PLANET BONGO - DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI NA NIKKI MBISHI
Ойын-сауық
Itakua hivi kila ifikapo J3 ndani ya Planet Bongo ya EA Radio, atadondoka Mkali wako wa Rapp na natakiwa aflow ndani ya dakika 10 none Stop
Weka Comment yako Umemuonaje Baba MALCOM / Unju A. K. A NIKKI MBISHI unadhani nani afuate next week?
Пікірлер: 143
3 years now sijawah kuichoka hii session ya nikki mbishi is one of my favourity na hua nachanaga yoote mpk matangazo qmmk
@rammyseykhaleed3481
5 ай бұрын
Hahaha umetisha mwanangu
YANI MKITAKA kipindi kiangaliwe kila siku nyi waleti ao wanyamwezi tu kutoka tamaduni muone yaani au ndo wasaani
mungu akipenda mlete songa
Wasiojua hip hop ndo wata dislike...... ........ bunjuuu
one the incredible tafadhali atimbe mjengoni
noma sana Nikki mbishi hatali umeuwa sana
Dah tz Hanna na walah hatokei tena kama ngwea albart kwa hzi kazi
tha's what i was waiting for,next hasim dogo please
The best Nikki Mbishi.... NIKKI MKONGWE WANAMUITA NIKKI KITIMEE.....
niki umefanya chini ya kiwango maza fanta
@fredyhenry9908
7 жыл бұрын
Bro yupo vizur sana kaza brother
Adondoke Motra the future
wiki ijayo one the incredible adondoke
we fundii sana ,,,sijui kwnn huwikii
K,pozi jina langu unyama kwako nick mbishi umetisha
Unjuu bin unuque kuchaa wa hip hop
wap king Kong,chid benziiiiiii
Dulaaaaaa mlete one bna
One incredible next please
Ndomana kila wakikuaa hufi mbishi
Shiit, Kali mpk BHAASIII
adondoke chindi kingkong muskie maangamiziii
Nikki Mbishi is master of Rap
Noma noma noma mzee wa comecial nakomesha
young killer ahusike
arudi mangwear aje hapa kwenye dakk 10 jmn
Baba Laoooooooooooooooooooooooooooo @NikkiMbishi Baba Malcom
I need Stamina
Hujafika tulipozoea mkuu...ila still umewakilisha...TAMADUNI MUSIC FOUNDATION.
Mzee wa 'commercial' nawakomesha/ na nachana zote ziwe special au za kushonesha
Jaman uno
yan no;1 country boy 2;zillerrrrrrr
Brazaaaa umepunguzaaaa usongo wa rap Nikk dah!!! Umeniangushaaa pakubwaa
Huyu dj kapiga bit vibaya kinoma afuu anabadili badili kila saaa
Ngwaer, , God zilla, , Chid benz KING KOOONG, ,, hakuna kama hivi vichwa hawa wengine miyayusho tuuuuuu
Hey Hey babe hu
good mzee I real feel what you up to brah
2pac wa bongo
aaaaahhh tunamtaka DIZASTA VINA ...HAPO
we mkali ciku zote ,,ila kwenye ukweli nitasema,, umefanya chini ya kiwango
One the incredible hausike this week
Baba malcom
wack kinoma, mleteeni one incredible vs young killer msodoki
hakuwa na wazo la freestyle ikiwa tunaelewa ni king wa freestyle #TZ
Nakukubaliiii mbaya mbovu...but kwa hii umezingua..Dakika ya 5...unduliza Can I go more...?kwani ulikuwa aujui kipindi kina muda ganii...??
Tuleteeni kimbaumbau Zaiid Yao
kazingua kinoma
Dull mnyamwez sana mkali wangu 👊
Dah... DJ umemkata sana Unju
Noma sana
Noma sanaaaaaa
fireee baba malcom
2022march💪
dj sama kazingua sana. tunakuomba tena Unju
we mkal sanaaaa
acheni kukalili ngwea Alisha kufa wapeni sapoti walio hai uyo ngwea alivyo kufa mlikuwa amsapoti saivi kafa ndo nyoko nyoko nyingi
ooooooooooneeeeeeeeee incredible
Tamanduni music wahuni kinomaaa
One incredible aje plz
one the incredible should be there....
Fanyen mpango songa adondoke kipande ichooo
ujamaa noma anajuwa anacho Fanya asee
anajua mpaka anatenda zambi😂😂
Unamuweka nani sasa
Nicki hapa pembeni incredible utaburst
big up .usi force 2fanane
let love this, all the way from toronto, big up Dulla,
@laurentabdu4516
7 жыл бұрын
peace and goodness
Anajua Sana mbishi
Enzi za block 6 na block 7........mnanikumbusha mbali saaana mnajua
Peace Of Mind..
MLETENI STEREOOOOOOOOOOOOOOO
povu tu hana cha maana
Nikki umeliangusha chama umefanya chini ya kiwango haukua na kujiamini kwa kutosha.
muda mdogo bwana Nikki Show yake irudiwe
tunamtaka songa
unadi s sana ukuda huo
Summer anaznguaga thana anachezea thana
yupo vizuri
nakubal kak mkubwa u kill it,,de show was hot
Hata nikitaka kuwa rapa sijui mc ashaniwakilisha Kama kaingia kichwani kwangu acha hawe chama langu Niki mbishi tandi boy utingo
nakubal mbixhi iko poah
ameshuka kiwango
Noma sana nikki mbishi heshima kwa broo
Runduno chamq Rangu Hip pop for rever
Nomaaaaaa
Leo ume zingua Nikki
Nikki mbishi naomba crown
E bana sijamuona aliefunika ka huyu mwamba apa
anaimba mi stari ya kuandika
unju kama kashuka flan iv kufreestyle maana cjamzoea iv
nc
some how braza
Muweke Motra the future....
Unju ni msela
Nimekula
nomaaaaa
uko vzr lkn cjui leo una stress bro
sikufananishi waliobak kaka
hizi dakika kumi sijawahi zielewa..watu wanachana verse zao ama nisho ya freestyle ndio tujue wakali wenye pumzi na akili ya mitindo huru..?
Noma kk unju
muachie songa
@ephrahimnyar9592
6 жыл бұрын
Big Masasi Isack p the my ndo kiboko yao nik umepuyanga