Afya ndio mtaji namba moja katika jamii yetu Dr kenny mtaalamu wa tiba lishe ambaye ni mtaalamu wa afya pamoja na mtaalamu katika maabara za binadamu na mimea pia ni mbobevu katika maswala ya tiba wasiliana nae kupitia 0758 0748 25
Askofu KAKOBE YUPO SAWAA. LAKINI AMECHEKEWA TAMKO LAKE..ALIKUWA WAPI? MPAKA KINA MWAMPOSA WAMEKITA MIZIZI? HAWA MATAPELI WALITAKIWA KUBANWA MAPEMAA.SASA HIVI ANA WAFUASI WENGI,WAMEPIGWA UPOFU,HAWAJITAMBUI.KAKOBE ULE UMATI WA MWAMPOSA UTAUSAMBARATISHA VIPI?
@user-wp1wz9ew8f2 күн бұрын
Kakobe wew mwenyewe mchawi mkubwa ulikuwa ila kwa sas huna soko ndo maana maneno yote yanakutoka
@JepkorirEverlyne3 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@namsifubwana21524 күн бұрын
Afadhali kuna mchungaji ameliona hili😢😢😢😢😢😢
@AshaMwamba-g3l4 күн бұрын
Kakobe wewe mwenyew ulivumaa miaka yanya
@jakobongwara30385 күн бұрын
Mbona nawewe ulikua hivyo nandio ulianzisha ha ta moto ulikua unawaka kwani sio wewe?
@hepsonmboka67766 күн бұрын
Mbona hata ww ni hivyohivyo ww mbona mikufu ya dhahabu hua unachukua, na mbona ww kama haupo ibada inafanyika kwa recoding zako tuu? Acheni wiivuuuu !!! Wote wezi nyinyi. Acheni watu wafuate IMANI ZAO!!!?
@user-wi8og3sv4j7 күн бұрын
Wivu
@user-wr5ce6lu8q9 күн бұрын
Muslim is the best❤❤❤ Hawa wanahangaika wao Kwa wao Allah awafanyie wepesi watoke walipo
@DINASINGILI12 күн бұрын
Ni kweli sema na watu tupone Hosea 4; 6
@AdamLuoga14 күн бұрын
Ninyi mnao sema mwamposa ni mtumishi wa Mungu imekufa kwenu mwamposa ni nguvu za ziada Toka malango ya kuzimu
@biggboss864414 күн бұрын
Hapo ume chemsha mwamposa ni moto
@SaraKalinga-i6v19 күн бұрын
Mwachen mtumishi hubili neno
@user-tg6wf8cc4z19 күн бұрын
❤❤❤❤
@user-hi8le2vb7z20 күн бұрын
KUMBE WAKTRISTU MNAJUA KAMA MNAPIGWA😊...AFU MKITOKA APO MNAENDA KWA MWAMPOSA KUJAZANA NA KUMPIGIA MAKELELE...YANI NYIE MTAONGEA APO BADO
@charlesmganga-gv2cs24 күн бұрын
ACHA MZEE MAJI YANAOMBEWA NANI KAKUINGILA UMESAHAU ULIVYOTENGWA NA WALOKOLE WAKATI UNAANZA HUDUMA,?
@user-mn2hb7xt9k24 күн бұрын
Roho ya wivu. Huleta anguka hata kama mungu alikupa chako. Kapumzike mzeee
@RehemaKasanga-vu5nj25 күн бұрын
Mzee nyamaza Jaman Mbona mnamtangulia Mungu kwenye kaz yake Hivi mmekuaje ninyi Watumishi wa MUNGU Watu wanachojua wanapona mwachen Mungu ajitwalie utukufu wake
@MarryMarcel26 күн бұрын
Mungu akupe Maish Marefu baba yangu nakukubar mafundisho ykooo
@AmosKayega28 күн бұрын
Acha mambo yako nawese ulikuwa hivyo bosi
@ismailsoud363428 күн бұрын
Sasa hawa maaskofu wanatoka kwa Mungu gani mpaka wanachambana? Watumishi wa Mungu husema neno moja wote. Inabidi wajipime nani mkweli. Lakini siku inakuja mila MTU atasema kweli uongo utakuwa mwisho,
@IbrahimMwasene-me6rqАй бұрын
Mbona ww hawakukusema? Watibu mbona tunapona🫥
@FreemanNgulwaАй бұрын
Upo wap mtumishi?
@OnikaSanduli-sm7ytАй бұрын
Wewe ulikuwa unawanyanganya waumini dhahabu zao ulikuwa unapeleka wapi, tuachie mwamposa wetu
@user-fx7ig1uy6tАй бұрын
Huu mti unarefusha nywele mnooo
@Elisha-sr3we2 ай бұрын
Elisha
@frankmwinuka34132 ай бұрын
Maelfu na maelfu wameponywa kupitia hayo maji. Wengi wameombewa makanisani kwao ikashindikana, lakini walipokwenda kuombewa kwa Mwamposa MUNGU aliwaponya.
@user-tw8bw1fi9u2 ай бұрын
😭😭😭😭🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@lightouma4773 ай бұрын
Mimi nimejaribu kupanda sana ila hauoti,na ukiota ni kama unadumaa,hau haipendi hali ya hewa ya Dar?
@mohamedmsama48333 ай бұрын
Amuache shetwani mwazenu azidi Kuwapoteza
@mohamedmsama48333 ай бұрын
Yeau akasema weengi watakuja kwa jina langu wakisema tulifanya miujiza kuponya watu tuliponya kwa jina lako tulifanya miujiza makirsto wauwungo mathayo 23 , 24
@AnabAbdallah-ii7ou3 ай бұрын
Nampenda sana mtume mwaponsa mpaka ni ingie kabulini
@user-yw4si1px1u4 ай бұрын
Mungu ni mwema
@AlexAlex-kf1eg4 ай бұрын
🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏
@NaomiAgreey6 ай бұрын
Manabii mitume wachungaji mashemasi makuhani tupendane tufanye kazi ya mungu kwa upendo maana mungu wetu ni mmoja, kila kitu kwa mungu kiko wazi ukifanya kazi yako kiukamilifu na kutii amri za mungu utapata kibali
@NaomiAgreey6 ай бұрын
Kakobe una kipawa chako na mwamposa anakipawa chake na ujue wote tufanye kazi ya mungu hivyo tunatakiwa tuombeane sio kupondana
@NaomiAgreey6 ай бұрын
Kila mtu wa mungu ajali kipawa chake sio kusemana vibayamungu hapendi
@peterdaimon-ug6fd6 ай бұрын
Appreciate you
@grecemichael75676 ай бұрын
Maji ayauzwi wara mafuta
@mwawillahchops64936 ай бұрын
Kimeumana
@MchungajikiwiaW.F.C6 ай бұрын
Baba ubarikiwe uishi milele
@SophiaJuto6 ай бұрын
Hamjaumwa nyie mnaongea vitu havina maana embu acheni drama hata kama freemason au mchawi lakn sisi tunapona na sisi tuna imani yote ni miujiza ya mungu cz anatatufuta machozi sisi wanyonge cz hata maji ya nyumbani yanamiujiza sio mpka hayo yakununua tujalibu kupendana
@eliakazilo60786 ай бұрын
MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae
Пікірлер
Askofu KAKOBE YUPO SAWAA. LAKINI AMECHEKEWA TAMKO LAKE..ALIKUWA WAPI? MPAKA KINA MWAMPOSA WAMEKITA MIZIZI? HAWA MATAPELI WALITAKIWA KUBANWA MAPEMAA.SASA HIVI ANA WAFUASI WENGI,WAMEPIGWA UPOFU,HAWAJITAMBUI.KAKOBE ULE UMATI WA MWAMPOSA UTAUSAMBARATISHA VIPI?
Kakobe wew mwenyewe mchawi mkubwa ulikuwa ila kwa sas huna soko ndo maana maneno yote yanakutoka
Amen 🙏🙏🙏🙏
Afadhali kuna mchungaji ameliona hili😢😢😢😢😢😢
Kakobe wewe mwenyew ulivumaa miaka yanya
Mbona nawewe ulikua hivyo nandio ulianzisha ha ta moto ulikua unawaka kwani sio wewe?
Mbona hata ww ni hivyohivyo ww mbona mikufu ya dhahabu hua unachukua, na mbona ww kama haupo ibada inafanyika kwa recoding zako tuu? Acheni wiivuuuu !!! Wote wezi nyinyi. Acheni watu wafuate IMANI ZAO!!!?
Wivu
Muslim is the best❤❤❤ Hawa wanahangaika wao Kwa wao Allah awafanyie wepesi watoke walipo
Ni kweli sema na watu tupone Hosea 4; 6
Ninyi mnao sema mwamposa ni mtumishi wa Mungu imekufa kwenu mwamposa ni nguvu za ziada Toka malango ya kuzimu
Hapo ume chemsha mwamposa ni moto
Mwachen mtumishi hubili neno
❤❤❤❤
KUMBE WAKTRISTU MNAJUA KAMA MNAPIGWA😊...AFU MKITOKA APO MNAENDA KWA MWAMPOSA KUJAZANA NA KUMPIGIA MAKELELE...YANI NYIE MTAONGEA APO BADO
ACHA MZEE MAJI YANAOMBEWA NANI KAKUINGILA UMESAHAU ULIVYOTENGWA NA WALOKOLE WAKATI UNAANZA HUDUMA,?
Roho ya wivu. Huleta anguka hata kama mungu alikupa chako. Kapumzike mzeee
Mzee nyamaza Jaman Mbona mnamtangulia Mungu kwenye kaz yake Hivi mmekuaje ninyi Watumishi wa MUNGU Watu wanachojua wanapona mwachen Mungu ajitwalie utukufu wake
Mungu akupe Maish Marefu baba yangu nakukubar mafundisho ykooo
Acha mambo yako nawese ulikuwa hivyo bosi
Sasa hawa maaskofu wanatoka kwa Mungu gani mpaka wanachambana? Watumishi wa Mungu husema neno moja wote. Inabidi wajipime nani mkweli. Lakini siku inakuja mila MTU atasema kweli uongo utakuwa mwisho,
Mbona ww hawakukusema? Watibu mbona tunapona🫥
Upo wap mtumishi?
Wewe ulikuwa unawanyanganya waumini dhahabu zao ulikuwa unapeleka wapi, tuachie mwamposa wetu
Huu mti unarefusha nywele mnooo
Elisha
Maelfu na maelfu wameponywa kupitia hayo maji. Wengi wameombewa makanisani kwao ikashindikana, lakini walipokwenda kuombewa kwa Mwamposa MUNGU aliwaponya.
😭😭😭😭🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mimi nimejaribu kupanda sana ila hauoti,na ukiota ni kama unadumaa,hau haipendi hali ya hewa ya Dar?
Amuache shetwani mwazenu azidi Kuwapoteza
Yeau akasema weengi watakuja kwa jina langu wakisema tulifanya miujiza kuponya watu tuliponya kwa jina lako tulifanya miujiza makirsto wauwungo mathayo 23 , 24
Nampenda sana mtume mwaponsa mpaka ni ingie kabulini
Mungu ni mwema
🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏
Manabii mitume wachungaji mashemasi makuhani tupendane tufanye kazi ya mungu kwa upendo maana mungu wetu ni mmoja, kila kitu kwa mungu kiko wazi ukifanya kazi yako kiukamilifu na kutii amri za mungu utapata kibali
Kakobe una kipawa chako na mwamposa anakipawa chake na ujue wote tufanye kazi ya mungu hivyo tunatakiwa tuombeane sio kupondana
Kila mtu wa mungu ajali kipawa chake sio kusemana vibayamungu hapendi
Appreciate you
Maji ayauzwi wara mafuta
Kimeumana
Baba ubarikiwe uishi milele
Hamjaumwa nyie mnaongea vitu havina maana embu acheni drama hata kama freemason au mchawi lakn sisi tunapona na sisi tuna imani yote ni miujiza ya mungu cz anatatufuta machozi sisi wanyonge cz hata maji ya nyumbani yanamiujiza sio mpka hayo yakununua tujalibu kupendana
MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae
Wote nyie wapigaji. Hamna ukweli wala ushahidi. Ukweli unakuja mtaumbuka wote.
Muna muona mwamposa tu je kiboko ya wachawi amumuoni
Jamani biburia inasema tupendane tena wachingaji muna tufutha nini tuerewe jamn
Mungu akubariki kwa huo ufunuo
Apana mwamposa kaokowa wengi mno naimani kubwa kwawalioponywa
Wimbo mzur jaman daa
Ahsante❤❤