🤣😂😁 Utupu Mbaya ndomana tunaulemba kwa mavazi😀 hahaha We Songa wewe Mtu Danger sana
@furahamwaisemba65323 жыл бұрын
Kama tupo pamoja na bado tunakubari hiphop dis 2021 dondosha likes zakutosha....
@Joseph-yd1hd
Жыл бұрын
Sana wakali mpo poa saaaaaaaaa
@africanexplorermagazine6 жыл бұрын
Salute from Nairobi, Kenya... hata watuwekee boarder tuko pamoja!
@lunyatheprodigy11 жыл бұрын
Kiukweli naweza nikasema hawa jamaa ndo hip hop ynyw! Gwara kwao
@pharergyramson59187 жыл бұрын
Huyu one si mtu mzur kabisa
@shomzeiya11 жыл бұрын
Duuuh! Awa jamaaa noma kama kweli umewasoma
@mohdyussah8255 жыл бұрын
From UAE Really swahili Hip hop Sweet language Damn Mshikaki wenye mfumpa hahaha Songa noma.
@marcelojunr68495 жыл бұрын
demu wako ana njia safi ila ogopa kwenda peku 😂😂
@djhdscratchmaster41103 жыл бұрын
Songa hajawahi niachaga salama,daaaah🙌🙌🙌one mchawi wa tungo huyu
@allysalehe75495 жыл бұрын
Mi ndo mzawa ninae haha kuhama kwetu....... Shida tupu hawa jamaa sema wapo kimya san
@adamalibhai4921 Жыл бұрын
Duke anajua kushona beat 🔥🔥
@ARUSHA_NAILS6 жыл бұрын
je mmekosa vyakuuza hadi mnajiuza nyinyi🔥🔥🔥🔥🔥🔥 #Songa noma sanaaa
@muksinchingonikaya25845 жыл бұрын
Moko sawasawa,.. Hawa ndio wakali wangu wa hiphop misimu yote....... Naamini tutatoboa tu. Tuombe Mungu, japo tunabaniwa sana hiphop
@eddnho111 жыл бұрын
Demu wako ana njia safi ila ogopa kwenda peku
@dkensmopainvevo36835 жыл бұрын
Mwanangu usishangae ufisadi haki hailipi💪💪💪💪💪💪💯the ilmatix
@reelTok10 жыл бұрын
One the Incredible!! Respect My Boiii!!
@steamnature8 жыл бұрын
12:35 "Christopher naua kila mti, wananiita mti-killer (Mtikila)" Songa akitengeneza vina kwa kutumia jina la mwanasiasa Christopher Mtikila. sw.wikipedia.org/wiki/Christopher_Mtikila Christopher, naua (I kill) kila-Mti (kinyume cha jina Mti-kila); na "muuaji" kwa Kiingereza ni "killer"; hivyo basi ni sawa kusema anyeua mti, aitwe mti-killer (na hiyo ina-rhyme na jina la Mtikila). #sayansiyavina
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
Noma sana
@yahyatoure4993
2 жыл бұрын
❤️
@ShaqueeBlackrapper
2 жыл бұрын
I'M HERE 2022, HEBU NIKUMBUSHENI WADAU MSTARI WA SONGA UNAOSEMA "CHRISTOPHER NAUA KILA MTI WANANIITA MTI-KILLER" UNAPATIKANA KWENYE WIMBO GANI????
@phantyrhymes9536Ай бұрын
Noma sana...maemceee serious kama hawa wa epoch ya tamaduni...hawapo tena.
@Guccimoney-mr8rj2 ай бұрын
Nakubali wana mpo vizuri ##salut you ma G
@GeorgeAyo-kz4sq8 ай бұрын
Wanapo dai uchumi umeshuka hawamaanishi uchumi wao 🙌 one the incredible
@ShaqueeBlackrapper2 жыл бұрын
I'M HERE 2022, HEBU NIKUMBUSHENI WADAU MSTARI WA SONGA UNAOSEMA "CHRISTOPHER NAUA KILA MTI WANANIITA MTI-KILLER" UNAPATIKANA KWENYE WIMBO GANI????
@zahorojafar19267 жыл бұрын
Hakuna atayebisha kwamba Hik ndio Chuo kikuu cha Hip Hop.
@emanuelchristin7638
5 жыл бұрын
hakuna chuo hphp kama hiki big up brother
@eduardobabou30222 жыл бұрын
Yaani ngosha anatingisha kichwa tuu
@Im2pimpin8 жыл бұрын
feelin the mistari. this is my favorite video I watch this all the time. big ups wattup Tanzania
@joycepaul922
6 жыл бұрын
Im2pimpin kanuni yaharakati
@joycepaul922
6 жыл бұрын
Im2pimpin songa naoneninomaaaaaaa
@darscales24065 жыл бұрын
Hataukiwa na mbio vipi huwezi kiyakimbiaa matatizoooooooooooo. , Bado hali ni mbaya hakuna kann ya uchumi
@eckiller8 жыл бұрын
Jamaa salute kwenu, nakubali xana kaz zenu
@steamnature8 жыл бұрын
"Dunia DUARA, Songa mi nasikika kila KONA" - Songa "Wema ni wetu" - Songa "Dar nipo salama kama bandari" - Songa Najua wengi hawaelewi vina vya mashairi ya hawa wana, ila kuna sayansi kubwa sana kwenye tenzi zao. "Uwezo mkubwa sana wa kufikiri, kuandika, na ku-rhyme..."
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
👏👏👏
@farajarichard9182
3 жыл бұрын
Hatari mazee
@mohammedmkomi90876 жыл бұрын
SONGA HAFAI WEW HUYU NI MTU MBAYA WEWE
@josephelisha53235 жыл бұрын
Bring back this rap freestyle please
@azizikizito85198 жыл бұрын
Noma sana mpo juu
@iraisolomon59904 жыл бұрын
Niite songa, respect 🤘
@eddnho111 жыл бұрын
Wenye mchezo wao wanacheza kwako kwetu awafiki tisha Sana vichwa hivi
@dennismathias41667 жыл бұрын
"KIDUME UNAIGA UCHORESHWE KWA UJINGA JE UNAVAA SKINNY JEANS UNATAKA KUONYESHA FIGA" BAAAAAARS #GOTTALOVEHIPHOP
@farijiincredibleezekiel42117 жыл бұрын
aaah noma xana nawaelewa xana wakali hao big up xana
@mwiguluzabron1414 Жыл бұрын
Again2023 still watching
@barakakallinga99066 жыл бұрын
Illmatix mna tisha!!!!! Noma sana
@chibuboi33467 жыл бұрын
nawakubali ile mbaya songa one nikki mbish nash mc p the mc thetto big up sana kwenu lunduno mnatisha
@amanidzoro19526 жыл бұрын
March 2018.Salute guys.Nimetii
@petersimon21155 жыл бұрын
Chuo Kikuu cha Hip Hop
@MicalBahame8 жыл бұрын
crazy on iLLMATIX
@kombomvungi7302 ай бұрын
Mbona huu mziki umepotea siku hizi? Wakati unasisimua akili na mwili. Very great ability from illmatrix
@stanslauschatata34833 жыл бұрын
Sichoki kuiangalia hii epsode aisee! Kikosi kazi tamaduni music
@gacoyakori10 жыл бұрын
This is siiiick....lyricism
@isayahosea85958 жыл бұрын
hatar xana, wauni wanajua mpaka bas
@a.j99647 жыл бұрын
Utazunguka Sana kutafta mshkaki wenye mfupa... Dah songa bna hahahhhah
@flaniflani111 ай бұрын
Moko wa Miujiza n Songa u are so tyt n hot Bros, Amini kwamba. #HIPHOP 🇹🇿🇹🇿
@Nickbrown1277 жыл бұрын
Hawa vijana wa Tamaduni Music nawakubali sana wanavyoandika rhymes zao ngumu.
@jegekatv83847 ай бұрын
Full kikosi, full dose of course 💊 💊
@jacksonmathayo65105 жыл бұрын
Daaah hhhh ma Mc hawavutii Kama uchi wa mtoto nomaaaa
@kingsuleiman72013 жыл бұрын
Heshima kwa fid Q hip hop daima
@tracejeezy89176 жыл бұрын
still 🔥🔥🔥 2018
@charlesnyamaiyeria26644 жыл бұрын
Damn right you on fire coz I spit that flame 🔥🔥🔥🔥
@nomadlife_ink4 жыл бұрын
Illmatix balaaa.. Real hiphop nasalute all the way from the 254... Special salute to Baba Malkom na Fid
@erickezra4 жыл бұрын
Kama una ipenda hi hop dondosja like
@hassanmuna64494 жыл бұрын
Renzi aioni ukiwa na pesa utakabwa na wengi kooni kweli awa jamaa chuo cha Hop poh 🎤🎤🎵🎵🎶
@MrKaingu11 жыл бұрын
iLLmatix great as usual
@dankirunda33682 ай бұрын
Oyaaa iLikuwa noma sana
@GkvKenya5 жыл бұрын
Still Bumping To This In 2019
@stanslauschatata34832 жыл бұрын
Cheusi dawa bado tunaenjoy 21 may 2022
@bashitemakonda15407 жыл бұрын
Niite songa MC mwenye Afya ya mistati kkkkkkkk Nouma sana bro
@puritykhitieyi52383 жыл бұрын
Big respect will remain
@mussaadamhamisi245410 ай бұрын
2023 bdo ina sikika
@johnnkwabi73765 жыл бұрын
Hatari fire🔥🔥🔥🔥🔥
@Shukuru-e3e3 күн бұрын
Mwacheni madee apumzke😂😂😂😂😂😂😂
@zahorojafar19267 жыл бұрын
Songa & One Incredible kwel nimeamin Muna Afya ya Mistar
@erastomtima82605 жыл бұрын
nani anaangalia hii december 2018
@2bgbestmc3818 жыл бұрын
u made ma day illimatics saluute..
@hosearioner36373 жыл бұрын
Daaah...rap Noma sanaa..big up guys.🤜🤛
@eliamsopokingkola8906 жыл бұрын
zamani sana lakini sasa daaaah sijui mmepatwa na nini??? niiteSonga
@abbysimba37388 жыл бұрын
du kwa kwer hawa jamaa ni noma xana
@iggyiggy25565 жыл бұрын
Nawakubali sana nyiny
@Im2pimpin8 жыл бұрын
Oooooooooo fam I had to know know what is the beat at 15:05? these beats all around the video bump love the TZ flow! big ups
@chicauncover59305 жыл бұрын
Hawa ndo wakali wa izi kazi bhana
@mextraveller19462 ай бұрын
Here in 2024🔥
@sufiyanihassan309611 жыл бұрын
AWA JAMAAAA NI HIP HOP BONGO YANI NI BALAAAAAAAAAAAAAAA
@daniellaizer14084 жыл бұрын
Kwema broo.. hizi harakati zako zilikuwa za aina yake sana so far naomba kuuliza sanaa hii mbona uliamua kuicha kwa kitambo kirefu daaa kitaa olojia fanya jambo kaka urudi ulingoni kina illimatix tuliwaskia sana kupitia hichi kipindi chako Fid Q forever. big up!
@Joseph-yd1hd
Жыл бұрын
Sana
@muksinchingonikaya25845 жыл бұрын
Mara paaap soko la hiphop limerudi!!' Lunduno ndio watakuwa washikilia usukani,... Hawa ndo wabishi wanafanya wanachokiamini.. Wanauwezo wa kukunyea uku mwenyew umesimama hapahapa na pasipo kujijua,.. Ndo hiphop inayotakiwa akili nyijngii
@edsonndyetabula662110 жыл бұрын
Big up men!
@jonamomeri7366 Жыл бұрын
Love from Kenya ❤🔥
@ngoshaAlex-ru4de9 ай бұрын
Nice
@baxhyboy4 жыл бұрын
Noma sana
@musalugata76114 жыл бұрын
Rudisha hii show
@googleus49034 ай бұрын
2024 nipo nasikiliza mawe
@grantbaha34593 ай бұрын
My God😱🥶🥶🥶🥶🥶
@mohammedmshunga8234 жыл бұрын
One de incredible 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🤜🤛
@saidkikuji9958 Жыл бұрын
Hip hop ndio chakula chang
@charlesnyamaiyeria26644 жыл бұрын
Hata uwe na mbio vipi huwezi kuya kimbia matatizo my God this guys can spit
@rescoo89344 жыл бұрын
Songa 💯💯💯💯.. Uno bado hatariii... Dah 💯💯💯💯
@kareemjames205211 жыл бұрын
Tumia kisha weka akiba matatizo yatakukimbia
@winstonrwegalulila4683 Жыл бұрын
Kizazi cha 3 cha hip Hop ✍️
@Joseph-yd1hd
Жыл бұрын
wote sawa
@Joseph-yd1hd
Жыл бұрын
Aaaaaa
@kennedyarii92322 жыл бұрын
It's a another level guys
@solomonmiru58854 жыл бұрын
noma saana...maad skillz
@saudasaidy58002 жыл бұрын
Talented guys
@kingskoba71066 жыл бұрын
iko ppoa sana
@rashidbakarisaid69855 жыл бұрын
Songa bana Eti Mimi Kioo Cha Jamii dogo janja ni Kioo Cha madii
@heliudjulias77482 жыл бұрын
Hip hop niyenu miamba hakuna kamaninyi Africa..
@herymussa73347 жыл бұрын
da nawakunar xana Wang wa moyon karb rucu irng na mby nyumban
Пікірлер: 216
2024 bado naitazama na kusikiliza tungo,#salute
🤣😂😁 Utupu Mbaya ndomana tunaulemba kwa mavazi😀 hahaha We Songa wewe Mtu Danger sana
Kama tupo pamoja na bado tunakubari hiphop dis 2021 dondosha likes zakutosha....
@Joseph-yd1hd
Жыл бұрын
Sana wakali mpo poa saaaaaaaaa
Salute from Nairobi, Kenya... hata watuwekee boarder tuko pamoja!
Kiukweli naweza nikasema hawa jamaa ndo hip hop ynyw! Gwara kwao
Huyu one si mtu mzur kabisa
Duuuh! Awa jamaaa noma kama kweli umewasoma
From UAE Really swahili Hip hop Sweet language Damn Mshikaki wenye mfumpa hahaha Songa noma.
demu wako ana njia safi ila ogopa kwenda peku 😂😂
Songa hajawahi niachaga salama,daaaah🙌🙌🙌one mchawi wa tungo huyu
Mi ndo mzawa ninae haha kuhama kwetu....... Shida tupu hawa jamaa sema wapo kimya san
Duke anajua kushona beat 🔥🔥
je mmekosa vyakuuza hadi mnajiuza nyinyi🔥🔥🔥🔥🔥🔥 #Songa noma sanaaa
Moko sawasawa,.. Hawa ndio wakali wangu wa hiphop misimu yote....... Naamini tutatoboa tu. Tuombe Mungu, japo tunabaniwa sana hiphop
Demu wako ana njia safi ila ogopa kwenda peku
Mwanangu usishangae ufisadi haki hailipi💪💪💪💪💪💪💯the ilmatix
One the Incredible!! Respect My Boiii!!
12:35 "Christopher naua kila mti, wananiita mti-killer (Mtikila)" Songa akitengeneza vina kwa kutumia jina la mwanasiasa Christopher Mtikila. sw.wikipedia.org/wiki/Christopher_Mtikila Christopher, naua (I kill) kila-Mti (kinyume cha jina Mti-kila); na "muuaji" kwa Kiingereza ni "killer"; hivyo basi ni sawa kusema anyeua mti, aitwe mti-killer (na hiyo ina-rhyme na jina la Mtikila). #sayansiyavina
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
Noma sana
@yahyatoure4993
2 жыл бұрын
❤️
@ShaqueeBlackrapper
2 жыл бұрын
I'M HERE 2022, HEBU NIKUMBUSHENI WADAU MSTARI WA SONGA UNAOSEMA "CHRISTOPHER NAUA KILA MTI WANANIITA MTI-KILLER" UNAPATIKANA KWENYE WIMBO GANI????
Noma sana...maemceee serious kama hawa wa epoch ya tamaduni...hawapo tena.
Nakubali wana mpo vizuri ##salut you ma G
Wanapo dai uchumi umeshuka hawamaanishi uchumi wao 🙌 one the incredible
I'M HERE 2022, HEBU NIKUMBUSHENI WADAU MSTARI WA SONGA UNAOSEMA "CHRISTOPHER NAUA KILA MTI WANANIITA MTI-KILLER" UNAPATIKANA KWENYE WIMBO GANI????
Hakuna atayebisha kwamba Hik ndio Chuo kikuu cha Hip Hop.
@emanuelchristin7638
5 жыл бұрын
hakuna chuo hphp kama hiki big up brother
Yaani ngosha anatingisha kichwa tuu
feelin the mistari. this is my favorite video I watch this all the time. big ups wattup Tanzania
@joycepaul922
6 жыл бұрын
Im2pimpin kanuni yaharakati
@joycepaul922
6 жыл бұрын
Im2pimpin songa naoneninomaaaaaaa
Hataukiwa na mbio vipi huwezi kiyakimbiaa matatizoooooooooooo. , Bado hali ni mbaya hakuna kann ya uchumi
Jamaa salute kwenu, nakubali xana kaz zenu
"Dunia DUARA, Songa mi nasikika kila KONA" - Songa "Wema ni wetu" - Songa "Dar nipo salama kama bandari" - Songa Najua wengi hawaelewi vina vya mashairi ya hawa wana, ila kuna sayansi kubwa sana kwenye tenzi zao. "Uwezo mkubwa sana wa kufikiri, kuandika, na ku-rhyme..."
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
👏👏👏
@farajarichard9182
3 жыл бұрын
Hatari mazee
SONGA HAFAI WEW HUYU NI MTU MBAYA WEWE
Bring back this rap freestyle please
Noma sana mpo juu
Niite songa, respect 🤘
Wenye mchezo wao wanacheza kwako kwetu awafiki tisha Sana vichwa hivi
"KIDUME UNAIGA UCHORESHWE KWA UJINGA JE UNAVAA SKINNY JEANS UNATAKA KUONYESHA FIGA" BAAAAAARS #GOTTALOVEHIPHOP
aaah noma xana nawaelewa xana wakali hao big up xana
Again2023 still watching
Illmatix mna tisha!!!!! Noma sana
nawakubali ile mbaya songa one nikki mbish nash mc p the mc thetto big up sana kwenu lunduno mnatisha
March 2018.Salute guys.Nimetii
Chuo Kikuu cha Hip Hop
crazy on iLLMATIX
Mbona huu mziki umepotea siku hizi? Wakati unasisimua akili na mwili. Very great ability from illmatrix
Sichoki kuiangalia hii epsode aisee! Kikosi kazi tamaduni music
This is siiiick....lyricism
hatar xana, wauni wanajua mpaka bas
Utazunguka Sana kutafta mshkaki wenye mfupa... Dah songa bna hahahhhah
Moko wa Miujiza n Songa u are so tyt n hot Bros, Amini kwamba. #HIPHOP 🇹🇿🇹🇿
Hawa vijana wa Tamaduni Music nawakubali sana wanavyoandika rhymes zao ngumu.
Full kikosi, full dose of course 💊 💊
Daaah hhhh ma Mc hawavutii Kama uchi wa mtoto nomaaaa
Heshima kwa fid Q hip hop daima
still 🔥🔥🔥 2018
Damn right you on fire coz I spit that flame 🔥🔥🔥🔥
Illmatix balaaa.. Real hiphop nasalute all the way from the 254... Special salute to Baba Malkom na Fid
Kama una ipenda hi hop dondosja like
Renzi aioni ukiwa na pesa utakabwa na wengi kooni kweli awa jamaa chuo cha Hop poh 🎤🎤🎵🎵🎶
iLLmatix great as usual
Oyaaa iLikuwa noma sana
Still Bumping To This In 2019
Cheusi dawa bado tunaenjoy 21 may 2022
Niite songa MC mwenye Afya ya mistati kkkkkkkk Nouma sana bro
Big respect will remain
2023 bdo ina sikika
Hatari fire🔥🔥🔥🔥🔥
Mwacheni madee apumzke😂😂😂😂😂😂😂
Songa & One Incredible kwel nimeamin Muna Afya ya Mistar
nani anaangalia hii december 2018
u made ma day illimatics saluute..
Daaah...rap Noma sanaa..big up guys.🤜🤛
zamani sana lakini sasa daaaah sijui mmepatwa na nini??? niiteSonga
du kwa kwer hawa jamaa ni noma xana
Nawakubali sana nyiny
Oooooooooo fam I had to know know what is the beat at 15:05? these beats all around the video bump love the TZ flow! big ups
Hawa ndo wakali wa izi kazi bhana
Here in 2024🔥
AWA JAMAAAA NI HIP HOP BONGO YANI NI BALAAAAAAAAAAAAAAA
Kwema broo.. hizi harakati zako zilikuwa za aina yake sana so far naomba kuuliza sanaa hii mbona uliamua kuicha kwa kitambo kirefu daaa kitaa olojia fanya jambo kaka urudi ulingoni kina illimatix tuliwaskia sana kupitia hichi kipindi chako Fid Q forever. big up!
@Joseph-yd1hd
Жыл бұрын
Sana
Mara paaap soko la hiphop limerudi!!' Lunduno ndio watakuwa washikilia usukani,... Hawa ndo wabishi wanafanya wanachokiamini.. Wanauwezo wa kukunyea uku mwenyew umesimama hapahapa na pasipo kujijua,.. Ndo hiphop inayotakiwa akili nyijngii
Big up men!
Love from Kenya ❤🔥
Nice
Noma sana
Rudisha hii show
2024 nipo nasikiliza mawe
My God😱🥶🥶🥶🥶🥶
One de incredible 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🤜🤛
Hip hop ndio chakula chang
Hata uwe na mbio vipi huwezi kuya kimbia matatizo my God this guys can spit
Songa 💯💯💯💯.. Uno bado hatariii... Dah 💯💯💯💯
Tumia kisha weka akiba matatizo yatakukimbia
Kizazi cha 3 cha hip Hop ✍️
@Joseph-yd1hd
Жыл бұрын
wote sawa
@Joseph-yd1hd
Жыл бұрын
Aaaaaa
It's a another level guys
noma saana...maad skillz
Talented guys
iko ppoa sana
Songa bana Eti Mimi Kioo Cha Jamii dogo janja ni Kioo Cha madii
Hip hop niyenu miamba hakuna kamaninyi Africa..
da nawakunar xana Wang wa moyon karb rucu irng na mby nyumban
Asantee one
🔥🔥🔥