MAMA APELEKA BARUA YA MAPENZI KWA RAIS MAGUFULI - "RAIS NAKUPENDA SANA"
MAMA APELEKA BARUA YA MAPENZI KWA RAIS MAGUFULI - "RAIS NAKUPENDA SANA"
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Agosti 06, amechukua fomu ya kugombea urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dodoma na kuhutubia wanachama wake waliofurika nje ya ofisi za ccm..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 130
Magufuri ni Rais mzuri, Mungu ambariki
Mama Samia anashangaa hii ni noma
Daah mungu akubariki ww ndo rais hatotokea mfano wa rais kma ww magufuli nakuombea dua kila cku na kila wakat mungu akuongoze katka urais wako nataman nikuone cku 1 nikushike angalau mkono nitie baraka zako coz umekuwa rais ambaye huna mfano wako na kazi unazofanya na kutetea watu ww ndo RAIs nataman uongoze milele na milele lakin IPO day nitakushika mkono nitie baraka ya uongozaji wako mzur mungu akulinde na maadui na maradhi ili uwezo uzid kuongoza nchi vizur UBARIKIWEEEEE🤲💗💋 fanya uje zanzibar pia🤝
Ahaaa RAISI WA WATU WOTE!!!!BIG UP CCM👍🏾
Jmn mungu mtie nguvu magufuli azidikutuongoza jmn
Watu wenye matatizo ni wengi rais Wangu ,na wanaotaka msaada ila hawana pakuongelea watu wanazurumiwa sana
Hahahaa imenifurahisha hii tunakupenda rais wetu makini magufuli wetu mungu akupe uzima na afya yako kila la kheri kwenye kazi zako
@seiftaji4416
3 жыл бұрын
Ulipokua unaanza kazi ya urais wanamchi tulikua hatujakuelewa kabisa ila sasa tumekuelewa sana yani wewe nirais wa mfano hatatapata rais mwingine kama magufuli kuna mambo mengi tuliaminishwa kwamba hayawezekani na marais walio kutangulia wewe umeyafanya sasa me nakushauri mwaka huu hauna sababu ya kutumia garama kubwa kwenye kampeni subiri kuapishwa uendelee kuijenga mchi yetu saluti kwako.
@rayaqme6935
3 жыл бұрын
Amiin
Huyu mama ni mjanja sana alitaka kuvuta hisia za watu akafunga goal lake
Very bright man! Congratulation President of Tanzania
Kazi kwelikweli jamani watu wanateseka hatari. Magu rais wetu tusaidie tuu maana daar
Magufuri ni zawad wa Tanzania tumepewa na Allah!! ALLAH amjaalie umri mrefu na hekma zaid
Watanzania tuna shida saana..ni kwann mawaziri..wakuu wa wilaya wasimsaidie rais wetu kipenzi
Makifuli nakupenda sana makufuli
Huyu baba akili zake anashea na kila mtu utani umekuwa mwingi Sana Hadi Raha utazani wanaigiza
Asante saaaana kwa ukarimu wako
Watu wanashida jamn wakimwona baba yao anayewasikiliza wanafarijika... Nampenda sana Rais wangu.
BABA yetu magufuli mm sijui October nani atakusaidia kubeba kura maana tutapiga mpaka za ziada.
Rais wangu
Binafsi sifikilii ushindi wa huyu mzee nafikilia Sana aliondoka Nani mbadala a yeye?
@lucasmsigala3179
3 жыл бұрын
Kweli ndugu
Nakupenda magufuli Rais wetu mteteziiii
Chadema hawauwez huu mzki
@emmanuelbonifase1114
3 жыл бұрын
Mziki mnene hatare fayaa auzimi
@MarieHeleneEtienne-bf9ub
2 ай бұрын
sio mziki. hili ni buzuki
aaaaah hiki kichwa tumepata....mungu umetupa mtu
Jamani
Mama samia kabaki mdomo wazii
@nawihadj6674
3 жыл бұрын
Nakuambiaaaa weachaaaa kaonaa duh namie asijee likatokeaa dume linanipendaa bure
Nagupendaraiswangu
Baba Magafuli unafaa,safiiii
Mwigulu njoo hapo vzr sna halafu nyie mnaonyanganya mic wakat mtu anatoa shida zke sio vzr
@emmanuelbonifase1114
3 жыл бұрын
Mnakua vere bohadi wanakela
Kwa ushauri tu watu wa upinzani mngesubiri 2025 maana kwa kipindi hiki hata mkianza kusema kura mmeibiwa mtakuwa waongo maana baba yetu magu hana mpinzani💪💪💪
@muombwavuaa3961
3 жыл бұрын
Sadakta rais magufuli mjali wanyonge
Duh aisee mama ana ujasiri sana
Rais hauji huku kijijin kwetu wanyonge tunaumia,Kilimanjaro,wilaya ya mwanga
kifo si kizuri hakika kinaumiza sana! yesu urd haya mambo yametuumiza mno
Do!!!
Daaaa kweli mtihan sana
Naipenda saba ccm
Kweli kazi ipo
Mungu akupunguzie azabbu yakabur 3:37
Daahh mwishoo
God bless you
Hamna kampen hapa rais yupo kazn wale matundulusu kule ndo wanahangaika
@benjohnson1763
4 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂😂😂
@frankmtei3017
3 жыл бұрын
Kampeni zipo tena nzito sana
Magufuli lahatuu
Wataweza kweli kushindana na anko magu
@saidimoshi1276
3 жыл бұрын
Awapi
😁😁😁😁 mama kaona isiwe shida atangaze tu nia. Mama Janeth Magufuli kazi unayo😁😁😁😁😁
@judithkatabaro3294
4 ай бұрын
Nimecheka kama mazuri
Ya ss bwana
Hatariiiii sana
R.I.P JEMBE
Nimecheka sanaaaaa Hahahahahaha umuri unarihusu
😃😃😃😃😃
Magufuri ww noma mungu akuweke
Ukiwa nimtu mwema kilamja stakupenda
T
Magufuli kazi unayo, imani ulio nayo kwa wananchi sijaiyona kwa viongozi wote wa Africa
@salomemwelela8131
3 жыл бұрын
Wa Dunia nini Africa
😁😁😁😁😁aisee
Maskini Samia, ndo unajua yeye hayuko kwenye vitu kama hivi..style yake ni kuwaachia viongozi chini yake washugulikie. amesimama karibu na Magufuli lakini basi tuu
Jembe la kazii
Mapenziiii
Weweeeeeeee ndoa yako vp
Hahahaha
Mh.jpm anapenda kila mtanzania.lazima ashinde kwa kishindo octoba 28
Juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuù
Hatakama ujui kusoma hata kuona uoni jaman rais anaweza toka chama chcht lkn rais bora wa tanzania atatoka ndani ya ccm mpumzk kwa aman jk nyerere
😭😭😭
😀😀😀😀😀
Nimependa
Naumia kukupoteza Magufuli.
Duuuuuuu
@nelsonsalumuclovis753
4 жыл бұрын
Mzee kampendwa
Morrison yupokama mbwa Narayan.
Jembe
Nakupenda rais wangu
Hapo kweli coronavirus kama ipo watu lazima waugue
@emmanuelbonifase1114
3 жыл бұрын
Kolona R.I.P akunaga tz IPO Kenya ndio wanayo piga shangwe kwa mungu wetu tafazali
Yanimungu huyu anatupenda sana kaipenda nchi yetu katupa laisi mwenya kumjali kilamtu magufuli tunakuombea sisi wanyonge
@ashampore6070
3 жыл бұрын
Huyo mama aliropoka tu baada ya kupewa maiki hakusikia mh alichosema wakati amesongwa na wale wasalam ,kwa hiyo alivyosema barua nimeandika anaulizwa ya mapenzi nafikiri hata hakuelewa swali eti eh ya mapenzi,duh kweli kachemka.
Ivo ivo ulivosema
Sf
Haki nimecheka,km nimapenzi huyo hapo
Hisia hazina adabu kwakweli
Huyo nae hilo li scarf shingoni hapo halimbanduki utasema anataka kujinyonga sasa hivi.
@salomemwelela8131
3 жыл бұрын
Mungu ampe maishea marefu na yenye furaha
Hakuna heshima
@jamesbonifaceriwajamesriwa149
3 жыл бұрын
Rais wang
Anataka pesa tu uyo mama hn lolote
Hahaaa mama mama
Duu
Zuchu
Taarifa zimfikie Tundu sijui tundu lenyewe ni la kitu gani kua October pamoja na vigogo vyake anavyotembea navyo kutafuta huruma kwa watanzania asahau urais
@emmanuelbonifase1114
3 жыл бұрын
Tundu LA sindano
Hahahahahahaha
Hahaaaaaa
Hahahaa barua ya mapenzi
HahAaa
Hahahahhaaahaha duuuh!!!?? Baba ukiondoka madarakani tutakumic sana baba yetu. Haijawahi kutokea hii
Baba lao
Hahaha 😂
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mama hana heshima
@basilisamsaka8469
3 жыл бұрын
Kwa lipi?
@timothmwakakusyu4563
3 жыл бұрын
Kivip hana heshima?
@saidabdalla8996
3 жыл бұрын
Kwa kuandika barua ya mapenzi wakati anajuwa kabisa mtu anamke, ww ilo unalionaje?
@minskbelarus7255
3 жыл бұрын
@@saidabdalla8996 Sheikh vipi? Wanaume tukiandika MABANGO.......tunakupenda MAMA Suluhu ina maana tunavunja NDOA yake?
@saidabdalla8996
3 жыл бұрын
Oya ndugu samahani kama nimekukwaza
😂😂😂😂
Comedy
Hapo iliongelewa utan sasa utasikia wazee wakuropoka watakavyochukulia hii ishu
Anataka pesa tu uyo mama hn lolote
Nakupenda rais wangu
@timothmwakakusyu4563
3 жыл бұрын
Regina Nakupenda
Huyo jamaaa vip anataka kumsokomeza mic mdomoni akati mama anasikika vizuri tu. Au anamuonea wivu kwa kumchunuku ras Magufuli
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Yaani nlijua labda nimeona mwenyewe
@timothmwakakusyu4563
3 жыл бұрын
Nami nimeona 😂😂😂😂😂😂😂😂
@hadijahmwajombe9588
3 жыл бұрын
atali kabisa