Kindly follow us on Instagram for daily updates: / cheka.tu
Жүктеу.....
Пікірлер: 223
@sarattaekedu21025 жыл бұрын
Kama unamkubari jamaa gonga like hapa anajua sana deo dah
@jackittah5 жыл бұрын
me mpogoro, hiyo sehmu ya wpogoro made me miss my bibi so much. maana ndio anaongea hiyo hivyo especially sehemu ya kunya hapo hahahhaa deo u made my morning aisee. good job
@robinsongina63345 жыл бұрын
He is the best out there. He has content. Most of Tanzania comedians don't have content. They are doing freestyle comedy which isn't all that but this guy right here,anajua nini anafanya. Hata comedy inahitaji maandalizi,lazima uwe na content n then on stage as you go on,unaweza kuchomekea freestyle kidogo,sio freestyle mwanzo mwisho. Hands down for this guy,all the time nikimuangalia anaonekana anajua nini anafanya. Utafika mbali brother. Keep doing the great works
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Robinson Gina Thanks man; I will keep doing my best
@robinsongina6334
5 жыл бұрын
@@deo_gratius Officially I am your fan brother. I need to attend one of your shows sometime soon
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Robinson Gina That’s would be great 👍. Karibu sana kwenye show
@robinsongina6334
5 жыл бұрын
@@deo_gratius Any shows sometime soon? Dates and venue please
@gloriousn6425
5 жыл бұрын
Robinson Gina man,you can say that again 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@tildahongkong60865 жыл бұрын
Aiseee huyu kaka ni konki 🔥🔥 anajua kuliko hata huyo idris huyu nomaa 🙌🏻🔥🔥🤣🤣🤣
@Omushonga5 жыл бұрын
This's what stand up comedy means. Jamaa anajua sana huyu😂👏🏽
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Giddy 🙏 I Appreciate
@shaffinjama31665 жыл бұрын
This guy has talent. Akiweka strategy nzuri at this tym, anaeza kuja kua diamond wa comedy bongo. Nyc work bro!
@deo_gratius
5 жыл бұрын
SHAFFI NJAMA Du! 😊 Thanks 🙏
@barikimvukye24675 жыл бұрын
dah! #deo tangu shuleni Pandahill (pasec) kipindi hicho yuko Advance ...jamaa nibalaaa tangu enzi 2011/2012..nikiwa form one.....apliciate bro Deo.....
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Thanks man! 🙏 Singoi hoyeeeeee 😂
@barikimvukye2467
5 жыл бұрын
100% sana bro am happy to see your talent bro....na zile Afro zako kakichanio kichwan mzee + ile school bag yako Mzee Bruda Jose macho tyu......miss those moments bro ....with mamushka hahahaha
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Duh...Mimi nimetoka hapo 2000
@deusgabri5 жыл бұрын
Huyu jamaa ni comedian anajua kusimulia.....much respect bro...ila wape somo wenzako hawajui kupresent vizuri kama wewe.
@mrmrsmubamrmrsmuba8530
4 жыл бұрын
Nc brother
@judithmsengi65855 жыл бұрын
Deo ur something else Narudiarudia lkn sichoki Mungu akuongeze bro #Deogratius
@juliusuronu88125 жыл бұрын
Yan ningepata sehemu panapouzwa confidence..Nina kipaji Zaid ya ninachokiona, but bro Kila siku unanipa sababu ya kuthubutu, one day I will be there..to represent what within me
@movierecapsswahili1042
5 жыл бұрын
Julius URONU Kp t up
@pisonmycah9408
5 жыл бұрын
Be guided bro
@hemedhemed7701
5 жыл бұрын
confidence ni kujaribu ukimwangalia mara yake ya kwanza alikuwa anahema uyo ila sa hv yupo fresh tu
@godfreyshao3914
5 жыл бұрын
Confidence ni SKILL unaweza kujifunza usiache talent yako itulie bro
Huyu jamaa is baaadnews asee ... hadi sikuhizi demu wangu haoni kama namchekesha tena.. 🤣🤣🤣
@azaboicomedy
5 жыл бұрын
Kedy John umetisha😂😂😂😂😂😂
@Agatee01
3 жыл бұрын
Jamaa😂😂
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
Jipange mwana 😅😅😅😅😅
@cleopalaurent10905 жыл бұрын
Deo bhana...hamna namna...ni mwisho wa kazi
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Cleopa Laurent 🙏
@zeramakas89175 жыл бұрын
Kiukwel huyu kaka ananichekeshaga mpaka tumbo linauma anajua sana Mungu awabariki katika vipaji vyenu mnafanya vizuri sana
@darviswantana7669 Жыл бұрын
Leo nmefatilia edition zote za deo hahaaaa he was doing very great
@graciellachamz65345 жыл бұрын
He is the best so far in Tanzania, nilikua sipendagi stand up comedy za bongo , ila huyu ni Hatareee , Hands town. Stand up comedy King ndo huyu wengine wote wasubiri
@ndossiadventurestz.67965 жыл бұрын
Nikiwa nimeboeka nikija cheka tu bhac stress kwisha habari yake haswa kwa deo..mtoto,wa mama mboya
@vincentmasalu89225 жыл бұрын
Deo kaka Umeua keep the spirit up🙌🏾👏🏾
@gracerechieyy985 жыл бұрын
Just found another Fav comedian😂😂😂😂. DEO😍
@elishambise79665 жыл бұрын
I like this guy. He's precise and systematic. All his comedies are all about daily life.
@tolumnyama39355 жыл бұрын
Deo bwana unajua kupangilia script zako vizuri zaidi mpaka raha yani..
@jumamgallah95225 жыл бұрын
Dah boi uko njema best comedian wa mwaka
@AcklandackyMichael5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂💯💯💯 Your the best Deo, now speaking about comedy, the platform allow youth to grow and improve the talent.
@chiloclassic70045 жыл бұрын
Mngeboresha saut kidog iwe inasikika vizur
@mbatatakiazi16785 жыл бұрын
i real like to attend one of your session. keep it up, wakenya tunaowaona sasa wamefikia hawakuanza leo, ni toka miaka ya sabini ya vihoja mahakamani na akina mzee ozwang na mama kayaiiiii
@Jackiedaniel755 жыл бұрын
damn! man you kill it.. Mungu akutangulie tu
@khadijahassan35045 жыл бұрын
yaani sina la kuongea tuombe mungu nirud Tz nitakuja kuwaona ukopoa sana kaka love you my dear
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Khadija Hassan Thanks 🙏 karibu
@arnoldraphael12945 жыл бұрын
Daaaaaaah unaweza ukaomba kua ndugu wa Deo asee
@naimamunishi12414 жыл бұрын
I always like u deo...keep it up
@believeinyourself95765 жыл бұрын
Mwambaa kazaaaa, very talented
@moherai91205 жыл бұрын
You never disappoint bro !! So called comedian 100%
@deo_gratius
5 жыл бұрын
MOH ERAI 🙏
@timothmwakakusyu45632 жыл бұрын
Inawezekana Kenya wanatuzidi kwa stand up comedy kitakwimu ila hakuna comedian anaweza kufika level ya huyu mwamba ktk stand up comedy 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nicobura55435 жыл бұрын
Kaka uko vizuri sana.. Keep it up
@aronelius95155 жыл бұрын
Kibabe sana bwana deo kipaji kipo sana
@barakaisrael2575 жыл бұрын
Sasa Deogratius naona unatoa siri za geto 😂😂😂
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Baraka Israel 😄😊🙏
@alexjos7625
3 жыл бұрын
Anapita nazo zote
@emmeranranny38664 жыл бұрын
Mungu anipe conf na me jmn mana talent
@peterchilipweli50045 жыл бұрын
wonderful: i didnt know brother kama ur talented like dat tukiwa chuo. Ila hapo kwa wapogoro aisee umepita mulemule ...keep it up bro.
@gretagonga29665 жыл бұрын
Still the best #Deo😊😊😘
@deo_gratius
5 жыл бұрын
greta gonga thanks 🙏
@rockyvlogs2214
5 жыл бұрын
Yeah hajapatikana mwingine
@evajuma3345 жыл бұрын
Hiki kipaji aisee🔥🔥
@kautharyramadhan72635 жыл бұрын
Ila we kaka dah 😂😂😂😂🔥🔥haya bana
@deusdeodavid53605 жыл бұрын
Deo wewe ndio mtu unaenifanya niipende na kuangalia show kama hizi
@francismngumi51255 жыл бұрын
Uko vizuri brother keep it up
@jamesjw.kizanga26025 жыл бұрын
Show kali upat muda wa kuja kusoma comments noma sana 😂😂
@estherpetza52365 жыл бұрын
the besttttttttt👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@snoop52655 жыл бұрын
Pung'o katika ubors wako..sema umetuchoma wamagetoni,furushi lishabuma 😂😂😂
@eliasaphbussa93325 жыл бұрын
Mzee baba we n homa ya jiji 🔥🔥🔥
@habiburamadhani85063 жыл бұрын
Daah blo mimi naelewa sana kaz yako sema kuna ile ya at list siioni
@isubamen86025 жыл бұрын
aseeeee we chariiii ni nomaaaaaaa
@jacksonmwaipaja58135 жыл бұрын
We mzee ni hatar sanaa......
@vanitosha8445 жыл бұрын
I love Deo he is the bestest
@sizaburton73185 жыл бұрын
Deo unasema vitu vitutokeavyo gheto broo, uko Right
@Iddahm-vb7nc9 ай бұрын
You are a comedy itself
@marypeter30625 жыл бұрын
good work deogratius i see u far
@barakamwakibete72125 жыл бұрын
All the way up Deo Mboyaaaaaa!!!!
@felistasakaya70225 жыл бұрын
Keep going, there is way on you
@mbatatakiazi16785 жыл бұрын
hahahahaaaaa! nimecheka kwa embe dodo liyela ela byuuuuuu angeongeza kamwali ka kuchindambindambeeee
@luganoseme8675 жыл бұрын
Big up bro umetisha sanerr
@yascomdoe56865 жыл бұрын
kam n ww mpogor gong like
@michaelgabriel66175 жыл бұрын
Yaaan hii ndi video yangu ya kila cku
@user-kd1hz3qw8u5 жыл бұрын
Ahahaaahaa mbavu zangu jamanniii
@paschalmotera79345 жыл бұрын
boreshen saut basi , but onger bro deo uko vzr kazanaaaaa
@nasmamdimu39035 жыл бұрын
hah ah a deo kichwa
@laurynurban58475 жыл бұрын
nakupenda bureee jmn
@mohammedrashid77355 жыл бұрын
great show, ombi langu ongezeni stage
@roswitanaitus54153 жыл бұрын
Daah nakupenda sana jaman yaan unaweza kinoma jaman
@Antary95 жыл бұрын
Kama Kuna nafasi za usajili bado, Nipo hapa kwa hilo, Nitaleta kile nitakachojaaliwa, Nipeni nafasi 🙏🏿
You should come to Kenya jokes ka hizo they kill the audience...
@mtaalamwamambo20995 жыл бұрын
bro, we ni Nomaa Asee!
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Prince Mushy 🙏
@mohdmchumi18994 жыл бұрын
You made my day deo
@gracerichard85934 жыл бұрын
Deo we kiboko
@kingiileopold35445 жыл бұрын
Big up sana jamaa anajua
@ilhammshana2345 жыл бұрын
nakubali sana kaz yako mwamba yan siez angalia Mara moja kiukweli stresses zinaisha japo nipo mbali lkn najion km nipo bongo.... kipaji kikubwa sana upo nacho baba la baba... nikisema sana nahis ntaharibu acha niishie apa
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Ilham Mshana 🙏 Asante
@nasmafarmsltd9146
5 жыл бұрын
@@deo_gratius umebarikiwa jàmàñ nataman nirud tz nije nione show live
@philipo79295 жыл бұрын
uko vzr sana bro tena sana tu hata skupngi
@deo_gratius
5 жыл бұрын
philipo Tv 🙏
@japhetgoza28625 жыл бұрын
Jamaaaa anajua san
@RahimNarsis5 жыл бұрын
this guy is really funny tho, big up.
@IringoAdventChoir5 жыл бұрын
Hongereni Sana Bongo Cheka Tu Kwa Kufany Stand Up Comedy, nashauri tu boresheni Kwenye Kuingia Mtu akiwa anatajwa tu Anatokea back faster tu kwenye Shangwe Zile, ili pia Isionekane video ni ya Dk Nyingi, mana Inatakiwa iwe hata Dk 5 tu.
@athumanomary95235 жыл бұрын
Nice sana broo nimeisahau chachilishow sikuiz ni cheka2 ila cc wa mikoan tuwekeen mpya
Пікірлер: 223
Kama unamkubari jamaa gonga like hapa anajua sana deo dah
me mpogoro, hiyo sehmu ya wpogoro made me miss my bibi so much. maana ndio anaongea hiyo hivyo especially sehemu ya kunya hapo hahahhaa deo u made my morning aisee. good job
He is the best out there. He has content. Most of Tanzania comedians don't have content. They are doing freestyle comedy which isn't all that but this guy right here,anajua nini anafanya. Hata comedy inahitaji maandalizi,lazima uwe na content n then on stage as you go on,unaweza kuchomekea freestyle kidogo,sio freestyle mwanzo mwisho. Hands down for this guy,all the time nikimuangalia anaonekana anajua nini anafanya. Utafika mbali brother. Keep doing the great works
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Robinson Gina Thanks man; I will keep doing my best
@robinsongina6334
5 жыл бұрын
@@deo_gratius Officially I am your fan brother. I need to attend one of your shows sometime soon
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Robinson Gina That’s would be great 👍. Karibu sana kwenye show
@robinsongina6334
5 жыл бұрын
@@deo_gratius Any shows sometime soon? Dates and venue please
@gloriousn6425
5 жыл бұрын
Robinson Gina man,you can say that again 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Aiseee huyu kaka ni konki 🔥🔥 anajua kuliko hata huyo idris huyu nomaa 🙌🏻🔥🔥🤣🤣🤣
This's what stand up comedy means. Jamaa anajua sana huyu😂👏🏽
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Giddy 🙏 I Appreciate
This guy has talent. Akiweka strategy nzuri at this tym, anaeza kuja kua diamond wa comedy bongo. Nyc work bro!
@deo_gratius
5 жыл бұрын
SHAFFI NJAMA Du! 😊 Thanks 🙏
dah! #deo tangu shuleni Pandahill (pasec) kipindi hicho yuko Advance ...jamaa nibalaaa tangu enzi 2011/2012..nikiwa form one.....apliciate bro Deo.....
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Thanks man! 🙏 Singoi hoyeeeeee 😂
@barikimvukye2467
5 жыл бұрын
100% sana bro am happy to see your talent bro....na zile Afro zako kakichanio kichwan mzee + ile school bag yako Mzee Bruda Jose macho tyu......miss those moments bro ....with mamushka hahahaha
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Duh...Mimi nimetoka hapo 2000
Huyu jamaa ni comedian anajua kusimulia.....much respect bro...ila wape somo wenzako hawajui kupresent vizuri kama wewe.
@mrmrsmubamrmrsmuba8530
4 жыл бұрын
Nc brother
Deo ur something else Narudiarudia lkn sichoki Mungu akuongeze bro #Deogratius
Yan ningepata sehemu panapouzwa confidence..Nina kipaji Zaid ya ninachokiona, but bro Kila siku unanipa sababu ya kuthubutu, one day I will be there..to represent what within me
@movierecapsswahili1042
5 жыл бұрын
Julius URONU Kp t up
@pisonmycah9408
5 жыл бұрын
Be guided bro
@hemedhemed7701
5 жыл бұрын
confidence ni kujaribu ukimwangalia mara yake ya kwanza alikuwa anahema uyo ila sa hv yupo fresh tu
@godfreyshao3914
5 жыл бұрын
Confidence ni SKILL unaweza kujifunza usiache talent yako itulie bro
@juliusuronu8812
5 жыл бұрын
@@godfreyshao3914 Nimekielewa sawia bro... nitaifanyia kaz
Huyu jamaa is baaadnews asee ... hadi sikuhizi demu wangu haoni kama namchekesha tena.. 🤣🤣🤣
@azaboicomedy
5 жыл бұрын
Kedy John umetisha😂😂😂😂😂😂
@Agatee01
3 жыл бұрын
Jamaa😂😂
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
Jipange mwana 😅😅😅😅😅
Deo bhana...hamna namna...ni mwisho wa kazi
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Cleopa Laurent 🙏
Kiukwel huyu kaka ananichekeshaga mpaka tumbo linauma anajua sana Mungu awabariki katika vipaji vyenu mnafanya vizuri sana
Leo nmefatilia edition zote za deo hahaaaa he was doing very great
He is the best so far in Tanzania, nilikua sipendagi stand up comedy za bongo , ila huyu ni Hatareee , Hands town. Stand up comedy King ndo huyu wengine wote wasubiri
Nikiwa nimeboeka nikija cheka tu bhac stress kwisha habari yake haswa kwa deo..mtoto,wa mama mboya
Deo kaka Umeua keep the spirit up🙌🏾👏🏾
Just found another Fav comedian😂😂😂😂. DEO😍
I like this guy. He's precise and systematic. All his comedies are all about daily life.
Deo bwana unajua kupangilia script zako vizuri zaidi mpaka raha yani..
Dah boi uko njema best comedian wa mwaka
😂😂😂😂😂😂😂💯💯💯 Your the best Deo, now speaking about comedy, the platform allow youth to grow and improve the talent.
Mngeboresha saut kidog iwe inasikika vizur
i real like to attend one of your session. keep it up, wakenya tunaowaona sasa wamefikia hawakuanza leo, ni toka miaka ya sabini ya vihoja mahakamani na akina mzee ozwang na mama kayaiiiii
damn! man you kill it.. Mungu akutangulie tu
yaani sina la kuongea tuombe mungu nirud Tz nitakuja kuwaona ukopoa sana kaka love you my dear
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Khadija Hassan Thanks 🙏 karibu
Daaaaaaah unaweza ukaomba kua ndugu wa Deo asee
I always like u deo...keep it up
Mwambaa kazaaaa, very talented
You never disappoint bro !! So called comedian 100%
@deo_gratius
5 жыл бұрын
MOH ERAI 🙏
Inawezekana Kenya wanatuzidi kwa stand up comedy kitakwimu ila hakuna comedian anaweza kufika level ya huyu mwamba ktk stand up comedy 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kaka uko vizuri sana.. Keep it up
Kibabe sana bwana deo kipaji kipo sana
Sasa Deogratius naona unatoa siri za geto 😂😂😂
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Baraka Israel 😄😊🙏
@alexjos7625
3 жыл бұрын
Anapita nazo zote
Mungu anipe conf na me jmn mana talent
wonderful: i didnt know brother kama ur talented like dat tukiwa chuo. Ila hapo kwa wapogoro aisee umepita mulemule ...keep it up bro.
Still the best #Deo😊😊😘
@deo_gratius
5 жыл бұрын
greta gonga thanks 🙏
@rockyvlogs2214
5 жыл бұрын
Yeah hajapatikana mwingine
Hiki kipaji aisee🔥🔥
Ila we kaka dah 😂😂😂😂🔥🔥haya bana
Deo wewe ndio mtu unaenifanya niipende na kuangalia show kama hizi
Uko vizuri brother keep it up
Show kali upat muda wa kuja kusoma comments noma sana 😂😂
the besttttttttt👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Pung'o katika ubors wako..sema umetuchoma wamagetoni,furushi lishabuma 😂😂😂
Mzee baba we n homa ya jiji 🔥🔥🔥
Daah blo mimi naelewa sana kaz yako sema kuna ile ya at list siioni
aseeeee we chariiii ni nomaaaaaaa
We mzee ni hatar sanaa......
I love Deo he is the bestest
Deo unasema vitu vitutokeavyo gheto broo, uko Right
You are a comedy itself
good work deogratius i see u far
All the way up Deo Mboyaaaaaa!!!!
Keep going, there is way on you
hahahahaaaaa! nimecheka kwa embe dodo liyela ela byuuuuuu angeongeza kamwali ka kuchindambindambeeee
Big up bro umetisha sanerr
kam n ww mpogor gong like
Yaaan hii ndi video yangu ya kila cku
Ahahaaahaa mbavu zangu jamanniii
boreshen saut basi , but onger bro deo uko vzr kazanaaaaa
hah ah a deo kichwa
nakupenda bureee jmn
great show, ombi langu ongezeni stage
Daah nakupenda sana jaman yaan unaweza kinoma jaman
Kama Kuna nafasi za usajili bado, Nipo hapa kwa hilo, Nitaleta kile nitakachojaaliwa, Nipeni nafasi 🙏🏿
Deo is amazing Guy 🙌🏾🙌🏾😄
@deo_gratius
5 жыл бұрын
King Gideon 🙏
Huyu jamaa najua sana
Deo unatisha
Hahahaha jamaaa f#la xanaaaaaa #wapogolooooooooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
nc sana deo unaweza sana
Mzee hadi mto lumemo
From Kenya hapo ghetto story kanibamba sana...
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Abass Abdisalan 🙏
@abassabdisalan6657
5 жыл бұрын
You should come to Kenya jokes ka hizo they kill the audience...
bro, we ni Nomaa Asee!
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Prince Mushy 🙏
You made my day deo
Deo we kiboko
Big up sana jamaa anajua
nakubali sana kaz yako mwamba yan siez angalia Mara moja kiukweli stresses zinaisha japo nipo mbali lkn najion km nipo bongo.... kipaji kikubwa sana upo nacho baba la baba... nikisema sana nahis ntaharibu acha niishie apa
@deo_gratius
5 жыл бұрын
Ilham Mshana 🙏 Asante
@nasmafarmsltd9146
5 жыл бұрын
@@deo_gratius umebarikiwa jàmàñ nataman nirud tz nije nione show live
uko vzr sana bro tena sana tu hata skupngi
@deo_gratius
5 жыл бұрын
philipo Tv 🙏
Jamaaaa anajua san
this guy is really funny tho, big up.
Hongereni Sana Bongo Cheka Tu Kwa Kufany Stand Up Comedy, nashauri tu boresheni Kwenye Kuingia Mtu akiwa anatajwa tu Anatokea back faster tu kwenye Shangwe Zile, ili pia Isionekane video ni ya Dk Nyingi, mana Inatakiwa iwe hata Dk 5 tu.
Nice sana broo nimeisahau chachilishow sikuiz ni cheka2 ila cc wa mikoan tuwekeen mpya
Hands down, Deo is talented.
Sauti haijakaa vzr rekebishen ndug zangu
Daa good job Deo
Version ya Kevin Heart
I like the show
Hands Up!!!!
Konkoi konkiii konkii Nmekusomaaa
2024 like ❤
You know guy dearrrrrrrrrrrrrrr
Deo you are a genie
Lower your expectation😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂well done Deo gratius
Nakuelewa bravoooo
Am in love with you deo
#Real broh
Settings za sauti zimekuwaje??
He is da best
Now this is comed