VYAKULA_NA_TIBA

VYAKULA_NA_TIBA

Afya ndio mtaji namba moja katika jamii yetu
Dr kenny mtaalamu wa tiba lishe ambaye ni mtaalamu wa afya
pamoja na mtaalamu katika maabara za binadamu na mimea
pia ni mbobevu katika maswala ya tiba
wasiliana nae kupitia
0758 0748 25

TIBA YA NGUVU ZA KIUME

TIBA YA NGUVU ZA KIUME

dr kenny.  0758074825

dr kenny. 0758074825

NGUCHIRO song BABA MAGUFULI

NGUCHIRO song BABA MAGUFULI

#new MUST TARGET-SOGEA

#new MUST TARGET-SOGEA

Пікірлер

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo607812 сағат бұрын

    Askofu KAKOBE YUPO SAWAA. LAKINI AMECHEKEWA TAMKO LAKE..ALIKUWA WAPI? MPAKA KINA MWAMPOSA WAMEKITA MIZIZI? HAWA MATAPELI WALITAKIWA KUBANWA MAPEMAA.SASA HIVI ANA WAFUASI WENGI,WAMEPIGWA UPOFU,HAWAJITAMBUI.KAKOBE ULE UMATI WA MWAMPOSA UTAUSAMBARATISHA VIPI?

  • @user-wp1wz9ew8f
    @user-wp1wz9ew8f2 күн бұрын

    Kakobe wew mwenyewe mchawi mkubwa ulikuwa ila kwa sas huna soko ndo maana maneno yote yanakutoka

  • @JepkorirEverlyne
    @JepkorirEverlyne3 күн бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana21524 күн бұрын

    Afadhali kuna mchungaji ameliona hili😢😢😢😢😢😢

  • @AshaMwamba-g3l
    @AshaMwamba-g3l4 күн бұрын

    Kakobe wewe mwenyew ulivumaa miaka yanya

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara30385 күн бұрын

    Mbona nawewe ulikua hivyo nandio ulianzisha ha ta moto ulikua unawaka kwani sio wewe?

  • @hepsonmboka6776
    @hepsonmboka67766 күн бұрын

    Mbona hata ww ni hivyohivyo ww mbona mikufu ya dhahabu hua unachukua, na mbona ww kama haupo ibada inafanyika kwa recoding zako tuu? Acheni wiivuuuu !!! Wote wezi nyinyi. Acheni watu wafuate IMANI ZAO!!!?

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j7 күн бұрын

    Wivu

  • @user-wr5ce6lu8q
    @user-wr5ce6lu8q9 күн бұрын

    Muslim is the best❤❤❤ Hawa wanahangaika wao Kwa wao Allah awafanyie wepesi watoke walipo

  • @DINASINGILI
    @DINASINGILI12 күн бұрын

    Ni kweli sema na watu tupone Hosea 4; 6

  • @AdamLuoga
    @AdamLuoga14 күн бұрын

    Ninyi mnao sema mwamposa ni mtumishi wa Mungu imekufa kwenu mwamposa ni nguvu za ziada Toka malango ya kuzimu

  • @biggboss8644
    @biggboss864414 күн бұрын

    Hapo ume chemsha mwamposa ni moto

  • @SaraKalinga-i6v
    @SaraKalinga-i6v19 күн бұрын

    Mwachen mtumishi hubili neno

  • @user-tg6wf8cc4z
    @user-tg6wf8cc4z19 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z20 күн бұрын

    KUMBE WAKTRISTU MNAJUA KAMA MNAPIGWA😊...AFU MKITOKA APO MNAENDA KWA MWAMPOSA KUJAZANA NA KUMPIGIA MAKELELE...YANI NYIE MTAONGEA APO BADO

  • @charlesmganga-gv2cs
    @charlesmganga-gv2cs24 күн бұрын

    ACHA MZEE MAJI YANAOMBEWA NANI KAKUINGILA UMESAHAU ULIVYOTENGWA NA WALOKOLE WAKATI UNAANZA HUDUMA,?

  • @user-mn2hb7xt9k
    @user-mn2hb7xt9k24 күн бұрын

    Roho ya wivu. Huleta anguka hata kama mungu alikupa chako. Kapumzike mzeee

  • @RehemaKasanga-vu5nj
    @RehemaKasanga-vu5nj25 күн бұрын

    Mzee nyamaza Jaman Mbona mnamtangulia Mungu kwenye kaz yake Hivi mmekuaje ninyi Watumishi wa MUNGU Watu wanachojua wanapona mwachen Mungu ajitwalie utukufu wake

  • @MarryMarcel
    @MarryMarcel26 күн бұрын

    Mungu akupe Maish Marefu baba yangu nakukubar mafundisho ykooo

  • @AmosKayega
    @AmosKayega28 күн бұрын

    Acha mambo yako nawese ulikuwa hivyo bosi

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud363428 күн бұрын

    Sasa hawa maaskofu wanatoka kwa Mungu gani mpaka wanachambana? Watumishi wa Mungu husema neno moja wote. Inabidi wajipime nani mkweli. Lakini siku inakuja mila MTU atasema kweli uongo utakuwa mwisho,

  • @IbrahimMwasene-me6rq
    @IbrahimMwasene-me6rqАй бұрын

    Mbona ww hawakukusema? Watibu mbona tunapona🫥

  • @FreemanNgulwa
    @FreemanNgulwaАй бұрын

    Upo wap mtumishi?

  • @OnikaSanduli-sm7yt
    @OnikaSanduli-sm7ytАй бұрын

    Wewe ulikuwa unawanyanganya waumini dhahabu zao ulikuwa unapeleka wapi, tuachie mwamposa wetu

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6tАй бұрын

    Huu mti unarefusha nywele mnooo

  • @Elisha-sr3we
    @Elisha-sr3we2 ай бұрын

    Elisha

  • @frankmwinuka3413
    @frankmwinuka34132 ай бұрын

    Maelfu na maelfu wameponywa kupitia hayo maji. Wengi wameombewa makanisani kwao ikashindikana, lakini walipokwenda kuombewa kwa Mwamposa MUNGU aliwaponya.

  • @user-tw8bw1fi9u
    @user-tw8bw1fi9u2 ай бұрын

    😭😭😭😭🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @lightouma477
    @lightouma4773 ай бұрын

    Mimi nimejaribu kupanda sana ila hauoti,na ukiota ni kama unadumaa,hau haipendi hali ya hewa ya Dar?

  • @mohamedmsama4833
    @mohamedmsama48333 ай бұрын

    Amuache shetwani mwazenu azidi Kuwapoteza

  • @mohamedmsama4833
    @mohamedmsama48333 ай бұрын

    Yeau akasema weengi watakuja kwa jina langu wakisema tulifanya miujiza kuponya watu tuliponya kwa jina lako tulifanya miujiza makirsto wauwungo mathayo 23 , 24

  • @AnabAbdallah-ii7ou
    @AnabAbdallah-ii7ou3 ай бұрын

    Nampenda sana mtume mwaponsa mpaka ni ingie kabulini

  • @user-yw4si1px1u
    @user-yw4si1px1u4 ай бұрын

    Mungu ni mwema

  • @AlexAlex-kf1eg
    @AlexAlex-kf1eg4 ай бұрын

    🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏

  • @NaomiAgreey
    @NaomiAgreey6 ай бұрын

    Manabii mitume wachungaji mashemasi makuhani tupendane tufanye kazi ya mungu kwa upendo maana mungu wetu ni mmoja, kila kitu kwa mungu kiko wazi ukifanya kazi yako kiukamilifu na kutii amri za mungu utapata kibali

  • @NaomiAgreey
    @NaomiAgreey6 ай бұрын

    Kakobe una kipawa chako na mwamposa anakipawa chake na ujue wote tufanye kazi ya mungu hivyo tunatakiwa tuombeane sio kupondana

  • @NaomiAgreey
    @NaomiAgreey6 ай бұрын

    Kila mtu wa mungu ajali kipawa chake sio kusemana vibayamungu hapendi

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd6 ай бұрын

    Appreciate you

  • @grecemichael7567
    @grecemichael75676 ай бұрын

    Maji ayauzwi wara mafuta

  • @mwawillahchops6493
    @mwawillahchops64936 ай бұрын

    Kimeumana

  • @MchungajikiwiaW.F.C
    @MchungajikiwiaW.F.C6 ай бұрын

    Baba ubarikiwe uishi milele

  • @SophiaJuto
    @SophiaJuto6 ай бұрын

    Hamjaumwa nyie mnaongea vitu havina maana embu acheni drama hata kama freemason au mchawi lakn sisi tunapona na sisi tuna imani yote ni miujiza ya mungu cz anatatufuta machozi sisi wanyonge cz hata maji ya nyumbani yanamiujiza sio mpka hayo yakununua tujalibu kupendana

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo60786 ай бұрын

    MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud36347 ай бұрын

    Wote nyie wapigaji. Hamna ukweli wala ushahidi. Ukweli unakuja mtaumbuka wote.

  • @user-dy9ht1on7y
    @user-dy9ht1on7y7 ай бұрын

    Muna muona mwamposa tu je kiboko ya wachawi amumuoni

  • @user-dy9ht1on7y
    @user-dy9ht1on7y7 ай бұрын

    Jamani biburia inasema tupendane tena wachingaji muna tufutha nini tuerewe jamn

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe48907 ай бұрын

    Mungu akubariki kwa huo ufunuo

  • @WitinesLaizer-fy9ev
    @WitinesLaizer-fy9ev7 ай бұрын

    Apana mwamposa kaokowa wengi mno naimani kubwa kwawalioponywa

  • @FaustinaMilambo
    @FaustinaMilambo7 ай бұрын

    Wimbo mzur jaman daa

  • @paulthomasngesopaulthomasn1375
    @paulthomasngesopaulthomasn13757 ай бұрын

    Ahsante❤❤