😁 MACHOZI YA FURAHA WALIOCHAGULIWA FAINALI YA CHEKA TU COMEDY SEARCH 2021
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#ChekaTu #ChekaTuComedySearch #WasafiTv
Пікірлер: 742
Naombeni like za mc eliud😉
coy ni jaji mziri sana.napenda kicheko chake.mungu akupe maisha marefu mwanagu.🎉🎉🎉
Eliud & Leonardo all the best guys wote mnajua kinyama 🤣🤣🤣🤣
Leonardo hatari sana unajua kinomaa 🙌🙌🙌
Tangu nmjue koy Tena kwa kumuona kwenye cheka tu cjawah juta kumfaham nampenda na namkubal vbya mno uyu Kaka may God keep him alive atakuwa msaada kwa weng one day🙏
Said kanichekesha ad nguvu zimeisha so talented bro salute
Daaah Mr coy yaani icho kitu ulicho kifanya naona kama umenifanyia Mimi asante sana. Napia hii imenisaidia kuwa na kujiamin na kuto kukata tamaa atakama ni hatua ya mwisho asante sana coy mzungu na uwongoz wote wa Cheka 2
Said leo ametisha sana, from today im your fun
Baba levo akitaniwa uchawa dizaini kama hapendi hv..hahahahaha
Eliud very nice
Leonard leo hana maaajabu Ndaro kaua sanaaaaa yaaaan😂🤣
Coy maneno yako.. Daaahhh hatari sana we mtu.. Ubongo wako uko na madini...
@sharifumussaalaadabiy9001
2 жыл бұрын
Dah nikwel
Leonard,asma,na Eliudy yanii mi bomba sana
Leonardo na asma, ewe MUNGU wajaalie washinde, Leonardo namba moja, asma namba mbili
Asma kama Asma kazi nzuri saaana!!! You nailed it girl!! Kaza buti!
@stephenrwaich1078
2 жыл бұрын
hata mm nampenda Asma na Leonardo
Dah! Boom Chakalaaa imeniuma kumpoteza Uyu mwamba
@Conshamusic
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
MC ELIUD PLS JITAHIDI BABA UR MY WINNER😍
@slimmuhabesh2400
2 жыл бұрын
Eliud apambane... Wakina Leornard , said said na asma ni moto wa kuotea mbali
@princessjohn8717
2 жыл бұрын
Leonard he's the best 😍👏👏👏
@WinnyCarlos
Ай бұрын
❤❤❤❤
ALIE GUNDUA SANYA ALICHAPIA BADALA YAKUSEMA NI KUKUMBUSHE AKASEMA NIKUKUMBUKE ALAFU CHAPU AKAIUNGANISHA KAMA AKIJATOKEA KITU 🤣🤣🤣🤣KAMA UMEELEWA ICHO KIUNGANISHI NIPE LIKE
Mimi sio mtanzania ila mimi nimu Africa big up saana wasafi .
Said said ni mshindi wangu😂😂😂
@kasmirypaschal2228
2 жыл бұрын
kabsa yAni
Show Kali. Leonardo, Said na Boomchakala
Coy..umefanya kitu Cha motivation Sana always Mungu azidi kuwa nawe....maana umenifundsha kuwa hata nyakati za kufeli ushindi unaweza patikana ndani yake💪🏽💪🏽💪🏽
Daah mo town....umetishaaa sna brother 🔥🔥
Boom aende USA ama Europe yaani ataeleweka sana. He is very smart and talented.Yaani anaelemisha kuwa bangi ni ukichaa . Said na Asma nao wapo vizuri
@mfilingem
2 жыл бұрын
Aisee amefanyaje
@mfilingem
2 жыл бұрын
Mbona hawajasema nini tatizo
@abdulmohd6880
2 жыл бұрын
Me mwenyewe najiuliza kafanya nn kafanya mistke gn
@lulually5209
2 жыл бұрын
Ile magic alofanya mwisho ndio iliyomuangusha lkn mwanzo alianza vzr
@isakahissa4130
2 жыл бұрын
Anaujanja mwingi kuliko mazingaombwe yake ukikagua vizuri kuna vimshipi kavptsha vidore uzuri ata kama mazingaombwe yake feki ila kipaji cha ujanja anacho anajua kucheza ns akili za watu
Coy umeongea vizuri mungu akubariki. Baba levo jamani 🤣🤣🤣
Leonardo always is the GREATEST
@zaizaitwaha6633
2 жыл бұрын
Well said
@yojoruta3379
2 жыл бұрын
@@zaizaitwaha6633 hakika
@elithadam2791
2 жыл бұрын
Hakika ye mwenyew anajiamin Hana papara
@yojoruta3379
2 жыл бұрын
@@elithadam2791 yes ofcourse he is fantastic
@salimbakari9260
2 жыл бұрын
@@zaizaitwaha6633 jj5
Leo siloswagQ wa mwanzo nakubali cheka tuu..na wasafi kwa ujumla
@Kingtiger98
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/fmR8t86vl5OXiKQ.html
Leonard and asma 🔥🔥
Asma she is genius
@aidanfrancis7209
2 жыл бұрын
More love to her
@yojoruta3379
2 жыл бұрын
@@aidanfrancis7209 🤜👍
Leonardo u kill it, said said, ndaro wish u all the best
Baba levo... Anazingua sn uwez mchek mtu.... 👏 👏 👏 Hata kam kashindw.... Hapo umezinguaa... BIGUP koy
Eliud is mastermind
Jamn mm Nina uhakika watu wangu wawili tuu leonado na saidi said mshindi number moja na number mbili mtakuja kuniambia maana hawa viumbe wanachuana n noma Sana💪
Leonard yupo poa ila asiwe kama msoma taarifa amiliki jukwaa kama jol master au erico, mo town amewaokoa waliotakiwa kuondoka na huruma za coy Mungu awabariki, Baba levo yupo real ni mtu poa sana nae anakueleza uhalisia ili ujirekebishe na ni kamanda wa uvumilivu ameingia kwenye sanaa tangu mtoto ndio anatoka rasmi sasa. Nc tm
Eliud Performance Ya leo ni Nguvu. Keep it up
Asma anatumia akili nyingi sana ..respect Dada!!
Leonard Asma and saidi Mungu azidi kuwainua , Brother koi god bless you my brother
Huyu jamaa Coy Mzungu anafaa kuwa Consultant kabisa, I appreciate your efforts bro
Headmaster is another level😍😍😍
tupo wengi sana kwamuda huu🇨🇩🇨🇩
Nakupenda sana coy,yani una roho ya ajabu sana na hii nimeanza kuiona tangu nilipoanza kukuona
Leonard ni moto wa kuotea mbali kam hawajamp hamn mwengine
AZABOI JAMAA YUPO VIZURI SAAANA...MSHINDI WETU AZABOI🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Am team eliudi,eliudi kwenye hiyo 10 million,buku tu litanitosha
Boom shakala you will make it ma men,am your hard fun
Said said,.. Ndaro, Leornado na Esma hawa wote ni balaaa🙌
i love that judge in between the lady and baba levo ,,he is very kind he uses wisdom
@nahyialetomia9284
2 жыл бұрын
His name is Coy Mzungu
Duh leonardo namkubal sana ila said said anakuja juu hatary, xo wanachuana vikal sana
Jaribuni mchekeshaji akiingia kwenye jukwaa awe angaa na salamu za kujitambusha… Za kuleta shangwe hivi. Otherwise you Are doing a good Job 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Leonard 🔥
Nawaombea kwa MUNGU, asma na Leonardo wapate ushindi
Jamaa ana huruma sana mungu amsimamie 🙏
Said said diserve to be the best✊
@wizkhalifaupdates3002
2 жыл бұрын
Real bro
Koi I love your life Experience and motivation bigup ✌️👍💪🔥🔥🔥
@amosmazwile6365
2 жыл бұрын
Aseeee eliudy umetisha
Ila washikaji huyu Koi ni Binadam Sana. Mungu ambariki Sana
Boom shakala… i believe in you bro keep it up show them fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nawapenda sanaaaaa cheka tu
coy una kitu mkali we ni mtu pekee upo tofaut sana💪
Said said&Leonardo mko pw sana, ila Leo leornado said kakufunika vibaya sana, kama unataka mpunga kaza sana mwshoni huku, said saidi pia kaza buti mumpe mtihani katka selection ya mshind chawa baba levo.
I like this guys ndaro,leonard,saidi and asma this guys wako poa sana😁
@khamisilyova6392
2 жыл бұрын
Daah kwamba headmaster hujamuona em nmuadd apo🔥🔥
Mc Eliud u killed it home boi
Aisee koi nimempeñda sanaaa! Much love to this humble man
Muliyo jaaliwa kuingia final ,ongezeni material musilewe sifa,kwa nyote muko vizuri lkn haya ni mashindano lazma tupate mshindi
Nakupenda Asma Majid, ila ongeza zaidi material uchukue ubingwa.
Tukutane trh 1-10-2021 Mlmni- City 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Team Asma here 🔥🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤❤
Said said umetisha 🤣🤣🤣
Ndaro..saidi..asma..eliud..😮😮
Mbeya boy oyeeeeee....
Said saidi joke was crazy 😂😂😂😂😂
Eliud killed it
@mackmillan9040
2 жыл бұрын
Ndo mshind
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Eliud noma
@yojoruta3379
2 жыл бұрын
@@user-jk5ir4ke3z Hakika ana utamu wa pekeyake
Its the konde boy's instrumental teacher for me i love that song konde boooooy to the world 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@nlmnextlevelmsck9127
2 жыл бұрын
Kha wenawe
@hilldakaling6873
2 жыл бұрын
@@nlmnextlevelmsck9127 ssssssssssssssssssssssss
from Kenya cheka tu you are doing good thing congratulations 👏
Wow! Boom 🔥🔥🔥 wish you good luck
Reonado, said said, na ndaro the best
leonard anachekesha tu jinsi alivo hata bila kuongea
Headmaster is next level
Mc Eliud Ndo Mshindi Wangu Mimi
@yamunguhussein4330
2 жыл бұрын
Nipopamoja nawewe
@janemapoz6360
2 жыл бұрын
Same here
@MwengeIbrahim
16 күн бұрын
30:33 kibibi kafurahisha nahiyo story kwasababu inamgusa kutoka moyoni
Huyu mc Eliud ni fundi saana aisee 😂😂🤣
The magician and comedian is a biggest star that guy has challenged me
Dah love you brother coy 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 coz nimeanza kulia nimewahurumia sana ila kaka una moyo sana🥰🥰🥰
😂😂😂 🎉nimemkumbatia mtumishi wa mungu🤣🤣🤣😘😘😘
Baba levo,,,jokes nyingi sana broo
Coi uyo ulimwambia I love you fundi ase
Eliud for life ❤❤😂
Saidi is so fantastic today
Humble man Koi nimeamini kweli wewe ni Mzungu
Daaah uyo head anajua sanaaaaaaa😂😂😂😂
Napanga kikosi, cha ushindi tarehe Moja, wa kwanza, Said said, pili leonard, na tatu ndalo
@antoninuguti1857
2 жыл бұрын
.
@slimmuhabesh2400
2 жыл бұрын
Leornard number uno
Leonardo you kill it, bt acha mazoea ili uweze kushinda, don't relax my boy.
Eliudi yuko poa sana, namuombea aweze kushinda
@khadijanjama8721
2 жыл бұрын
Alafu anachekucha kwa vitendo amechachuka hatari
@isihakaomary1592
2 жыл бұрын
@@khadijanjama8721 everyone has the right to choose who he loves as well as every human being has the right to be loved GOD exists
@isihakaomary1592
2 жыл бұрын
@@khadijanjama8721 everyone has the right to choose who he loves as well as every human being has the right to be loved GOD exists
Nimefurahi wakati nimesikia watakuwa fainal raha sana Asante sana koy mzugu
@hudheifaomar2370
2 жыл бұрын
Hata mimi
Dahhh Coy Mzungu ana motivation sana!! Anafaa kuwa Councelor!!
Asma ongeza nguvu dada utuwakilishe wanawak wenzio 🙏🙏🙏
Kaka ndaro anajuaaa.. 🤗💪💪🤣✌✌
Said😍😍😍 Said😍😍😍
You can and unaweza Mnhhh🤣🤣🤣
I love u coy am a biggest fan of yours so lovely NYC n sweet very courageous
Ilove you coy kupitia kipindi chako najifunza kuwa makini kwa kile nnachofanya
Nani kamuona baba levo alivyoloa kawa mdogo kama sisimizi kusikiya chawa😅🤦♂️