BSS 2023 SN 14 EPISODE 02 MWANZA

Ойын-сауық

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 203

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza39407 ай бұрын

    Meena ni mtangazaji na nusu❤ i love her

  • @kiberudaniel6693
    @kiberudaniel66937 ай бұрын

    268 is another level....

  • @ndibyariyeprisca8171
    @ndibyariyeprisca81717 ай бұрын

    Nawapenda sana,napenda sana madam Rita na Salama nawafatiriya nikiwa Rwanda napenda sana bongo star❤

  • @Zuulito
    @Zuulito7 ай бұрын

    Salama kapendeza sana😍🔥

  • @gregorydusabe5165
    @gregorydusabe51657 ай бұрын

    Nampenda Sana hyu dada souti yake kalii

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu9377 ай бұрын

    Shilole Nakupenda Sana lakini Plz Unachokifanya Ni Bulling usifanye Ivooo

  • @kassodasilva5198
    @kassodasilva51987 ай бұрын

    Mchina amewezaaa ile mbayaaa😂😂😂😂😂😂

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi6187 ай бұрын

    Yule jamaa wa yesu nipende leo kuliko jana katisha bc t bahat haikua kwake

  • @emmymshomi8893
    @emmymshomi88937 ай бұрын

    Shilole kwann ana bull washirik kama uyo mama kiukweli sijapenda

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta84397 ай бұрын

    Uyo shilole anazinguwaaa aache watu waimbee banaa anaimba ovyo yeye vp

  • @immanidris4796
    @immanidris47967 ай бұрын

    Why bonge hajaenda anajua sanaaa

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn93827 ай бұрын

    Getruda unajua unajua unajua tena nimekupenda mno wewe ndo mshindi wangu mama umeniliza ujue 😢😢

  • @majomasliman7856
    @majomasliman78566 ай бұрын

    Tatizo madada wengi mnajifanya wazungu simuimbe kiswaili lugha yetu

  • @user-dc8wq5vf6b
    @user-dc8wq5vf6b7 ай бұрын

    Na mpend san master jay san

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma67987 ай бұрын

    Ma judge l hope mnasoma comments na mzifanyie kazi please

  • @jkifutu7936
    @jkifutu79367 ай бұрын

    Shishi msenge sana we dada sasa yanini kumwambia binadamu mwezako maisha tu uyoo dada kumbuka ata wewe ulicho nacho kitaondoka fara wewe

  • 6 ай бұрын

    Milele festival since #2004

  • @josephjoshua112
    @josephjoshua1127 ай бұрын

    Hyo mwana king David kaonewa tu

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel1007 ай бұрын

    😂,😂😂😂😂yani salama,,,eti yake imeingia vzr

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler28477 ай бұрын

    I have watched the show it was great and congratulations to all participants who have entered to another level.

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels18547 ай бұрын

    I love shilole vibes😂

  • @AminaTwalib-xf7oh

    @AminaTwalib-xf7oh

    7 ай бұрын

    Me too lakini sijui why wanamponda😅

  • @abdulwakilabdulswamadu7112
    @abdulwakilabdulswamadu71127 ай бұрын

    Abby n muhaya aisee huwez kuimba hvyo kihaya so amaizing nimefurah

  • @jumahamisi9280
    @jumahamisi92807 ай бұрын

    16:31 huyu wa palilalaaa ameua sana😂😂

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf7456 ай бұрын

    Alirudia tujuane 😂😂😂😂😂😂salome unepatika😂😂😂😂

  • @arnoldbahati3259
    @arnoldbahati32597 ай бұрын

    Shilole unaua banaaaa👌🏾

  • @maggiechristopher8817
    @maggiechristopher88177 ай бұрын

    The keyboard guy, and the lady alieiimba wimbo wa zahara wanakitu watafika mbali

  • @mdachiog5211
    @mdachiog52117 ай бұрын

    Dynamic tz ndo mshindi wa bss🎉

  • @jimwafula4733
    @jimwafula47337 ай бұрын

    shilole pleaseeeee tunakupenda lakini unaua sana! wacha washidaji waimbe

  • @user-bw3fu2wl3s
    @user-bw3fu2wl3s7 ай бұрын

    Godfrey unajua mpaka rah utafika mbari sana yaani narudia mara mbili mbili kipande chako urich imba

  • @Dr.ShermanEj
    @Dr.ShermanEj7 ай бұрын

    Mwanangu imeingia vizuri 😂😂😂 salmaa

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo84327 ай бұрын

    Shilole liko kama shangazi 😂 yaani madame yuko Sexy shilole sijui kabeba shishi food tumboni 😂 c kwa Hilo pakacha😂

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 pakacha tena

  • @KhalifaMunyagane
    @KhalifaMunyagane7 ай бұрын

    Shilole si akaushe aache washiriki waimbe tuwasikie. She's ruining the show! I hope producers wataona na kulifanyia kazi hili. Absolutely unprofessional!

  • @kenty101

    @kenty101

    7 ай бұрын

    Exactly.... I was so mad seriously 😢

  • @neemajohn8653

    @neemajohn8653

    7 ай бұрын

    Anaboa sana shishi bwana wamwambie

  • @MohamedMohamed-fg1kh

    @MohamedMohamed-fg1kh

    7 ай бұрын

    Adi kero

  • @thabitdaudi9815

    @thabitdaudi9815

    7 ай бұрын

    RITA SHILOLE AND SALAMA HAO WATATU WATOKE HAWANA PURPOSE KAMA MTU HAMALIZI KUIMBA ANAAMBIWA AMESHAPITA BILA KUSIKIA OPINION YA OTHER JUDGES. UNPROFFESIONAL IDIOTS

  • @dastonamichaels1854

    @dastonamichaels1854

    7 ай бұрын

    She's cool mbona..naenjoy sana uwepo wake

  • @ahmedkandoro9594
    @ahmedkandoro95947 ай бұрын

    Shishi anaweza sena , hongera Sana Shishi

  • @godwinloburu8646
    @godwinloburu86467 ай бұрын

    "hello is me your looking for" ni winner wa mchongo anakipaji walah

  • @godwinloburu8646
    @godwinloburu86467 ай бұрын

    Kadada ka kuliko Jana kanaimna sana sema ana overdo scales ila akifanya standard ni mkali kuliko wawaida, na dada wa hello anajua. Inshort wadada wametisha zaid

  • @karthala6676
    @karthala66766 ай бұрын

    Haina haja yakumkalifisha mtu. If she had the means she would buy a spray. When you have to choose food over spray. May Allah make things easy for her

  • @lastsimbatv1497
    @lastsimbatv14977 ай бұрын

    Namuona Master anamungalia shishi anaona hap lita kazingua 😅😅😅😅😅 sema i love this

  • @beautyibrahim8428

    @beautyibrahim8428

    7 ай бұрын

    Yaan sijui aliangalia vigezo gan apo angemuweka ata mwasiti

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂 kweli wanamvumilia tu

  • @salummhina7378
    @salummhina73787 ай бұрын

    NADHANI ni muhimu ku mu inbox Chief judge kuhusu Shilole nanyi msi mseme huku atajisikia vibaya. KIUKWELI KAMA MADAAM RITA UNASOMA COMMENTS BASI FANYA KITU KUHUSU SHILOLE I BELIVE JUDGING BSS IS NOT HER THING

  • @l.hphotography6648
    @l.hphotography66487 ай бұрын

    Such a nice show wallahy ❤❤❤, ninge request yule jamaa Wa yoga muwee mukimueka kufungua show tu, ili kumuuzisha kimataifa na kuonesha kipaji chake 😢, atakama ayuko kwa mashindano

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn93827 ай бұрын

    Dada namba 49 uko vizuri we ndo mshindi wangu umeniliza 😢😢 we mtoto

  • @EzekielDebora-cd2ib
    @EzekielDebora-cd2ib7 ай бұрын

    Shishi asitoke kwanza anafasi yake walau

  • @queeno247
    @queeno2475 ай бұрын

    😮😮😮siwapendi wote hao Judges Wajifunze kupitia KZread jinsi wajaji yaani Judges waulaya wanafanya je kujaji wakati wakuimba

  • @godwinloburu8646
    @godwinloburu86467 ай бұрын

    That man kingdavid alisem ni upcoming gramy winner alieimba kulikojana ni more than talent basi tu majaji wetu sio waimbaji professional Kama ilivo the voice na mashindano mengine that's why tunaacha vipaji Bora UNITALENT

  • @ilhamswaleh3428

    @ilhamswaleh3428

    7 ай бұрын

    Inashangaza sana

  • @user-gt9mj7ii9g
    @user-gt9mj7ii9g7 ай бұрын

    Shishi anajikuta Salama anajikuta madam Ritha kikubwa ajitafute awe yeye kama alivyo master J

  • @user-jb7cf4if1p
    @user-jb7cf4if1p6 ай бұрын

    you good to go lady

  • @DIANAPHENNY-Kenya
    @DIANAPHENNY-Kenya7 ай бұрын

    Dynamics ako vizuri waaah... Loving the show from Mombasa Kenya😍😍

  • @bonifacenyaroo174

    @bonifacenyaroo174

    7 ай бұрын

    U live from mwishomo😅

  • @Yusufu940
    @Yusufu9407 ай бұрын

    Bongo search wamuache kjn ali imba kuliko Jana binti kaenda vp ni vipaji au ni upendelevu

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor59697 ай бұрын

    Jamani mie natamani siku moja natamani wanialike tu nije kuangalia hapo maana kwa kucheka nitacheka mpaka from uk 🇬🇧

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn93827 ай бұрын

    ❤❤ u George unajua vibaya mno

  • @johnsakawa3393
    @johnsakawa33937 ай бұрын

    Salama hakika kaongea ukweli ukweli mzuri kusema yule wa kwanza amepewa max ambazo sio zake zilikuwa za bonge 😔😔

  • @AminaTwalib-xf7oh

    @AminaTwalib-xf7oh

    7 ай бұрын

    Kweli kabisa max hazikuwa zake😊

  • 6 ай бұрын

    Elementary school #enjorata7000

  • @user-hn7oh5zf5b
    @user-hn7oh5zf5b7 ай бұрын

    Huyu Abby ni shida anajua sana mnamwachaje jmn

  • @user-lx2gs5vr1b
    @user-lx2gs5vr1b7 ай бұрын

    Shilole ana haribu show, acha wasanii waimbe uta judge baadae, alafu kwanini ujibu majibu ya jumla wewe binafsi wakati kuna majudge wanne

  • @hawasaid7151

    @hawasaid7151

    7 ай бұрын

    Anakera yan anakiherehere mfyuuu, alafu pia mropokaj

  • @jacforti3091
    @jacforti30917 ай бұрын

    Shishi ❤

  • @sarahsulubu8587
    @sarahsulubu85877 ай бұрын

    Ila huyu shilole anaongea sana please tunawapenda🇰🇪but shi anyamaze kidogo

  • @Don_Will.i.am07
    @Don_Will.i.am077 ай бұрын

    Salama paliliiila laaa laaa laaa😂😂😂😂😂

  • @momonana2905
    @momonana29057 ай бұрын

    sijui majaji wanatumia kitu gani kujudge ila nachoona wamemuone King David, he was way better than many competitors. yule was supposed to go Dar

  • @majomasliman7856
    @majomasliman78566 ай бұрын

    Yake huyu kaka David anaonekana vizuri alafu Hana sauti zuri😂😂😂

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA7 ай бұрын

    Jamani jamani mwe mwe mwe mwe!🤣🤣🤣Kikwapa !!!!

  • @nancyg8664
    @nancyg86647 ай бұрын

    Alifurahi kukisiwa na salama😆😆😆😆

  • @faidhacute
    @faidhacute7 ай бұрын

    Shishi❤❤❤❤

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96887 ай бұрын

    salama tunakupenda

  • @Zuulito
    @Zuulito7 ай бұрын

    Shilole Shilole🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Grace_Ministry_International
    @Grace_Ministry_International7 ай бұрын

    No 0134 please unaimba vzr sana lkn find sings that you are efficient in singing otherwise you are good in singing

  • @lightnesstippe9006
    @lightnesstippe90067 ай бұрын

    0027 nakujua….👏👏👏👏👏

  • @user-lx2gs5vr1b
    @user-lx2gs5vr1b7 ай бұрын

    Kama umewai kuangalia Kong fu Panda utaelewa jinsi shishi anavyo fanya

  • @faidhacute
    @faidhacute7 ай бұрын

    Hata kama shishi mnasema lakn kuna watu wengine ni wahovyo sana hvi watu wengne hawako seriously kabsa ni wanaleta ujinga ty

  • @lenahanyango2076
    @lenahanyango20767 ай бұрын

    Mm nammiss omi

  • @user-lx2gs5vr1b
    @user-lx2gs5vr1b7 ай бұрын

    0063

  • @geraldnjonge7667
    @geraldnjonge76677 ай бұрын

    I'm listening you😅😅😅

  • @lastsimbatv1497
    @lastsimbatv14977 ай бұрын

    Huyu jamaa anayepiga gitaa na kinanda huku analap ninhtriii sanaa

  • @GuilinIbrahim-ud7rj
    @GuilinIbrahim-ud7rj7 ай бұрын

    Nyie chukuweni CHRISTIAN BELLA

  • @user-lx2gs5vr1b
    @user-lx2gs5vr1b7 ай бұрын

    007❤

  • @artisthusnatalal3099
    @artisthusnatalal30997 ай бұрын

    *35:15** Mchina jamani!* 😂😂😂🤣🤣🤣

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂 nimecheka vibaya mno

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn93827 ай бұрын

    Jamaa bonge mmemdhulumu 😢😢 pumbavu zenu

  • @TithoYesse
    @TithoYesse7 ай бұрын

    We have talents morogor mbona hamji sas

  • @JeannetteUwamwezi
    @JeannetteUwamwezi7 ай бұрын

    Shilole plz nyamanza tuwasikirize kbx 😅😅😅😅😅😅😅

  • @onesmongulo3770
    @onesmongulo37707 ай бұрын

    Kwa shishi mtajuta madam kimekuramba hapo

  • @kingrabi5118
    @kingrabi51187 ай бұрын

    Yani shilole ananifurahisha eti Uyu kaka ananjaa 😂😂😂

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry29197 ай бұрын

    Sarah anafanana na Jay D sana

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam98867 ай бұрын

    ❤❤🎉

  • @masika4010
    @masika40107 ай бұрын

    Mimi mnipee tu huyo Chister Hasani lol.... He did great but I think David King deserved a chance too

  • @Dr.ShermanEj
    @Dr.ShermanEj7 ай бұрын

    hawajawahi kukuambia wewe ni mbeautiful

  • @kayeliasym2629
    @kayeliasym26297 ай бұрын

    Shishi unazingua man

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16507 ай бұрын

    Zuchu is biiiiiiiiggggggg ... Anaimbwa sana na hio Honey 😅😅

  • @richzebest2029
    @richzebest20295 ай бұрын

    268 ni noma

  • @rorojam8400
    @rorojam84007 ай бұрын

    Having Shilole on this show was such a bad idea

  • @didakibo6452

    @didakibo6452

    7 ай бұрын

    Absolutely

  • @aboubakarsalum7280
    @aboubakarsalum72808 ай бұрын

    Me fast

  • @suysoni
    @suysoni7 ай бұрын

    hehehe Mchina katisha sana. Nimecheka kufa 😂😂😂😂

  • @b.emmaqulate
    @b.emmaqulateАй бұрын

    Mrudisheni Omidimpozz

  • @user-fz1cy9xt2y
    @user-fz1cy9xt2y7 ай бұрын

    mchinanoma duu😂😂😂😂

  • @AmeenaTanzania
    @AmeenaTanzania6 ай бұрын

    Hipapu aitaki kuzima 😂😂😂😂😂

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh7 ай бұрын

    Huku Ulaya hawezi kumwambia mtu unanuka kikwapa ni rudi angemteteleza tu mwenyewe akajijuwa kuliko kumuanika punguzeni ukali wa maneno mwengine hana uwezo wa manikato

  • @Watema23

    @Watema23

    7 ай бұрын

    It’s unethical and unprofessional 😢😢. I wish I were her I should sue Shilole for public harassment.

  • @mwana4599

    @mwana4599

    7 ай бұрын

    Sio Ulaya tu bali nu busara tu inatakiwa you can't 😊

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous16368 ай бұрын

    Watajuta kumpa mkataba shishi

  • @richardjoseph3347

    @richardjoseph3347

    7 ай бұрын

    😂😂😂

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    7 ай бұрын

    😂😂 tena si kidogo

  • @lilliesnganzi89
    @lilliesnganzi897 ай бұрын

    Salama shikamoo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @zakayomalongo4573
    @zakayomalongo45734 ай бұрын

    Wakina dada si mwimbe luga yenu

  • @user-qw5ft8xc1e
    @user-qw5ft8xc1e7 ай бұрын

    Madamu ritha na master j kuna jamaa namba 256 Ana rap anakitu sana

  • @peloabandelwa6927
    @peloabandelwa69277 ай бұрын

    Sema unakikwapa fulani hivi mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NduwimanaClaude-ik3wd
    @NduwimanaClaude-ik3wd2 ай бұрын

    Njooni naburundi jamani

  • @user-qo9dg4xk6j
    @user-qo9dg4xk6j7 ай бұрын

    A see majudge kazi nzur ila punguzen kuwaingilia wanapoimba tunatak kuwasikia waimbaji😢bss kaz nzur😊

Келесі