WAZIRI SILAA ASIMAMISHA KAZI MAAFISA ARDHI DODOMA, WAUZA MAENEO YA KANISA, ATOA NOTICE WATU KUHAMA

Пікірлер: 69

  • @thomastemu3332
    @thomastemu33327 ай бұрын

    Asante mungu asante mm samia kwa kumchagua waziri wa ardhi yuko makini sana

  • @dennymkumbala5748
    @dennymkumbala57487 ай бұрын

    Nafikilia San waliojenga daaa na maisha yalivo magumu sijui unaweza kufa😭 mweshimiwa waangalieni wananchi wenu kama ina wezekana kanisa wapewe sehem nyingine na hao wafanyakazi wezi wafukuzwe kazi maoni yangut🙏

  • @thomasmallya2972

    @thomasmallya2972

    7 ай бұрын

    Apana tutakua tunalea wiz thuluma awa walio jenga ni viongoz ndio maana jamaa anakua na nguvu

  • @selector728

    @selector728

    Ай бұрын

    Nafikiria sio nafikilia

  • @marypeter7209
    @marypeter72097 ай бұрын

    Kwa kweli nakuomnea mungu akupe maisha marefu mtetezi wa wanyonge

  • @mathiassalamba7328
    @mathiassalamba73287 ай бұрын

    Yaani wewe waziri Mungu akubariki sana njoo na Shinyanga kuna dhuruma ya viwanja

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya85617 ай бұрын

    Mungu akusaidiyi Mheshimiwa slaa . Endelea kushughuli na wa ovu

  • @WatsonMwaigaga-uy5jk
    @WatsonMwaigaga-uy5jk7 ай бұрын

    Tunashukuru MUNGU awabariki

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74387 ай бұрын

    Tunafurahi hii mitandao ya Jamii inasaidia sanaaaa kila kitu hadharani Mungu ahsante na bado wengi watajiondoa wenyewe Ccm kwa kuuza bandari zetu za bara na ahsante Ssuti ya watu ambayo ni Sauti ya Mungu Tec na Sauti ya Watanzania Dr Slaa Nwambukusi Mdude na wengineo pamoha wameteswa sanaaaa Mungu atatoa jibu tu

  • @jeniphagabriel7262
    @jeniphagabriel72626 ай бұрын

    Mungu akutunze na akuweke viwango vya juu zaidi.

  • @thomassalvatory7905
    @thomassalvatory79053 ай бұрын

    ndugu yangu jerry uko sawa sana sana ila watu hawapendi jilinde ndugu yangu nchi hizi ni hatari ila safi sana una umagu kwa mbali

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo5777 ай бұрын

    Huyu ni mbunge wa ukonga lakini kule kivule frem kumi ambapo kuna hospitali ya wilaya ya amana barabara ni mbovu mbovu sjui anatusaidiaje

  • @lameckbuya7569
    @lameckbuya75697 ай бұрын

    Huko chunya hii ndio kawaida Yao Ani viongozi wanagawana na kutunukiana viwanja vya raia kama maembe 2 my country people

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli39747 ай бұрын

    Sasa wameamia Dom Maafisa Ardhi dhulma sana wametudhulumu Ardhi sana Dar sasa zam ya Dom

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq7 ай бұрын

    Rukuvi alikuwa Moja na mafuru

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74387 ай бұрын

    kila Sekta hovyo kabisa tumeichoka awamu hii ajabu kazi kujaza mijizi tu ya awamu ya nne

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles93987 ай бұрын

    Mungu akutangulie Daima Mungu Akutangulie

  • @ellymaz2187
    @ellymaz21877 ай бұрын

    Mafuru hastahili kuendelea kuishi

  • @anthonykyoma294
    @anthonykyoma2947 ай бұрын

    Tumuombee kiongozi huyu maana yeyote anayejaribu kusimamia haki Huwa na vita Kali sana tusifurahi tu tumwombee

  • @eazyentertainment5570
    @eazyentertainment55707 ай бұрын

    asante Mh ila hapo naona hauja solve tatizo la huo mgogoro ulichofanya ni kuhamisha kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na hao jamaa wamenunua kihalali kwahio watawka injuction na hakutakuwa na mmiliki halali mgogoro utaendelea

  • @edwardmkwelele

    @edwardmkwelele

    7 ай бұрын

    Of point kabisa, hiyo ARDHI ILIKUWA ya hao walalamikaji kisheria na haikufutwa kisheria so hao wamepoteza hiyo HAKI ya kumiliki hawatakuwa na MGoGORO wowote, MWENYE HAKI kisheria ya kufuta hati ya ARDHI ni rais tu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74387 ай бұрын

    Kazi kutujazia Waarabu waliwatesa Mababu zetu kwenye uyumwa sasa wanataka turudi utumwani tena wakawapeleke Hukohuko zanzibar Utwala gani huu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74387 ай бұрын

    Mnakumbuka shuka kumekucha Serikali yetu kiboko warudishieni Wamasai Ardhi yao ya Loliondo dhuluma zimezidi kila srkta Tutamkumbuka sanaaaa Hayati Magufuli mmewashika watu wasema ukweli wanasheria kuwatesa kuwaua kuwasingizia kesi za kila aina sasa mnaona uchaguzi unakaribia ndiyo mnaanza kufuatilia inshallah Mungu atawalani tu tu na uonevu wenu wa Haki za Binadamu

  • @shukranitawa4668
    @shukranitawa46687 ай бұрын

    Mungu una ishi.

  • @user-xy9tn1rr3d
    @user-xy9tn1rr3d7 ай бұрын

    Muheshimiwa tumevunjiwa nyumba zetu kimara stop over kwa ajili ya kupisha ujenzi wa barabara leo hii anapewa mtu eneo anajenga shell je hiyo ni sheria

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo44607 ай бұрын

    IGNORANCE OF LAW IS NOT EXCUSE!

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64647 ай бұрын

    Wataalam wako sahihi.... Mae neo mengi yamehodhiwA na taasisi za kidini na zimekaa wazi pasipo matumizi.... Matumizi yaweza kubadilishwa na wataalamu.... Nini maana ya taaluma..... Shida ni uwazi haupo maofsini na ushirikishwaji wa wananchi

  • @gililwise
    @gililwise7 ай бұрын

    Jamani naombeni no za Mh Aweso.kuna ubadhirifu Morowasa wamekarabati tank la wananchi tulilojenga kwa nguvu zetu na pia wamearibu miundombinu ya maji kata ya bigwa Morogoro wakati tuna vibali halali vya kumiliki maji.

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk7 ай бұрын

    Hilo ni Kanisa piga hesab watu wa hali ya chin

  • @dignakanje4508
    @dignakanje45087 ай бұрын

    Dodoma kuhusu ardhi mweshimiwa nishida.Watu wanabadilisha hti kwenda kwamtu mwingine,

  • @samochristopherroche9953
    @samochristopherroche99537 ай бұрын

    Sasa wao wanakosa gani kumilikishwa???

  • @user-fg2he3dc8s
    @user-fg2he3dc8s4 ай бұрын

    Kwani haiwezekan hao watu waliojenga apo wakajichanga na kununua Eno jingne kwaajili ya kanisa maaana kubomoa izo nyumba 😢

  • @charlesbii6749

    @charlesbii6749

    3 ай бұрын

    Mbona hao wawekezaji hawakutafuta pahali pengine?

  • @thomassalvatory7905
    @thomassalvatory79053 ай бұрын

    kunyooosha watu kwenye mstari tungekuwa na mawaziri kama sita tuu nakuhakikishia watu wanaweza wakasema nchi isiwe na raisi iwe inaongozwa na mawaziri wanasimamiwa na waziri mkuu

  • @bjshio3249
    @bjshio32497 ай бұрын

    Kwa huo uamuzi mgogoro haujaisha. Waliojenga wana ramani nyingine na waliodhulumiwa na wana ya kwao.

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi36657 ай бұрын

    Tatizo mnawasimamisha na kuwahamishia sehemu nyingine, sasa mnategemea nini?😂😂😂😂😂

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k7 ай бұрын

    Tabia ya rushwa na dhuluma ni tabia ya watendaji karibu wote wa serikali ya ccm

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq7 ай бұрын

    Saaaaafiiiii saaaaaana waziri nyoooosha rula

  • @danielkanso
    @danielkanso7 ай бұрын

    Viongozi wengi wanalindana huko hivyo hata hiyo eneo la kanisa wamehusika wengi wao

  • @truehope2746
    @truehope27467 ай бұрын

    Bado fuatilia na kanisa la viziwi ihumwa ambayo ni jamii maalumu lakini wameuza wakishirikiana na mkurugenzi mafuru.njoo na ndachi uone

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni89977 ай бұрын

    ASITOE AGIZO LA MDOMO ATOE LA BARUA ILI AJIKOMITI.HATA WATAKAO ENDA MAHAKAMANI.WAWE NA NGUVU.

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d7 ай бұрын

    Mwashimiwa yupo fadhili WA mkuu WA idara ni mtuu Atari Kwa wilaya ubungo

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence18127 ай бұрын

    Yasiwe hivii Kwa uchaguzi kukaribia tu

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh7 ай бұрын

    Kama sehem imeshajemgwa na Raia amekaa serekali itumie hekma na kuona kua kuna namna ya kufanya ili watu wasiharibiwe mali zao maana mkosaji hapa ni serekali wenyewe

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61247 ай бұрын

    Ardhi shida bado ipo pale pale hapo dar ndio usiseme nenda Rudi mpk basi, tunammis Dana Lukuvi

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula7 ай бұрын

    Mh. Ni kufuuzwa kazi. Kanisa wape eneo linguine watusiwatie hasara . Fukuda.kazi hao watumishi wa.ardhi

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba96287 ай бұрын

    Dah apa nimemukumbuka muzee wetu rukuvi

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh7 ай бұрын

    Hao ni watendaji wenu kama serekali mliwaamini kama wameharibu serekali inatakiwa iwajibike maana wao ndio wameweka watu wasio sahihi mimi kama raia nimenunua kiwanja na kupewa hati miliki serekalini sasa mnaniambiaje nilipojenga sipo sahihi

  • @user-lw4hr8xh6v

    @user-lw4hr8xh6v

    4 ай бұрын

    Swali nzuri sana

  • @justusndyamukama4808
    @justusndyamukama48087 ай бұрын

    Katika hili tutamkubuka sana Rukuvi

  • @NardhisMhagama-sy3eq

    @NardhisMhagama-sy3eq

    7 ай бұрын

    Rukuvi na mafuru ni wamoja

  • @answaridinmgera8

    @answaridinmgera8

    7 ай бұрын

    ​@@NardhisMhagama-sy3eqkabisa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74387 ай бұрын

    Viongozi wameiharibu Ccm chama cha Mwalimu nyerere na karume inejaa mijizi tu tumeichoka kabisa

  • @billgussy6099
    @billgussy60997 ай бұрын

    Kumfukuza mtu kazi mpaka uite press?

  • @josephatjohn655
    @josephatjohn6557 ай бұрын

    Uyo jamaa kajenga gorofa kabisa ukute alionga kukipata kiwanja sasa anaenda kuvunja sasa gorofa lote

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa97327 ай бұрын

    Damage ya mtu mmoja tuu

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo44607 ай бұрын

    HUU UCHAFU ULITAKIWA UFANYIKE MIKOANI NA SI IKULU. "IKULU NI MAHALI PATAKATIFU."

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo44607 ай бұрын

    NA HAPA NDIPO SERIKALI YA MAMA SAMIA INAPOKAA, LAKINI HUU UCHAFU UNAFANYIKA HIVYO!

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo21167 ай бұрын

    Mabula was incompetent

  • @joojombi2341
    @joojombi23417 ай бұрын

    Wizi mtupu huo cjui wanapataje usingizi kwa dhuluma kwakweli

  • @benezethbaruti1463
    @benezethbaruti14637 ай бұрын

    Nayeye asimame kazi maana maeneo yote katika jimbo lake barabara hazipitiki magole, mwana gati, kitunda, kivule msongola,, bomba mbili sasa hivi nauli daradara 2,000.

  • @AlfarouqIslamic

    @AlfarouqIslamic

    7 ай бұрын

    Sio daradara ndugu,ni daladala

  • @benezethbaruti1463

    @benezethbaruti1463

    7 ай бұрын

    @@AlfarouqIslamic asante ndugu, ujumbe ufike huku tuna teseka.

  • @user-zs2gx2xh9j
    @user-zs2gx2xh9j7 ай бұрын

    Haki imetendeka

  • @methuselamiligo614
    @methuselamiligo6147 ай бұрын

    Hawa jamaaaaaaaaaaaaa wameona tunakaribia uchaguz ndio wanakomaaaaaaa

  • @NDEWARA

    @NDEWARA

    7 ай бұрын

    Kwa hiyo Ulikuwa unashauri waache huu upuuzi uendelee?

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo747 ай бұрын

    Mbona unatoa mamuzi apo kwaapo kwengine autowi mamzi unaupendereo nyau wewe

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele7 ай бұрын

    Dodoma ni fujo tupu ya ardhi

Келесі