Mbarikiwa kwisha! Vielelezo vyake vyote vyakataliwa na MAHAKAMANI/serikali. Watu wa Mungu wote....
Жүктеу.....
Пікірлер: 125
@Philipoupdates Жыл бұрын
Mnaweza mkarahisisha mkasema vyovyote ila hili suala hili lisikie Kwa mwingine mtumishi huyu kapoteza mtoto ananyanyaswa ni maumivu makubwa anaptia na mnatakiwa mjue huyu anafanyiwa hivi maana anakemea maovu ya serikali na viongozi wa dini anasimama katika haki hawezi kupendwa Ila ushauri wangu watu wa Mungu tupendane tusifurahi wakati mwenzetu anaptia magumu mbarikiwa wewe ni shujaa Mungu anaona atasimama mwenyewe
@rubefabi8366 Жыл бұрын
Hata hivyo li dunia lenyewe linaanguka muda si mrefu. Tunakaribia nyumbani kwa Yesu. Tufue nguo zetu ziwe safi.
@geraldmakalala6091
Жыл бұрын
Kabisa
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Ni kweli
@francokahwili9074
Жыл бұрын
Word🙏 Mungu Akubariki sana Kwa kulitazama hilo mtumishi 🤝
@jeniphasawere4482
Жыл бұрын
@@romanamassawe814 vita ya wanaomwamini Mungu haipiganwi mwilini kama wao wanavyofanya
@jeniphasawere4482
Жыл бұрын
@@romanamassawe814 wamepaniki
@RuthAmojong-sm4kl Жыл бұрын
Wapendwa katika kristo,msingi ya mwenye haki inapotikizwa, inafaa tuombe sana.vita vyetu sio ya damu na nyama,bali ni ya rohoni.rudini kwa magoti.mengine wachieni mungu.hata kenya sio kuzuri
@miriamdanda6830 Жыл бұрын
Pastor najua nia yako kumaanisha katika wokovu huu ambao tumepewa mara moja tu. I am always positive with you, and I always keep listening to your songs with a full presence of God. Mungu aliyeachilia huduma hii ndani ya moyo wako naye ataitimiliza hara siku ya Kristo Yesu Philippians 1:6, Mungu wa Mbinguni naye hatokuacha.
@arnoldvictor8763 Жыл бұрын
Nashauri ujishushe ikimpendeza Mungu kukuinua ATALIFANYA MWENYEWE!
@mwassamwassa7264
Жыл бұрын
Unamaanisha nini
@ensonfredy623
Жыл бұрын
@@mwassamwassa7264 kwani wewe ndo mbarikiwa?
@christopherbainga1920 Жыл бұрын
Tutashinda na zaidi ya Kushinda Huko ni kutapatapa kwa farao... Farao atakwenda kuaibika Mungu ni Mkuu na ni mwema sana kwetu
@liesharehema5193 Жыл бұрын
Pole Sana kaka yangu mbarikiwa na mtumishi wa MUNGU
@victorishengoma5724 Жыл бұрын
Mungu akakunusuru mbarikiwa. Mungu ni Mungu tu
@elinajacksonharusha7155 Жыл бұрын
Mungu anisamehe sana maana unapitia haya kwa ajili yangu, wewe ni baba bora sana, unakaripia unaonya na unatunza vema wanao😭😭😭😭. Asanteni sana wazazi
@fabianmihale3715 Жыл бұрын
Ni vigumu sana kuitafuta haki ktka Taifa letu Hilo ambalo linahubiri haki yakuishi na kumwabudu Mungu wakati serikali yenyewe imekua ya Kwanza kuvunja Sheri'a lakini pia kudhurumu haki ya kuishi, kwa raia wake kibaya zaidi unapoipigania kweli ktka kuisadia pale inapokosea unakua mhalifu na haya yote Mungu anayaona nayanafanyika kwa hola tu, Mungu anasema ole wako utendae kwa hila lakini hukutendewa kwa hila utakapo maliza kutenda hila Utatendwa hila wewe, Mbarikiwa Mungu Yehova akupiganie na akutie nguvu hayuko mbali analiona na pengine ameliruhusu hili ili Imani zetu ziwezeimarika
@israelbalagula8613 Жыл бұрын
Kushitakiiwa kukataliwa kwa ajili ya jina la Yesu yote yamwnenwa katika Bibilia na mengine mengi Kama ni msomaji wa Bibilia utaelewa tunapo elekea watu wa Mungu Mungu tutie nguvu Baba Yetu Wala hatuna msada Tena duniani
@augustinomsuya9310 Жыл бұрын
Mchungaji barikiwa sana hakika unasimamia neno la Mungu ipasavyo, Mungu hakunyamaza kwako bali anamakusudi na wewe kuionyesha dunia jambo
@benardsamizi-qo4yp Жыл бұрын
Simama imara Mungu Daniel ,Mungu wa Daud na Mungu wa Ibrahim akutangulie.
@venancemgani2041 Жыл бұрын
Wanaku inuwa kwa kuwa hayo yalikuwako tangu zamani Haleluya
@malakikambo2738 Жыл бұрын
Mungu aliye waita katika huduma hii takatifu hatawaacha peke yenu,meshack na kina abernegi Mungu hakuwaacha kabisa hata nyinyi atawashindia
@ivvansiwiti9085 Жыл бұрын
Mzee serikali huezi kupambana nayo simama uendelee kumtumikia Mungu achana na serikali
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Sijawahi kupambana na serikali ila vibaka wanaotumia jina la serikali. Hao ndio wanaouwa watu wanaoabudu kweli na wanaoongea ubaya ulio katika jamii.
@nyabuhorokamili1300 Жыл бұрын
mungu akuta nguliye mbele kwa muda hu mugumu mutumishi wa mungu 🧎🧎🧎🧎
Yeye ndiye atatoa kibali? Kama wahusika walitoa hicho wakasema ndio kibali cha ndani ya wilaya kwa sababu maombi yenu ni taifani. Lakini swali ni kama mmeua kwa sababu ya usajili wa kanisa mwaweza kutenda haki kwa sababu ya mwanasheria? Je unayajua masharti ya barua anayotoa msajili kwa waitwao wamesajiliwa? Je kuna dini inayatii? OK mwisho wa siku imefika mwisho. Sihitaji usajili tena. Fungeni ueni. Nikiitoka nitaendelea kuabudu wazi wazi
@mjeshimlokole-us5xc Жыл бұрын
Sheria au Neno la Mungu na sheria za kidunia (mahakama) hivi vimepingana tangu mwazo, ndio nuru na giza, havichangamani.
@jesuspower2390 Жыл бұрын
yanii hapa uko mnyongeee mpaka unatiahuruma, ila nikikumbuka matusi yanayotoka kinywani mwako mpaka nashangaa unyonye huu umetoka wapi. 😄
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Unyonge ni kwa sababu mmeua mwanangu. Huenda mmeona ndio malipo ya mnachoita matusi. Na ikiwa mmeua mwanangu kwa unachoita matusi (ambacho boss wako aliita ukaidi) utashindwa kuona unyonge? Kuua watu kwenu ndio utakatifu. Na kukemea uuaji ni matusi. Chawa wa wauaji
@angelalphonce9368
Жыл бұрын
Nimekwambia hapo juu huyu anatakiwa atubu amelidharirisha Sana kanisa na kuwatukana wachungaji na nilishajinizana nae Sana humu na nikamwambia ipo siku hutaongea haya humu utaongeaa kitu kingine yako wapi Mungu ni wautaratibu
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Amaa! Hii ndio Tanzania mlalamikaji anageuzwa kua mshitakiwa na kusumbuliwa namna hii ! Hakika njia ya haki ni ya machozi😭😭 Mwenyezi Mungu twakuomba Sana katika bonde hili .
@josphatchivumbi6535
Жыл бұрын
Zabiri 34:19
@deusmasalyuka7683 Жыл бұрын
Pole sana baba, Mungu yupo pamoja nawe!
@tusekilefransi9899 Жыл бұрын
Mungu atasimama mwenyewe.
@arnoldvictor8763 Жыл бұрын
Kuna mambo makubwa matatu yanayoweza kuwaangusha na kuwatesa watumishi wa Mungu! La kwanza ni PESA, la pili ni UMAARUFU (Jina kubwa) na la tatu ni WANAWAKE! Naamini Mbarikiwa hajakamatwa na hili la wanawake kwa jinsi ninavyoona akiwa mmoja na mke wake! La pesa sina hakika, ila kwa suala la UMAARUFU , yaani kupata jina kubwa HAPO AMEKAMATIKA maana AMEIMBA MWENYEWE hapo katika wimbo wake wa utangulizi...
@pascalmwalyenga3468
Жыл бұрын
Ni kweli, nakubaliana na wewe bw Arnold. Tena hususani ni Umaarufu wa Kimitandao na kuposti posti (Social media adiction). Ikumbukwe kuongea ongea sana ni rahisi hata kutegwa na ulimi. Mf. Ni statement kali sana kusema tena kwa maandishi mitandaoni "..fulani ulimuua mtoto wangu".. Kisheria unaweza kutakiwa upeleke relevant evidence to justify your statement. Kwa mtazamo wangu kuongeaongea sana kwenye mitandao ndiyo kunakuza suala hili na kupelekea hata lilipofikia. USHAURI: 1.Mtumishi apunguze ukali wa maneno kufikisha ujumbe kusudiwa. 2. Apunguze posti posti za tukio hilo hilo iwapo si lazima. 3. Afanye consultation na watumishi/mtumishi mwingine yoyote anayemkubali au kumuamini kihuduma. Mungu hajashindwa kumtumia hata mtu mwingine yeyote kumpa solution ya suala hili.
@hildandumbalo5827 Жыл бұрын
Mungu yuko nawe Mbarikiwa
@mtumishiDanny Жыл бұрын
Hakuna mcha Mungu Aliyeshtakiwa na baraza aliyetoka salama kuanzia kwenye biblia . Na kwa injili ambayo unaihubiri ni photocopy ya injili aliyoileta Yesu na maisha walio yaishi mitume ndiyo unayoyaishi na kutufundisha kuyaishi vyivyo hivyo na ikiwa wao walikutana na gereza, mauti pamoja na haki waliokuwa nayo basi hata kwa njia hii tunasema Mungu ni Mungu na mapenzi yake yatimizwe , ni HERI KUFA kuliko kuwa chawa wa serikali .
@ireneshao7950 Жыл бұрын
Hekima hakuna unataka ufahari wa kibinadamu....neno la Mungu linataka tuheshimu mamlaka na yeye ni WA utaratibu Bado vita yetu sio ya damu na Nyama
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Kwa hiyo wewe unaoheshimu hata ikikunyea mdomoni?
@cathelinematondo3992 Жыл бұрын
MUNGU naijulikane kama wewe upo.😭😭
@josephlameck6609 Жыл бұрын
Yanamwisho Baba MATESO haya haitakuwa bure
@byaombeomary7996 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi.
@isaacsanga9707 Жыл бұрын
Haiwezekani kabisa Wachamungu wapangiwe na waovu namna wanavyotakiwa kuhubiri halafu ukategemea eti wataifanya kazi ya Mungu ipasavyo. Turudie tu mfumo wa ibada za zamani tuwaachie mimajengo na misheria yao.
@davidmazengo626 Жыл бұрын
Aoooo ni mawizard haiwezekaniiii wanalengaaaa sanaaaa hudumaaaa uliyonayo furaha Yao wasikie hauendeleiii na Hudumaa
@rossarutasha1789 Жыл бұрын
Nakwambia mchungaji acha kuniombea kufungwa kitokacho mdomoni mwako kinaweza kitokea kwa kiwa unasema mwenyewe acha siasa isichangamane na dini na tena kuwa makini mkeo hanari yuko vizuri ananenepa anazidi kuwa beutifull mzuri sana akipata mwanaume wa kumuoa usine ukachanganyikiwa tena tunakupa onyo mwache mkeo kumkosesha raha atakuacha
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Paulo alisema vifungo na dhiki vyaningoja alijitakia? Yesu alisema mnataka kuniua zaidi ya mara tatu alijitakia? Wewe tu kundi la waliouwa mwanangu utashindwa kunifunga. Au unadhani kunifunga ni jambo dogo kuliko mlivyoua mwanangu? Nilipokuwa nasema mtaua mwanangu hamkusema najitakia? Leo yako wapi? Kilichokujaa ni umalaya tu. Kwani mwanamke anachepuka tu kwa sababu mme kafungwa? Angekuwa na akili kama yako ungekuja kumtongoza hadi sasa. Ila kwa kuwa ni chawa nafahamu makusudi ya unachoandika.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Rossa Rutasha, naona unatamani niongee kitu hapo... Upendo wetu hauwi mbaya kwa kufanya jambo jema bali upendo wetu unaweza kuisha akiwa na roho kama yako iliyo mbaya hata katika mambo mema. Kiufupi nataka mtu kama Mbarikiwa. NB; hata wenye shida hunenepa.
@ayubutweve Жыл бұрын
Daniel akasema hasta kama Mungu hatatuokoa na Simba kath hatutaabudu Miungu,,,kuwa mfia wa injili ya yesu ktk kizazi Cha sasa,,historian itaandikwa kama martin Luther,,
@GloryMshanga-gq2fg Жыл бұрын
Pole sana mtumishi katika yote endelea kumtumikia mungu
@gwamakaalamungobile4058 Жыл бұрын
MUNGU hadhihakiwi, atajitwalia utukufu yy mwenyewe katika hili
@musajulias3392 Жыл бұрын
Ameni
@martinjohn7854 Жыл бұрын
WENYE HAKI WANADAI HAKI ya kuhubiri HAKI, hawapewi. Waovu WANADAI nao HAKI ya kutambuliwa. Nani awahubiri waovu IKIWA HATA WENYE DINI WANASIFU waovu?.
@evajaily924 Жыл бұрын
Mungu utabaki kuwa Mungu kwa watu wako wanaokuamini na kuifuata misingi yako ya Imani eee Mwenyezi Mungu uckiaye maombi ya watu wako yackie Baba
@isaacsanga9707 Жыл бұрын
Wanaojielewa wanajua anachopitia pastor na wamenyamaza si kwamba wamefurahi bali nafsi zao zinajua hatari ya kujaribu kulizungumzia jambo lake na uwe na uhakika wanajua kabisa kwamba KUNYAMAZA SIO HEKIMA. Mwanadamu anaweza kunyamaza ikiwa hajui cha kusema au ameogopa hatari au hasara anayotishiwa ikiwa ataendelea kuongea. Huo ndio ukweli na sio dhambi kunyamza ila kuujua wema unaotakiwa kufanya na usiufanye ndio dhambi yenyewe, hapo jiangalie unaweza ukajikuta unaanza kuwa mnafiki usipoelewa.
@shukurukihwelo3084 Жыл бұрын
Kukosoa imani ya wenzio kuwa wewe ndio upo sahihi hapana
@josephatkibo2728 Жыл бұрын
1PETRO3:14-18majibu yenu yamuokoe asikiaye, haimaanishi tunapendezwa na Vita mnayopitia, Mungu ndo anajua Nia ya mtu, japo Vita yetu si juu damu na nyama, Neno linasema Herode alipoona kuwa imewapedeza wayahudi kuuwawa kwa Yakobo walimshika na Petro. So ukitoka wewe na Mimi nafuata, maana yake kesi hii ni ya Kila mmoja, suala ni nani kaanza, Sasa tukishambuliana sisi kwa sisi, ndo tumekwisha mapema. Nani atoe ushauri ikiwa mtu anajua Kila kitu....,!!!?.
@tryphonbalihamla2898
Жыл бұрын
Kumbukeni sheria za nchi zitapita ila za mbinguni zitadumu milele na milele,mtumishi ,Mwakipesile tunakuombea usikate tama panza sauti Mungu sio kiziwi anakusikia
@ireneshao7950
Жыл бұрын
@@tryphonbalihamla2898 Mungu anataka tuheshimu mamlaka na Mungu ni wa utaratibu rafiki
@cresousenock5675 Жыл бұрын
Mungu tunayemuabudu hapendi mashindano nimesoma reply za baadhi ya washirika wanatukana matusi kabisaaa mbingu ya Nani wataiendea?? Au Ni Mungu yupi wanamuabudu?? Au Ni mafundisho gani , ktk hili umakini unatakiwa Sanaa mbingu si ya wazembe wazembe
@teddyjuma2915 Жыл бұрын
Yesu alikuwa mwana wa Mungu kwelikweli, akaishi ubinadam kwelikweli ndiyo maans alitahiriwa na akabatizwa. Utii wa Sheria ni muhimu kuliko kufanya tofauti Ili kuonesha Sheria ni mbaya. Hekima ya Mungu ikuongoze kuliko hasira ya kibinadam
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Kwanini Yesu walimuua kama alikuwa anatii kila sheria. Kwani wamekuambia kuwa hatujatii sheria ipi? Ya kuikana Biblia ili tusajiliwe kishetani? Kuua wacha Mungu ndio kutosha kwenye vyeo vyenu. Mtashindania sana kuua ili mpate vyeo vya ukurugenzi mkuu wa usalama wa taifa.
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Yesu mwenyewe aliuwawa na mafarisayo kama wewe hivyo hatakuwa wa kwanza kuuwawa na hana njia nyingine ya kupita nje na hiyo aliyopita baba yake Yesu.
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
Sasa kwanini walimlukia kwa nia moja wakamu uwa huyo YESU?
@noelmwembe Жыл бұрын
Hata haya uliyofanya BABAani makubwa sana kwa nyimbo zako na maneno yako ambayo MUNGU aliyaweka kwako yalinifanya nihame MKOA wa RUKWA na kukufuata wewe haijarishi nilikuwa na nyumba niliiache bado BABA wewe ni wathamani sana kwangu
@UTUKUFU5 Жыл бұрын
Hakika Tanzania kuna amani naomba watumishi wa Mungu Tuwe na hekima unajua unaposema serkali mpango wao ni kuwaua ebu acheni sheria mmezisoma wapi ninyi serikali hivi ipo kwaajili hiyo kweli na kama watumishi tafadhali msiwe na majibu ya hovyo hapa ni mtandaoni asa ikiwa comment zenu mnafananisha na waliowasema vibaya mtandaoni nani mcha Mungu sasa na utofauti wa kuokoka ni upi kama hautakua tofauti na wadunia
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Elasto Blaiton. Ni ngumu kujua kwa kuwa yako kwa mwenzio hivyo sio lazima niongee sana
@gowekogoweko5803 Жыл бұрын
DAH!😪😪😪😪🙏🙏🙏
@judiththobias5132 Жыл бұрын
Mweee ila dhambiii hivi zumaridi na huyu Nani mwenye haki
@angelalphonce9368 Жыл бұрын
Jambo dogo tu Toba usilazimisehe dunia ikujue maana dunia ni kigeugeu kumbuka ni wapi ulipoanguaka ukatengeneze utakufa sana
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Wakati wa machawa kusherehekea kwa kuwa mfuga chawa amekataza usafi kwa kutumia majeshi na mahakama. Kumbuka ulipoangukia tukatubu kwa mashetani na machawa kama wewe
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
Mbalikiwa wa michongo
@angelalphonce9368
Жыл бұрын
Jambo dogo Sana ashuke mbele za Mungu akijilazimisha kuonyesha Ana haki atapoza vingi ikiwemo huduma
@tegemeawilliammsewa1950 Жыл бұрын
ACHANA NA HAYO MASWALA. JIIMBIAGE KAMA ZAMANI, UNASAUTI, NA NYIMBO ZAKO ZINAUPONYAJI, NA KUVUTA WATU WAMKARIBIE MUNGU.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Msingeua mwanangu ndipo mngeleta hayo maushauri. Sasa hapa nijiimbie hizo nyimbo kama nani?
@mangapastortee3038 Жыл бұрын
KATIKA YOTE, BADO YUKO MUNGU
@joshuajastin. Жыл бұрын
Ndiyo maana mtu akiwa raisi basi anakuwa na kisasi kikubwa.
@deodatkasheija7844 Жыл бұрын
Mnaandika mbarikiwa kwisha mnaamaanisha nini na wakati huu ukurasa ni wa kwenu wenyewe au mnataka kutengeneza pesa kupitia matatizo yenu,, hebu kuweni serious bhn mnatufanya kama watoto wadogo kutuandikia vichwa vya habari visivyoendana na ukweli
@Kamandapendo
Жыл бұрын
Sina uhakika kama hua unafatilia chanel hii /umeisikiliza mpaka MWISHO. But waweza kutumia mawazo YAKO kama upendavyo
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Nyie ndio machawa amba bila hata kusikiliza mnatoa komenti. Kazi yenu ni kuonyesha kama kweli hakuna tatizo ili mtumalize kimya kimya... Acheni ushetani mtakuwa na mwisho mbaya sanaaaa hata kama mtafanikiwa kutuuwa miongoni mwetu.
@modestapeter2997
Жыл бұрын
@Deodat Kasheija si afadhari kutengeneza pesa kwenye tatizo kuliko kutengeneza uchungu? zaidi na aliekufanya mtoto mdogo nani? tumekuja kukugongea kwako kua njoo ututazame? si ni kimbele mbele chako cha kupenda taarifa mbaya?
@geraldlyimo2859 Жыл бұрын
Kesi iliko mahakamani sidhani km inaruhusiwa kuzungumziwa nje ya mahakama
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Mimi mtu wa mbinguni nimeizunguzia sana na nitaizungumzia hatua zote.
@mbubatv Жыл бұрын
Hivi hao wenye makazu kila siku wanazurula wanafanya kazi saa ngap
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Unawapa nauli wewe ya kwenda kuzurula?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ama wewe unafanya kazi saa ngapi muda wote kuangalia wasiofanya kazi? Lakini je, Wanakula kwako? Wana madeni kama wewe? Wamewahi kukukopa au kuomba msaada kwako? Kama sio basi jua wanafanya kazi zaidi ya kazi yako ya kishetani.
@KAMANDAMYAHUDI Жыл бұрын
Amen !
@rogersndaiga5832 Жыл бұрын
Farao na musa, ole wake farao.
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👊.
@ensonfredy623 Жыл бұрын
Jifunze vizur biblia muombe Roho mtakatifu akufundishe, Upendo ni amri kuu Yesu kristo alituasa.Jiulize je wewe unawapenda waovu ambao yesu alikufa kwaajil yao?Unapenda kuhukumu kuliko kufundisha tena kwa maneno makali kama watu wa mataifa/ wapagan wasio jua lolote kuhusu Bible.Hebu badilika tumika kama kuhani wa Yesu aliye na unyenyekevu,kujishusha, hekima na upendo wa dhati kwa yeyote hata kama ni mtenda dhabi atabadilika huyo.Unajiona mtakatifu kuliko watumishi wengine ndio maana umeachiwa peke yako hilo jaribu.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ni Mafarisayo tu mnaongea kwa maneno malaini mkidhani ndio tafsiri ya neno hekima kumbe ni njaa ya kutaka sadaka. Ila Yesu aliongea KAMA MWENYE "AMRI" WALA SI KAMA WAANDISHI WAO (MATHAYO 7:29). Hebu tazama waumini wenu na wa kikosi kazi cha Injili. Je wako legelege kama walivyo waumini wenu? Chakula kigumu hutengeneza mtu mgumu.
@Neemakilimba Жыл бұрын
Mwisho ukaribu sàna Sijui kwa nini Hao wanakusumbua
@gozibertdeogratias5986
Жыл бұрын
Simameni katika maombi lakini nendeni pia kwa viongozi wetu. Kama Tulia, na wengineo
@gozibertdeogratias5986
Жыл бұрын
Hata kwa waziri mkuu
@KAMANDAMYAHUDI Жыл бұрын
Simba Kocha alikua anakwambia vitu vya maana nakukushauri mambo mazuri ukayapuuza na ukadai anahusika na kifo cha mwanao !!!! Watu wanakushaur mambo mazuri ambayo yatakuweka kwene ubinadamu wewe hutaki unang'ang'ania kufa tu.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Unataka nikuonyeshe ujumbe aliokiri kuwa alihusika na kuua mwanangu? Huko ndio kushauri vitu vya maana. Najua wewe ni huyo. Ila endelea kutukana
@KAMANDAMYAHUDI
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Hapana mimi sihusiki na Simba kocha ila nilikua nikisoma coments zake tu.
@KAMANDAMYAHUDI
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile simba hakukili kua anahusika ila baada yakushauri ukamwita chawa mwana wa joka uzao wa laana ya baba yake. Kiukweli hukupaswa kumjibu vile sisi tumeokoka sasa mashindano yanini ? Baada yahapo nayeye akukujibu ndipo ukapost coment kua wewe unahusika na kuua mwanangu? Akajibu ndyo. Sasa wewe mchungaji kwanini yule umuulize swali kama ilo ? Nahuku unadai walio husika unawajua kwaiyo unataka kutuambie kua waliohusika kumbe huwafamu. Vinginevyo usingemtuhumu simba kua kahusika wakati unadai kua unawajua. Ndpo simba akasema nipeleke mahakamani mtu yoyote mwene Akili atajua kua hawa wawili wote wanahasira wala hakuna userious wowote katika hili nawala sio kigezo cha ushahidi wakumtuhumu simba . kwaiyo nilisoma yote lkn pia nawewe ulikua ukimtakia maneno mazito mno mchungaji kunasehemu simba alikosea sana tu, lkn nawewe ulikosea sana.
@lilyrose7983
Жыл бұрын
@@KAMANDAMYAHUDI Ina maana kumbe alikiri kwa mdomo wake kuwa kauwa?😳
@KAMANDAMYAHUDI
Жыл бұрын
@@lilyrose7983 Mchungaji wa Bwana ebu tuyaache hayo maana hayana maana yoyote. Kiukweli kufiwa kunauma sana hasa pale ambapo umemuwekeza mtoto wako kimaharifa na kiutayari alafu gafla anakatika tu paa!! Asikwambie mtu nayajua maumivu yake ni ngumu kuamini na ningumu sura yake kufutika Usoni hata kama utaongea maneno magumu kiasi gani ? Hata mimi naamini yeyote ambaye lingempata basi asingejari chochote kila mtu angeongea kwa luga ngumu isiyozungumzika lkn Mchungaji mimi nakusihi naamini kua Mungu wako ni Mkuu sana pia hawezi kunyamaza katika hili madamu umeshaongea namaana kuwakumbusha kua katika hili mlilolifanya ijapokua mnahisi kua mmefanyia gizani lkn aminini kwamba yupo Mungu na Mungu haziakiwi inatosha mchungaji palipo baki mpe Mungu nafasi yskufanya itimisho Mchingaji Ngoja nikuambie kunaisemi unasema Sio kila anayejifanya mjinga basi ukazani kua ni mjinga kweli Bali wengine hujifanya wajinga ili wewe unayeamini kua wele ni wajinga basi Uwe mjinga zaidi. Mchungaji imebaki sehemu ya Mungu kujiripiza kisasi kwao nyamaza katika hili ili Bwana achukue nafasi. Mimi sijui utaniweka kwene kundi gani ila niushauri tu, na silazima kuufata endapo hautakua na maana kwako ila hayo nimawazo yangu Mchungaji tunaumia wote katika hili.
@rossarutasha1789 Жыл бұрын
Mchungaji wewe unaomba ufungwe lakini tunamuona Salome mkeo anazidi kupendeza ukifungwa ataolewa kabisa amini maana kila siku yeye anbadilika kuwa mzuri na kunenepa hana mawazo yoyote atachukuliwa na wanaume wengine usipokuwa makini
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ndugu Rossa, Sina tamaa kama mliyo nayo , siwezi kuuonyesha mwili wangu kwa mwanaume mwingine kama vile ni kuuza dagaa , alikua wa kwanza na atakuwa wa mwisho na likizazi lenu katili hili. Ulitaka nikonde ndo ujue nina mawazo?
@barakahhawu2324
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile mama nimekuelewa Sana maana wanawake wa ulimwengu huuu wakiona mzee kaaga dunia hapo Sasa ndo pa kujisambazaaa
@barakahhawu2324
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile shujaaaaa wangu wewe si mwanamke kabisaaaaaa wewe Ni jembe la YESU Mimi niliyeshindwa nimeweza kupitia wewe
@mahershalalhashbazi2189
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Kama ulichiojibu ndivyo ulivyo u mwamke mwenye akili njema... Umejibu vema sana
Пікірлер: 125
Mnaweza mkarahisisha mkasema vyovyote ila hili suala hili lisikie Kwa mwingine mtumishi huyu kapoteza mtoto ananyanyaswa ni maumivu makubwa anaptia na mnatakiwa mjue huyu anafanyiwa hivi maana anakemea maovu ya serikali na viongozi wa dini anasimama katika haki hawezi kupendwa Ila ushauri wangu watu wa Mungu tupendane tusifurahi wakati mwenzetu anaptia magumu mbarikiwa wewe ni shujaa Mungu anaona atasimama mwenyewe
Hata hivyo li dunia lenyewe linaanguka muda si mrefu. Tunakaribia nyumbani kwa Yesu. Tufue nguo zetu ziwe safi.
@geraldmakalala6091
Жыл бұрын
Kabisa
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Ni kweli
@francokahwili9074
Жыл бұрын
Word🙏 Mungu Akubariki sana Kwa kulitazama hilo mtumishi 🤝
@jeniphasawere4482
Жыл бұрын
@@romanamassawe814 vita ya wanaomwamini Mungu haipiganwi mwilini kama wao wanavyofanya
@jeniphasawere4482
Жыл бұрын
@@romanamassawe814 wamepaniki
Wapendwa katika kristo,msingi ya mwenye haki inapotikizwa, inafaa tuombe sana.vita vyetu sio ya damu na nyama,bali ni ya rohoni.rudini kwa magoti.mengine wachieni mungu.hata kenya sio kuzuri
Pastor najua nia yako kumaanisha katika wokovu huu ambao tumepewa mara moja tu. I am always positive with you, and I always keep listening to your songs with a full presence of God. Mungu aliyeachilia huduma hii ndani ya moyo wako naye ataitimiliza hara siku ya Kristo Yesu Philippians 1:6, Mungu wa Mbinguni naye hatokuacha.
Nashauri ujishushe ikimpendeza Mungu kukuinua ATALIFANYA MWENYEWE!
@mwassamwassa7264
Жыл бұрын
Unamaanisha nini
@ensonfredy623
Жыл бұрын
@@mwassamwassa7264 kwani wewe ndo mbarikiwa?
Tutashinda na zaidi ya Kushinda Huko ni kutapatapa kwa farao... Farao atakwenda kuaibika Mungu ni Mkuu na ni mwema sana kwetu
Pole Sana kaka yangu mbarikiwa na mtumishi wa MUNGU
Mungu akakunusuru mbarikiwa. Mungu ni Mungu tu
Mungu anisamehe sana maana unapitia haya kwa ajili yangu, wewe ni baba bora sana, unakaripia unaonya na unatunza vema wanao😭😭😭😭. Asanteni sana wazazi
Ni vigumu sana kuitafuta haki ktka Taifa letu Hilo ambalo linahubiri haki yakuishi na kumwabudu Mungu wakati serikali yenyewe imekua ya Kwanza kuvunja Sheri'a lakini pia kudhurumu haki ya kuishi, kwa raia wake kibaya zaidi unapoipigania kweli ktka kuisadia pale inapokosea unakua mhalifu na haya yote Mungu anayaona nayanafanyika kwa hola tu, Mungu anasema ole wako utendae kwa hila lakini hukutendewa kwa hila utakapo maliza kutenda hila Utatendwa hila wewe, Mbarikiwa Mungu Yehova akupiganie na akutie nguvu hayuko mbali analiona na pengine ameliruhusu hili ili Imani zetu ziwezeimarika
Kushitakiiwa kukataliwa kwa ajili ya jina la Yesu yote yamwnenwa katika Bibilia na mengine mengi Kama ni msomaji wa Bibilia utaelewa tunapo elekea watu wa Mungu Mungu tutie nguvu Baba Yetu Wala hatuna msada Tena duniani
Mchungaji barikiwa sana hakika unasimamia neno la Mungu ipasavyo, Mungu hakunyamaza kwako bali anamakusudi na wewe kuionyesha dunia jambo
Simama imara Mungu Daniel ,Mungu wa Daud na Mungu wa Ibrahim akutangulie.
Wanaku inuwa kwa kuwa hayo yalikuwako tangu zamani Haleluya
Mungu aliye waita katika huduma hii takatifu hatawaacha peke yenu,meshack na kina abernegi Mungu hakuwaacha kabisa hata nyinyi atawashindia
Mzee serikali huezi kupambana nayo simama uendelee kumtumikia Mungu achana na serikali
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Sijawahi kupambana na serikali ila vibaka wanaotumia jina la serikali. Hao ndio wanaouwa watu wanaoabudu kweli na wanaoongea ubaya ulio katika jamii.
mungu akuta nguliye mbele kwa muda hu mugumu mutumishi wa mungu 🧎🧎🧎🧎
Hicho sio kibali mtumishi. Tafuta mwanasheria akuelekeze.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Yeye ndiye atatoa kibali? Kama wahusika walitoa hicho wakasema ndio kibali cha ndani ya wilaya kwa sababu maombi yenu ni taifani. Lakini swali ni kama mmeua kwa sababu ya usajili wa kanisa mwaweza kutenda haki kwa sababu ya mwanasheria? Je unayajua masharti ya barua anayotoa msajili kwa waitwao wamesajiliwa? Je kuna dini inayatii? OK mwisho wa siku imefika mwisho. Sihitaji usajili tena. Fungeni ueni. Nikiitoka nitaendelea kuabudu wazi wazi
Sheria au Neno la Mungu na sheria za kidunia (mahakama) hivi vimepingana tangu mwazo, ndio nuru na giza, havichangamani.
yanii hapa uko mnyongeee mpaka unatiahuruma, ila nikikumbuka matusi yanayotoka kinywani mwako mpaka nashangaa unyonye huu umetoka wapi. 😄
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Unyonge ni kwa sababu mmeua mwanangu. Huenda mmeona ndio malipo ya mnachoita matusi. Na ikiwa mmeua mwanangu kwa unachoita matusi (ambacho boss wako aliita ukaidi) utashindwa kuona unyonge? Kuua watu kwenu ndio utakatifu. Na kukemea uuaji ni matusi. Chawa wa wauaji
@angelalphonce9368
Жыл бұрын
Nimekwambia hapo juu huyu anatakiwa atubu amelidharirisha Sana kanisa na kuwatukana wachungaji na nilishajinizana nae Sana humu na nikamwambia ipo siku hutaongea haya humu utaongeaa kitu kingine yako wapi Mungu ni wautaratibu
Amaa! Hii ndio Tanzania mlalamikaji anageuzwa kua mshitakiwa na kusumbuliwa namna hii ! Hakika njia ya haki ni ya machozi😭😭 Mwenyezi Mungu twakuomba Sana katika bonde hili .
@josphatchivumbi6535
Жыл бұрын
Zabiri 34:19
Pole sana baba, Mungu yupo pamoja nawe!
Mungu atasimama mwenyewe.
Kuna mambo makubwa matatu yanayoweza kuwaangusha na kuwatesa watumishi wa Mungu! La kwanza ni PESA, la pili ni UMAARUFU (Jina kubwa) na la tatu ni WANAWAKE! Naamini Mbarikiwa hajakamatwa na hili la wanawake kwa jinsi ninavyoona akiwa mmoja na mke wake! La pesa sina hakika, ila kwa suala la UMAARUFU , yaani kupata jina kubwa HAPO AMEKAMATIKA maana AMEIMBA MWENYEWE hapo katika wimbo wake wa utangulizi...
@pascalmwalyenga3468
Жыл бұрын
Ni kweli, nakubaliana na wewe bw Arnold. Tena hususani ni Umaarufu wa Kimitandao na kuposti posti (Social media adiction). Ikumbukwe kuongea ongea sana ni rahisi hata kutegwa na ulimi. Mf. Ni statement kali sana kusema tena kwa maandishi mitandaoni "..fulani ulimuua mtoto wangu".. Kisheria unaweza kutakiwa upeleke relevant evidence to justify your statement. Kwa mtazamo wangu kuongeaongea sana kwenye mitandao ndiyo kunakuza suala hili na kupelekea hata lilipofikia. USHAURI: 1.Mtumishi apunguze ukali wa maneno kufikisha ujumbe kusudiwa. 2. Apunguze posti posti za tukio hilo hilo iwapo si lazima. 3. Afanye consultation na watumishi/mtumishi mwingine yoyote anayemkubali au kumuamini kihuduma. Mungu hajashindwa kumtumia hata mtu mwingine yeyote kumpa solution ya suala hili.
Mungu yuko nawe Mbarikiwa
Hakuna mcha Mungu Aliyeshtakiwa na baraza aliyetoka salama kuanzia kwenye biblia . Na kwa injili ambayo unaihubiri ni photocopy ya injili aliyoileta Yesu na maisha walio yaishi mitume ndiyo unayoyaishi na kutufundisha kuyaishi vyivyo hivyo na ikiwa wao walikutana na gereza, mauti pamoja na haki waliokuwa nayo basi hata kwa njia hii tunasema Mungu ni Mungu na mapenzi yake yatimizwe , ni HERI KUFA kuliko kuwa chawa wa serikali .
Hekima hakuna unataka ufahari wa kibinadamu....neno la Mungu linataka tuheshimu mamlaka na yeye ni WA utaratibu Bado vita yetu sio ya damu na Nyama
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Kwa hiyo wewe unaoheshimu hata ikikunyea mdomoni?
MUNGU naijulikane kama wewe upo.😭😭
Yanamwisho Baba MATESO haya haitakuwa bure
Pole sana mtumishi.
Haiwezekani kabisa Wachamungu wapangiwe na waovu namna wanavyotakiwa kuhubiri halafu ukategemea eti wataifanya kazi ya Mungu ipasavyo. Turudie tu mfumo wa ibada za zamani tuwaachie mimajengo na misheria yao.
Aoooo ni mawizard haiwezekaniiii wanalengaaaa sanaaaa hudumaaaa uliyonayo furaha Yao wasikie hauendeleiii na Hudumaa
Nakwambia mchungaji acha kuniombea kufungwa kitokacho mdomoni mwako kinaweza kitokea kwa kiwa unasema mwenyewe acha siasa isichangamane na dini na tena kuwa makini mkeo hanari yuko vizuri ananenepa anazidi kuwa beutifull mzuri sana akipata mwanaume wa kumuoa usine ukachanganyikiwa tena tunakupa onyo mwache mkeo kumkosesha raha atakuacha
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Paulo alisema vifungo na dhiki vyaningoja alijitakia? Yesu alisema mnataka kuniua zaidi ya mara tatu alijitakia? Wewe tu kundi la waliouwa mwanangu utashindwa kunifunga. Au unadhani kunifunga ni jambo dogo kuliko mlivyoua mwanangu? Nilipokuwa nasema mtaua mwanangu hamkusema najitakia? Leo yako wapi? Kilichokujaa ni umalaya tu. Kwani mwanamke anachepuka tu kwa sababu mme kafungwa? Angekuwa na akili kama yako ungekuja kumtongoza hadi sasa. Ila kwa kuwa ni chawa nafahamu makusudi ya unachoandika.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Rossa Rutasha, naona unatamani niongee kitu hapo... Upendo wetu hauwi mbaya kwa kufanya jambo jema bali upendo wetu unaweza kuisha akiwa na roho kama yako iliyo mbaya hata katika mambo mema. Kiufupi nataka mtu kama Mbarikiwa. NB; hata wenye shida hunenepa.
Daniel akasema hasta kama Mungu hatatuokoa na Simba kath hatutaabudu Miungu,,,kuwa mfia wa injili ya yesu ktk kizazi Cha sasa,,historian itaandikwa kama martin Luther,,
Pole sana mtumishi katika yote endelea kumtumikia mungu
MUNGU hadhihakiwi, atajitwalia utukufu yy mwenyewe katika hili
Ameni
WENYE HAKI WANADAI HAKI ya kuhubiri HAKI, hawapewi. Waovu WANADAI nao HAKI ya kutambuliwa. Nani awahubiri waovu IKIWA HATA WENYE DINI WANASIFU waovu?.
Mungu utabaki kuwa Mungu kwa watu wako wanaokuamini na kuifuata misingi yako ya Imani eee Mwenyezi Mungu uckiaye maombi ya watu wako yackie Baba
Wanaojielewa wanajua anachopitia pastor na wamenyamaza si kwamba wamefurahi bali nafsi zao zinajua hatari ya kujaribu kulizungumzia jambo lake na uwe na uhakika wanajua kabisa kwamba KUNYAMAZA SIO HEKIMA. Mwanadamu anaweza kunyamaza ikiwa hajui cha kusema au ameogopa hatari au hasara anayotishiwa ikiwa ataendelea kuongea. Huo ndio ukweli na sio dhambi kunyamza ila kuujua wema unaotakiwa kufanya na usiufanye ndio dhambi yenyewe, hapo jiangalie unaweza ukajikuta unaanza kuwa mnafiki usipoelewa.
Kukosoa imani ya wenzio kuwa wewe ndio upo sahihi hapana
1PETRO3:14-18majibu yenu yamuokoe asikiaye, haimaanishi tunapendezwa na Vita mnayopitia, Mungu ndo anajua Nia ya mtu, japo Vita yetu si juu damu na nyama, Neno linasema Herode alipoona kuwa imewapedeza wayahudi kuuwawa kwa Yakobo walimshika na Petro. So ukitoka wewe na Mimi nafuata, maana yake kesi hii ni ya Kila mmoja, suala ni nani kaanza, Sasa tukishambuliana sisi kwa sisi, ndo tumekwisha mapema. Nani atoe ushauri ikiwa mtu anajua Kila kitu....,!!!?.
@tryphonbalihamla2898
Жыл бұрын
Kumbukeni sheria za nchi zitapita ila za mbinguni zitadumu milele na milele,mtumishi ,Mwakipesile tunakuombea usikate tama panza sauti Mungu sio kiziwi anakusikia
@ireneshao7950
Жыл бұрын
@@tryphonbalihamla2898 Mungu anataka tuheshimu mamlaka na Mungu ni wa utaratibu rafiki
Mungu tunayemuabudu hapendi mashindano nimesoma reply za baadhi ya washirika wanatukana matusi kabisaaa mbingu ya Nani wataiendea?? Au Ni Mungu yupi wanamuabudu?? Au Ni mafundisho gani , ktk hili umakini unatakiwa Sanaa mbingu si ya wazembe wazembe
Yesu alikuwa mwana wa Mungu kwelikweli, akaishi ubinadam kwelikweli ndiyo maans alitahiriwa na akabatizwa. Utii wa Sheria ni muhimu kuliko kufanya tofauti Ili kuonesha Sheria ni mbaya. Hekima ya Mungu ikuongoze kuliko hasira ya kibinadam
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Kwanini Yesu walimuua kama alikuwa anatii kila sheria. Kwani wamekuambia kuwa hatujatii sheria ipi? Ya kuikana Biblia ili tusajiliwe kishetani? Kuua wacha Mungu ndio kutosha kwenye vyeo vyenu. Mtashindania sana kuua ili mpate vyeo vya ukurugenzi mkuu wa usalama wa taifa.
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Yesu mwenyewe aliuwawa na mafarisayo kama wewe hivyo hatakuwa wa kwanza kuuwawa na hana njia nyingine ya kupita nje na hiyo aliyopita baba yake Yesu.
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
Sasa kwanini walimlukia kwa nia moja wakamu uwa huyo YESU?
Hata haya uliyofanya BABAani makubwa sana kwa nyimbo zako na maneno yako ambayo MUNGU aliyaweka kwako yalinifanya nihame MKOA wa RUKWA na kukufuata wewe haijarishi nilikuwa na nyumba niliiache bado BABA wewe ni wathamani sana kwangu
Hakika Tanzania kuna amani naomba watumishi wa Mungu Tuwe na hekima unajua unaposema serkali mpango wao ni kuwaua ebu acheni sheria mmezisoma wapi ninyi serikali hivi ipo kwaajili hiyo kweli na kama watumishi tafadhali msiwe na majibu ya hovyo hapa ni mtandaoni asa ikiwa comment zenu mnafananisha na waliowasema vibaya mtandaoni nani mcha Mungu sasa na utofauti wa kuokoka ni upi kama hautakua tofauti na wadunia
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Elasto Blaiton. Ni ngumu kujua kwa kuwa yako kwa mwenzio hivyo sio lazima niongee sana
DAH!😪😪😪😪🙏🙏🙏
Mweee ila dhambiii hivi zumaridi na huyu Nani mwenye haki
Jambo dogo tu Toba usilazimisehe dunia ikujue maana dunia ni kigeugeu kumbuka ni wapi ulipoanguaka ukatengeneze utakufa sana
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Wakati wa machawa kusherehekea kwa kuwa mfuga chawa amekataza usafi kwa kutumia majeshi na mahakama. Kumbuka ulipoangukia tukatubu kwa mashetani na machawa kama wewe
Mbalikiwa wa michongo
@angelalphonce9368
Жыл бұрын
Jambo dogo Sana ashuke mbele za Mungu akijilazimisha kuonyesha Ana haki atapoza vingi ikiwemo huduma
ACHANA NA HAYO MASWALA. JIIMBIAGE KAMA ZAMANI, UNASAUTI, NA NYIMBO ZAKO ZINAUPONYAJI, NA KUVUTA WATU WAMKARIBIE MUNGU.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Msingeua mwanangu ndipo mngeleta hayo maushauri. Sasa hapa nijiimbie hizo nyimbo kama nani?
KATIKA YOTE, BADO YUKO MUNGU
Ndiyo maana mtu akiwa raisi basi anakuwa na kisasi kikubwa.
Mnaandika mbarikiwa kwisha mnaamaanisha nini na wakati huu ukurasa ni wa kwenu wenyewe au mnataka kutengeneza pesa kupitia matatizo yenu,, hebu kuweni serious bhn mnatufanya kama watoto wadogo kutuandikia vichwa vya habari visivyoendana na ukweli
@Kamandapendo
Жыл бұрын
Sina uhakika kama hua unafatilia chanel hii /umeisikiliza mpaka MWISHO. But waweza kutumia mawazo YAKO kama upendavyo
@sifawayesu7079
Жыл бұрын
Nyie ndio machawa amba bila hata kusikiliza mnatoa komenti. Kazi yenu ni kuonyesha kama kweli hakuna tatizo ili mtumalize kimya kimya... Acheni ushetani mtakuwa na mwisho mbaya sanaaaa hata kama mtafanikiwa kutuuwa miongoni mwetu.
@modestapeter2997
Жыл бұрын
@Deodat Kasheija si afadhari kutengeneza pesa kwenye tatizo kuliko kutengeneza uchungu? zaidi na aliekufanya mtoto mdogo nani? tumekuja kukugongea kwako kua njoo ututazame? si ni kimbele mbele chako cha kupenda taarifa mbaya?
Kesi iliko mahakamani sidhani km inaruhusiwa kuzungumziwa nje ya mahakama
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Mimi mtu wa mbinguni nimeizunguzia sana na nitaizungumzia hatua zote.
Hivi hao wenye makazu kila siku wanazurula wanafanya kazi saa ngap
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Unawapa nauli wewe ya kwenda kuzurula?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ama wewe unafanya kazi saa ngapi muda wote kuangalia wasiofanya kazi? Lakini je, Wanakula kwako? Wana madeni kama wewe? Wamewahi kukukopa au kuomba msaada kwako? Kama sio basi jua wanafanya kazi zaidi ya kazi yako ya kishetani.
Amen !
Farao na musa, ole wake farao.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👊.
Jifunze vizur biblia muombe Roho mtakatifu akufundishe, Upendo ni amri kuu Yesu kristo alituasa.Jiulize je wewe unawapenda waovu ambao yesu alikufa kwaajil yao?Unapenda kuhukumu kuliko kufundisha tena kwa maneno makali kama watu wa mataifa/ wapagan wasio jua lolote kuhusu Bible.Hebu badilika tumika kama kuhani wa Yesu aliye na unyenyekevu,kujishusha, hekima na upendo wa dhati kwa yeyote hata kama ni mtenda dhabi atabadilika huyo.Unajiona mtakatifu kuliko watumishi wengine ndio maana umeachiwa peke yako hilo jaribu.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ni Mafarisayo tu mnaongea kwa maneno malaini mkidhani ndio tafsiri ya neno hekima kumbe ni njaa ya kutaka sadaka. Ila Yesu aliongea KAMA MWENYE "AMRI" WALA SI KAMA WAANDISHI WAO (MATHAYO 7:29). Hebu tazama waumini wenu na wa kikosi kazi cha Injili. Je wako legelege kama walivyo waumini wenu? Chakula kigumu hutengeneza mtu mgumu.
Mwisho ukaribu sàna Sijui kwa nini Hao wanakusumbua
@gozibertdeogratias5986
Жыл бұрын
Simameni katika maombi lakini nendeni pia kwa viongozi wetu. Kama Tulia, na wengineo
@gozibertdeogratias5986
Жыл бұрын
Hata kwa waziri mkuu
Simba Kocha alikua anakwambia vitu vya maana nakukushauri mambo mazuri ukayapuuza na ukadai anahusika na kifo cha mwanao !!!! Watu wanakushaur mambo mazuri ambayo yatakuweka kwene ubinadamu wewe hutaki unang'ang'ania kufa tu.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Unataka nikuonyeshe ujumbe aliokiri kuwa alihusika na kuua mwanangu? Huko ndio kushauri vitu vya maana. Najua wewe ni huyo. Ila endelea kutukana
@KAMANDAMYAHUDI
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Hapana mimi sihusiki na Simba kocha ila nilikua nikisoma coments zake tu.
@KAMANDAMYAHUDI
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile simba hakukili kua anahusika ila baada yakushauri ukamwita chawa mwana wa joka uzao wa laana ya baba yake. Kiukweli hukupaswa kumjibu vile sisi tumeokoka sasa mashindano yanini ? Baada yahapo nayeye akukujibu ndipo ukapost coment kua wewe unahusika na kuua mwanangu? Akajibu ndyo. Sasa wewe mchungaji kwanini yule umuulize swali kama ilo ? Nahuku unadai walio husika unawajua kwaiyo unataka kutuambie kua waliohusika kumbe huwafamu. Vinginevyo usingemtuhumu simba kua kahusika wakati unadai kua unawajua. Ndpo simba akasema nipeleke mahakamani mtu yoyote mwene Akili atajua kua hawa wawili wote wanahasira wala hakuna userious wowote katika hili nawala sio kigezo cha ushahidi wakumtuhumu simba . kwaiyo nilisoma yote lkn pia nawewe ulikua ukimtakia maneno mazito mno mchungaji kunasehemu simba alikosea sana tu, lkn nawewe ulikosea sana.
@lilyrose7983
Жыл бұрын
@@KAMANDAMYAHUDI Ina maana kumbe alikiri kwa mdomo wake kuwa kauwa?😳
@KAMANDAMYAHUDI
Жыл бұрын
@@lilyrose7983 Mchungaji wa Bwana ebu tuyaache hayo maana hayana maana yoyote. Kiukweli kufiwa kunauma sana hasa pale ambapo umemuwekeza mtoto wako kimaharifa na kiutayari alafu gafla anakatika tu paa!! Asikwambie mtu nayajua maumivu yake ni ngumu kuamini na ningumu sura yake kufutika Usoni hata kama utaongea maneno magumu kiasi gani ? Hata mimi naamini yeyote ambaye lingempata basi asingejari chochote kila mtu angeongea kwa luga ngumu isiyozungumzika lkn Mchungaji mimi nakusihi naamini kua Mungu wako ni Mkuu sana pia hawezi kunyamaza katika hili madamu umeshaongea namaana kuwakumbusha kua katika hili mlilolifanya ijapokua mnahisi kua mmefanyia gizani lkn aminini kwamba yupo Mungu na Mungu haziakiwi inatosha mchungaji palipo baki mpe Mungu nafasi yskufanya itimisho Mchingaji Ngoja nikuambie kunaisemi unasema Sio kila anayejifanya mjinga basi ukazani kua ni mjinga kweli Bali wengine hujifanya wajinga ili wewe unayeamini kua wele ni wajinga basi Uwe mjinga zaidi. Mchungaji imebaki sehemu ya Mungu kujiripiza kisasi kwao nyamaza katika hili ili Bwana achukue nafasi. Mimi sijui utaniweka kwene kundi gani ila niushauri tu, na silazima kuufata endapo hautakua na maana kwako ila hayo nimawazo yangu Mchungaji tunaumia wote katika hili.
Mchungaji wewe unaomba ufungwe lakini tunamuona Salome mkeo anazidi kupendeza ukifungwa ataolewa kabisa amini maana kila siku yeye anbadilika kuwa mzuri na kunenepa hana mawazo yoyote atachukuliwa na wanaume wengine usipokuwa makini
@Mbarikiwa_Mwakipesile
Жыл бұрын
Ndugu Rossa, Sina tamaa kama mliyo nayo , siwezi kuuonyesha mwili wangu kwa mwanaume mwingine kama vile ni kuuza dagaa , alikua wa kwanza na atakuwa wa mwisho na likizazi lenu katili hili. Ulitaka nikonde ndo ujue nina mawazo?
@barakahhawu2324
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile mama nimekuelewa Sana maana wanawake wa ulimwengu huuu wakiona mzee kaaga dunia hapo Sasa ndo pa kujisambazaaa
@barakahhawu2324
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile shujaaaaa wangu wewe si mwanamke kabisaaaaaa wewe Ni jembe la YESU Mimi niliyeshindwa nimeweza kupitia wewe
@mahershalalhashbazi2189
Жыл бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Kama ulichiojibu ndivyo ulivyo u mwamke mwenye akili njema... Umejibu vema sana