MAMA APELEKA BARUA YA MAPENZI KWA RAIS MAGUFULI - "RAIS NAKUPENDA SANA"

MAMA APELEKA BARUA YA MAPENZI KWA RAIS MAGUFULI - "RAIS NAKUPENDA SANA"
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Agosti 06, amechukua fomu ya kugombea urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dodoma na kuhutubia wanachama wake waliofurika nje ya ofisi za ccm..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 130

  • @noelnoel4916
    @noelnoel49163 жыл бұрын

    Magufuri ni Rais mzuri, Mungu ambariki

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe3 жыл бұрын

    Mama Samia anashangaa hii ni noma

  • @mayyahhemed3505
    @mayyahhemed35053 жыл бұрын

    Daah mungu akubariki ww ndo rais hatotokea mfano wa rais kma ww magufuli nakuombea dua kila cku na kila wakat mungu akuongoze katka urais wako nataman nikuone cku 1 nikushike angalau mkono nitie baraka zako coz umekuwa rais ambaye huna mfano wako na kazi unazofanya na kutetea watu ww ndo RAIs nataman uongoze milele na milele lakin IPO day nitakushika mkono nitie baraka ya uongozaji wako mzur mungu akulinde na maadui na maradhi ili uwezo uzid kuongoza nchi vizur UBARIKIWEEEEE🤲💗💋 fanya uje zanzibar pia🤝

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser79873 жыл бұрын

    Ahaaa RAISI WA WATU WOTE!!!!BIG UP CCM👍🏾

  • @maimunamwaren5885
    @maimunamwaren58853 жыл бұрын

    Jmn mungu mtie nguvu magufuli azidikutuongoza jmn

  • @elizabethmunga8731
    @elizabethmunga87314 жыл бұрын

    Watu wenye matatizo ni wengi rais Wangu ,na wanaotaka msaada ila hawana pakuongelea watu wanazurumiwa sana

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim79564 жыл бұрын

    Hahahaa imenifurahisha hii tunakupenda rais wetu makini magufuli wetu mungu akupe uzima na afya yako kila la kheri kwenye kazi zako

  • @seiftaji4416

    @seiftaji4416

    3 жыл бұрын

    Ulipokua unaanza kazi ya urais wanamchi tulikua hatujakuelewa kabisa ila sasa tumekuelewa sana yani wewe nirais wa mfano hatatapata rais mwingine kama magufuli kuna mambo mengi tuliaminishwa kwamba hayawezekani na marais walio kutangulia wewe umeyafanya sasa me nakushauri mwaka huu hauna sababu ya kutumia garama kubwa kwenye kampeni subiri kuapishwa uendelee kuijenga mchi yetu saluti kwako.

  • @rayaqme6935

    @rayaqme6935

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @mbaeprimary1963
    @mbaeprimary19633 жыл бұрын

    Huyu mama ni mjanja sana alitaka kuvuta hisia za watu akafunga goal lake

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai67603 жыл бұрын

    Very bright man! Congratulation President of Tanzania

  • @emmymgotta8830
    @emmymgotta88304 жыл бұрын

    Kazi kwelikweli jamani watu wanateseka hatari. Magu rais wetu tusaidie tuu maana daar

  • @halimasulaimani848
    @halimasulaimani8483 жыл бұрын

    Magufuri ni zawad wa Tanzania tumepewa na Allah!! ALLAH amjaalie umri mrefu na hekma zaid

  • @simuyangu1356
    @simuyangu13563 жыл бұрын

    Watanzania tuna shida saana..ni kwann mawaziri..wakuu wa wilaya wasimsaidie rais wetu kipenzi

  • @mohamedabdalah9124
    @mohamedabdalah91244 жыл бұрын

    Makifuli nakupenda sana makufuli

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20584 жыл бұрын

    Huyu baba akili zake anashea na kila mtu utani umekuwa mwingi Sana Hadi Raha utazani wanaigiza

  • @munasayed8657
    @munasayed86574 жыл бұрын

    Asante saaaana kwa ukarimu wako

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka84693 жыл бұрын

    Watu wanashida jamn wakimwona baba yao anayewasikiliza wanafarijika... Nampenda sana Rais wangu.

  • @denismassawe9255
    @denismassawe92553 жыл бұрын

    BABA yetu magufuli mm sijui October nani atakusaidia kubeba kura maana tutapiga mpaka za ziada.

  • @davidbalele8770
    @davidbalele87703 жыл бұрын

    Rais wangu

  • @abdallahjuma5475
    @abdallahjuma54753 жыл бұрын

    Binafsi sifikilii ushindi wa huyu mzee nafikilia Sana aliondoka Nani mbadala a yeye?

  • @lucasmsigala3179

    @lucasmsigala3179

    3 жыл бұрын

    Kweli ndugu

  • @mayyahhemed3505
    @mayyahhemed35053 жыл бұрын

    Nakupenda magufuli Rais wetu mteteziiii

  • @regonacademyonline622
    @regonacademyonline6224 жыл бұрын

    Chadema hawauwez huu mzki

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    3 жыл бұрын

    Mziki mnene hatare fayaa auzimi

  • @MarieHeleneEtienne-bf9ub

    @MarieHeleneEtienne-bf9ub

    2 ай бұрын

    sio mziki. hili ni buzuki

  • @catherineadam380
    @catherineadam3803 жыл бұрын

    aaaaah hiki kichwa tumepata....mungu umetupa mtu

  • @furahahappe1641
    @furahahappe16414 жыл бұрын

    Jamani

  • @mariammkumbwa646
    @mariammkumbwa6463 жыл бұрын

    Mama samia kabaki mdomo wazii

  • @nawihadj6674

    @nawihadj6674

    3 жыл бұрын

    Nakuambiaaaa weachaaaa kaonaa duh namie asijee likatokeaa dume linanipendaa bure

  • @user-bj4ld1jw4k
    @user-bj4ld1jw4k4 жыл бұрын

    Nagupendaraiswangu

  • @lilianmungure8374
    @lilianmungure83743 жыл бұрын

    Baba Magafuli unafaa,safiiii

  • @omaryrashid1873
    @omaryrashid18733 жыл бұрын

    Mwigulu njoo hapo vzr sna halafu nyie mnaonyanganya mic wakat mtu anatoa shida zke sio vzr

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    3 жыл бұрын

    Mnakua vere bohadi wanakela

  • @janekikoti2179
    @janekikoti21794 жыл бұрын

    Kwa ushauri tu watu wa upinzani mngesubiri 2025 maana kwa kipindi hiki hata mkianza kusema kura mmeibiwa mtakuwa waongo maana baba yetu magu hana mpinzani💪💪💪

  • @muombwavuaa3961

    @muombwavuaa3961

    3 жыл бұрын

    Sadakta rais magufuli mjali wanyonge

  • @kusinimediatz6747
    @kusinimediatz67473 жыл бұрын

    Duh aisee mama ana ujasiri sana

  • @janetisamson3735
    @janetisamson37353 жыл бұрын

    Rais hauji huku kijijin kwetu wanyonge tunaumia,Kilimanjaro,wilaya ya mwanga

  • @user-hh4us7kb5q
    @user-hh4us7kb5q6 ай бұрын

    kifo si kizuri hakika kinaumiza sana! yesu urd haya mambo yametuumiza mno

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57804 жыл бұрын

    Do!!!

  • @abumusabmusab3771
    @abumusabmusab37714 жыл бұрын

    Daaaa kweli mtihan sana

  • @mohamedabdalah9124
    @mohamedabdalah91244 жыл бұрын

    Naipenda saba ccm

  • @maimunamwaren5885
    @maimunamwaren58853 жыл бұрын

    Kweli kazi ipo

  • @user-np5lm4fj4f
    @user-np5lm4fj4f6 ай бұрын

    Mungu akupunguzie azabbu yakabur 3:37

  • @am12ghh37
    @am12ghh373 жыл бұрын

    Daahh mwishoo

  • @MabulaAnselem
    @MabulaAnselem6 ай бұрын

    God bless you

  • @devidpanja115
    @devidpanja1154 жыл бұрын

    Hamna kampen hapa rais yupo kazn wale matundulusu kule ndo wanahangaika

  • @benjohnson1763

    @benjohnson1763

    4 жыл бұрын

    Hahaha😂😂😂😂😂

  • @frankmtei3017

    @frankmtei3017

    3 жыл бұрын

    Kampeni zipo tena nzito sana

  • @mwasatvtv7932
    @mwasatvtv79324 жыл бұрын

    Magufuli lahatuu

  • @gaudensiamaziku1702
    @gaudensiamaziku17023 жыл бұрын

    Wataweza kweli kushindana na anko magu

  • @saidimoshi1276

    @saidimoshi1276

    3 жыл бұрын

    Awapi

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93034 жыл бұрын

    😁😁😁😁 mama kaona isiwe shida atangaze tu nia. Mama Janeth Magufuli kazi unayo😁😁😁😁😁

  • @judithkatabaro3294

    @judithkatabaro3294

    4 ай бұрын

    Nimecheka kama mazuri

  • @naysianelson2711
    @naysianelson27114 жыл бұрын

    Ya ss bwana

  • @nurukapoja7759
    @nurukapoja77593 жыл бұрын

    Hatariiiii sana

  • @fredleonardo739
    @fredleonardo7392 жыл бұрын

    R.I.P JEMBE

  • @kingdeniscrocodile
    @kingdeniscrocodile3 жыл бұрын

    Nimecheka sanaaaaa Hahahahahaha umuri unarihusu

  • @salmaelvina1002
    @salmaelvina10023 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃

  • @asmabintikiwa1826
    @asmabintikiwa18263 жыл бұрын

    Magufuri ww noma mungu akuweke

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi54094 жыл бұрын

    Ukiwa nimtu mwema kilamja stakupenda

  • @manyukkitv3225
    @manyukkitv32254 жыл бұрын

    T

  • @junkbots6642
    @junkbots66423 жыл бұрын

    Magufuli kazi unayo, imani ulio nayo kwa wananchi sijaiyona kwa viongozi wote wa Africa

  • @salomemwelela8131

    @salomemwelela8131

    3 жыл бұрын

    Wa Dunia nini Africa

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest2253 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁aisee

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241Ай бұрын

    Maskini Samia, ndo unajua yeye hayuko kwenye vitu kama hivi..style yake ni kuwaachia viongozi chini yake washugulikie. amesimama karibu na Magufuli lakini basi tuu

  • @isayasway8633
    @isayasway86333 жыл бұрын

    Jembe la kazii

  • @MUJWAUORIGINAL
    @MUJWAUORIGINAL3 жыл бұрын

    Mapenziiii

  • @kalaluwakisaka3211
    @kalaluwakisaka32114 жыл бұрын

    Weweeeeeeee ndoa yako vp

  • @mackmillan9040
    @mackmillan90404 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13084 жыл бұрын

    Mh.jpm anapenda kila mtanzania.lazima ashinde kwa kishindo octoba 28

  • @fatumaramadhani9077
    @fatumaramadhani90773 жыл бұрын

    Juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuù

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas35173 жыл бұрын

    Hatakama ujui kusoma hata kuona uoni jaman rais anaweza toka chama chcht lkn rais bora wa tanzania atatoka ndani ya ccm mpumzk kwa aman jk nyerere

  • @kiyumbijustine3434
    @kiyumbijustine34345 ай бұрын

    😭😭😭

  • @levinekalikuela4916
    @levinekalikuela49163 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀

  • @amurialbatashi5861
    @amurialbatashi58614 жыл бұрын

    Nimependa

  • @getrudankole7445
    @getrudankole74455 ай бұрын

    Naumia kukupoteza Magufuli.

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo50324 жыл бұрын

    Duuuuuuu

  • @nelsonsalumuclovis753

    @nelsonsalumuclovis753

    4 жыл бұрын

    Mzee kampendwa

  • @danisul4478
    @danisul44783 жыл бұрын

    Morrison yupokama mbwa Narayan.

  • @abdallhkanju8690
    @abdallhkanju86903 жыл бұрын

    Jembe

  • @reginarichard2864
    @reginarichard28644 жыл бұрын

    Nakupenda rais wangu

  • @frankd1156
    @frankd11564 жыл бұрын

    Hapo kweli coronavirus kama ipo watu lazima waugue

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    3 жыл бұрын

    Kolona R.I.P akunaga tz IPO Kenya ndio wanayo piga shangwe kwa mungu wetu tafazali

  • @mwasatvtv7932
    @mwasatvtv79324 жыл бұрын

    Yanimungu huyu anatupenda sana kaipenda nchi yetu katupa laisi mwenya kumjali kilamtu magufuli tunakuombea sisi wanyonge

  • @ashampore6070

    @ashampore6070

    3 жыл бұрын

    Huyo mama aliropoka tu baada ya kupewa maiki hakusikia mh alichosema wakati amesongwa na wale wasalam ,kwa hiyo alivyosema barua nimeandika anaulizwa ya mapenzi nafikiri hata hakuelewa swali eti eh ya mapenzi,duh kweli kachemka.

  • @hadijaabdul8765
    @hadijaabdul87653 жыл бұрын

    Ivo ivo ulivosema

  • @saidiamiri4657
    @saidiamiri46572 жыл бұрын

    Sf

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus62983 жыл бұрын

    Haki nimecheka,km nimapenzi huyo hapo

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni17633 жыл бұрын

    Hisia hazina adabu kwakweli

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight29574 жыл бұрын

    Huyo nae hilo li scarf shingoni hapo halimbanduki utasema anataka kujinyonga sasa hivi.

  • @salomemwelela8131

    @salomemwelela8131

    3 жыл бұрын

    Mungu ampe maishea marefu na yenye furaha

  • @nothingtoworry4558
    @nothingtoworry45584 жыл бұрын

    Hakuna heshima

  • @jamesbonifaceriwajamesriwa149

    @jamesbonifaceriwajamesriwa149

    3 жыл бұрын

    Rais wang

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab29103 жыл бұрын

    Anataka pesa tu uyo mama hn lolote

  • @rachelkibaya8537
    @rachelkibaya85373 жыл бұрын

    Hahaaa mama mama

  • @zainabrajab9608
    @zainabrajab96083 жыл бұрын

    Duu

  • @joelmbunda2743
    @joelmbunda27433 жыл бұрын

    Zuchu

  • @denismassawe9255
    @denismassawe92553 жыл бұрын

    Taarifa zimfikie Tundu sijui tundu lenyewe ni la kitu gani kua October pamoja na vigogo vyake anavyotembea navyo kutafuta huruma kwa watanzania asahau urais

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    3 жыл бұрын

    Tundu LA sindano

  • @jeniferkujinda8073
    @jeniferkujinda80733 жыл бұрын

    Hahahahahahaha

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc3 жыл бұрын

    Hahaaaaaa

  • @isayasway8633
    @isayasway86333 жыл бұрын

    Hahahaa barua ya mapenzi

  • @betinalupembe4366
    @betinalupembe43664 жыл бұрын

    HahAaa

  • @denismassawe9255
    @denismassawe92553 жыл бұрын

    Hahahahhaaahaha duuuh!!!?? Baba ukiondoka madarakani tutakumic sana baba yetu. Haijawahi kutokea hii

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis7534 жыл бұрын

    Baba lao

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa68092 жыл бұрын

    Hahaha 😂

  • @halimabeauty9392
    @halimabeauty93923 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @queenkivuyo8601
    @queenkivuyo86013 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla89964 жыл бұрын

    Huyu mama hana heshima

  • @basilisamsaka8469

    @basilisamsaka8469

    3 жыл бұрын

    Kwa lipi?

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    3 жыл бұрын

    Kivip hana heshima?

  • @saidabdalla8996

    @saidabdalla8996

    3 жыл бұрын

    Kwa kuandika barua ya mapenzi wakati anajuwa kabisa mtu anamke, ww ilo unalionaje?

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    3 жыл бұрын

    @@saidabdalla8996 Sheikh vipi? Wanaume tukiandika MABANGO.......tunakupenda MAMA Suluhu ina maana tunavunja NDOA yake?

  • @saidabdalla8996

    @saidabdalla8996

    3 жыл бұрын

    Oya ndugu samahani kama nimekukwaza

  • @everydayniewsnangale3636
    @everydayniewsnangale36364 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @omarimwigula3248
    @omarimwigula32483 жыл бұрын

    Comedy

  • @charleslukoa9661
    @charleslukoa96614 жыл бұрын

    Hapo iliongelewa utan sasa utasikia wazee wakuropoka watakavyochukulia hii ishu

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab29103 жыл бұрын

    Anataka pesa tu uyo mama hn lolote

  • @reginarichard2864
    @reginarichard28644 жыл бұрын

    Nakupenda rais wangu

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    3 жыл бұрын

    Regina Nakupenda

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight29574 жыл бұрын

    Huyo jamaaa vip anataka kumsokomeza mic mdomoni akati mama anasikika vizuri tu. Au anamuonea wivu kwa kumchunuku ras Magufuli

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    Yaani nlijua labda nimeona mwenyewe

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    3 жыл бұрын

    Nami nimeona 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hadijahmwajombe9588

    @hadijahmwajombe9588

    3 жыл бұрын

    atali kabisa

Келесі