HUYU HAPA NESI ALIYEMPOKEA TUNDU LISSU AKIWA MAHUTUTI BAADA ya KUPIGWA RISASI -''ALIKUWA na DAMU 3''
HUYU HAPA NESI ALIYEMPOKEA TUNDU LISSU AKIWA MAHUTUTI BAADA ya KUPIGWA RISASI -''ALIKUWA na DAMU 3''
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 38
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Wallah Lisu una Mungu ww endelea kufanya kazi yako kwa kuwa Mungu anakusudi na ww
Naona nesi anavyofurahia lissu kuwa hai,,,hii itabaki kuwa historia kwenye maisha yake kushiriki katika harakati ya kuokoa uhai wa mpinzani wa kisiasa
Kumbe Nesi WAUKAE MIANGU Pole sana Mungu kezakupiganila kwizapata haki yako INSHAALLAH
Daa pole sana dada
Madaktari mbarikiwe sana
Daaah inaumiza sanaaa
Dahhh ni strory ngumu sanaa ,dada ubarikiwe sanaaa
Mtaka nimekuwa nikiheshimu utendaji wake hadi leo baada ya kumsikiliza huyu mama na bila shaka hadanganyi . Kumbe naye ni wa hovyo kiasi hiki.
@George-jz3jg
2 ай бұрын
Nilijua tu lazima kuna watu wanamuelewa sana mtaka lakini mimi nilijitu la ovyo sana
Nchi ya kidemokrasia ni hoja na si Risasi ,sikuona sababu
@brownsebastianmwibi5647
2 ай бұрын
Bila shaka umeshiba kuku wa kisasa wale wa siku 30
Utawala ukiwa mbovu haki za wengi hubinywa
Mtaka nae kumbe hana maana jamani
@masalakulwa7601
2 ай бұрын
yaani nimebak8 naduwaa
Mungu atajaalia utapata haki yako, lakini hii nchi ngumu.
Yani nchi hii ina VIONGOZI WA hovyo sana hona rushwa ya ngono ime mkosesha mama kazi
@joventjohansenmushwaimi1988
2 ай бұрын
Rushwa ni jambo la hovyoooo sanaa maskini dada amefanyiwa madhila ya hovyoo
Hii nchi Hii nchi Hii nchiii
Nchi hii inashida sana
Jamani,hii nchi????
Viongozi wengi wa serikali ya Tanzania wanatumia madaraka vibaya sana hawana utu kazini wala uadilifu.)))Wanachojua ni kunyanyasa watu na madaraka yao na ipo siku hayo malalamiko ya wananchi yana mwisho wake hapa ni Dunian tunapita tu.Tanzania ngumu sana ku step forward yan kila siku same shit
Itifaki za hapa tz zimejaa unafiki uliojificha kwenye usalama
Hivi CCM hivi hii nchi wameifikisha wp
Hii Nchiii mioyo yetu una maumivu Uongozi wetu umejawa na kivuli kikubwa Cha mema ya sera za uongo ila vitendo vya Ushetani Hii ndio nchi ukipambania Haki Yakoutachikipata Duuuh
MAWAZO YA MUNGU SI KAMA YA MWANADAMU WALIOTAKA TUNDU LISU ATANGULIE MBELE YA HAKI WAMETANGULIA WAO 😢
😢😢 dah mmama wa watu anatia huruma
Ila huyu mama kisaikolojia bado hayuko sawa, cjui shida ni kufanya kazi milembe au kufukuzwa kazi
@user-mz4mf4wj1y
2 ай бұрын
Nipo vizuri akili ipo vizuri labda nimechakaa na shida za mtaani dogo usiombe yakukute
Chaajabu hii page watu waki coment utaona coment zinavyo taifishwa
Wananyanyasa sana, ndio umuhimu wa vyama vya upinzani.
Mnyampaa musidee mkiku usu mbuyane
Huyu mtoto mdogo alivokaa kwenye mikono ya Lissu Hadi raha, anyway naichukia nchi yangu Tanzania hasa kwenye swala la uongozi na haki .😫😫
@Bushman000
2 ай бұрын
Usichukie Nchi, ila fanya kitu kwa ajiri ya kizazi kijacho waipende..
@brownsebastianmwibi5647
2 ай бұрын
Unaichukia nchi? Sina uhakika kama unamanisha kuichukia nchi.
Mama mkurugenzi na wakurugenzi ni net work za maovu ya walio kwenye nchii