BSS 2023 SN 14 EPISODE 04 KIGOMA
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 115
Shukuru umenifuraisha sana naipenda iyo nyimbo😂🎉🎉🎉🎉
Ma-judge Kuna muda mnachanganya washiriki na mm mtazamaji..hamna upangilio sometimes. America's/Britain got talents wanautaratibu amazing
Mina Ally ni Presenter mzuri sana
Shukulu Broo umetisha sana🔥🔥🔥🔥
Jamani hio English ya shilole😅 ila basi twawapenda🇰🇪
Mumefanya vizuri kum sappoti huyo mchoraji
Salama ni mzuri jamani kha 😢😢😂😂😂yani hazeeki
Master j kavaa rangi gan hii
Meena Ally apewe maua yake❤❤❤
@abelmsumba6649
7 ай бұрын
For sure 👏
Hivi kwann hamumuwekagi P-FUNK Majani awe pia kati ya majaji wa BSS? Mtaftieni hata japo sehemu yake huko mbeleni ili mzidi kunoga. By the way Veronica she is the best vocalist kwa washiriki wote mpaka sasa sijaona kama yeye.
Milele festival since #bss10 moses ampai
Kigoma mko juu❤
BAs mnavyoita shukuru , akili yangu inajibu baba yule 😅
We miss Idris sultan... Jamaa alikua anabambisha show
@badmanno.1650
7 ай бұрын
Caesar Daniel was the best .
@amamiss22
7 ай бұрын
Idrissa was the best ❤
0114 come ECONOMICALLY GROTH MUSICIANS tukuze kipaji chako🎉🎉🎉🎉
Shida mlio waambia awajui kuimba namkawakatisha tamaa walitoka kivyao leo ni masta wakubwa mlio waona wanajua hata walipo hatujui majaji bado
Alaf salama na master j hawapendi kuona mtu anarudi rudi wanataka ukiambiwa no upoteee mazima wasikuone tena😂😂😂😂😂😂😂😂
@nancyg8664
7 ай бұрын
😆😆😆
I will be grateful nikifika hapa siku moja😅
In each human work we have sentimental value and feeling so if the judges are not feeling you guys you are fire
Kigoma watu wanajua m.. hehe next time mbeya waisiende 😅😅
Irene una kipaji ukuje ECONOMICALLY GROTH MUSICIANS
Waaah enyewe kizungu ilikuja na meli, it's ok am not female i understand😊
I like the way the judges do their job but one thing I want to tell you dear fans we have different between to know music and to know to sing for me all of the judges know to sing but no music…
Jamani hawa majaji nawapenda mwenzenu 🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
Umetisha jamaa yang
Alakini behavior ya ma judges sio nzuri hata kama mtu hajui munaeza kumushahuri sio kumuponda sio fresh
Salmaa😂😂😂😂😂
Huyu shukuru mmmmh😂😂😂wampe TU hizo hela
Hahaha mama lishe anahoji watu et wewe ni wakikundi au private 😂
Huyu dada aliyetoka mwanza kaja hadi uku namuona siku moja ni star mkubwa tena A list kabisa
*28:15** She's the best. Her voice is unique!* 😅❤👍
Kigoma looks good ..
Hii Imeendaa 🎉
Master master huyo master
Salama🙌
Huyo shukuru ni kama Jemie Fox wa bongo
@mpjozzegalvanize4926
7 ай бұрын
Mchizi anajua iyo freestyle katoa kwa melody kali, real r&b
52:27 very good ...
jamaa wa kwanza kaonewa bhana, anakipaji kikubwa sana
Shilole ananiboa mm basi tu
Namba 1 fanya mazoezi ya pumzi utatoboa
Ni wa kikundi ama private.
Master j please balaka ana kitu naomba ufuatilie kwa kwel
Huyu shilole afai kuwa judge kbs kwanza mwenyew ajuwi kuimba
Kweli
Kigoma kuna vipaji
i think master j didn't appear during for da causes of commited suicide in 40 missed call by RAPCH. guys can u tell me how he appear?
Ana Maujanja yake, to be honest tunamtaka hata season 15 next year 2024
Mbona kigoma marasta wote
Wakwanza anaimba zaidi ya alikiba mwenyewe anavyoimba.
Unaimba kwa hisia sana
42.0mumemdharau sana😢😢
Batiki la fundi Michael😂😂😂😂
@noelahyera1304
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mecheka mnooo
😂😂 uyo shishii 😂😂
Mwaka huu vipaji vichache sana hasa mbeya hatari
Jamani uyu shishi😂😂😂
Shishi hujui kuimba audience ya watu
BSS wekeni majaji wasomi asee😂😂😂
Bas are you looking for talent of looking for vibe ,,coz we don't get it people singe afresh but they got no vibe ,in any competition you can't mix all of that ,,just find the talent, the vibes comes thank you..Big time
Hapa ukitaka kutolewa mapema basi imba wimbo wa Ali Kiba
Jaman mbo gold boy sija muona?
Shish hauwez kuimba bila biti live huwezi
Yuko wapi gold boy jamani mbna simuoni
meena ali
Kwani msimu huu niwamarasta tu??💁
Shishi body language ndo gani tena😅😅😅😅😅
Irine unajua
Kigoma mwaka uhu akuna vipaji km miaka mingine ndo ukweli wote Watano ni mmoja ndo mkali wengine wata hanguka to fifty
@francisosingaosinga
7 ай бұрын
Kabisaa nothing mwaka huu
shishi unazingua kinyama
Najua bss wanaangalia wa sauti kwa aslimia 80 lakini inakuaje judge anamwambia mtu asifanye music milele et kisa hana sauti nzuri, wasanii wangapi hawana sauti nzuri kama kina Ruby or Bella lakini wanafanya mziki na wanahit kina kinoma kina burna boy, shishi mwenyewe, whozu hawana sauti nzuri lakini tunawaona wanafanya music fresh na watu wanaenjoy. Mtu anatakiwa ajuijue sauti yake na aina ya music inayoendana na sauti yake.
@georgeigogo9259
7 ай бұрын
Hao wametoka kivyao
@user-jo4bh9mr5e
7 ай бұрын
Usijifananishe na mtu kisa katoboa utachelewa sana
Bss judges try to show a little bit of professionalism
😂😂😂😂😂
Shilole utatuua
😅😅😅😅😅😅😅😅
TANGA 😢
Kuna muda judges are being rude..
Utumbo mtupu kigomA
Sasa shishi anaimbaaa nini jamani nonsense 🤣🤣
@AswefaaMohd
7 ай бұрын
😂😂😂Bhana mm sitak kucheka
Ni fedheha shilole kuwa Judge, amejaribu kuimba she is irritating, boring
Hawa majaji wanajudge kulingana na mziki wanaoujua wao hio sio poaaa kabisaaa
@TeamBaganofficial
7 ай бұрын
Kwel
@binarytanzania
7 ай бұрын
Kama uyo kwanza anajua mno
@TeamBaganofficial
7 ай бұрын
Af sielew mbona krip ya gold boy wana ificha kuna tatizogan au mwamba alizingua sana
@artisthusnatalal3099
7 ай бұрын
@@binarytanzania Kweli kabisaa huyo wa kwanza anajua. Mara nyingine naona kama wana wivu na mtu sijui🤔😏
@binarytanzania
7 ай бұрын
@@artisthusnatalal3099 kabisa au unaweza kusema jamaa kalogwa nini.... maana kwa kipaj icho sio wa kuachwa
Hawa majaji hawataki kitu kipya wao wanataka mtu anaeimba kama Mond kiba au wasanii ma star Ila ukija na kitu kipya au ukiimba mziki ambao hawaujui ndo maana wanakwambia imba nyimbo nyingine
@nishaabdula5015
7 ай бұрын
Ht mm nashanga ss mtu wenda ana kipaji cha kuimba na kutunga ngoma ss anaitaji kuimba ngoma zake ljn wao wnataka mtu aimbe ngoma za wsani unakumbuka km yule fonabo yn yule nimkali kinoma ila wnamuangusha kisa anaimba ngoma alizo tunga yy ma sio za wasani ss cjui wnatafuta vipaji vyahaina gn
@artisthusnatalal3099
7 ай бұрын
Ndiyo nimewaona hawapendi uimbe wimbo wako uliotunga🤔🤨
Ukiona unaimba alafu majaji wanapiga zao story .. ukimaliza we jitokee zako tu 😅😅
Uyu dada anajuwa ila ana plesha mno
@artisthusnatalal3099
7 ай бұрын
Kumbe na wewe umeona. Labda tuseme ni khofu / anxiety 😂😂😂
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
@@artisthusnatalal3099muwe mnawataja na majina
@davidthomas2985
7 ай бұрын
Huyo dada anamzidi shilole mbali sana kuimba yani shilole asijiseme ni mtu wa kuujua mziki maana anachoimbagah hakieleweke ila ni nafasi yake tu imefika ndo kapata hiyo chance ya kuwa jaji ila Hana kitu anachojua kwny mziki. Atunze akiba ya maneno. Salama anajitamua sana na anajua anachokifanya elimu pia inachangia nadhani
@artisthusnatalal3099
7 ай бұрын
@@davidthomas2985 Kweli kuhusu shilole. Elimu ina changia moja kwa moja✔️
Eti batiki lafundi maiko😂😂 mina jaman
@user-jo4bh9mr5e
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂