CHEKA TU. Kings Edition. Deo Gratius kwenye stage.

Комедия

Follow us on Instagram for daily updates: / cheka.tu

Пікірлер: 253

  • @bimaisarankamia4153
    @bimaisarankamia41534 жыл бұрын

    Mashaaall huyu Kaka uchekeshaji wake wa tofauti yaani hakatishi mada yupo tofauti sn mungu akusimamie kipaji chako.Deo

  • @belindagiliard8977
    @belindagiliard89775 жыл бұрын

    Usimdhihaki Mungu maana imeabdikwa usilitaje bure jina la Mungu maana Bwana hatawahesabia kuwa hana hatia mtu alitajae bure jina lake. Heshimu unapotumia jina la Mungu

  • @pj2jay158

    @pj2jay158

    4 жыл бұрын

    Hajalitaja kwa ubaya ndugu, kwa mawazo yangu alitaka tujifunze kitu na kitu chenyewe ni kujua kumuomba Mungu ipaswavyo.

  • @gregorychogelo2013

    @gregorychogelo2013

    4 жыл бұрын

    Usi complicate maisha kiasi hicho!!

  • @farajisiraji9852

    @farajisiraji9852

    4 жыл бұрын

    Very complicator

  • @lusekelomwaigwisya850

    @lusekelomwaigwisya850

    3 жыл бұрын

    Msimtetee, alikosea kutaja ayo majina aisee (Mungu/ Yesu)

  • @Josefcm
    @Josefcm5 жыл бұрын

    Deogratius wewe ni comedian mzuri sana . Mungu amekupa kipaji hicho lakini hebu angalia katika kipaji alichokupa usije ukamdhihaki.

  • @presidentofafrica.5038

    @presidentofafrica.5038

    11 ай бұрын

    KABISA... MUNGU HATAKIWI KUTAJWA BALAZANI PENYE MIZAHA...

  • @damisokaikomaboy3883
    @damisokaikomaboy38835 жыл бұрын

    hahahaha,gonga like kwa deo, nakukubari mzee upo fresh sana, I wish kama nikija dar nikaribie kwenye show zenu

  • @janemaya8470
    @janemaya84705 жыл бұрын

    Lakini Deo nampenda sanaaa yn anachekeshaaaa sana kuna siku nimeangalia show yake usiku nimecheka hatarii mpk asubuhi nnaamka nnachekaaa tuu😂😂😂😂😂😂

  • @phildangote4304

    @phildangote4304

    4 жыл бұрын

    aise leo na mm ndo kanilaza alfajiri nacheka tu kifala

  • @phildangote4304

    @phildangote4304

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @johnndege9020
    @johnndege90205 жыл бұрын

    daah!! bro nakubaliii ofkoz unaweza,,comedian mwenzio nakusapoti...keep it up!!!!!!

  • @philipo7929
    @philipo79295 жыл бұрын

    we jamaa huwa unamalza MB ZANGU SANA HTR

  • @mayahabib4160
    @mayahabib41605 жыл бұрын

    Tokea nianze kuangalia cheka tu aise we jamaaa ni nouma nimecheka mpaka basi nakuona international level 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @elizabethkennedy703
    @elizabethkennedy7035 жыл бұрын

    Deo legend in the making....cheka tu ndio Habari ya mjini every month

  • @binsoud7513
    @binsoud75133 жыл бұрын

    Nakukubali miaka yotee munguu akubariki kilaa hatua duwaa broo

  • @mariamnassor6458
    @mariamnassor64585 жыл бұрын

    Huwa napata raha nkiwa na hii kitu coz inanifanya naxahau matatizo much love for #cheka tu

  • @edwardkisusuofficial
    @edwardkisusuofficial5 жыл бұрын

    Huyu mjinga anafanya Mm sifany kaz deo ni mwisho best Africa comedian agiza soda kwa kimaro nitakuja kulipa

  • @jairatuhappy634
    @jairatuhappy6345 жыл бұрын

    Jmn huyu jamaa akisimama jukwani pesa zamuhusu mashaallah

  • @BenCheck-jx9lo
    @BenCheck-jx9lo5 жыл бұрын

    Naipenda sana show nawaona mbali maana kila siku mnapiga hatua kwenda mbele. Pokeeni ushauri mzuri na kuufanyia kazi tuko pamoja.

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi12414 жыл бұрын

    Watching 18/September but nimecheka had mbavu zangu znaumaaaaa apa ur the best comedian real

  • @comfortndyanabo3522
    @comfortndyanabo35225 жыл бұрын

    Duh aiseeee nimecheka sanaaaaa....weee c mzimaa

  • @prophetessmarylight434
    @prophetessmarylight4345 жыл бұрын

    Nimekupenda bure. Mungu hakujalie Baba

  • @salharamadan5961
    @salharamadan59615 жыл бұрын

    Africa kuna best stand up comedian, your one among them

  • @wardadanda6322
    @wardadanda63225 жыл бұрын

    unaniongezea cku zangu za kuishi nakuombea long life

  • @shakurbenduz9729
    @shakurbenduz97295 жыл бұрын

    Aiseeee Deo C unatsha mzee Baba

  • @daviscyrill7472
    @daviscyrill74725 жыл бұрын

    Daaaahhh😂😂nimecheka usiku Kucha nakuja kushtuka Saa 11 daahh This is more than Comedy

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz5 жыл бұрын

    😂😂😂😅😅😅 kweli hii ni #cheka #tu najuta kwa kuikosa hii show daah. Next time tuko pamoja #Mr #Coy #Mzungu. Naamin huko tunakoendelea mbele hawa "giant comedian" watakutafuta waje wafanye show kwako.🔥💥🔥💥🔥

  • @roskarenatus2621

    @roskarenatus2621

    5 жыл бұрын

    Kwan huwa wanaungia kwa shngap

  • @sarhkimboi9085
    @sarhkimboi90853 жыл бұрын

    Ucmuweke MUNGU/ YESU kweny jokes

  • @kenedyadammwamagemo5611
    @kenedyadammwamagemo56115 жыл бұрын

    Thank u for this show I am glad tanzania os moving to a next level with comedy

  • @kelzbeats8038
    @kelzbeats80385 жыл бұрын

    Braza we ni monsterr😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥more fire🔥 more shampain cheka tu😂😂😂😂

  • @jacksonkamese9796
    @jacksonkamese97965 жыл бұрын

    Big up Bro aki uko pow best comedian

  • @annapaul6884
    @annapaul68845 жыл бұрын

    I love uuuu Deo........ umeniua kwa vicheko

  • @mariamnassor6458
    @mariamnassor64585 жыл бұрын

    Nakupenda bureee coy

  • @glorymushi2577
    @glorymushi25773 жыл бұрын

    akyamungu deo ww n mchaga so siri........... umeniuwaaa mbavu

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81145 жыл бұрын

    kumbe comedy nimuhimu usome sio kama zamani

  • @pamelamauki8154
    @pamelamauki81545 жыл бұрын

    Deo umeanza vizuri sana! Umemalizia vibaya! Yesu sio wamchezomchezo jamani!

  • @brainsngaugula6075
    @brainsngaugula60755 жыл бұрын

    Tanzania finest, salute mzee

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo62624 жыл бұрын

    Umetisha kinoma

  • @marypeter3062
    @marypeter30625 жыл бұрын

    he is amazing deogratius anajua na amejipangangaaaa

  • @adventswai4460
    @adventswai44605 жыл бұрын

    Nimecheka sana #kipande cha ngoyi

  • @priscajames6842
    @priscajames68425 жыл бұрын

    Deo mboya nakupenda buree unavunya mbavu zangu 😂😂😂😂😂

  • @gracetemba7308
    @gracetemba73082 жыл бұрын

    Jaman wachaga tutakoma🤣🤣🤣

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo20995 жыл бұрын

    Huwa nikion comed za Deo atakam n Dk 50 lazim niifungue maana cjutii mbs zangu, unajua Sana bro

  • @vanitosha844
    @vanitosha8445 жыл бұрын

    Yaaan we kaka nikichaaa

  • @deborapraygod3124
    @deborapraygod31245 жыл бұрын

    Da upo vizur San broo

  • @oliversamwely7569
    @oliversamwely75695 жыл бұрын

    Deo na lamin nawapenda sanah mwaah

  • @aronelius9515
    @aronelius95155 жыл бұрын

    Kazi kazi hii show nzuri sana naenjoy kuaangalia ....😂😂😂 keep on going ....kazi nzuri

  • @farajachitema9851
    @farajachitema98514 жыл бұрын

    Nakukubal Sana deo😄💪💪💪👏👏👏

  • @deusgabri
    @deusgabri5 жыл бұрын

    Safi sana nimecheka..deo ni shida...

  • @marinyasaxistv8121
    @marinyasaxistv81215 жыл бұрын

    There we Go.. I Think sasa tunaelekea angalau kuanza kuwachallenge Wakenya

  • @rashidbakar303

    @rashidbakar303

    4 жыл бұрын

    Nakubali san

  • @mcmnyalu3123
    @mcmnyalu31235 жыл бұрын

    Deo. ur talented brother .a lot of appreciation

  • @daniellema24
    @daniellema245 жыл бұрын

    Deo, Umemaliza Bro. Tupe Show inaonyesha watu wa Chugha. najua utamaliza, tena Mix na wachagaa utamaliza . Big up Sana Brother.

  • @charlesdamian2467
    @charlesdamian24674 жыл бұрын

    Cheka tu live comedy inaoneshwa kila lini na ni ukumbi gani,na bei ya ticket????

  • @betricejohn6766
    @betricejohn67664 жыл бұрын

    Uko vizuri

  • @chrismata7384
    @chrismata73842 жыл бұрын

    Jamani hii cheka2 uwa inafanyikia wapi na siku gani ? Nataka nije

  • @angelmwita6583
    @angelmwita65835 жыл бұрын

    deo unaweza sana

  • @vanitosha844
    @vanitosha8445 жыл бұрын

    Nimecheka jamani uwiiii

  • @lukambaofficial5541

    @lukambaofficial5541

    5 жыл бұрын

    Vani Tosha haunishindi mimi 😂😂😂😂😂😂

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah8502 жыл бұрын

    Napenda sn cheka tu 🔥🔥🔥

  • @alicemuro8090
    @alicemuro80902 жыл бұрын

    This is lit😂😂😂i got stomachache from laughing

  • @shabanimushangani3168
    @shabanimushangani31685 жыл бұрын

    Haaaaah nawakubali sn hawa jamaa hatariiii

  • @raphaelmtesha
    @raphaelmtesha5 жыл бұрын

    Deo and Opta..,,are the best

  • @chekanamkaa999

    @chekanamkaa999

    5 жыл бұрын

    RVT TV hapa sawa

  • @haulevincent8824
    @haulevincent88245 жыл бұрын

    Ushauri wangu msimzihaki Mungu kwa maneno yasio faaa kisa kuchekesha pia usione ni rahisi kufanya kisa watu wamefanya huwezi kusema YESU kama angekuwa mwanamke sijapenda hio ameharibu na kukosea sana weka limit ya maneno usiseme vilivyo vitakatifu kwa joke bali kwa hekma na adabu na kufunza watu.

  • @paulmasingija2952

    @paulmasingija2952

    5 жыл бұрын

    Haule Vincent respect

  • @neymarmbilinyi9735

    @neymarmbilinyi9735

    5 жыл бұрын

    We we HAULE biblia IMESEMA usimzihaki MUNGU unaelewa ZIHAKA ni NN?

  • @haulevincent8824

    @haulevincent8824

    5 жыл бұрын

    @@neymarmbilinyi9735 kasome biblia vizuri na uelewe misamiati..

  • @josephvinings6173

    @josephvinings6173

    5 жыл бұрын

    Haule Vincent: Calm down for crying out loud. I bet even Jesus would have enjoyed this, had he been sitting in the audience. Damn!

  • @jairatuhappy634

    @jairatuhappy634

    5 жыл бұрын

    Haule Vincent makubwa

  • @emerisianamhagama3895
    @emerisianamhagama38954 жыл бұрын

    I love CHEKA TU, so mwaaah

  • @chekanamkaa999
    @chekanamkaa9995 жыл бұрын

    Gwe asingaaàaaaa.... yo de best man

  • @johnstartv5455
    @johnstartv54555 жыл бұрын

    😂😂😂😂,,seriously nimejiko😂😂😂😭

  • @agnessestoni5631
    @agnessestoni56315 жыл бұрын

    You're the best Kaka deo💞💞💞💞💞💞👌

  • @shijamaditi7931
    @shijamaditi79315 жыл бұрын

    bora wamekutunza broo

  • @agnessestoni5631
    @agnessestoni56315 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nakupenda bureee Kaka deo

  • @khadijathani9064
    @khadijathani90645 жыл бұрын

    Hutu in muongo au mchekeshaji hahaha

  • @mcmnyalu3123
    @mcmnyalu31235 жыл бұрын

    powerful Coy powerfully Coy your last word so powerful

  • @carolinedalali7248

    @carolinedalali7248

    5 жыл бұрын

    MC MNYALU 7

  • @godfreykitundu954
    @godfreykitundu9545 жыл бұрын

    This guy has a great talent

  • @upendodennis881

    @upendodennis881

    2 жыл бұрын

    Jaman nakupenda we kaka God bless you

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba11985 жыл бұрын

    Aaaah Deo unahatari Sana 😂😂😂😂

  • @kibajamc2121
    @kibajamc21213 жыл бұрын

    unajua kuchekesho sana deo 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba23225 жыл бұрын

    Weeee jamaa fundiiii unajuaa

  • @khadijahassan3504
    @khadijahassan35045 жыл бұрын

    love you sana kaka deo

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu88125 жыл бұрын

    Idris anataman kipaji cha huyu jamaa kiamie kwake

  • @ellykingsonkingson9523

    @ellykingsonkingson9523

    5 жыл бұрын

    Julius URONU 😂😂😂 n nouma sana

  • @brainsngaugula6075

    @brainsngaugula6075

    5 жыл бұрын

    Umeona eh

  • @irenekadama8836

    @irenekadama8836

    3 жыл бұрын

    Yes

  • @laurentprochess8278
    @laurentprochess82785 жыл бұрын

    Brother tisha aisee umewateka wachaga woto

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu31492 жыл бұрын

    Deo mmoja ni sawa na joti watatu na mpoki wanne.

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi12414 жыл бұрын

    I love CHEKA TU mwaaaaah

  • @kongahjradvesta1662
    @kongahjradvesta16625 жыл бұрын

    My best comedian

  • @joelkazoba7013
    @joelkazoba70135 жыл бұрын

    This was the Best Ever.

  • @josephmalungu6809
    @josephmalungu68095 жыл бұрын

    ur the best brooo

  • @aliaboud7517
    @aliaboud75173 жыл бұрын

    Deo kama hujui demu wangu akinistress nasikiliza hii kimaro na mnishi basi anajua nishapata GF mwengine ninavoburudika aisee

  • @daudintambala3896
    @daudintambala38965 жыл бұрын

    Sawa kaka umeamua kutuvunja mbavu

  • @Iddahm-vb7nc
    @Iddahm-vb7nc9 ай бұрын

    No one like deo❤

  • @petrogolden9134
    @petrogolden91345 жыл бұрын

    Kawakaaa jamaa ametishaa sanaa

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo20134 жыл бұрын

    Deo anajua sana, huwa sichoki kuiangalia hii clip!!

  • @mahijakapingu395
    @mahijakapingu3955 жыл бұрын

    Kweli mnachekesha lakini msimueke mungu nayesu Allhamdulilah mtume muhamad swalalallhu alay waslam

  • @mahijakapingu395

    @mahijakapingu395

    5 жыл бұрын

    Hamuumtaji

  • @thomasmoris6675

    @thomasmoris6675

    5 жыл бұрын

    @@mahijakapingu395 acha udini wewe. Wakristo sio wakorofi wa kijinga kama Waislam. Nyie akisemwa huyo wenu mnakuja juu kama manyumbu.... Pia inawezekana hajulikani ndo maana hawamtaji

  • @domitilamboya3736
    @domitilamboya37365 жыл бұрын

    Kaka deo umetisha haaaaaaaa haaa

  • @rahmambweso9135
    @rahmambweso91355 жыл бұрын

    Wapi wachagaa😂😂😂😂😂

  • @alexkway9333
    @alexkway93332 жыл бұрын

    Coy fanya ufanyavyo rudisha hii kichwa bro....na mc lukinga daah🤣🤣

  • @mesenoadventures
    @mesenoadventures5 жыл бұрын

    This guy is reaaaaally goood

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e5 жыл бұрын

    HUYU JAMMA POA. MCHAGA POA.LOVE YOU BROO

  • @aithacklimz751
    @aithacklimz7515 жыл бұрын

    Deo🔥🔥🔥🔥🔥 Cheka tu

  • @maggymm7302
    @maggymm73025 жыл бұрын

    Deo nomaaa😂😂😂

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto5 жыл бұрын

    Yesu angekuwa mwanamke hehehehheheheheeee

  • @mwanakijana31
    @mwanakijana315 жыл бұрын

    Jamaa yupo vizur sanaaa aiseee but kuna jamaa sijamuona kitambo kichwa kimefanana na shangazi yake jina limentoka

  • @ignatusrogerslema8650
    @ignatusrogerslema86505 жыл бұрын

    Umeanza Vizuri ila mwishoni sijapenda ungeendelea na kiatu cha wachagga hadi mwisho

  • @naomijaphet6504
    @naomijaphet65045 жыл бұрын

    Nice

  • @freemonhenry3448
    @freemonhenry34485 жыл бұрын

    The Guy is for real talented

  • @johnjoseph3773
    @johnjoseph37735 жыл бұрын

    Deo uko vzr broo! Big up

  • @mctidohondoa1652

    @mctidohondoa1652

    5 жыл бұрын

    Deo nimekulewa

  • @evelynjohn2706
    @evelynjohn27064 жыл бұрын

    Ase Uyu jamaa yuko vzuri😂😂😂

  • @drewmollel2202
    @drewmollel22025 жыл бұрын

    Deo is talented!!!

  • @harryvice77
    @harryvice773 жыл бұрын

    Mzeee sijaona levozakotanzania hii

  • @charlesmasanja6161
    @charlesmasanja61614 жыл бұрын

    The good one brother

Келесі