SIRI YA MAUAJI YA KIBITI YAFICHUKA:POLISI NA WANAJESHI WALIVYOHUSIKA/KAZI INATISHA....
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
MAHOJIANO KAMILI NA YERICKO NYERERE TEMBELEA LINK....
• KOMANDO ALIYETAKA KUMP...
#kibiti #polisi #tanzania
Пікірлер: 25
Safi ndugu yangu huyu mtu unayemuhoji ni vry exceptional yan ni muhimu sana sana
Bahati mbaya kipindi cha Magufuli
KWA KUTAZAMA MAHOJIANO KAMILI TEMBELEA LINK KWENYE SEHEMU YA DESCRIPTION HAPO JUU
Absolutely 💯 💯 💯 😊
Huyu anayehubiri ni nani? Halafu kichwa cha habari na maelezo yake ni tofauti. Kichwa cha habari kimewekwa kulipaka matope jeshi.
polisi hawajashindwa kibiti ebu fatilia kwanza polisi wamefanya kaz nzr sana
Heading na content tofauti,acheni upumbavu wenu basii
Hapo nakuelewa nchi kwanza ss tumbo kwanza
Anyway umetudanganya kwa kichwa Cha habari. Lakini je, ninawezaje kupata hiki kitabu chako Yeriko?
Wewe ni nani Kwanza
Kwenye usalama wa nchi Raisi au waziri mkuu wa nchi unazoongelea anaweza kuingia sehemu yoyote my friend Chunguza kwa makini sana Mimi ni nimefanya na jamaa hawa unawaoongelea zaidi 25 years so jaribu kutafuta kwa makini anything to do with National security they don't joke.
Kweli kibiti polisi walichemka jwtz ndio waliokwenda kuweka mambo sawa pakatulia
Pumbavu uwezi kuwandika Historia hiyo mjinga sana
Viva mamelody wapige 4-0
Kichwa cha habari na maelezo tofaiti mwongozo wako
Kitabu nakipataje
Kichwa Cha habari na story tofauti
No audio why?
@dar24media
Жыл бұрын
Tazama vizuri kifaa unachotumia yawezekana kina tatizo la sauti, karibu na utazame mahojiano haya
Mdomo utakuponza mdogo wangu!
@peterjosephat6685
4 ай бұрын
Mdomo utamponza kivipi achakutisha watu kwa ujinga wako
😂😂😂😂😂ugoro
Kitabu kinaitwaje ??
Muongo huyo hajuichochote
Kwanza ujipendi wewe