RAIS JPM AZUNGUMZIA SUALA LA MANJI, GWAJIMA NA VITUO VYA POLISI

Комедия

Пікірлер: 26

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h2 күн бұрын

    Hii vita ulimchokoza manji kiburi na jeuri zenu mungu hawapendi kunyanyasa watu

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari97479 күн бұрын

    Apumzike kwa amani Raisi wa wa awamu ya tano ..j.p.mafufuli.

  • @majutojackson5718
    @majutojackson57189 күн бұрын

    kwa kweli kwahili sikukuunga mkono maana ulituumiza wengi kwa ajili ya kijana wako makonda,hivi kesi iliishaje?

  • @florakweyunga4490

    @florakweyunga4490

    8 күн бұрын

    Kuhusu madawa ya kulevya....unasema hukumuunga mkono.mmmmmh.....!!!

  • @ElvisTabula
    @ElvisTabula11 күн бұрын

    Kiburi cha uzima

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 Жыл бұрын

    Kweli itabaki kweli haki za watu hazipotei

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude78693 жыл бұрын

    Hakika uhuru sio amani walio panga kuharibu kwa kimvuri cha uhuru uli wanyoosha kweli kweli Rip umeacha nuru

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu62492 күн бұрын

    Haya saaa mnnakutana huko mbele ya haki...

  • @wosiakyunga9995
    @wosiakyunga99958 күн бұрын

    Tutakukumbuka daima

  • @NoelChambo
    @NoelChamboКүн бұрын

    Jiulize kwanini Mungu alimuondoa huyu mtu mapema.

  • @lajutz9558

    @lajutz9558

    13 сағат бұрын

    Unaposema Mungu alimuondoa mapema, je unafahama alitakiwa kuishi kwa kipindi gani

  • @musasalim7042
    @musasalim70423 жыл бұрын

    maisha ni kitendawili

  • @seemanishekiao
    @seemanishekiao8 күн бұрын

    Rais

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi61915 күн бұрын

    Kila mtu ana mabaya na mazuri, ukiachana na mabaya, JPM alikuwa si wakutilia shaka juu ya uthabiti wa maamuzi, hayupo hata mmoja aliyekuwa na sauti juu ya serikali, na hiyo ndo maana ya serikali!.

  • @chrissg4026
    @chrissg40262 күн бұрын

    Hhhj

  • @goodlackriwa6728
    @goodlackriwa67287 күн бұрын

    Acha kisasi na chuki weewe , wote ulio wa hukumu hatua Gani ilichukuliwa kuwahukumu ,kesi zote umeishindwa, huyo Gwajima unayomzungumzia kma kweli alikuwa mchafu Mbona ulimsamamisha kugombea ubunge wa Kawe,

  • @benswai8099
    @benswai80993 жыл бұрын

    Wewe mzee uliminya sana Uhuru wa watu kujieleza au kuonesha hisia zao. Hakika uliumiza sana wengi. Watu walikuunga mkono si kwa usahihi wako bali kwa kuhofia usalama wao

  • @yahyamassala1454

    @yahyamassala1454

    3 жыл бұрын

    Hakika

  • @andreabulugu1430

    @andreabulugu1430

    10 күн бұрын

    hakika ukipitia tena hii tweet unajuta kwanini uliandika

  • @MrA24G

    @MrA24G

    8 күн бұрын

    Upo sahihi alikuwa ha tolerate upuuzi.Sawa sawa.

  • @emmanuellyatuu4103

    @emmanuellyatuu4103

    7 күн бұрын

    Mpumbavu wewe!

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Жыл бұрын

    Umeenda kuzimu na roho mbaya yako, Sasa hivi unakula Moto

  • @mohammedkhimji7505

    @mohammedkhimji7505

    Жыл бұрын

    Mungu akusamehe kwa huu porojo ulichotapika hapo....

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    11 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @mtzhalisi2232

    @mtzhalisi2232

    11 күн бұрын

    Ni wazi wako walio umia na wako waliofaidi utawala wake

  • @denismasele4130

    @denismasele4130

    3 күн бұрын

    We umeleta ukanda roho mbaya,,,,si haki yako kutoa hukumu

Келесі