Rais Magufuli kafuta machozi ya Mama asiyeona, DC chupuchupu atumbuliwe

Rais Magufuli akiwa njiani kuelekea Tarime Mara akajitokeza Mama asiyeona ambaye amelishiwa mazao yake kwa muda mrefu bila malipo.

Пікірлер: 890

  • @munyaonormankioko1426
    @munyaonormankioko14265 жыл бұрын

    Wow thats Fantastic Your Excellency Doctor pombe Magufuli ,My Name is Norman kioko from Kenya I have been following you all through , and for sure , you are a leader of less fortunate , how I wish we can get leaders like you not only in Kenya but the entire Africa ,,Long live My president

  • @laughingclub9660

    @laughingclub9660

    4 жыл бұрын

    C we go to live in Tz... I'm planning to do so.. I'm a Kenyan too

  • @realremih
    @realremih4 жыл бұрын

    From Kenya . Sijawai kuona rais mwenye upendo na kujali wanyonge kama uyu

  • @stellaloves9879

    @stellaloves9879

    3 жыл бұрын

    💔💔💔😭😭😭

  • @andikimanasebadonavine9490
    @andikimanasebadonavine94905 жыл бұрын

    U're the best President that I have ever seen in this World

  • @sativaclan4221
    @sativaclan42215 жыл бұрын

    oooohhhh very emotional... 😢😢😢 hakka raisii tunaee munguu tulindiee raisii huyuuu... 😢 kma upo pamoja namii gonga like

  • @Micpiu
    @Micpiu5 жыл бұрын

    Hongera sana Rais kwa kazi unazoendelea kuzitenda.

  • @japhetdaud3889
    @japhetdaud38895 жыл бұрын

    MUNGU mulinde Rais wetu na uendelee kumtumia na kumpa ufunuo mpya kila iitwapo leo-Hapa kazi tuu 💪💪💪💪💪👍

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga81505 жыл бұрын

    Ukiwa na Rais kama huyu hata uwe umepanga unajihisi umejenga vyumba 5na ukumbi sijutii kukupigia kura

  • @yusuphsimon4656

    @yusuphsimon4656

    5 жыл бұрын

    Selemani Mkonga 😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @djjantakiwango3311

    @djjantakiwango3311

    5 жыл бұрын

    hahaaaaaaaa saluts

  • @joyiddris1069

    @joyiddris1069

    4 жыл бұрын

    Selemani Mkonga nimecheka Sana et vyumba vitano

  • @robertsimba5081
    @robertsimba50814 жыл бұрын

    What a humble human being??? So down to earth God bless you...am a Kenyan but I appreciate his job alot

  • @alisaalis9218
    @alisaalis92185 жыл бұрын

    Nimelia aki huyu prezo ndo anatakikana katika dunia hii,Mwenyezi mungu akubariki sana Rais

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny20655 жыл бұрын

    Khaaa kizaa zaaa hicho! Mwenyezi Mungu pamoja na Mheshimiwa Rais amsaidie huyo Mama.

  • @kichomimedia9582

    @kichomimedia9582

    5 жыл бұрын

    Endelea kupiga Kazi mh.

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego7975 жыл бұрын

    Daaaaaaaaaaa me nauzunika wasaidiz wa JPM wengi ni mzigo mkubwa sanaaaaa......pia nafuraji Jpm kila kukicha anavyo watumbua......GOD BLESS YOU

  • @josephsimioni3062

    @josephsimioni3062

    5 жыл бұрын

    hakuna kama.magufuli tengeneza kanda yaziwa baba tumeachwa sana

  • @josephsimioni3062

    @josephsimioni3062

    5 жыл бұрын

    kula Yangu haikuhalibika Ila kwambunge ilihalibike nilimpigia afu hakushinda ila nimapenzi yamungu

  • @issajohn5670

    @issajohn5670

    5 жыл бұрын

    Nani kama J P M?

  • @lisanide6339

    @lisanide6339

    5 жыл бұрын

    hakuna yan

  • @xxxtxandaniel699

    @xxxtxandaniel699

    5 жыл бұрын

    Akim Mbwego MAmbo

  • @josephkalume2603
    @josephkalume26035 жыл бұрын

    From Kenya we appreciate JPM gonga like Kama unakubaliana

  • @abubakarrujugiro4415
    @abubakarrujugiro44154 жыл бұрын

    i love u from Rwanda you are so generous and kind

  • @mtanitz9582
    @mtanitz95825 жыл бұрын

    Pongez kwa Mr. President

  • @japhetmanumbu4595

    @japhetmanumbu4595

    4 жыл бұрын

    Mr predident nakupenda sana

  • @josephmateru8892
    @josephmateru88925 жыл бұрын

    Unajuwa tunaposema Magufuli Niraisi Wawanyonge Watu Wanashindwa Kuelewa Coz Wanavichwa Vigumu

  • @charlesmakuri792

    @charlesmakuri792

    5 жыл бұрын

    Joseph Materu sio vichwa vigumu wengi wao ni criminal mambo yao yamezuiliwa au bangi na viloba huoni majizi yote yako huko

  • @glorycharles1382

    @glorycharles1382

    5 жыл бұрын

    Joseph Materu fact

  • @shaibumahanda6501

    @shaibumahanda6501

    5 жыл бұрын

    Washaelewa now coz hata mm nilikuwa mgumu kuelewa ila now nimeelewa na waliobakii wamelewa ila n wakaidii daima

  • @yaedlifemedia3203

    @yaedlifemedia3203

    5 жыл бұрын

    Aisee uyu jamaa anatakiwa kutuongoza miaka yote watanzania coz hakuna kama jpm

  • @mdasad2148

    @mdasad2148

    5 жыл бұрын

    Makufuri njitajidi kusaindoa wanyonge

  • @binsora5897
    @binsora58975 жыл бұрын

    Though am from Kenya I love the way jpm is handling his pple

  • @kihanda2554
    @kihanda25545 жыл бұрын

    Bora Raisi wangu Usiende Nje. Wa Tz wengi tunakutizama. Mungu akubariki sanasana.. Nimesisimka sana. Nazidi kufurahia matunda ya Kura yangu Kwako. Sijutii kukuchakua Raisi wangu.

  • @rehemasumulei6237

    @rehemasumulei6237

    5 жыл бұрын

    kweli unawafuta wamama machozi lakini umetusahau wajane tuliokuwa tunakusanya uchafu Mererani ili tujipatie kipato Kwa sasa tunalia tuu hatuna msaada wowote

  • @magigezabron3770

    @magigezabron3770

    5 жыл бұрын

    Kura yangu yaijapotea kumbe

  • @jasminiomary7774

    @jasminiomary7774

    5 жыл бұрын

    Magufuri mungu akuximamie mxaidie uyo mama

  • @joachimhancemwakoba8283
    @joachimhancemwakoba82835 жыл бұрын

    Sikuwahi kukupenda.. naomba nikiri mbele ya mungu na mbele ya Watanzania NINAKUPENDA SASA BABA, rais wangu

  • @michaelmhenga280

    @michaelmhenga280

    5 жыл бұрын

    kuazia Leo nitakupenda paka mwisho nimejua nia yako Kwa wtzn

  • @beatricekamengekamenge5543

    @beatricekamengekamenge5543

    5 жыл бұрын

    😂 😂 😂 😂 Jamani mkuu wa mkoa ametinganya mambo

  • @DrSanai

    @DrSanai

    5 жыл бұрын

    Ubarikiwe ndugu

  • @shungushula4340

    @shungushula4340

    5 жыл бұрын

    Joachim Hance Mwakoba amina kaka uyu ndie raisi wetu mkuu

  • @princeibro7809

    @princeibro7809

    5 жыл бұрын

    Leo nimekuelew JP

  • @shawaribakari1226
    @shawaribakari12265 жыл бұрын

    Sina mpango wakuchagua rais mwingine tofautii mzee maguful

  • @faridasaid8724
    @faridasaid87245 жыл бұрын

    kazi nzuri sana rais ,hongera sana inabidi ukae madarakani hadi kifo kitakapokuchukua,

  • @abuunasri3628

    @abuunasri3628

    5 жыл бұрын

    Hayo ni mawazo yako

  • @salmaalimusa547

    @salmaalimusa547

    5 жыл бұрын

    Kabisaa

  • @shanimohamed6315

    @shanimohamed6315

    4 жыл бұрын

    Farida Said nimelia kwa kweli jaman

  • @johnbosco2024

    @johnbosco2024

    4 жыл бұрын

    namimi nawaza hivovo

  • @penelopestanley7021

    @penelopestanley7021

    3 жыл бұрын

    Hatimae yametimia Leo hii

  • @DRISMAIL_DENTAL_SURGEON
    @DRISMAIL_DENTAL_SURGEON5 жыл бұрын

    Asante rais Mtu wa munguu

  • @christophermwema9867
    @christophermwema98673 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima hatutoacha kukulilia tutalia sana kila tunapoangalia clip hz😭😭😭😭 R.I.P mtetezi wa wanyonge

  • @liznimo5917
    @liznimo59173 жыл бұрын

    For real watanzania wamepoteza mtetezi wa wanyonge rest in peace legend 😥😥😥

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    Жыл бұрын

    Akika mungu ali mleta uyu baba kwa makusudi malumu akuna kiongozi mwingine mwenye moyo mweupe kama kaka yetu magufuli

  • @abdubaadan9300
    @abdubaadan93004 жыл бұрын

    This is true leadership,one in a million, God bless you abundantly.

  • @abdulseif4093
    @abdulseif40935 жыл бұрын

    Sijawai kumuelewa huyu Rais ila kwa anayoyafanya mungu akuweke miaka mia 5 mbele ameen

  • @winnesakara6957
    @winnesakara69575 жыл бұрын

    Kweli nimeamin rais wetu hachagui huyu mama namfaham anaitwa nyabura mtongori

  • @jamesngundateresia2600

    @jamesngundateresia2600

    5 жыл бұрын

    Basi fiatilia asije akaporwa hiyo pesa

  • @agnesteacher7036

    @agnesteacher7036

    5 жыл бұрын

    Jamaani kaniliza huyu mama

  • @audifaxkabura6197

    @audifaxkabura6197

    5 жыл бұрын

    uyu anaweza bwana magufuri sisi warundi tunamukubari kabisa

  • @jamesngundateresia2600

    @jamesngundateresia2600

    5 жыл бұрын

    @@agnesteacher7036 yaani matajili sehemu yao ni moto wa jehanam huna huruma hata na mama kipofu yaani hana macho

  • @richardmanoni3483

    @richardmanoni3483

    5 жыл бұрын

    Winne Sakara p

  • @gbbuku4714
    @gbbuku47145 жыл бұрын

    Wallah mungu akupe umri mrefu hii sio tu kwasababu ni rais utapata thawabu mzee wang john

  • @davidwambura5915
    @davidwambura59155 жыл бұрын

    awamu hii mtapata tabu sana, hizi sio zama za jakaya viongozi badirikini

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane53035 жыл бұрын

    Daaah mungu akupe nguvu na maisha marefu

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus62985 жыл бұрын

    Huyu mama kanitoa machozi kwa kweli,watu hawana huruma kbs

  • @dominicemanuel3610

    @dominicemanuel3610

    5 жыл бұрын

    jamani machozi yananitoka baada ya kuangalia rais wangu mpendwa john pombe magufuli akimsaidia huyu mama kipofu

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    5 жыл бұрын

    @GAME BOYS 12345678910 binadamu hatuna utu wa huruma,tu najua kujineemesha wenyewe bila kujari wengine,km huyu mama hakupaswa kufanyiwa hayo mambo kabisa Mungu anamuona muhusika atajuta

  • @florakeneth6083

    @florakeneth6083

    5 жыл бұрын

    Hata mm machozi yamenitoka

  • @SafeHaven_TV

    @SafeHaven_TV

    5 жыл бұрын

    Watu wananyang'anya wengine ardhi utadhani wao wataishi humo milele,kumbe nao ni wa kufa tu.Huyo ni masikini kuliko huyo mama kipofu.

  • @anithamwenda7725

    @anithamwenda7725

    4 жыл бұрын

    @@SafeHaven_TV nmeliaa piaa dH

  • @winfridashango6481
    @winfridashango64814 жыл бұрын

    Makufuri nakupenda nalala usingizi mzuri japo nipo kwenye nyumba ya kupanga

  • @mlelisbl6185
    @mlelisbl61855 жыл бұрын

    Mzee nakuelewa sana.....tangu uanze hii ziara yako safi sana...ukweli kutoka moyoni nimekukubali ukiendelea kutetea wanyonge hv naweza kuunga mkono juhudi zako.

  • @alexdougly82
    @alexdougly825 жыл бұрын

    Mpka nimetoa machozi kwahuo msaada wa pesa...umemuinua sana huyo Mama sana sana hasa kwamaisha ya kijijini...siku yangu imerud kuwa nzuri kwasabab yahili tikio...🙏🏻🙏🏻

  • @stellaloves9879

    @stellaloves9879

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭💔💔💔

  • @peternasarinasari9700
    @peternasarinasari97005 жыл бұрын

    Kwakwel kwa miaka yang michache niliyo nayo cjasikia wala kuona Rais kama huyu wa kwetu,,mcha Mungu na kujitahid kujal maskin na walioonewa..Mungu ilinde sana hii hazina yetu zaidi ufalme wa Mungu uwe sehemu yake pamoja na watakatifu wengine siku ya mwisho.we love you our PRESIDENT.

  • @josephmackdonald3122

    @josephmackdonald3122

    5 жыл бұрын

    Peter Nasari Nasari

  • @abuunasri3628

    @abuunasri3628

    5 жыл бұрын

    Uchamungu unaupima kwa kitu ganii? Huna vipimo vya uchamungu ndugu

  • @lightnessmsuya3914

    @lightnessmsuya3914

    5 жыл бұрын

    mungu akubariki shemeji yangu magufuli upewe miaka zaidi yabuku amina

  • @mwikali4382
    @mwikali43825 жыл бұрын

    Mungu akubariki makufiri kwa kujali wanaonewa na matajiri

  • @mussamaduka2828

    @mussamaduka2828

    5 жыл бұрын

    Ila andika jina vizuri la Rais wetu. Usiandike kama asiyejua

  • @stellaloves9879

    @stellaloves9879

    3 жыл бұрын

    💔💔💔💔😭😭😭😭

  • @alsadymateke8695
    @alsadymateke86955 жыл бұрын

    Tz ss tume pata Raisi tuacheni unafki tujenge nchi jamani

  • @rechosoi2517

    @rechosoi2517

    5 жыл бұрын

    Nzur

  • @davidbarnaba2013

    @davidbarnaba2013

    5 жыл бұрын

    tena.mungu.amuache..miaka.mia

  • @margarethsaramaki1100

    @margarethsaramaki1100

    5 жыл бұрын

    Chozi limenitoka.JPM Oyeeee mwenyezi mungu akupe uzima zaidi kuwasaidia taifa letu pia wanyonge nk

  • @annkim2690

    @annkim2690

    5 жыл бұрын

    Tukopesheni huku kenya

  • @SafeHaven_TV

    @SafeHaven_TV

    5 жыл бұрын

    Huyu ameletwa na Mungu,rais Magufuli angepewa fursa atawale tu muda mrefu,kwani katiba ni nini jamani,si inabadilishwa tu?

  • @HenriHSP
    @HenriHSP5 жыл бұрын

    Huyu ndiye angelikuwa Rais was Africa nzima.

  • @greciousnewgeness3170
    @greciousnewgeness31705 жыл бұрын

    the beauty full one is born!! viva honorable president MAGUFULI !

  • @mwikali4382
    @mwikali43825 жыл бұрын

    Mimi mkenya bt naumia nikiona wale maskini wanateswa sina chochote bt sisi wanyonge tuna aki ya kuishi duniani

  • @mussamaduka2828

    @mussamaduka2828

    5 жыл бұрын

    Usiseme huna la kusema. Ikiwa Mungu kakupa uhai na pumzi. Basi unatakiwa umwambie Mungu hitaji la moyo wako kama ilivyo andikwa kwenye kitabu cha mathayo 6:5-8 . pia kumbuka Mungu amesema umkumbushe hitaji lako na msemezane nae ili apate kukupa hitaji lako. Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na hekima

  • @rehemareubeni5783
    @rehemareubeni57835 жыл бұрын

    hakika Mungu akulinde dady

  • @kizimkazi3443
    @kizimkazi34435 жыл бұрын

    JOHN POMBE MAGUFULI.

  • @ngokositta4001

    @ngokositta4001

    5 жыл бұрын

    Magufuli mkoa wasimiyu

  • @ngokositta4001

    @ngokositta4001

    5 жыл бұрын

    Magufuli

  • @mmlove9127
    @mmlove91275 жыл бұрын

    Mimi najiuliza sana hawa viongozi wengine wanafanya nini kama raisi ndio anafanya kila kitu

  • @fashiryjumanne3568

    @fashiryjumanne3568

    5 жыл бұрын

    yapo 2

  • @hassanjumaa7390

    @hassanjumaa7390

    5 жыл бұрын

    Kweli viongozi wanamuangusha magufuli. .kila kitu afanye yeye tu. ....viongozi wajitolee wafanye kazi kama raisi afanyavyo

  • @teddymeela2791

    @teddymeela2791

    5 жыл бұрын

    Delegation of power is needed

  • @andreajeremia436

    @andreajeremia436

    5 жыл бұрын

    Mizigo,walizoea kubweteka,na kutumikiwa badala ya kutumika

  • @DRISMAIL_DENTAL_SURGEON
    @DRISMAIL_DENTAL_SURGEON5 жыл бұрын

    Kweli tutakukumbuka Sana unafanya kutoka rohoni

  • @adamkondo4162

    @adamkondo4162

    5 жыл бұрын

    Mimi Baba Rais huyu wangekuwa kuwa watanzania wana weza kunisikiliza Mimi sio mshabiki nikiongea nimejilizisha Sana Sana kweli Rais makufuli tumemupata tayali Mwenye uhusiano na Tanzania na wa Tanzania tumemupata kazikwetu kumulinda kumutuza Sana Sana kweli Rais nimekuelewa Sana Sana sijawahi ona Kama wewe Tanzania hii 0753462727 kukulinda nitatumia kinywa tuu ili utufikishe sehemu

  • @stellaloves9879

    @stellaloves9879

    3 жыл бұрын

    💔💔💔😭😭

  • @mpendaedward9578
    @mpendaedward95785 жыл бұрын

    Nilikuwa sikuekewi Mr President but now nakuelewa sana nakuomba tuma watuwako kwenye makampuni ya ulinzi kuna manyanyaso sana hakuna haki tafazali sana Raisi wetu

  • @andreajeremia436

    @andreajeremia436

    5 жыл бұрын

    Asante sana kama umeanza kumuelewa Rais wetu,ni Rsis Wa kipekee

  • @masaimbuyu7996

    @masaimbuyu7996

    5 жыл бұрын

    Mpenda Edward atakae. bisha. makufuli.hafanyi.kazi.yule.sio.mwelewa

  • @raymondshilatu2495
    @raymondshilatu24955 жыл бұрын

    Ni raisi pekee unayefanya ziara za ndani na kushughulikia matatizo ya watu wako moja kwa moja. inapendeza sana. Mungu akutie nguvu

  • @mariamhadija7236
    @mariamhadija72365 жыл бұрын

    Hongera rais wangu kumbe kura yangu haijapote 😂😂😂😂😂😂

  • @praxedadominic6892

    @praxedadominic6892

    5 жыл бұрын

    Nisamehe magufuli sikukupa kura yng sikujua km ww ndie rais niliekuwa namtafuta nakupenda magufuli wewe ndie rais wangu

  • @mariuscyprian7561

    @mariuscyprian7561

    5 жыл бұрын

    Hata mimi kura yangu haikupotea huyu mzee baba namkubali zaidi ya maelezo

  • @salomepeter7475

    @salomepeter7475

    5 жыл бұрын

    Mungu mkuu, kamleta ancle mangu kwetu

  • @xxxtxandaniel699

    @xxxtxandaniel699

    5 жыл бұрын

    Mariam Hadija vp

  • @evelyinipaja1202

    @evelyinipaja1202

    4 жыл бұрын

    Kweli@Mariam Hadija, kura yako haikupotea.

  • @mishijuma6326
    @mishijuma63265 жыл бұрын

    Magufuli. Magufuli. Magufuli the best African leader so far

  • @denniskatiku9051
    @denniskatiku90515 жыл бұрын

    If only we could have atleast 10 presidents like HH.JPM..walai Afrca ingekua mbali tena sana...👑👑👍👍👐👐.HONGERA RAIS MWESHIMIWA JPM...Denno here frm kenya

  • @gabriellydaud5411
    @gabriellydaud54115 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie moyo wa upendo mheshimiwa raisi

  • @kimrodgers7809
    @kimrodgers78094 жыл бұрын

    Tanzania you've got a visionary president,,#magufuli fan from Australia

  • @Saniamunguatujaliyemwishomwema
    @Saniamunguatujaliyemwishomwema5 жыл бұрын

    Musaidie amegusah isia zawegi sana adi machozi mbona munatudhalilisha sisi wanyonge

  • @abasidaniel1809

    @abasidaniel1809

    5 жыл бұрын

    Huwaga napenda kukushuru Sana Mara nikisiliza hii habar karibu Tena Mara

  • @ummimohammed6137
    @ummimohammed61375 жыл бұрын

    Allah akubariki na akuziishie imani ktk kazi zako. Nakupenda sana natamani ubakie ktk uraisi miaka yote kwa hali hii...

  • @bablee9752
    @bablee97524 жыл бұрын

    Hongera sana rais wetu kwa kazi yako nzuri kuwasaidia wanyonge🤝

  • @serianjamal8254
    @serianjamal82544 жыл бұрын

    Nimelia mimi jamani Mungu akupe wepesi wa kazi zako Rais wetu mpendwa mtetezi wetu Ameen

  • @tumaindocta4525
    @tumaindocta45255 жыл бұрын

    Mungu akujalie Miaka mingi rais wangu nakuomba ututembelee Mara kwa Mara mkoa wangu unamatatizo mengi na hayo machache!!!!!

  • @olivabazololivabazol4479

    @olivabazololivabazol4479

    5 жыл бұрын

    Akika ww ni baba

  • @jumamasaka9162
    @jumamasaka91625 жыл бұрын

    kazi nzur rais wetu, hongela xana

  • @beatricekuundu4792
    @beatricekuundu47924 жыл бұрын

    Mungu mwenye rehema utupe Rahisi kama uyu inchini kwetu Congo Baba, watanzania walipewa Malika kutoka Mbini ili kuwashugulikia nakutatua shida zao, Bwana Yesu nini kinacho kushinda tumekuwa kama wanyama waporini wasikuwa na makao tunazarauliwa katika inch za kigeni Mungu wa Israel tukumbuke kama Tanzania maisha yaugenini yamechosha. Papa Magufuli my God bless you Amen.

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas52415 жыл бұрын

    Jamani rais magufuli . Mungu asikilize sala zetu

  • @martinkariuki551

    @martinkariuki551

    2 жыл бұрын

    Hayati makufuri na mkupuka mara kwa mara ni rais alikifanya kile alixaguliwa mungu amweke pema

  • @martinkariuki551

    @martinkariuki551

    2 жыл бұрын

    Am kenyan but I love makufuri xanar

  • @thabujohn1256
    @thabujohn12565 жыл бұрын

    Asante Raisi wetu kweli unasaidia wanyonge Mungu akupe maisha marefu yenye heri na fanaka

  • @faridkhamid1358
    @faridkhamid13583 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu rais magufuli

  • @yohanamsafii3404
    @yohanamsafii34045 жыл бұрын

    Haki ya mngu ww ni rais wa wanyonge kwl

  • @anwaradam1794

    @anwaradam1794

    4 жыл бұрын

    Baba magufuli wewe ni mwingi wa rehema

  • @eddyajode8921
    @eddyajode89215 жыл бұрын

    Mm niko kenya bt nampenda Magu sana kwa utenda kazi wake.

  • @abdisalansharif26
    @abdisalansharif265 жыл бұрын

    We really need PRESIDENT like this in all African nations hakiya mungu ni binaadamu ya mungu

  • @rahelmasiga1503
    @rahelmasiga15035 жыл бұрын

    Kweli maghufuli Raisi wa wanyonge huu Ni mfano wa kuigwa kwa hata atakaekuja awamu ya sita .big up Mzee wa hapa kazi tu

  • @mussambilu229
    @mussambilu2295 жыл бұрын

    mungu akupe afyanjema mzee mimi naamini unajua unachokifanya tuko nyumayako huwezi kupendwa nawatu wote lakini hata mitume hawakupendwa nawatu wote mzee kazinje sjui ntakuja kukuona lini live nenda lushoto vijijini ujionee vioja mzee natamani ufike maeneo yamlola na vitongoji vyake utayaona madudu kiukweli ninakupenda sanA mzee huwezi kupendwa nawatu wote wewe sio pesa nabila maadui huwezi kujua unakosea wapi mimi nkutakie kazinjema mzee wetu niko tangaa mjini

  • @jjwalennylenny7943
    @jjwalennylenny79435 жыл бұрын

    Woii haki huyu rais wa TZ nampenda tu kabisa, siukuje huku kwetu kenya aki

  • @joycekatamba3206

    @joycekatamba3206

    5 жыл бұрын

    Aisee nazidi kubarikiwa ....

  • @edinakalole9853
    @edinakalole98535 жыл бұрын

    Kweli wewe ni Raisi wawanyonge mungu akubariki endelea kutawala miaka 1000

  • @mussamaduka2828

    @mussamaduka2828

    5 жыл бұрын

    Endelea kumuunga mkono

  • @Ansel.
    @Ansel.5 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana jPM mtumishi Wa Mungu aliye hai......it's so touching kwa kweli....I LUV U MY PRESIDENT

  • @goodluckygalbon1585
    @goodluckygalbon15855 жыл бұрын

    Daaah kwa kitendo hichi nakupa hongera kubwa kubwa xan maan imenigusa mnoo, ipo cku nam nitafny ktyu kwaajl ya taif lng

  • @patiipatii1931

    @patiipatii1931

    4 жыл бұрын

    Goodlucky Galbon sass tv

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili84325 жыл бұрын

    NAKUPENDA mnooo Rais wangu!MUNGU akulinde your the best baba

  • @terrycherono4767
    @terrycherono47675 жыл бұрын

    Wakenya we Need Such President. Raisi wa watu,Raisi wa Maskini,Live Long Mr President Nakupenda For Real.

  • @pascalchacha139
    @pascalchacha1395 жыл бұрын

    wapinzani watasubiri sana

  • @antiyekamaleki3790

    @antiyekamaleki3790

    4 жыл бұрын

    Magufuli hoyeee

  • @stellaloves9879

    @stellaloves9879

    3 жыл бұрын

    Na ndio maana wanafurahi vile magufuli atuko naye Tena Eee ewe mwenyezi Mungu okoa kodoo zako zilizo achwa njia panda 💔💔💔💔😭😭😭😭

  • @nyamtigaibrahim530
    @nyamtigaibrahim5303 жыл бұрын

    Daaaaaaaaaaaaaah wa nyumbani nimekuta machozi yamentoka juu ya huyu Mama nashkuru Mh Rais MUNGU akuongoze katika Maisha yako.

  • @frankkimaro5069
    @frankkimaro50695 жыл бұрын

    Mama anakonda ww unanenepa hahahahahahhaha

  • @shaibumahanda6501

    @shaibumahanda6501

    5 жыл бұрын

    Frank Kimaro 😀😀😀😀

  • @saadachara943

    @saadachara943

    5 жыл бұрын

    Yaan ane sema magufuli kakaza mungu anamuona chapa kazi baba naomba mungu anipe mtoto mwenye akili kama zako

  • @keyjoh2971

    @keyjoh2971

    3 жыл бұрын

    Na jitumbo

  • @bensonmusyoka5104
    @bensonmusyoka51044 жыл бұрын

    Mimi ni mkenya lakini watanzania mko rais magufuli hoyeeeeee

  • @24habari
    @24habari5 жыл бұрын

    Acha wanaoenda ughaibuni, waende tu. Tulio Tanzania mafanikio tutayavuna hapa hapa. Maombi yangu kwa Mungu yanaambatana na kumwombea Rais Wangu. For sure Magufuli we love you.

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu98995 жыл бұрын

    Hongera sana Mh Rais kwa moyo wako wa huruma, moyo wa kujitoa kwa ajili ya wengine Mungu wetu wa mbinguni azidi kukuongoza vyema ktk utendaji wako wa kazi.

  • @salimalriyami7779
    @salimalriyami77795 жыл бұрын

    Magufuli the greatest ever 😍😍😍

  • @aminasalum1954
    @aminasalum19544 жыл бұрын

    Alhamndulillah 😭😭mpk nimelia jmn huyo mam rais wetu Mungu akulinde

  • @nikolasemanuel233
    @nikolasemanuel2335 жыл бұрын

    Mhi muda mrefu nilikuwa najiuliza nafaidika na nini katika rasilimali zanchi hii nikawanajua miundo mbinu ya barabara namengineo ila sasa nimeona ubinadamu katika uwongozi wa awamu yatano niwakipekee sijawahi ona ww nichaguo la mungu wanao kupiga mawe niwale ambao wanapenda matumbo yao sasa tunaona yale matunda ya kula keki pamoja.mungu akutangulie tunatambua kazi unayoifanya ningumu sana.bariwa ww nauzao wako,

  • @vuaisuleiman1633

    @vuaisuleiman1633

    4 жыл бұрын

    Mm hata la kusema cna yaani kiubinaadamu umemaliza kz na kwa nini usiendelee kua rais mileleeeee

  • @miriduds360
    @miriduds3604 жыл бұрын

    I wish Kenya we can a president like him. He is a real preso 😘😘

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb4 жыл бұрын

    Tunamtaka msema kweli huyo basi kiboko yenu mzee wetu barakat magufuli

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu54565 жыл бұрын

    Wasio mkubali mjomba magu watapata tabu sana ila ss tunampenda na tuna muelewa 😘😘 kuna watu awaoni juudi za mtu mpaka akiwa ayupo ndio utasikia alikuwa kipenzi chetu penda mjomba magu

  • @mussamaduka2828

    @mussamaduka2828

    5 жыл бұрын

    Hongera na uwe mbunifu sasa ili siku bahati ikikufikia uweze kuinuliwa nawe kama mama huyo alivyo pata bahati ya Mungu

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @immaculeensabimana2097
    @immaculeensabimana20973 жыл бұрын

    Mungu akuweke baba John pombe magufuri wewe nibana wawanyonge kabisa ❤️

  • @maryawino4166
    @maryawino41665 жыл бұрын

    waa nimelia na mm ni mkenya uhuru must see bthis

  • @abdiyoochannel585
    @abdiyoochannel5854 жыл бұрын

    Magufuli ni rais mzuri sana na mwenye anatetea haki

  • @elshaddai5224
    @elshaddai52245 жыл бұрын

    Mungu akulinde , akupe wufalme ya mbinguni moyo wako ayi yatshane na mufalme daudi

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz5 жыл бұрын

    Nakupenda sana baba , kura yangu 2020 tena no Yako nitakuwa nisharudi tz kwetu

  • @hashakatv8618
    @hashakatv86184 жыл бұрын

    Hongera magufuli. Rais wetu wa Jamhuri ya Kenya anapaswa kuchukua mfano wako kutumikia wakenya

  • @akramhajji4893
    @akramhajji48934 жыл бұрын

    The only honest President I have ever seen,for real...

  • @munyaonormankioko1426
    @munyaonormankioko14264 жыл бұрын

    Rais Magufuli ,you are heaven sent , you remind how Jesus healed a blind man!!

  • @daudfyedrack1851
    @daudfyedrack18515 жыл бұрын

    Rais wetu magufuli mungu akubaliki Sana kwa kazi nzur unayo fanya

  • @mealemalika7565
    @mealemalika75655 жыл бұрын

    Mimi ni mkenya lakini nampenda mheshimiwa rais Magufuli sana Kenya tungekuwa na rais kma huyu wanyonge kweli tungesaidika

  • @remyndaribike3964
    @remyndaribike39645 жыл бұрын

    Mungu akuhifathi kabisa nimetoka machozi Rais wa wanyonge

  • @samwelimadaraka4358
    @samwelimadaraka43585 жыл бұрын

    Hakika watanzania tumepata rais kama unamkubali magufuri gonga like

  • @williamofori5569
    @williamofori55694 жыл бұрын

    I don't understand the language but I really understand that Magafuli is very kind and he listens to his people.. God less you my great African president

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc3 жыл бұрын

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @zainalarssonHotel
    @zainalarssonHotel4 жыл бұрын

    🥰🥰🥰🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾ASANTEEEE SANA BABA YETU.WEWE NI MTU KATIKA WATU, UBARIKIWE . AMINA

  • @stevenmaketa8051
    @stevenmaketa80515 жыл бұрын

    Watakukumbuka saaaaaaana mhshimiwa raisvwang utakaotika madarakani unahuruma mpk Nashindwa kujizuia god bless my presdant

  • @aishajeaninejeanine8934
    @aishajeaninejeanine89345 жыл бұрын

    Mungu akubariki saana rais wetu napenda sana chapa kazi.

Келесі