MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"

MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
RAIS Dkt John Magufuli, leo Mei 03, amemuapisha Mbunge wa Iramba, Mwigulu Nchemba, kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, baada ya aliyekuwa waziri wa wizara hiyo, Balozi Agustine Mahiga, kufariki dunia na kisha kumpa majukumu mazito waziri wa sheria kuchunguza Maabara ya Taifa madai kuwa vipimo vilionesha Papai, Mbuzi, Fenesi navyo vina CORONA!
Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
ANDROID:bit.ly/38Lluc8
iOS:apple.co/38HjiCx
VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
JE, NA WEWE UNA HABARI?
WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
OUR PLAYLIST:
HABARI MPYA DAILY: http:shorturl.at/lNOZ2
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 2 100

  • @saimjonas
    @saimjonas4 жыл бұрын

    Nimeguswa na speech ya Rais wetu leo. Anayemsapoti Jembe hili Mzee wetu Kufuli gonga like hapa. Amaaa

  • @dicksonmalimba1056

    @dicksonmalimba1056

    4 жыл бұрын

    good speech

  • @dicksonmalimba1056

    @dicksonmalimba1056

    4 жыл бұрын

    mungu akuzidishie uwezo wa kuwaongoza watanzania

  • @GUESSNOW

    @GUESSNOW

    4 жыл бұрын

    Hii ndio Intelligence aisee..

  • @charlesmrina9002

    @charlesmrina9002

    4 жыл бұрын

    Mweshimiwa rais Mungu akupe maisha marefu ili uwezi kutuvusha salama ktk vita hivi vya corona .Rais anaouwezo Wa kuishi mkoa wowote hapa nchini bila kujajiliwa na mtu au chombo chochote kile wanaojali hilo hawana ufahamu Mwenyezi Mungu hawasamee bure hawajui watendalo.

  • @francismigongwa4146

    @francismigongwa4146

    4 жыл бұрын

    Congratulations mh JPM

  • @jtheophil5499
    @jtheophil54994 жыл бұрын

    Aisee aliyeskia majina ya sample gonga like kubwa hapa.Rais unaweza.asante baba.ongera sana mh.mwigulu

  • @dennisherman1661

    @dennisherman1661

    4 жыл бұрын

    Uwepo wako Baba angu mungu akulinde wakati wote Uko sahihi na watanzania tunakuelewa sana baba tupo nawe asante kwa kuwa mzalendo namba moja

  • @dadapechi

    @dadapechi

    4 жыл бұрын

    Very intelligent

  • @jtheophil5499

    @jtheophil5499

    4 жыл бұрын

    Namtafakari simpatii picha..huyu baba ni habari nyingine.nampenda.hapa ndo tunaona maana ya kwenda shule,ukawa na uelewa wa kuzaliwa ,na mwenyezi mungu akakuzidishia busara na utambuzi mkubwa sana.

  • @nassoroseleman60

    @nassoroseleman60

    4 жыл бұрын

    Kweli baba sisi tunakuombea sana. Baba

  • @SmartBrainTv2020

    @SmartBrainTv2020

    4 жыл бұрын

    NAKUOMBA USUBSCRIBE KZread CHANNEL YANGU, NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI,.

  • @ydisotzmusickilistofa5203
    @ydisotzmusickilistofa52034 жыл бұрын

    Mtu Anasema Funga Daresalama Sifungi Nishasema Wew Nani Mpaka Uniambie Nifunge Hahahai Gonga Like Kwa Magu Wakeeee

  • @ashuraduguda8187

    @ashuraduguda8187

    4 жыл бұрын

    Ydiso Tz Music kilistofa weeee

  • @SmartBrainTv2020

    @SmartBrainTv2020

    4 жыл бұрын

    NAKUOMBA USUBSCRIBE KZread CHANNEL YANGU, NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI,.

  • @Hasnspop
    @Hasnspop4 жыл бұрын

    Anae mkubali huyu ndugu yangu angonge like hakuna kama magufuli

  • @mauayusufumauayusufu7862
    @mauayusufumauayusufu78624 жыл бұрын

    Tujuane tuliomuelewa mh. Present magufuli bila wasiwasi Tujuane

  • @mkushiandikayakoachananaya7944

    @mkushiandikayakoachananaya7944

    4 жыл бұрын

    mauayusufu mauayusufu ingewezekana kutoa like 1,000,000,000, ningekupa kwa kuwa nami nimemuelewa sana!

  • @martinyahaya331

    @martinyahaya331

    4 жыл бұрын

    Tupo pamoja maua. Nakukubali mno

  • @nkelamei2870

    @nkelamei2870

    4 жыл бұрын

    Mheheshiwa uko vizuri sijui kama kuna mwingine atakaye tokea kama wewe

  • @mauayusufumauayusufu7862

    @mauayusufumauayusufu7862

    4 жыл бұрын

    @@mkushiandikayakoachananaya7944 pa1sana

  • @mauayusufumauayusufu7862

    @mauayusufumauayusufu7862

    4 жыл бұрын

    @@martinyahaya331 Poapoa

  • @bangastar5177
    @bangastar51774 жыл бұрын

    Elizabeth Fenesi gonga like kwa umakini Wa Raisi wetu

  • @elizabethbarasa9217

    @elizabethbarasa9217

    4 жыл бұрын

    😅

  • @mwanaidihussein1462

    @mwanaidihussein1462

    4 жыл бұрын

    😂😂

  • @mrphylophylo7842

    @mrphylophylo7842

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @alicenyaga7183

    @alicenyaga7183

    4 жыл бұрын

    😂😂

  • @abdulshakur8425

    @abdulshakur8425

    4 жыл бұрын

    @@mwanaidihussein1462 😂😂🤣

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser79874 жыл бұрын

    This is the kind of leadership we need in Africa.... Big up president Magufuli

  • @petercheto6064

    @petercheto6064

    4 жыл бұрын

    Prezo Magufuli W.H.O wanafanya nini haswa na wanalibwa pesa which is which? We need open president like u in Africar Big up.... Ayub from Kenya

  • @allybakar2402
    @allybakar24024 жыл бұрын

    Naomba ujumbe huu umfike Raisi wangu popote alipo mwenYezi mungu amfanYie wepesi katika maisha Yake kikweli nimejiskia mwenYe furaha Sana tangu alipo ingia madarakani mpaka leo daaaaaah mungu baba mpe nguvu Rais wetu🤲🤲🤲😭😭

  • @othmanidrisa6607
    @othmanidrisa66074 жыл бұрын

    Nataka nijue wanaokubal kuwa MZEE magu ndie rais bora africa

  • @chrismbalamwezi8226

    @chrismbalamwezi8226

    4 жыл бұрын

    Wewe ni rais wa uchaguzi wa yehova Mungu hakika ,uishi na uivushe Tanzania na Africa

  • @majidshaib461

    @majidshaib461

    4 жыл бұрын

    Yap

  • @renialukamya914

    @renialukamya914

    4 жыл бұрын

    Mungu anaendelea kujibu maombi tuliyoomba siku tatu kwa taifa yajayo yanafurahisha

  • @charlesmotongoribhoke8818

    @charlesmotongoribhoke8818

    4 жыл бұрын

    Wambie baba uko poa Sana mzee

  • @fatmaaliy7855

    @fatmaaliy7855

    4 жыл бұрын

    Uyu ni raisi bora allah azidi kukupa umri mrefu na Afya njema baba etu wa taifa amiin Uzidi kuilinda nchi yetu Tanzania

  • @cosmasevarist6221
    @cosmasevarist62214 жыл бұрын

    Huyu RAIS ni wa kukumbukwa TZ🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Africa imeshaanza kujitambua Leta dawa ya madagascar. Tupende vyetu vya Africa

  • @pendael02

    @pendael02

    4 жыл бұрын

    Leteni za Madagascar dawa

  • @barikialex5875

    @barikialex5875

    4 жыл бұрын

    Huyu ni rais makini anafanya vitu kwa umakini mkubwa

  • @sahibumsuya96

    @sahibumsuya96

    4 жыл бұрын

    Duh,,,!

  • @jescadavid5654
    @jescadavid56544 жыл бұрын

    Mungu akubarki sana Mr raisi,sijawai ona kiongozi kama wewe,Utajaribiwa imani lakin mwisho wa siku wata kiri Mungu yupo.Pambana mpka mwisho

  • @ambeyimark8
    @ambeyimark84 жыл бұрын

    Natamani kuhamia Tanzania,.,. Kenya huku Uhuru ametushinda

  • @shemsashemsa7055

    @shemsashemsa7055

    4 жыл бұрын

    Hahahahahahaha amewashinda

  • @paulchogga5563

    @paulchogga5563

    4 жыл бұрын

    Fungua na mashule tusome

  • @angelamarlow510

    @angelamarlow510

    4 жыл бұрын

    😃 njoo

  • @krisongalax6278

    @krisongalax6278

    4 жыл бұрын

    Ila majirani mlitusema sana😂😂😂

  • @abdulshakur8425

    @abdulshakur8425

    4 жыл бұрын

    @@shemsashemsa7055 🤣🤣

  • @pilymasoud1978
    @pilymasoud19784 жыл бұрын

    Mungu akubariki Raisi wetu.🇹🇿Tanzania tunajivunia kupata Raisi shujaaa,🙏🙏🙏🙏

  • @deterkatotoasanteraiswangu8009

    @deterkatotoasanteraiswangu8009

    4 жыл бұрын

    Nakupenda sana rais wangu. Mungu akupiganie.

  • @samwelimasumbuko1829

    @samwelimasumbuko1829

    4 жыл бұрын

    Nivizur sana laisi wetu

  • @emmahmunyao158
    @emmahmunyao1584 жыл бұрын

    This is an intelligent man from God, JP Magufuli is quite unique you can't compare him with any other African leader, sisi huku Kenya tumefungiwa umasikini nao unatunyemelea pole pole, i wish other African presidents could take a stand like JP Magufuli and allow their citizens to continue to work this is a spiritual battle and only through prayer and hard work we can overcome

  • @joelbuchuma327

    @joelbuchuma327

    4 жыл бұрын

    Exactly what you say Mr Emmah Munyao..

  • @Mokiwa

    @Mokiwa

    4 жыл бұрын

    Emmah Munyao naamini pia, tumuombee sana

  • @peterlukuba5857

    @peterlukuba5857

    4 жыл бұрын

    Hivi wale wakenya walituitia Raisi wetu MKAIDI wanawaza nini kuhusu kazi hizi tunazopigiwa na jembe letu JPM ? Ila haitupi shida sisi wapiga kura ndo tunaelewa kinacho pambaniwa na zawadi yetu tuliopata kutoka jwa Mungu (JPM)

  • @peterlukuba5857

    @peterlukuba5857

    4 жыл бұрын

    Nakuelewa Emmah Munyao tuko pamoja tuzidi kumuombea Raisi wetu wa Mfano wa pili kutoka kwa JK.Nyerere

  • @angelamarlow510

    @angelamarlow510

    4 жыл бұрын

    This is true

  • @lucidadanford4052
    @lucidadanford40524 жыл бұрын

    Aliyesikia hatuwezi kucopy na kupaste hatuwez apply hii slogan Tz weka like

  • @moviebank6905

    @moviebank6905

    4 жыл бұрын

    Lucida Danford SUBSCRIBE MY KZread CHANNEL

  • @saidjames4524

    @saidjames4524

    3 жыл бұрын

    Jembe

  • @obedmlule5863
    @obedmlule58634 жыл бұрын

    Ukisoma koment za watu utajielewa uko sahihi mazungumzo yako au vp yaani Tanzania tumepata rais muelewa na chapakaxi tujivunie na Mungu atubariki Magufuli🔥🔥

  • @phabianstephano8279
    @phabianstephano82794 жыл бұрын

    Hapa mzungu lazima astuke janja yao imebumburuka nyau hawa

  • @SmartBrainTv2020

    @SmartBrainTv2020

    4 жыл бұрын

    NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY KZread CHANNEL, NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @bonsaviouromuholo8317
    @bonsaviouromuholo83174 жыл бұрын

    This is real leadership. A true son of Africa

  • @eddymeshack
    @eddymeshack4 жыл бұрын

    Tanzanians you are very lucky to have this guy as a president

  • @faridaothman
    @faridaothman4 жыл бұрын

    Like hapa kama unamkubali RAIS WETU MAGUFULI

  • @rajabumbesi3425
    @rajabumbesi34254 жыл бұрын

    Huyu jamaa anaijua kazi yake kwa 100% najua Kuna watu wamekaa wanajadili speech yako ya leo

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaaa, ni kweli kaka,watu wanaumiza kichwa kujibu speech,hii.Mkuu wetu yupo imara sana Mungu aendelee kukusimamia.

  • @lucaslyimo2118

    @lucaslyimo2118

    4 жыл бұрын

    Scientists I'm I know what I speak

  • @peterlukuba5857

    @peterlukuba5857

    4 жыл бұрын

    Utasikia wengine wanaibuka na speech zao zisizo na evidence wamevalia mi gloves kuwajaza ujinga umtu wajinga wenzao JPM mashine nyingne hii😂😂😂😂🙌

  • @sultanmfalme830
    @sultanmfalme8304 жыл бұрын

    "SIFUNGII NSHASEMA!" Huyu ndo Raisi, na wala hatukopeshi wala kumuuza nchi nyengine. Asante Magufuli kwa uongozi wako na Mungu akupe maisha marefu.

  • @josephsirikwa200

    @josephsirikwa200

    4 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😆 mwisho kumkopesha jembe letu

  • @sultanmfalme830

    @sultanmfalme830

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa!

  • @benja_eden9370

    @benja_eden9370

    4 жыл бұрын

    Ukweli mtupu rais magufuli... You are the real future of Africa

  • @sabatojulius5613

    @sabatojulius5613

    4 жыл бұрын

    Hongera JPM kwa hotuba yako

  • @kimeumichael4733
    @kimeumichael47334 жыл бұрын

    Kenyan tunakupenda sana thank you JPM,soon am relocating to Tanzania please welcome me guys,I need to be part of TZ

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    You are welcome jirani 💓💓

  • @liboriusbabile1197

    @liboriusbabile1197

    4 жыл бұрын

    unazingua jamaa

  • @veeJesus

    @veeJesus

    4 жыл бұрын

    Ure welcome uje kilimanjaro ni mpakan na kenya via namanga

  • @deusdeodavid5360

    @deusdeodavid5360

    4 жыл бұрын

    Acha ujinga kenya ndio kwenu wewe

  • @MiraMbepera

    @MiraMbepera

    4 жыл бұрын

    Welcom

  • @economics001
    @economics0014 жыл бұрын

    I'm a Kenyan but honestly I am proud of you JPM. You go factual and you gonna make E AFRICA great.

  • @SmartBrainTv2020

    @SmartBrainTv2020

    4 жыл бұрын

    NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY KZread CHANNEL, NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @veronicacosmas9211
    @veronicacosmas92114 жыл бұрын

    RAIS wangu DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI hakika Mungu anakutumia na aendelee kukulinda akupe Hekima zaidi ya hapo Mungu Akubariki mnooooo

  • @leoniabeda2711

    @leoniabeda2711

    4 жыл бұрын

    Hongera Sana rais wa Mimi hapa umbua hao mabeberu pima hadi mawe babaa Cha msingi majibuuu💪

  • @imaningundesi7545
    @imaningundesi75454 жыл бұрын

    Huyu jamaa Mungu amlinde kwakwel. Sikumchagua ila kwa sasa nataman aendelee ata miaka 10 tena. Mzee endelea kusimama imara ivyo ivyo kwa msaada wa Mungu

  • @josephsirikwa200

    @josephsirikwa200

    4 жыл бұрын

    Mambo ya Mungu bhana hayachunguziki. Na ukimtanguliza Mungu hakuna kinachoharibika kamwe.

  • @bennisafari1727

    @bennisafari1727

    4 жыл бұрын

    Kabisa bana

  • @rodrickmwasankinga4498
    @rodrickmwasankinga44983 жыл бұрын

    R I P PUMNZIKA AMIRIJESHI MKUU 🙏🇹🇿❣️

  • @2fragrance
    @2fragrance4 жыл бұрын

    Double honour from Kenya wish our leaders may wake-up to the truth

  • @SmartBrainTv2020

    @SmartBrainTv2020

    4 жыл бұрын

    NAKUOMBA U SUBSCRIBE KZread CHANNEL YANGU, NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @elizabethludovick9075
    @elizabethludovick90754 жыл бұрын

    Waoooh nakupenda sana baba ndio. Maaana nilikuombea MUNGU AKUONGEZE SIKU ZA KUISHI NAKUPENDA

  • @magesadominick5724

    @magesadominick5724

    4 жыл бұрын

    Viongozi wote wangekua kama ww baba atu tz ingekua peponi xema tu katba ya nchi inabana ingekua inabana miaka 10 mingine tungekuongeza

  • @barakachubwasindi8152

    @barakachubwasindi8152

    4 жыл бұрын

    nakushu kulusana kiongonzi

  • @KenyaNewsChannel
    @KenyaNewsChannel4 жыл бұрын

    I like how Magufuli is giving Tanzanians hope, our Kenya Health minister is so pessimistic, giving us fear all the time.

  • @femalehobbitwithhairyfeet

    @femalehobbitwithhairyfeet

    4 жыл бұрын

    Umm... This guy told people that you can't get Corona inside a church... Look at the Tanzanian infection rate now. People need reality and not false hope

  • @SmartBrainTv2020

    @SmartBrainTv2020

    4 жыл бұрын

    NAKUOMBA U SUBSCRIBE KZread CHANNEL YANGU, NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @bestscene5730

    @bestscene5730

    4 жыл бұрын

    @@femalehobbitwithhairyfeet hhhh stop lying he said corona can't stop u going to church

  • @amigodossantos4129

    @amigodossantos4129

    3 жыл бұрын

    @@femalehobbitwithhairyfeet hakuna infection kwetu only malaria

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman93344 жыл бұрын

    Nimefarijika mno na nimepata chakula cha nafsi kwa hotuba hii..sina zawadi ya kukupa Rais wetu zaidi ya kukuombea Allah akupe afya njema na umri mrefu wenye kheri..Ameen

  • @mwashibenard2280
    @mwashibenard22804 жыл бұрын

    Elizabeth Fenesi +ve, asilimia 100 zana za upimaji ni kutoka nje. Covid-19 ni vita ya kiuchumi, hawa wazungu wanatuchezea. Nakukubali Sana Uncle Magu.

  • @monicahovda5890

    @monicahovda5890

    4 жыл бұрын

    Sio kila kitu wazungu, wazungu hawatengenezi hivi vipimo. Hata hao wazungu walikuwa wanaletewa toka china, hapo wahusika wachina, ndio mara vipimo, mara barakoa hivi mara vile na Mchina sio Mzungu, hata haya ya barakoa za kutoka china wazungu nao yamewakuta kwa taarifa

  • @getruderamos900
    @getruderamos9004 жыл бұрын

    Mungu anajibu maombi kwa njia mbalimbali🙏

  • @jumaothman9449
    @jumaothman94494 жыл бұрын

    Ww ni Dr. Magufuli by professional (Chemistry scientist). Raisi wetu endelea mzee kuiyongoza Tanzania. Ww ni zaidi ya Maraisi waliopita Tanzania. Full Respect

  • @angorajtv948
    @angorajtv9484 жыл бұрын

    Yani sikupanga kupiga kura mwaka huu lakini wallahi wabillahi nitapiga kura hata ikiwaje.. Magufuri sio jembe bali ni Skaveta

  • @mioboy7412

    @mioboy7412

    4 жыл бұрын

    😂😂😂 nyau wew

  • @yonamdegela4188

    @yonamdegela4188

    4 жыл бұрын

    Tuko pamoja lazma tupge kura

  • @allenmagafu608

    @allenmagafu608

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @elimika8892
    @elimika88924 жыл бұрын

    Wewe ni rais wa dunia MUNGU akupe hekima daima Jamani hofu inauwa tusiamini hivyo vyombo vinavyotujaza hofu. Tupige kaziii

  • @modestermagonela1042

    @modestermagonela1042

    4 жыл бұрын

    Hofu zote zilizopo kwenye mioyo yetu zishindwe kwa jina la yesu amina

  • @mwanaisha522

    @mwanaisha522

    4 жыл бұрын

    @@ukweli255 kias apanic maana upotoshaji umekuwa mwingi na ulipaji mishahara Ni wajibu ila kwa kipind hichi Cha corona wengi walidhan Tanzania itashindwa kujiendesha kwa uchum kuporomoka

  • @saidahmed5643

    @saidahmed5643

    4 жыл бұрын

    @@ukweli255 wewe umeitizama hotuba hii vizuri au ndo wale wanaokurupuka tuu kutaka kumponda mtu.raisi hajapanic yuko vizuri, anazungumza kwa kunimini na hajabanaika kamwe yuko kawaida tuu.labda umepanic wewe

  • @ramakassimu7733

    @ramakassimu7733

    4 жыл бұрын

    @@ukweli255 nenda wewe kawe raisi basi

  • @abdulshakur8425

    @abdulshakur8425

    4 жыл бұрын

    @@mwanaisha522 kweli kabisaa

  • @karanidicky4489
    @karanidicky44894 жыл бұрын

    Yani hapo kwa viongozi wa dini kukosa mwelekeo..kwa kumsahau Mungu,umegonga ndipo Mhe..kutoka 🇰🇪

  • @josephsirikwa200

    @josephsirikwa200

    4 жыл бұрын

    Mh! Hakuna tena kina Yusuphu au Eliya wa zamani wa kusema kumtii Mungu ni bora kuliko mwanadamu

  • @allysaidy443
    @allysaidy4434 жыл бұрын

    Alie sikia sampu ya ukuta gonga like hapa ♡

  • @kessysugutha5774

    @kessysugutha5774

    4 жыл бұрын

    Noma sana huyu babaaa

  • @mkemia_magege5816

    @mkemia_magege5816

    3 жыл бұрын

    Sio Sampu ndugu.

  • @deborahlastborn1452
    @deborahlastborn14524 жыл бұрын

    Am kenyan and to be sincere mungu amewarehemea raisi wa kimungu na mwenye hekima kikamilifu..,..God bless u JPM

  • @hekimahalisi6115

    @hekimahalisi6115

    4 жыл бұрын

    Deborah Lastborn thanks , most of us see the same . Anamtanguliza Mungu mbele Kwenye kila kitu na anatetea wanyonge peace be with him always. I am a 28 year old and he is the first president I voted for in my country. So far he is doing so well 🙏 humbled

  • @ahamadimnaleke513
    @ahamadimnaleke5134 жыл бұрын

    Ahsante baba, huyu ndiye kiongozi! MSIMAMO DAIMA!

  • @rachelmongi4222

    @rachelmongi4222

    4 жыл бұрын

    Asante baba,Mungu akutunzena hofu ya Mungu izidi ndani yako

  • @jtheophil5499
    @jtheophil54994 жыл бұрын

    Rais wangu ni mfano wa kuigwa sana,anajiamini,ni muelewa sana uyu baba.asante rais magufuli.Nakupenda jamani ni zaidi ya Rais .alishushwa kutoka mbinguni.

  • @alleteeaeum5583

    @alleteeaeum5583

    4 жыл бұрын

    Akanganyila Theophil mheshimiwa mungu akuongoze zaid na zaid

  • @jtheophil5499

    @jtheophil5499

    4 жыл бұрын

    @@alleteeaeum5583 Amina amina

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid55934 жыл бұрын

    How I wish you were my president.... May Allah give u more wisdom

  • @gamc773

    @gamc773

    3 жыл бұрын

    🙏

  • @mwaghaelias6946
    @mwaghaelias69464 жыл бұрын

    Allah akulinde kwa kila baya sisi sote kwa kila husda Amin

  • @violetliani5308
    @violetliani53084 жыл бұрын

    Ahsante sana mungu akulinde. Tuna shukuru na msimamo wako. Wazungu hawa tutakii mema. Tuko na wewe raisi wetu. Asante sana.

  • @mohammedmohammed9050
    @mohammedmohammed90504 жыл бұрын

    Mheshimiwa Rais wewe unasifa ya kuitwa Rais, sbb unafatilia na unajua kazi,na unafahamu majukumu yako Mungu akulinde mzee wetu,nakuahidi na mara hii kura yng unayo mzee wng.

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda98924 жыл бұрын

    KWAHILI MHESHIMIWA RAIS UMEWAACHA MBALI SANA MAADUI ZAKO! INAONEKANA HAWAJAJUA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI UWEZO WAKO WA KUPAMBANA NA MATATIZO BORA LEO UMEWADHIHIRISHIA KUWA WEWE NI MPAMBANAJI USIECHOKA TEMBEA NAO TU MAMBURURA HAO WENYE AKILI ZA KUSHIKIWA

  • @boylondontztz920

    @boylondontztz920

    4 жыл бұрын

    Kabisaaaa

  • @berthamajaliwa5525

    @berthamajaliwa5525

    4 жыл бұрын

    Ahmad Masunda mungu wetu alisha mpa hekima na maarifa jinsi ya kuongoza tanzania tuzid kumwombea

  • @charlesmaganga379
    @charlesmaganga3794 жыл бұрын

    We don't need copy and pest in Tanzania big up my president

  • @marthamwasambili6708

    @marthamwasambili6708

    4 жыл бұрын

    Yes This is Tanzania

  • @SmartBrainTv2020

    @SmartBrainTv2020

    4 жыл бұрын

    NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY KZread CHANNEL, NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @hamisimohamed3741
    @hamisimohamed37414 жыл бұрын

    Dah huyu Mh Magufuli kwel katumwa na mungu duuuuh mungu akulinde xana mhexhimiw wetu hakika ww ni mtu wa kuigwa unafichua mengi xana 🙏🙏

  • @gracesukwa1897
    @gracesukwa18974 жыл бұрын

    Mi Kwa leo sina mengi,MUNGU akujalie maisha marefu utuvushe salama,ameni.

  • @edwarddaniel3907

    @edwarddaniel3907

    4 жыл бұрын

    H

  • @emmanuelsangizo8046

    @emmanuelsangizo8046

    4 жыл бұрын

    Heshima kwako tinga tinga

  • @abdulshakur8425

    @abdulshakur8425

    4 жыл бұрын

    @@emmanuelsangizo8046 tinga tinga

  • @ttv9049
    @ttv90494 жыл бұрын

    Kwa kweli hatukukosea tuliompa kura huyu jembe letu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tuipendee nchi yetu ......Kama asingelikua BWANA Israeli na aseme Sasa......MUNGU WETU ATATUSAIDIA MAANA YEYE NDIO AWEZAE KULISIMAMISHA TAUNI

  • @yonamdegela4188

    @yonamdegela4188

    4 жыл бұрын

    Thobias Daniely akika

  • @alawialawi6006

    @alawialawi6006

    4 жыл бұрын

    Hongera rais

  • @paulineleah651
    @paulineleah6514 жыл бұрын

    This is a true leader a man who doesnt believe in everything he sees or receives .God bless him

  • @hamadkombo9999

    @hamadkombo9999

    4 жыл бұрын

    Mkono wangu nasafisha tusalimiane kwa heshima zote ndio tamaduni yetu tusipotoshwe Tanzania yetu

  • @nellymakunzo4432

    @nellymakunzo4432

    4 жыл бұрын

    Chamuhimuuuu kuchukuaa tahadhar kabraa ya hatar nduguu zanguu

  • @stelaseifu1415
    @stelaseifu14154 жыл бұрын

    Nimekusoma mzee maana tukiogopa kweli, tunayosikia watu wanakufa wengi na kuzikwa ucku. Ahsante kwa ufafanuzi wako. Mungu akutunze. Nimekusoma sana kwa nguvu kubwa.Amen.

  • @chainassnga1840
    @chainassnga18404 жыл бұрын

    Huyu mtu achaneni nae sio wa mchezomchezo anaongea vitu vya msingi usipime

  • @hekimasafisanababaeliya8245

    @hekimasafisanababaeliya8245

    4 жыл бұрын

    Chaina

  • @alyamour4516

    @alyamour4516

    4 жыл бұрын

    ahsant baba we u ajua hakuna rais kama ww mjomba kura zote zakwako mjomba

  • @paulsimon9871
    @paulsimon98714 жыл бұрын

    Waambie na BBC na VOA waache umbea kila siku wanaisema Africa kwa mabaya tu Salumu Kikeke na watangazaji wenzake wanaboa Sana utazani sio waafrica

  • @dennischeyo1302

    @dennischeyo1302

    4 жыл бұрын

    Wanatumiwa tu wale

  • @nazakiandiko5485

    @nazakiandiko5485

    4 жыл бұрын

    Umeona eeeh ananikera sana hasa huyu kikeke

  • @witnnesheke2246

    @witnnesheke2246

    3 жыл бұрын

    Mimi mwenyewe kikeke simpendi kama nn nahis anatumiwa mana anapenda sana kuiponda serikali ya magufuli utafikili yeye sio mbongo m simpendi km nn

  • @annasamwel6501
    @annasamwel65014 жыл бұрын

    Nakuelewa sana rais wangu wewe ni mtumishi uliyeteuliwa na Mungu mwenyewe kwa kazi ya kulitetea taifa lake ubarikiwe sana Baba Mungu azidi kukupa ujasiri daima

  • @devidmwalu7961
    @devidmwalu79614 жыл бұрын

    Hii ndio speech sasa this is what we need Hon kweli wewe ni daktr kila kitu kina evidence ahsante mheshimiwa

  • @shukuruazizi6878

    @shukuruazizi6878

    4 жыл бұрын

    Safi

  • @saidmwinyi1843

    @saidmwinyi1843

    4 жыл бұрын

    muda ndio utakao ongea.

  • @abdulshakur8425

    @abdulshakur8425

    4 жыл бұрын

    @@shukuruazizi6878 safi sana

  • @zephaniasamio797
    @zephaniasamio7974 жыл бұрын

    Kwa kweli full respect president JPM ,SUCH A DIFFERENT CREATURE MADE IN AFRICA

  • @augustinopanga9622

    @augustinopanga9622

    4 жыл бұрын

    Kweli Wewe ni jiwe letu

  • @hassanmohamadi3775

    @hassanmohamadi3775

    4 жыл бұрын

    💪

  • @simonkasya6500

    @simonkasya6500

    4 жыл бұрын

    Kweli hiki nichuma kwelikweli, such a different creature born in Africa

  • @leviszakayo2574

    @leviszakayo2574

    4 жыл бұрын

    Daaa Rais wetu umetuweka wazi Mungu atulinde

  • @mudyaly7455

    @mudyaly7455

    4 жыл бұрын

    Ila mm sjapenda huyo wazir wko uliemteuwa kipindi cha nyuma ulimfukuza kazi leo unamrejesha endelee kuiba fedha za walipa kodi tutashinda unatuondolea iman zetu kwako sasa tunakuomba wasomi ni wengi wa hio nafas hatumuitaji tunahitaji mtu msafi km ww rais wng

  • @maryamweston1595
    @maryamweston15954 жыл бұрын

    BABA,KWANI HAIWEZEKANI WEWE UWE RAIS WA DUNIA NZIMA?

  • @luanamwambigija5266
    @luanamwambigija52664 жыл бұрын

    The best President 🔥 sio lazima Kila kitu lazima U copy na ku Pest, hapo nmekuelewa Baba

  • @lucasroswe6544
    @lucasroswe65444 жыл бұрын

    Natamani kuwa na msimamo kama raisi huyuu! yani mungu akulinde raisi

  • @mjukuuwamfalmetz3367
    @mjukuuwamfalmetz33674 жыл бұрын

    Raisi wetu JPM wew n Big brain intelligent Man Mungu akupe hekima zaidi How comes papai na fenesi ziwe +be🐱

  • @Mkrist
    @Mkrist4 жыл бұрын

    This guy is amazing! May God bless you more and more.

  • @amigodossantos4129

    @amigodossantos4129

    3 жыл бұрын

    I wish South Africa could get leader like him, the are still fighting everyday

  • @elishasemhomba324
    @elishasemhomba3244 жыл бұрын

    Huu ndiyo ukweli mwanasayansi lazima utaishi kisayansi.safi sana.

  • @alikarisa
    @alikarisa4 жыл бұрын

    Subhana Allah Africa mpaka lini tutanunuliwa kufanya ya ovyo?

  • @allyjoely5366

    @allyjoely5366

    4 жыл бұрын

    You re diferent presedent in the word

  • @allyjoely5366

    @allyjoely5366

    4 жыл бұрын

    The best speach wich i hav never hear in my life

  • @jamilasaid2718

    @jamilasaid2718

    4 жыл бұрын

    wewe ndo raisi wa kweli mwenye mapenzi na raia wake

  • @halimasaidi2915

    @halimasaidi2915

    4 жыл бұрын

    Safi

  • @SmartBrainTv2020

    @SmartBrainTv2020

    4 жыл бұрын

    NAKUOMBA U SUBSCRIBE MY KZread CHANNEL, NATANGULIZA SHUKRANI TELE,.

  • @bahatisaid5075
    @bahatisaid50754 жыл бұрын

    Alhamdulilah masha Allah raisi wetu tunakupenda sana wewe baba Allah akupe umri mrefu wenye kheri nawe

  • @gimbuyasifungo6598

    @gimbuyasifungo6598

    4 жыл бұрын

    Fanya kazi, elimisha jamii na wewe ndiyo raisi wa kweli.

  • @abdulshakur8425

    @abdulshakur8425

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @gilbertidi9682
    @gilbertidi96824 жыл бұрын

    Hakuna kama Magufuli, uku marekani baadhi ya kampuni hazilipi wafanyakazi wao.

  • @na0m1fes51
    @na0m1fes513 жыл бұрын

    *Shujaa wa Africa 🌍🙏* *hii speech ilikuwa ni Nzuri sanaa*

  • @omarmsusa1263
    @omarmsusa12634 жыл бұрын

    Baba umenena true. Allah akujaalie afya na uzima.

  • @mrisholinso51

    @mrisholinso51

    4 жыл бұрын

    Hongera mkuu uko makini san kwenye taifa lako

  • @abeidiibrahimu6142
    @abeidiibrahimu61424 жыл бұрын

    Magufuli rais wangu, Mungu akulinde sana, ailinde Tz na watu wake. Hakika wewe ni mzalendo wa kweli wa nchi hii.

  • @kulimaomari8468
    @kulimaomari84684 жыл бұрын

    Tunao mkubal magufuli weka like hapa

  • @lennyalega1559
    @lennyalega15594 жыл бұрын

    Magufuli is an indomitable and indefatigable leader that will ever be. I'm following him here from Kenya. You are worthy emulating your Excellency Sir.

  • @victorgaspar4400
    @victorgaspar44004 жыл бұрын

    Mbatia safari hii lazima atoboe

  • @hassanhasan9807
    @hassanhasan98074 жыл бұрын

    Sawa sawa sawa. Hofu tuishinde. Eti hakuna kwenda msikitin hakuna kwenda kanisani MASHEKHA Na MAPADRI sijui WÀNAFELI WAPI. COLLANA INAWATOA IMANI

  • @josephsirikwa200

    @josephsirikwa200

    4 жыл бұрын

    Kwa kweli tufunguliwe vipindi vyetu tuendelee kumuomba huyu Mungu aliyempa Magufuli hekima kama za Sulemani

  • @everlastingmessage7663

    @everlastingmessage7663

    4 жыл бұрын

    Si wakt wa kuogop kbsa,smtme tunahofu hata tunachoomba kwa mungu..tumefunga sku tatu tanzania ,je hamuoni majbu yanaptkan

  • @apostolmikasharoni3281

    @apostolmikasharoni3281

    4 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana baba

  • @ashoramwanja3131

    @ashoramwanja3131

    4 жыл бұрын

    Hahaa ati mbona papai halijafaa linaendelea kuiva

  • @krisongalax6278
    @krisongalax62784 жыл бұрын

    Today I give you a title King of AFRICA

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward56054 жыл бұрын

    This gonna trend all over the world 🌍!!! Leo nimemuelewa sana President wetu 🤗🤗❤️❤️ we love youuuuuu stay strong

  • @joeliyamakili5051
    @joeliyamakili50514 жыл бұрын

    Nampenda sana Raisi wangu hakika ametumwa na Mungu

  • @allymbilo878

    @allymbilo878

    4 жыл бұрын

    Baba ukovizulisana

  • @fredykyando9108

    @fredykyando9108

    4 жыл бұрын

    Asante ujumbe upo mahali pake haswa

  • @mwashibenard2280
    @mwashibenard22804 жыл бұрын

    Wangapi wamemuelewa Rais Magufuli kuhusu kutumiwa na "MABEBERU"?

  • @ibrahimallymohd3645

    @ibrahimallymohd3645

    4 жыл бұрын

    This disease I think imetengezwa .na mabeberu wanatumia kujiendeleza

  • @apostlebenmwangi5147

    @apostlebenmwangi5147

    4 жыл бұрын

    Nimempeda kwa kutia watu nguvu

  • @zamtaa9001

    @zamtaa9001

    4 жыл бұрын

    Nakukubali saana mheshimiwa Rais

  • @dianauronu6620

    @dianauronu6620

    4 жыл бұрын

    Nimemuelewa,aisee,

  • @hanifamnyau5639

    @hanifamnyau5639

    4 жыл бұрын

    Umeonae

  • @rishmaedward8334
    @rishmaedward83344 жыл бұрын

    Namshukuru MUNGU BABA kwakutupa RAIS mwenye ufaham na Hekima we love you so much our Dady

  • @nuhunjawike4808
    @nuhunjawike48084 жыл бұрын

    Strong points Strong leadership Strong self standing Keep on saving yo people Mr. president, God is with Us 👏👏

  • @fadraj6899
    @fadraj68994 жыл бұрын

    uishi miaka mingi magufulii kiongozi mwenye ique zakoo

  • @johmyinga691

    @johmyinga691

    4 жыл бұрын

    Shortsighted

  • @nassorbale5343

    @nassorbale5343

    4 жыл бұрын

    Hakuna korona tanzania

  • @manoniyohana7415
    @manoniyohana74154 жыл бұрын

    Ur a real scientist JPM am proud of being Tanzanian under leadership of you

  • @samalimbise7104

    @samalimbise7104

    4 жыл бұрын

    Drew rd

  • @queenwinnie256

    @queenwinnie256

    4 жыл бұрын

    Same my dear

  • @mathewtwimanye92

    @mathewtwimanye92

    4 жыл бұрын

    Good Speech kamanda na mpiganaji hodari hapaswi kumuogopa adui hata kama ananguvu kiasi gani, he is the second nyerere. Wale mliokuwepo kipindi cha vita vya Uganda nyerere alisimama kwa ujasiri na aliwatia moyo askari na watanzania kuwa tunakwenda vitani na tutashinda sio unakua kiongozi unalialia tu sasa unaowaongoza watafanya ? Big up mzee jpm

  • @peterlukuba5857

    @peterlukuba5857

    4 жыл бұрын

    💪👏👏👏

  • @hanafimtenjela6008

    @hanafimtenjela6008

    4 жыл бұрын

    JPM mm pekeangu ninakuelewa sana mungu akuzidishie umli mrefu

  • @kyungnenoch5320
    @kyungnenoch53204 жыл бұрын

    Be blessed man of God. Be careful to go on. We need to believe in Jesus name.

  • @abdumapande7011
    @abdumapande70114 жыл бұрын

    Respect for our President Doctor John Pombe Magufuli.

  • @stanleymathias4432
    @stanleymathias44324 жыл бұрын

    Usalama wa taifa mnastahili sifa kwa maelezo hayo

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu67804 жыл бұрын

    Jembe,Jembe,,Jembe,VIVA MAGUFULI,VIVAAA nakukubali saana Jembe langu.

  • @wajll501

    @wajll501

    4 жыл бұрын

    Hongela sna baba

  • @peterlukuba5857

    @peterlukuba5857

    4 жыл бұрын

    Hanaga masihaala kwenye maswàla ya vitaa💪 JPM huyu ndo mwanasayansi kila kitu lazma kifanyiwe utafiti tena waki-interagency Rais gan mwingine alifikilia kuchunguza hvo vipimo?👏👏👏👏 Rais wetu Mungu azidi kukupa afya

  • @angorajtv948

    @angorajtv948

    4 жыл бұрын

    Ni scaveta huyo sio jembe

  • @bimukhamis2011
    @bimukhamis20114 жыл бұрын

    Maasha allah m/mungu akubarik rais wa wanyonge katika marais kumi 10 wasomi africa mh magufuli namba moja 1 africa phd anae bisha aseme

  • @caristomwango937
    @caristomwango9374 жыл бұрын

    Mkuu nimenyosha mikono wewe jembe kweli kweli.nilikuonea kutofunga miji kama dar namakanisa sasa umenijibu vikali.Thumbs up!!👍👍👍

  • @alikarisa
    @alikarisa4 жыл бұрын

    Kenya Uhuru Kenyatta. Upoo? Waona Yale watu wa kemsa wanafanya?

  • @sylviaecke1772

    @sylviaecke1772

    4 жыл бұрын

    Corona Kills Not a joke

  • @Bitlontravels555

    @Bitlontravels555

    4 жыл бұрын

    Uhuru ni kibaraka cha wabeberu tu

  • @josephmureithi7930

    @josephmureithi7930

    4 жыл бұрын

    Wrong approach.?Are deaths faked in Italy,Spain, USA,and others.. Magufuli should be careful

  • @marionobumba4711

    @marionobumba4711

    4 жыл бұрын

    @@josephmureithi7930 funny you just gave examples from outside, give example from Africa dude!

  • @zaynabnyamsingwa3830

    @zaynabnyamsingwa3830

    4 жыл бұрын

    @@josephmureithi7930 do you know how many people died everyday in those countries before corona came!? Where is the numbers of those deaths now!?arent people dying over other cases rather than corona nowadays!?

  • @charleslyuki8568
    @charleslyuki85684 жыл бұрын

    Wewe umetumwa na Mungu kuikomboa Tanzania kutoka kwenye lindi la umasikini wa Kunuka.

  • @ramasemagoto7132
    @ramasemagoto71324 жыл бұрын

    mangufuli Rais wetu oyeee naaamin Tanzania tumepata kiongozi wahaki kama ama mengine mm sijui ila mm namuona yuko sawa kabsaaa mungu akulinde daima AMINA

  • @joycedanda9483
    @joycedanda94834 жыл бұрын

    Nakupenda bure rais wangu Mungu akulinde wew na family yako endelea na msimamo huo

  • @pathfinder144
    @pathfinder1444 жыл бұрын

    Wote wenye akili tunakutakia mema na tunakuelewa. May God be with you till the end.

  • @alisalim4527

    @alisalim4527

    4 жыл бұрын

    Mungu akubariki na ww raisi magufuli ila naomba mpira turuhusiwe leyo kesho kingozi gonga laik hapa

  • @husseinsadiki65
    @husseinsadiki654 жыл бұрын

    Mzee raisi wewe unaweza uongozi pia atautawala hongera nipo pamoja nawewe unayosema

  • @najatmngazija1547
    @najatmngazija15474 жыл бұрын

    Kweli wewe ndio RAIS wetu mkombozi wetu, Asante baba🙏barikiwa sana uishi miaka mingi yenye baraka na aman🤲💕JOHN POMBE MAGUFULI💕🔥🔥🔥🔥

  • @augustinokahinda3939

    @augustinokahinda3939

    Жыл бұрын

    dah Ridi tena uisome comment yako

  • @jacksonmusicleonard6673
    @jacksonmusicleonard66734 жыл бұрын

    This has been choseen by God Tanzania we have a good prisedent my God bless you JPM

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi59434 жыл бұрын

    Wambie maana kuna wakuu wa mikoa wanajifanya wana madaraka kuzidi rais.

  • @sammotv6920
    @sammotv69204 жыл бұрын

    Wangapi tunamkubali mbatiaa

  • @despnawilliam2889

    @despnawilliam2889

    4 жыл бұрын

    Asante baba Mungu azd kukuinua watanzania twakuombea

  • @gracebaseka8615

    @gracebaseka8615

    4 жыл бұрын

    big up baba yetu mpendwaaa

  • @hamisimussa2228

    @hamisimussa2228

    4 жыл бұрын

    Nani wa kumkataa

  • @humpertznickerz7597
    @humpertznickerz75974 жыл бұрын

    Kwakwel tunaye genius mtetez wetu kama unamkubal gonga like kama zootee na comment

  • @bilhahmokandu2854
    @bilhahmokandu28544 жыл бұрын

    This should have been my president, am watching this today, his thoughts match mine,his speech from corona is there lets take precautions, the cooked numbers we are getting of the mentioned victims, living in a world with other diseases such as cancer only for us to live in fear of the unknown, worshipers loosing faith and the list goes on. Exact talk I have with colleagues and friends. How now, am not a scientist but lets see how this goes..stay safe everyone

  • @hamadkombo9999

    @hamadkombo9999

    4 жыл бұрын

    Udumu mueshimiwa wwe mungu kakuteuwa endelea kutuongoza yaani mpaka uchoke tuko pamoja na wewe tanzania oyeeee Magufuli poa

  • @pakajummakan4945

    @pakajummakan4945

    4 жыл бұрын

    Hi

  • @monicamasandika8633
    @monicamasandika86334 жыл бұрын

    Hakika Mungu alikuteuwa ! Wewe ni zaidi ya Musa 🙏❤ nakupenda Raisi wangu hakika wewe ni Baba wa watanzania 🙌🙌🙌

Келесі