Hii vita ulimchokoza manji kiburi na jeuri zenu mungu hawapendi kunyanyasa watu
@paschalsafari97479 күн бұрын
Apumzike kwa amani Raisi wa wa awamu ya tano ..j.p.mafufuli.
@majutojackson57189 күн бұрын
kwa kweli kwahili sikukuunga mkono maana ulituumiza wengi kwa ajili ya kijana wako makonda,hivi kesi iliishaje?
@florakweyunga4490
8 күн бұрын
Kuhusu madawa ya kulevya....unasema hukumuunga mkono.mmmmmh.....!!!
@ElvisTabula11 күн бұрын
Kiburi cha uzima
@mohammedhimba1647 Жыл бұрын
Kweli itabaki kweli haki za watu hazipotei
@irakozejclaude78693 жыл бұрын
Hakika uhuru sio amani walio panga kuharibu kwa kimvuri cha uhuru uli wanyoosha kweli kweli Rip umeacha nuru
@nimrodsigulu62492 күн бұрын
Haya saaa mnnakutana huko mbele ya haki...
@wosiakyunga99958 күн бұрын
Tutakukumbuka daima
@NoelChamboКүн бұрын
Jiulize kwanini Mungu alimuondoa huyu mtu mapema.
@lajutz9558
13 сағат бұрын
Unaposema Mungu alimuondoa mapema, je unafahama alitakiwa kuishi kwa kipindi gani
@musasalim70423 жыл бұрын
maisha ni kitendawili
@seemanishekiao8 күн бұрын
Rais
@adamdaudi61915 күн бұрын
Kila mtu ana mabaya na mazuri, ukiachana na mabaya, JPM alikuwa si wakutilia shaka juu ya uthabiti wa maamuzi, hayupo hata mmoja aliyekuwa na sauti juu ya serikali, na hiyo ndo maana ya serikali!.
@chrissg40262 күн бұрын
Hhhj
@goodlackriwa67287 күн бұрын
Acha kisasi na chuki weewe , wote ulio wa hukumu hatua Gani ilichukuliwa kuwahukumu ,kesi zote umeishindwa, huyo Gwajima unayomzungumzia kma kweli alikuwa mchafu Mbona ulimsamamisha kugombea ubunge wa Kawe,
@benswai80993 жыл бұрын
Wewe mzee uliminya sana Uhuru wa watu kujieleza au kuonesha hisia zao. Hakika uliumiza sana wengi. Watu walikuunga mkono si kwa usahihi wako bali kwa kuhofia usalama wao
@yahyamassala1454
3 жыл бұрын
Hakika
@andreabulugu1430
10 күн бұрын
hakika ukipitia tena hii tweet unajuta kwanini uliandika
@MrA24G
8 күн бұрын
Upo sahihi alikuwa ha tolerate upuuzi.Sawa sawa.
@emmanuellyatuu4103
7 күн бұрын
Mpumbavu wewe!
@romanamassawe814 Жыл бұрын
Umeenda kuzimu na roho mbaya yako, Sasa hivi unakula Moto
@mohammedkhimji7505
Жыл бұрын
Mungu akusamehe kwa huu porojo ulichotapika hapo....
@mtzhalisi2232
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mtzhalisi2232
11 күн бұрын
Ni wazi wako walio umia na wako waliofaidi utawala wake
@denismasele4130
3 күн бұрын
We umeleta ukanda roho mbaya,,,,si haki yako kutoa hukumu
Пікірлер: 26
Hii vita ulimchokoza manji kiburi na jeuri zenu mungu hawapendi kunyanyasa watu
Apumzike kwa amani Raisi wa wa awamu ya tano ..j.p.mafufuli.
kwa kweli kwahili sikukuunga mkono maana ulituumiza wengi kwa ajili ya kijana wako makonda,hivi kesi iliishaje?
@florakweyunga4490
8 күн бұрын
Kuhusu madawa ya kulevya....unasema hukumuunga mkono.mmmmmh.....!!!
Kiburi cha uzima
Kweli itabaki kweli haki za watu hazipotei
Hakika uhuru sio amani walio panga kuharibu kwa kimvuri cha uhuru uli wanyoosha kweli kweli Rip umeacha nuru
Haya saaa mnnakutana huko mbele ya haki...
Tutakukumbuka daima
Jiulize kwanini Mungu alimuondoa huyu mtu mapema.
@lajutz9558
13 сағат бұрын
Unaposema Mungu alimuondoa mapema, je unafahama alitakiwa kuishi kwa kipindi gani
maisha ni kitendawili
Rais
Kila mtu ana mabaya na mazuri, ukiachana na mabaya, JPM alikuwa si wakutilia shaka juu ya uthabiti wa maamuzi, hayupo hata mmoja aliyekuwa na sauti juu ya serikali, na hiyo ndo maana ya serikali!.
Hhhj
Acha kisasi na chuki weewe , wote ulio wa hukumu hatua Gani ilichukuliwa kuwahukumu ,kesi zote umeishindwa, huyo Gwajima unayomzungumzia kma kweli alikuwa mchafu Mbona ulimsamamisha kugombea ubunge wa Kawe,
Wewe mzee uliminya sana Uhuru wa watu kujieleza au kuonesha hisia zao. Hakika uliumiza sana wengi. Watu walikuunga mkono si kwa usahihi wako bali kwa kuhofia usalama wao
@yahyamassala1454
3 жыл бұрын
Hakika
@andreabulugu1430
10 күн бұрын
hakika ukipitia tena hii tweet unajuta kwanini uliandika
@MrA24G
8 күн бұрын
Upo sahihi alikuwa ha tolerate upuuzi.Sawa sawa.
@emmanuellyatuu4103
7 күн бұрын
Mpumbavu wewe!
Umeenda kuzimu na roho mbaya yako, Sasa hivi unakula Moto
@mohammedkhimji7505
Жыл бұрын
Mungu akusamehe kwa huu porojo ulichotapika hapo....
@mtzhalisi2232
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mtzhalisi2232
11 күн бұрын
Ni wazi wako walio umia na wako waliofaidi utawala wake
@denismasele4130
3 күн бұрын
We umeleta ukanda roho mbaya,,,,si haki yako kutoa hukumu