WAZIRI MAJALIWA SIJARIDHISHWA NA MATUMIZI YA UJENZI HUU WA SHULE | FEDHA ZIMEENDA WAPI HAPA.....?

Ойын-сауық

Пікірлер: 10

  • @furahaseth1215
    @furahaseth121512 күн бұрын

    Asante Baba

  • @abedysteven4930
    @abedysteven493011 күн бұрын

    Yan huyu mzee bora angekuwa ndo makamo wa rais leo hii angekuwa rais dahh😭😭😭

  • @ImamuKitale
    @ImamuKitale11 күн бұрын

    Kasimu asate sana baba

  • @AishaJuma-wd8xd
    @AishaJuma-wd8xd14 күн бұрын

    😮fukuza tu muheshiwa

  • @husseinhamisimwindadi2211
    @husseinhamisimwindadi221113 күн бұрын

    Hawa wote wanatakiwa wachukuliwe hatuakali iwefundisho kwa wengine,pongezi kwa waziri mkuu!

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
    @AlphaxardMRusweka-jr1wi13 күн бұрын

    Wawasikilize kwanza,gharama kwenye ujenzi inategemea na mambo mengi,kwa hiyo watu wasikariri.Materials yanazidiana ubora,yenye ubora wa juu,gharama zake nazo ziko juu.,pia mazingira ya sehemu husika

  • @abedysteven4930

    @abedysteven4930

    11 күн бұрын

    Hilo nalo jambo lakufatilia nalo kweli!!

  • @sulemanmati8213
    @sulemanmati821313 күн бұрын

    Majaliwa kaza ivo ivo

  • @kulwamikwanga3112
    @kulwamikwanga311213 күн бұрын

    Hahahahaha waziri mkuu unavyo wauriza mkuu hadi mimi nasikia raha nabaki nacheka tu kwa madudu yanayo fanywa ha ha ha apewe onyo kari ha ha ha aandikiwe barua ya onyo kari aiseee waziri mkuu mungu akubariki sana mkuu mwamba upo kazini mbegu Bora irio pandwa na magufuri ipo kazini kweri kweriiii

  • @George-jz3jg

    @George-jz3jg

    12 күн бұрын

    Tatizo bosi wake wa sasa ovyo

Келесі