😭 WASHIRIKI WAZIMIA WAKITOLEWA KWENYE CHEKA TU COMEDY SEARCH LEO | VILIO VYATAWALA
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 541
Kwanza nimpongeze baba Levo, ni mkweli na jasiri sana yupo kazini kweli kweli. Pili niwapongeze wote washiriki, na wa andaji kwa kazi nzuri.
Eliud umejua kutufurahish watu wq mbeya big up bro we love you so much mbeya city
@munezajpierre6082
2 жыл бұрын
Djkxblcbkpl boy no bm pm zAiol
leonardo jikaze baba napenda uwe mtu wamwanzo Asma wa2 nawakubali jitaid kipaji choko kizur sana kwanza akili unayo mashaaallah nakuombea ufanikiwe umetumia ujasir mkubwa Allah akutangulie leonardo
Mc Eliud amefanya vzr leo let's hope ametoeka kwene danger zone.❤❤❤#teammbeya.
Daaaahhhhh am in love with asmaaa.....MUNGU akujalie Asma ..nje ya hilo nakupenda asee
Sema Leonardo mtu mbad Sana salute bro 😂😂😂 nimecheka kifala Sana
@tonnietonnie8358
2 жыл бұрын
Bidiuk 😄🔥
Oyaaa hii show hivi kila baada ya siku ngap niliimisi sana😂😂
Head master Yu good tuliaa kwa voice ya mamaa
leonard na Asma mmetisha sana
Umetisha eliud mpaka tunatamani uwendelee kweli vitu ndio ivyoooo www nimkali
Leonard mm ni shabik yako big up Allah awe pamoja nawe
@zaizaitwaha6633
2 жыл бұрын
Hata mie
Leonard.. Asma.. Ndaroo wanajua
Kipindi chenu kimenoga sana baada ya kumuondoa yule mzee wenu zembwela alikua hafai hata kdg kwenye kipindi chenu
@mchagashop1342
2 жыл бұрын
Punguza makasiriko
@amosimusso7589
2 жыл бұрын
Amini kweli sitanii
@emmakafwenda637
2 жыл бұрын
uko sahihi
@G4SSINGIDA
5 ай бұрын
Mmetisha sana
@PaulinaSemindu-ob3de
2 ай бұрын
Juma huwa nampenda bure na vichekesho vyake😂😂
Leonardo we ni genius broo kama muasisi wa hilo jina leonardo da vinch. Pia Ndaro, saidi, mc ellioud, boom chakala, azaboy na nox m mnaweza sana
@faithfulphilemon9890
2 жыл бұрын
Wako poa sanaaa
Namkubali Sana chief judge nimtu mwenye kutia watu moyo na muda wote anaongea point Sana pia mimi imeniuma sana Sana kwa waliorudi nyumbani they're going to give up mwanzo baba levo ameongea vibaya Sana alivyokua anasema "wanakaa hotelini Hawa kwa hyo kuna gharama" hyo kwanza inamfanya mtu aone aibu na machoz yamenitoka sijapenda maneno yake anatakiwa kua WIZE mwanzo busara inatengeneza amani na kukubali😔😭😭😭😭
Eliud umeshinda baba umegusa maisha yangu nimecheka balaa kila siku unanichekesha Mungu akubariki najua safari ni ngumu na hayo nimashindano naamini kwa kipaji chako Mungu akusimamie uhakika broo sichekagi ovyoo umeua umeua umeua tena 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Semeni tuh ukweli dah yule leonard yani kila akija ni balaa yani mwanangu wakimnyima ushindi watanzania tumchangie ni bonge la kipaji
Once again team 1:Asma 2: Mama Nyonzo, tuko pamoja japo, ametoka lakin Nina Imani kubwa Sana nawewe, Mimi nishabiki yako mkubwa, mtaani patakuimarisha Zaid , #seeyouAtThetop🔥🔥🔥🔥🔥
We Nisha unataka kujifanya kama Salama eti hucheki macho kwa Zarau
Asee dogo leonald lazima achukue mpunga wafany vvote dogo anatisha
Nisiwe mnafiki ,Leonardo ndio bingwa mpaka muda huu
@zaizaitwaha6633
2 жыл бұрын
Hata mie nimeona hivyo hivyo
Leornad is genius 🤣🤣🤣
@PendahlawKE
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/haGpmcmjYtLKZbw.html
Coy Mzungu is indeed a good guy😊
Uyu Leonard naona kashapta..
Coy mzungu kazi iko kwako kujaji ila vijana wako vizuriiii Leonardo,Saidi Saidi,Asma,Professor,Headmaster nk Yani ni shidaaaa Natamani hata wachukuliwe washiriki wote tu maana kila mmoja ana upekee wake
@gladnesssanga1601
2 жыл бұрын
Well done
Ndomana spend mashndano Nina presha pia naumia kwa haraka Zaid 💖chimamy pole pia dear!!
Jamani mie nikimsikiliza Asma nainjoy sana kwakweli anajua vibaya mno. Asma popote ulipo bigup sana
Leonard is very contented
Zungu usije ukalia una roho nzuri sana ubarikiwe🙏🙏🙏🙏🙏👈
Josephat kaaga kiume👏👏👏🇧🇮 Kdo
Baba levo naona mshindi wake ni Leonardo
leonardo fundi na ndio bigwa wa 10 milion
Asma ndio mshindi ❤️
Baba levo ww ni mcheshi sana nakupenda tu unafanya kazi yako kwa ubunifu.
Ndaro,said,Leonardo ,nox M na Mc eliurd ndo top 5 yangu
@messimbele1403
2 жыл бұрын
na azaboi
Head master ameuwaa ila shida zaidi n kwayule Dogo bernad
Jamani naomba hii shooo iendelee angalau kwa mwaka hata mara tatu jamani duh kiukweli washabiki tunaenjoy
Baba Levo ni bonge la judge aisee anatoa kavu yaani black and white.... Safiiiii
kama umemkubari Eliud gonga like
Leonard ni mtu na nusu
Lenado chukua pesa uondeke
Mama Nyonzo umepitia wakati mgumu, katikati ya mashindano ulimpoyeza baba yako mzazi. Wakati wako unakuja my love. Keep it up❤️❤️❤️
Leonald the winner
Honestly LEONARDO is my namba one fan...👏👏👏
Eliud na Leonard wako pouwaaah
Saidi killed it
@Ammarloliso
2 жыл бұрын
Said fundi
Leonard anajuaaaa
Sema mwanzoni patamu mwishoni maumivu uwii
REONARD bwana ata alivyo utaceka tu
Asante Mc Eliud na Asmah
Headmaster, kwa vyovyote vile wewe ni genius.
@PendahlawKE
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/haGpmcmjYtLKZbw.html
Said said, leornado, headmaster mpo vzr
Leonad unauwaaa🔥🔥🔥🔥🔥💞💞😘
Baba Levo tunakupenda Sana unajua kazi
leonardo nampenda kipaji chake huyo kaka namuombea apite yeye yaan yupo vizur sana
Piga kelele kwa said said 🔥🔥🔥
@Ammarloliso
2 жыл бұрын
Fundi
@babuonyango4008
2 жыл бұрын
Said ni moto San@
Ningehuzunika Headmaster kutoka leo katisha sana
@frankfabian769
2 жыл бұрын
Mc mboneke ww mbn haupoo mie nakubalii kua dalalii
WHAT YOU DONT KNOW ABT LEONARD ..HE HAS BEEN DOING THIS FOR A MINUTE...
@PendahlawKE
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/haGpmcmjYtLKZbw.html
Leonardo is the genius
Had master umenivunja mbavu jamani 😂🤣😂
Leonard ten million zako izo amin ivyo kaza
Eliud..leo..nox..head..🤣🤣
Eliud kaperform vzury Leo ckutegemea mmmwaaaa
HEAD MASTER AMENIUA NAKICHEKO😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leonard your the best 🔥🔥
Nmeumiaaaa sanaaa kwamaneno ya chimamy mnatoka sehem mbalmbal mnazoeanaa alafuu mnaachanaa inaumaa kwakwel😭😭😭😭
Eliud u killing dem 🔥
@Kingtiger98
2 жыл бұрын
TX kzread.info/dash/bejne/gZaft7eyY7O9oNo.html
@moally2224
2 жыл бұрын
pendo nyonzo vizur sana
Leonard 🔥🔥🔥🔥💥
@zaizaitwaha6633
2 жыл бұрын
Umeona eeeh
Eliud Ni Nomaa
Sjawahi kukoment lakini Leo duh? Big up leonard
Asma ni mbunifu mno
Big up to all participants have done well
@madinasilima9506
2 жыл бұрын
Mimi ushauri wangu sehemu kama hiyo wawepo firstaid redcross ili likitokeya tatizo wawepo kuwasaidiya ni muhimu sana ktk mikusanyiko ya watu
@madinasilima9506
2 жыл бұрын
Nawapongeza sana majaji kwa matokeo mazuri hamumpendelei mtu mko vizuri sana na has jajji kohl mvungu anavyowapza toho yaani kwa hisiya hadi rahahaswaaaa kwa kweli nimeenda sana huyo kaka MMungu ambariki inshaallah
Mnatakiwa kuwa na medical emergency team, msifeli hilo
Eliud has done well
@moally2224
2 жыл бұрын
head master 😂😂
@sesileapendeki7498
2 жыл бұрын
Leonald
Tunaomba siku moja mumuharke na mboyoyo/ maneno kumi
eliud umetisha kwakwel
Ila huyu joelmaster anakela achekesh bora sanya tu atangaze
Melissa anaekti comedian nzuri Sanaa😆😆 1:32:07
@SIMULIZIZONE
2 жыл бұрын
Upo makini😂😂😂😂😂
Jamani kazi ya ku judge hapa ni ngumu sana
Nimependa jinsi josephat alivyoaga👏👏👏inaonyesha anakipaji sana😭
Ndaro chukua 10 milion
Head master na Leonardo wameua sana
head master yani wew katika wote wew ni talented alafu una jua kucheza na stage. Uko poa sana komaa mkali una jua
Ndaro,Asma ,said, Leonard, headmaster,Boom,eliud ,mmeuwaaaa
1. Leonard 2. Eliud
Big up Mc Eliud
Eliud daah unajua kutuwakirisha WANYAKYUSA pamoja sana bro
Nisher hacheki kirahisi
All the participants are so special
@PendahlawKE
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/haGpmcmjYtLKZbw.html
@doricechesco3009
2 жыл бұрын
Sanaaaaaa
Leonardo...said...asma...boom...
@tonnietonnie8358
2 жыл бұрын
Bidiuk 😄🔥
Leonardo...azaboy...... Mamb ni moto
Mwenzenu nacheka kisa nmeona coy akcheka daaa😂😂😂😂
Leonardo kawafanya majudge wakose cha kusema😂🙌🔥
Leonard is the Best
Nox M is the genius
Leonardo 😅😅✌
Saidi is the best
Said said ananikosha💖
Leo eliud umeua next n leonardo
Dah chimamy ni comedian real sema tu anastress.Pole sana dada utarudi next time