BSS 2023 SN 14 EPISODE 02 MWANZA
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 203
Meena ni mtangazaji na nusu❤ i love her
268 is another level....
Nawapenda sana,napenda sana madam Rita na Salama nawafatiriya nikiwa Rwanda napenda sana bongo star❤
Salama kapendeza sana😍🔥
Nampenda Sana hyu dada souti yake kalii
Shilole Nakupenda Sana lakini Plz Unachokifanya Ni Bulling usifanye Ivooo
Mchina amewezaaa ile mbayaaa😂😂😂😂😂😂
Yule jamaa wa yesu nipende leo kuliko jana katisha bc t bahat haikua kwake
Shilole kwann ana bull washirik kama uyo mama kiukweli sijapenda
Uyo shilole anazinguwaaa aache watu waimbee banaa anaimba ovyo yeye vp
Why bonge hajaenda anajua sanaaa
Getruda unajua unajua unajua tena nimekupenda mno wewe ndo mshindi wangu mama umeniliza ujue 😢😢
Tatizo madada wengi mnajifanya wazungu simuimbe kiswaili lugha yetu
Na mpend san master jay san
Ma judge l hope mnasoma comments na mzifanyie kazi please
Shishi msenge sana we dada sasa yanini kumwambia binadamu mwezako maisha tu uyoo dada kumbuka ata wewe ulicho nacho kitaondoka fara wewe
Milele festival since #2004
Hyo mwana king David kaonewa tu
😂,😂😂😂😂yani salama,,,eti yake imeingia vzr
I have watched the show it was great and congratulations to all participants who have entered to another level.
I love shilole vibes😂
@AminaTwalib-xf7oh
7 ай бұрын
Me too lakini sijui why wanamponda😅
Abby n muhaya aisee huwez kuimba hvyo kihaya so amaizing nimefurah
16:31 huyu wa palilalaaa ameua sana😂😂
Alirudia tujuane 😂😂😂😂😂😂salome unepatika😂😂😂😂
Shilole unaua banaaaa👌🏾
The keyboard guy, and the lady alieiimba wimbo wa zahara wanakitu watafika mbali
Dynamic tz ndo mshindi wa bss🎉
shilole pleaseeeee tunakupenda lakini unaua sana! wacha washidaji waimbe
Godfrey unajua mpaka rah utafika mbari sana yaani narudia mara mbili mbili kipande chako urich imba
Mwanangu imeingia vizuri 😂😂😂 salmaa
Shilole liko kama shangazi 😂 yaani madame yuko Sexy shilole sijui kabeba shishi food tumboni 😂 c kwa Hilo pakacha😂
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂 pakacha tena
Shilole si akaushe aache washiriki waimbe tuwasikie. She's ruining the show! I hope producers wataona na kulifanyia kazi hili. Absolutely unprofessional!
@kenty101
7 ай бұрын
Exactly.... I was so mad seriously 😢
@neemajohn8653
7 ай бұрын
Anaboa sana shishi bwana wamwambie
@MohamedMohamed-fg1kh
7 ай бұрын
Adi kero
@thabitdaudi9815
7 ай бұрын
RITA SHILOLE AND SALAMA HAO WATATU WATOKE HAWANA PURPOSE KAMA MTU HAMALIZI KUIMBA ANAAMBIWA AMESHAPITA BILA KUSIKIA OPINION YA OTHER JUDGES. UNPROFFESIONAL IDIOTS
@dastonamichaels1854
7 ай бұрын
She's cool mbona..naenjoy sana uwepo wake
Shishi anaweza sena , hongera Sana Shishi
"hello is me your looking for" ni winner wa mchongo anakipaji walah
Kadada ka kuliko Jana kanaimna sana sema ana overdo scales ila akifanya standard ni mkali kuliko wawaida, na dada wa hello anajua. Inshort wadada wametisha zaid
Haina haja yakumkalifisha mtu. If she had the means she would buy a spray. When you have to choose food over spray. May Allah make things easy for her
Namuona Master anamungalia shishi anaona hap lita kazingua 😅😅😅😅😅 sema i love this
@beautyibrahim8428
7 ай бұрын
Yaan sijui aliangalia vigezo gan apo angemuweka ata mwasiti
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
😂😂😂😂 kweli wanamvumilia tu
NADHANI ni muhimu ku mu inbox Chief judge kuhusu Shilole nanyi msi mseme huku atajisikia vibaya. KIUKWELI KAMA MADAAM RITA UNASOMA COMMENTS BASI FANYA KITU KUHUSU SHILOLE I BELIVE JUDGING BSS IS NOT HER THING
Such a nice show wallahy ❤❤❤, ninge request yule jamaa Wa yoga muwee mukimueka kufungua show tu, ili kumuuzisha kimataifa na kuonesha kipaji chake 😢, atakama ayuko kwa mashindano
Dada namba 49 uko vizuri we ndo mshindi wangu umeniliza 😢😢 we mtoto
Shishi asitoke kwanza anafasi yake walau
😮😮😮siwapendi wote hao Judges Wajifunze kupitia KZread jinsi wajaji yaani Judges waulaya wanafanya je kujaji wakati wakuimba
That man kingdavid alisem ni upcoming gramy winner alieimba kulikojana ni more than talent basi tu majaji wetu sio waimbaji professional Kama ilivo the voice na mashindano mengine that's why tunaacha vipaji Bora UNITALENT
@ilhamswaleh3428
7 ай бұрын
Inashangaza sana
Shishi anajikuta Salama anajikuta madam Ritha kikubwa ajitafute awe yeye kama alivyo master J
you good to go lady
Dynamics ako vizuri waaah... Loving the show from Mombasa Kenya😍😍
@bonifacenyaroo174
7 ай бұрын
U live from mwishomo😅
Bongo search wamuache kjn ali imba kuliko Jana binti kaenda vp ni vipaji au ni upendelevu
Jamani mie natamani siku moja natamani wanialike tu nije kuangalia hapo maana kwa kucheka nitacheka mpaka from uk 🇬🇧
❤❤ u George unajua vibaya mno
Salama hakika kaongea ukweli ukweli mzuri kusema yule wa kwanza amepewa max ambazo sio zake zilikuwa za bonge 😔😔
@AminaTwalib-xf7oh
7 ай бұрын
Kweli kabisa max hazikuwa zake😊
Elementary school #enjorata7000
Huyu Abby ni shida anajua sana mnamwachaje jmn
Shilole ana haribu show, acha wasanii waimbe uta judge baadae, alafu kwanini ujibu majibu ya jumla wewe binafsi wakati kuna majudge wanne
@hawasaid7151
7 ай бұрын
Anakera yan anakiherehere mfyuuu, alafu pia mropokaj
Shishi ❤
Ila huyu shilole anaongea sana please tunawapenda🇰🇪but shi anyamaze kidogo
Salama paliliiila laaa laaa laaa😂😂😂😂😂
sijui majaji wanatumia kitu gani kujudge ila nachoona wamemuone King David, he was way better than many competitors. yule was supposed to go Dar
Yake huyu kaka David anaonekana vizuri alafu Hana sauti zuri😂😂😂
Jamani jamani mwe mwe mwe mwe!🤣🤣🤣Kikwapa !!!!
Alifurahi kukisiwa na salama😆😆😆😆
Shishi❤❤❤❤
salama tunakupenda
Shilole Shilole🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
No 0134 please unaimba vzr sana lkn find sings that you are efficient in singing otherwise you are good in singing
0027 nakujua….👏👏👏👏👏
Kama umewai kuangalia Kong fu Panda utaelewa jinsi shishi anavyo fanya
Hata kama shishi mnasema lakn kuna watu wengine ni wahovyo sana hvi watu wengne hawako seriously kabsa ni wanaleta ujinga ty
Mm nammiss omi
0063
I'm listening you😅😅😅
Huyu jamaa anayepiga gitaa na kinanda huku analap ninhtriii sanaa
Nyie chukuweni CHRISTIAN BELLA
007❤
*35:15** Mchina jamani!* 😂😂😂🤣🤣🤣
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
😂😂😂😂 nimecheka vibaya mno
Jamaa bonge mmemdhulumu 😢😢 pumbavu zenu
We have talents morogor mbona hamji sas
Shilole plz nyamanza tuwasikirize kbx 😅😅😅😅😅😅😅
Kwa shishi mtajuta madam kimekuramba hapo
Yani shilole ananifurahisha eti Uyu kaka ananjaa 😂😂😂
Sarah anafanana na Jay D sana
❤❤🎉
Mimi mnipee tu huyo Chister Hasani lol.... He did great but I think David King deserved a chance too
hawajawahi kukuambia wewe ni mbeautiful
Shishi unazingua man
Zuchu is biiiiiiiiggggggg ... Anaimbwa sana na hio Honey 😅😅
268 ni noma
Having Shilole on this show was such a bad idea
@didakibo6452
7 ай бұрын
Absolutely
Me fast
hehehe Mchina katisha sana. Nimecheka kufa 😂😂😂😂
Mrudisheni Omidimpozz
mchinanoma duu😂😂😂😂
Hipapu aitaki kuzima 😂😂😂😂😂
Huku Ulaya hawezi kumwambia mtu unanuka kikwapa ni rudi angemteteleza tu mwenyewe akajijuwa kuliko kumuanika punguzeni ukali wa maneno mwengine hana uwezo wa manikato
@Watema23
7 ай бұрын
It’s unethical and unprofessional 😢😢. I wish I were her I should sue Shilole for public harassment.
@mwana4599
7 ай бұрын
Sio Ulaya tu bali nu busara tu inatakiwa you can't 😊
Watajuta kumpa mkataba shishi
@richardjoseph3347
7 ай бұрын
😂😂😂
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
😂😂 tena si kidogo
Salama shikamoo 😂😂😂😂😂😂😂
Wakina dada si mwimbe luga yenu
Madamu ritha na master j kuna jamaa namba 256 Ana rap anakitu sana
Sema unakikwapa fulani hivi mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Njooni naburundi jamani
A see majudge kazi nzur ila punguzen kuwaingilia wanapoimba tunatak kuwasikia waimbaji😢bss kaz nzur😊