BREAKING: Kauli ya Askofu Kakobe baada ya kutoka kuhojiwa Uhamiaji

Ойын-сауық

Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Idara ya Uhamiaji, ilimwandikia barua Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe kumtaka afike katika ofisi za Idara hiyo kwa ajili ya mahojiano.
Sasa leo April 9 2018 Askofu huyo ameripoti katika ofisi hizo za Uhamiaji DSM kwa ajili ya kuhojiwa na baada ya hapo akapata nafasi ya kuzungumza na waandishi wa habari

Пікірлер: 156

  • @thobiasodhiambo9553
    @thobiasodhiambo95536 жыл бұрын

    Hili suala la vyeti vya kuzaliwa na matumizi ya polisi kuwaua wakosoaji au washauri wa serikali ni mbinu zinazotumiwa na CCM kuwanyamazisha watumishi wa Mungu na wazalendo wa nchi hii. Ipo siku uovu huu utafika tamati ktk nchi hii ya kusadikika.

  • @alphoncetheodory41
    @alphoncetheodory416 жыл бұрын

    Daaaah aise mtumishi wa mungu ni mtumishi tu hakika utawashinda nimekuelewa sana Mungu yupamoja nawe!

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino4 ай бұрын

    Haya mambo wanahangaika bure, huwezi kumuonea mtumishi wa Mungu ukabaki salama, Mungu huwa hachezewi.

  • @solassichula1317
    @solassichula13176 жыл бұрын

    Nimekuelewa sana Baba Askofu,Mungu wa mbinguni yuu pamoja nawe

  • @williamfavour2982
    @williamfavour29826 жыл бұрын

    Kayonza napajua vizuri sana hapo mtumishi wa Mungu pambana Kiroho kwa majaribu unayopitia

  • @HabilyTech
    @HabilyTech6 жыл бұрын

    Mungu akupiganie askofu wetu nchi hii imekuwa haitaki kweli na haki

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent34486 жыл бұрын

    kakobe ww nimuhubir mzur sana na mungu anakutumia lkn hapa kati umejiingiza ktk mambo ambayo hayajengi kanisA unakua kama umetumwa au kutumiwa

  • @hadija846
    @hadija8466 жыл бұрын

    Uonevu wa hari ya juu pole sana baba👍

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Pole sana Ndugu yangu

  • @thomasmhindi1469
    @thomasmhindi14696 жыл бұрын

    Inawezkana hamuelew ,, RAIA n mtu gan,, hv mnadhan raia n mtu aliezaliwa nchini .... Its full story of living style of a person and uzalendo matters not kila mwenyej n raia

  • @allenikaduma1488
    @allenikaduma14886 жыл бұрын

    Thanks

  • @donaldnelson9226
    @donaldnelson92266 жыл бұрын

    Mungu akupiganie wataangaika sana.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Kakobe pole sana sana wewe NI Mtanzania kabisa bila hata kujitetea

  • @stevenmamba2464
    @stevenmamba24646 жыл бұрын

    Serikali ya kuwatafutia visa wananchi wake ni serikali ya kishenzi na ukweli utabaki ukweli. AIBU AIBU AIBU

  • @rebeccamoshi6549
    @rebeccamoshi65496 жыл бұрын

    Watashindana lkn hawatashinda, kakobe ww ni mtu wa Mungu, omba sana Mungu ashuhulikee na hawa waovuu tumechokaaa

  • @saidiramadhan6237
    @saidiramadhan62376 жыл бұрын

    mtihani huu sasa

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania83586 жыл бұрын

    Jamani serikali Kama mnaona kigoma sio Tanzania bhasi igaweni Burundi au iuzeni Kwa Burundi tujueni moja sio mnawapa vikwazo ndugu zetu

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew64916 жыл бұрын

    Naipenda Tanzania yangu. Ila inanipa mawazo kwa jinsi inavyopelekwa

  • @aliethlwaitama9592
    @aliethlwaitama95926 жыл бұрын

    Watashindana lakini hawatashinda kamwe

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga23806 жыл бұрын

    MUNGU IBARIKI TANZANIA

  • @stephanothomas3585
    @stephanothomas35856 жыл бұрын

    Hawa watumish wa Mungu hawajawai kuteteleshwa kifalaa!!.. Wako imala km Safina....

  • @rithamario7951
    @rithamario79513 жыл бұрын

    Jamani muniachie baba angu huo uraia vip...hamuoni hata kama nabii hakubaliki kwao nyie ni too much khaaaa....Nchi inaaman kwaajili ya maombi yao alafu nyinyi mnafanya nn? ....

  • @georgebalele2129
    @georgebalele21296 жыл бұрын

    Timing ni tatizo "kwa nini sasa au kwa nini baada ya.. "

  • @harunmruma2291
    @harunmruma22916 жыл бұрын

    Inatia uchungu sana, tujenge nchi

  • @salaammtafya8790
    @salaammtafya87906 жыл бұрын

    Mtumishi mwache bwana. Apigane

  • @wariobawtanzania5548
    @wariobawtanzania55486 жыл бұрын

    Ukiona Institutions za serikali zikitumika isivyo badi inatia ugumu hata katika ulipaji wa kodi. Pindi wananchi watakapozinduka katika hili basinmambo yataenda sawa ila kwa sasa vibaraka wataongezeka

  • @nicolausekama5976
    @nicolausekama59766 жыл бұрын

    Baada ya utoto na ukurupukaji wa tra na sasa immigration...kisa kukosolewa na kuambiwa watubu.Toba inawahusu wote Bila kujali vyeo vya duniani na vya muda.Hongera mtumishi.Mkuu aliepungukiwa na akili uwaonea Sana wake... mithali...

  • @hechechacha4032
    @hechechacha40326 жыл бұрын

    Ninyi ccm mnasumbuka Sana kwa kweli na siasa za vitisho

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu6 жыл бұрын

    Uhamiaji mnazingua ujue ? Yaani mtu ana miaka zaidi ya 70 hapa nchini eti leo ndio mnahoji uraia wa mtu ? Cha kushangaza anayehoji inawezekana anazidiwa hata historia ya nchi yenyewe. Mnazingua bhna tumewachoka

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu97186 жыл бұрын

    Hussein Bashe pia alihojiwa baada ya Kuwasema,,,,,,,,,,,, ,,,,,,,,!

  • @hosearwechungura7164
    @hosearwechungura71646 жыл бұрын

    Mungu akiwa upande wako, n nan aliye juu yako?

  • @muyumbasimba7035
    @muyumbasimba70356 жыл бұрын

    Long live KIGOMA, I feel proud to be mwana~KGM tena MMANYEMA haswaaa... from both my parents!.

  • @fokasiinnocent3448

    @fokasiinnocent3448

    6 жыл бұрын

    MUYUMBA SIMBA kigoma akuna kabila LA manyema ,ukisema ivo ukiwakigoma wanajua we nimkongo tu!!mambo hYo dar .

  • @muyumbasimba7035

    @muyumbasimba7035

    6 жыл бұрын

    Wacha weeeee........., nacheka kimanyema khwaaaa... khwaaaaa..... khwaaaaa.... khwaaaaaa............

  • @sammabula7359
    @sammabula73596 жыл бұрын

    nadhan serikali imekosa ubunifu...... inafanya vitu hadi watanzania wote tunajua kuwa ni figisu....... nadhan mnajiaibisha

  • @fredrickmathias6478

    @fredrickmathias6478

    6 жыл бұрын

    Sam Mabula kabsaaa yaan hadi aibu

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani31696 жыл бұрын

    sasa mnatafuta laana kubwa kabisa" hivi Ras huoni haya kwa nini usikemee mambo kama haya mtumishi wa mungu anahangaishwa hivi mtaletea nchi balaa kubwa matapata majibu subirini

  • @afomabula8487
    @afomabula84876 жыл бұрын

    Ni tatizo kubwa sn hili,bila ukosoaji nchi haitaenda

  • @kajolomaganya6184
    @kajolomaganya61846 жыл бұрын

    Haaha,,,viongoz wa srkl acheni mambo ya kitoto na kijinga ,,,kwani kigoma ni tz,,? Mnaing'ang'ania ya nini?

  • @josephinedavid3072
    @josephinedavid30726 жыл бұрын

    Vumilia kidogo tuone mwisho maana NENO LA MUNGU LINASEMA HERI MWISHO WA JAMBO KULIKO MWANZO ,

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania83586 жыл бұрын

    Kumbe ndio maana yule dogo aliye mshitaki baba ake Antoni petro halikuchukuliwa kwa uzito sana Kwa sababu walidhani sio M-bongo Land Pole sana Tanzania Pole sana na ninajuta..

  • @ibrahimbalhawasel5458
    @ibrahimbalhawasel54586 жыл бұрын

    KAKOBE NA AMINI UMIZALIWA TZ NA PIA NI MTANZANIA,LAKINI BIRTH CERTIFICATE KWA TANZANIA ZIMIANZA KUTOLEWA ZAMANI KIDOGO SIKUMBUKI WAMEANZA KUTOWA LINI,MIMI NIMIZALIWA 1956,NILITOA BIRTH CERTIFICATE 1971,KWA KUPELEKA BOMANI MASHAHIDI WANAO NIJUA.

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph7406 жыл бұрын

    Nimeipenda punch moja ‘ ‘kama ni URAIA watafute kitu kingine’...!...Yaani Maana yake wanapoteza muda..!

  • @mancankwee5740
    @mancankwee57406 жыл бұрын

    Tatizo serikal haitaki kukosolewa Ndo mana inakuja KWA NIN

  • @neemambuja435
    @neemambuja4356 жыл бұрын

    ukitaka kuona maajabu Saba ya duniani hili nalo limo tena tz yangu ole wako uwambie akina nanihii ukweli utayalishe vyeti vya kuzaliwa la sivo

  • @evodiusezekiah768
    @evodiusezekiah7686 жыл бұрын

    Wanamsumbua Baba tu maana miaka yotee walikuwa wapi

  • @mohammedsalim6398
    @mohammedsalim63986 жыл бұрын

    sawa tu ni vema Kama umetoa maelezo yako mzee

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri7926 жыл бұрын

    Kule wakimbizi wengi na vile ulikosa uzalendo ,vile vile mbishi hivyo nikawaida tu sio ajabu tujilizishe ,

  • @adamkindole9734
    @adamkindole97346 жыл бұрын

    Wakupeleke sasa wanakojua ni kwako

  • @kingkiwango1435
    @kingkiwango14356 жыл бұрын

    Jamn watz tunaenda wap

  • @amedeusikimey8040
    @amedeusikimey80405 жыл бұрын

    mj

  • @ccmchadema8107
    @ccmchadema81076 жыл бұрын

    kama vp wazishe viongoz yote adi rais wetu achunguzwe

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    6 жыл бұрын

    ccm chadema sawa sawa

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    6 жыл бұрын

    ccm chadema itakuwa wazo zuri kila mtu afanyiwe hivyo na kweli tunaona fahari kuwa Wazanzibari au Watanzania

  • @almulkukwiha5285
    @almulkukwiha52856 жыл бұрын

    Ww ndo unaona umeguswa Masheh Wa Zanzibar wako wapi

  • @juliuselifasi8858
    @juliuselifasi88586 жыл бұрын

    Tz ingeuzwa2 kila mtu apewe chake ajue anaenda wap🏃🏃

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37156 жыл бұрын

    Viongozi wetu mnaongoza vizuri na tunawapenda.ila mbona mtu akiongea maneno ya kuwakera mnafanya figisu figisu? Hivi kakobe anazeeka ndio mnakumbuka Leo uraia wake? Mnatukera sasa

  • @djbizo425
    @djbizo4256 жыл бұрын

    serikali isiwasumbue watu wa #KIGOMa jamani

  • @afomabula8487
    @afomabula84876 жыл бұрын

    mi nashangaa kwanini miaka yote hiyo hakuchunguzwa uraia wake mpaka alipoanza kukosoa?

  • @googleskills7049
    @googleskills70496 жыл бұрын

    Angalieni sana enyi wenye dhamana mnachuma dhambi bure ,nayo dhambi itaitafuna taifa mbona mnalinajisi taifa kwani kuwabambikizia watu kesi kwanini mnaikataa kweli na haki

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri7926 жыл бұрын

    Mi ni kuambi Ndugu hii nchi zuli sana nahaina ubaya usitie ubaya ,wala watumishi Wa MUNGU hawaku Fanya hivyo walikua watii nahii ni neno LA MUNGU

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga74556 жыл бұрын

    Arudi kwao Burundi yeye na Nondo

  • @semanasitv8303
    @semanasitv83036 жыл бұрын

    samahani jk

  • @chriskitching4510
    @chriskitching45106 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu Mimi mwenyewe Babu yangu akifa nitaomba Azikiwe sebureni

  • @hechechacha4032
    @hechechacha40326 жыл бұрын

    Yaani serikali inasumbuka na mtu mmoja tu kiasi hiki yaani mnatia aibu kwa kweli

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11666 жыл бұрын

    Mzee fanyakazi ya mungu achana na siasa mbona wenzenu nchi za nje wanajihusisha na dini tu siasa ni yawanasiasa nyie mnatakiwa kuombea amani tu nasivingine

  • @RAUNATION
    @RAUNATION6 жыл бұрын

    Hii nchi niyavigogo sio ya wannchi

  • @anthonysubije4744
    @anthonysubije47446 жыл бұрын

    Akinamagu na akinabashite waende uhamiajiiiiiiii

  • @alibenhimidibenhimidi8982
    @alibenhimidibenhimidi89826 жыл бұрын

    Hivi Kweli Idara Ya Uhamiaji Inaoujasiri Wa Kuwauliza Uraia Na Vyeti Vya Kuzaliwa Vya Mababu Na Mabibi Wa Marais Wote Wa Zanzibar Au Tanzania Bara ?. Wa Kabila La Wangazija Visiwani Zanzibar Wamo Katika Kusumbuliwa Bara Ana Nondo ,Mukizi Na Sasa Askofu Kakobe. Jenerali Ulimwengu Na Wengi Wengineo . Uhuni Huu Utaisha Lini ?.

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho56096 жыл бұрын

    Lakini mzee si umeaita waje wakope hela kwako, ndo mwanzo huyo wewe mtumishi wa bwana kushinda mahakamani nadhani unajutiya kauli zako!

  • @naturelle1097
    @naturelle10976 жыл бұрын

    many if not all Africans are not originally from where their ancestors came from.

  • @nurumahenge3836
    @nurumahenge38366 жыл бұрын

    Lakini mtu hata Kama sio mtanzania Si anaruhusiwa kununua uraia wa nchi yoyote

  • @francolazaro8646
    @francolazaro86466 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂Nchi hii bhana... Wakishndwaga ndo wanasakizia uraia 😁😁😁😁😁😁😁...

  • @promramson80

    @promramson80

    6 жыл бұрын

    Fransis Paris 😀😀kweli kabisaaaa

  • @francolazaro8646

    @francolazaro8646

    6 жыл бұрын

    😂😂😂Waje wanikague na me maana Ata me sijielew elew na uraia😁😁😁

  • @MrSoftBrains
    @MrSoftBrains6 жыл бұрын

    Mtanzania ni nani?

  • @yassinnmdaki1097
    @yassinnmdaki10976 жыл бұрын

    Hakuna jipya, tumieni mbinu nyingine!

  • @paulmmanda1783
    @paulmmanda17836 жыл бұрын

    naanza kutumia kingereza tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu iko siku msiponieewa mtaniuliza uraia.

  • @jummawetu
    @jummawetu6 жыл бұрын

    yayaya kweri watuludishie mkoa wetu burundi kwani story inaonyesha kwamba kigoma ilikua kwa inchi ya burundi namwenye alie saini mkataba na wajerumani angali hai burundi kwahio choko choko hizo italeta shida kwa mkoa wa kigoma ushahidi tunao

  • @willymartinmartin8885

    @willymartinmartin8885

    6 жыл бұрын

    jumma edward msenge we ko unataka utawaliwe n.a. nchi ndogo kuliko mkoa wako this is Tanzania kama mnampango na muhutu mwenzio muichukue kigoma mtakufa

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    6 жыл бұрын

    Hahahahahahaha

  • @Joe-tr2vk

    @Joe-tr2vk

    6 жыл бұрын

    willymartin martin Haujaelewa wewe. Huyo ni mrundi anasema sisi watanzania tuwarudishie wao mkoa wao wa Kigoma 😀😀

  • @fokasiinnocent3448

    @fokasiinnocent3448

    6 жыл бұрын

    jumma edward je mtwara au bukoba au ngara ,cjui wanarengo gani!!!

  • @rosekingalu9930
    @rosekingalu99306 жыл бұрын

    Babu passport hawAkupi 🤔😪wamekupa moyo uanshanga unapewa mwakan passport yako lol Tanzania 🇹🇿 yangu 😫

  • @paulmmanda1783
    @paulmmanda17836 жыл бұрын

    mwenyewe kaburi lako ni futi moja kwa tano, unautaka uraia wangu mtanzania mwenzako ukusaidie nini? upunguani mtupuu

  • @georgekayambaafrica2182
    @georgekayambaafrica21822 ай бұрын

    Who is this man?

  • @kasongolugina6907
    @kasongolugina69076 жыл бұрын

    Mbona mtukufu ulaia wake ni Wa mazhaka ole wako labda ufie madalakani

  • @upendorobert7298
    @upendorobert72986 жыл бұрын

    mbona Mbeya hawaambiwi ni wa ZAMBIA, au WAMALAWI? why kigoma tuu?

  • @masudiitembele5414
    @masudiitembele54146 жыл бұрын

    mzeee piga albadili uteketeze wote wanao onea watu WAMETUCHOSHA bhanaaaa

  • @hechechacha4032
    @hechechacha40326 жыл бұрын

    Ina maana askofu kutoa mawazo mbadala amekuwa sio raia

  • @ansigarkichenge3811
    @ansigarkichenge38116 жыл бұрын

    Inaenda WAP tz? Nasogea goligota

  • @hechechacha4032

    @hechechacha4032

    6 жыл бұрын

    Ansigar Kichenge kweli kabisa

  • @kingommy2393
    @kingommy23936 жыл бұрын

    vpi bashite kaonyesha

  • @evodiusezekiah768
    @evodiusezekiah7686 жыл бұрын

    Huyu si mtu wa mchezo mchezo

  • @omarikessy2339
    @omarikessy23396 жыл бұрын

    Lakini askofu Kiswahili chako ni cha kutafuta sana nini tatizo au laughs gani ambayo unatumia nyumbani kwako

  • @priscamangera5606

    @priscamangera5606

    6 жыл бұрын

    Omari Kessy we siumezoea kiswahili cha kijiweni we una mwona mtu wakijiweni huyo.?

  • @larickmtui2852
    @larickmtui28526 жыл бұрын

    Jifunze kuhubiri zaidi yahusuyo njia yakumuelekea mwenyez mungu na maisha baada yakifo siasa muachie gwajima

  • @hechechacha4032

    @hechechacha4032

    6 жыл бұрын

    Larick Mtui hujitambui kabisa

  • @larickmtui2852

    @larickmtui2852

    6 жыл бұрын

    Heche Chacha wewe unaejitambua point yako niipi au unataka nikupe Kiki?

  • @nahodahamis9014
    @nahodahamis90146 жыл бұрын

    Bado magufuli ajifunze siasa

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi97226 жыл бұрын

    Kwakweli serekali ytu inapotea

  • @kingommy2393
    @kingommy23936 жыл бұрын

    😂😂😂 itabidi iwe operation ya nchi nzima inawezekana na yeye ni wa huko maana hatupati story ya hospital alio zaliwa

  • @ibrahimally6455
    @ibrahimally64556 жыл бұрын

    Ahahhahahahahhahahaha ndii ndo Tz bna tunaelekea kma Rwanda 😂😂😂

  • @isayajohnson2150
    @isayajohnson21506 жыл бұрын

    Yaani mtumish ni kwamba ww kiswahili chako ni kizuri kuliko cha hao wanaokuhoji? 😂😂😂😂

  • @kuchiafricancinema
    @kuchiafricancinema6 жыл бұрын

    Hahahaa mzee wanataka wakupeleke nchi gani?

  • @jamessebastian8024

    @jamessebastian8024

    6 жыл бұрын

    Saddy Junior wampeleke marekani

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy6 жыл бұрын

    ha ha ha haaaaaaaa. Eti kiswahili changu ni kizuri kuliko cha wale waliokuwa wakinihoji. Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @hamadshein935
    @hamadshein9356 жыл бұрын

    Mie wakiniita tawaambia raia wa Uswis tuone kama watanipeleka.

  • @imnially3242

    @imnially3242

    6 жыл бұрын

    Hamad Shein ha ha ha haa!!! Umeniacha hoi!!!

  • @henryndosi8569

    @henryndosi8569

    6 жыл бұрын

    Inakuwaje wakuhoji tangu zamani? Ina maana wana mashaka na wewe, acha kujishika na watu wengine mzee, usihojiwe wewe ni nani acha ujanja ujanja

  • @kingommy2393
    @kingommy23936 жыл бұрын

    kibila wazebanga hata wewe uende kwenu Kongo

  • @nyamitmm1227
    @nyamitmm12276 жыл бұрын

    Unafiki mkubwa wa serikali

  • @tumainmatokeo586

    @tumainmatokeo586

    6 жыл бұрын

    kgm wanateswa

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko43836 жыл бұрын

    Jeshi gani ulojiunga tapeli mkubwa ww😞

  • @josevuri9369

    @josevuri9369

    6 жыл бұрын

    jkt tena oljoro

  • @jovincostantinedotto8654

    @jovincostantinedotto8654

    2 жыл бұрын

    We nae ka humjui kaa kmyaa

  • @chassesinamba3561
    @chassesinamba35616 жыл бұрын

    jpm naetujue uraia wake wazinza niwahutu kabisa wamehamia mwanza auwakimbizi wamepandikizwa inchi zamaziwa makuu

  • @wilhelmibaganisa8143

    @wilhelmibaganisa8143

    6 жыл бұрын

    chassesi Namba Acha ushamba ww wazinza siyo wahutu , wazinza chimbuko lao ni kutoka Nkole (buganda empire) sasa Uganda !! enzi zile za miaka ya 18000 !! miongoni mwa makabila ya asili mkoa wa mwanza ni wasukuma , wazinza na wakerewe!! wazinza si wahutu!! thuswhy wazinza lugha na utamaduni wanaendana na Wahaya!! wazinza wako Sengerema mwambao mwa ziwa victoria kisiwa cha kome , geita, chato!!

  • @jeffcash5437

    @jeffcash5437

    6 жыл бұрын

    Kwikwikwikwi

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko43836 жыл бұрын

    Pole sana mtumishi wa shetani

  • @emmanuelikipinga7517

    @emmanuelikipinga7517

    6 жыл бұрын

    Chz usie jtambua

  • @jamessebastian8024

    @jamessebastian8024

    6 жыл бұрын

    Fgjj Gbnko shetan baba ako

  • @fgjjgbnko4383

    @fgjjgbnko4383

    6 жыл бұрын

    James Sebastian 😂😂💃

  • @fgjjgbnko4383

    @fgjjgbnko4383

    6 жыл бұрын

    Twiga mbunda 😅😅😉😉

  • @fgjjgbnko4383

    @fgjjgbnko4383

    6 жыл бұрын

    Emmanueli Kipinga 😁😁😄

  • @lameckbalekele2901
    @lameckbalekele29016 жыл бұрын

    Maasikofu hawa nikama nabii tito

  • @mariamfaki1166

    @mariamfaki1166

    6 жыл бұрын

    Lameck Balekele 😀😀😀

  • @francolazaro8646
    @francolazaro86466 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda61136 жыл бұрын

    Natamani ningezaliwa Oman maana hakuna mitafakaruko baina ya serikali na wananchi wake.

  • @amonmathias2945

    @amonmathias2945

    6 жыл бұрын

    Mungu ni mungu zee wa ngu simama tuu

  • @mwingaapolinarymatusisiois1326

    @mwingaapolinarymatusisiois1326

    5 жыл бұрын

    kama huwezi kuchangia usimtukane mtumishi wa MUNGU

Келесі