongo wa shetani ameuingiza kanisani. Wateule tuamke!
@saramungumwemakweliametend5089
3 жыл бұрын
Wewe ndo umesema kiekima Kaka laiki zingine duhu
@neemakigala3578
2 жыл бұрын
Kasome wakorinto wa kwanza ukaone jinsi Mungu anavyogawa karama but roho atendae niyuleyuleee...kuwa mtoto wa bishop sio kumjua Mungu...imani na kiyajua maandiko ndio siri ya kupokea nguvu za Mungu....tuwaheshimu watumishi wa Mungu...sio sisi tulowatumaa
@richardboaz-mashagospel2346
2 жыл бұрын
@@neemakigala3578 karama ya kuvaa barakoa na kuogopa corona? Maana mwanajeshi huyu anakimbia adui corona akiungana mkono na watu wa dunia kukimbia.....haya nguvu yake ilikua kwenye barakoa? By the way nahisi umeshaambiwa tayari na wale waliomwambia yeye kua barakoa ni deal leo wamebadili msimamo wamemwambia tena najua barakoa sio issue...je ni Mungu alisema naye juu ya barakoa kuvaa au kutovaa? Je Mungu wake anabahatisha kama wanadamu? Hapana kitu hapo, karama ya barakoa sitaielewa bora askofu gwajima alivyosimama na kiukweli aliishinda corona, hofu na mauti kwa jina la aliye juu sio kwa barakoa. Bye
@lucasmabula8340
Жыл бұрын
@@neemakigala3578 unafikiri kila mtumishi ni mtumishi wa MUNGU kasome kitabu cha MATHAYO 7:21-23 utaona jinsi gani YESU anatoa tahadhari anasema anavyotoa tahadhari, usifikiri kuwa Kila alitajae jina la YESU ni mtumishi wa MUNGU la hasha wengine no mawakala wa shetani
@yuventmpiru7738
Жыл бұрын
Mtoto wa kuzaa au nawe umeshajisahau kusema mtoto wa Yesu Kristo
Amesahau alikuwa nakusanya pete za watu za ndoa. Ndoa za watu wengi zimevunjika. Mungu hajakutuma uhukumu, we chapa injili utaeleweka
@unjushekimweri6787
3 жыл бұрын
Kakobe alikiri mbele za watu
@amirikoshuma3039
3 жыл бұрын
Na mwamposa akiri alihusika kwenye ajali ya kukanyagana kisa mafuta
@emmadora7848
3 жыл бұрын
Waliodanganywa ndio wajinga
@oscarphilip2428
3 жыл бұрын
Injili ni pamoja na hicho anachokifanya, kuwahubiria watu waijue kweli.
@nancymorenje3880
3 жыл бұрын
@@oscarphilip2428 Nikweli kabisa Oscar, kinacho tusikitisha ni pale Mtumishi wa Mungu unaposimama kwenye Madhabahu na kumsema Mtumishi mwenzie. Kama vile yeye ni kipimo cha haki, wanasahau haki ni ya Mungu. Ukiamini na kuona Mwenzio anakosea mfuate kwa upendo umwambie kile unachokiona hakikosawa kwako na si kwake.
Amina baba mungu akubaliki
Appreciate you
Tuachien mwamposa wetu
@Moon-rp5tm
3 жыл бұрын
Mchuuzi mwamposya
Ndugu, tatizo la kuweka imani katika vitu vingine badala ya Yesu Messia. Yesu alisema tumuabudu Baba katika kweli na Roho. Ukiongozwa na Roho Mtakatifu hakuna binadamu atakaye kudanganya. Kama ni watu kupona, inatokea lakini sio kila mtu anaepona. Yesu ndiye mponyaji na anajua kwanini anaruhusu wengine wapone na wengine wasipone. Yesu mwenyewe hakumponya kila mtu alivyokuwa anafanya kazi yake duniani. Ila aliweka njia ya binadamu wote kupona na hukumu ya moto wa jehanamu kwa kutoa uhai wake. Kikubwa tuikubali hii neema tuliyopewa na tuache haya malumbano ya pembene.
@magesantejo3509
Жыл бұрын
Ok
Ikiwa mwamposa anatumia ushirikina kuponya basi ushirikina wake ni kiboko 💪ndio ninaouhitaji wengine ni feki. Mtume Mwamposa Mungu AKUPE umri mrefu kwa maana huchagui dini Wala kabila.mungu U pamoja nawe✌️
Amen ukweli njo uwo Wateule tuwe Macho
Mungu akusamehe bure ewe KAKOBE kumsema vibaya mtumishi mwenzio sio jambo jema hata kidogo. Napenda kukutia moyo ewe mtumishi wa Mungu Bulldozer Mwamposa kuwa hata Yesu alitukanwa na kudharauliwa sembuse wewe'! Tuko nyuma yako piga kazi, Mungu yu pamoja nawe, kwani yeye ndiye anajua alikuleta hapa kwa makusudi gani.
@carolinederi5690
2 жыл бұрын
Kwa nini watu awajiulizi wale walio tutanglia kuokoka awatumii mafuta wala maji wala awamiliki magari wala mali kwa nini hawa watumishi wa 20century wapita wazee wao kiinjil kwani theolojia ya bible si moja au nini?....
@immaculatejohn9906
2 жыл бұрын
@DOMKY INFO yaan hawa watu wamefungwa fahamu cjui wamelogwa dah
@verenavedasto7385
Жыл бұрын
Kumbe wachungaji ampendani mungu akusamehe kabisa soma Bible vizuri utaona mafundisho ya mafuta na maji
Amen,kkwel ya Mungu iwaweke huru
@sarunyanda1741
2 жыл бұрын
Wivu tu umekujaa mzee
Ubiri neno na sio watumishi wenzio machafuko ni mengi Kuna kundi kubwa la wenye mahitaji wagonjwa makahaba majambazi tulishe chakula na sio wahubir
@cassianaltho1483
3 жыл бұрын
Kwa hivyo mchungaji anapokosea hapaswi kukosolewa si ndio?
@nyahingapeter8835
2 жыл бұрын
Kwan hayo so mahubiri
Mbona manabii wote mko dar tu? Hamkai vijijin
@dillaygundya2345
3 жыл бұрын
Safi kaka ,umeuliza sawia
@shedrackmwaipopo9427
3 жыл бұрын
Wamapiga hela mjini
@fatumajuma1157
3 жыл бұрын
Vjijin hali ni mbaya hawatapata hela
@rehemafyumagwa8005
3 жыл бұрын
Hahahaha
@habibamanyanda9868
3 жыл бұрын
Ndo soko lilipo😁
Wacha basi wivu,hubiri injili basi.Muhubiri YESU.Hata YESU aliambiwa anatoa pepo kwa belizebuli.Mwamposa hata bishana na wewe,yeye Ni mbele kwa mbele.Watu Mtwara wanapokea, Zanzibar nk.wanapona kupitia TV.
@robinahumphrey9725
3 жыл бұрын
Wewe unayemwambia ivyo...unamjua au unamuona kwa picha...??? Nakupa shauli katubu.....acha Baba awapize waache utapeli...waganga wakienyeji wameingia makanisani.
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Matayo 24:4,5 kwanini hamzingatii maonyo ya Yesu? Matayo 24:24 Hakuna Nabii Sasa hivi baada ya Muhammad. Matayo 7:22,23 ngojeni kukataliwa.
usimpige vita Mwamposa.Injili ni ileile ila Mungu anatoa ufunuo na kumgawia mtu karama vile apendavyo
@esterkyando4275
2 жыл бұрын
Mwache mwaposa mbona wewe ulichuwa dhahabu zawatu
@shalomsichone6728
Жыл бұрын
Nisiku za mwisho wengi wataacha kweli na kufwata tamaa zao wenyewe
Beans asifiwe,,baba askofu,,naomba niweze kukutana naww,,naitwa Paul kutoka Kenya,, ukiosta ujumbe huu,tafathsli unijibu
Mh mungu atulehemu
Mimi namsikiliza Mungu binadamu mtanifanya nitangetange maana kilamtu anakuja na yake Mungu atusamee kweli🙆🙆
@faithyhilary1259
3 жыл бұрын
Mungu azid kutuhudumia
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Mungu yupi? Maana hata Yesu ameitwa Mungu na Paulo au Mama yake Maryamu mwana wa Imran?
@michaermichaer2677
2 жыл бұрын
hubil watumishi wako wapone lakn kumwongelea mtumishi mwamposa vibaya acha ww sio masih
@fabianbenardngatunga2713
2 жыл бұрын
Imeandikwa amtegemeae binadamu amelaniwa
Wewe mwenyewe ndio walewale we mara ya mwisho kufika kwenu kigoma lini na kunakanisa lako kule acha kuzungumzia maisha ya watu hubili mambo ya mungu kwani kwenye biblia maji na mafuta hayaja zungumziwa soma ISAYA 10:27,soma MARKO 6:13 hayo yalikua mawe sio mafuta
@constantinohaule2998
2 жыл бұрын
Ulisahau Samweli alimpaka mafuta Daudi
Kakobe mtumishi wa Mungu kwelikweli kina mwamposa waganga tu
Mungu akubariki kwa huo ufunuo
Mtume wa mwisho ni MOHAMMAD acheni kudanganya watu halafu muogopeni Mwenyezi Mungu aliye wapa pumzi na nguvu ya kudanganya hao watu basi
@josephmusagasa5566
3 жыл бұрын
Soma Biblia utaelewa
@naimaabdallah9491
3 жыл бұрын
Muhammad mwenyewe muongo
@allyhamisi6394
3 жыл бұрын
@@naimaabdallah9491 🙏🏾
Angalia sana mzee simama na imani yako
Nani anakumbika saa ya maajabu kwahiyo baada ya saa ya maajabu sasa mzee wetu katulia mwamposa msikilize mzee kakobe alikutangulia kwenye izo izo ishu kwahiuo kakobe akiongea kitu inabidi muelewe. Mimi sasa hivi namwamini kakobe sio yuye wa saa ya maajabu huyu sasa ndo halisi big up baba
Wewe mwenyewe ujihoji kwanza kabla hujamnyoshea kidole😂😂
Umesahau moja,Kuna maombi ya pesa mara laki mbili mpaka ya tsh 1000:Kama unachagua simu au bidhaa.ahnsante pia mwimbaj Pascal casian
@glorybonifasi3704
3 жыл бұрын
Ni kweli siku za mwisho tuombe sanaa Mungu tuone mm nimeona
Mark 6;13 isaya 10;27 Yesu alitumia mate na matope naamani alipona kwenye maji kila kitu kikiombewa kinatumika panua ubongo
@gestinabunganiekuya6300
3 жыл бұрын
Yesu alifanya hivyo lakini alikuwa akifanya muujiza kupitia maji, alikuwa harudii kufanya muujiza mwingine kupitia maji hayohayo tuombe roho mtakatifu atupe macho ya rohoni tupate kuona shetani ametupiga upofu hatujielewi tulio wengi tunafata miujiza hatutafuti ufalme wa Mungu. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kusema ukweli.
@elishakayagwa9371
3 жыл бұрын
Acha ujinga, Yesu aliponya watu wangapi wenye tatizo la macho kwa tope? Funguka ww hapo uliyelala
@georgesongo3617
3 жыл бұрын
Unaowaita wenzenu Makafiri mnautakatifu gani bhaaaanaaa!
@josephbonday8510
3 жыл бұрын
MTATUMIA HADI MAVI Sasa KUPAKA Watu...😂😂
@kishingokishingo1840
3 жыл бұрын
Na hapo ndio unapokosea hivi kweli imani yako sahihi ? Huyo unaemfananisha na yesu wanaendana ?
Baba askofu tuna kuheshimu wafundishe waumini wako neno la nungu acha majungu kanisani,tumia kipawa chako ulicho pewa na mungu,sio kuwajaza chuki kondoo wako kwa watumishi wengine wa mungu,fanya yako baba,kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha nyuma
Asante Askofu
Watumishi wa Mungu mpemdane najua ulikuwa wakwanza ila kilamchungaji na namna yake. Freedom of worship
@evaristmbuya6220
2 жыл бұрын
Acha kutetea matapeli
@lilianmugyabuso8908
2 жыл бұрын
Anasema ukweli mtupu Kakobe
Watumishi wa mungu mmefika pabaya.kila siku kusemana.mnamwabisha Kristo.wanawashinda hata wanasiasa.jaribuni kukaa pamoja,mmtukuze mungu
@suzanasunday3855
2 жыл бұрын
Kabisa wanamuaibisha Mungu
@davidkasambala2575
2 жыл бұрын
Uyu kakobe kawaibia sana waumini wake zaabu
@jenipherkaramba7250
Жыл бұрын
Mwacheni mwamposa wetu .Mtabaki na utopolo wenu Tu.
Mungu akubariki kwa mafundisho lakn mafuta ya mwamposa ni mafuta ya kawaida kabisa na maji ya kawaida kabisa Kama hayo ya nyumbn kwako kikubwa ni ile nguvu ya upako iliyoachiliwa ndani ya mafuta na maji alaf Nina swali kwako mbona tumepona ? Mbona tumefunguliwa vifungo vilivo tutesa kwa miaka mingi nyumba zetu zimefunguliwa ndoa zetu zimepona watoto wetu wamefunguliwa ? Usimuhukumu mtu iyo ni kazi yamungu
@user-ng6yt2od7l
2 жыл бұрын
Wambie kina Tomaso walikuwepo yangu zamani hao na hawata Amini kamwe maana ndowalivyo💃💃
@zahirinashoo8813
Жыл бұрын
Asiwatishe watu waende wasinunue maji wala mafuta ya pale wachukue ya nyumbani kwao yaachiliwe upako na wataponywa nakufunguliwa
Baba ubarikiwe uishi milele
Mwamposa uko sahihi. Tangu lini mganga akaagiza matembele🤣🤣😂🤣
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Mganga anaagiza kuku na mbuzi
Paulo mtume wa NYAKATI hizi,,,,,, am so proud you BISHOP
@mosesbonamsafi5047
Жыл бұрын
karibu FGBF
Ukweli usemwe katika JINA KUU LA YESU. Asante Mtumishi wa MUNGU umeliona hili, unabii wa uongo nimeingia na akapoteza Kanisa la BWANA
@rachelmpimbe1331
2 жыл бұрын
Clear Malisa alinitabiria bila hata hao vijana maana sikuaga mtu kwamba naenda hebu acha kusema watu vibaya
@rachelmpimbe1331
2 жыл бұрын
Halafu wewe si ndio watu wanakusikiliza kupitia tv hawaruhusiwi kukanyaga madhabahu jamani? Halafu Yesu aliponya hadi kwa matope ninini shida kwenye maji kwani!!
Huyu amesahau yeye pia alikuwa akiuza na kuombea leso na nguo, kuwapa kina mama kuwashawishi kimiujiza waume zao wahamie Kanisa lake! Hana tofauti na Mwamposa.
Huyu naye akae kwa kutulia wakat yeye alkua anawaambia watu watoe dhahabu zao wakiingia kwenye kanisani lake apo mwenge atuache na MWAMPOSA wetu anatusaidia sana aacha uongo maji gan yanauzwa kwa laki du baba umetisha.hubir neno la Mungu acha kumsakama mwenzio
@shalompeter5983
2 жыл бұрын
Wanafanya biashara ya maji cyo kumuhubir krsto
oooh haleluyaaa
Mwamposa is the best for me
Takbiiiiiiriiiiiiiiii
Ww mwenyewe mpigaji nakujua nje ndani tangia 95 unakuja migo migo kule na ww mwizi tu.
@irenejohn2025
3 жыл бұрын
Mungu akushuhudie ulichokiongea ...mna usemlo hulijua ,hakuna mwanadamu anaemjua mwanadamu nje na ndani
@abubakarihamissi4178
3 жыл бұрын
@@irenejohn2025 dada kakobe ninamfahamu vzr sana hakuna mchungaji humo ni tapeli na sio yy tu mpaka mashekhe baadhi nao wamekuwa matapeli injili ya kweli inatoka ndani ya moyo wako kwa kusoma maandiko lkn sio ya hawa viongozi wasaka tonge, tafakari juu ya hilo.
Sema Mtumishi wa Mungu, watu wapone. Tuwaze kuingia mbinguni.
@abuuanswaaronlinetv4747
2 жыл бұрын
Unaumwa sana wewe hakuna karifir lolote litakwenda mbinguni nyoote motoni
@abuuanswaaronlinetv4747
2 жыл бұрын
Nyoote mtatiwa jikoni hamna lolote acheni upumbavu
@williamsville3493
2 жыл бұрын
@@abuuanswaaronlinetv4747 Hujuwi chochote we mpagani
@utukufumponji7966
Жыл бұрын
Soma neno,yote yanafanyika
Bwana ndiye mchungaji wangu
Mungu atusaidie
HUIRINI MUNGU MSILAUMIANE AU KUHUKUMIANA. NI MUNGU PEKE YAKE NDO ANAPASHWA KUHUKUMU.NA IMEANDIKA PIA . WE KAMA HIYO MBINU ILIKUPITA , BASI AACHE WENZIO ATAJIRIKE KA MAJI.
@godfreymasele8853
3 жыл бұрын
Ukiuufahamu ukweli utakuweka huru na ukweli ni NENO LA MUNGU. YESU ALISEMA OMBENI LOLOTE KWAJINA LANGU MTAPEWA.
Mmeanza kuongea siri zenu
@zumbeshauri8114
3 жыл бұрын
Hahahahahaaaa kabisa ndugu yangu alisahau kuwa amewahi kuchukua dhahabu zawatu anawaambia zimeingia majini tupa kwenye chemba ya choo wakati zinaenda chumbani kwake?
@lestutaleo7220
3 жыл бұрын
Anaongea ya mwenzie yake moyon. Acha mbwembwe kakobe
@sijaonamsagati6967
3 жыл бұрын
Baba Askofu Zakaria kakobe MUNGU Akubariki Sana nakufahamu, nakupenda Sana nakuombea Endelea kuponya kanisa la Yesu kristo, Wauza njiwa waliofukuzwa na Yesu kristo hekaluni, wamerudi tena
@hekimapeter2813
3 жыл бұрын
Ngoja atoe silazake kumbe anavofanyaga
@chayogasperi9783
3 жыл бұрын
Wamezidiana sadaka , labda kondoo wake wanaendelea kupungua wanaenda kwa Mwamposa .
Aminaa
Kakobe uko sahihi dunia imekwisha waambie Yesu alisha sema watakuja kwa jina langu kumbe