Yan huyu mzee bora angekuwa ndo makamo wa rais leo hii angekuwa rais dahh😭😭😭
@ImamuKitale11 күн бұрын
Kasimu asate sana baba
@AishaJuma-wd8xd14 күн бұрын
😮fukuza tu muheshiwa
@husseinhamisimwindadi221113 күн бұрын
Hawa wote wanatakiwa wachukuliwe hatuakali iwefundisho kwa wengine,pongezi kwa waziri mkuu!
@AlphaxardMRusweka-jr1wi13 күн бұрын
Wawasikilize kwanza,gharama kwenye ujenzi inategemea na mambo mengi,kwa hiyo watu wasikariri.Materials yanazidiana ubora,yenye ubora wa juu,gharama zake nazo ziko juu.,pia mazingira ya sehemu husika
@abedysteven4930
11 күн бұрын
Hilo nalo jambo lakufatilia nalo kweli!!
@sulemanmati821313 күн бұрын
Majaliwa kaza ivo ivo
@kulwamikwanga311213 күн бұрын
Hahahahaha waziri mkuu unavyo wauriza mkuu hadi mimi nasikia raha nabaki nacheka tu kwa madudu yanayo fanywa ha ha ha apewe onyo kari ha ha ha aandikiwe barua ya onyo kari aiseee waziri mkuu mungu akubariki sana mkuu mwamba upo kazini mbegu Bora irio pandwa na magufuri ipo kazini kweri kweriiii
Пікірлер: 10
Asante Baba
Yan huyu mzee bora angekuwa ndo makamo wa rais leo hii angekuwa rais dahh😭😭😭
Kasimu asate sana baba
😮fukuza tu muheshiwa
Hawa wote wanatakiwa wachukuliwe hatuakali iwefundisho kwa wengine,pongezi kwa waziri mkuu!
Wawasikilize kwanza,gharama kwenye ujenzi inategemea na mambo mengi,kwa hiyo watu wasikariri.Materials yanazidiana ubora,yenye ubora wa juu,gharama zake nazo ziko juu.,pia mazingira ya sehemu husika
@abedysteven4930
11 күн бұрын
Hilo nalo jambo lakufatilia nalo kweli!!
Majaliwa kaza ivo ivo
Hahahahaha waziri mkuu unavyo wauriza mkuu hadi mimi nasikia raha nabaki nacheka tu kwa madudu yanayo fanywa ha ha ha apewe onyo kari ha ha ha aandikiwe barua ya onyo kari aiseee waziri mkuu mungu akubariki sana mkuu mwamba upo kazini mbegu Bora irio pandwa na magufuri ipo kazini kweri kweriiii
@George-jz3jg
12 күн бұрын
Tatizo bosi wake wa sasa ovyo