BSS 2023 SN 14 EPISODE 04 KIGOMA

Ойын-сауық

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 115

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf7456 ай бұрын

    Shukuru umenifuraisha sana naipenda iyo nyimbo😂🎉🎉🎉🎉

  • @user-fo8xd7ft4u
    @user-fo8xd7ft4u7 ай бұрын

    Ma-judge Kuna muda mnachanganya washiriki na mm mtazamaji..hamna upangilio sometimes. America's/Britain got talents wanautaratibu amazing

  • @sinomiles
    @sinomiles7 ай бұрын

    Mina Ally ni Presenter mzuri sana

  • @dicksonraymond6655
    @dicksonraymond66554 ай бұрын

    Shukulu Broo umetisha sana🔥🔥🔥🔥

  • @sarahsulubu8587
    @sarahsulubu85876 ай бұрын

    Jamani hio English ya shilole😅 ila basi twawapenda🇰🇪

  • @jastinarts
    @jastinarts5 ай бұрын

    Mumefanya vizuri kum sappoti huyo mchoraji

  • @allyahahmed1091
    @allyahahmed10917 ай бұрын

    Salama ni mzuri jamani kha 😢😢😂😂😂yani hazeeki

  • @richzebest2029
    @richzebest20295 ай бұрын

    Master j kavaa rangi gan hii

  • @mussatete2618
    @mussatete26187 ай бұрын

    Meena Ally apewe maua yake❤❤❤

  • @abelmsumba6649

    @abelmsumba6649

    7 ай бұрын

    For sure 👏

  • @ammaherman3391
    @ammaherman33917 ай бұрын

    Hivi kwann hamumuwekagi P-FUNK Majani awe pia kati ya majaji wa BSS? Mtaftieni hata japo sehemu yake huko mbeleni ili mzidi kunoga. By the way Veronica she is the best vocalist kwa washiriki wote mpaka sasa sijaona kama yeye.

  • 6 ай бұрын

    Milele festival since #bss10 moses ampai

  • @ammydaniel8947
    @ammydaniel89477 ай бұрын

    Kigoma mko juu❤

  • @ammydaniel8947
    @ammydaniel89477 ай бұрын

    BAs mnavyoita shukuru , akili yangu inajibu baba yule 😅

  • @sportsextra7240
    @sportsextra72407 ай бұрын

    We miss Idris sultan... Jamaa alikua anabambisha show

  • @badmanno.1650

    @badmanno.1650

    7 ай бұрын

    Caesar Daniel was the best .

  • @amamiss22

    @amamiss22

    7 ай бұрын

    Idrissa was the best ❤

  • @user-wp7tj4vf9e
    @user-wp7tj4vf9e7 ай бұрын

    0114 come ECONOMICALLY GROTH MUSICIANS tukuze kipaji chako🎉🎉🎉🎉

  • @ErnestKimario-wy2zn
    @ErnestKimario-wy2zn7 ай бұрын

    Shida mlio waambia awajui kuimba namkawakatisha tamaa walitoka kivyao leo ni masta wakubwa mlio waona wanajua hata walipo hatujui majaji bado

  • @georginareginald6083
    @georginareginald60837 ай бұрын

    Alaf salama na master j hawapendi kuona mtu anarudi rudi wanataka ukiambiwa no upoteee mazima wasikuone tena😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    7 ай бұрын

    😆😆😆

  • @GladysGladysSidi
    @GladysGladysSidi7 ай бұрын

    I will be grateful nikifika hapa siku moja😅

  • @jerrynyamugabo2950
    @jerrynyamugabo29507 ай бұрын

    In each human work we have sentimental value and feeling so if the judges are not feeling you guys you are fire

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16507 ай бұрын

    Kigoma watu wanajua m.. hehe next time mbeya waisiende 😅😅

  • @user-wp7tj4vf9e
    @user-wp7tj4vf9e7 ай бұрын

    Irene una kipaji ukuje ECONOMICALLY GROTH MUSICIANS

  • @LucyFaustine
    @LucyFaustine7 ай бұрын

    Waaah enyewe kizungu ilikuja na meli, it's ok am not female i understand😊

  • @jerrynyamugabo2950
    @jerrynyamugabo29507 ай бұрын

    I like the way the judges do their job but one thing I want to tell you dear fans we have different between to know music and to know to sing for me all of the judges know to sing but no music…

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf7456 ай бұрын

    Jamani hawa majaji nawapenda mwenzenu 🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @user-rl4nv7ls4e
    @user-rl4nv7ls4e6 ай бұрын

    Umetisha jamaa yang

  • @patrickpantonndayishimiye3582
    @patrickpantonndayishimiye35827 ай бұрын

    Alakini behavior ya ma judges sio nzuri hata kama mtu hajui munaeza kumushahuri sio kumuponda sio fresh

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf7456 ай бұрын

    Salmaa😂😂😂😂😂

  • @sadamissa5687
    @sadamissa56877 ай бұрын

    Huyu shukuru mmmmh😂😂😂wampe TU hizo hela

  • @dianerditto
    @dianerditto7 ай бұрын

    Hahaha mama lishe anahoji watu et wewe ni wakikundi au private 😂

  • @thebios2553
    @thebios25537 ай бұрын

    Huyu dada aliyetoka mwanza kaja hadi uku namuona siku moja ni star mkubwa tena A list kabisa

  • @artisthusnatalal3099
    @artisthusnatalal30997 ай бұрын

    *28:15** She's the best. Her voice is unique!* 😅❤👍

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16507 ай бұрын

    Kigoma looks good ..

  • @kamandamkuu4g57
    @kamandamkuu4g577 ай бұрын

    Hii Imeendaa 🎉

  • @halimafimbo4890
    @halimafimbo48907 ай бұрын

    Master master huyo master

  • @mo-jj8im
    @mo-jj8im7 ай бұрын

    Salama🙌

  • @mo-jj8im
    @mo-jj8im7 ай бұрын

    Huyo shukuru ni kama Jemie Fox wa bongo

  • @mpjozzegalvanize4926

    @mpjozzegalvanize4926

    7 ай бұрын

    Mchizi anajua iyo freestyle katoa kwa melody kali, real r&b

  • @mozeslyricstz720
    @mozeslyricstz7207 ай бұрын

    52:27 very good ...

  • @timati255
    @timati2557 ай бұрын

    jamaa wa kwanza kaonewa bhana, anakipaji kikubwa sana

  • @allyahahmed1091
    @allyahahmed10917 ай бұрын

    Shilole ananiboa mm basi tu

  • @NaphySky-oq5sy
    @NaphySky-oq5sy7 ай бұрын

    Namba 1 fanya mazoezi ya pumzi utatoboa

  • @MurungaNixon
    @MurungaNixon4 ай бұрын

    Ni wa kikundi ama private.

  • @saidikiumwa4484
    @saidikiumwa44847 ай бұрын

    Master j please balaka ana kitu naomba ufuatilie kwa kwel

  • @user-tm8lq3rc1l
    @user-tm8lq3rc1l6 ай бұрын

    Huyu shilole afai kuwa judge kbs kwanza mwenyew ajuwi kuimba

  • @user-hj7pf2gc2l
    @user-hj7pf2gc2l7 ай бұрын

    Kweli

  • @Mc_Gwajee
    @Mc_Gwajee7 ай бұрын

    Kigoma kuna vipaji

  • @godblessbwire979
    @godblessbwire9796 ай бұрын

    i think master j didn't appear during for da causes of commited suicide in 40 missed call by RAPCH. guys can u tell me how he appear?

  • @sinomiles
    @sinomiles7 ай бұрын

    Ana Maujanja yake, to be honest tunamtaka hata season 15 next year 2024

  • @KahugeNtobiKahugeNtobi-ri4mj
    @KahugeNtobiKahugeNtobi-ri4mj7 ай бұрын

    Mbona kigoma marasta wote

  • @almaarifonlinetv
    @almaarifonlinetv7 ай бұрын

    Wakwanza anaimba zaidi ya alikiba mwenyewe anavyoimba.

  • @user-rl4nv7ls4e
    @user-rl4nv7ls4e6 ай бұрын

    Unaimba kwa hisia sana

  • @sarahsulubu8587
    @sarahsulubu85876 ай бұрын

    42.0mumemdharau sana😢😢

  • @abumuhammad7802
    @abumuhammad78027 ай бұрын

    Batiki la fundi Michael😂😂😂😂

  • @noelahyera1304

    @noelahyera1304

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 mecheka mnooo

  • @lawrenceshekinyashi8243
    @lawrenceshekinyashi82437 ай бұрын

    😂😂 uyo shishii 😂😂

  • @user-jo4bh9mr5e
    @user-jo4bh9mr5e7 ай бұрын

    Mwaka huu vipaji vichache sana hasa mbeya hatari

  • @user-et4lr6zt5u
    @user-et4lr6zt5u6 ай бұрын

    Jamani uyu shishi😂😂😂

  • @victornjau2119
    @victornjau21197 ай бұрын

    Shishi hujui kuimba audience ya watu

  • @williammussa5621
    @williammussa56217 ай бұрын

    BSS wekeni majaji wasomi asee😂😂😂

  • @mwafrikaTz
    @mwafrikaTz7 ай бұрын

    Bas are you looking for talent of looking for vibe ,,coz we don't get it people singe afresh but they got no vibe ,in any competition you can't mix all of that ,,just find the talent, the vibes comes thank you..Big time

  • @swimmermoddy3263
    @swimmermoddy32637 ай бұрын

    Hapa ukitaka kutolewa mapema basi imba wimbo wa Ali Kiba

  • @TeamBaganofficial
    @TeamBaganofficial7 ай бұрын

    Jaman mbo gold boy sija muona?

  • @user-ci8cg2cq3v
    @user-ci8cg2cq3v7 ай бұрын

    Shish hauwez kuimba bila biti live huwezi

  • @user-cf6jl2os6v
    @user-cf6jl2os6v6 ай бұрын

    Yuko wapi gold boy jamani mbna simuoni

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96884 ай бұрын

    meena ali

  • @niperes
    @niperes7 ай бұрын

    Kwani msimu huu niwamarasta tu??💁

  • @mishiabdu2773
    @mishiabdu27737 ай бұрын

    Shishi body language ndo gani tena😅😅😅😅😅

  • @melkizedekibenedict998
    @melkizedekibenedict9987 ай бұрын

    Irine unajua

  • @Yusufu940
    @Yusufu9407 ай бұрын

    Kigoma mwaka uhu akuna vipaji km miaka mingine ndo ukweli wote Watano ni mmoja ndo mkali wengine wata hanguka to fifty

  • @francisosingaosinga

    @francisosingaosinga

    7 ай бұрын

    Kabisaa nothing mwaka huu

  • @user-cd4uv2vr8x
    @user-cd4uv2vr8x7 ай бұрын

    shishi unazingua kinyama

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel73647 ай бұрын

    Najua bss wanaangalia wa sauti kwa aslimia 80 lakini inakuaje judge anamwambia mtu asifanye music milele et kisa hana sauti nzuri, wasanii wangapi hawana sauti nzuri kama kina Ruby or Bella lakini wanafanya mziki na wanahit kina kinoma kina burna boy, shishi mwenyewe, whozu hawana sauti nzuri lakini tunawaona wanafanya music fresh na watu wanaenjoy. Mtu anatakiwa ajuijue sauti yake na aina ya music inayoendana na sauti yake.

  • @georgeigogo9259

    @georgeigogo9259

    7 ай бұрын

    Hao wametoka kivyao

  • @user-jo4bh9mr5e

    @user-jo4bh9mr5e

    7 ай бұрын

    Usijifananishe na mtu kisa katoboa utachelewa sana

  • @edmundrutahiwa
    @edmundrutahiwa7 ай бұрын

    Bss judges try to show a little bit of professionalism

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera90207 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @chalabakari6563
    @chalabakari65636 ай бұрын

    Shilole utatuua

  • @lilliesnganzi89
    @lilliesnganzi897 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @stress_boy_tz
    @stress_boy_tz7 ай бұрын

    TANGA 😢

  • @herbethchogga361
    @herbethchogga3617 ай бұрын

    Kuna muda judges are being rude..

  • @kayombovincent8555
    @kayombovincent85557 ай бұрын

    Utumbo mtupu kigomA

  • @africanpolarbear4044
    @africanpolarbear40447 ай бұрын

    Sasa shishi anaimbaaa nini jamani nonsense 🤣🤣

  • @AswefaaMohd

    @AswefaaMohd

    7 ай бұрын

    😂😂😂Bhana mm sitak kucheka

  • @richardmaxwell3991
    @richardmaxwell39917 ай бұрын

    Ni fedheha shilole kuwa Judge, amejaribu kuimba she is irritating, boring

  • @hamingtonkiti1357
    @hamingtonkiti13577 ай бұрын

    Hawa majaji wanajudge kulingana na mziki wanaoujua wao hio sio poaaa kabisaaa

  • @TeamBaganofficial

    @TeamBaganofficial

    7 ай бұрын

    Kwel

  • @binarytanzania

    @binarytanzania

    7 ай бұрын

    Kama uyo kwanza anajua mno

  • @TeamBaganofficial

    @TeamBaganofficial

    7 ай бұрын

    Af sielew mbona krip ya gold boy wana ificha kuna tatizogan au mwamba alizingua sana

  • @artisthusnatalal3099

    @artisthusnatalal3099

    7 ай бұрын

    ​@@binarytanzania Kweli kabisaa huyo wa kwanza anajua. Mara nyingine naona kama wana wivu na mtu sijui🤔😏

  • @binarytanzania

    @binarytanzania

    7 ай бұрын

    @@artisthusnatalal3099 kabisa au unaweza kusema jamaa kalogwa nini.... maana kwa kipaj icho sio wa kuachwa

  • @HusseinNgendanyi
    @HusseinNgendanyi7 ай бұрын

    Hawa majaji hawataki kitu kipya wao wanataka mtu anaeimba kama Mond kiba au wasanii ma star Ila ukija na kitu kipya au ukiimba mziki ambao hawaujui ndo maana wanakwambia imba nyimbo nyingine

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    7 ай бұрын

    Ht mm nashanga ss mtu wenda ana kipaji cha kuimba na kutunga ngoma ss anaitaji kuimba ngoma zake ljn wao wnataka mtu aimbe ngoma za wsani unakumbuka km yule fonabo yn yule nimkali kinoma ila wnamuangusha kisa anaimba ngoma alizo tunga yy ma sio za wasani ss cjui wnatafuta vipaji vyahaina gn

  • @artisthusnatalal3099

    @artisthusnatalal3099

    7 ай бұрын

    Ndiyo nimewaona hawapendi uimbe wimbo wako uliotunga🤔🤨

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16507 ай бұрын

    Ukiona unaimba alafu majaji wanapiga zao story .. ukimaliza we jitokee zako tu 😅😅

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula50157 ай бұрын

    Uyu dada anajuwa ila ana plesha mno

  • @artisthusnatalal3099

    @artisthusnatalal3099

    7 ай бұрын

    Kumbe na wewe umeona. Labda tuseme ni khofu / anxiety 😂😂😂

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    7 ай бұрын

    ​@@artisthusnatalal3099muwe mnawataja na majina

  • @davidthomas2985

    @davidthomas2985

    7 ай бұрын

    Huyo dada anamzidi shilole mbali sana kuimba yani shilole asijiseme ni mtu wa kuujua mziki maana anachoimbagah hakieleweke ila ni nafasi yake tu imefika ndo kapata hiyo chance ya kuwa jaji ila Hana kitu anachojua kwny mziki. Atunze akiba ya maneno. Salama anajitamua sana na anajua anachokifanya elimu pia inachangia nadhani

  • @artisthusnatalal3099

    @artisthusnatalal3099

    7 ай бұрын

    @@davidthomas2985 Kweli kuhusu shilole. Elimu ina changia moja kwa moja✔️

  • @dablack-lf9qz
    @dablack-lf9qz7 ай бұрын

    Eti batiki lafundi maiko😂😂 mina jaman

  • @user-jo4bh9mr5e

    @user-jo4bh9mr5e

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

Келесі