HUYU HAPA NESI ALIYEMPOKEA TUNDU LISSU AKIWA MAHUTUTI BAADA ya KUPIGWA RISASI -''ALIKUWA na DAMU 3''

HUYU HAPA NESI ALIYEMPOKEA TUNDU LISSU AKIWA MAHUTUTI BAADA ya KUPIGWA RISASI -''ALIKUWA na DAMU 3''
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 38

  • @globaltv_online
    @globaltv_online2 ай бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @angolina1768
    @angolina1768Ай бұрын

    Wallah Lisu una Mungu ww endelea kufanya kazi yako kwa kuwa Mungu anakusudi na ww

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse73142 ай бұрын

    Naona nesi anavyofurahia lissu kuwa hai,,,hii itabaki kuwa historia kwenye maisha yake kushiriki katika harakati ya kuokoa uhai wa mpinzani wa kisiasa

  • @JitihadaMasimba-ng5mv
    @JitihadaMasimba-ng5mv2 ай бұрын

    Kumbe Nesi WAUKAE MIANGU Pole sana Mungu kezakupiganila kwizapata haki yako INSHAALLAH

  • @angolina1768
    @angolina1768Ай бұрын

    Daa pole sana dada

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x2 ай бұрын

    Madaktari mbarikiwe sana

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn2 ай бұрын

    Daaah inaumiza sanaaa

  • @joventjohansenmushwaimi1988
    @joventjohansenmushwaimi19882 ай бұрын

    Dahhh ni strory ngumu sanaa ,dada ubarikiwe sanaaa

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo2 ай бұрын

    Mtaka nimekuwa nikiheshimu utendaji wake hadi leo baada ya kumsikiliza huyu mama na bila shaka hadanganyi . Kumbe naye ni wa hovyo kiasi hiki.

  • @George-jz3jg

    @George-jz3jg

    2 ай бұрын

    Nilijua tu lazima kuna watu wanamuelewa sana mtaka lakini mimi nilijitu la ovyo sana

  • @Nyanda506
    @Nyanda5062 ай бұрын

    Nchi ya kidemokrasia ni hoja na si Risasi ,sikuona sababu

  • @brownsebastianmwibi5647

    @brownsebastianmwibi5647

    2 ай бұрын

    Bila shaka umeshiba kuku wa kisasa wale wa siku 30

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh2 ай бұрын

    Utawala ukiwa mbovu haki za wengi hubinywa

  • @user-wb9gy2xx3p
    @user-wb9gy2xx3p2 ай бұрын

    Mtaka nae kumbe hana maana jamani

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    2 ай бұрын

    yaani nimebak8 naduwaa

  • @stonetown578
    @stonetown5782 ай бұрын

    Mungu atajaalia utapata haki yako, lakini hii nchi ngumu.

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo58632 ай бұрын

    Yani nchi hii ina VIONGOZI WA hovyo sana hona rushwa ya ngono ime mkosesha mama kazi

  • @joventjohansenmushwaimi1988

    @joventjohansenmushwaimi1988

    2 ай бұрын

    Rushwa ni jambo la hovyoooo sanaa maskini dada amefanyiwa madhila ya hovyoo

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w2 ай бұрын

    Hii nchi Hii nchi Hii nchiii

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi14162 ай бұрын

    Nchi hii inashida sana

  • @ERNESTSuleiman
    @ERNESTSuleimanАй бұрын

    Jamani,hii nchi????

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami53892 ай бұрын

    Viongozi wengi wa serikali ya Tanzania wanatumia madaraka vibaya sana hawana utu kazini wala uadilifu.)))Wanachojua ni kunyanyasa watu na madaraka yao na ipo siku hayo malalamiko ya wananchi yana mwisho wake hapa ni Dunian tunapita tu.Tanzania ngumu sana ku step forward yan kila siku same shit

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg2 ай бұрын

    Itifaki za hapa tz zimejaa unafiki uliojificha kwenye usalama

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh2 ай бұрын

    Hivi CCM hivi hii nchi wameifikisha wp

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w2 ай бұрын

    Hii Nchiii mioyo yetu una maumivu Uongozi wetu umejawa na kivuli kikubwa Cha mema ya sera za uongo ila vitendo vya Ushetani Hii ndio nchi ukipambania Haki Yakoutachikipata Duuuh

  • @josephsokhia
    @josephsokhia2 ай бұрын

    MAWAZO YA MUNGU SI KAMA YA MWANADAMU WALIOTAKA TUNDU LISU ATANGULIE MBELE YA HAKI WAMETANGULIA WAO 😢

  • @user-kv5om4ip2y
    @user-kv5om4ip2y2 ай бұрын

    😢😢 dah mmama wa watu anatia huruma

  • @mosesdalali7671
    @mosesdalali76712 ай бұрын

    Ila huyu mama kisaikolojia bado hayuko sawa, cjui shida ni kufanya kazi milembe au kufukuzwa kazi

  • @user-mz4mf4wj1y

    @user-mz4mf4wj1y

    2 ай бұрын

    Nipo vizuri akili ipo vizuri labda nimechakaa na shida za mtaani dogo usiombe yakukute

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w2 ай бұрын

    Chaajabu hii page watu waki coment utaona coment zinavyo taifishwa

  • @babalao910
    @babalao9102 ай бұрын

    Wananyanyasa sana, ndio umuhimu wa vyama vya upinzani.

  • @mhidinathuman2398
    @mhidinathuman23982 ай бұрын

    Mnyampaa musidee mkiku usu mbuyane

  • @zitongwang6278
    @zitongwang62782 ай бұрын

    Huyu mtoto mdogo alivokaa kwenye mikono ya Lissu Hadi raha, anyway naichukia nchi yangu Tanzania hasa kwenye swala la uongozi na haki .😫😫

  • @Bushman000

    @Bushman000

    2 ай бұрын

    Usichukie Nchi, ila fanya kitu kwa ajiri ya kizazi kijacho waipende..

  • @brownsebastianmwibi5647

    @brownsebastianmwibi5647

    2 ай бұрын

    Unaichukia nchi? Sina uhakika kama unamanisha kuichukia nchi.

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w2 ай бұрын

    Mama mkurugenzi na wakurugenzi ni net work za maovu ya walio kwenye nchii

Келесі