Juma Mungu akutunze sema CCM bana kuna uozo mwingi ila Katiba ndo suluishoo
Sweka ndan shenz kabisah!
Baadhi ya viongozi wazuri waliobaki.
Utapeli umezidi sana itabidi upambane sana sio hapo tu Tunashangaa sana hata mradi wa maji mwika wamechimbia mabomba lakini hatujui kinachoendelea
Jamani hapo Ni Handeni mnatakiwa kujuwa historian ya hapo msiwalaumu hao makandalasi bure, Hapo Kuna michezo ya asili hawapendi maendeleo hao,p
Kuna mkandaras mwingine tapel kawafungisha mafund bomba halaf hajawalipa yupo njombe ludewa kijiji lusitu
Bwawa c hilo jamani..
Ilo Bwana la helf 20k ndo wanasema 600M
Wizi bunda idara ya maji
toka nchi iongozwe na mama hadi wanaume wanaiga sauti yake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kaka Mungu anakuona wewe
swekaaaa ndani haoooo
Tanzania 🇹🇿 bwana. Ni balaa machozi yananitoka kuona wasomi tumaini la wanyonge kumbe ndio shidah kwa wanyonge.
Hii ni aibu.. Upigaji gani huu?!
Hao akili zimo kwel
Afike Hadi KILINDI Kuna madudu
Chama la wapigaji tayali washaanzisha michongo mpka 2030 wote hoi bin taban
Meatu maji ni oooo tusaidie
Hata cha kuongea hakuna
Vua kofia unatia aibu sisi waumini amna waumini kama wewe mwizi tia ndani simwizi
Mh wazir fukuza wote bk peke yko,naamin kaz unaiweza na itaenda, waache kuzingua
Пікірлер: 24
Juma Mungu akutunze sema CCM bana kuna uozo mwingi ila Katiba ndo suluishoo
Sweka ndan shenz kabisah!
Baadhi ya viongozi wazuri waliobaki.
Utapeli umezidi sana itabidi upambane sana sio hapo tu Tunashangaa sana hata mradi wa maji mwika wamechimbia mabomba lakini hatujui kinachoendelea
Jamani hapo Ni Handeni mnatakiwa kujuwa historian ya hapo msiwalaumu hao makandalasi bure, Hapo Kuna michezo ya asili hawapendi maendeleo hao,p
Kuna mkandaras mwingine tapel kawafungisha mafund bomba halaf hajawalipa yupo njombe ludewa kijiji lusitu
Bwawa c hilo jamani..
Ilo Bwana la helf 20k ndo wanasema 600M
Wizi bunda idara ya maji
toka nchi iongozwe na mama hadi wanaume wanaiga sauti yake
@sashahauke2032
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kaka Mungu anakuona wewe
swekaaaa ndani haoooo
Tanzania 🇹🇿 bwana. Ni balaa machozi yananitoka kuona wasomi tumaini la wanyonge kumbe ndio shidah kwa wanyonge.
Hii ni aibu.. Upigaji gani huu?!
Hao akili zimo kwel
Afike Hadi KILINDI Kuna madudu
Chama la wapigaji tayali washaanzisha michongo mpka 2030 wote hoi bin taban
Meatu maji ni oooo tusaidie
Hata cha kuongea hakuna
Vua kofia unatia aibu sisi waumini amna waumini kama wewe mwizi tia ndani simwizi
Mh wazir fukuza wote bk peke yko,naamin kaz unaiweza na itaenda, waache kuzingua