WASHIRIKI WA DODOMA WALIVYOVUNJA MBAVU ZA MAJAJI KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH DODOMA 2
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 202
Coy is very smart person
😂😂😂😂😂milembe imejengwa pale Dodoma ni makutaniko ya wehu
Tuwape heshima Sana Akina Joti, Mpoki Mc Mboneke Nk...kuchekesha kazi ngumu sana
No 1 wap like za B.levo
😂😂😂ila babalevo eti hospital ya milembe imejengwa Dodoma kwasababu,nimakutano ya wehu😂nimecheka kifala,!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@siyeyetv
2 жыл бұрын
Wamemsikia
@christonchristian7448
Жыл бұрын
uyu mwehu ni 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Bado sijaona kam Arusha
@lizzydiy4590
2 жыл бұрын
Arusha ni noumaa
Mshindi tuu ataroka Arusha kabsaaaa 🇧🇮🇧🇮 kwani mnasemaje uuuh
Coy ur gd in judgement
Huyo alokua anacheza kama mwanga 🙌🙌🙌
Etiii wallah huu ugonjwa utoboi ... Mshiriki wangu bora🤣
Coy mzungu nimekupenda bure una moyo mzuri Sana unayajua maisha Safi sana brother
Hawakukosea kujenga hosptali ya milembe Dom... Knachohtajika na knachofanywa tofauti
Representing kenya
Nani amerudi hapa baada ya final?
@kilekaerck3811
2 жыл бұрын
😆😆😆😆☝
Comedy ni kazi na ni talents inayotumia hisia ya sita very tough kama mwili Wako haukuruhusu kufanya hicho kitu
Nlipenda comedy ya Arusha
0985 good for this it make me laugh with my family from USA
COY Mzungu bro if you guys truly mean to discover talents. The Rasta man with the old age...aliekata viuno anakila kitu cha kumfanya awe comedian. Kama nimewasikia vema; 1. Mnatafuta mtu mwenye kipaji halisi. 2. Awe na content 3. Awe mwenye kuandika set yake ya jokes kuleta mpangilio kwenye presentetion yake. 4. New face Huyo jamaa mmemkataa tu sawa ninyi ndio judges ila kama mnataka kwenda international you need people with logical and smart jokes kama za jamaa. Kazi yenu ni nzuri ila two judges hapo hawa qualify hata kushindanishwa na huyo bwana Rastafarian. He is real...so real. Sijamtaja Bebelu Zembwela of the two un qualified judges to compete him. Big five.
No. 0985 anajua sana uyo fidodido😂😂😂
@kelvinonyango9379
2 жыл бұрын
Haaaa umekwisha
Nakubar
Yule jamaa mweus na Bonge wafikirie sana coy..... Huyo sister mwenye miwan hamna kitu umembeba tu nazan unamtaman tu
Maneno ya Majaji yanachekesha kuliko washiliki😂😂😂
@theafricandiamondtv5424
3 жыл бұрын
Wao kua majaj imaanisha wanajua zaidi
Hao kina dada kunakipi kinaendelea 😅😅 maana mmeacha macomedian, mkachukua wadada
Mshkaji anaekata mauno mumemuibia tu
@inri003
3 жыл бұрын
Double standard
Dodoma hakuna wachekeshashi wengi ni wehu Kama alivyosema baba levo ndio maana milembe ikajengwa hapo 😂
Iyi kazi ngumu san
Alokata mauno mauno kanichekesha 😂😂
Dah....kama niivi naweza
Baba levo mwenyewe niche wa Diamond
Aza boii
@azaboicomedy
2 жыл бұрын
Blood❤
Huyu dada mwenye ushung umembeba bora ungemchukua Yule bonge au Yule mkaka alovaa kilemba aisee
@siyeyetv
2 жыл бұрын
Bonge mmemuacha bure tuu
@azizahamisi7349
2 жыл бұрын
Kweli
Hao watatu ambao Coy ulilia wakat wa kuwatoa mbona ndo wanadeserve daah
@edgarivan6344
3 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@drisayaambulatoryvetclinic1514
3 жыл бұрын
Na mm nashangaaa kwann amewatoa maana wale ndo wakali zaidi nilihc ndo wana pata
Mikutaniko ya baazi ya wehu🤣🤣🤣🤣😂😂
So nice
30.1.🤩🤩🤩🤩
Maisha unayachaguwa na ya naweza kukuchaguwa wewe! Nimeupenda sana huu msemwa.
Wangemuweka na rubeni hakika bhna ni Moto Sanaa yulee🤣🤣🤣
Yule wa rasta wa kukuta Mauno anajua sana sema zembwela hafai Kuwa jaji
@leahsilayo5126
3 жыл бұрын
Kabisa zembwela hana lolote hapo yupo kwaajil ya kukatisha tamaa
0985 ni chaguo langu bora sana
Wasaaaaafi
Zembwela Unakazaaaaa kinomaaaaa
Mmhu ila bro Zembwela daah hapa wenye kukupa moyo wa kufaulu maisha ni baba levo na koy mzungu
Dodoma wamezngua sana☹️☹️
@c-soundbeats
3 жыл бұрын
Sana
@richardmbiro8022
2 жыл бұрын
Hapana kunawalio perform vizuri kama yule lasta man
Tuliokuja baada ya leornado kushinda weka like
@HazinaSaid-cv9oz
2 ай бұрын
😂😂😂😂 bwanaee
Haki mm siwezi fanya hii kazi ya kuchaguwa mshindi naeza chaguwa woote na naeza lia saana maana nina moyo wa huruma mno daaah ni mtihani kwakweli.
#deopa Media
Dodoma wako vinzr sana 😂😂😂
Huyo wa kwanza anajua
@azaboicomedy
2 жыл бұрын
Ahsante
Huyo bonge nadhani alideserve pia kushinda
Hii kal😂😂🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Uyo mwenye dera anasoma sana vibonzo mpak anasahau
@annaheggidy7858
2 жыл бұрын
Ila wewe dada umejua kunifurahisha eti anasoma Sana vibonzo 😂😂😂😂
Nimemuona mwanangu eddo
0957 he talk like gabo zingabo
Majudge ndo wanachekesha hadi raha
Eti Dodoma ni makutaniko ya wehu 😂😂😂😂😂😂
Daah dodoma
Daah huyu kaka walasta kanichekesha jmn🤣🤣
@rehemajuma9733
2 жыл бұрын
😁😁😁😁
Jaji ndo mchekeshajiii ila washirikii amna kitu bora wachekeshaj wa gwassa 😁😂😁😁
Namba 0890 Ana fanana na Wema Sepeto
yaan majudge ndio wanaotuchekesha \
Beberu hacheki beberu na kucheka wapi kwa wapi
Naomba ratiba ya kipindi cha Cheka tu kwenye Wasafitv
0957 Kikao cha Audio, One man pretending a group of a sutan conversation 👍
Arusha walitisha sana
Ng’ombe wa Mwanza wanachoma matofali 😂😂😂
@azaboicomedy
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bestbusiness4351
2 жыл бұрын
@@azaboicomedy 😂😂😂
hawa madada wanachukuliwa kwnn 😄😄
Yes
😂😂😂mazee huyo mbongee mweusi anatishia
Dullah alifunika wote hapo why mlimuacha?....ndio maana mpaka leo anaiweza comedy vizuri sana.
Round 1 ilikua moto
Jaman hz hela zinamfanya mtu aonekane chizi 🤣🤣🤣
Hawa wapo karibu na shishi food uko washashiba harufu za chakula cha shishi
Vivi kwalj this boy kawa s supply women 0653
Jaman ata me NINGEKUA jaji sijui tu yule mshiriki wa pili tu NINGEKUA na fimbo Wote wanaongea ujinga piga fimbo
Mmeniuz sana
Makutaniko ya ya wehu
🤣🤣🤣tuliokoma tujuane
0912 you so funny
nami taka kuingiya cheka tu lakini niko zambia
WOTE waliovunja MBAVU ZA ndugu ZETU huko Dodoma UMAANA polisi hawajasikia hilo? Kamataaa haoo wavunja mbavu..😄😃😆😆🤣🤣😀😁
😂😂 interview ya cmba
Noumaaa
😂😂😂😂😂🤣
0020 anazingua
Mwenye kuhitaji vichekesho nitafute in bobo
Huyo bonge Mhindi yuko vizuri mno
Naweka comment kabla sijatazama 🙇🙇🙇
et very race.....ndio nn sasa
0844 kwali jimbe
Daaah Leonardo umetoka mbl sn
0844👍
My bro Charles mkagwa chibonge
Sasa kama mmewatoa hao na mwenye kiremba mnapeleka nn mjin🙄🙄🙄🙄
@lucialeonard2675
2 жыл бұрын
Yaan ndo nawaza kwamba wanaacha wazur wanachukua wabovu
Koi umelia jamani unatamani ungewachukua wote
Nice
@HappynessJose
2 жыл бұрын
Mwenyekucheza yupo vinzur
Mjawi huyu 😂😂😂
Naomba namba yaeliudi
Poor judging... Ningesema said said had to qualify...
Makutaniko ya baadhi ya wehu... Baba levo mjinga kabisa 😁😁😁😁
Tupe Talehe ya kuja songwe tunawahitaji