SIRI YA MAUAJI YA KIBITI YAFICHUKA:POLISI NA WANAJESHI WALIVYOHUSIKA/KAZI INATISHA....

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
MAHOJIANO KAMILI NA YERICKO NYERERE TEMBELEA LINK....
• KOMANDO ALIYETAKA KUMP...
#kibiti #polisi #tanzania

Пікірлер: 25

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 Жыл бұрын

    Safi ndugu yangu huyu mtu unayemuhoji ni vry exceptional yan ni muhimu sana sana

  • @shijamarco2662
    @shijamarco2662 Жыл бұрын

    Bahati mbaya kipindi cha Magufuli

  • @dar24media
    @dar24media Жыл бұрын

    KWA KUTAZAMA MAHOJIANO KAMILI TEMBELEA LINK KWENYE SEHEMU YA DESCRIPTION HAPO JUU

  • @jkifutu7936
    @jkifutu79364 ай бұрын

    Absolutely 💯 💯 💯 😊

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 Жыл бұрын

    Huyu anayehubiri ni nani? Halafu kichwa cha habari na maelezo yake ni tofauti. Kichwa cha habari kimewekwa kulipaka matope jeshi.

  • @abuujihad8411
    @abuujihad8411 Жыл бұрын

    polisi hawajashindwa kibiti ebu fatilia kwanza polisi wamefanya kaz nzr sana

  • @jacobmwalituke8981
    @jacobmwalituke8981 Жыл бұрын

    Heading na content tofauti,acheni upumbavu wenu basii

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp2 ай бұрын

    Hapo nakuelewa nchi kwanza ss tumbo kwanza

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant5170 Жыл бұрын

    Anyway umetudanganya kwa kichwa Cha habari. Lakini je, ninawezaje kupata hiki kitabu chako Yeriko?

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Жыл бұрын

    Wewe ni nani Kwanza

  • @papaj6795
    @papaj67954 ай бұрын

    Kwenye usalama wa nchi Raisi au waziri mkuu wa nchi unazoongelea anaweza kuingia sehemu yoyote my friend Chunguza kwa makini sana Mimi ni nimefanya na jamaa hawa unawaoongelea zaidi 25 years so jaribu kutafuta kwa makini anything to do with National security they don't joke.

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q9 ай бұрын

    Kweli kibiti polisi walichemka jwtz ndio waliokwenda kuweka mambo sawa pakatulia

  • @emmanuelywambura2006
    @emmanuelywambura2006 Жыл бұрын

    Pumbavu uwezi kuwandika Historia hiyo mjinga sana

  • @SafariMsafi-um1pz
    @SafariMsafi-um1pz3 ай бұрын

    Viva mamelody wapige 4-0

  • @izackngairo7525
    @izackngairo75252 ай бұрын

    Kichwa cha habari na maelezo tofaiti mwongozo wako

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Жыл бұрын

    Kitabu nakipataje

  • @dototwince5096
    @dototwince5096 Жыл бұрын

    Kichwa Cha habari na story tofauti

  • @openmindtz
    @openmindtz Жыл бұрын

    No audio why?

  • @dar24media

    @dar24media

    Жыл бұрын

    Tazama vizuri kifaa unachotumia yawezekana kina tatizo la sauti, karibu na utazame mahojiano haya

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 Жыл бұрын

    Mdomo utakuponza mdogo wangu!

  • @peterjosephat6685

    @peterjosephat6685

    4 ай бұрын

    Mdomo utamponza kivipi achakutisha watu kwa ujinga wako

  • @christinapaul2957
    @christinapaul2957 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂ugoro

  • @raheemmfaume648
    @raheemmfaume648 Жыл бұрын

    Kitabu kinaitwaje ??

  • @ashaseleman
    @ashaseleman5 ай бұрын

    Muongo huyo hajuichochote

  • @emmanuelywambura2006
    @emmanuelywambura2006 Жыл бұрын

    Kwanza ujipendi wewe

Келесі