"Yusuph Manji akitoka Hospitali aje, tunamuhitaji UHAMIAJI"

Leo February 14 2017 Kamishna wa Idara ya uhamiaji mkoa wa Dar es salaam, John Msumule amekutana na waandishi wa habari na kueleza kuwa wanamuhitaji mfanyaabiashara Yusuph Manji o kwenye ofisi hizo baada ya kutoka Hospitali kwa kile alichodai ni kuajiri wafanyakazi kutoka nje wasio na vibali.

Пікірлер: 247

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi14247 жыл бұрын

    cha mwisho thanks to millard ayo tv.

  • @rizikialmas4877
    @rizikialmas48777 жыл бұрын

    Safi mh John Msumule....

  • @papafikiri
    @papafikiri7 жыл бұрын

    RIP watetezi wote walioifikishaTanzania hapa ilipo sasa

  • @jamilamwenguvu8567
    @jamilamwenguvu85677 жыл бұрын

    serikali ya viwanda vya kuoneshana ubabe

  • @hassanovajunior3006

    @hassanovajunior3006

    7 жыл бұрын

    Jamila Mwenguvu acha serikali ifanye kazi ubabe gani sasa

  • @musasaidi7973

    @musasaidi7973

    7 жыл бұрын

    Sio ubabe sheria zipo na zimewekwa ili zifanye kazi. Nshatembea nchi kadhaa sheria zao kuhusu sheria za uhamiaji ni ngumu sana kufanya kazi ndani ya nchi husika bila kibali ukiwa wewe ni muhamiaj. Acha sheria ifuate mkondo. Nshawahi kusumbuliwa sana NEW DELH INDIA kwa sababu nliingia nchini mwao kibiashara bila kuwa na documment za kodi na TIN NUMBER ya Tanzania

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    7 жыл бұрын

    +Musa Saidi umenena kaka yangu hata mimi nimetembea sana nchi za nje mpaka sasa nipo Canada ila masharti ya uhamiaji ni magum sana sio sawa na Tz yetu

  • @ibrahimharuta7333

    @ibrahimharuta7333

    7 жыл бұрын

    tatizo alileta dharau afu yuko inch ya watu afu hao wahindi hawafai kabxa@Jamila Mwenguvu

  • @farajadanny8014

    @farajadanny8014

    7 жыл бұрын

    nchi pekee ambayo ni rahis wageni kufanya kazi ni tanzania hata somalia ni ngumu balaa kupata kazi

  • @azizayassin3623
    @azizayassin36237 жыл бұрын

    okay

  • @omymcatalunya2331
    @omymcatalunya23317 жыл бұрын

    sasa mambo ya pesa na cheo chake kinawahusu nini???

  • @divothdomician4061
    @divothdomician40617 жыл бұрын

    > Ni lazima mtuhumiwa alazwe remande? Mtuhumiwa kulala remande ni sehemu ya lazima ya mchakato wa kisheria kabla ya kupelekwa Mahakamani? >Hao wanaodaiwa ni ni wageni walikuwa watumishi binafsi (maids, gardeners etc), au watumishi wa Kampuni; ambayo kisheria ni tofauti kabisa na mtu binafsi? >Mmiliki wa Kampuni' ni dhana inayotambulika kisheria nchini Tanzania? Ni sawa na kusema 'shareholder', au? > Sheria zinazo-impose criminal liability kwa kuajiri wageni wasio na vibali zinasema Mmiliki (kama kuna kitu kama hicho), au Wakurugenzi au nani wanabeba jukumu la kisheria? >Ni lazima kutaja uwezo wa mtu kifedha katika issue inayohusiana na suala la uhamiaji?

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe13117 жыл бұрын

    nashukuru sana Kwa msimamo wa serikayetu ya sasa haicheki na kima.mengi tunayaona yakiibuli kla ck. c kwamba ni mapya, yalikuwepo.

  • @erickmmbando1909

    @erickmmbando1909

    7 жыл бұрын

    Hahahha umeona eeeh ,,sasa hv hakuna cha nani wala nani wote ndani.

  • @edwardyusto5767

    @edwardyusto5767

    7 жыл бұрын

    Scarlet Pimpernel Ww tulia acha kimbelembele acha shiria ifate mkondo wake. kama ameonewa itajulikana

  • @bravofundikila965

    @bravofundikila965

    7 жыл бұрын

    Emmanuel Mlowe safi kaka tunahitaji wazalendo kama ww!

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e19 күн бұрын

    Tumetoka mbali sana Mteswa na mtes wake wato wametangulia mbele za haki. Ila bado wale watumwa wa mtes bado wapo mungu waite nao ili watuache salama japo wote tutapta njia hyo. Lkn wates wote wapumzshi km farao ulivyompumzisha

  • @hassanovajunior3006
    @hassanovajunior30067 жыл бұрын

    pole yao ma kanjibhai round hii wanacho

  • @kigambontv9748
    @kigambontv97487 жыл бұрын

    Hii sasa sifa akitoka uhamiaji utasikia uvuvi nawao wanamuhitaji

  • @bravofundikila965

    @bravofundikila965

    7 жыл бұрын

    Ziliatan Humud km anahusika atahitajika tu, kaka jielewe wewe mtanzania kinachotetewa hapo ni masilahi ya nchi yako!

  • @kigambontv9748

    @kigambontv9748

    7 жыл бұрын

    Bravo Fundikila Ww unaejielewa jiulize hio kampun ipo miaka mingapi na wao walikuepo wp

  • @piusj.hayuma363
    @piusj.hayuma3637 жыл бұрын

    Bosi mpya wa uhamiaji uwe makini na subordinates wako msitudanganye wasio na vibali wapo wengi kwenye makampuni za kigeni zinazofanya kazi hapa nchi. Vijana wetu hawana kazi wawekezaji wanakuja na ndugu zao.

  • @gracejacob2317

    @gracejacob2317

    7 жыл бұрын

    Pius J.Hayuma point sana hii

  • @harunncheye8817
    @harunncheye88177 жыл бұрын

    serikali ya kukomeshana 2020 itafika tu

  • @shkhassan1079
    @shkhassan10797 жыл бұрын

    hongera. serikali. awamu. thanu. kwanza. kabisa. nampongeza. idara. ya. uhamiaji. hapo. karibuni. wali. kamata. wasichana. kutoka. India. waliletwa. kinyume. cha. sheria nami. ni kama. mwenye. kiti. ya. serikali. ya. mtaa. tuta. kupa. ushirikiano. kubwa. kwenu

  • @samirymickdady8131
    @samirymickdady81317 жыл бұрын

    nikajua manji ndio hana kibali asa hapo kosa lake nini yeye yupo mpakani mpaka afate vibari??? nia yenu ni kumzalilisha tu huyu mtu mtambue kuwa kwa ajili yake kuna watanzania zaidi ya 5000 kawaajili mnavomfanyia hao watu mta wapa ajila?? na serikali ya magufuli inapunguza wafanyakazi ili watu wawe mtaani tu mmefulia kweli

  • @bravofundikila965

    @bravofundikila965

    7 жыл бұрын

    samiry mick dady hizo sela za mpira uzalendo wako uko WAP?

  • @officialmbeyaone3572

    @officialmbeyaone3572

    7 жыл бұрын

    kumala mamayako kawaajili wahindi wenzake siyowatanzania kamaanakusukumadamu twambie tukuelewe

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49737 жыл бұрын

    hàaa wakuwa wap? ushasahau kama hii niccm new

  • @daudimligo289
    @daudimligo2897 жыл бұрын

    Lazima namba zisomwe kwa namna yeyote ile.

  • @mwanashafatuma8719
    @mwanashafatuma87197 жыл бұрын

    Dhuluma al dhulumat bil yamil akhera yani sirikali ya tanzania kazi tu mkikosa mtu kwa njia moja mmna tafuta nyengine haya mwenye haki sikuzote mungu umsaidia pole manji utatoka kwa uwezo wa allah

  • @dibya20

    @dibya20

    7 жыл бұрын

    Mwanasha Fatuma Acha kumshirikisha Allah kwa kitu usichokifaham ni Vema kukaa kimya...unajua kilichomlaza manji hospital.. ungalijua UKWELI usingeongea hayo sasa

  • @hassanihussein4479
    @hassanihussein44797 жыл бұрын

    manji baba Mimi nakushahuri ukitok maabusu wewe sepa nenda zako America makampuni yako yote yatie sokoni tuoni sasa je serkali itakuwa imepta Faida ama hasara Na wananchi wake watakuwa ktk hari gani

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove22217 жыл бұрын

    naona bamba2bamba daaaah 😀😀😀 maskin Mungu awasaidie na wale mafisad ambao hamjatumbuliwa achen sahv serikar imeamua kufanya kaz kwel

  • @jakaonlinetv1920
    @jakaonlinetv19207 жыл бұрын

    wasenge waoo

  • @nellxoxoxo9966
    @nellxoxoxo99667 жыл бұрын

    serikali ya viwanda huh?????😭😭😭😭😭 like 4 real???

  • @Stan-103
    @Stan-1033 жыл бұрын

    Mbna passport mpya zote?

  • @MrBizo-bx6oq
    @MrBizo-bx6oq7 жыл бұрын

    Manji Unajigamba sana, that's the Goverment you should Remember,don't play with It!!!

  • @anodnjenje9084

    @anodnjenje9084

    7 жыл бұрын

    moses bizongwako hakuna lolote izo chuki tu mnafikiri atafirisika hata mkimfanyia figisu figisu

  • @MrBizo-bx6oq

    @MrBizo-bx6oq

    7 жыл бұрын

    Anod Njenje Hakuna Figisu hapo ndugu,we mwenyewe si unaona huo ushahidi kuwa watu wake hawana vibari vya kufanyia kazi nchini,na yeye ndiye mdhamini wao,,unazani utaikimbia sheria hapo?????

  • @erickmmbando1909

    @erickmmbando1909

    7 жыл бұрын

    Safi sana moses umeona eehh??? Wewe Anod we unamtetea manji kama nani?? we muhindi?? au ushawai sikia India wanatetea Watanzania wanaozalilishwa kule? kua na msimamo wa kizalendo wewe akuna cha chuki wala nini thats right.Manji kama angekua na utanzania na yuko tayari kwa Tanzania yake asingeenda ajili mahindi yote akayaweka ngazi za juu tena kutokea India wakat Dar watu wanalia na ajira. Hawa watu ndugu nawajua ata muhindi azaliwe Tanzania hawez mpa first priority mtu mweusi panya hawa. Hawa wana ile Ngozi kwa ngozi ukienda mtu mweusi ata muhindi awe kazaliwa Dar, utapewa kaz za chooni huko au u secretary ata uende na masters yako. Aje muhindi wa India na certificate atawekwa juu. Nilikwambia juz ukanibishia bcs i have been living with these punks for more than six years i know them.

  • @zawadix9574

    @zawadix9574

    7 жыл бұрын

    moses bizongwako we have been soft a man is leading now

  • @MrBizo-bx6oq

    @MrBizo-bx6oq

    7 жыл бұрын

    Scarlet Pimpernel , Hakuna cha Ubabe hapo,tena ashukuru Mungu wamemuonea huruma na kumwita tu taratibu,,Unakumbuka story ya yule Mkenya aliyewahi kuzingua Serikali ya Mwl,,aliyekuwa anajitapa kuwa ameiweka Serikali mfukoni nini alikipata,,,tufuate sheria jamani,,Serikari ikifuata Sheria mnasema inafanya Ubabe,na tukiikosea Serikari bado tu tunasema tunaonewa?????????

  • @fafi9092
    @fafi90927 жыл бұрын

    Zaman walikuwa wanashindwa namna yakumuingia walikuwa wanajua anafanya vtu kinyume nashira ila wakiuchuna tu makonda kawaonyesha njia zaman mlikuwa wap mpaka sasa mlijui ilo

  • @eddynaeem6708

    @eddynaeem6708

    27 күн бұрын

    kwa nchi gani nayo fukara masikini mpaka wananchi wake wananuka njaa hawana ajira na wewe ukisha staafu miguu juu

  • @eddynaeem6708

    @eddynaeem6708

    27 күн бұрын

    siku wazanzibar watakapochukuwa nchi yao lakwanza tunahitaji kufahamu mipaka ya nchyetu ya Zanzibar na hichi kisiwa karibu kitazama kwa wanavyoingia na hao wanaozaliwa hapa tunahitaji kufahamu au ndio wazanzibar powa

  • @abdillaahirichardkasisi8691
    @abdillaahirichardkasisi86917 жыл бұрын

    akuna ukwel ukwel kibal cha kuishi ni visa kauli mbovu akuna vita kiongozi gani??unalopoka fursa iko wapi

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi14247 жыл бұрын

    tawaambia kitu kimoja saikolojia ni muhimu sana kujifunza ,wangapi wanajua mambo yamebadilika katika maisha ya binadamu ya kila siku na ni watu wengi wako katika hali mbaya mimi nahudumia wateja(customers) na tunashare vitu vingi ,watu wanasahau namna ya kufanya kazi ama kutafuta mbinu za kujikwamua watu wanasahaulishwa matatizo yao na kuwekwa tayari kushabikia vitu kwa namna moja ama nyingine vya serikalini na bado maisha yao yako pale pale , serikali haiwezi fanyia kitu kwako binafsi sasa ni vizuri kuepuka ushabiki maana utakuwa unapoteza muda na njaa kuendelea kukutafuta , kila siku nakutana na watu smart wanajielewa kwa kuwatazama na wanaonekana wamekwama kwa maaana wamefungwa akili zao na kushindwa jiongeza katika kutengeneza vipato

  • @franklawrence9512
    @franklawrence95127 жыл бұрын

    uwiiii... kibarua changu mie nakiona kileee... kinakaribia kuota nyasi, jamani chonde chonde ukoo mzima unanitegemea mieee...

  • @babyfaa7677
    @babyfaa76777 жыл бұрын

    jamani watu wanapena vimondo vya maneno mmi napita tu habari zenu wadau nawapendeni sana

  • @exaudymassawe8820
    @exaudymassawe88207 жыл бұрын

    nomaaaaaa tunajenga nchiii

  • @mwanahella9650
    @mwanahella96507 жыл бұрын

    (hatutajali cheo chake hatutajali hela zake) mnaonekana kbs mna chuki binafsi hata km ana kosa ndio sawa tumeelewa tumngoje apate matibabu yake asimame kujibu mashtaka yanayomkabili mnasahau km mtu huyo ametoa ajira kibao kwa vijana wa kitz lkn mnasahau yote mnaamua tuu kumdhalilisha mnavyojiskia nyie haya baada ya uhamiaji tuone na wengine mxyuuuu😏😏😏

  • @anwaralhabsi1424

    @anwaralhabsi1424

    7 жыл бұрын

    yaaani uko positive wewe una akili mpaka ya busara mpaka nakuogopa

  • @hassanpazi7216

    @hassanpazi7216

    7 жыл бұрын

    Mwanahamisi Hella kaka uko sahihi kabisa ila watanzania wengi huwa ni wanafki hufurahia pindi mtu apatapo matatizo but mungu yupo i hope manji ata recover na atatambua kila jema na baya, watu wanasahau umuhimu wake aisee

  • @mwanahella9650

    @mwanahella9650

    7 жыл бұрын

    hassan pazi 🤗🤗(mwanahamishi ni female) hapa kwenye hii inshu wengi wanashabikia tuu ukizingatia na IQ za wengi ni....! hii ni vita ya mtu na mtu,madawa sjui pass kote huko ni kuzunguka tuu. lkn pia kuna maisha baada ya vyeo na hakuna cheo kinadumu milele hawa wote wanaotoa amri za kumuita Manji wanatii amri tuu. mwisho wa ubaya ni aibu tutaona mwisho wao

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын

    jmn mbona mnamwandama sana manj hv cku zote mlikuwa hamyajui hayo au mnamkandamiza tu

  • @nellxoxoxo9966
    @nellxoxoxo99667 жыл бұрын

    embu acheni drama zenu za kise*#&e s$*#e akitoka hapo mtamsema akaripoti wizara ya mambo ya ndani maana ana mabodyguard kutoka nje mara akaripoti wizara viwanda bidhaa zake hazina ubora #DEARGOD MAY THE MAN BEHIND ALL THESE DRAMA WHEITHER ITS TRUE OR FALSE. PERISH AND DISAPPEAR #Amen🙏

  • @andrewmlamba
    @andrewmlamba7 жыл бұрын

    Manji na Gwajima wanatiwa akili kwa kusupport Lowassa wakati wa uchaguzi.Kura zingine lazima wamdhamini Rais Magu.Ama sivyo wembe utakuwa ule ule unaoendeleya

  • @far_hard1301
    @far_hard13017 жыл бұрын

    jamani viwanda vipiiiiiiiiii?unga uhamiaji media kwa sanaaaaa what next?.....

  • @mosesnghogwa2614
    @mosesnghogwa26147 жыл бұрын

    MI nashangaa jambo moja. Kwani watu hawa waliingilia wapi. Uhamiaji walikuwa wapi. Je manji ni Uhamiaji!?!!. "tuwe serious jamani.

  • @abbiecox1
    @abbiecox17 жыл бұрын

    watanzania wanakosa kazi na wakipewa kazi kwa mshahara kiduchu sana! wakati umefika kulinda soko la ajira ya watanzania

  • @kingsmoter6469
    @kingsmoter64697 жыл бұрын

    manji mbona halishajiuzulu uenyekiti kwenye hiyo kampuni? hii sasa ni chuki tu

  • @emmanuelmlowe1311

    @emmanuelmlowe1311

    7 жыл бұрын

    King Smoter king smoter wewe pia unatakiwa ukamatwe usaidie inaonekana ni MTU wako wa karibu sana.

  • @emmanuelmlowe1311

    @emmanuelmlowe1311

    7 жыл бұрын

    King Smoter namashaka na kichwa chako. ivi wanaosema wanamhitaji hawajui we no unajua?. namashaka na kichwa chako sana tena sana.

  • @nellxoxoxo9966

    @nellxoxoxo9966

    7 жыл бұрын

    Emmanuel Mlowe mi naona nawe ni wale watu msio na marinda kama mungu mtu wenu makonda

  • @edwardyusto5767

    @edwardyusto5767

    7 жыл бұрын

    King Smoter ww ulikuwepo akijiuzulu??? Msipende kushabikia vitu ambavyo hamvijui

  • @kingsmoter6469

    @kingsmoter6469

    7 жыл бұрын

    nadhani wewe ndo hujui

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala62247 жыл бұрын

    Ujaongea point hata moja

  • @ahsantejonas1682
    @ahsantejonas16827 жыл бұрын

    mtaisoma namba kweli huu ni utawla wajpm

  • @grationbatanda7527
    @grationbatanda75277 жыл бұрын

    hapo sawa ila hata wachina wapo wengi sana hawana vibari tendeni haki.

  • @ibrahimally6455
    @ibrahimally64557 жыл бұрын

    Hizi ni bifu sasa manji his no longer a member of Quality group yy ni mwanzilishitu alishajiudhuru

  • @erickmmbando1909

    @erickmmbando1909

    7 жыл бұрын

    Kaka Ibrahimu narudi tena kwako,nilikwambia tangu siku ile kua hakunaga urafiki kati ya muhindi na mwafrika na wewe ukawa unatetea. Manji kama angekua na utanzania na yuko tayari kwa Tanzania yake asingeenda ajili mahindi yote akayaweka ngazi za juu tena kutokea India wakat Dar watu wanalia na ajira. Hawa watu ndugu nawajua ata muhindi azaliwe Tanzania hawez mpa first priority mtu mweusi panya hawa. Hawa wana ile Ngozi kwa ngozi ukienda mtu mweusi ata muhindi awe kazaliwa Dar, utapewa kaz za chooni huko au u secretary ata uende na masters yako. Aje muhindi wa India na certificate atawekwa juu. Nilikwambia juz ukanibishia bcs i have been living with these punks for more than six years i know them.

  • @ibrahimally6455

    @ibrahimally6455

    7 жыл бұрын

    Soma hyo nyaraka alaf ndo ucomment _lh3.googleusercontent.com/gAJem8VQ2_2_GDn1UhA1f59hYZOZwbCM87fJ7y1hDB05azp-5Flf1FDIgW5EvjBDIH5LNSeJPg_

  • @erickmmbando1909

    @erickmmbando1909

    7 жыл бұрын

    Ibrahim Ally Hahahahaa

  • @davido8089
    @davido80897 жыл бұрын

    Wewe ulikuwa wap siku zoteeee acha sifaaa

  • @mamatuishi-mamatuondoke8822

    @mamatuishi-mamatuondoke8822

    7 жыл бұрын

    Mvua ikinyesha lazima manyunyu hayawepo"Asingekuwa makonda mngeyajua hayo? au ndo kiki za kusafisha nyota mjulikane na wengi

  • @hamzamhina5109
    @hamzamhina51097 жыл бұрын

    mngengoja hili la tuhuma za madawa ya kulevya liishe muumkate sasa hili halijaisha mnampa kesi nyengine hapo ninawasiwasi na kumtuhumu kwake

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360Ай бұрын

    Kwani siku zote hamkujua kama ana kibali au hana yote hiyo wametaka honga ndo wamtafutia sababu

  • @emmanuelaggery6877
    @emmanuelaggery68777 жыл бұрын

    hahaha mwisho wa siku tajiri atabaki kuwa tajiri tu.....manji tunaomba wa tz uwaonee hurum waendlee kufanya kazi na 2020 hela mwaga upinzani kama kawa

  • @mhdzkr2951
    @mhdzkr29517 жыл бұрын

    manji mbona anataka kutuletea vurugu nchini

  • @ashuraayubuhussein6256
    @ashuraayubuhussein62567 жыл бұрын

    hiii ni hasada tu siku zote mlikua hamjui kama kuna watu hawana vibali au wanaishi na vibali feki hilo sio kosa la manji kosa la serekali yetu

  • @omarymwigula5479
    @omarymwigula54797 жыл бұрын

    Kanjibai mdomo uliponza kichwa

  • @MWilly-xu1ki
    @MWilly-xu1ki7 жыл бұрын

    hii campeni zhidi ya young africa

  • @alexmjoge
    @alexmjoge7 жыл бұрын

    japo hata mimi sijui sharia na watu wengine wanachekelea lakini uhamiaji nao wanahusika na sioni pia uhusika wa manji direct katika hili la watu kukosa vibali.ila ukweli ni kwamba idara ya uhamiaji imeoza na huyu kamishna anatudharau watanzania kuwa hatujui wanayofanya.anyway kila mtu anatafuta umaarufu kwa rais.amtegemeaye mwanadamu hana akili na for your informations we have so many people wasio na vibali na wapo hapa nchini.wakongo kibao,maliwian,wazambia waburundi,wanyaruwanda and n.k,why manji????????????????????????????

  • @nkindwantandu3445
    @nkindwantandu34457 жыл бұрын

    kweli kiongoz serikal imekuamin na kukupa mamlaka ya juu leo hii unatuambia umedanganywa kweli ndio utendaji wako kweli duh alafu unachokizungumza inaonyesha kwel hauko makin

  • @brownambo1472
    @brownambo14727 жыл бұрын

    niko levo ya juu

  • @rechochofrank2953
    @rechochofrank29537 жыл бұрын

    hivi Nazo kiki

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud89797 жыл бұрын

    yatafumuka kibao miaka ya magufuli mzee

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice16007 жыл бұрын

    Ndio maana mauaji na uarifu unaongezeeka Tanzania kwa sababu kuna watu wanaingia Nchini bila kufuata taratibu muhimu, wakazie hili swala kwa maana machafuko yamekuwa mengi Tanzania yetu

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi147 жыл бұрын

    Hakika Hatuwezi kuendelea Kwakuwa viongozi wanazidi kuwa didimiza wafanyabiashara wakubwa kwa chuki zao binafsi. wakisahau kuwa wali ahidi ajira kwa wa Tanzania. Huo ni upunmbavu mnao fanya na haukubaliki😕😕😕😕😕😕😕

  • @kareenamuraty5845
    @kareenamuraty58457 жыл бұрын

    wewe mwenyewe mkimbizi kiswahili chako tatizo

  • @geofbeka1669
    @geofbeka16697 жыл бұрын

    Mnatufanya tuhisi haya ni mapambano nje ya sheria za kawaida

  • @kareenamuraty5845
    @kareenamuraty58457 жыл бұрын

    mnatafuta kiki kupitia manji eeeeeh tunajua wasukuma huwa hamuwapendi watu weupe .ndo maana mnamuandama manji n.a. Mali zake

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi14247 жыл бұрын

    kuna kesi kibao watutangazie zote kila mara this is too much

  • @mobzzcrak
    @mobzzcrak7 жыл бұрын

    politics politics politics

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas13415 ай бұрын

    Lushwa imeshamili sana nchini imefika wakat wagen hawafat talatib na Sheria nchini wakiamin kunaviongoz wapo nyumayao. wanawalinda mimi nawaza sana sisi tukienda nchi zao tunawafanyia hayo ? nazan sisi nchi hi tunabaaz ya viongoz na watumishi wa uma nitatizo nakama tungesimamia vyema Sheria zetu na kuziboresha ikiwezekana kuboreha katiba yetu ikawa ukichezea nyalaka za serikali au,zuruma,wizi, kupindisha haki ,Nikunyongwa ,au kifungo kisichokua na zamana tena kwakurudisha ulicho iba nk

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi14247 жыл бұрын

    im tired from the dramas

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud89797 жыл бұрын

    jamani huyu ni magufuli sasa. siyo kikwete

  • @khalidkassim9782
    @khalidkassim97827 жыл бұрын

    Faraja danny the problem is the government they don't create kazi kwa wananchi .

  • @hamzamhina5109
    @hamzamhina51097 жыл бұрын

    umasikini mbaya sana hizo ni chuki choyo na roho mbaya tunaka tujue ripoti ya madawa ya kulevya kwanza sio kuruka ruka

  • @shakirarashid9181
    @shakirarashid91817 жыл бұрын

    uku niliko mm hata visa yako ikiisha tu Leo ujue kesho utalipa hela tatizo wtz wengi hawajatoka nchi za inje ndiomama mwaona ni sawa lazima wawe na visa kamili kwasababu wasipokuwa wa visa hawalipi ushulu wa kuishi tz

  • @juliusnyonyi9616
    @juliusnyonyi96167 жыл бұрын

    nakuona chenga tu na ww inamaana siku zote hz watu wanaishi humu hawanaga vibali hamkujua siku zote hz kazi yenu ni nini??? mpaka madawa ya kulevya yaibuliwe ndo mnajifanya mmepata mlango wa kuingilia??? jinga kabsa

  • @dearchobis8012

    @dearchobis8012

    7 жыл бұрын

    kiukweli watanzania tunapenda kuongea sana, kwani manji ni nani asichukuliwe hatua, uwelewa wangu manji bado anamashitaka ya kujibu kama yeye mmliki wa kampuni, inawezekana pia yeye hajui kama alikuwa Hr wake alikuwa anamdanganya kuajiri RAIA wa kigeni pasipo na vibali kwa kushirikiana na maafisa wasio waaminifu wa uhamiaji kwa kuchukua fedha, kama sio kweli kwa nini baadhi ya watumishi wa manji wamekimbia nchi, acheni kushabikia vitu kwa sababu ya kumpenda MTU, we unajua ni jinsi gani hao waindi walikuwa wakinyanyasa ndugu zetu kumbe hawana vibali, kazi ambazo wtz wanatakiwa kufanywa anaenda kuchukuliwa mhindi aje afanye alafu kazi yenyewe hawezi lakini mshahara mkubwa kuliko mzawa, anachotakiwa baada ya kumaliza kesi zake arekebishe mfumo wa watendaji wake kwa lengo LA kupata taarifa sahihi za utendaji ili aepukane na matatizo, sio kukurupuka tu, mana wengine wanaona kama kaonewa utasema kama bwana wao vile.

  • @shabanramadhan3940
    @shabanramadhan39407 жыл бұрын

    Serekali ya hapa kaz tu

  • @abdulmasuo7832
    @abdulmasuo78327 жыл бұрын

    si hasa (not serious)

  • @bravofundikila965

    @bravofundikila965

    7 жыл бұрын

    Abdul Masuo HUNA AKILI!

  • @abdulmasuo7832

    @abdulmasuo7832

    7 жыл бұрын

    Bravo Fundikila kwanini kaka

  • @bravofundikila965

    @bravofundikila965

    7 жыл бұрын

    Uzalendo wako wa kupigania masilahi ya nchi yako IPO wapi!

  • @abdulmasuo7832

    @abdulmasuo7832

    7 жыл бұрын

    Bravo Fundikila uzalendo wenu wa kisasi

  • @abdillaahirichardkasisi8691
    @abdillaahirichardkasisi86917 жыл бұрын

    walipita vipi?airport awana visa kwani

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi147 жыл бұрын

    mtu mme mdharirisha bado tu mna endelea tu kumfadhaisha mm nadhani magufuli hata kubali hilo kama vibali wachukulieni wahusika na sio manji !!!😕😕😕😕😕

  • @ramadhanurassa2410
    @ramadhanurassa24107 жыл бұрын

    yatakua yale ya Zimbabwe Mugabe kuwafukuza wazungu halafu tubebe maheka kwenye Marlboro maana itashuka thamani

  • @rajabuabdallah3840
    @rajabuabdallah38407 жыл бұрын

    hyo ndyo magufli ukikwepa hku unakmtiwa hku

  • @rattlesnake2153
    @rattlesnake21537 жыл бұрын

    achen kuropoka hayo ni mambo ya siasa

  • @user-fm9gr6jb6e
    @user-fm9gr6jb6e7 жыл бұрын

    kuch kuch hotahe utaimbia cello

  • @kedmonantony3602
    @kedmonantony36027 жыл бұрын

    hizi zote ni siasa. hivi unakumbukakumbuka kipindi kileee...... cha kumtafuta mgombea wa urais kupitia cha cha...... katika hotel moja dodoma alikamatwa kijana ikasemakana kwamba eti alikuwa anagawa mihela kwa wajumbe ili wamchague mjumbe flani ilisemekana lkn mnakumbuka? basi km unakumbuka basi mi nahisi kunauhusiano na kinachoendelea kwa manji

  • @ramlak_dramafans8807
    @ramlak_dramafans88077 жыл бұрын

    kaziipo mwakahuuuu nahodha kakae mbele abilia tuwe nyuma ili kifike sala chombo kisende mrama najua waelevu washa levia hongera JPM hongera Makonda kwakuonyeshanjiaa watanyookatu mwakahuu

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes90877 жыл бұрын

    MBWEBWE ALIOKUWA NAZO MANJI KWISHNEY

  • @humphreynzundanzunda6850
    @humphreynzundanzunda68507 жыл бұрын

    sas hiii serikali mbona inataka kutafutia umaarufu kwa manji kuwaajili watu wasio na vibali na sio yeye ina muhusu vip kwan manji ni police wa ukaguz wa vibali au wampe na fasi asiwaajili watanzania mnakela sasa

  • @Teksani
    @Teksani7 жыл бұрын

    😂😂 Wanajua kitu Manji atawafanya baada ya kumchafulia jina ndo maana wanamtafutia kila njia ya kumkandamiza. Siku zote mlikuwa wapi 😂

  • @abelymligo6673

    @abelymligo6673

    7 жыл бұрын

    kweli aisee

  • @abelymligo6673

    @abelymligo6673

    7 жыл бұрын

    kweli aisee

  • @njasmari2468

    @njasmari2468

    7 жыл бұрын

    MJ apo sasa

  • @emmanuelmlowe1311

    @emmanuelmlowe1311

    7 жыл бұрын

    jidanganyeni tu.mmezoea serikali zilizopita zilikuwa zinaangalia MTU.siyo hii polen mtaumia mkiishi kwamazoea.

  • @nellxoxoxo9966

    @nellxoxoxo9966

    7 жыл бұрын

    Emmanuel Mlowe we jamaa mbna ka hanisi kila m2 anapocoment nawewe unacoment ?????? pita kushoto fwalasi we

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy7 жыл бұрын

    Inakuaje wewe unajiita mzalendo mzawa unaenda kuajiri wageni watupu unaacha wananchi.

  • @fatmaalrashdi1577
    @fatmaalrashdi15777 жыл бұрын

    jama makosa mengine wanayatafuta na hawa wanataka kurudisha kuwakamata.watu bila makosa uraguzi ulio.pita enzi umerud

  • @ahmedghoth4945
    @ahmedghoth49457 жыл бұрын

    tunamwombea mungu amfanyie wepesi diwani wetu analize haraka mitihani yake arudi kuja kutuletea maendeleo ktk kata yetu

  • @rechochofrank2953
    @rechochofrank29537 жыл бұрын

    du Sasa kanji anajili au anafanyia migration

  • @dibya20

    @dibya20

    7 жыл бұрын

    Rechocho Frank tatzo ni uelewa wako tu mdogo.... unapoenda Kuomba ajira hasa Kwa wageni ni Lazma uonyeshe Hati inayokuonyesha kufanya Kazi nchini Kwa muajiri wako na AINA gani ya Kazi uiombayo

  • @kalinjonjodaxclusive8636
    @kalinjonjodaxclusive86367 жыл бұрын

    psychological destruction

  • @musasaidi7973
    @musasaidi79737 жыл бұрын

    kama kweli wamefanya kosa mi nadhani sheria ichukue mkondo wake.

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi14247 жыл бұрын

    hizi siasa tu , wameamua kumuandama mzee manji wamemkosa kwa madawa sasa waajiriwa wake its oky but busara wangetakiwa wawafuatilie sio lazima kuwatangaza , maana wakisema wawatafute wako wengi na je kuna muda wa kuwatangaza watu wote? so many kenyans here , so many from malawi. sisi watu wazima , manji wala usiogope commissioner anasema hatujali unapesa kiasi gani sio busara kabisa , wafanye kazi wananchi tubafanya kazi hatupendi story . do your work

  • @zawadix9574

    @zawadix9574

    7 жыл бұрын

    anwar alhabsi don't hate we want order wa Tanzania are we cursed

  • @sudyreacts5889

    @sudyreacts5889

    7 жыл бұрын

    blackmonoplopycapital x I just wonder like where were they all that time lol

  • @ishaanizkeah8814

    @ishaanizkeah8814

    7 жыл бұрын

    blackmonoplopycapital x IP

  • @abbiecox1

    @abbiecox1

    7 жыл бұрын

    tatizo jezi za buree vinginevyo mnaibiwa hamjui1 mko tayari kuibiwa kwa jezi za bure

  • @abdillaahirichardkasisi8691
    @abdillaahirichardkasisi86917 жыл бұрын

    mbona ni ubabe mtupu ni mipango kwa sabu mmesha pokea odda akuna ukwel wowote uwez kumpokea mtu mtu bila ya kumpa visa

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove22217 жыл бұрын

    😀😀😀 anaejua kuhusu manj na kesi ya madawa anifahamishe pls

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe13117 жыл бұрын

    kunawatu kweli wamechoka.hatahawajui manji kwann alikamatwa. hawa ni choka mbaya kweli

  • @user-em5xj3rc5k
    @user-em5xj3rc5kАй бұрын

    Kwani vibali si walitoa wao wenyewe feki ili watengeneze matatizo baadae. Wao ndo wafukuzwe kazi

  • @ibrahimharuta7333
    @ibrahimharuta73337 жыл бұрын

    NIKOSA KUISH KTK INCHI YA MTU BILA KIBALI SASA ALIKUWA ANALETA DHARAU KISENGE WAKATI YUKO KTK INCHI YA WATU,ALETE WANASHERIA WAKE WA NJEE ALIYOSEMA ATAWALETA KUMSHITAKI MAKONDA

  • @bravofundikila965

    @bravofundikila965

    7 жыл бұрын

    Ibrahim haruta kaka safi kwa uzalendo wa nchi yako huyu manji ni Uuuuuuumbwa!

  • @ibrahimharuta7333

    @ibrahimharuta7333

    7 жыл бұрын

    Kabxa me niko Qatar apa nafanya kazi naish apa tuko mataifa Zaid ya 52 na wao wakiwemo basi ni hatari japi wapo waelewa mfano wanaotoka mumbai mana ndyo mjin zaid kwa kule kwao ila wa vijijini ni tabu tupu' afu wanakuwa na dharau kazi hawajui dharau sasa ila wamekuta na sisi wabongo ni vichaa

  • @bravofundikila965

    @bravofundikila965

    7 жыл бұрын

    SAFI KAKA!

  • @ibrahimharuta7333

    @ibrahimharuta7333

    7 жыл бұрын

    Pamoja hata ss manji hatupend afukuzwe mana kaajir watz wenzetu akiondoka watakosa kazi lakin heshima lazima iwepo atambue serikali na ajue inatakiwa iheshimiwe mana tz hatoi yy msaada tu,sasa anaposema kama watu wanashida na msaada waseme anaeza toa hata kwa kulipa Kodi mbonah tz wako matajir kibao kuliko yy ila hawana madharau

  • @mussamzee1701

    @mussamzee1701

    7 жыл бұрын

    Siku zote wali kuwa wapi

  • @abuibra
    @abuibra7 жыл бұрын

    NDUGU MHESHIMIWA,HAWO NAFIKIRI NI WACHEZAJI WA YANGA.😂🤣😎

  • @Rugemalilatv1994
    @Rugemalilatv19947 жыл бұрын

    mlikuwa wap

  • @rechochofrank2953
    @rechochofrank29537 жыл бұрын

    sory manji

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani58617 жыл бұрын

    Kayama chao kimekaribia wafanyabiashara

  • @anodnjenje9084

    @anodnjenje9084

    7 жыл бұрын

    juma ramadhani unafikir ndo atafirisika wanampa akil

  • @erickmmbando1909

    @erickmmbando1909

    7 жыл бұрын

    Acha kutetea tetea wahindi wewe!! njoo India huku uone wajinga hawa wanavyowafanyia watanzania kama wewe.

  • @bravofundikila965

    @bravofundikila965

    7 жыл бұрын

    juma ramadhani Jitambue ucwe mtumwa wa fikra!

  • @bravofundikila965

    @bravofundikila965

    7 жыл бұрын

    Eriki kilasala unajua nn hata kwenye kutawaliwa na wakoloni, wakoloni walikuwa wanawachagua watu kama juma ramadhani kwa kuangalia uwezo wa fikra zao wanawezaje kuwacoloni wenzao km nyapala kiongozi! Ni ujinga mtupu kaka yangu, jitambue na kuwa mzalendo na nchi yako!

  • @erickmmbando1909

    @erickmmbando1909

    7 жыл бұрын

    Bravo Fundikila Kaka nipo India hawa watu wanavyowafanyia Wa Africa daaah!! Acha tu. Wao kwetu wanakuja bila vibali wakipata wanaanza pelekesha watu

  • @dominicnicholas4612
    @dominicnicholas46127 жыл бұрын

    walikuwa wanajua hayo yooote,na kwa muda mrefu hawakufanya kitu Leo wanajifanya wanajifa eti ndo wameliona hill?wanachekesha walionuna!!

  • @dibya20

    @dibya20

    7 жыл бұрын

    Dominic Nicholas Ndio maana ya uteuzi WA kamishna WA uhamiaji Ili KUSAFISHA hayo unayoyasema WW walikuwa wanajua

  • @shinatamar1492
    @shinatamar14927 жыл бұрын

    hamuna kitu mwaongea ukumbavu tu mulimuita kwakosa la madawa sasa mumekosa ukweli wamadawa sasa mwatafuta visababu

Келесі