WASHIRIKI WA DAR KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH NI BALAA

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 321

  • @sammymsuya26
    @sammymsuya262 жыл бұрын

    Hahahahahah Chura wa Cheka tu #Skondongo umetisha Sana

  • @lovvy854
    @lovvy8542 жыл бұрын

    Hongera koi mzungu na kajala ilababalevo hio Shilingi uliompa huyo dada umeitowa Kwa njia ya madharau Sana nawew mwenye unalelewa na Diamond Chawa Bwegee tu

  • @hudheifaomar2370
    @hudheifaomar23702 жыл бұрын

    Astaghfirullah..yani paka mungu pia anapijiwa mifano yakipumbavu mungu akusamehe we dada

  • @eddonyihande6365
    @eddonyihande63652 жыл бұрын

    Nampenda Coy Mzungu he is very Humble and humanity

  • @allexlunny7795
    @allexlunny77952 жыл бұрын

    Kinacho ni huzunisha watu wenye vipaji wapo wengi ila hawajitokezi kwenye izi nafasi muhimu matokeo yake wanajitokeza no vituko vitupu wanaleta masihala.

  • @kijiweni3335
    @kijiweni33352 жыл бұрын

    19:14 motivetion speaker

  • @adamshuu7187
    @adamshuu71872 жыл бұрын

    Huyo mshkaji wa pili katisha wapi like zake

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    2 жыл бұрын

    KOBELO NI SHIDA SANA

  • @syntaxerror9217
    @syntaxerror92172 жыл бұрын

    😂😂 wanaume wa dar wanachamba nyie sio mchezo

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel28212 жыл бұрын

    Dar hamna kitu Bora hata ningemwona mjomba kazoa mzee wa diko🤣🤣🤣

  • @officialmk.mpemba343
    @officialmk.mpemba3432 жыл бұрын

    Duhhh dar mmezingua kwakiwango cha 10G

  • @allanmaheri5934
    @allanmaheri59342 жыл бұрын

    DAR mzaa ni mwingi sana bado hatujaona vipaji hawa wote ni bure kabisa ukilinganisha na wale mliowatumbua Arusha in last stages. Bora warudisheni wale jamaa wa Arusha mliowachuja

  • @Mohamedkasim2

    @Mohamedkasim2

    2 жыл бұрын

    Aisee ni kweli Kabisa dar hakuna mchekeshaji hata mmoja aliethubutu kuchekesha hata kidogo borea hata uko Arusha

  • @prosperswai490
    @prosperswai4902 жыл бұрын

    Bado Arusha is the bxt

  • @mjuba
    @mjuba2 жыл бұрын

    Dar washiriki ni wengi ila hamna kitu, Bora arusha vipaji vilikuwa vingi

  • @habajukishese5749
    @habajukishese57492 жыл бұрын

    Dah yani huyu Dada kanitoa machozi nimekumbuka mbali sana asante ma Paula pamoja na koy mzungu mungu awazidishie mnaroho ya kibinadam sana

  • @apostlejohn.k.mutukaa.k.aj2837
    @apostlejohn.k.mutukaa.k.aj28372 жыл бұрын

    Cheka Tu, Nami naomba tuwasiliane niungane nanyi kumsaidia ma Junior! ESTER No. 2360

  • @egibethraphael3713
    @egibethraphael37132 жыл бұрын

    Dar nayo Haina kitu wapi like za arusha tyuu

  • @redhappledhabeefiftytwo5280

    @redhappledhabeefiftytwo5280

    2 жыл бұрын

    Arusha ilikua nouma

  • @jayzablon7281

    @jayzablon7281

    2 жыл бұрын

    Dah Arusha wote walingia round ya pili wangechukuwa wote juu wajama noma

  • @kelvinmahanga461
    @kelvinmahanga4612 жыл бұрын

    Amazing sana ndani ya DSM But wengi wanatoa story baada ya kichekesha. 😂😂😂😂

  • @victormwakipesile5604
    @victormwakipesile56042 жыл бұрын

    Wanaongea wengne Aibu naona mimi🤭🤭🤭🤭🤭

  • @jacklinejohn222

    @jacklinejohn222

    2 жыл бұрын

    Wamenichefua sana dar 😡

  • @nazaretimwamba2416

    @nazaretimwamba2416

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂 mimi Pia kabisa

  • @victormwakipesile5604

    @victormwakipesile5604

    2 жыл бұрын

    @@jacklinejohn222 🤣🤣🤣🤣nafuu Arusha kule ndo Kuna vipaj

  • @victormwakipesile5604

    @victormwakipesile5604

    2 жыл бұрын

    @@nazaretimwamba2416 😅😅😅

  • @eazieofficial6209

    @eazieofficial6209

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣baba levo...utaniua🤣🤣🤣🤣🤣eti unakuja ku2wazia apa19:19🤣🤣🤣🤣🤣

  • @credo7837

    @credo7837

    2 жыл бұрын

    Ndio leo naaangalia

  • @lizzydiy4590

    @lizzydiy4590

    2 жыл бұрын

    😂😂😂 usitupotezee hapa

  • @mchagashop1342
    @mchagashop13422 жыл бұрын

    Kazi kama kazi zingine

  • @masabatv2743
    @masabatv27432 жыл бұрын

    Washiriki wa arusha ni balaa yan nataman wangechukuliwa wote

  • @hamisingova1289
    @hamisingova12892 жыл бұрын

    Baba levo mbona majaji ndo mnakua wachekeshaji???😂🤣🤣🤣😂😂🇹🇿🙏🏾

  • @amanigalawa7422
    @amanigalawa74222 жыл бұрын

    Yaan baba Levo unanivunja mbavu zangu Laaaah Eti tutoleee wendawazimu wako

  • @abdalahsimba5039
    @abdalahsimba50392 жыл бұрын

    Kama umemkubali babra gonga like hapaaa

  • @esterdoriye4304

    @esterdoriye4304

    2 жыл бұрын

    Ila koi mzungu kama amemuelewa babra check anavyomwangalia

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    2 жыл бұрын

    Babra Karugira asee yuko byee

  • @abdulraufmohammedsalum6806

    @abdulraufmohammedsalum6806

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @nehemiajohn1851
    @nehemiajohn18512 жыл бұрын

    Kaka ulievaa kizibao pamoja na kajara mungu awabarki sana nimeona mlicho kifanya iyonisadaka bila kusau bba levo mungu awabarki kiumjumla

  • @christinebelinda3498
    @christinebelinda34982 жыл бұрын

    Mama Paula keep it up 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @africane9252
    @africane92522 жыл бұрын

    Hawa wa dar kwel mbn Hawana talent😀

  • @ezekiellykisay4245
    @ezekiellykisay42452 жыл бұрын

    Wanaume wa dar bwana hewa tu

  • @samuelmwita9058
    @samuelmwita90582 жыл бұрын

    Bongo standing comedy bado sana.. Hakuna content kabisa.. But big up to Coy kwa kuanza.. Mwanzo mgumu but tutafika oneday..

  • @marthamarck3609
    @marthamarck36092 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂dar wote mashoga au nn kudadek

  • @manyaraboy

    @manyaraboy

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @youngforex8664
    @youngforex86642 жыл бұрын

    KWAKWELI SIJAIPENDAAAA DAR MMEZINGUA

  • @yamunguhussein4330

    @yamunguhussein4330

    2 жыл бұрын

    Nasimama na Chuga

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator63432 жыл бұрын

    Tutolee Wehu😂😂😂

  • @nazaretimwamba2416
    @nazaretimwamba24162 жыл бұрын

    Aaaa dah kabisa wamezingua mnooo uuuh. Arusha jitaarish kubebe ushindi kabisaaa🇧🇮

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    Wamezingusantu 🤣🤣🤣

  • @lizzydiy4590

    @lizzydiy4590

    2 жыл бұрын

    Arusha wako serious sana na pia wanachekeshaa

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    @@lizzydiy4590 👌👌👌

  • @mashmwed4955

    @mashmwed4955

    2 жыл бұрын

    Dar ovyooooo kweliiii😀😀 sema CUGA much respect kbs

  • @eliakimsando2919
    @eliakimsando29192 жыл бұрын

    Tengenezeni mazingira ya watu kucheka bana😂

  • @meshacksamson1008
    @meshacksamson10082 жыл бұрын

    Coy mzungu Bro una roho ya kibinadamu Joh, Mungu ata ku bless blood, Ila babalevo cjuh ulev au nn, ila balance SIFA

  • @deusraphael2954
    @deusraphael29542 жыл бұрын

    Kaaaa jamani kwann nijisikie aibu mimi wakati unachekesha ww bwana aaah 🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️

  • @ashirafubesta1018

    @ashirafubesta1018

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @alexkiria1901

    @alexkiria1901

    2 жыл бұрын

    Aibu kweli

  • @activestudios.
    @activestudios.2 жыл бұрын

    Baba LEVO KUNA MUDA UNAZINGUA SANA BRO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣SASA UYO ALIEKUWA ANALIA MBONA UMEMZINGUA TENA MSENGE WEWE

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    Atamie ameniudhi ati anmuhesabia mahela nakumpa shilingi nikama kumcheka kilema

  • @esterdoriye4304
    @esterdoriye43042 жыл бұрын

    Sema maisha hayana huruma watu wote hao wanahitajika 3-5 duuuuuh ajira ni tatizo

  • @yuvenal9776
    @yuvenal97762 жыл бұрын

    hahahahaa... BLT mtabe fanya ugeuke second round

  • @queenurio7043
    @queenurio70432 жыл бұрын

    Khaaa hii ki2 ngumu snaa inahitaj inner tarents wa2 wanapig story instead of being comedian 🤣.. afu majudge wagumu snaa kwa kupersuade wa2 wanafokaa mnoo🤣🤣

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @queenurio7043

    @queenurio7043

    2 жыл бұрын

    @@lovvy854 🤣🤣🤣

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa59312 жыл бұрын

    Baba. Levo ukapimwe akili were🤣🤣🤣

  • @pmanpjjp
    @pmanpjjp Жыл бұрын

    Dah aise najua naweza make good performance in cheka tu where get this chance give me location to come over their

  • @neemazee1864
    @neemazee18642 жыл бұрын

    Yani mambo mengine mimi ndio naona aibu jmn🙈🙈

  • @benjaminimgaya7904

    @benjaminimgaya7904

    2 жыл бұрын

    Dah

  • @jacklinejohn222
    @jacklinejohn2222 жыл бұрын

    Dar mmenichefua sana hamjui mnalazimisha tuu

  • @Mohamedkasim2

    @Mohamedkasim2

    2 жыл бұрын

    Kwel kabca dar hakuna mchekeshaji hata mmoja aliethubutu kuchekesha hata kidogo borea hata uko Arusha

  • @fettyharoun1333
    @fettyharoun13332 жыл бұрын

    Muendelezo plz 🔥

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne88242 жыл бұрын

    01578 anaweza uyo kodogo

  • @Stayawayfromislam2
    @Stayawayfromislam22 жыл бұрын

    Ayo mambo ushakutananayo bila wewe kujuwa chochote 😂

  • @ingabireshakira9631
    @ingabireshakira96312 жыл бұрын

    Mhh babalevo olo ini olo (All in all)

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    Jimwehuu hili babalevo anaskia watu wanaongea kizungu nayey yumopia🤣

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif94652 жыл бұрын

    First ooh fon najiamini

  • @WAASINASTYCRAZY
    @WAASINASTYCRAZY2 жыл бұрын

    Kumwambia mtu akutolee wehu ni udhalilishaji jamaa anahakhi ya kumshtaki huyo mama levo, Hii ni intertainment acheni ushamba

  • @Abdallah_mussa
    @Abdallah_mussa2 жыл бұрын

    NENDENI KIGOMAAAAA

  • @forloam8297
    @forloam82972 жыл бұрын

    Kajala Kama kajala

  • @credo7837
    @credo78372 жыл бұрын

    Ndio nimeangalia🤣🤣

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal94722 жыл бұрын

    Kuna watu nilikua nawaambia tokatota kumbe Mi Sio jaji Ni mtazamaji🙄🙄mpak nimecheka mwenyew

  • @amosimusso7589
    @amosimusso75892 жыл бұрын

    Skondongooooooooooooo

  • @alexsogolela7777
    @alexsogolela77772 жыл бұрын

    Mpiga picha wenu hapa kafeli sura hazionekani nahuyo Malaya a najua nini hafai kua chochote sio msanii huyo

  • @jastinjustus6878

    @jastinjustus6878

    2 жыл бұрын

    Quality ya simu ako iyo

  • @airinsumeno2490

    @airinsumeno2490

    2 жыл бұрын

    Kwan nin maana ya Malaya?

  • @bennyasseralfred7139

    @bennyasseralfred7139

    2 жыл бұрын

    Labda simu yako mbovu

  • @erickAfricatz
    @erickAfricatz2 жыл бұрын

    Jamani wa pili kukoment please like za kutosha hapa chini

  • @mendempoletv7579
    @mendempoletv75792 жыл бұрын

    Baba levo eti kajala hayo mambo ulishakutana nayo bila kujua daah aisee 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MwalimuJelly

    @MwalimuJelly

    2 жыл бұрын

    Noma

  • @vicentfunzo3314
    @vicentfunzo33142 жыл бұрын

    Dar mmezingua..sana

  • @natashafrancis705
    @natashafrancis7052 жыл бұрын

    Nipeni number za ester please 🙏

  • @AmazingWars
    @AmazingWars2 жыл бұрын

    35:25

  • @abdulqareemabdallah2579
    @abdulqareemabdallah25792 жыл бұрын

    Hahahaha Nimefurah sana eti baba levo kacheka

  • @ramlatmahrez
    @ramlatmahrez2 жыл бұрын

    Jamnii kwan watu wa dar wananini😂😂😂Mbona ovyo👐👐🚮🚮🚮 sana hakuna wachekeshajii

  • @raphaelmwombeki4594
    @raphaelmwombeki45942 жыл бұрын

    baba levo kuna maswala! mengine sio ya ucheshi bwnaa Ester kathubutu.

  • @crayonmaze9970
    @crayonmaze99702 жыл бұрын

    Wabongo bado sana kwenye stand up comedy

  • @nassororamadhan2515
    @nassororamadhan25152 жыл бұрын

    Arusha wako good,sio dar

  • @lovvy854

    @lovvy854

    2 жыл бұрын

    Kwelikabisa

  • @chrisraphael509

    @chrisraphael509

    2 жыл бұрын

    Wanajua san chuga

  • @hamzaomanga2485
    @hamzaomanga24852 жыл бұрын

    Kimtazamooooooo tu katk kote mliko pita naamini tena najiamini mimi kama shabiki au jaji wakulitoleaaa nikwamba mshindi wa kwanza atatokea arusha ...kweli arusha ni dunia ya vipaji bongo ni hewa tu %100

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum68062 жыл бұрын

    Bongoooo Maviiiiii Arusha for life

  • @wizzysneiper340
    @wizzysneiper3402 жыл бұрын

    Wow😍😍😎

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku83362 жыл бұрын

    Sanaaa ipo chuga Dar uzushi

  • @elishaafrael4553
    @elishaafrael45532 жыл бұрын

    zablon mungu anakuona

  • @wilsonstephen1668
    @wilsonstephen16682 жыл бұрын

    13:22 🤣😂bora atoe wehu

  • @lizzydiy4590

    @lizzydiy4590

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @mbandelandbrand6963
    @mbandelandbrand69632 жыл бұрын

    Wozaaaaaaaah

  • @mzenjikichaa8695
    @mzenjikichaa86952 жыл бұрын

    Chura w Cheka 2 Atari nyie

  • @thuweibadola1631

    @thuweibadola1631

    2 жыл бұрын

    Mumefanya vizuri kumsaidia huyo mama junior

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera43232 жыл бұрын

    Hakuna aliye nichekesha aisee

  • @emmanueljoseph2576

    @emmanueljoseph2576

    2 жыл бұрын

    Basi jichekeshe mwenyewe 😂

  • @wilonjabikey8274
    @wilonjabikey82742 жыл бұрын

    Sasa mbona fupi Kama Harmonize???????????

  • @emmanueljoseph2576

    @emmanueljoseph2576

    2 жыл бұрын

    Au Kama wewe

  • @jacksonmsigwa4577
    @jacksonmsigwa45772 жыл бұрын

    Dsm hamna kitu. Ila Mwanza na Arusha wametishaaa😂

  • @alcantaraahmed9818
    @alcantaraahmed98182 жыл бұрын

    34:29🥺

  • @juliusmnyukwa8078
    @juliusmnyukwa80782 жыл бұрын

    Dar Kama dar at all pole ester tunaomb mwendelezo#wanaume wa dar mna nn nmechoka

  • @lilyboy4668
    @lilyboy46682 жыл бұрын

    Nenda shishi food 😂😂😂😂

  • @mussamivache4986
    @mussamivache49862 жыл бұрын

    Babla nimempenda 🤣🤣🤣

  • @bigboss1192
    @bigboss11922 жыл бұрын

    Sasa hawa wanavipaji gani😁😁😁😁😁😁

  • @mpoyokapictures1405
    @mpoyokapictures14052 жыл бұрын

    Dar mmetuangusha Sana! Mpaka sasa Arusha bado wametisha sanaaaaaaa

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56772 жыл бұрын

    Dah.. huyo Kobello Khaa...Zembwela leo uko vzr

  • @Az__2012
    @Az__20122 жыл бұрын

    Baba levo:tutoleee uwehuuuuuu🤣

  • @buluush9741

    @buluush9741

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂babalevo msenge sana🤣🤣🤣🤣🤣

  • @robertmswanyama8488
    @robertmswanyama84882 жыл бұрын

    Tutolee wehu 🤣🤣🤣🤣

  • @40kstore
    @40kstore2 жыл бұрын

    Me nimecheka nilivyosikia duniani nzima.

  • @sammallya5002
    @sammallya50022 жыл бұрын

    Nmegundua Dar mashoga wengi.hamna kipaji kingne ni hcho tu

  • @abdulrahmanchivatsi6546
    @abdulrahmanchivatsi65462 жыл бұрын

    Baba levo noma sana et nenda shishi food

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh24002 жыл бұрын

    Kajala...

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir92 жыл бұрын

    Mwanza hatyujaona kilipu jmn

  • @dicksonluena3266
    @dicksonluena32662 жыл бұрын

    Wakwanza Anatia Haibu,,,Anagawa kiaina chipsiizo zinabadilisha Mauwezo yakiume

  • @bestbusiness4351
    @bestbusiness43512 жыл бұрын

    Daah kuchekesha kazi sana

  • @bestbusiness4351

    @bestbusiness4351

    2 жыл бұрын

    Baba Levo:- pua kama hendiketa 😂

  • @thobiethalibutu1465
    @thobiethalibutu14652 жыл бұрын

    😂😂😂😂 majaji mmekuw wachekeshaji jmn , daaah its hot

  • @mikieygodiey1936
    @mikieygodiey19362 жыл бұрын

    Tall tunaomba uende😝😝baba levo si mzima

  • @reubenkaleng9298
    @reubenkaleng92982 жыл бұрын

    Nakubal san

  • @Commentsplus
    @Commentsplus2 жыл бұрын

    Huyo Dada wamwisho mbn mmemkatiza bhana

  • @normallyizzy3751
    @normallyizzy37512 жыл бұрын

    Mmezingua kutoa hela mbele za TV mmfeli hapo jirekibisheni kwani amewaomba.

  • @simba_de_leo5042
    @simba_de_leo50422 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂tutoleeee wehuuu

  • @hamushhamu5234
    @hamushhamu5234Ай бұрын

    Sina mbavu😅😅

Келесі