WASHIRIKI WA DAR KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH NI BALAA
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 321
Hahahahahah Chura wa Cheka tu #Skondongo umetisha Sana
Hongera koi mzungu na kajala ilababalevo hio Shilingi uliompa huyo dada umeitowa Kwa njia ya madharau Sana nawew mwenye unalelewa na Diamond Chawa Bwegee tu
Astaghfirullah..yani paka mungu pia anapijiwa mifano yakipumbavu mungu akusamehe we dada
Nampenda Coy Mzungu he is very Humble and humanity
Kinacho ni huzunisha watu wenye vipaji wapo wengi ila hawajitokezi kwenye izi nafasi muhimu matokeo yake wanajitokeza no vituko vitupu wanaleta masihala.
19:14 motivetion speaker
Huyo mshkaji wa pili katisha wapi like zake
@angellomarcel5677
2 жыл бұрын
KOBELO NI SHIDA SANA
😂😂 wanaume wa dar wanachamba nyie sio mchezo
Dar hamna kitu Bora hata ningemwona mjomba kazoa mzee wa diko🤣🤣🤣
Duhhh dar mmezingua kwakiwango cha 10G
DAR mzaa ni mwingi sana bado hatujaona vipaji hawa wote ni bure kabisa ukilinganisha na wale mliowatumbua Arusha in last stages. Bora warudisheni wale jamaa wa Arusha mliowachuja
@Mohamedkasim2
2 жыл бұрын
Aisee ni kweli Kabisa dar hakuna mchekeshaji hata mmoja aliethubutu kuchekesha hata kidogo borea hata uko Arusha
Bado Arusha is the bxt
Dar washiriki ni wengi ila hamna kitu, Bora arusha vipaji vilikuwa vingi
Dah yani huyu Dada kanitoa machozi nimekumbuka mbali sana asante ma Paula pamoja na koy mzungu mungu awazidishie mnaroho ya kibinadam sana
Cheka Tu, Nami naomba tuwasiliane niungane nanyi kumsaidia ma Junior! ESTER No. 2360
Dar nayo Haina kitu wapi like za arusha tyuu
@redhappledhabeefiftytwo5280
2 жыл бұрын
Arusha ilikua nouma
@jayzablon7281
2 жыл бұрын
Dah Arusha wote walingia round ya pili wangechukuwa wote juu wajama noma
Amazing sana ndani ya DSM But wengi wanatoa story baada ya kichekesha. 😂😂😂😂
Wanaongea wengne Aibu naona mimi🤭🤭🤭🤭🤭
@jacklinejohn222
2 жыл бұрын
Wamenichefua sana dar 😡
@nazaretimwamba2416
2 жыл бұрын
😂😂😂😂 mimi Pia kabisa
@victormwakipesile5604
2 жыл бұрын
@@jacklinejohn222 🤣🤣🤣🤣nafuu Arusha kule ndo Kuna vipaj
@victormwakipesile5604
2 жыл бұрын
@@nazaretimwamba2416 😅😅😅
@eazieofficial6209
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣baba levo...utaniua🤣🤣🤣🤣🤣eti unakuja ku2wazia apa19:19🤣🤣🤣🤣🤣
@credo7837
2 жыл бұрын
Ndio leo naaangalia
@lizzydiy4590
2 жыл бұрын
😂😂😂 usitupotezee hapa
Kazi kama kazi zingine
Washiriki wa arusha ni balaa yan nataman wangechukuliwa wote
Baba levo mbona majaji ndo mnakua wachekeshaji???😂🤣🤣🤣😂😂🇹🇿🙏🏾
Yaan baba Levo unanivunja mbavu zangu Laaaah Eti tutoleee wendawazimu wako
Kama umemkubali babra gonga like hapaaa
@esterdoriye4304
2 жыл бұрын
Ila koi mzungu kama amemuelewa babra check anavyomwangalia
@angellomarcel5677
2 жыл бұрын
Babra Karugira asee yuko byee
@abdulraufmohammedsalum6806
2 жыл бұрын
😂😂😂
Kaka ulievaa kizibao pamoja na kajara mungu awabarki sana nimeona mlicho kifanya iyonisadaka bila kusau bba levo mungu awabarki kiumjumla
Mama Paula keep it up 🥰🥰🥰🥰🥰
Hawa wa dar kwel mbn Hawana talent😀
Wanaume wa dar bwana hewa tu
Bongo standing comedy bado sana.. Hakuna content kabisa.. But big up to Coy kwa kuanza.. Mwanzo mgumu but tutafika oneday..
😂😂😂😂😂dar wote mashoga au nn kudadek
@manyaraboy
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
KWAKWELI SIJAIPENDAAAA DAR MMEZINGUA
@yamunguhussein4330
2 жыл бұрын
Nasimama na Chuga
Tutolee Wehu😂😂😂
Aaaa dah kabisa wamezingua mnooo uuuh. Arusha jitaarish kubebe ushindi kabisaaa🇧🇮
@lovvy854
2 жыл бұрын
Wamezingusantu 🤣🤣🤣
@lizzydiy4590
2 жыл бұрын
Arusha wako serious sana na pia wanachekeshaa
@lovvy854
2 жыл бұрын
@@lizzydiy4590 👌👌👌
@mashmwed4955
2 жыл бұрын
Dar ovyooooo kweliiii😀😀 sema CUGA much respect kbs
Tengenezeni mazingira ya watu kucheka bana😂
Coy mzungu Bro una roho ya kibinadamu Joh, Mungu ata ku bless blood, Ila babalevo cjuh ulev au nn, ila balance SIFA
Kaaaa jamani kwann nijisikie aibu mimi wakati unachekesha ww bwana aaah 🙆🏿♂️🙆🏿♂️
@ashirafubesta1018
2 жыл бұрын
😂😂😂
@alexkiria1901
2 жыл бұрын
Aibu kweli
Baba LEVO KUNA MUDA UNAZINGUA SANA BRO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣SASA UYO ALIEKUWA ANALIA MBONA UMEMZINGUA TENA MSENGE WEWE
@lovvy854
2 жыл бұрын
Atamie ameniudhi ati anmuhesabia mahela nakumpa shilingi nikama kumcheka kilema
Sema maisha hayana huruma watu wote hao wanahitajika 3-5 duuuuuh ajira ni tatizo
hahahahaa... BLT mtabe fanya ugeuke second round
Khaaa hii ki2 ngumu snaa inahitaj inner tarents wa2 wanapig story instead of being comedian 🤣.. afu majudge wagumu snaa kwa kupersuade wa2 wanafokaa mnoo🤣🤣
@lovvy854
2 жыл бұрын
🤣🤣
@queenurio7043
2 жыл бұрын
@@lovvy854 🤣🤣🤣
Baba. Levo ukapimwe akili were🤣🤣🤣
Dah aise najua naweza make good performance in cheka tu where get this chance give me location to come over their
Yani mambo mengine mimi ndio naona aibu jmn🙈🙈
@benjaminimgaya7904
2 жыл бұрын
Dah
Dar mmenichefua sana hamjui mnalazimisha tuu
@Mohamedkasim2
2 жыл бұрын
Kwel kabca dar hakuna mchekeshaji hata mmoja aliethubutu kuchekesha hata kidogo borea hata uko Arusha
Muendelezo plz 🔥
01578 anaweza uyo kodogo
Ayo mambo ushakutananayo bila wewe kujuwa chochote 😂
Mhh babalevo olo ini olo (All in all)
@lovvy854
2 жыл бұрын
Jimwehuu hili babalevo anaskia watu wanaongea kizungu nayey yumopia🤣
First ooh fon najiamini
Kumwambia mtu akutolee wehu ni udhalilishaji jamaa anahakhi ya kumshtaki huyo mama levo, Hii ni intertainment acheni ushamba
NENDENI KIGOMAAAAA
Kajala Kama kajala
Ndio nimeangalia🤣🤣
Kuna watu nilikua nawaambia tokatota kumbe Mi Sio jaji Ni mtazamaji🙄🙄mpak nimecheka mwenyew
Skondongooooooooooooo
Mpiga picha wenu hapa kafeli sura hazionekani nahuyo Malaya a najua nini hafai kua chochote sio msanii huyo
@jastinjustus6878
2 жыл бұрын
Quality ya simu ako iyo
@airinsumeno2490
2 жыл бұрын
Kwan nin maana ya Malaya?
@bennyasseralfred7139
2 жыл бұрын
Labda simu yako mbovu
Jamani wa pili kukoment please like za kutosha hapa chini
Baba levo eti kajala hayo mambo ulishakutana nayo bila kujua daah aisee 🤣🤣🤣🤣🤣
@MwalimuJelly
2 жыл бұрын
Noma
Dar mmezingua..sana
Nipeni number za ester please 🙏
35:25
Hahahaha Nimefurah sana eti baba levo kacheka
Jamnii kwan watu wa dar wananini😂😂😂Mbona ovyo👐👐🚮🚮🚮 sana hakuna wachekeshajii
baba levo kuna maswala! mengine sio ya ucheshi bwnaa Ester kathubutu.
Wabongo bado sana kwenye stand up comedy
Arusha wako good,sio dar
@lovvy854
2 жыл бұрын
Kwelikabisa
@chrisraphael509
2 жыл бұрын
Wanajua san chuga
Kimtazamooooooo tu katk kote mliko pita naamini tena najiamini mimi kama shabiki au jaji wakulitoleaaa nikwamba mshindi wa kwanza atatokea arusha ...kweli arusha ni dunia ya vipaji bongo ni hewa tu %100
Bongoooo Maviiiiii Arusha for life
Wow😍😍😎
Sanaaa ipo chuga Dar uzushi
zablon mungu anakuona
13:22 🤣😂bora atoe wehu
@lizzydiy4590
2 жыл бұрын
😂😂😂
Wozaaaaaaaah
Chura w Cheka 2 Atari nyie
@thuweibadola1631
2 жыл бұрын
Mumefanya vizuri kumsaidia huyo mama junior
Hakuna aliye nichekesha aisee
@emmanueljoseph2576
2 жыл бұрын
Basi jichekeshe mwenyewe 😂
Sasa mbona fupi Kama Harmonize???????????
@emmanueljoseph2576
2 жыл бұрын
Au Kama wewe
Dsm hamna kitu. Ila Mwanza na Arusha wametishaaa😂
34:29🥺
Dar Kama dar at all pole ester tunaomb mwendelezo#wanaume wa dar mna nn nmechoka
Nenda shishi food 😂😂😂😂
Babla nimempenda 🤣🤣🤣
Sasa hawa wanavipaji gani😁😁😁😁😁😁
Dar mmetuangusha Sana! Mpaka sasa Arusha bado wametisha sanaaaaaaa
Dah.. huyo Kobello Khaa...Zembwela leo uko vzr
Baba levo:tutoleee uwehuuuuuu🤣
@buluush9741
2 жыл бұрын
😂😂😂😂babalevo msenge sana🤣🤣🤣🤣🤣
Tutolee wehu 🤣🤣🤣🤣
Me nimecheka nilivyosikia duniani nzima.
Nmegundua Dar mashoga wengi.hamna kipaji kingne ni hcho tu
Baba levo noma sana et nenda shishi food
Kajala...
Mwanza hatyujaona kilipu jmn
Wakwanza Anatia Haibu,,,Anagawa kiaina chipsiizo zinabadilisha Mauwezo yakiume
Daah kuchekesha kazi sana
@bestbusiness4351
2 жыл бұрын
Baba Levo:- pua kama hendiketa 😂
😂😂😂😂 majaji mmekuw wachekeshaji jmn , daaah its hot
Tall tunaomba uende😝😝baba levo si mzima
Nakubal san
Huyo Dada wamwisho mbn mmemkatiza bhana
Mmezingua kutoa hela mbele za TV mmfeli hapo jirekibisheni kwani amewaomba.
😂😂😂😂😂tutoleeee wehuuu
Sina mbavu😅😅