YUKO WAPI MLINZI WA MAGUFULI?

Wakati enzi za utawala wa Rais DK John Pombe Magufuli katika timu ya walinzi nyuma yake alisimama mtu mmoja makini sana, mtu ambaye mbali na kutoongea chochote kile lakini alipendwa na kujizolea umaarufu mkubwa nchini. Mtu huyu alisifika kwa umakini wake na sura ya kibantu iliyoonekana kuwa makini na kazi yake.

Пікірлер: 9

  • @mgenifilm
    @mgenifilmАй бұрын

    Pamoja san mkuu

  • @mrenjoyfootball8403
    @mrenjoyfootball8403Ай бұрын

    Good job

  • @poyomakomba5634
    @poyomakomba563421 күн бұрын

    aishi sn mwamba huyu!!

  • @SalehKatto
    @SalehKatto16 күн бұрын

    Karudi kwao

  • @poyomakomba5634
    @poyomakomba563421 күн бұрын

    jamaa nilimpenda sn huyo alikuwa anajua kazi yake haswaaa

  • @leonarddamian
    @leonarddamianАй бұрын

    Siyo mlinzi ni mpambe

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph6320Ай бұрын

    Ufala surA inawatia kiwewe acheni ujinga ila kwakuwa mnatakaka views ok ila mnafanya ushambA

  • @flaviankitowa5439
    @flaviankitowa5439Ай бұрын

    Natamani kumuona lakini siamini kama ataonekana tena

  • @chrismzia

    @chrismzia

    Ай бұрын

    Yupo mbona,nimtu sipo sana hanamakuu na mtuu