TAZAMA VITUKO VYA WASHIRIKI WA MBEYA KWENYE MCHUJO WA CHEKA TU COMEDY SEARCH

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 625

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y3 ай бұрын

    Eliud anaroho nzuri sana, Mungu azd kukusimamia Eliud wetu❤❤

  • @inspiringmediarecords4391
    @inspiringmediarecords43913 жыл бұрын

    Ushawahi cheka kwasababu mtu hachekeshi??😂😂tujuane kwa likes

  • @yamunguhussein4330

    @yamunguhussein4330

    3 жыл бұрын

    Mtu anakwambia naomba niondoke 😂🤣

  • @dorcasmkwelah7183

    @dorcasmkwelah7183

    3 жыл бұрын

    hahahaha 2ko pamoja

  • @gemstoneofficial1438

    @gemstoneofficial1438

    3 жыл бұрын

    Hasa achekeshi we umechakaje🤣🤣🤣🤣

  • @amosimgeni

    @amosimgeni

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @Swabra.

    @Swabra.

    3 жыл бұрын

    Yaani tupo😂😂😂

  • @georgelyego6256
    @georgelyego62563 жыл бұрын

    Kama wewe umekuja kucheki hii video coz ya kucheka tu naomba like yako

  • @DAVID-wp4vc
    @DAVID-wp4vc3 жыл бұрын

    Ila coy mzungu ni mtu na anajua alipotoka namkubali sana coy he is a real man,father and Brother naingalia nikiwa iringa aje tu na huku

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16503 жыл бұрын

    Huyo msenge aloambiwa akalete chakula mimi kaniumiza mbavu kabisa ... The guy is naturally funny aisee😁😁😁😁🤦🏾‍♂️

  • @rebecahuberth2630

    @rebecahuberth2630

    2 жыл бұрын

    Hahaaa

  • @ungwamwangaza7297
    @ungwamwangaza72973 жыл бұрын

    Dhh uyo kaka mwenye ako na Da Neema nime penda alivyo sema❤️😍😍

  • @creatymnyanga3237
    @creatymnyanga32373 жыл бұрын

    Wazo ni zuri sana kwa utafutaji wa standup comedian. Ila kwa upande wa programme production haikuwa poa kwani ni copy and paste ya programme production nyingine. Hakuna ubunifu mpya kabisa!!

  • @thomasponera6018
    @thomasponera60183 жыл бұрын

    Safi sana mwanzo mzuri Coy Mzungu, Mungu awabariki mpate wachekeshaji wenye vipaji haswa

  • @romakoko2292
    @romakoko22923 жыл бұрын

    Kuna jamaa alipoteza kila kitu kwa stage😂😂😂

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel28213 жыл бұрын

    Nembo ya mtaa mo town Sanya🔥🔥

  • @user-tn6zv2wc3p

    @user-tn6zv2wc3p

    5 ай бұрын

    Noma sana

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool52233 жыл бұрын

    Yan hpo majaj wanacheka sio kwamba wanachekeshwa ila wanahuzunika to😂😂😂😂😂

  • @mwasitiomari3313

    @mwasitiomari3313

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bibahwabae3066
    @bibahwabae30663 жыл бұрын

    Baba Levo alivyo seriously utazan sio yeye Yule chzi 🤣🤣🤣🤣

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time13483 жыл бұрын

    Wasafi n kiwanda cha sanaa Africa 🌍

  • @Richesfam
    @Richesfam3 жыл бұрын

    😂😂😂 The host njo anachekesha Mbona hawa watu awachekeshi

  • @simba_de_leo5042
    @simba_de_leo50423 жыл бұрын

    Daaah coy is really genius by that way he make decision good up bro

  • @jafetzmwacha1503
    @jafetzmwacha15033 жыл бұрын

    Daaah uyo jamaa alio poteza netwek hahahha

  • @official_bhachuri5684
    @official_bhachuri56843 жыл бұрын

    Sina chakusema juu ya broo mungu ampe moyo huo huo maana kwenye dunia hii yupo peke yake

  • @Kingkadir24
    @Kingkadir243 жыл бұрын

    Huyu interviewer hapo nje mnafki sana😂😂😂💔💔💔💔

  • @asibumwande7896
    @asibumwande78963 жыл бұрын

    Mwamba elidy nakubali brooo we mkali mungu akubresss sana

  • @tumatijr_9142
    @tumatijr_91423 жыл бұрын

    mchekeshaji anaenda kuchekesha afu anachekeshwa yeyeee😆😆

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20583 жыл бұрын

    Mama mchungaji ameziajiri mbavu zangu kwa muda🤣🤣🤣🤣🙌

  • @SandeMwikuyu

    @SandeMwikuyu

    11 ай бұрын

    We jamaa hautaiona mbingu😂😂😂😂

  • @mototv1599
    @mototv15993 жыл бұрын

    Anaechekesha mwengine aibu naona Mimi😂😂😂🤣🤣

  • @latifamohammed6292

    @latifamohammed6292

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @samsoniyonas3787

    @samsoniyonas3787

    3 жыл бұрын

    Hahaha criaz 😅😅

  • @masamabinhuse4599

    @masamabinhuse4599

    3 жыл бұрын

    ,😂😂hatar na nusuu

  • @isariasungusia2949

    @isariasungusia2949

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @radiIbrahimnuhu

    @radiIbrahimnuhu

    3 жыл бұрын

    Hahahahhaha hata mimi

  • @j.bjacobbasubi2187
    @j.bjacobbasubi21873 жыл бұрын

    Asante sana Éric Mungu akubariki kwasababu ulifanya ile ambayo kristoyesu anayo itaka yani nilazima kujitowa kwaajili ya mwengine 🇺🇬🇨🇩🇨🇦

  • @gehazmakoga1018
    @gehazmakoga10183 жыл бұрын

    Dah kuchekesha haijawahi kuwa rahisi imagine kuna watu hapo wanaona wanachekesha aibu napata mimi huku aisee majaji wanakazi sana

  • @alexyohana4708

    @alexyohana4708

    3 жыл бұрын

    daaaa sio wewe tu

  • @immanuelmwaipopo1605

    @immanuelmwaipopo1605

    3 жыл бұрын

    Hahahaaaaa upo sahihi

  • @sarahmpungu5487

    @sarahmpungu5487

    3 жыл бұрын

    Kwa kweli duh

  • @lizzydiy4590

    @lizzydiy4590

    3 жыл бұрын

    Yaan kama mshiriki wa pili kafanya nimepata aibu balaa

  • @highthemetv7857

    @highthemetv7857

    3 жыл бұрын

    @@lizzydiy4590 😂😆😂😆

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses9793 жыл бұрын

    Eliudi alivyomchagua huyo binti niumia but judge alivyomrudisha nilitoka chizi jamaa anajua afu ana upendo

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    3 жыл бұрын

    Eliud anafaa kuwa Judge Big up sana kwako Eliud

  • @salimomary6279
    @salimomary62793 жыл бұрын

    Hapo ndo ushamfikisha baba levo 🤣🤣🤣🤣

  • @frankblessy2482
    @frankblessy24822 жыл бұрын

    From Kenya I silute Eluid, his a really Gentleman

  • @HappynessJose

    @HappynessJose

    2 жыл бұрын

    Kinyambi 😂😂😂

  • @heromanmwamba5000

    @heromanmwamba5000

    2 жыл бұрын

    4 sure

  • @elizamaiko7789
    @elizamaiko77893 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂baba levo nakupenda Sana

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace43353 жыл бұрын

    Cheka tu. Hapo nimegundua kitu washiriki wanao kuja wanahofu ya muda ndomana wengine wanatumua muda mchache sana so ingekua vyema washiriki wawekewe saa hapo ukutani

  • @yusuphbaracha6137
    @yusuphbaracha61373 жыл бұрын

    Hii ni moja ya show niliyofurahi kuona so nimependa jajiz mlivyofanya selection lakin msiwaache tu bali wafundishen jinsi ya kutengeneza or format ya delivering hizo content

  • @bighead8184
    @bighead81843 жыл бұрын

    Uwezo kuchekesha unazaliwa na kipaji. hata ukiwa hana experience atakuchekesha. Mimi sijafurahi hata moja. Comedians ni kazi nguvu sana. Nice show

  • @tamarablack254
    @tamarablack2542 жыл бұрын

    Hizi comedy nazo .😂😂😂Mbona una kipara🇰🇪🇰🇪

  • @sellinakapama4375
    @sellinakapama43753 жыл бұрын

    Kipindi kizuri sana! Safi Sana Wasafi TV kwa kutupa burudani tosha!

  • @yusuphmohamed2816
    @yusuphmohamed28163 жыл бұрын

    Hey wasafi me cjawah kukoment hat cku moja ila huyo jamaa na uyo dem hapo wameniliza 4sure😭huo cyo msaada bali ni upendo

  • @jescagodwin2732
    @jescagodwin27323 жыл бұрын

    Halafu wawekwe audiencesi at least 20 wawepo live. wao ndio watadetermine kama mchekeshaji anachekesha pale watakapo cheka. The Number of people who laugh can determine the competence of the presenter.

  • @madsofttz1718

    @madsofttz1718

    2 жыл бұрын

    That's really bro, audiences wanaumuhime sana make uharisia unakuwepo pia kuna ushawishi wa mchekeshaji kufristyle

  • @ramsikhamis7083
    @ramsikhamis70833 жыл бұрын

    😅😅😅Denis kaomba aondoke mwenyew aisee... pesa hii daaa

  • @marynyabenda4414
    @marynyabenda44143 жыл бұрын

    Jmn loooooooh uyo wa pili anaongea upuuzi tuu

  • @masinzamark7051
    @masinzamark70513 жыл бұрын

    Mo town bro uko juu huwa wanipinga sana from 254

  • @mahamedabdi1881
    @mahamedabdi18813 жыл бұрын

    Tanzania hatowezi Comedy tuwaachie wakenya Comedy za Kenya utacheka tu 😆🤣😄

  • @meshack3266
    @meshack32663 жыл бұрын

    Mtu imala bhana hapo kwa kinyambe hahahah

  • @chembeakhalifan7828
    @chembeakhalifan78283 жыл бұрын

    Uyu mzee baada ya kuchekesha anatoa nasaha hahahahah

  • @professormacomplexa7422
    @professormacomplexa74223 жыл бұрын

    Inaitwa Stand Up Comedy. Sio mchezo😃

  • @rb3176
    @rb31763 жыл бұрын

    Habari zenu ? Mzuri...Mumekula ? ndio.. Aya kalete chakula basi😂😂😂 Hii kali wadau😂😂😂😂

  • @sumamwamba3708
    @sumamwamba37083 жыл бұрын

    0991 mshiriki kanichekesha kweli Yan akifika kwenye stegi anasahau mwisho akakubali kushindwa tu

  • @philomenagathoni2861
    @philomenagathoni28612 жыл бұрын

    Coy your judgement is promising you never demoralize anyone, God bless you, ( wanjala Toka Kenya )

  • @lynucylavezzy3232
    @lynucylavezzy32323 жыл бұрын

    Dah kucheksha n kaz wallah

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    3 жыл бұрын

    Sio ndogo dam yanguu... 😅😅😅

  • @Mr_Highlights360
    @Mr_Highlights3603 жыл бұрын

    Jamani kwani wanashindwa hata kuchukua JOKES za GOT TALENT zile unatranslater unaleta hapa,

  • @evelinaluvata1471

    @evelinaluvata1471

    3 жыл бұрын

    Simbaka uwe una jua English 🤣🤣🤣

  • @mussamivache4986
    @mussamivache49863 жыл бұрын

    Mwaisa mtu mbadi yuko wapi jmn🤣🤣🤣❤️

  • @kingcicero1708

    @kingcicero1708

    3 жыл бұрын

    Kwani wa wapi uyo jamaa? From Mozambique 🇲🇿 hapa

  • @alextanzania

    @alextanzania

    3 жыл бұрын

    @@kingcicero1708 wa Mbeya - Isengo

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga48052 жыл бұрын

    nimecheka sanaa sio kwa ubaya nimependa program iwe endelevuu

  • @novusengineering_tz4523
    @novusengineering_tz45233 жыл бұрын

    Shikamoo standup comedy hahaha Kumbe co rahisi

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku77833 жыл бұрын

    Jamaaa kauza kampuni yake Cheka tu kwa tajiri kwa mark x kawa mwajiriwa tu sasa hivi

  • @andrewkilave3532

    @andrewkilave3532

    3 жыл бұрын

    Kivipi kaka

  • @victoriabulambo2029
    @victoriabulambo20292 жыл бұрын

    Zembwela sijawai kumuona akicheka, kwaiyo ukitaka kumchekesha inaitaji kazi kubwa sana

  • @josephmanyama435
    @josephmanyama4353 жыл бұрын

    Nakubali sana Jose wa mama Jose safi sana wajina unakipaji sana man piga kazi

  • @DAVID-wp4vc
    @DAVID-wp4vc3 жыл бұрын

    Nimempenda huyo aliyecopy jolmaster 🤣🤣🤣

  • @jafetzmwacha1503
    @jafetzmwacha15033 жыл бұрын

    Uyo jamaa mpishi nime cheka sana yani hahaha

  • @joharichaima4309
    @joharichaima43093 жыл бұрын

    Nyie mi nampendaga baba levo akiongea ata kawaida tu nacheka

  • @Stayawayfromislam2
    @Stayawayfromislam23 жыл бұрын

    Chiff dguje anaheshima sana I like that

  • @jasminegabriel4247
    @jasminegabriel42473 жыл бұрын

    Jamani mimi kwa ushauli naomba muwape washiliki mda waku weza kufanya kile wana choweza hata waki weza kuigiza kama mtu mwingine

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe99762 жыл бұрын

    Ulie igiza kama dogo langu kinyambe yaani umearibu sana ivi bless ulikua skabda uyole ulikua wap na aliko mkangafu ulikua wap tatu ulikua wap vipaji tunduma ilemi kwa samu video center yaani wote rama sombe nguvu zimenishia kweri samwer vwawa mbeya mmetutia aibu

  • @joyron104
    @joyron1043 жыл бұрын

    Zembwelaaa...umezdi fhambi kwel😂😂😂

  • @shedrackmwaipopo9427
    @shedrackmwaipopo94273 жыл бұрын

    Sema huyo dadaa ziro kabsa na kisuruari chake

  • @Kingkadir24

    @Kingkadir24

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @nyimbozangu3684
    @nyimbozangu36843 жыл бұрын

    Kwamba kachiri on dis one nakukubali kinoma noma an

  • @maasaimkisii9089
    @maasaimkisii90893 жыл бұрын

    *Salute From Kenya* 🇰🇪🇰🇪

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza91132 жыл бұрын

    Zembwera saruti kwako nilijua tu lzm umukumbatie neema😁😁

  • @michaelnyello-nh6uk
    @michaelnyello-nh6uk Жыл бұрын

    Eliud ni mwamba yupo tayari kujitoa kwa ajili ya mwingine big up bro

  • @kisakim5660
    @kisakim56603 жыл бұрын

    😂🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣zebwela nakuolewa

  • @supermaestrograndmasteramo8466
    @supermaestrograndmasteramo84662 жыл бұрын

    Mwanza Lin au mmeisha toka by king killer

  • @joakimndanga1170
    @joakimndanga11703 жыл бұрын

    tisha sana. ila mmetunyim utamu wa round ya pili

  • @asibumwande7896
    @asibumwande78963 жыл бұрын

    Big nimemwelewaaaa sana

  • @syntaxerror9217
    @syntaxerror92173 жыл бұрын

    Yaan apa utacheka sio sababu washiriki wanavichekesho hamna ila wanachochekesha kinachekesha🙄🙄😂

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe99762 жыл бұрын

    Lkn naona mulichukua watu sio mbeya vipaji vipo lkn mulichagua sijuhi au matangaxo yalikua sio ya kutosha maana vipaji mbeya Vincng

  • @momylaviel
    @momylaviel2 ай бұрын

    Eliud ana roho nzuri sana jamanii

  • @godfreymlula6466
    @godfreymlula64663 жыл бұрын

    Mm binafsi nimependa uyo jaji na majaji wote pia kwakulipa wema wa uyo jamaa aliekua tayali kubaki yeye na kukubali mwanamke aende kiukweli kwangu mm imenitoa machozi kabisa ameonyesha kuwasapoti wanawake wanawake wanaweza mwanamke ni Tai mungu awabariki wasafi kanzi nzuli sana

  • @mussahaji1152
    @mussahaji11523 жыл бұрын

    mzee mtapwela ni jeur htri

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani32833 жыл бұрын

    Ma judge wiki ongea waki hoji ndio raha yake hahahhaha Safi Sana kutoka Dubai pamoja sana

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania49123 жыл бұрын

    Baharia hasaa tena wanchi kavu😂😂😂kaza baba mzaramo wa mbeya ulojitokeza 😂😂👻

  • @lucymkude2853
    @lucymkude28533 жыл бұрын

    Sijaelewa alomleta Baba levo Baba levo kuwa judge ni Nani, kwa kweli hafai

  • @ngoshathebest228

    @ngoshathebest228

    3 жыл бұрын

    Achatu dada, si linabebwatu

  • @shadyamollel1453
    @shadyamollel14533 жыл бұрын

    nmependa iyo matching items

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv47253 жыл бұрын

    Mbn hii inanipita jamaan mpo mbeya sehem gan... WA-MBEYA COMEDY

  • @waheedahtanzania4912

    @waheedahtanzania4912

    3 жыл бұрын

    Imeisha hiyooo 😂😂njoo dar kesho Asubuhi kinondoni viwanja vya leaders 🚶🚶🚶

  • @musamgulila577
    @musamgulila5773 жыл бұрын

    Jo master hachekesh bana labda lkn uwezo mdogo sana

  • @angelokihaka7216
    @angelokihaka72163 жыл бұрын

    Huyu Jose wa kweny Tunu huko wasaf anakipind siku gan?????? Napendag anavosema jion ya leo

  • @stn4873

    @stn4873

    3 жыл бұрын

    Ni Giiiiii. GIONII YA LEOOO

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael83813 жыл бұрын

    Neema. Nimekupenda sana. Next time tufurahishe sisi wahanga wa hisia. Wakati Eliud alipoanguka chini....nilitamani ungemuinua na kum hug sana kwa sababu ya kile alichofanya yeye kwako. Hongera sana.

  • @gemstoneofficial1438
    @gemstoneofficial14383 жыл бұрын

    Dakika 32 huyo mzee katisha Sana hachekeshi lakini ndo amenichekesha kuliko wote🤣🤣🤣🤣

  • @kelvinmuthami4147
    @kelvinmuthami41473 жыл бұрын

    Nafikiri Comedy bado haijashika mizizi TZ, wako 'comic' lakini Delivery ndio shida

  • @clausemsemwa297

    @clausemsemwa297

    3 жыл бұрын

    Hakuna kitu

  • @jescagodwin2732
    @jescagodwin27323 жыл бұрын

    Yaan wanaochekesha sio watainiwa n majaji

  • @mndemetv8851
    @mndemetv88513 жыл бұрын

    Jamani kwa dar es salaam ni lini na programe kujiunga ni vipi vipaji tunavyo tutaishia kuvionesha mashuleni

  • @peteralmas8311
    @peteralmas83113 жыл бұрын

    Mwamba mtu imara nakukubali saana mzee baba

  • @bensonhamis3303
    @bensonhamis33033 жыл бұрын

    Hili zoezi gumu mno😄

  • @rojasramadhan476
    @rojasramadhan4763 жыл бұрын

    Kwaupande wangu hapo sijaona wachekeshaji ila waigizaji wa movies wamo.

  • @andrewkilave3532

    @andrewkilave3532

    3 жыл бұрын

    Kabsa yaani ingekuwa inaandaliwa tamthilia wangechukuliwa wengi sana

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum5 ай бұрын

    Aisee Ninacheka kwasababu Hawachekeshi 😂😂

  • @Chapesatv
    @Chapesatv3 жыл бұрын

    Next town ni mwanza tujuane wana

  • @worldchanneltv1809
    @worldchanneltv18093 жыл бұрын

    Ila kuwa mwanaume kazi kinoma

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje47303 жыл бұрын

    Hakuna Kazi Ngumu Kama Kuchekesha...Tena Unamchekesha Usiyemjua Nn Kinamchekeshaga Akiwa Kanuna 😅😅😅

  • @queencharles3987
    @queencharles39872 жыл бұрын

    Yaani nacheka kwakuwa sielewi kinachoendelea kweli kuchekesha kazi aise 😂😂😂😂😂😂😂 Et naona kama sukar ya zuchu yote kama amelala nayo yeye 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @esterdoriye4304
    @esterdoriye43043 жыл бұрын

    Huyo aliyesahau ndo kachekesha zaidi

  • @kelvin8324
    @kelvin83243 жыл бұрын

    No.0991---😄😆😅sema blackout 🌚.....pole bro tha is always next time👊🏿

  • @Tajiriabasy
    @Tajiriabasy3 жыл бұрын

    Tatizo majaji wenywe wana kaaza wamenuna sura ngumu utachekeshaje aisee

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 Majaji wenyewe ni wakuokota tu

  • @mymussept3662
    @mymussept36623 жыл бұрын

    Mm naona vizuri wekeni na hadhira

  • @arqamibnarqam.7185

    @arqamibnarqam.7185

    3 жыл бұрын

    Bado mapema sanaaaa

  • @tofikinaftali4336
    @tofikinaftali43363 жыл бұрын

    Comedy njoo kenya bongo wanatoa story

  • @nyandamathias6103
    @nyandamathias61033 жыл бұрын

    Mpka nimelia namkubali eliud

Келесі