WASHIRIKI WA DODOMA WALIVYOVUNJA MBAVU ZA MAJAJI KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH DODOMA 2

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 202

  • @mohammedmaalim6454
    @mohammedmaalim64543 жыл бұрын

    Coy is very smart person

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph25763 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂milembe imejengwa pale Dodoma ni makutaniko ya wehu

  • @sifasanga7866
    @sifasanga78662 жыл бұрын

    Tuwape heshima Sana Akina Joti, Mpoki Mc Mboneke Nk...kuchekesha kazi ngumu sana

  • @vailetmwakalobo6075
    @vailetmwakalobo60753 жыл бұрын

    No 1 wap like za B.levo

  • @wiseboytv2974
    @wiseboytv29743 жыл бұрын

    😂😂😂ila babalevo eti hospital ya milembe imejengwa Dodoma kwasababu,nimakutano ya wehu😂nimecheka kifala,!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @siyeyetv

    @siyeyetv

    2 жыл бұрын

    Wamemsikia

  • @christonchristian7448

    @christonchristian7448

    Жыл бұрын

    uyu mwehu ni 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @prosperswai490
    @prosperswai4903 жыл бұрын

    Bado sijaona kam Arusha

  • @lizzydiy4590

    @lizzydiy4590

    2 жыл бұрын

    Arusha ni noumaa

  • @nazaretimwamba2416
    @nazaretimwamba24163 жыл бұрын

    Mshindi tuu ataroka Arusha kabsaaaa 🇧🇮🇧🇮 kwani mnasemaje uuuh

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.29613 жыл бұрын

    Coy ur gd in judgement

  • @lizzydiy4590
    @lizzydiy45902 жыл бұрын

    Huyo alokua anacheza kama mwanga 🙌🙌🙌

  • @lexrock427
    @lexrock4273 жыл бұрын

    Etiii wallah huu ugonjwa utoboi ... Mshiriki wangu bora🤣

  • @genesishalisi7161
    @genesishalisi71613 жыл бұрын

    Coy mzungu nimekupenda bure una moyo mzuri Sana unayajua maisha Safi sana brother

  • @mwaisanyonyoma416
    @mwaisanyonyoma4163 жыл бұрын

    Hawakukosea kujenga hosptali ya milembe Dom... Knachohtajika na knachofanywa tofauti

  • @norahyrron
    @norahyrron3 жыл бұрын

    Representing kenya

  • @muzlyzam
    @muzlyzam2 жыл бұрын

    Nani amerudi hapa baada ya final?

  • @kilekaerck3811

    @kilekaerck3811

    2 жыл бұрын

    😆😆😆😆☝

  • @anastaziakilaza7456
    @anastaziakilaza7456 Жыл бұрын

    Comedy ni kazi na ni talents inayotumia hisia ya sita very tough kama mwili Wako haukuruhusu kufanya hicho kitu

  • @nashadullamwatsavwa7659
    @nashadullamwatsavwa76593 жыл бұрын

    Nlipenda comedy ya Arusha

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne88243 жыл бұрын

    0985 good for this it make me laugh with my family from USA

  • @emmasheck6552
    @emmasheck65522 жыл бұрын

    COY Mzungu bro if you guys truly mean to discover talents. The Rasta man with the old age...aliekata viuno anakila kitu cha kumfanya awe comedian. Kama nimewasikia vema; 1. Mnatafuta mtu mwenye kipaji halisi. 2. Awe na content 3. Awe mwenye kuandika set yake ya jokes kuleta mpangilio kwenye presentetion yake. 4. New face Huyo jamaa mmemkataa tu sawa ninyi ndio judges ila kama mnataka kwenda international you need people with logical and smart jokes kama za jamaa. Kazi yenu ni nzuri ila two judges hapo hawa qualify hata kushindanishwa na huyo bwana Rastafarian. He is real...so real. Sijamtaja Bebelu Zembwela of the two un qualified judges to compete him. Big five.

  • @mwaisanyonyoma416
    @mwaisanyonyoma4163 жыл бұрын

    No. 0985 anajua sana uyo fidodido😂😂😂

  • @kelvinonyango9379

    @kelvinonyango9379

    2 жыл бұрын

    Haaaa umekwisha

  • @youngpanther7616
    @youngpanther76162 жыл бұрын

    Nakubar

  • @restkalemile5274
    @restkalemile52743 жыл бұрын

    Yule jamaa mweus na Bonge wafikirie sana coy..... Huyo sister mwenye miwan hamna kitu umembeba tu nazan unamtaman tu

  • @vibetz9991
    @vibetz99913 жыл бұрын

    Maneno ya Majaji yanachekesha kuliko washiliki😂😂😂

  • @theafricandiamondtv5424

    @theafricandiamondtv5424

    3 жыл бұрын

    Wao kua majaj imaanisha wanajua zaidi

  • @laurinfred2931
    @laurinfred29313 жыл бұрын

    Hao kina dada kunakipi kinaendelea 😅😅 maana mmeacha macomedian, mkachukua wadada

  • @Az__2012
    @Az__20123 жыл бұрын

    Mshkaji anaekata mauno mumemuibia tu

  • @inri003

    @inri003

    3 жыл бұрын

    Double standard

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph25763 жыл бұрын

    Dodoma hakuna wachekeshashi wengi ni wehu Kama alivyosema baba levo ndio maana milembe ikajengwa hapo 😂

  • @elysahussein5804
    @elysahussein58043 жыл бұрын

    Iyi kazi ngumu san

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal94723 жыл бұрын

    Alokata mauno mauno kanichekesha 😂😂

  • @shihume256
    @shihume2563 жыл бұрын

    Dah....kama niivi naweza

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne88243 жыл бұрын

    Baba levo mwenyewe niche wa Diamond

  • @youngpanther7616
    @youngpanther76162 жыл бұрын

    Aza boii

  • @azaboicomedy

    @azaboicomedy

    2 жыл бұрын

    Blood❤

  • @stellah3844
    @stellah38443 жыл бұрын

    Huyu dada mwenye ushung umembeba bora ungemchukua Yule bonge au Yule mkaka alovaa kilemba aisee

  • @siyeyetv

    @siyeyetv

    2 жыл бұрын

    Bonge mmemuacha bure tuu

  • @azizahamisi7349

    @azizahamisi7349

    2 жыл бұрын

    Kweli

  • @cloneltv
    @cloneltv3 жыл бұрын

    Hao watatu ambao Coy ulilia wakat wa kuwatoa mbona ndo wanadeserve daah

  • @edgarivan6344

    @edgarivan6344

    3 жыл бұрын

    Nakubaliana na wewe

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514

    @drisayaambulatoryvetclinic1514

    3 жыл бұрын

    Na mm nashangaaa kwann amewatoa maana wale ndo wakali zaidi nilihc ndo wana pata

  • @answarulmahdy7557
    @answarulmahdy75573 жыл бұрын

    Mikutaniko ya baazi ya wehu🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @irengealkeymufungizi483
    @irengealkeymufungizi4833 жыл бұрын

    So nice

  • @allanothuman2941
    @allanothuman29413 жыл бұрын

    30.1.🤩🤩🤩🤩

  • @wilonjabikey8274
    @wilonjabikey82743 жыл бұрын

    Maisha unayachaguwa na ya naweza kukuchaguwa wewe! Nimeupenda sana huu msemwa.

  • @ivonvena9409
    @ivonvena94092 жыл бұрын

    Wangemuweka na rubeni hakika bhna ni Moto Sanaa yulee🤣🤣🤣

  • @zaburi2386
    @zaburi23863 жыл бұрын

    Yule wa rasta wa kukuta Mauno anajua sana sema zembwela hafai Kuwa jaji

  • @leahsilayo5126

    @leahsilayo5126

    3 жыл бұрын

    Kabisa zembwela hana lolote hapo yupo kwaajil ya kukatisha tamaa

  • @meshacknyerere3040
    @meshacknyerere30402 жыл бұрын

    0985 ni chaguo langu bora sana

  • @jastinjustus6878
    @jastinjustus68783 жыл бұрын

    Wasaaaaafi

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa9943 жыл бұрын

    Zembwela Unakazaaaaa kinomaaaaa

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania49123 жыл бұрын

    Mmhu ila bro Zembwela daah hapa wenye kukupa moyo wa kufaulu maisha ni baba levo na koy mzungu

  • @mwaisanyonyoma416
    @mwaisanyonyoma4163 жыл бұрын

    Dodoma wamezngua sana☹️☹️

  • @c-soundbeats

    @c-soundbeats

    3 жыл бұрын

    Sana

  • @richardmbiro8022

    @richardmbiro8022

    2 жыл бұрын

    Hapana kunawalio perform vizuri kama yule lasta man

  • @flavour_boy1596
    @flavour_boy15962 жыл бұрын

    Tuliokuja baada ya leornado kushinda weka like

  • @HazinaSaid-cv9oz

    @HazinaSaid-cv9oz

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂 bwanaee

  • @sharinv8864
    @sharinv88643 жыл бұрын

    Haki mm siwezi fanya hii kazi ya kuchaguwa mshindi naeza chaguwa woote na naeza lia saana maana nina moyo wa huruma mno daaah ni mtihani kwakweli.

  • @Arnnoboy
    @Arnnoboy3 жыл бұрын

    #deopa Media

  • @bigboss1192
    @bigboss11923 жыл бұрын

    Dodoma wako vinzr sana 😂😂😂

  • @irenel1494
    @irenel14943 жыл бұрын

    Huyo wa kwanza anajua

  • @azaboicomedy

    @azaboicomedy

    2 жыл бұрын

    Ahsante

  • @sirsalumu
    @sirsalumu3 жыл бұрын

    Huyo bonge nadhani alideserve pia kushinda

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq66653 жыл бұрын

    Hii kal😂😂🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal94722 жыл бұрын

    Uyo mwenye dera anasoma sana vibonzo mpak anasahau

  • @annaheggidy7858

    @annaheggidy7858

    2 жыл бұрын

    Ila wewe dada umejua kunifurahisha eti anasoma Sana vibonzo 😂😂😂😂

  • @bahebecharles2948
    @bahebecharles29483 жыл бұрын

    Nimemuona mwanangu eddo

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne88243 жыл бұрын

    0957 he talk like gabo zingabo

  • @jastinjustus6878
    @jastinjustus68783 жыл бұрын

    Majudge ndo wanachekesha hadi raha

  • @mjuba
    @mjuba3 жыл бұрын

    Eti Dodoma ni makutaniko ya wehu 😂😂😂😂😂😂

  • @abdulkanganya9628
    @abdulkanganya96283 жыл бұрын

    Daah dodoma

  • @kadegashibani5934
    @kadegashibani59342 жыл бұрын

    Daah huyu kaka walasta kanichekesha jmn🤣🤣

  • @rehemajuma9733

    @rehemajuma9733

    2 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @ramakimolo125
    @ramakimolo1253 жыл бұрын

    Jaji ndo mchekeshajiii ila washirikii amna kitu bora wachekeshaj wa gwassa 😁😂😁😁

  • @Richesfam
    @Richesfam2 жыл бұрын

    Namba 0890 Ana fanana na Wema Sepeto

  • @fadakemambilinyi550
    @fadakemambilinyi5503 жыл бұрын

    yaan majudge ndio wanaotuchekesha \

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta54212 жыл бұрын

    Beberu hacheki beberu na kucheka wapi kwa wapi

  • @victoriadati3473
    @victoriadati34732 жыл бұрын

    Naomba ratiba ya kipindi cha Cheka tu kwenye Wasafitv

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari88383 жыл бұрын

    0957 Kikao cha Audio, One man pretending a group of a sutan conversation 👍

  • @britonngale6644
    @britonngale66443 жыл бұрын

    Arusha walitisha sana

  • @bestbusiness4351
    @bestbusiness43513 жыл бұрын

    Ng’ombe wa Mwanza wanachoma matofali 😂😂😂

  • @azaboicomedy

    @azaboicomedy

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @bestbusiness4351

    @bestbusiness4351

    2 жыл бұрын

    @@azaboicomedy 😂😂😂

  • @DjmubaTechServices
    @DjmubaTechServices3 жыл бұрын

    hawa madada wanachukuliwa kwnn 😄😄

  • @sethmgeni2463
    @sethmgeni24632 жыл бұрын

    Yes

  • @kibatofinest8840
    @kibatofinest88402 жыл бұрын

    😂😂😂mazee huyo mbongee mweusi anatishia

  • @daniel.shao.9028
    @daniel.shao.90283 ай бұрын

    Dullah alifunika wote hapo why mlimuacha?....ndio maana mpaka leo anaiweza comedy vizuri sana.

  • @nyestthebestboy9367
    @nyestthebestboy93673 жыл бұрын

    Round 1 ilikua moto

  • @jenniferzakaria3884
    @jenniferzakaria3884 Жыл бұрын

    Jaman hz hela zinamfanya mtu aonekane chizi 🤣🤣🤣

  • @emiliaalyhibraimo6367
    @emiliaalyhibraimo63673 жыл бұрын

    Hawa wapo karibu na shishi food uko washashiba harufu za chakula cha shishi

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne88243 жыл бұрын

    Vivi kwalj this boy kawa s supply women 0653

  • @neemankwabi6544
    @neemankwabi6544 Жыл бұрын

    Jaman ata me NINGEKUA jaji sijui tu yule mshiriki wa pili tu NINGEKUA na fimbo Wote wanaongea ujinga piga fimbo

  • @siyeyetv
    @siyeyetv2 жыл бұрын

    Mmeniuz sana

  • @TheMandela21
    @TheMandela213 жыл бұрын

    Makutaniko ya ya wehu

  • @gwijitv
    @gwijitv Жыл бұрын

    🤣🤣🤣tuliokoma tujuane

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne88243 жыл бұрын

    0912 you so funny

  • @ShallooB-cl2iz
    @ShallooB-cl2iz10 ай бұрын

    nami taka kuingiya cheka tu lakini niko zambia

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson15252 жыл бұрын

    WOTE waliovunja MBAVU ZA ndugu ZETU huko Dodoma UMAANA polisi hawajasikia hilo? Kamataaa haoo wavunja mbavu..😄😃😆😆🤣🤣😀😁

  • @doreennaftal4373
    @doreennaftal43733 жыл бұрын

    😂😂 interview ya cmba

  • @nuchonuel0489
    @nuchonuel04893 жыл бұрын

    Noumaaa

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir93 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂🤣

  • @fabiankazimil8276
    @fabiankazimil82763 жыл бұрын

    0020 anazingua

  • @mussasimon1701
    @mussasimon17012 жыл бұрын

    Mwenye kuhitaji vichekesho nitafute in bobo

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56773 жыл бұрын

    Huyo bonge Mhindi yuko vizuri mno

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania49123 жыл бұрын

    Naweka comment kabla sijatazama 🙇🙇🙇

  • @stanfordjeremiah8943
    @stanfordjeremiah89433 жыл бұрын

    et very race.....ndio nn sasa

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne88243 жыл бұрын

    0844 kwali jimbe

  • @yahyajuma2059
    @yahyajuma20592 жыл бұрын

    Daaah Leonardo umetoka mbl sn

  • @bighead8184
    @bighead81843 жыл бұрын

    0844👍

  • @nyeurakibura4791
    @nyeurakibura47912 жыл бұрын

    My bro Charles mkagwa chibonge

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal94722 жыл бұрын

    Sasa kama mmewatoa hao na mwenye kiremba mnapeleka nn mjin🙄🙄🙄🙄

  • @lucialeonard2675

    @lucialeonard2675

    2 жыл бұрын

    Yaan ndo nawaza kwamba wanaacha wazur wanachukua wabovu

  • @esterdoriye4304
    @esterdoriye43043 жыл бұрын

    Koi umelia jamani unatamani ungewachukua wote

  • @kuryaboyg9794
    @kuryaboyg97942 жыл бұрын

    Nice

  • @HappynessJose

    @HappynessJose

    2 жыл бұрын

    Mwenyekucheza yupo vinzur

  • @hellenwaswa2222
    @hellenwaswa2222 Жыл бұрын

    Mjawi huyu 😂😂😂

  • @samwelimwalindu3735
    @samwelimwalindu3735 Жыл бұрын

    Naomba namba yaeliudi

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16503 жыл бұрын

    Poor judging... Ningesema said said had to qualify...

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16503 жыл бұрын

    Makutaniko ya baadhi ya wehu... Baba levo mjinga kabisa 😁😁😁😁

  • @samwelimwalindu3735
    @samwelimwalindu3735 Жыл бұрын

    Tupe Talehe ya kuja songwe tunawahitaji

Келесі