BSS 2023 SN 14 EPISODE 01 ARUSHA
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 236
Dada shishi tulia kidogo dear...usiimbe na wanao imba
Master na salama wako serious na kazi yao sana😂 i love it
Shilole you’re doing great unafanya vzr kakını please jaribu kukaa kimya wakati wanaimba it’s annoying
Shilole apunguze sifa anaharibu taste ya mashindano anaboa
Jamaa alive imba na kinanda alafu an a dready anajua mno walichomfanyia ndokinafanya mashindano yapoteze mvuto kila mwaka judje mudamwingine kama wana kurupuka kwenyemaamuzi napia msanii anapoingia wamwache afanye kilichomleta kwanza akimaliza ndowaanze kuongea wanafanya wawe awajiamini mtu anaanza kuimba judje anaanzisha mada ambayo at a haihusian fanyieni Ilo. kazi show nzuri Sana inajina kubwa ila mnaweka uswahili waajabu Sana ndani
Jamaa wa profession mmemjudge kwa muzikii wake au mmetumia nn kumjudgee....he is sooo goood
@eveniapongo6824
6 ай бұрын
Wamemuonea may be nyota😢
SHILOLE UNAKERA KURUKIA RUKIA MTU AKIWA ANAIMBA UNAHARIBUUUU
Sema jamaa wa professional wamemuonea sanaaa Madam Rita unakwama sana...
@paulnames6624
7 ай бұрын
Aisee sjui shida nini mana mshikaj Ana vocal kali sana
@mtanzaniamwenzangu181
7 ай бұрын
Jamaa wamemuonea sanaaaaa
@seifrajab1954
7 ай бұрын
I second u bro
Kumamae zenu majaji wote huyo jamaa professional anajua sana tena sana tu sijui ni nongwa au usenge tu pumbavu zenu
All in all mtambue hapo ma jaj n wawil tu master j na salama wengne washehereheshaj tuu'
Iv shilole anaujua mziki upi adi awe judge jamani
Jamaa wa rasta anajua sana jamaa wa professional anajua kuimba zaidi ya watu wengi sana hapo mlowachukua kuweni wakweli mnakatisha tamaa watu
amina uyo mtoto anajua yani kama vile matokeo yamepangwa asichaguliwe
Abby unajua sana tu wala usikate tamaa hapo wasenge hawajui chochote Mungu akubles kwa njia nyingine utafanikiwa unajua unajua unajua tena ❤❤❤❤
Huyu dada mlemvu wa mguu alipoimba nimetoa majonzi kwakweli mashallahhhh 😭😭😭😭
@user-gy3wo2ez4d
6 ай бұрын
Sio mlemavu kaaa kaumia tu mguu jaman
Jamaa mwenye Rasta aliye imba na kinanda ni 🔥 mrudisheni apunguze ujuaji tu
@user-yl9hu2sr9x
7 ай бұрын
Hmn kupunguzaa ujuaji kaka jamaa anajua na alichoongea ni sahih kbs kuhusiana na professional music maana aliulizwaa
Shilole mbon unachek sna kweny vit muhimu km ivyo
Bss Kwanza waache kuwaambia watu "una nyimbo nyingine yakidunia" tuwe professional at shilole acha kujiimbisha wakati msanii anaimba angalieni wanavyofanya the voice, x factor mjifinze kitu.
@asmarajabu5786
7 ай бұрын
anakidomodomo kweli Chilole sijui kwa nini wamemuweka kimbelembele kingi
@Untoldafricanstories
7 ай бұрын
Kabisa, au waweke wazi kama waimba gospel hawatakiwi
@rasmissionary7518
7 ай бұрын
Na kama ki design kuna beef na Ke music....mtu amepenya na Ngoma ya Kenya? Nil😔
@oscaricky847
7 ай бұрын
@@rasmissionary7518100% bro wanajudge na feelings jamaa wa rasta ameimba vizuri sana wanamtoa coz of confdence yake wamenikwaza sana
@MohamedMohamed-fg1kh
7 ай бұрын
Kwa season hii Hii ni mara yangu ya kwanza naangalia videos Bss nipo kwenye dakika ya kumi na 11 nimegundua hiki hiki ambacho unasema shilole acha fujo unamkera mpaka salama apo
KuSEMA ZA UKWELI SHILOLE ANABOAAA
@asmarajabu5786
7 ай бұрын
kweli kabisa mimi ananiuzi
@isabelavictor9964
7 ай бұрын
Yeye mwenyewe hajui kuimba hata kuvaa hajui
@asmarajabu5786
7 ай бұрын
@@isabelavictor9964 umeona eee kazi yake mdomo tu
@saidikikoko
7 ай бұрын
Salama anaboreka kinoma
0019 hamjamtendea haki wallah.. Amefanya vizuri sanaaaaa
@shamimumrigo7804
7 ай бұрын
She was so good wallah😢
@user-fk2jl8id2c
7 ай бұрын
Kwani ametolewa
Jamaaa profesional wamemuonea
Dada wa kizungu ameimba vizuri semeni nyie ndio hamuelewi kizungu
Mko vyedi sana ila naomba msiwe mnawaingilia washiriki wakiwa wanaonyesha vipaji vyao. Muwapa nafasi ya kuwasikiliza wakimaliza ndio mtoe comment zenu😊
Shilole mwili mkubwa akili kisoda anaboa bana.
Amina❤❤mshindani mzuri sana, ila kafanya vzuri sana
Jaman shishi bhana kwenye hii show ana nikosha sana❤
Wasenge wakubwa amina anajua sana tu ❤❤ halafu mtoto mkali kama mmemkataa kumamae zenu
Huyo Benedict james ndo mshindi wa msimu huu, wekeni hii comment yangu, mtakuja ikumbuka🙌
😂😂😂😂 hospitali ya milembe ipelekwe Arusha
0057 aliimba vizuri shida ni hao majudge na watanzania in general kwani amukuenda darasa la kingereza .startime ningeomba mtafute majudges wenye wanaelewa pia kingereza mbona wanakill talent ya huyo dada ama mkuje kenya tuwafunze
You are such a beautiful sings 😂😂😂😂😂 wueh!
Waooo 100% nimependa hii post maana nindefu❤❤❤❤❤❤ mina ali thank you keep post videos like this one don't send shot vedeos
Ati beautiful sings 😂😂😂😂 alah.God have mercy😂😂
shilole please when the contestants are singing just listen cz when you join it is now not ok
Amina ❤❤❤❤
Jaji Salama,sio vizuri kumkatisha mshiriki Abby Africa tamaa Jamaa anakipaji naomba umpe nafasi aendeleze ndoto yake.
Dada good ❤❤
Amina ni moto aiseeee
bongo star search big up 2023 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Razak mnoma natekea tu saana bss from🇺🇸🇺🇸
Bss iwe kila siku jaman msikae sana mnatupa raha muno❤❤❤
From 254 bt the girl 019 knows how to sing 🎉...do disappointing that u picked the louder voice than the fillings.
Shilole ni kichaa sana
Sema chugga patam sana
Kwahio viatu ndo viatu ndo vilienda hvo 🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka
0019 what the hell dada kaimba vizuri sanaaa
Madam rudisha ommy dimpoz au bella wengin watusumbua tu
Huyu shilole ameharibu kipindi
Nikiangalia BSS namkumbuka Maunda Zorro .. Rest easy .. her songs are still alive today.
@paragraphcomedy
7 ай бұрын
true
@paragraphcomedy
7 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/d4aWmLt6YMfSk6w.htmlsi=NaIcfNLxXMBk3jJC
sijui ma judge wana angalia nn but 21 13:42 & 19 deserved kuliko wote walio pata nafasi alaf kuna yule chalii wa professional music wame muomea sana just because amesema anajua professional music wame amua kumprove wrong kwalazima honestly I'm very disappointed
UNAPO HITAJI KUONYESHA KIPAJI CHAKO USIZIDISHE VIUNGO SABABU VITATUMIKA KUFICHA KIPAJI CHENYEWE, ITAWAPA UGUMU MAJAJI KUTAMBUA KIPAJI CHAKO.
sema amina ameonewa
Unafanana na Ssaru wa Manyaru from my homeland Kenya🥰
Shishi bby miwani ile ya blue umeuwa sn 😍🔥🔥🔥👌
Wamemtoa Amina bule aisee
Hapo hamna majudge hamko perfect mmemuonea namba 0019
So vizuri .. Hawajudges mumekuja chagua watu. Ama kuwacheka .. ..?? This bad..that guy on a tight trouser tried
Salama kiukweli hata mimi hiyo chombo ilivyovua miwani nimeiyelewa
Professional music mmembania yuko vizur
Wekeni Watu Wa Mziki Kama Master Jay,Huyo SHILOLE Mziki Anaujulia Wapi Huyo?? Kwanza Wasanii Wanaimba Na Yeye Mara Aimbe Mara Awakatishe,Mara Acheke!! ANAZINGUA,Muiteni Hata Christian Bella Akae Kwenye Kiti Cha Shilole!!
Shishi mzuriiiii
Jamaa wa professional music wamemkata tu kichuki ila anaeza
Minaona gospels watahama sana kw1 style hii wakifik dar gospel bas
Salama c astaafu xx hapendezei Tena bna
Mkaka mweusi alieimba kingereza amenikosha
here bcoz of 43:51 favourite jmniii yoh
@kefakibet5657
4 ай бұрын
😅😅😅walai
Hivi shilole uko sawa kiakili kweli😅
I love mina ally♥️♥️♥️
🔥🔥🔥🔥
Kutokumskiliza mtu hapo mnaonekana ovyo kwel asa we shilole unacheka nin mtu anapoanza kuimba c unyamaze au hakuna mtu ajui kuimba ila nikwamba tumetofautian unapomcheka mtu maan ake nin we mwenyew sauti mbayaa bora hao wanaojarib anapoimba mtu funga kibakuli
Arusha kama uturuk jman
17:05 mark his words. 👏👏👏
Shilole unaboa acha mdomo😊
Na uzee wote huo hamtaki shkamoo mungu wangu cjui wamama wa ckuiz wakoje jmn😢
0413 will be top 5 in this season BSS take that to the bank.
Sikuiti shishi nakuita zuwena mbona unazalau Sana salama mumefer Sana Kua nashishi hapo Mimi mfatiliaji Ila Safar hii shishi anawaangusha
Dah huyo jamaa wa professional kaua sana ila siwaelewi majaji walai
Sasa huyo Najma na huyo dada mwenye koti jekundu who's best???mnazingua uyo demu Najma ndio angebaki maana hata kale kademu keupe kamemzidi achen upendeleo wa muonekano🙌🙌😒
@JohOyiaya
7 ай бұрын
It's so annoying mazeee
Sema huyo mwamba professional wamemuonea pia nilichogundua mageorge hawapendi watu wanaojua sana
@willz1017
7 ай бұрын
Sure kk
@mtanzaniamwenzangu181
7 ай бұрын
Jamaaa kaonewa
Sasa shilole naye ana utaalamu gani kwenye mziki? Huu ni ubabaishaji
Disability is not inability
Shilole na master j punguzeni biffu vijana wako sawa ila nyie mnazingua kinyama
😂😂😂😂😂😂arusha hiii
Uyu wa shalom wajamen
Enyewe uyo zachu sasaa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Hii ndio Chuga MasterJ viatu vimeenda😂
Aliyeimba dakika ya 15 hadi 17 kaua, na mimi naungana nae.Kaimba vizuri na blaza anaenda mbali. Aliyefuata kapigaje kumzidi? Kiingereza au?
I'm no sure kama ni mimi tu nime notice,Sina ujuzi sana kwenye mambo ya music ila kwa Shilole ni wrong choice ya judge, I love & Respect her But Again she doesn't deserve to stand there as judge 🙏
@mutsinzigarvey8850
7 ай бұрын
Kwanza yy hana sanautii ya kuimba
@allyahahmed1091
7 ай бұрын
Definetly
yani lishishi linazingua litoeni halipo serious kabisa linadakia dakia badala litulie liskilize teali mdomo alijui ata principle za kujudge
0019 was the best out of all 😎😎😎
@patrickwanje6433
7 ай бұрын
Imagine tangu jana sijafeel poa first alipoimba walimsifia Kisha baadae walimchuja she has talent tena natural❤❤❤
Abie Africa hajafanya vzuri
Huyo muzungu sasa😂😂😂😂😂😂
Nashangaa huyo namba 19 imekuaje ajapita..shame Huyo dada ni star..tuko hapa Namtabiria mema, kama anasoma huu ujumbe yeye ni msanii mkubwa kuliko anavyojitazama..sasa ole wake akate tamaa
😂😂😂😂😅 Shilole wewe una wachanganya wenye kuimba hamsikizi ni kucheka cheka tu mda mwengine tulia unabore😂
The lady 0019 has talent she was supposed to go to dar judges I appeal her case.
@KhalifaMunyagane
7 ай бұрын
I second that -she's extremely good! I'm disappointed by the judges kuacha such a talent!
Huyu aliyeimba always love you ana tone ya dunia
❤❤❤❤
Huyu shishi anaboa kishenzi
Anajuaa razak
Ila huyo wa honey😂😂😂😂