YUKO WAPI MLINZI WA MAGUFULI?
Wakati enzi za utawala wa Rais DK John Pombe Magufuli katika timu ya walinzi nyuma yake alisimama mtu mmoja makini sana, mtu ambaye mbali na kutoongea chochote kile lakini alipendwa na kujizolea umaarufu mkubwa nchini. Mtu huyu alisifika kwa umakini wake na sura ya kibantu iliyoonekana kuwa makini na kazi yake.
Пікірлер: 9
Pamoja san mkuu
Good job
aishi sn mwamba huyu!!
Karudi kwao
jamaa nilimpenda sn huyo alikuwa anajua kazi yake haswaaa
Siyo mlinzi ni mpambe
Ufala surA inawatia kiwewe acheni ujinga ila kwakuwa mnatakaka views ok ila mnafanya ushambA
Natamani kumuona lakini siamini kama ataonekana tena
@chrismzia
Ай бұрын
Yupo mbona,nimtu sipo sana hanamakuu na mtuu