Nikki MBISHI ANACHANA kwenye BEAT ya GODZILLAH, BILL NASS na FID Q -
Ойын-сауық
Hii ni Studio Session LIVE Redioni na Nikki Mbishi akichana kwenye Beats za Godzillah, Bill Nass, Ngwair, na Fid Q! Utapenda
Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com
Пікірлер: 192
Still listening this in 2024 ur the best nick
Nomaaaaa sanaaa unjuuu like kama zote kama unamkubali unju bin unukii
"Wazee wa nusunusu wamebaki nusu lita 😁 "nikk mbishi one of the best mcee
Nikki is geneous all the time Wanangu tuka..nunue album
@richlaterjunior384
5 жыл бұрын
Genius
@sidemlulu3101
5 жыл бұрын
@@richlaterjunior384 aseeeeee
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
Tuendelee kum support kwenye account zake za youtobe
Wamevamia kwetu kibwege/ Sasa wanalia yesu nibebe.........
Mdogowangu wewe ni mkali mpaka umepitiliza. Ni hatari sana aisee. Brother wako hapa Dulla Japeing hapa from UK Mombasa
Niki (mbisi) kama umegungua kachapia lilyommy gonga like hapa😂😂😂
hili jamaa ni li genious respect sanaaa
Cicikilizi najua ameua unju the most Underrated
Unjuu!!!!👏
Huyu jamaa unajua sana hafu anaboa sema madharau kinoma
Dr. UNJUH. THE GENIUS MBISHI WA DUNIA NGUMU MILELE #BLACK_SOUL
Napenda pale mnapo kua mkiumiza vichwa ili kutuletea vionjo vilivyo kua vizuri
@machedafredy62
4 жыл бұрын
Essi Mkweli 8 olloo009io0000oo9099oo77
Lilommy nipo title ya ngoma ambayo ulikuwa unapiga back vocals
Baba Malcolm hii kwa ajili ya ngwair sana unjuuuu
madem wanapenda mashine 😄 za ATM Mapenzi ni kutiana😄MOYO
"Ningekuwa mwenye biti ningefanya hivi" what an insult!!😂😂😂
Watching it on 2024 tujuane #tellaaxistz
So relaxed... Wow...
best in Tz kama vp baba malcom fundi..the best Mc kulingana na opinion yangu....
🔥🔥🔥
Nikki is genius.. Freestyler wa ukweli
Chiiiiiild!!! Jay Z has nothing on this kid!! He can *#RAAAAAAAAAAAPPPPPPP**!!!!!*
Good boy......
Real legend nikki mbishi kwenye studio akifanya kama tunavyo fanyaga kama hamujui njoo darasani tutawafundisha waskia wewe p mawengee tutafute malegend kiyai best na nikki mbishi tukufundishe game
Braza n kwere,, respect
kusema kweli haki ya mungu humuezi godzilla!
big up
From kenya##respek
amina ma men niga mbishiii nakukubalikikumaaaa
Nikk Mbishii he is the illest emcee in east africa kuna fala anaebisha???
@sehemunzuri
5 жыл бұрын
sibishi kudadeki..
We jamaaaaa weweee kha!!!nimechelewa kuiona hiii baba wewee ni nyoko👏
dude is genius
Legend ✊🏿
Huyu mwamba yuko matawi ya juu ni fire
Unyama ni mwing sana mablood zangu
Unju bin unuki the master mind of the beat anazitongoza beat anapiga nazo story anazipa ahadi kisha anakutana nazo na kutanya zinaa nazo na kuzipa mimba ya mistari
Respect Og🦍🦅💫💫💫💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣
Jamaa anajua sana sema ndio vile amelewa kipaji chake ..!! Ila akiwa serious anaweza fika mbali kuliko
Niki mbishi ndo freestyle master kwa sasa baada ya Godzillah
@Brama_A37
Жыл бұрын
Alikuwa best even time zilla akiwepo
Best FreeStylist
The most UNDERATED MC of all,f**k the INDUSTRY
GENIUS🙌
Mle kwenye real hip-hop mzee
*Kama unamkubali Nikki mbishi gonga like*
Unjuuuuuuuuuuuu u kill it
Home boy, Tarime kwa machuche
Wa 1 leo
Hahah huyu jamaa hakuna wa kumuweza kweny freestyle
@Mad1netv
5 жыл бұрын
Tumlack Mwaitumule so freestyle hiyo
@mdashomwamba679
5 жыл бұрын
Ah! Sio kwa fid q
@kefasonmahenga2917
5 жыл бұрын
Cyo freestyle hiyo anarudia mistar yake
tisha sana we mzee
Nakukubali sana Nikki mbishi
Mfalme Nikki👊
MBUZI njoo uone jinsi beat huwa zinafanywa na magenius
genuine MC
Malove wa hip hop mahaba niuwe mauwa sama @nikki mbishi 😎
Mastaa tunangaa the way tunavyo vaa ili kuvicha njaa ila tunapo kaa noumaaa
Thats true meaning of freestyle✌
@ebbyramadhani
5 жыл бұрын
Ame freestyle kidogo Mashair mengi yapo kwenye nyimbo alizoimba..
@milimomashini9432
5 жыл бұрын
Hyo mistar katika album
@leolaswai5784
5 жыл бұрын
no freestyle hiyo, but somewhat creative... freestyle is zilla
Nimerudi tena 2020
Underground mkongwe wananuita Nikki kidime😁😁👑
Nikki is genius
Nakubali sana baba malcom Nikki mbishi
Huyu mshikaji ana akili nyingi sana na ndio mana sometime anakuwa Snitch.. hapati anachostahili.
Like chindooo
Nikki anajua saaaan an
Kuna mbuzi huko kashndwa freestyle
noma sana
Bro anajua knmaaaaaaaaaaaaaaaaa
Show kalo sana
Nikki Mbishi A.k.A #Terabyte A.k.A #Jukebox NIMEKUBALI
Noma sana hip hop itaendelea kuwa
Nikki mbishi ntafuata nyayo zako mpaka nazikwa
Nikki mbishi album inatuhus jombii
Anasema naliamsha dude hamnipi fiesta mnamuangusha ruge
Big up
🎉🎉❤
Nikki Mbishi mtu mbaya sana
Huyu jamaa mbishi sana ....
❤
Oyi albamu znauzwa wapi Mr unju
Hivi kwanini huyu jamaa hayuko juu licha ya uwezo mkubwa alionao kwenye hip hop kuliko wote even wakongwe za kina prof j ,anachana vizuri anaandika vizuri
@c-onerapper2078
5 жыл бұрын
Haji Mnubi Nikki anafanya music kwa ajili ya mashabiki pia anafanyia kipaji na hafanyi biashara ya muziki ndo mana unamuona hayuko juu chek fid q anachofanya ila yupo juu tofaut na nikki nadhan umenielewa
@mugadimon3563
5 жыл бұрын
Huyu jamaa wanamkataa hadharani ila kwenye magheto yao wana nakala zake Pia unafk wa vyombo vyetu vya habari kutuaminisha mtu Fulani mkali afu Wakiwa gheto wanacd za wale wanaowakataa hadharani
Hio beat ya pili iyo ngoma inaitwaje plz
#10✌️
2020
🔥🔥🔥🔥
sanaaaa ART
Konkiii konkiiiii master....
Wayaaa
Noma sana nikki
Siku ya kiama usimsahau babu tale
Tunakuja kununuwa album
🙌🏼🙌🏼🙌🏼.
mbishi 🙌
We kweli ni TB
Unju real mc
#noma mamen
Hatari
real MC alive in TZ
@bonymartin1877
5 жыл бұрын
safe Sana broo
Nic
Anajua sana
Unjuuu