Follow us on Instagram for daily updates: / cheka.tu
Жүктеу.....
Пікірлер: 253
@bimaisarankamia41534 жыл бұрын
Mashaaall huyu Kaka uchekeshaji wake wa tofauti yaani hakatishi mada yupo tofauti sn mungu akusimamie kipaji chako.Deo
@belindagiliard89775 жыл бұрын
Usimdhihaki Mungu maana imeabdikwa usilitaje bure jina la Mungu maana Bwana hatawahesabia kuwa hana hatia mtu alitajae bure jina lake. Heshimu unapotumia jina la Mungu
@pj2jay158
4 жыл бұрын
Hajalitaja kwa ubaya ndugu, kwa mawazo yangu alitaka tujifunze kitu na kitu chenyewe ni kujua kumuomba Mungu ipaswavyo.
Deogratius wewe ni comedian mzuri sana . Mungu amekupa kipaji hicho lakini hebu angalia katika kipaji alichokupa usije ukamdhihaki.
@presidentofafrica.5038
11 ай бұрын
KABISA... MUNGU HATAKIWI KUTAJWA BALAZANI PENYE MIZAHA...
@damisokaikomaboy38835 жыл бұрын
hahahaha,gonga like kwa deo, nakukubari mzee upo fresh sana, I wish kama nikija dar nikaribie kwenye show zenu
@janemaya84705 жыл бұрын
Lakini Deo nampenda sanaaa yn anachekeshaaaa sana kuna siku nimeangalia show yake usiku nimecheka hatarii mpk asubuhi nnaamka nnachekaaa tuu😂😂😂😂😂😂
@phildangote4304
4 жыл бұрын
aise leo na mm ndo kanilaza alfajiri nacheka tu kifala
@phildangote4304
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@johnndege90205 жыл бұрын
daah!! bro nakubaliii ofkoz unaweza,,comedian mwenzio nakusapoti...keep it up!!!!!!
@philipo79295 жыл бұрын
we jamaa huwa unamalza MB ZANGU SANA HTR
@mayahabib41605 жыл бұрын
Tokea nianze kuangalia cheka tu aise we jamaaa ni nouma nimecheka mpaka basi nakuona international level 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@elizabethkennedy7035 жыл бұрын
Deo legend in the making....cheka tu ndio Habari ya mjini every month
@binsoud75133 жыл бұрын
Nakukubali miaka yotee munguu akubariki kilaa hatua duwaa broo
@mariamnassor64585 жыл бұрын
Huwa napata raha nkiwa na hii kitu coz inanifanya naxahau matatizo much love for #cheka tu
@edwardkisusuofficial5 жыл бұрын
Huyu mjinga anafanya Mm sifany kaz deo ni mwisho best Africa comedian agiza soda kwa kimaro nitakuja kulipa
@jairatuhappy6345 жыл бұрын
Jmn huyu jamaa akisimama jukwani pesa zamuhusu mashaallah
@BenCheck-jx9lo5 жыл бұрын
Naipenda sana show nawaona mbali maana kila siku mnapiga hatua kwenda mbele. Pokeeni ushauri mzuri na kuufanyia kazi tuko pamoja.
@naimamunishi12414 жыл бұрын
Watching 18/September but nimecheka had mbavu zangu znaumaaaaa apa ur the best comedian real
@comfortndyanabo35225 жыл бұрын
Duh aiseeee nimecheka sanaaaaa....weee c mzimaa
@prophetessmarylight4345 жыл бұрын
Nimekupenda bure. Mungu hakujalie Baba
@salharamadan59615 жыл бұрын
Africa kuna best stand up comedian, your one among them
@wardadanda63225 жыл бұрын
unaniongezea cku zangu za kuishi nakuombea long life
@shakurbenduz97295 жыл бұрын
Aiseeee Deo C unatsha mzee Baba
@daviscyrill74725 жыл бұрын
Daaaahhh😂😂nimecheka usiku Kucha nakuja kushtuka Saa 11 daahh This is more than Comedy
@Tino_Official_tz5 жыл бұрын
😂😂😂😅😅😅 kweli hii ni #cheka #tu najuta kwa kuikosa hii show daah. Next time tuko pamoja #Mr #Coy #Mzungu. Naamin huko tunakoendelea mbele hawa "giant comedian" watakutafuta waje wafanye show kwako.🔥💥🔥💥🔥
@roskarenatus2621
5 жыл бұрын
Kwan huwa wanaungia kwa shngap
@sarhkimboi90853 жыл бұрын
Ucmuweke MUNGU/ YESU kweny jokes
@kenedyadammwamagemo56115 жыл бұрын
Thank u for this show I am glad tanzania os moving to a next level with comedy
@kelzbeats80385 жыл бұрын
Braza we ni monsterr😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥more fire🔥 more shampain cheka tu😂😂😂😂
@jacksonkamese97965 жыл бұрын
Big up Bro aki uko pow best comedian
@annapaul68845 жыл бұрын
I love uuuu Deo........ umeniua kwa vicheko
@mariamnassor64585 жыл бұрын
Nakupenda bureee coy
@glorymushi25773 жыл бұрын
akyamungu deo ww n mchaga so siri........... umeniuwaaa mbavu
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
kumbe comedy nimuhimu usome sio kama zamani
@pamelamauki81545 жыл бұрын
Deo umeanza vizuri sana! Umemalizia vibaya! Yesu sio wamchezomchezo jamani!
@brainsngaugula60755 жыл бұрын
Tanzania finest, salute mzee
@emmanuelnzaligo62624 жыл бұрын
Umetisha kinoma
@marypeter30625 жыл бұрын
he is amazing deogratius anajua na amejipangangaaaa
@adventswai44605 жыл бұрын
Nimecheka sana #kipande cha ngoyi
@priscajames68425 жыл бұрын
Deo mboya nakupenda buree unavunya mbavu zangu 😂😂😂😂😂
@gracetemba73082 жыл бұрын
Jaman wachaga tutakoma🤣🤣🤣
@mtaalamwamambo20995 жыл бұрын
Huwa nikion comed za Deo atakam n Dk 50 lazim niifungue maana cjutii mbs zangu, unajua Sana bro
@vanitosha8445 жыл бұрын
Yaaan we kaka nikichaaa
@deborapraygod31245 жыл бұрын
Da upo vizur San broo
@oliversamwely75695 жыл бұрын
Deo na lamin nawapenda sanah mwaah
@aronelius95155 жыл бұрын
Kazi kazi hii show nzuri sana naenjoy kuaangalia ....😂😂😂 keep on going ....kazi nzuri
@farajachitema98514 жыл бұрын
Nakukubal Sana deo😄💪💪💪👏👏👏
@deusgabri5 жыл бұрын
Safi sana nimecheka..deo ni shida...
@marinyasaxistv81215 жыл бұрын
There we Go.. I Think sasa tunaelekea angalau kuanza kuwachallenge Wakenya
@rashidbakar303
4 жыл бұрын
Nakubali san
@mcmnyalu31235 жыл бұрын
Deo. ur talented brother .a lot of appreciation
@daniellema245 жыл бұрын
Deo, Umemaliza Bro. Tupe Show inaonyesha watu wa Chugha. najua utamaliza, tena Mix na wachagaa utamaliza . Big up Sana Brother.
@charlesdamian24674 жыл бұрын
Cheka tu live comedy inaoneshwa kila lini na ni ukumbi gani,na bei ya ticket????
@betricejohn67664 жыл бұрын
Uko vizuri
@chrismata73842 жыл бұрын
Jamani hii cheka2 uwa inafanyikia wapi na siku gani ? Nataka nije
@angelmwita65835 жыл бұрын
deo unaweza sana
@vanitosha8445 жыл бұрын
Nimecheka jamani uwiiii
@lukambaofficial5541
5 жыл бұрын
Vani Tosha haunishindi mimi 😂😂😂😂😂😂
@nasraabdallah8502 жыл бұрын
Napenda sn cheka tu 🔥🔥🔥
@alicemuro80902 жыл бұрын
This is lit😂😂😂i got stomachache from laughing
@shabanimushangani31685 жыл бұрын
Haaaaah nawakubali sn hawa jamaa hatariiii
@raphaelmtesha5 жыл бұрын
Deo and Opta..,,are the best
@chekanamkaa999
5 жыл бұрын
RVT TV hapa sawa
@haulevincent88245 жыл бұрын
Ushauri wangu msimzihaki Mungu kwa maneno yasio faaa kisa kuchekesha pia usione ni rahisi kufanya kisa watu wamefanya huwezi kusema YESU kama angekuwa mwanamke sijapenda hio ameharibu na kukosea sana weka limit ya maneno usiseme vilivyo vitakatifu kwa joke bali kwa hekma na adabu na kufunza watu.
@paulmasingija2952
5 жыл бұрын
Haule Vincent respect
@neymarmbilinyi9735
5 жыл бұрын
We we HAULE biblia IMESEMA usimzihaki MUNGU unaelewa ZIHAKA ni NN?
@haulevincent8824
5 жыл бұрын
@@neymarmbilinyi9735 kasome biblia vizuri na uelewe misamiati..
@josephvinings6173
5 жыл бұрын
Haule Vincent: Calm down for crying out loud. I bet even Jesus would have enjoyed this, had he been sitting in the audience. Damn!
@jairatuhappy634
5 жыл бұрын
Haule Vincent makubwa
@emerisianamhagama38954 жыл бұрын
I love CHEKA TU, so mwaaah
@chekanamkaa9995 жыл бұрын
Gwe asingaaàaaaa.... yo de best man
@johnstartv54555 жыл бұрын
😂😂😂😂,,seriously nimejiko😂😂😂😭
@agnessestoni56315 жыл бұрын
You're the best Kaka deo💞💞💞💞💞💞👌
@shijamaditi79315 жыл бұрын
bora wamekutunza broo
@agnessestoni56315 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nakupenda bureee Kaka deo
@khadijathani90645 жыл бұрын
Hutu in muongo au mchekeshaji hahaha
@mcmnyalu31235 жыл бұрын
powerful Coy powerfully Coy your last word so powerful
@carolinedalali7248
5 жыл бұрын
MC MNYALU 7
@godfreykitundu9545 жыл бұрын
This guy has a great talent
@upendodennis881
2 жыл бұрын
Jaman nakupenda we kaka God bless you
@ericklibaba11985 жыл бұрын
Aaaah Deo unahatari Sana 😂😂😂😂
@kibajamc21213 жыл бұрын
unajua kuchekesho sana deo 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@bokimmwamba23225 жыл бұрын
Weeee jamaa fundiiii unajuaa
@khadijahassan35045 жыл бұрын
love you sana kaka deo
@juliusuronu88125 жыл бұрын
Idris anataman kipaji cha huyu jamaa kiamie kwake
@ellykingsonkingson9523
5 жыл бұрын
Julius URONU 😂😂😂 n nouma sana
@brainsngaugula6075
5 жыл бұрын
Umeona eh
@irenekadama8836
3 жыл бұрын
Yes
@laurentprochess82785 жыл бұрын
Brother tisha aisee umewateka wachaga woto
@goodlucktemu31492 жыл бұрын
Deo mmoja ni sawa na joti watatu na mpoki wanne.
@naimamunishi12414 жыл бұрын
I love CHEKA TU mwaaaaah
@kongahjradvesta16625 жыл бұрын
My best comedian
@joelkazoba70135 жыл бұрын
This was the Best Ever.
@josephmalungu68095 жыл бұрын
ur the best brooo
@aliaboud75173 жыл бұрын
Deo kama hujui demu wangu akinistress nasikiliza hii kimaro na mnishi basi anajua nishapata GF mwengine ninavoburudika aisee
@daudintambala38965 жыл бұрын
Sawa kaka umeamua kutuvunja mbavu
@Iddahm-vb7nc9 ай бұрын
No one like deo❤
@petrogolden91345 жыл бұрын
Kawakaaa jamaa ametishaa sanaa
@gregorychogelo20134 жыл бұрын
Deo anajua sana, huwa sichoki kuiangalia hii clip!!
@mahijakapingu3955 жыл бұрын
Kweli mnachekesha lakini msimueke mungu nayesu Allhamdulilah mtume muhamad swalalallhu alay waslam
@mahijakapingu395
5 жыл бұрын
Hamuumtaji
@thomasmoris6675
5 жыл бұрын
@@mahijakapingu395 acha udini wewe. Wakristo sio wakorofi wa kijinga kama Waislam. Nyie akisemwa huyo wenu mnakuja juu kama manyumbu.... Pia inawezekana hajulikani ndo maana hawamtaji
@domitilamboya37365 жыл бұрын
Kaka deo umetisha haaaaaaaa haaa
@rahmambweso91355 жыл бұрын
Wapi wachagaa😂😂😂😂😂
@alexkway93332 жыл бұрын
Coy fanya ufanyavyo rudisha hii kichwa bro....na mc lukinga daah🤣🤣
@mesenoadventures5 жыл бұрын
This guy is reaaaaally goood
@user-ik3ey9cs9e5 жыл бұрын
HUYU JAMMA POA. MCHAGA POA.LOVE YOU BROO
@aithacklimz7515 жыл бұрын
Deo🔥🔥🔥🔥🔥 Cheka tu
@maggymm73025 жыл бұрын
Deo nomaaa😂😂😂
@venstonvedasto5 жыл бұрын
Yesu angekuwa mwanamke hehehehheheheheeee
@mwanakijana315 жыл бұрын
Jamaa yupo vizur sanaaa aiseee but kuna jamaa sijamuona kitambo kichwa kimefanana na shangazi yake jina limentoka
@ignatusrogerslema86505 жыл бұрын
Umeanza Vizuri ila mwishoni sijapenda ungeendelea na kiatu cha wachagga hadi mwisho
Пікірлер: 253
Mashaaall huyu Kaka uchekeshaji wake wa tofauti yaani hakatishi mada yupo tofauti sn mungu akusimamie kipaji chako.Deo
Usimdhihaki Mungu maana imeabdikwa usilitaje bure jina la Mungu maana Bwana hatawahesabia kuwa hana hatia mtu alitajae bure jina lake. Heshimu unapotumia jina la Mungu
@pj2jay158
4 жыл бұрын
Hajalitaja kwa ubaya ndugu, kwa mawazo yangu alitaka tujifunze kitu na kitu chenyewe ni kujua kumuomba Mungu ipaswavyo.
@gregorychogelo2013
4 жыл бұрын
Usi complicate maisha kiasi hicho!!
@farajisiraji9852
4 жыл бұрын
Very complicator
@lusekelomwaigwisya850
3 жыл бұрын
Msimtetee, alikosea kutaja ayo majina aisee (Mungu/ Yesu)
Deogratius wewe ni comedian mzuri sana . Mungu amekupa kipaji hicho lakini hebu angalia katika kipaji alichokupa usije ukamdhihaki.
@presidentofafrica.5038
11 ай бұрын
KABISA... MUNGU HATAKIWI KUTAJWA BALAZANI PENYE MIZAHA...
hahahaha,gonga like kwa deo, nakukubari mzee upo fresh sana, I wish kama nikija dar nikaribie kwenye show zenu
Lakini Deo nampenda sanaaa yn anachekeshaaaa sana kuna siku nimeangalia show yake usiku nimecheka hatarii mpk asubuhi nnaamka nnachekaaa tuu😂😂😂😂😂😂
@phildangote4304
4 жыл бұрын
aise leo na mm ndo kanilaza alfajiri nacheka tu kifala
@phildangote4304
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
daah!! bro nakubaliii ofkoz unaweza,,comedian mwenzio nakusapoti...keep it up!!!!!!
we jamaa huwa unamalza MB ZANGU SANA HTR
Tokea nianze kuangalia cheka tu aise we jamaaa ni nouma nimecheka mpaka basi nakuona international level 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Deo legend in the making....cheka tu ndio Habari ya mjini every month
Nakukubali miaka yotee munguu akubariki kilaa hatua duwaa broo
Huwa napata raha nkiwa na hii kitu coz inanifanya naxahau matatizo much love for #cheka tu
Huyu mjinga anafanya Mm sifany kaz deo ni mwisho best Africa comedian agiza soda kwa kimaro nitakuja kulipa
Jmn huyu jamaa akisimama jukwani pesa zamuhusu mashaallah
Naipenda sana show nawaona mbali maana kila siku mnapiga hatua kwenda mbele. Pokeeni ushauri mzuri na kuufanyia kazi tuko pamoja.
Watching 18/September but nimecheka had mbavu zangu znaumaaaaa apa ur the best comedian real
Duh aiseeee nimecheka sanaaaaa....weee c mzimaa
Nimekupenda bure. Mungu hakujalie Baba
Africa kuna best stand up comedian, your one among them
unaniongezea cku zangu za kuishi nakuombea long life
Aiseeee Deo C unatsha mzee Baba
Daaaahhh😂😂nimecheka usiku Kucha nakuja kushtuka Saa 11 daahh This is more than Comedy
😂😂😂😅😅😅 kweli hii ni #cheka #tu najuta kwa kuikosa hii show daah. Next time tuko pamoja #Mr #Coy #Mzungu. Naamin huko tunakoendelea mbele hawa "giant comedian" watakutafuta waje wafanye show kwako.🔥💥🔥💥🔥
@roskarenatus2621
5 жыл бұрын
Kwan huwa wanaungia kwa shngap
Ucmuweke MUNGU/ YESU kweny jokes
Thank u for this show I am glad tanzania os moving to a next level with comedy
Braza we ni monsterr😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥more fire🔥 more shampain cheka tu😂😂😂😂
Big up Bro aki uko pow best comedian
I love uuuu Deo........ umeniua kwa vicheko
Nakupenda bureee coy
akyamungu deo ww n mchaga so siri........... umeniuwaaa mbavu
kumbe comedy nimuhimu usome sio kama zamani
Deo umeanza vizuri sana! Umemalizia vibaya! Yesu sio wamchezomchezo jamani!
Tanzania finest, salute mzee
Umetisha kinoma
he is amazing deogratius anajua na amejipangangaaaa
Nimecheka sana #kipande cha ngoyi
Deo mboya nakupenda buree unavunya mbavu zangu 😂😂😂😂😂
Jaman wachaga tutakoma🤣🤣🤣
Huwa nikion comed za Deo atakam n Dk 50 lazim niifungue maana cjutii mbs zangu, unajua Sana bro
Yaaan we kaka nikichaaa
Da upo vizur San broo
Deo na lamin nawapenda sanah mwaah
Kazi kazi hii show nzuri sana naenjoy kuaangalia ....😂😂😂 keep on going ....kazi nzuri
Nakukubal Sana deo😄💪💪💪👏👏👏
Safi sana nimecheka..deo ni shida...
There we Go.. I Think sasa tunaelekea angalau kuanza kuwachallenge Wakenya
@rashidbakar303
4 жыл бұрын
Nakubali san
Deo. ur talented brother .a lot of appreciation
Deo, Umemaliza Bro. Tupe Show inaonyesha watu wa Chugha. najua utamaliza, tena Mix na wachagaa utamaliza . Big up Sana Brother.
Cheka tu live comedy inaoneshwa kila lini na ni ukumbi gani,na bei ya ticket????
Uko vizuri
Jamani hii cheka2 uwa inafanyikia wapi na siku gani ? Nataka nije
deo unaweza sana
Nimecheka jamani uwiiii
@lukambaofficial5541
5 жыл бұрын
Vani Tosha haunishindi mimi 😂😂😂😂😂😂
Napenda sn cheka tu 🔥🔥🔥
This is lit😂😂😂i got stomachache from laughing
Haaaaah nawakubali sn hawa jamaa hatariiii
Deo and Opta..,,are the best
@chekanamkaa999
5 жыл бұрын
RVT TV hapa sawa
Ushauri wangu msimzihaki Mungu kwa maneno yasio faaa kisa kuchekesha pia usione ni rahisi kufanya kisa watu wamefanya huwezi kusema YESU kama angekuwa mwanamke sijapenda hio ameharibu na kukosea sana weka limit ya maneno usiseme vilivyo vitakatifu kwa joke bali kwa hekma na adabu na kufunza watu.
@paulmasingija2952
5 жыл бұрын
Haule Vincent respect
@neymarmbilinyi9735
5 жыл бұрын
We we HAULE biblia IMESEMA usimzihaki MUNGU unaelewa ZIHAKA ni NN?
@haulevincent8824
5 жыл бұрын
@@neymarmbilinyi9735 kasome biblia vizuri na uelewe misamiati..
@josephvinings6173
5 жыл бұрын
Haule Vincent: Calm down for crying out loud. I bet even Jesus would have enjoyed this, had he been sitting in the audience. Damn!
@jairatuhappy634
5 жыл бұрын
Haule Vincent makubwa
I love CHEKA TU, so mwaaah
Gwe asingaaàaaaa.... yo de best man
😂😂😂😂,,seriously nimejiko😂😂😂😭
You're the best Kaka deo💞💞💞💞💞💞👌
bora wamekutunza broo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nakupenda bureee Kaka deo
Hutu in muongo au mchekeshaji hahaha
powerful Coy powerfully Coy your last word so powerful
@carolinedalali7248
5 жыл бұрын
MC MNYALU 7
This guy has a great talent
@upendodennis881
2 жыл бұрын
Jaman nakupenda we kaka God bless you
Aaaah Deo unahatari Sana 😂😂😂😂
unajua kuchekesho sana deo 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Weeee jamaa fundiiii unajuaa
love you sana kaka deo
Idris anataman kipaji cha huyu jamaa kiamie kwake
@ellykingsonkingson9523
5 жыл бұрын
Julius URONU 😂😂😂 n nouma sana
@brainsngaugula6075
5 жыл бұрын
Umeona eh
@irenekadama8836
3 жыл бұрын
Yes
Brother tisha aisee umewateka wachaga woto
Deo mmoja ni sawa na joti watatu na mpoki wanne.
I love CHEKA TU mwaaaaah
My best comedian
This was the Best Ever.
ur the best brooo
Deo kama hujui demu wangu akinistress nasikiliza hii kimaro na mnishi basi anajua nishapata GF mwengine ninavoburudika aisee
Sawa kaka umeamua kutuvunja mbavu
No one like deo❤
Kawakaaa jamaa ametishaa sanaa
Deo anajua sana, huwa sichoki kuiangalia hii clip!!
Kweli mnachekesha lakini msimueke mungu nayesu Allhamdulilah mtume muhamad swalalallhu alay waslam
@mahijakapingu395
5 жыл бұрын
Hamuumtaji
@thomasmoris6675
5 жыл бұрын
@@mahijakapingu395 acha udini wewe. Wakristo sio wakorofi wa kijinga kama Waislam. Nyie akisemwa huyo wenu mnakuja juu kama manyumbu.... Pia inawezekana hajulikani ndo maana hawamtaji
Kaka deo umetisha haaaaaaaa haaa
Wapi wachagaa😂😂😂😂😂
Coy fanya ufanyavyo rudisha hii kichwa bro....na mc lukinga daah🤣🤣
This guy is reaaaaally goood
HUYU JAMMA POA. MCHAGA POA.LOVE YOU BROO
Deo🔥🔥🔥🔥🔥 Cheka tu
Deo nomaaa😂😂😂
Yesu angekuwa mwanamke hehehehheheheheeee
Jamaa yupo vizur sanaaa aiseee but kuna jamaa sijamuona kitambo kichwa kimefanana na shangazi yake jina limentoka
Umeanza Vizuri ila mwishoni sijapenda ungeendelea na kiatu cha wachagga hadi mwisho
Nice
The Guy is for real talented
Deo uko vzr broo! Big up
@mctidohondoa1652
5 жыл бұрын
Deo nimekulewa
Ase Uyu jamaa yuko vzuri😂😂😂
Deo is talented!!!
Mzeee sijaona levozakotanzania hii
The good one brother