BREAKING: Kauli ya Askofu Kakobe baada ya kutoka kuhojiwa Uhamiaji
Ойын-сауық
Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Idara ya Uhamiaji, ilimwandikia barua Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe kumtaka afike katika ofisi za Idara hiyo kwa ajili ya mahojiano.
Sasa leo April 9 2018 Askofu huyo ameripoti katika ofisi hizo za Uhamiaji DSM kwa ajili ya kuhojiwa na baada ya hapo akapata nafasi ya kuzungumza na waandishi wa habari
Пікірлер: 156
Hili suala la vyeti vya kuzaliwa na matumizi ya polisi kuwaua wakosoaji au washauri wa serikali ni mbinu zinazotumiwa na CCM kuwanyamazisha watumishi wa Mungu na wazalendo wa nchi hii. Ipo siku uovu huu utafika tamati ktk nchi hii ya kusadikika.
Daaaah aise mtumishi wa mungu ni mtumishi tu hakika utawashinda nimekuelewa sana Mungu yupamoja nawe!
Haya mambo wanahangaika bure, huwezi kumuonea mtumishi wa Mungu ukabaki salama, Mungu huwa hachezewi.
Nimekuelewa sana Baba Askofu,Mungu wa mbinguni yuu pamoja nawe
Kayonza napajua vizuri sana hapo mtumishi wa Mungu pambana Kiroho kwa majaribu unayopitia
Mungu akupiganie askofu wetu nchi hii imekuwa haitaki kweli na haki
kakobe ww nimuhubir mzur sana na mungu anakutumia lkn hapa kati umejiingiza ktk mambo ambayo hayajengi kanisA unakua kama umetumwa au kutumiwa
Uonevu wa hari ya juu pole sana baba👍
Pole sana Ndugu yangu
Inawezkana hamuelew ,, RAIA n mtu gan,, hv mnadhan raia n mtu aliezaliwa nchini .... Its full story of living style of a person and uzalendo matters not kila mwenyej n raia
Thanks
Mungu akupiganie wataangaika sana.
Kakobe pole sana sana wewe NI Mtanzania kabisa bila hata kujitetea
Serikali ya kuwatafutia visa wananchi wake ni serikali ya kishenzi na ukweli utabaki ukweli. AIBU AIBU AIBU
Watashindana lkn hawatashinda, kakobe ww ni mtu wa Mungu, omba sana Mungu ashuhulikee na hawa waovuu tumechokaaa
mtihani huu sasa
Jamani serikali Kama mnaona kigoma sio Tanzania bhasi igaweni Burundi au iuzeni Kwa Burundi tujueni moja sio mnawapa vikwazo ndugu zetu
Naipenda Tanzania yangu. Ila inanipa mawazo kwa jinsi inavyopelekwa
Watashindana lakini hawatashinda kamwe
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hawa watumish wa Mungu hawajawai kuteteleshwa kifalaa!!.. Wako imala km Safina....
Jamani muniachie baba angu huo uraia vip...hamuoni hata kama nabii hakubaliki kwao nyie ni too much khaaaa....Nchi inaaman kwaajili ya maombi yao alafu nyinyi mnafanya nn? ....
Timing ni tatizo "kwa nini sasa au kwa nini baada ya.. "
Inatia uchungu sana, tujenge nchi
Mtumishi mwache bwana. Apigane
Ukiona Institutions za serikali zikitumika isivyo badi inatia ugumu hata katika ulipaji wa kodi. Pindi wananchi watakapozinduka katika hili basinmambo yataenda sawa ila kwa sasa vibaraka wataongezeka
Baada ya utoto na ukurupukaji wa tra na sasa immigration...kisa kukosolewa na kuambiwa watubu.Toba inawahusu wote Bila kujali vyeo vya duniani na vya muda.Hongera mtumishi.Mkuu aliepungukiwa na akili uwaonea Sana wake... mithali...
Ninyi ccm mnasumbuka Sana kwa kweli na siasa za vitisho
Uhamiaji mnazingua ujue ? Yaani mtu ana miaka zaidi ya 70 hapa nchini eti leo ndio mnahoji uraia wa mtu ? Cha kushangaza anayehoji inawezekana anazidiwa hata historia ya nchi yenyewe. Mnazingua bhna tumewachoka
Hussein Bashe pia alihojiwa baada ya Kuwasema,,,,,,,,,,,, ,,,,,,,,!
Mungu akiwa upande wako, n nan aliye juu yako?
Long live KIGOMA, I feel proud to be mwana~KGM tena MMANYEMA haswaaa... from both my parents!.
@fokasiinnocent3448
6 жыл бұрын
MUYUMBA SIMBA kigoma akuna kabila LA manyema ,ukisema ivo ukiwakigoma wanajua we nimkongo tu!!mambo hYo dar .
@muyumbasimba7035
6 жыл бұрын
Wacha weeeee........., nacheka kimanyema khwaaaa... khwaaaaa..... khwaaaaa.... khwaaaaaa............
nadhan serikali imekosa ubunifu...... inafanya vitu hadi watanzania wote tunajua kuwa ni figisu....... nadhan mnajiaibisha
@fredrickmathias6478
6 жыл бұрын
Sam Mabula kabsaaa yaan hadi aibu
sasa mnatafuta laana kubwa kabisa" hivi Ras huoni haya kwa nini usikemee mambo kama haya mtumishi wa mungu anahangaishwa hivi mtaletea nchi balaa kubwa matapata majibu subirini
Ni tatizo kubwa sn hili,bila ukosoaji nchi haitaenda
Haaha,,,viongoz wa srkl acheni mambo ya kitoto na kijinga ,,,kwani kigoma ni tz,,? Mnaing'ang'ania ya nini?
Vumilia kidogo tuone mwisho maana NENO LA MUNGU LINASEMA HERI MWISHO WA JAMBO KULIKO MWANZO ,
Kumbe ndio maana yule dogo aliye mshitaki baba ake Antoni petro halikuchukuliwa kwa uzito sana Kwa sababu walidhani sio M-bongo Land Pole sana Tanzania Pole sana na ninajuta..
KAKOBE NA AMINI UMIZALIWA TZ NA PIA NI MTANZANIA,LAKINI BIRTH CERTIFICATE KWA TANZANIA ZIMIANZA KUTOLEWA ZAMANI KIDOGO SIKUMBUKI WAMEANZA KUTOWA LINI,MIMI NIMIZALIWA 1956,NILITOA BIRTH CERTIFICATE 1971,KWA KUPELEKA BOMANI MASHAHIDI WANAO NIJUA.
Nimeipenda punch moja ‘ ‘kama ni URAIA watafute kitu kingine’...!...Yaani Maana yake wanapoteza muda..!
Tatizo serikal haitaki kukosolewa Ndo mana inakuja KWA NIN
ukitaka kuona maajabu Saba ya duniani hili nalo limo tena tz yangu ole wako uwambie akina nanihii ukweli utayalishe vyeti vya kuzaliwa la sivo
Wanamsumbua Baba tu maana miaka yotee walikuwa wapi
sawa tu ni vema Kama umetoa maelezo yako mzee
Kule wakimbizi wengi na vile ulikosa uzalendo ,vile vile mbishi hivyo nikawaida tu sio ajabu tujilizishe ,
Wakupeleke sasa wanakojua ni kwako
Jamn watz tunaenda wap
mj
kama vp wazishe viongoz yote adi rais wetu achunguzwe
@hudhud2022
6 жыл бұрын
ccm chadema sawa sawa
@hudhud2022
6 жыл бұрын
ccm chadema itakuwa wazo zuri kila mtu afanyiwe hivyo na kweli tunaona fahari kuwa Wazanzibari au Watanzania
Ww ndo unaona umeguswa Masheh Wa Zanzibar wako wapi
Tz ingeuzwa2 kila mtu apewe chake ajue anaenda wap🏃🏃
Viongozi wetu mnaongoza vizuri na tunawapenda.ila mbona mtu akiongea maneno ya kuwakera mnafanya figisu figisu? Hivi kakobe anazeeka ndio mnakumbuka Leo uraia wake? Mnatukera sasa
serikali isiwasumbue watu wa #KIGOMa jamani
mi nashangaa kwanini miaka yote hiyo hakuchunguzwa uraia wake mpaka alipoanza kukosoa?
Angalieni sana enyi wenye dhamana mnachuma dhambi bure ,nayo dhambi itaitafuna taifa mbona mnalinajisi taifa kwani kuwabambikizia watu kesi kwanini mnaikataa kweli na haki
Mi ni kuambi Ndugu hii nchi zuli sana nahaina ubaya usitie ubaya ,wala watumishi Wa MUNGU hawaku Fanya hivyo walikua watii nahii ni neno LA MUNGU
Arudi kwao Burundi yeye na Nondo
samahani jk
Nimejifunza kitu Mimi mwenyewe Babu yangu akifa nitaomba Azikiwe sebureni
Yaani serikali inasumbuka na mtu mmoja tu kiasi hiki yaani mnatia aibu kwa kweli
Mzee fanyakazi ya mungu achana na siasa mbona wenzenu nchi za nje wanajihusisha na dini tu siasa ni yawanasiasa nyie mnatakiwa kuombea amani tu nasivingine
Hii nchi niyavigogo sio ya wannchi
Akinamagu na akinabashite waende uhamiajiiiiiiii
Hivi Kweli Idara Ya Uhamiaji Inaoujasiri Wa Kuwauliza Uraia Na Vyeti Vya Kuzaliwa Vya Mababu Na Mabibi Wa Marais Wote Wa Zanzibar Au Tanzania Bara ?. Wa Kabila La Wangazija Visiwani Zanzibar Wamo Katika Kusumbuliwa Bara Ana Nondo ,Mukizi Na Sasa Askofu Kakobe. Jenerali Ulimwengu Na Wengi Wengineo . Uhuni Huu Utaisha Lini ?.
Lakini mzee si umeaita waje wakope hela kwako, ndo mwanzo huyo wewe mtumishi wa bwana kushinda mahakamani nadhani unajutiya kauli zako!
many if not all Africans are not originally from where their ancestors came from.
Lakini mtu hata Kama sio mtanzania Si anaruhusiwa kununua uraia wa nchi yoyote
😂😂😂😂😂Nchi hii bhana... Wakishndwaga ndo wanasakizia uraia 😁😁😁😁😁😁😁...
@promramson80
6 жыл бұрын
Fransis Paris 😀😀kweli kabisaaaa
@francolazaro8646
6 жыл бұрын
😂😂😂Waje wanikague na me maana Ata me sijielew elew na uraia😁😁😁
Mtanzania ni nani?
Hakuna jipya, tumieni mbinu nyingine!
naanza kutumia kingereza tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu iko siku msiponieewa mtaniuliza uraia.
yayaya kweri watuludishie mkoa wetu burundi kwani story inaonyesha kwamba kigoma ilikua kwa inchi ya burundi namwenye alie saini mkataba na wajerumani angali hai burundi kwahio choko choko hizo italeta shida kwa mkoa wa kigoma ushahidi tunao
@willymartinmartin8885
6 жыл бұрын
jumma edward msenge we ko unataka utawaliwe n.a. nchi ndogo kuliko mkoa wako this is Tanzania kama mnampango na muhutu mwenzio muichukue kigoma mtakufa
@kassimrajabu7805
6 жыл бұрын
Hahahahahahaha
@Joe-tr2vk
6 жыл бұрын
willymartin martin Haujaelewa wewe. Huyo ni mrundi anasema sisi watanzania tuwarudishie wao mkoa wao wa Kigoma 😀😀
@fokasiinnocent3448
6 жыл бұрын
jumma edward je mtwara au bukoba au ngara ,cjui wanarengo gani!!!
Babu passport hawAkupi 🤔😪wamekupa moyo uanshanga unapewa mwakan passport yako lol Tanzania 🇹🇿 yangu 😫
mwenyewe kaburi lako ni futi moja kwa tano, unautaka uraia wangu mtanzania mwenzako ukusaidie nini? upunguani mtupuu
Who is this man?
Mbona mtukufu ulaia wake ni Wa mazhaka ole wako labda ufie madalakani
mbona Mbeya hawaambiwi ni wa ZAMBIA, au WAMALAWI? why kigoma tuu?
mzeee piga albadili uteketeze wote wanao onea watu WAMETUCHOSHA bhanaaaa
Ina maana askofu kutoa mawazo mbadala amekuwa sio raia
Inaenda WAP tz? Nasogea goligota
@hechechacha4032
6 жыл бұрын
Ansigar Kichenge kweli kabisa
vpi bashite kaonyesha
Huyu si mtu wa mchezo mchezo
Lakini askofu Kiswahili chako ni cha kutafuta sana nini tatizo au laughs gani ambayo unatumia nyumbani kwako
@priscamangera5606
6 жыл бұрын
Omari Kessy we siumezoea kiswahili cha kijiweni we una mwona mtu wakijiweni huyo.?
Jifunze kuhubiri zaidi yahusuyo njia yakumuelekea mwenyez mungu na maisha baada yakifo siasa muachie gwajima
@hechechacha4032
6 жыл бұрын
Larick Mtui hujitambui kabisa
@larickmtui2852
6 жыл бұрын
Heche Chacha wewe unaejitambua point yako niipi au unataka nikupe Kiki?
Bado magufuli ajifunze siasa
Kwakweli serekali ytu inapotea
😂😂😂 itabidi iwe operation ya nchi nzima inawezekana na yeye ni wa huko maana hatupati story ya hospital alio zaliwa
Ahahhahahahahhahahaha ndii ndo Tz bna tunaelekea kma Rwanda 😂😂😂
Yaani mtumish ni kwamba ww kiswahili chako ni kizuri kuliko cha hao wanaokuhoji? 😂😂😂😂
Hahahaa mzee wanataka wakupeleke nchi gani?
@jamessebastian8024
6 жыл бұрын
Saddy Junior wampeleke marekani
ha ha ha haaaaaaaa. Eti kiswahili changu ni kizuri kuliko cha wale waliokuwa wakinihoji. Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mie wakiniita tawaambia raia wa Uswis tuone kama watanipeleka.
@imnially3242
6 жыл бұрын
Hamad Shein ha ha ha haa!!! Umeniacha hoi!!!
@henryndosi8569
6 жыл бұрын
Inakuwaje wakuhoji tangu zamani? Ina maana wana mashaka na wewe, acha kujishika na watu wengine mzee, usihojiwe wewe ni nani acha ujanja ujanja
kibila wazebanga hata wewe uende kwenu Kongo
Unafiki mkubwa wa serikali
@tumainmatokeo586
6 жыл бұрын
kgm wanateswa
Jeshi gani ulojiunga tapeli mkubwa ww😞
@josevuri9369
6 жыл бұрын
jkt tena oljoro
@jovincostantinedotto8654
2 жыл бұрын
We nae ka humjui kaa kmyaa
jpm naetujue uraia wake wazinza niwahutu kabisa wamehamia mwanza auwakimbizi wamepandikizwa inchi zamaziwa makuu
@wilhelmibaganisa8143
6 жыл бұрын
chassesi Namba Acha ushamba ww wazinza siyo wahutu , wazinza chimbuko lao ni kutoka Nkole (buganda empire) sasa Uganda !! enzi zile za miaka ya 18000 !! miongoni mwa makabila ya asili mkoa wa mwanza ni wasukuma , wazinza na wakerewe!! wazinza si wahutu!! thuswhy wazinza lugha na utamaduni wanaendana na Wahaya!! wazinza wako Sengerema mwambao mwa ziwa victoria kisiwa cha kome , geita, chato!!
@jeffcash5437
6 жыл бұрын
Kwikwikwikwi
Pole sana mtumishi wa shetani
@emmanuelikipinga7517
6 жыл бұрын
Chz usie jtambua
@jamessebastian8024
6 жыл бұрын
Fgjj Gbnko shetan baba ako
@fgjjgbnko4383
6 жыл бұрын
James Sebastian 😂😂💃
@fgjjgbnko4383
6 жыл бұрын
Twiga mbunda 😅😅😉😉
@fgjjgbnko4383
6 жыл бұрын
Emmanueli Kipinga 😁😁😄
Maasikofu hawa nikama nabii tito
@mariamfaki1166
6 жыл бұрын
Lameck Balekele 😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂
Natamani ningezaliwa Oman maana hakuna mitafakaruko baina ya serikali na wananchi wake.
@amonmathias2945
6 жыл бұрын
Mungu ni mungu zee wa ngu simama tuu
@mwingaapolinarymatusisiois1326
5 жыл бұрын
kama huwezi kuchangia usimtukane mtumishi wa MUNGU