Tazama Mpoki, Eric Omondi, MC Pilipili Walivyovunja Mbavu za Watu I Wajikusanyia Maokoto I Dodoma 🔥🔥
Ойын-сауық
Kipindi cha All Access ya Clouds Tv kilidondoka 104.4 Mjini Dodoma katika show ya Comedian ambapo wasanii wengi walifanya wakazi Dom kuangusha vicheko
Пікірлер: 70
Erick Omondi anatumia akili nyingi na sio nguvu, na ndivyo watu wanavyofanikiwa, ukijiona ww unatumia nguvu jambo lolote ww ni maskini...
Aisee Eric unajua sanaa 😂😂😂😂😂😂
OMONDI ON FAYAAAAA 🔥🔥🔥
Mm namkubali sana mpoki ajawai kufel mzee😅
Omondi ni genius wa kuchekesha
Erick omond is the best
Jaman Eric yupo vizur tuu love from Tanzania
Mpoki umetishaaaa😂😂😂
Mpoki Is the best, omond karudia sana hasa issue ya marais
Aki Erick wewee😂😂😂😂❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪Buti latoshana na weye kalulu tunda madafu😂😂
Our Own Blood Kenyan Erick Omondi Baba Lao Rais Wa Comedy East Africa 🌍
@mylekaka4630
2 ай бұрын
Africa
Erick simple afu unacheka
Erick umeuaaaa😂😂😂
Mpoki anafreestyle tu kazi rahisi sana kwake🙌
Omond very fantastic 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mpoki kauwa sana😂😂
Erick mkali
Eric omondi hakuna kama yeye Africa Nzima
King mpokii👑
Kuna vitu flani clouds huwa mnazingua, akitakwa mtu flani tu, kuna vitu flan hivi vinatokea
Mpoki anatumia nguvu
Kazi nzuri🎉🎉😅😅😅😅❤
Daàaaaa Eric umeua na mpoki
Aki Tz hamna comedy kabsa tusidanganyane mbaki tu hapo Kwa bongo flavour
Nice job
Erick is bless
Mpoki genius
Mpoki Elick omond Hawa ndomafundi wa comedy sasa
🔥🔥🔥🔥
Duuuuuh 🤣🤣 viatu balaaa 🤣🤣🤣
So nice 😅😅😅😅
Mc pilipili nawezaje kukupata
@georgekaila6193
Жыл бұрын
Ungeenda Kwa event dodoma ungempata 😂😂😂😂 hatuna ubaya wakenya 😂😂😂😂 nikireply tu😂😂😂😂
😂😂😂😂mamae kiat
Hiyo ya mwisho ya uemc😂
😂. Sikujua kama Erick Omond unajua....
Erick omond ameishiwa kazi kurudiarudia material
@georgekaila6193
Жыл бұрын
Weka heshima shehe
Yaan mpoki full mwangwu wazeee
Mpoki
Mpoki nyoko mamae
@amissamgaya6088
10 ай бұрын
00000000
Hii Tabia ya kutoa pesa wa Tanzania mumetoa wapi? Kuja Nairobi ndio utajua pesa ni nini? Utachekesha watu na haupati hata mia. Watu wanaakiangalia tu 😂😂
@frankiusalphuled1178
9 ай бұрын
Sasa utakuwa umefanya kazi gani usipopewa chochote
Sasa saut mbna haziko katka ubora kuliko za teaser?
Hivi mmegundua MC Pilipili akiongeza unene kidogo tu tutashindwa kumtofautisha na Bambo?!
@barakakatana5398
Жыл бұрын
Mia Mia
@daudajerry6654
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@paulalove1223
Жыл бұрын
😂😂😂 ndio
@Man_Freja
Жыл бұрын
Kweli kabisa bambo mtupu
@davinaheven4794
11 ай бұрын
Uneona ee
Hadi Raha wakongwe ni wakongwe tu
Watanzania wanakuwa na viherehere waonekane wanahela mtu kaja kuchekesha badala mumuache achekeshe mnajifanya kupeleka hela Kenya ukishapokea Kiingiilio ndyo bas lete vichekesho
@frankiusalphuled1178
9 ай бұрын
Wabahiri Sana sasa kama ni hivyo
Watu Baki na wengine jifunzeni hapa maana ya Comedi
Mpoki kaua zaidi
😂😂😂😂
hizo jokes ni zile zile nothing new
Ni vizuri, ila tabia ya kuomba hela sio nzuri kabisa.
@tamarablack254
Жыл бұрын
Ndo ucheshi wake..... Eric mkwasi yule
@user-zb2mj5nd5g
10 ай бұрын
Sijaona show yoyote hapo zaidi yakushuhudia ombaomba yakufa mtu au kwavile imefanyikia Dodoma😂😂😂
Eric bana anatia aibu, badala afanye comedy amelipwa kufanya kazi , anaenda kuomba omba. Shame on that kind of comedy
@georgekaila6193
Жыл бұрын
KENYA is poor is representing us on Tanzania Dodoma
@josephlorri431
11 ай бұрын
Hamna unga Kenya, iko familia inalala njaa hakika
@frankhoffa8356
9 ай бұрын
He