😭 VILIO NA MAJONZI VYATAWALA WASHIRIKI WAKITOLEWA KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH 2021
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 371
Coy mzungu kaka una moyo wa dhahabu,yani nimekuona ndani ya moyo wako umetamani uwachukue wote ila ni vile vipo nnje ya uwezo wako🥰🥰❤❤
Nimekuwa wa kwanza kutazama jaman naomben likes zenu😁😁😁
@PaulinaSemindu-ob3de
Ай бұрын
Mtoto wa kiume kuomba omba like n umalaya mtakuja kuliwa kwa kuomba omba ovyo hd like mnakera 😏😏😏
Sema brother coy he deserved to be a chief judge Anaitendea haki nafasi yake
@princevan3747
2 жыл бұрын
Dah kwel
Ukiwa team wasafi😍😍 wala uwez kukonda mda ote rahaa2 😋
@khadijaomari9344
2 жыл бұрын
kweli 😀😀😀😀
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Leonad kashinda
Kama unamkubali baba levo twende kwa likes "nitawatoa'😂😂
@nissamwapoladi7345
2 жыл бұрын
Kwa hali yyte lazima washindi wapatikane .hata yy anaumia lakn anajitoa ufahamu anakaza maana wakilegea wote mambo hayatoenda!
@aloycemajaliwa2185
2 жыл бұрын
baba levo ni Cold blood
Mchambuzi wa mpiraaa amewezaaaaa sanaaa😍😘
Me ni Team Leonard, Asma, na Saidi! 🙌🏾🔥🔥🔥 I believe on them! Let’s goooo!
@dannygmk379
2 жыл бұрын
Hata mm Leonard namkubali sana🔥🔥
Coy umesema vizuri eliud nakuombeya Sana punguza simulizi brother mbona ww nimkali top 5 upoamka ushindane bado ujajuwa nimashindano mbona mm naona unajuwa ww unakuwaje uwoni brother 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Coy mzungu..is a very emotional guy...I can feel what this guy is feeling..ingekua ndani ya uwezo wake..angewachukua wote ju hawa watu wote ni washindi
@princevan3747
2 жыл бұрын
Mbk kalia bro ujuwe naye kapitia ayo yote dah kaumia sana kwa kwel
@richardmachipisa5559
2 жыл бұрын
@@princevan3747 1qqq
Leornadiiiiiiii group tupia Likes 🔥🔥🔥🔥🔥
@merissjuvinari2535
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
Coy spoke from the heart, the man cares and wants these young men and women to be successful. Hii sio kutafuta kiki, machozi yake ni ya ukweli… big up to you Coy. Amazing.
@silverdavid6200
2 жыл бұрын
Fact, atleast i got someone who understood exactly what is said# It takes time to realize that some men are too emotional 🙏
@emmanuelkisusu2465
2 жыл бұрын
Hakika daah. Mungu ampe moyo huo daima
Coy mzungu.. Nimependa sana jinsi unavyoguswa na kuonesa hisia kali juu ya matarajio ya washiriki.. na kuwatia moyo!! Pokea congeree zangu bro
Asma Majid is great comedian and will be greatest female comedian of all time 🇰🇪🇹🇿🇺🇬🇷🇼🇧🇮
@ZIGUAGIANT
2 жыл бұрын
Agree 💪🏾🙌🏾🔥
Leonard anajua sanaa,potential yake kubwa sanaaa
@janethjustin5256
2 жыл бұрын
Sanaaaaa
Waah, leo majaji mna kibarua kigumu jamani;yani leo wote wamefanya kazi safi,sijui nimchague nani💞💞💞💞💞
Leonardo ni fireeeeeeeeeeeee 🔥 🔥
LEONARDO ❤ & SAID SAID 😍 MTATUUWA JAMANI 🙌😂🔥
@credo7837
2 жыл бұрын
Wameua
@kidjhdf7568
2 жыл бұрын
Wewe acha tuu mm sijalala naipenda hii na big Sunday live leo wasafi from saudia Arabia 🇸🇦🇸🇦
@silvaredwin2720
2 жыл бұрын
oiiiii
@babuonyango4008
2 жыл бұрын
Kazi ipo et@
Mzee wa zimatomo mkali sana Nox M noma na nusu
Leonard....Fire Ila Kazana safar bafo ndefu sana... Ujitahidi Kitu Kimoja Stage Hakikisha unaimiliki ipasavyo....na mazoezi ya kutosha kuyafanyia mapungufu yako
@mc.nizzahshemweta399
2 жыл бұрын
Koi naitaji nafasi from tanga
All of them they know how to perform . But that's how things should be .and big up to brother coy your words mean a lot to me too🤔🤔🤔 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Eliud even if u can feel but u are my best comedians and i will support u more fidele from Congo
Team Leonard gonga like apa tujuane👌👍
@brayanihonde8772
2 жыл бұрын
Can i have ur # please
@brayanihonde8772
2 жыл бұрын
Mambo
Headmaster yupo vizuri sana. Big up
Ukijuwa kusudi uta face chochote ili ufikiye lengo lako thanks Cowmzungu😍😘🤩
Huyu jamaa wa moto yuko vzr sana. Kachukua muda mwingi lkn ana flow punch tu
Leonard!! Mm ni tem ww haki!! Tokea siku ya kwanza ulinifurahisha sana!! Mpaka leo hujaniangusha!! Na hizo mamilioni naziona kwako inshaallah!!! Nafatilia haya mashindano nikiwa🇰🇪!! But ni mtanzania mm
SAID and Leonad 👌👌👌ila hote wapo vizur jmn dah waweza umiza kichwa kumtafuta mshid
Nwachane azaboi anakuja kwa spd ya light, leornado is genius due to his consistency, my men from mbey Nox m leo katsha, ASma 💯💯
@brunojoseph8270
2 жыл бұрын
Nimefurah kuona hii comment coz jamaa namkubali toka kiskuli
@Luck_Melody
2 жыл бұрын
Skupingiiii ushindi ni azaboi
@ezekielwatson7048
2 жыл бұрын
@@brunojoseph8270 good comedian
Mohammed from Kenya nachekatu lakini pia!👊
@aminaamiri7684
2 жыл бұрын
Karbu tz
@mohammedathman5816
2 жыл бұрын
Thanks alot Nshaallah siku moja ntafika huko🙏
@aminaamiri7684
2 жыл бұрын
@@mohammedathman5816 ok u are welcome to our country
@mohammedathman5816
2 жыл бұрын
@@aminaamiri7684 ahsante sana my friend nafurahi sana kwakuni karibisha wallah🙏
@mohammedathman5816
2 жыл бұрын
@@aminaamiri7684 uko Tanzania sehem gani
Leonardo, said, na ndaro 2kutane finale🙌🏾
@slimmuhabesh2400
2 жыл бұрын
Leornard atar sana
@pilotkhelfin4711
2 жыл бұрын
Bila shaka jombaa
head master umeua😃😃😃😃😃
Hatari Sana, huyo jamaa wa zima Moto 😀😀
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Masikini tumcheka lkn baadae tumelia sana poleni sana msivinjike moyo
kama na ww coy amekuliza bs gonga like hapo
Leonardo,asma,chimamy nawapenda
Ndaru pamoja na eliudi.mnajitahidi.sana.minawafutiria.sana.marume.hii.from.cap.town sauz africa
Mang'endo amezingua sana bora angemtumia yule character wake wa Insta ila nxt time he can do better
Stiff competition 💪🏾
Coy u are good chiefjuge brother…a leader of StandUpComedy in Tanzania
Wasafi daa very funny leo nimeamin somo lahisa🇸🇦
Asmah ma girl😍😘🥰
Duh so emotional kaka alicho kuongea ni ukweli mtupu Sio wote wamekuja kuperform Cheka tu kua ni kipaji Chao ila tu wamekuja kusudi watoke kimaisha 😢😢😢😢
BOOM ON FIRE ..magic Commedian
Nataka siku mfanye competition tz na Kenya tuone vipaji
Twend mbel turud nyuma hongeren mna waslsh drem yang vzur rock on
Leonardo 🔥🔥🔥💪🏿
Machozi yako yamenitoa machoz piah coy forsure una moyo wa kupenda kbsa kuwasaidia vjana zaid ni maneno yako ya busara yanafundsha sana na kutia moyo Almighty heaven Father bless you na akuinue kwa viwango vya juu sana
Aiiii maneno mazitoooo yaniiiiii u feel it😭😭😭😭
Kama nilivysema tokea mwanzoni nitabakia upande (team) 1.Mama Nyonzo 2.Asma Hawa mabint wanakipaji kikubwa Sana, so nitarud hapa mwaka ujao kuprove hii 🔥🔥🔥
@mamanyonzo_og2607
2 жыл бұрын
ameen
@mtaalamwamambo2099
2 жыл бұрын
@@mamanyonzo_og2607 tuko pamoja na wewe
Mang'ndo mumemuonea anastahil kuendelea 😭😭😭😭🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Pole coy jmn😢😢vizur umewatia moyo......baba love eti mi ntawatowa tu😆😆nakweli yaitaj roho ngum sn
Inaumiza kwakweli mungu awasaidie mm namuelewa coy hata mm niko hivo.baba levo haha kweli ww ni judge 🤣🤣🤣
Renaldo, Ndalo na Said Said nyie moto wa Petroli🔥🔥🔥
Leonard is so genius
Naipenda sana chekatu😂😂😂
Duh leo nimejitaid hadi wakwnz
Mang' ndo mumurudishe anajua sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Kdo
Big up Nox m,
Dah chef juge 😭😭😭😭
Leonardo, Saidi na Ngaro Awa watu achana nao kbs 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@caloryrenatus1102
2 жыл бұрын
Seen
Uuuwi leonard anaweza jamaniii🙌🙌🙌
Namkubali sana leonard
izo héla ziende kwa BOOM Uyo magician comedy
Leonard unajua
Mungu ni mwema ila tukubali kua ni mashindano kwa wale mlio shindwa amini mtafautu kwingine
So emotional
Mmh Leonard asma said na azaboi i love this guys maana daah wanachekesha halafu wapo so seriously kiukwel
good show kali sanaaaaaa nimependa
Head master is so professional
@danielpaul84
2 жыл бұрын
Sana
Leonard namba 1
My brother ,my uncle , Mai zumo this joke went over people’s head
@silverdavid6200
2 жыл бұрын
Only few got it.
Pamoja sana wasafi tv
Cheka tu comedy 👏👏👏wasafi tv
Nomaa
Jamani muzungu alia usilie vumilia kumbe unamoyo wahuruma nakupenda sana nzungu ukovizuri
Napenda sana, mimi ni mtazania, naishi Italy ❤ napenda
@sakinaroshanali2636
8 ай бұрын
Tanzania 👌🏽👍🏾
Jamaa wa masingaombwe anatia hela kwenye mfuko wa shati, watu wanashangaa
@nissamwapoladi7345
2 жыл бұрын
Akili umakinina usharp unatakiwa sana anajitahd ni ngumu sana.
@athusmateru
2 жыл бұрын
Daay...kumbe Ommy ulimcheq pale alivotupia hela mfukoni faster na hakuna alojua🤣🤣🤣🤣🤣 ila mengine sijajua anafanyaje huyu mwamba daah!
@Mr_Highlights360
2 жыл бұрын
@@nissamwapoladi7345 kweli unawez ukaangusha🤣
Ni jeshi km ya saudia,🇸🇦
Well done judges ur right
Io ni kweli lazima mshindi apatikne faida wampta pia coz watu wengi wamezid kuwajua kuptia apo apo kujiogeza tu wenywe tu sas
Aza boi is ma best anymore
Msipompa Leonard mmelogwa
Mang'ndo arudi ameonewa tunampenda sana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Kdo
😂😂😂😂😂Dah jol master ww kichwa kibov
mwanaume akilia n raha jamn koi mzngu .... 😂😂😂😂😂 ad hurm lkn
Naskiaga mwanaume kulia ni ngumu sana Ila kwa coy ameonesha upendo wa kweli ni jinsi gan anatamani na wenzake wapate bac na mm namuombea coy apate zaid ya hapo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Watizamaji mtu tengenezee platform ya kuwapigia kura washiriki. Gerald Sebastian. Arusha, Tanzania
Well said coy....
Leonard anajua jamn
leonard na ndalo tukutane fainal🔥🔥🔥
@daudsnopdissa5662
2 жыл бұрын
azaboi umemuacha wap
1:15:30 Judge Koi akilia😭😭😭
Azaboi 😂😂😂😂😂na leonard
@brunojoseph8270
2 жыл бұрын
Endelea saana kumuombea aza boy mana huyo mwana ni next level 🔥🔥
Azaboi is the best
@brunojoseph8270
2 жыл бұрын
More than best ✊✊
Coy mzungu iyo tabia ya kulialia embu acha
@1:15:48 Koy Anamkubuka EX wake amevishwa kapete, anajililia zake..😂😂😂😂 #LEONARDO KEEP IT UP BRO,
@gidionkadaraja1403
2 жыл бұрын
Hahahahaha
@deborahseth1914
2 жыл бұрын
uwiiiii
Ninge muomba koy amsaidie kimbwele kwenye utangazaji mpaka comedy search ata kapo kamilika atakuwa kasha pata experience
@nissamwapoladi7345
2 жыл бұрын
Kwakweli ana saut nzuri lazima atapata kazi hawatomuacha hvhv
Angalau Sasa natumia bundle langu nyumbani lilikuwa ninamalizwa na Churchill's show
Leonardo ni mkari lakini leo ulipia kidogo, usituangushe weekend ijayo
Leonard, chuga boy moto
Meaning of competition!!
Leonard mshindi