HALI YA MAUAJI MISITU YA CONGO/INATISHA / M23 KAGAME ATOA USHAHIDI SAMIA, KIKWETE WATAJWA JWTZ

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Congo #war #m23

Пікірлер: 53

  • @saidindizeye2206
    @saidindizeye22065 ай бұрын

    Dah! Uongo mtupu , rudi kasome vizuri historia, ati m23 lilikua kundi la uasi kule Rwanda , labda ungelisema kundi la FDLR ndilo lililofanya mauaji ya kimbari kule Rwanda ndipo likakimbilia congo baada ya kushindwa vita ila M23 ni wanainchi wa congo ni vile tu hawakubaliki kuwa ni wa congo kwa sababu tu wanaongea lugha inayofanana asili 95% na kinyarwanda na vile tu ni wa tutsi kwa mfano kama vile inchi yako ya Tanzania ikatae watu wa kigoma kuwa si watanzania kwa sababu wanaongea lugha inayo taka kufanana na lugha ya kirundi so yaani m23 ni kabila ya wanyamulenge wanao baguliwa na ndugu zao kua si wa congo ndio sababu ya vita

  • @emmanuelchiza7733

    @emmanuelchiza7733

    5 ай бұрын

    M23 ni wanyaruanda wahimiaji kama wakimbizi miaka ya 1970 acha kupotosha watu kabisa

  • @kalokolamulumbe8445

    @kalokolamulumbe8445

    5 ай бұрын

    Ni fact tupu,ulizoongea,propaganda zaweza aminisha watu,kwa mfano ukanda M23,ni wakongo lkn vile vile mgogoro wa konggo ni mpana mno hatuwezi umaliza kwa story story tuu,mi natafakar nmezaliwa nmekuta migogoro Kongo hata kabla ya kagame hajaingia madarakani,lkn pili hata kama kagame anausika ni 0.001.mchawai yupo sehemu anawachora

  • @happynesbaemuhappynes8813

    @happynesbaemuhappynes8813

    4 ай бұрын

    Uko sahihi kabisa

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi95145 ай бұрын

    Intro Kali 🔥🔥🔥

  • @Nundu2000
    @Nundu20005 ай бұрын

    Red Tabara siyo Tambara

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw5 ай бұрын

    Mpo Sawa kabisa hapo ndio mthihani WA Congo nchi ni kubwa mnoo na makovu ya ukoloni Belgium ina maslahi makubwa pale madini yote wanaiba pale ndio wanapopata faida kubwa kuendeshea viwanda vyao ndege usiku na mchana.

  • @mohameda.i.baranyikwa6551

    @mohameda.i.baranyikwa6551

    4 ай бұрын

    kweli kbsa

  • @user-wj1kz4yv3i
    @user-wj1kz4yv3i5 ай бұрын

    Vipi we mbona unachambuwa mambo usiyo yafahamu hâta?

  • @NdayishimiyePhilippe-tp3or
    @NdayishimiyePhilippe-tp3or4 ай бұрын

    Unayo ongeya huyafahamu wew siyo muchambuzi

  • @uwamureragloria3337
    @uwamureragloria33374 ай бұрын

    Hapo umetuacha mlango wazi banyamurenge sio wanyarwanda ni wakongomani

  • @oliviermususa106
    @oliviermususa1065 ай бұрын

    Kweli ume thoboa ngomba ya Siri ya wajambazi

  • @CedricNKUNDABAGENZI-gc8yt
    @CedricNKUNDABAGENZI-gc8yt5 ай бұрын

    Uyo jama anaongea tu.ata hajawahi vuka tanzania

  • @alineyaya9786
    @alineyaya97865 ай бұрын

    Mbona Kundi la Maji maji auja liweka na kundi la Wazalendo

  • @eriksindakira879
    @eriksindakira8794 ай бұрын

    Kasome tena storia 😢😊

  • @deoarakaza5801
    @deoarakaza58015 ай бұрын

    Wewe muongo sana

  • @casimirbabutetungoy8650
    @casimirbabutetungoy86505 ай бұрын

    Ndugu wapenzi jambo. Mimi ni mkongomani wa hapa jiji la Lubumbashi. Nimefurahishwa sana na mazungumzo yenu kwani ni ya kweli. Hizo sehemu ine za mzozo wa Congo pamoja n'a makundi 120 ni kweli. Ila lawama kuhusu Tshisekedi kukataa Rwanda katika makundi ya kutafuta Amani ya Congo siyo Sawa. Huweze kumuweka adui anaekupiga vita kuwa rafiki wa kukulinda. Pia kitu ninajuwa ni kwamba hakuna mu kongomani yeyote anayechukia hao ndugu zetu watutsi waliojipatia kwa ujanja jina la Banyamulenge. Kinacho endelea n'a ambacho ninajuwa kama chanjo la matatizio kwa hawa jamaa ni kwamba hawataki kukata kitovu chao n'a Rwanda. Hawaweze kujiita wakongomani tena Wanyarwanda. Hamna!.Tena ni watu wanapenda sana kutawala hata kufikia kiwango cha kutaka kutawala wenyeji wa inchi ijapokuwa ni wakimbizi. Huko Rwanda walipokelewa n'a Bahutu n'a Batwa lakini wakawageukia hadi kufukuzwa. Kwa hiyo ni watu wasiopenda usalama bali wanapenda kumwanga damu isio na hatia yoyote. Na mwisho wanapenda kutumiwa kama vibaraka wa Mabeberu wazungu kwa kupora mali ya inchi iliowapokea. Ndugu ninakuhakikishia kwamba hao watu watakataliwa katika Afrika nzima n'a hapo ndipo wataelewa ubaya wao kwani ni ukoo wa Kaini. Hata kwenye Tanzania mutawakataa sababu ya matendo yao maovu. Tusubiri tu!.

  • @user-wj1kz4yv3i
    @user-wj1kz4yv3i5 ай бұрын

    Una kutokufahamu(uginga) kwenye historia ya makundi, uko unapotelea kwenye historia, na sababu ya kupigana kwa makundi.

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba57874 ай бұрын

    uongo uliokithiri mnaongopea umma hadharani ,eti wanajeshi 6 waende kuchukua rada ya nchi ya burundi wao ni nani?

  • @jkifutu7936
    @jkifutu79365 ай бұрын

    Nawakubali sana wadogo zangu

  • @ingodwetrust.239
    @ingodwetrust.2395 ай бұрын

    Wacheni uongo jikite kwa nyingine kazi

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo12565 ай бұрын

    Watamkumbuka Maréchal, Roi du Zaïre, Roi léopard, Papa Maréchal mobutu seseseko

  • @vyamunguabdulkarim4313
    @vyamunguabdulkarim43135 ай бұрын

    Huyu jamaa nimuongo kupundukia

  • @n.rforleayle6999
    @n.rforleayle69995 ай бұрын

    Kuhusu hao makomando sita Unaongea ujinga we boya

  • @Nundu2000
    @Nundu20005 ай бұрын

    Yaani wewe ndo hujui kabisa. Mambo mengi huyajui..... Wasiliana na wachambuzi wa siasa za ukanda huu wakusaidie

  • @mohameda.i.baranyikwa6551
    @mohameda.i.baranyikwa65515 ай бұрын

    Nikurekebishe ndungu, M23 Sio wanyarwanda na wala sio waasi kutoka Rwanda bali ni waasi wacongomani wanao pigania kutambulika kama wacongomani wengine. Wanaongea kinyarwanda sababu wakoloni (BELGIUM) walichukuwa sehemu ambayo ilikuwa ufalme wa Rwanda wakaitia upande wa Congo; hivyo babu za hawa M23 walijikuta wakiitwa wacongomani. Bahati mbaya hakuna utawala wa congo ulowahi kuwakubali kama wacongomani.

  • @BenardZephaniah

    @BenardZephaniah

    5 ай бұрын

    Acha propaganda m23 ni wanyarwanda istoshe wanaopigana sasa ni rdf msifikiri watu ni wajinga kiasi hicho tulieni JWTZ iwape darasa ndio muite maji maaaaa😮😮😮😮😮

  • @mohameda.i.baranyikwa6551

    @mohameda.i.baranyikwa6551

    5 ай бұрын

    @@BenardZephaniah Ndugu Benard tatizo lako wewe ni miongoni mwa watanzania wasiopenda kusoma historia ya dunia. Mimi ni Mtanzania kwa baba na mama japo sikuzaliwa Tanzania. Nilisoma historia ya Tanganyika ambapo badhi ya makabila ya mpakani na Rwanda, Burundi, na CONGO hubaguliwa huku wakiitwa wageni. Mfano waha, wahangaza, wasubi, wamanyema na wabembe hunasibishwa na Warundi, wanyarwanda au waCongomani. lakini sijawahi kusikia makabila ya mpakani na Kenya, Uganda, Msumbiji, Malawi na Zambia wakinasibishwa na nchi hizo.

  • @BenardZephaniah

    @BenardZephaniah

    4 ай бұрын

    Huyu unaezungumza nae nimekaa zaidi ya miezi sita Kigali,chibironko na sehemu nyingi tofauti,Goma, Kampala,Fortpotle, Jinja, Burundi karibia provinces zoote,Bukavu,Lubumbashi,Kitwe lusaka, Kenya nusu ya kaunti zoote napafahamu ninachokiongea nakifahamu kuliko unavyofikiri, si kila m-TANZANIA ni mjinga, hadi JWTZ wanaenda kuisaidia Congo wamefanya analysis ya kutosha usipotoshe watu asee!

  • @mohameda.i.baranyikwa6551

    @mohameda.i.baranyikwa6551

    4 ай бұрын

    Wewe umeishi hapo unapopataja miezi sita halafu ukafudhu kunako historia ya maziwa maku? hivi wewe wamshinda historia Mwalimu Nyerere alie taja kama watu hawa sio wanyanrwanda? Mimi ni Journalist ambae amefuatilia historia na vita zote za Congo, Rwanda Burundi tangu 1990. Tanzania kutuma Jeshi la kusimamia amani sio tija lakini wasivunje haki za binadamu( hawezi kufaulu yeyote anae ua sehemu ya raia wa nchi fulani) Nimekuuliza kuhusu ubaguzi Tanzania hukujibu maana ulikubali. Ukitaka ushahidi nenda bungeni ukaulize ni wabunge wangapi walio wahi kuitwa wageni kwa sababu tu ya muonekano na maumbile yao.@Zephaniah

  • @BenardZephaniah

    @BenardZephaniah

    4 ай бұрын

    ​@@mohameda.i.baranyikwa6551my friend, sijakujibu kwa habari ya ubaguzi sababu sioni mashiko ya hoja yako, nchi haina ubaguzi ila mtu mmoja mmoja anaweza kuwa hivyo ila itikadi ya nchi ni HEKIMA,UMOJA NA AMANI chama tawala pia itikadi yake moja wapo ni Binadamu woote ni sawa, ukiona wanakufuatilia kuna ukweli wewe binafsi umeuficha, ukitaka ukweli, kaulize wazee wa Kibembe,Kifulelo na Kihema n.k watakuambia au kwa kuwa wewe ni mwandishi mahili kaonane na mwenzako Bw, Muyaya msemaji wa Rais Tsisekedi au waziri wa ulinzi wa Congo watakupa ukweli, usiegemee upande wenu tu ,kubalini ukweli ndio itakuwa chanzo cha amani huko kwenu,ahsante kwa hoja zisizo na ukakasi

  • @user-bf4xh9kc3n
    @user-bf4xh9kc3n5 ай бұрын

    Ww unajua mno kuna wajinga wachache hawana taarifa sahihi ebu wasome kitabu cha ujasusi wa kidola na kiuchumi wafunguke mawazo

  • @byamungujeanvie9514
    @byamungujeanvie95145 ай бұрын

    Wewe hulinganishwa nakibuyu ? Pia chipofu

  • @NkunzimanaKevin-ck7lv
    @NkunzimanaKevin-ck7lv4 ай бұрын

    Kila mtu ako free kuongea ujinga😂😂😂. Mtanzanian wa 1 ku list ya wajinga.

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb5 ай бұрын

    Mchechemuzi

  • @user-qf9xy6if7w
    @user-qf9xy6if7w5 ай бұрын

    Ridiculous

  • @Stayawayfromislam2
    @Stayawayfromislam25 ай бұрын

    Dah kuna story za wongo sana 😂

  • @AnnoyedBreakfast-zn2bo
    @AnnoyedBreakfast-zn2bo5 ай бұрын

    Uongo😂😂😂

  • @shemajeandamascene3195
    @shemajeandamascene31954 ай бұрын

    wewe ni civilian kabsa radar inaniweka nijiulize kama unaifahamu radar

  • @timothyndiwa2651
    @timothyndiwa26514 ай бұрын

    Muongo 😂

  • @deoarakaza5801
    @deoarakaza58015 ай бұрын

    Wewe hujuwe M23 ni wa Congo man warikbia Rwanda ni FDL wariyo fanya mawuwaji 1994

  • @user-ht4yh3bz8r

    @user-ht4yh3bz8r

    5 ай бұрын

    Kuma la mamako toka lini mkomani akimbiliye Rwanda

  • @ingodwetrust.239
    @ingodwetrust.2395 ай бұрын

    My goodness brother let me tell you BANYAMULENGE are not people who left RWANDA 1994 BANYAMULENGE ARE CONGOLESE who has been in congo before colonial border myself iam MUNYAMULENGE don't give people false information which you don't know please if you wanna give history to people go back learn the history. But this one is full of wrong information.

  • @MrntakaBenjamin
    @MrntakaBenjamin4 ай бұрын

    Habari za huko kwetu katika inchi yetu jirani, Nina washukuru sana

  • @user-zn9ig8bq2y
    @user-zn9ig8bq2y5 ай бұрын

    Monsieur tu as menti

  • @moseskulola6913
    @moseskulola69135 ай бұрын

    Wewe muhogo sana .unausisha udini wapi muhogo wewe ..kwanini uzugumuzie inchi isiyakuwa yako utilize sisi mwenyewe wanaishi ..hakuna hata kudi hata monja wewe isipokuwa m23 wewe

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala53075 ай бұрын

    Huyu amesahau Banyamulenge ndiyo waliomsaidia kagame kuingia madarakani kwa ahadi kuwa nae angewasaidia kukamata madaraka kongo lakini haikuwezekana wakakimbilia porini kabisa wakaanzisha m 23 na wanafadhiliwa na kagame huyu anasema kagame aliwapiga muongo kumbuka kagame alomweza kuwa huwawezi hao m 23 na walipopigwa makamanda wake wengi walikombilia Rwanda

  • @henryking6070

    @henryking6070

    5 ай бұрын

    Wanyamulenge na wanyarwanda kuna utofauti gani?

  • @Nundu2000

    @Nundu2000

    5 ай бұрын

    Kuna some errors hapo. Tutafute habari kabisa

  • @Nundu2000

    @Nundu2000

    5 ай бұрын

    Wanatofauti kubwa. Wengine ni wanyarwanda wengine ni WA Congo

  • @nizarmomo4293
    @nizarmomo42935 ай бұрын

    Wewe ni mjinga ivi unaijua history ya Burundi ao unajifurahisha tu bwege wewe

  • @AstalikoMulishi-gu3sp
    @AstalikoMulishi-gu3sp5 ай бұрын

    nyie waongo sana mnongea upuuzi tu hamna lolote

Келесі