Hata uje uchi sio shida kikubwa njoo na sadaka yako mimi ninakazi nayo, Magembe,mke wa Mbarikiwa mm!
Жүктеу.....
Пікірлер: 76
@josemtuga582 күн бұрын
Manabii wa Uongo wanazidi Kuja. Mashoga wanazidi kuzalishwa wawe wengi. Pesa inazidi kupendwa. Tambua huu ndio mwisho wenyewe uliotabiriwa na Mtume Paulo 2Timo 3 :1-
@PeterMahona-zd3ozКүн бұрын
Mungu atusaidi wanadamu hataukukwetu walokole wapentekste nishida
@obadiambilinyi278 күн бұрын
Msichoke kuwaokoa walionaswa na hawa matapeli
@baghabaghaingwengwe17505 күн бұрын
Mch. Magembe , Hananja mama mchungaji Mbarikiwa Mungu azidi kuwapa nguvu ya kusema kweli ya Mungu
@gilbertmahembasise101134 минут бұрын
Haya Ni machafuko au biblia inasema watu wangu tokeni babel msishiriki dhambi zao shida wakristo wengi wao hawasomi biblia na kuielewa wanapenda kusomewa na kudanganywa
@user-ze9vz7up8g8 күн бұрын
Dunia hii tutaona mengi ndiyo tumefika huko
@baghabaghaingwengwe17505 күн бұрын
Tapeli mkubwa huyu lkn kwa kiwango kikubwa amesema ukweli kuwa yeye ni shetani halisi anacho angalia ni sadaka ili afanikiwe
@paulwamoto439816 сағат бұрын
Wewe na shetani,huna tofauti, jua hili kwamba wewe Ni ajenti wa shetani okoka ndugu wa kupotosha watu wa Mungu umepotoka unawapotosha wengine?
@AwaziRajab7 күн бұрын
Mbona Anawambia Kweli Yeye Anataka Sadaka Ajui Neno Waumini Kaeni Pembeni Someni Neno
@ugalidona-cs2yn8 күн бұрын
Kipindi "HIKI" Ni Nyakati Za kujibidiisha Sana Sana katika kuisoma Biblia kwa Tafakari ileile hiliokusudiwa na MUNGU Baba wa Mbinguni. Tusingoje kusomewa kwa Mda mwingi. BALI kwa MDA Mwingi Tujisomee Wenyewe kwa Tafakari ileile hiliokusudiwa toka juu kwa MUNGU.
@BeniJohn-xd3cn2 күн бұрын
Jamani nyie waumini amsikii ni bora kasema ukweli kuwa yeye ni giza kweli kweli
@LatiphaMwanga7 күн бұрын
" ✓kikosi kazi cha injili nawaombea kwa Mungu mfungue channel yenu na mpatikane azam na dstv na muwe na radio yenu ili injili ya kweli ipigwe ✓ kikosi kazi television ★ kikosi kazi fm ★ kikosi kazi pre and primary school ★ kikosi kazi secondary school ✓kikosi kazi university ★kikosi kazi super market ★ mabasi ya kikosi kazi ( arusha mbeya),dar mbeya,nk ★ kikosi kazi chuo cha ufundi ❤ yaani ukweli utasambaa na utafika kila mahali na vijana watamjua kristo🎉
@Life100613 күн бұрын
HAHAHA SASA HAPA DAR ES SALAM UTAPELI UMEKUWA WAZI WAZI
@jacklinakinabo64797 күн бұрын
Tuambie ukweli mama ,usichoke kusema,,,Unajua mm binafsi nashangaa sana,Hivi kweli binadamu hatuoni yanayoendelea kwa baadhi ya watumishi au ndo tushatekwa Ufahamu??Mungu atupe Rehema
@DaimonMwapelele8 күн бұрын
Kweli mpina alisema madaktali wameacha kutibu magonjwa yanayowasumbua watanzania wanatengeza makalio sasa haya ndio matokeo waumin makalio mchungaji makalio
@thobiasmpehe61932 күн бұрын
We dada hapo kwenye pete unauhakika! Muogope Mungu.
@barakaelias1116
Күн бұрын
Pete ndio zimezuiwa hakun ndoa ya Pete kumbuka kwa Adam na Hawa Pete tumezilet sisi kwa uovu wetu
@daltonpaul58383 күн бұрын
Haya hubiri dhambi baba hii dunia inahitaji MUNGU aiponye eti sihubiri utakatifu ee YESU tuokoe
@gilliansiara33243 күн бұрын
Ni kipengele kweli kumtoa mtu dhambini,mbona familia zetu ,zimetudhinda????hapo mwingine anasema wakati wa bwana bado Bora kiboko kasema ukweli,ukilivuruga ni wewe,hajakwita
@SmilingBubbleTea-vm3nz3 күн бұрын
Kunamdada alitabiriwa nanabii wa uongo mpaka sasa anateseka
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi5 күн бұрын
Be blessed Mom Mbarikiwa
@nicholaussteven31887 күн бұрын
well said Mama.
@BeathaChambo4 күн бұрын
Hii Kali ya mwaka
@FestoMbwilo-xf9px6 күн бұрын
Mungu atusaidie
@SmilingBubbleTea-vm3nz3 күн бұрын
Ni kweli manabii wengi ni wachawi
@bonifasiemanueli218 күн бұрын
i la kwa kweli mnachekesha sana,kumbe kwenye mtandanao kumenoga ila hongera mama kiukweli umenifurahisha sana,natamani nikutumie hâta vocha au M,b ulizotumia kulisha hii clipu,😅😅😅😅😅
@medionndagijimana91838 күн бұрын
Kama unaji Krim
@user-do1ug7de3g6 күн бұрын
Ukweli Mungu atuvushe salama 2024 maana Tanzania kumetokea mambo ya ajabu
@user-wu7sy6dp2o8 күн бұрын
😂😂😂😂 kwakweli mungu tu atunusur
@titojb47038 күн бұрын
Watu mtadanganywa mpaka lini kwa huo uongo, jamaa anajieleza kabisa kuwa yeye shida yake nini tu bado mnasema ameni. Poleni tu wakati wa kufunguliwa uukaribu.
@victorianchimbi8640
6 күн бұрын
Umeona watu walivyoshikwa masikio na bado wamekaa wametulia tu, huu ujinga uliopitilizs
@DativaMbowe
4 күн бұрын
@@victorianchimbi8640😂😂😂😂😂
@gilbertmtey96334 күн бұрын
Shetani anazunguka kwa Kasi tumwombe mungu sana
@user-rl5qu4zj9b7 күн бұрын
Ila wahumini kila kitu Aminaaa
@tinnahagustinolyelu42477 күн бұрын
Mmmm mtihani
@SuzannaNdege-pj9zg8 күн бұрын
Kwa kweli ni hatari sana mama yaani inasikitisha sana.
@GbpAud_King4 күн бұрын
Huyu mchungaji kumuona ni 500,000 unajaza fomu. Ni tapeli
@mnyakyusambunifu1437 күн бұрын
Hata Mimi Mnyakyusa Mbunifu Kanivuruga Yaani Huyu Ni Ajenti wa Kuzimu Hata Wanao Shangilia Mimi Naona Nimapepo Siamini Kama Niwatu Wakawaida
@AnnaMbossa7 күн бұрын
Kanisa bado linamichepuko nini maana ya wokovu sasa hapo ni kwa mganga au
@jeanmusamba844821 сағат бұрын
mahubiri yote ya biblia ni ili watu wawe watakatifu sio wakuletee sadaka wewe chipumbule kalime upate hela
@MarcoIsaya4 күн бұрын
Huundio mwanzo wa dunia kupinduka mengi yataonekana zaidi ya haya
@angulileelectrical63687 күн бұрын
Kiboko ya wachawi bila shaka katumwa na shetani
@obadiajuma4368 күн бұрын
Uyo aja waikua Mtumishi nimwizi wakawaida
@Hapomwanzo8 күн бұрын
Siku hizi shetani yuko live, hajifichi tena
@sarabura89338 күн бұрын
Kwakweli sasahivi ni MUNGU wa mbinguni tu aingilie kati nawaonea huruma hawa ambao wanaokoka kipindihiki manabii wauwongo wameja sijui watoto wa MUNGU wanaponea wapi jamani kweli yani hata aibu hakuna mtuanaona kabisa arafu bado anafurahia na kupiga makofi yani ufahamu umefungwa kiasi hicho mtuanafuraiya eti anauwa wachawi na uku mwenyewe apo alipo amerogwa na kufungwa ufahamu macho wanayo ila hawaoni masikia wanayo ila hawasiki hawaelewi eeeeh MUNGU wangu kuna muda mtu unatamani uwe na dunia hivi nauliza inamana hayamambo kabisa serikali haiyoni basi nisema tu kwa stahir hii shetani ndie anayeongoza inchi hii na ndio mana manyanyaso yamezidi haiwezekani mtu pamoja uwongo wote unaofanywa na hao watu selikali imekaa kimya ila watu wakiaongea ukweli ooh anapotosha ila watu kuwa na hakili ila hazifanyi kazi hawalioni ilo jamani sijui hata kwanini nililetwa kwenye dunia hii ila najua MUNGU wangu atanishindia
@TheMakala217 күн бұрын
Mama mchungaji mimi nadhani kitu peke kama wazazi tunatakiwa kuimiza kizazi chetu kukazana katika kufanya kazi na kuitafuta sana elimu hii itasaidia katika kutokomeza hizi imani potofu(za kichawi) ambazo manabii wengi wanazitumia kama mtaji wao wa kujipatia pesa kwa kutumia biblia!
@Mbarikiwa_Mwakipesile
7 күн бұрын
Nchi za Afrika na hasa kwetu Tanzania hakuna mazingira ya mtu kufanya kazi kwa bidii na uhuru kwa sababu mifumo ya utawala inaharibi mipango na molali wa anayetaka kufanya hivyo.
@datiusdidas81555 күн бұрын
Waacheni wafanye,kwasababu watu wamechoka story za biblia,wanataka uthibitisho wa Mungu unaemuhubili,maana vipo vitabu vingi vya imani, kama unasema yale ni ya uongo,usiishie tu kusema tuonyeshe ya kweli,na kama jamba Cha kuonesha waa ao ambao wanacho Cha kuonesha waoneshe.
@designdesign44267 күн бұрын
Hizi dini zinasarakasi jina layesu linatumika kutapelia watu na biblia alf wanaolitumia hilojina na biblia hawazuliki wananenepa magari yakifahariwanatembelea .mm huwa nasema biblia imetungwa na wazungu waelewa kuja kukontroo akili za watu weusi ndo km apo wengine washakua wehu wafia dini ila nisiseme mengi itoshe kusema mungu akikupa ufaham nineema tosha sio kujua maandiko ya wazungu biblia
@@user-nb6yh2bn9yKICHWA KIGUMU SANA KUELEWA KAZIII!! HADI SASA HUELEWI PORE
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg8 күн бұрын
Wahubiri wengi tumegundua wanatafuta viewers ili wapate pesa.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
8 күн бұрын
Na wewe una comment ili iweje?
@ugalidona-cs2yn
8 күн бұрын
We Unataka "HAKI" au Unataka Viwers?.
@jacklinakinabo6479
7 күн бұрын
Huna adabu wew
@elishadodi8787
7 күн бұрын
Wewe unapokoment unatafuta nini kama wao wanatafuta viewers?
@happyfihavango41518 күн бұрын
Wewe na mme wako fanyeni yenu nyie mmeishiwa jumbe
@Mbarikiwa_Mwakipesile
8 күн бұрын
Ungeanza wewe kufanya yako usitufuatilie tusiofuata yetu.
@user-le6jm2tf5y
8 күн бұрын
Pumbavu zako ww uliitwa kwenye hii channel?? Kauze makalio huko
@user-le6jm2tf5y
8 күн бұрын
Mjinga wewe kafanye Yako mwenyew kenge madoa ww
@user-le6jm2tf5y
8 күн бұрын
Mjinga wewe kafanye Yako mwenyew kenge madoa ww
@ugalidona-cs2yn
8 күн бұрын
Kwani Wewe hapa Umekuja kufanya ya Nani?.
@farajangwema46633 күн бұрын
Wachungaji wote hapo ni matapeli ila tu huyo kiboko ya wachawi kafunua utapeli wake Kwa wazi wazi lakini hakuna mkweli hapo hata mmoja Tena Bola huyo kiboko ya wachawi anaongea ukweli lakini hao wengine ni kondoo walio vaa miba ndani Huwezi kuelewa utaelewa wakati ukifika.
@geitandelwa2998 күн бұрын
Watoke kabisa wajinga kweli uchungaji wameona ndio kazi laisi ole wao
@jorambranchofmud62998 күн бұрын
Na wapumbavu wanasidi kusema amina washenzi kabisa
Пікірлер: 76
Manabii wa Uongo wanazidi Kuja. Mashoga wanazidi kuzalishwa wawe wengi. Pesa inazidi kupendwa. Tambua huu ndio mwisho wenyewe uliotabiriwa na Mtume Paulo 2Timo 3 :1-
Mungu atusaidi wanadamu hataukukwetu walokole wapentekste nishida
Msichoke kuwaokoa walionaswa na hawa matapeli
Mch. Magembe , Hananja mama mchungaji Mbarikiwa Mungu azidi kuwapa nguvu ya kusema kweli ya Mungu
Haya Ni machafuko au biblia inasema watu wangu tokeni babel msishiriki dhambi zao shida wakristo wengi wao hawasomi biblia na kuielewa wanapenda kusomewa na kudanganywa
Dunia hii tutaona mengi ndiyo tumefika huko
Tapeli mkubwa huyu lkn kwa kiwango kikubwa amesema ukweli kuwa yeye ni shetani halisi anacho angalia ni sadaka ili afanikiwe
Wewe na shetani,huna tofauti, jua hili kwamba wewe Ni ajenti wa shetani okoka ndugu wa kupotosha watu wa Mungu umepotoka unawapotosha wengine?
Mbona Anawambia Kweli Yeye Anataka Sadaka Ajui Neno Waumini Kaeni Pembeni Someni Neno
Kipindi "HIKI" Ni Nyakati Za kujibidiisha Sana Sana katika kuisoma Biblia kwa Tafakari ileile hiliokusudiwa na MUNGU Baba wa Mbinguni. Tusingoje kusomewa kwa Mda mwingi. BALI kwa MDA Mwingi Tujisomee Wenyewe kwa Tafakari ileile hiliokusudiwa toka juu kwa MUNGU.
Jamani nyie waumini amsikii ni bora kasema ukweli kuwa yeye ni giza kweli kweli
" ✓kikosi kazi cha injili nawaombea kwa Mungu mfungue channel yenu na mpatikane azam na dstv na muwe na radio yenu ili injili ya kweli ipigwe ✓ kikosi kazi television ★ kikosi kazi fm ★ kikosi kazi pre and primary school ★ kikosi kazi secondary school ✓kikosi kazi university ★kikosi kazi super market ★ mabasi ya kikosi kazi ( arusha mbeya),dar mbeya,nk ★ kikosi kazi chuo cha ufundi ❤ yaani ukweli utasambaa na utafika kila mahali na vijana watamjua kristo🎉
HAHAHA SASA HAPA DAR ES SALAM UTAPELI UMEKUWA WAZI WAZI
Tuambie ukweli mama ,usichoke kusema,,,Unajua mm binafsi nashangaa sana,Hivi kweli binadamu hatuoni yanayoendelea kwa baadhi ya watumishi au ndo tushatekwa Ufahamu??Mungu atupe Rehema
Kweli mpina alisema madaktali wameacha kutibu magonjwa yanayowasumbua watanzania wanatengeza makalio sasa haya ndio matokeo waumin makalio mchungaji makalio
We dada hapo kwenye pete unauhakika! Muogope Mungu.
@barakaelias1116
Күн бұрын
Pete ndio zimezuiwa hakun ndoa ya Pete kumbuka kwa Adam na Hawa Pete tumezilet sisi kwa uovu wetu
Haya hubiri dhambi baba hii dunia inahitaji MUNGU aiponye eti sihubiri utakatifu ee YESU tuokoe
Ni kipengele kweli kumtoa mtu dhambini,mbona familia zetu ,zimetudhinda????hapo mwingine anasema wakati wa bwana bado Bora kiboko kasema ukweli,ukilivuruga ni wewe,hajakwita
Kunamdada alitabiriwa nanabii wa uongo mpaka sasa anateseka
Be blessed Mom Mbarikiwa
well said Mama.
Hii Kali ya mwaka
Mungu atusaidie
Ni kweli manabii wengi ni wachawi
i la kwa kweli mnachekesha sana,kumbe kwenye mtandanao kumenoga ila hongera mama kiukweli umenifurahisha sana,natamani nikutumie hâta vocha au M,b ulizotumia kulisha hii clipu,😅😅😅😅😅
Kama unaji Krim
Ukweli Mungu atuvushe salama 2024 maana Tanzania kumetokea mambo ya ajabu
😂😂😂😂 kwakweli mungu tu atunusur
Watu mtadanganywa mpaka lini kwa huo uongo, jamaa anajieleza kabisa kuwa yeye shida yake nini tu bado mnasema ameni. Poleni tu wakati wa kufunguliwa uukaribu.
@victorianchimbi8640
6 күн бұрын
Umeona watu walivyoshikwa masikio na bado wamekaa wametulia tu, huu ujinga uliopitilizs
@DativaMbowe
4 күн бұрын
@@victorianchimbi8640😂😂😂😂😂
Shetani anazunguka kwa Kasi tumwombe mungu sana
Ila wahumini kila kitu Aminaaa
Mmmm mtihani
Kwa kweli ni hatari sana mama yaani inasikitisha sana.
Huyu mchungaji kumuona ni 500,000 unajaza fomu. Ni tapeli
Hata Mimi Mnyakyusa Mbunifu Kanivuruga Yaani Huyu Ni Ajenti wa Kuzimu Hata Wanao Shangilia Mimi Naona Nimapepo Siamini Kama Niwatu Wakawaida
Kanisa bado linamichepuko nini maana ya wokovu sasa hapo ni kwa mganga au
mahubiri yote ya biblia ni ili watu wawe watakatifu sio wakuletee sadaka wewe chipumbule kalime upate hela
Huundio mwanzo wa dunia kupinduka mengi yataonekana zaidi ya haya
Kiboko ya wachawi bila shaka katumwa na shetani
Uyo aja waikua Mtumishi nimwizi wakawaida
Siku hizi shetani yuko live, hajifichi tena
Kwakweli sasahivi ni MUNGU wa mbinguni tu aingilie kati nawaonea huruma hawa ambao wanaokoka kipindihiki manabii wauwongo wameja sijui watoto wa MUNGU wanaponea wapi jamani kweli yani hata aibu hakuna mtuanaona kabisa arafu bado anafurahia na kupiga makofi yani ufahamu umefungwa kiasi hicho mtuanafuraiya eti anauwa wachawi na uku mwenyewe apo alipo amerogwa na kufungwa ufahamu macho wanayo ila hawaoni masikia wanayo ila hawasiki hawaelewi eeeeh MUNGU wangu kuna muda mtu unatamani uwe na dunia hivi nauliza inamana hayamambo kabisa serikali haiyoni basi nisema tu kwa stahir hii shetani ndie anayeongoza inchi hii na ndio mana manyanyaso yamezidi haiwezekani mtu pamoja uwongo wote unaofanywa na hao watu selikali imekaa kimya ila watu wakiaongea ukweli ooh anapotosha ila watu kuwa na hakili ila hazifanyi kazi hawalioni ilo jamani sijui hata kwanini nililetwa kwenye dunia hii ila najua MUNGU wangu atanishindia
Mama mchungaji mimi nadhani kitu peke kama wazazi tunatakiwa kuimiza kizazi chetu kukazana katika kufanya kazi na kuitafuta sana elimu hii itasaidia katika kutokomeza hizi imani potofu(za kichawi) ambazo manabii wengi wanazitumia kama mtaji wao wa kujipatia pesa kwa kutumia biblia!
@Mbarikiwa_Mwakipesile
7 күн бұрын
Nchi za Afrika na hasa kwetu Tanzania hakuna mazingira ya mtu kufanya kazi kwa bidii na uhuru kwa sababu mifumo ya utawala inaharibi mipango na molali wa anayetaka kufanya hivyo.
Waacheni wafanye,kwasababu watu wamechoka story za biblia,wanataka uthibitisho wa Mungu unaemuhubili,maana vipo vitabu vingi vya imani, kama unasema yale ni ya uongo,usiishie tu kusema tuonyeshe ya kweli,na kama jamba Cha kuonesha waa ao ambao wanacho Cha kuonesha waoneshe.
Hizi dini zinasarakasi jina layesu linatumika kutapelia watu na biblia alf wanaolitumia hilojina na biblia hawazuliki wananenepa magari yakifahariwanatembelea .mm huwa nasema biblia imetungwa na wazungu waelewa kuja kukontroo akili za watu weusi ndo km apo wengine washakua wehu wafia dini ila nisiseme mengi itoshe kusema mungu akikupa ufaham nineema tosha sio kujua maandiko ya wazungu biblia
Wito wenu ni kuchambua watumishi wa mungu?
@user-nb6yh2bn9y
4 күн бұрын
Pumbavu tokapa shetani WeWe ulaniwe nawachungaji wako hao 😡😡😡
@DativaMbowe
4 күн бұрын
@@user-nb6yh2bn9y😂😂
@FestoJemsi-lr8pw
Күн бұрын
Kichwa kigumu wewe Hadi sasa huelewi 😂
@FestoJemsi-lr8pw
Күн бұрын
@@user-nb6yh2bn9yKICHWA KIGUMU SANA KUELEWA KAZIII!! HADI SASA HUELEWI PORE
Wahubiri wengi tumegundua wanatafuta viewers ili wapate pesa.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
8 күн бұрын
Na wewe una comment ili iweje?
@ugalidona-cs2yn
8 күн бұрын
We Unataka "HAKI" au Unataka Viwers?.
@jacklinakinabo6479
7 күн бұрын
Huna adabu wew
@elishadodi8787
7 күн бұрын
Wewe unapokoment unatafuta nini kama wao wanatafuta viewers?
Wewe na mme wako fanyeni yenu nyie mmeishiwa jumbe
@Mbarikiwa_Mwakipesile
8 күн бұрын
Ungeanza wewe kufanya yako usitufuatilie tusiofuata yetu.
@user-le6jm2tf5y
8 күн бұрын
Pumbavu zako ww uliitwa kwenye hii channel?? Kauze makalio huko
@user-le6jm2tf5y
8 күн бұрын
Mjinga wewe kafanye Yako mwenyew kenge madoa ww
@user-le6jm2tf5y
8 күн бұрын
Mjinga wewe kafanye Yako mwenyew kenge madoa ww
@ugalidona-cs2yn
8 күн бұрын
Kwani Wewe hapa Umekuja kufanya ya Nani?.
Wachungaji wote hapo ni matapeli ila tu huyo kiboko ya wachawi kafunua utapeli wake Kwa wazi wazi lakini hakuna mkweli hapo hata mmoja Tena Bola huyo kiboko ya wachawi anaongea ukweli lakini hao wengine ni kondoo walio vaa miba ndani Huwezi kuelewa utaelewa wakati ukifika.
Watoke kabisa wajinga kweli uchungaji wameona ndio kazi laisi ole wao
Na wapumbavu wanasidi kusema amina washenzi kabisa