WAZIRI MKUU AKUTA MADUDU BWALO LA MILIONI 774, AMSIMAMISHA KAZI MHANDISI "MKURUGENZI MSTAAFU AITWE"

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo ambayo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule hiyo
Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika.
Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774 na wamekwishatumia sh. milioni 341 hadi kufikia hatua ya linta ambayo ni sawa na asilimia 40 ya ujenzi wake.
Aagiza asimamishwe kazi kupisha uchunguzi, yumo pia Mkurugenzi Mstaafu wa Halmashauri aliyestaafu mwezi Aprili mwaka huu, ambapo Mheshimiwa Majaliwa aagiza aitwe na ahojiwe.
Mheshimiwa Majaliwa yupo mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi.

Пікірлер: 135

  • @PH-hg2vn
    @PH-hg2vn12 күн бұрын

    Napenda sana Waziri Mkuu anavyofanya kazi, hivi ndo mawaziri wote wanatakiwa kufanya, hii nchi inatakiwa upelekwe hivyo, nipeni miezi 6 tu nisimamie engineers

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya535514 күн бұрын

    Jukumu la ujenzi wangepewa JKT hao jamaa wanakula sana pesa za serikali wanaturudisha nyuma

  • @user-dk6lw9co5n
    @user-dk6lw9co5n14 күн бұрын

    Majaliwa Nakuamini sana, sina shaka na uzalendo wako ulio tukuka

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa620614 күн бұрын

    Asante Mh,Waziri,kodi zenyewe tunalipa kimaumivu sana,mpaka vimitaji vimepukutika,halafu wao michenji kibao wanaficha mifukoni mwao.

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    14 күн бұрын

    Asante yako haisaidii tatizo watanzania wenyewe hawamjui adui yao

  • @MnubiMm

    @MnubiMm

    13 күн бұрын

    ​@@nsajigwamwakalonge5702wewe unemjua usiingilie Uhuru wa Maoni ya watu huo ni Mtazamo wako Wala sio uhalisia uliopo haya mambo sio Kama wewe unavyofikili labda ungekuwa uliwahi hata kusimamia mradi hata wakwako tu ndio ungejua haya mambo lakini huku kupingapinga tu mladi haki unayo na Uhuru wa Maoni

  • @deniccgabriel6153

    @deniccgabriel6153

    13 күн бұрын

    We ujielewi unashukulu kwa kip tangu Waziri anasema kunamabadiliko?na kwanini yanajiludia kilasiku

  • @shadrackdeogratius6760
    @shadrackdeogratius676014 күн бұрын

    Kazi za serikali ni za ajabu sana,kwanza watumishi wake HAWAJUI kufanya kazi ndani ya Muda na KUOKOA Muda hawajui

  • @saidichikota9780
    @saidichikota978013 күн бұрын

    Kazi nzuri PM

  • @LeonardmpembaMsemakweli-q8s
    @LeonardmpembaMsemakweli-q8s14 күн бұрын

    MAJALIWA MUNGU AKUJAILIE NAKUOMBEA 2030 . Ugombee uraisi

  • @abuusufian6506

    @abuusufian6506

    14 күн бұрын

    😅

  • @user-jc1do5gf3w

    @user-jc1do5gf3w

    14 күн бұрын

    2025 bana

  • @user-fm4se9cm6s

    @user-fm4se9cm6s

    13 күн бұрын

    2025🎉🎉

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    12 күн бұрын

    @@LeonardmpembaMsemakweli-q8s una uhakika atatoboa hadi huo mwaka?

  • @JumaSospeter
    @JumaSospeter14 күн бұрын

    Pole sana Engineer Sogachuma, kwa ninavyokufahamu hapo umetwishwa mzigo ambao sio wako, ila alikuwa anasema hakuna store ni kama has a worst plan to spoil your character and position

  • @cmellengotila1803
    @cmellengotila180312 күн бұрын

    Pole sana eng Emmanuel sigachuma, ila mungu yupo tutakuombea. Nimesikitika sana ila mungu yupo.

  • @NasriSuleiman-pj4tw
    @NasriSuleiman-pj4tw9 күн бұрын

    😮safi sana wanyooshe hao

  • @aflahrajabu9919
    @aflahrajabu991914 күн бұрын

    Mungu akupe umri mkubwa pm na hongera sana

  • @user-ng9bn3jj3x

    @user-ng9bn3jj3x

    14 күн бұрын

    Wote hao ni wezi tu wangekuwa wanatenda haki wangewaambia pesa zote waziludishe,.ukishawasimamisha hizo pesa ndo zinludi?

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    14 күн бұрын

    Watanzania wenyewe hawamjui adui yao kazi kusifia tu unadhani yeye siyo mwizi!

  • @MaugadoMaugado
    @MaugadoMaugado14 күн бұрын

    Muheshimw ttz hil litakuw endlevu,kwa sababu kweny hz sekta kuweka w2 ambao awana uchungu n hil taifa ila wanacho jali n m2mbo yao,bila kuwafunga Hawa au kuwataifisha itakuw saw n bule

  • @festohaule9716
    @festohaule971614 күн бұрын

    Wizi,wizi,kira Ofisi ni Wizi mtupu..Kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari.....

  • @MasudiNammanje
    @MasudiNammanje10 күн бұрын

    Huyu jamaa noma sana 6:11

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt14 күн бұрын

    Hii ndiyotunataka wananchi siyoo watu wale tu pesa za walipakodi safii sana mama waache hawa wawatie adabu hawa watu bila ya hivi nchi aiyendi

  • @R1Lifestyle-f6n
    @R1Lifestyle-f6n14 күн бұрын

    Watu hawana huruma, hata mm nikipata sehemu ya kupiga nitapiga tu, kuna watu wanakula nchi jamani😢😢😢

  • @mochemba
    @mochemba8 күн бұрын

    Hivi kwa nn tunafanya hivi jmn watumishi daaa yaani kila kona ya nchi hii hakuna sehemu salama, watu wanalipa kodi jmn kwa kujinyima TRA wanawafungia biashara zao Lkni watumishi wa serikali wanachezea pesa hovyo jmn hebu Watanzania tuache jmn haya mambo. Hawa viongozi watakuwa wanafika kila sehemu jmn? Pongezi waziri Mkuu Mi nakuaminia wewe na Mh Makonda mnafanya kazi, halafu hapo hapo unakuta mtu anasema oh watumishi wanadhalilishwa, je wananchi hawadhalilishwi kwa kuliwa pesa zao?

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya319014 күн бұрын

    Safi sana

  • @mohddelo
    @mohddelo14 күн бұрын

    Safi sana mkuu

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z14 күн бұрын

    Apo sawa mazee

  • @joojombi2341
    @joojombi234113 күн бұрын

    Tzd wapigaji wengi yaani hao wote wapigaji na wesha zipiga hizo pesa. Takukuru wafanye kazi zao.

  • @francisgituti2494
    @francisgituti249413 күн бұрын

    Huyo Majibu ya muhandishi ni tata haukuna kitu hapo ,ondoka nae

  • @LiquidMatejoe
    @LiquidMatejoe13 күн бұрын

    Ndomaaan watanzania awapewi kaz nje ya nchi kwa upuuzi kama huuu

  • @MasudiNammanje
    @MasudiNammanje10 күн бұрын

    Huyu jamaa noma sana

  • @Kabwela776
    @Kabwela77610 күн бұрын

    Hawa watu wangekuwa wanarudisha fedha na wananyongwa

  • @user-yb6ut9in5c
    @user-yb6ut9in5c13 күн бұрын

    Saf wazri yani viongozi mgesimamiana kwa namnahiyo Tanzania tungekua mbari sana yani nchi imekua ni yawtu wachache tu na familiazao huku balabala maji vituo vya polisi sekta mbalimbali kumejaa matatizo na wazr mkuu ndy msimamiz mkuu tunaomba tusaidie na huku mlimba nako balabala baado hatuoni chochote kinachofanyika no janjajanja tu

  • @user-qm3hb4sz7y
    @user-qm3hb4sz7y14 күн бұрын

    Watanzania wanyonge mungu anaona IPO siku atatukomboa tuu.

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw14 күн бұрын

    Kasm majaliwa majalia rais wa jamuhuli yamuungano wa tz kila mtanzania atafrai sana tena sana atapita bila kupingwa namtu yeyote tunaamin munguyuo ipo skumoja atakuwa

  • @UnitedAfrica-uw9ct
    @UnitedAfrica-uw9ct14 күн бұрын

    Engineer anatwishwa mzigo usio mhusu........Manunuzi na Mkurugenzi

  • @denisyohana8104
    @denisyohana810414 күн бұрын

    ila nchi yetu ina vituko sana ,yaani hawa viongozi wa kuteuliwa wanaturudisha nyuma sana ,ni bora mchakato mwingine uwepo wa kupata viongozi wazuri ,ikiwezekana nao wafanyiwe mchujo yaani usaili,awe injinia ,mkurungezi afisa elimu wote waombe kazi na wawajiwe usaili na bodi husika nahisi tunaweza pata viongozi waadilifu...kila mtu ni mpigaji..tu

  • @viatoryadam1556
    @viatoryadam155613 күн бұрын

    Hiki mm ndo kinachoniuma rais anakopa ela Ila wanashindwa kuzisimamia wanakuja kusituka watu wameishamaliza ela alaf unakuta limtu et anaupiga mwingi ovyoo angekua anko magu hao maji Leo wangeita ma mungu ailaze roho ya magufuli mahali pema pepon Amina

  • @razackndeze-pv5bm
    @razackndeze-pv5bm13 күн бұрын

    Nchini China pamoja na Vietnam watumishi wa umma kama hawa hukumu yao ni kunyongwa.

  • @bilid4128
    @bilid412814 күн бұрын

    Mmmh Bilioni 3 .....zimekwenda daaah ! Mwisho wa siku ni kwenda kukamua wamachinga walipe kodi .....daaah 😢😢 ! Mbona Hizo wanazoiba hawarudishi wanaishia tu kusimamishwa kazi ? Pesa nyingi zinaliwa ! Kwenye Masoko ,Minada kote kuna makusanyo ila hela inaliwa haifiki serikali kuu ! Mfano kwenye mnada wa ng'ombe na mbuzi kwenye vijiji kwa siku moja kinachokusanywa inaweza kufika hadi 10M kwa siku moja tu ! Ila utakuta Shule ya msingi choo hakuna ,Zahanati haina Dawa,Maji hakuna ..... ! Hii ndio Tanzania 😊

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    14 күн бұрын

    Na kukopa mikopo kumbe hela zinaisshia kwenye mifuko ya watu

  • @patrinraura1397
    @patrinraura139714 күн бұрын

    ASANTE Waziri Mkuu na Pole kwa KAZI ngumu ya kuthibiti ufujaji holela wa hela ya Serikali ambayo ni Kodi ya Watanzania Baadhi ya Watendaji waliopewa dhamana ambao ni wezi wa mali za Umma ni mzigo kwa Taifa.

  • @swaiagnes6696
    @swaiagnes669613 күн бұрын

    Rais Samia anajitahd kutafuta fedha lakini wateule wake wanamwangusha😢

  • @kondoatown8765
    @kondoatown876514 күн бұрын

    Hii namna ya ununuzi wa Tanzania mnatakiwa mkae muumize kichwa mno mbadili namna la sivyo hii nchi itabaki chini miaka yote sijajuaga mpk nimeingia ktk mfumo huu yaani watu wanajiongezea humo balaa , watu wanapiga mno kwny hii miradi wakirugenzi ndo mamamaaa aisee !! Tafuteni namna aisee laa !! Sivyo tutaumia na nchi itabaki chini miaka yote .

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo14 күн бұрын

    Bahati nzuri hakuna tumbua tumbua😂😂😂

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c14 күн бұрын

    Mnasimamia haki dakika za mwishooo tunaijua hiyo saiv wajifanya mko active😊

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya103314 күн бұрын

    Sisi watu weusi tuna matatizo gani kwa nini hatuwaonei watu huruma tunao waongoza

  • @LilianRobert-j1u
    @LilianRobert-j1u14 күн бұрын

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w14 күн бұрын

    MUNGU Akubariki Sana Mheshimiwa Waziri Mkuu DAMU ya YESU Ikufunike. Simamia Haki

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    14 күн бұрын

    Yesu yupi nchi imejaa uwizi

  • @Ali-nl2du

    @Ali-nl2du

    14 күн бұрын

    Damu ya marehemu Nabii Yesu bado haijakauka.ndugu yangu?

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    14 күн бұрын

    Majaliwa sio mkristo hiyo damu ya yesu haimuhusu kijana.

  • @musapfute6608

    @musapfute6608

    13 күн бұрын

    ​@@Ali-nl2du uyu sio Muhammad ambae anakaburi,, yesu Hana kabur,, nyie komaeni na nguvu ya subiani, SS tuna nguvu ya damu ya yesu, na inatenda kazi

  • @musapfute6608

    @musapfute6608

    13 күн бұрын

    Kamwombea km waziri mkuu wake,, ajamuombea km kassim majariwa,

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen13 күн бұрын

    Jamani watu mtakuja kuleta misiba isiyo ya lazima, hembu tazama sasa unaambiwa huna kazi ukiwa unatafakali hapohapo unaambiwa unakwenda mahakamani mtu hajafa tu hapo 😂😂😂😂

  • @CostantineAmos
    @CostantineAmos14 күн бұрын

    Tunaomba.ukumu yake if anyike haraka Kam ilivokuwa kwa yule jamaa aliechoma picha ya mama..Ili haki itendeke

  • @LiquidMatejoe
    @LiquidMatejoe13 күн бұрын

    ata shule ya mama samia uku namtumbo niwiz mtupu akunamaendeleo yoyote

  • @alidamgeni7051
    @alidamgeni705114 күн бұрын

    Ni wapi hapa

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango956914 күн бұрын

    Ifike mda tuanze kupigana risasi hadharani kwa wale wanaokula pesa za serikali

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du14 күн бұрын

    Maguliwa hoyee

  • @CotridaKigwile-d6p
    @CotridaKigwile-d6p12 күн бұрын

    Hii nchi inachezewa sana

  • @user-qm3hb4sz7y
    @user-qm3hb4sz7y14 күн бұрын

    Kuleni TU hii nchi IPO siku mungu atatupa raisi kama magufuri.na wazili wake majaliwa.

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    12 күн бұрын

    @@user-qm3hb4sz7y wewe ndio mpumbavu halafu kichwa chako kimejaa mavi ya kuku. Yaani muuwaji, utawala wa mkono wa chuma, na udikteta irejee?? Fala sana bwamdogo wewe.

  • @FrancisMtema-s9t
    @FrancisMtema-s9t14 күн бұрын

    Kilolo we acha tu Kuna miradi ya maji pasua kichwa sana.mradi wa bilioni 1.5,hakuna mabirika ya kunyweshea mifugo.mabomba feki.

  • @jonasjonas8111
    @jonasjonas811114 күн бұрын

    Hawa watu wasiojali wananchi kwann wasifungwe maisha/wasinyongwe ili wengine wajifunze? Always hayahaya mambo mwisho wake hatuuoni ni kufukuzwa kazi tuu then wat? Kesho Lazima arudie mtu mwingine coz watu hawaogopi kufukuzwa ikiwa walichoiba kinaweza wasaidia kuendesha maisha. Huu ni ushenzi

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru914011 күн бұрын

    Tatzo lipo na rais wetu anasema kulen kidogo msile sn

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle661311 күн бұрын

    Kukopa fedha sio shida,shida ni usimamizi wa fedha

  • @sautiyawanyonge2511
    @sautiyawanyonge251113 күн бұрын

    Hapo hamna kitu

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi248014 күн бұрын

    Dah pesa nyingi imetoka lakini wapi...

  • @josephngwega7398
    @josephngwega739813 күн бұрын

    Du hali ni ngumu sana

  • @user-qd8wu1kt5o
    @user-qd8wu1kt5o14 күн бұрын

    Hao bd

  • @mustaphamuslim1161
    @mustaphamuslim116114 күн бұрын

    Yaaaan hawa watumishi wengine ni kama makondooo

  • @julianprubavu4069
    @julianprubavu40698 күн бұрын

    Hivi mtu hats amekwapua tu bilioni 3, kusimamishwa kazi inamuathiri nini. Mi nilitarajia akamatwe na kushitakiwa.

  • @HamisiPawa
    @HamisiPawa14 күн бұрын

    Hv mradi kama huu mpka waziri mkuu ufike ndio uonekane wawakilishi wa rais walikuwa wapi kipindi chote hebu waanze kwa wateuliwa wa rais wa mkoa huo

  • @mweyoms5548
    @mweyoms554814 күн бұрын

    Majizi yanafilisi nchi hii kama watakavyo

  • @jumashedafa
    @jumashedafa14 күн бұрын

    Safi san na ndio maana nasema serikali ianze kwa kudhibi upotevu wa fedha si kila cku kutuanzishia kodi mpya watu wanaumia mno...Ripoti ya CAG ifanyiwe kazi kila mtu alipe

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    14 күн бұрын

    Serikali ipi sasa!izuie uwizi

  • @user-qd8wu1kt5o
    @user-qd8wu1kt5o14 күн бұрын

    Ifike mahali wanaopewa dhamana ya miradi ya maendeleo kwa watanzania,ukomeshwe udhalimu na ubadhirifu wa fedha umma.

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    14 күн бұрын

    Bila kubadilisha mfumo mtaburuzwa sana

  • @user-cj1ft4mw2l
    @user-cj1ft4mw2l14 күн бұрын

    Wanasimamisha watu hewa, hakuna hata anaesimamishwa hapo

  • @yohanamuumbe4628
    @yohanamuumbe462814 күн бұрын

    Hawa wasimamizi hawana kitabu chamanunuzi na matumizi, wameenda mikono mitupu,kweli hapo lazima hesabu zipoteane

  • @emmanueldavid9506
    @emmanueldavid950610 күн бұрын

    Tunaombeni kazi jamani mbona mnatoa fedha nyingi hivyo?ndio maana wanajipigia tu. Nilishawaambia tupeni kazi sisi wakandarasi/mafundi local mbona hamuelewi?

  • @jameshensdouglass7632
    @jameshensdouglass763214 күн бұрын

    majizi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne749114 күн бұрын

    Hizi ndio sababu tuna chukiaa kulipaa kodi ona ujinga wanao fanya milion 774 ni pesa inge weza fanya mambo makubwa sana ila wanaa tafuna

  • @R1Lifestyle-f6n
    @R1Lifestyle-f6n14 күн бұрын

    Sema Kassimu Majaliwa kuna siku Mungu wa mbinguni atakuja kumjaza Roho Mtakatifu na uweza, akiwa rais itakuwa 🔥🔥 Huyo mh ana uchungu sana na mali za serikali, kazi yake inaonekana Mungu mbariki sana 🙏🙏

  • @nascomtz1189

    @nascomtz1189

    13 күн бұрын

    Katiba haimruhusu kuwa raisi

  • @R1Lifestyle-f6n

    @R1Lifestyle-f6n

    13 күн бұрын

    @@nascomtz1189 kwa nn tena? ukishakuwa waziri mkuu hata ukistaafu huna nafasi ya kugombea urais?

  • @emmanuelmayengo

    @emmanuelmayengo

    13 күн бұрын

    yeaaah make hata katiba ya chama inamkatazaaa

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    12 күн бұрын

    @@emmanuelmayengo Acha uongo wewe katiba ya chama kipi? Nani basi kwa mujibu wa katiba hiyo ya chama ambae ana haki ya kuwa rais? Mkutano mkuu ndio wenye uwezo wa kumteua atakae peperusha bendera hata awe Diwani au mkulima hivyo yaani.

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi763714 күн бұрын

    Serikali msipokuwa wakali...iii

  • @macksonimwandemele42
    @macksonimwandemele4214 күн бұрын

    mkuu tunakuombea san wamesha jisahau hao

  • @NaidaMfaume
    @NaidaMfaume14 күн бұрын

    Ushauliwangu kwa wazili mkuu wewesepanavioziwote wamkoa kwanimkuuwa mkoa anafanya kaziga mkuu wawila anafanyanini wotehao wanateni pasenti timua wakalime lakini hawawatu mnawafuga ndio sababu ya uozo wote huo

  • @user-kg4lx3uf4o
    @user-kg4lx3uf4o14 күн бұрын

    Hapa ni mkoa gani jaman

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar13 күн бұрын

    YAANI TUTAFIKA MBINGUNI TUKIWA HOI SANA🥹

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka120613 күн бұрын

    Changamoto kubwa sana

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola823213 күн бұрын

    Wezi hao wanajaza vitambi tuuu

  • @caesar7745
    @caesar774514 күн бұрын

    Waziri mkuu shida yenu hamja wahi waonyesha watu mfano. Unaiba mnachukua pension yake kama haitoshi mali zake na jela juu. Lakini kila siku eti takukuru. Halafu what. Tumewachoka sasa

  • @jordanmbata4227
    @jordanmbata422711 күн бұрын

    Heee pungua tena

  • @mamodelmam
    @mamodelmam14 күн бұрын

    Walipe izo pesa kama kwa kutaifishwa mali ili siku nyingine wajifunze we unakulaje pesa zote izo na uoga huna Mxieeeeeew watu tunatoa makodi kila kukicha af nyie mzile tu bila aibu

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael793514 күн бұрын

    Kiteve huwezi sema hapo uwiiiii

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda314614 күн бұрын

    Iv hapo cjaelewa jmani/ni bilion mia saba au mialion mia saba

  • @gwakisakaswaga5249
    @gwakisakaswaga524914 күн бұрын

    there are times nashindwa kujizuia.... kuonesha vile nisivyokuwa muumini wa the so called *utawala bora* yaani hapo unahitaji kuwasikiliza viongozi waliolaza bilioni tatu hapo????

  • @user-qd8wu1kt5o
    @user-qd8wu1kt5o14 күн бұрын

    They are not needed in development project plan

  • @AhmadiMuhibu
    @AhmadiMuhibu14 күн бұрын

    Tumbua

  • @karyori69
    @karyori6914 күн бұрын

    Mlipomtoa Jafo tulijua hili litarudi!

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m14 күн бұрын

    Baba Maja kamua baba

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael793514 күн бұрын

    Mpe muda msikilize ili wajieleze vzr

  • @rpynoel566

    @rpynoel566

    14 күн бұрын

    Kiongozi kama wazir mkuu anapotembelea mradi anakua na taarifa zote kabla hajafka kwaio anajua hujuma zipi zinaendelea.

  • @festohaule9716
    @festohaule971614 күн бұрын

    Kazi ya uchawa tu..Mama Samia Mama Samia kazi ahaaaa!!!!!

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    12 күн бұрын

    @@festohaule9716 wewe ndio mchawi sasa, sijui ni wale chagadema naona.

  • @festohaule9716

    @festohaule9716

    12 күн бұрын

    @@MilloWamilonga-ft8ir Kazi yenu ni uchawa tu..ety Madawati mpaka aje Waziri Mkuu shenzi ..Mkoa unalundo la Viongozi!!!! Kama wewe unapendezwa na tabia za kifasadi wewe ni Zezeta shenzi!!!!!

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    12 күн бұрын

    @@festohaule9716 tuamsifia makengeza mbowe mwenye saccos binafsi. Lissu na wengine ni vidampa tu. Halafu katiba mpya shwaini. Miaka 34 m/kiti ndio yeye tu kwa kisingizio cha utithi kutoka kwa baba mkwe Mtei fankulo

  • @festohaule9716

    @festohaule9716

    12 күн бұрын

    @@MilloWamilonga-ft8ir Mbowe anakusanya Kodi wapi!!! Mazezeta bhana!!!! Kusifia tu Madawati tu kukagua mpaka Waziri Mkuu wa Nchi ety!!!! Uozo mtupu..ni aibu kwanza .vitu vya kufanya Mtendaji wa kati aje Waziri Mkuu ety!!!!

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    12 күн бұрын

    @@festohaule9716 kumbe hujui, kuna ruzuku kibao hutumwa kila chama cha upinzani na saccos ya mbowe inaongoja. Anashindwa hata kutoa panadol yeye na mikutano tu kuwazuga wenzake. Usisahau makengeza ni mlambaji mzuri wa asali kutoka ikulu. Ww chelewa tu.

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed444914 күн бұрын

    😡😡😡😡😡 wote wapigaji hata huyo Waziri mwenyewe , Mungu atawakata hata kama nikutoka kwa familia zenu. Eti amesimamiahwa kazi , yaani wameshazoea Iba utakavyo mwishoni huna adhabu yoyote zaidi ya kusimamishwa kazi uka enjoy pesa uliyoiba, yaani wanatuona wajinga 😢😢😢 endeleeni tu kushibisha matumbo yenu .

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe307014 күн бұрын

    Mama SAMIA SULUHU HASSAN uache kukopa. Dhibiti Majizi yanayoiba pesa za serkali. Majitu haya hayana na huruma na sisi watanzania Masikini mmnaotubana kulipa Kodi hafu yenyewe yanaiba pakubwa. Unakopa nyingi yanatumia kidogo hafu yanaiba nyingi.. Haina haja ya kuendeleza kukopa mama yetu. Kama vipi myanyonge tuu

  • @zully756

    @zully756

    14 күн бұрын

    Dawa ni kugoma kulipa kodi

  • @aikt.
    @aikt.14 күн бұрын

    Leo naomba kuuliza wenzangu, hivi hawa wafanyakazi wakishafukuzwa kazi kuna hatua zinachukuliwa au ndo kashafukuzwa halafu basi??? 🥲

  • @mwanaidimussa

    @mwanaidimussa

    14 күн бұрын

    Wachache sana wanaochukuliwa hatuaa 😢, wengine wanapiga pesa wanasbiri kfukuzwaa tu

  • @aikt.

    @aikt.

    14 күн бұрын

    @@mwanaidimussa hapo hapajabadilisha chochote

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu13414 күн бұрын

    Pamoja ni hiyo hela kupigwa bado pia na serikali ijitafakar yaani unatenga mil 774 zote kwa ajiri ya bwalo kweli??? Kwanini lisijengwe la kawaida halafu pesa zingine zitumike kununua vifaa vinginw vya shule au ata zipelekwe maeneo mengin kabisa penye uhaba

  • @fredrickkashinje894

    @fredrickkashinje894

    14 күн бұрын

    Hahahaha. 774M ni nyingi kwako tu hamna pesa hapo

  • @danielmwanguku2898

    @danielmwanguku2898

    14 күн бұрын

    Brother hatujengi ilimradi tuu Hilo jengo mbaka vitukuu vyako watatumiaa

  • @wazarendotv7966
    @wazarendotv796614 күн бұрын

    Engineer wanamuonea injinia anasimamia ujenzi na sio fedha hapo shida ni mkurugenz wamekuta tuu baba wa watu hajui kujielezea

  • @hamzanyangali2941

    @hamzanyangali2941

    14 күн бұрын

    Wakati wa kuidhinisha malipo injinia Kuna Saini yake, hata hivyo ndo maana unafanyika uchunguzi ili kama hakuhusika atarudishwa kazini

  • @JumaSospeter

    @JumaSospeter

    14 күн бұрын

    Huyu Engineer ni classmate wangu chuoni, siamini kama tuhuma hizo zinamhusu, kama wametumia 44% ya fedha tu tafairi yake hawajapokea fedha zote ila Hela zomekuja chache na team ya ujenzi ikaamua kuanzisha miradi yote Kwa pamoja pasi na kujali hii ni pesa ya bwalo au darasa

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar13 күн бұрын

    Wafukuzeni kazi wajinga wajinga woteeeeeeeeeeee Jamani wenzenu tumechoka kuona na kusikia wizi kila kukicha🥹🥹🥹🥹🥹

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter856914 күн бұрын

    Chapa kazi nchi hii wahuni wengi kwa mambo ya kijinga bila kuona mbele huyu alipaswa kufungwa bila kusikilizwa

  • @subiramwaka9792
    @subiramwaka979214 күн бұрын

    Swala sio kumsimamisha tu pia wakipatikana na hatia fedha za umma zirudishwe

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi763714 күн бұрын

    Wana lengo la kumhujumu Rais.

Келесі