Makonda amlalamikia mkurugenzi wa jiji, Magufuli amsimamisha kazi

Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe katika uzinduzi wa daraja la Kigamboni. Amemsimamisha baada ya Paul Makonda kumlaumu kwa mambo kadhaa ya kiutendaji.

Пікірлер: 75

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi62064 жыл бұрын

    Duuuh hili lilimpa pressure willson kabwe leo hayupo duniani Daah

  • @gospalflavour7304
    @gospalflavour73047 жыл бұрын

    Hekima ya mungu inasema.hata akili ya mwisho yake mungu haifikiwi na akili za binadamu. Haya maneno nimazito saana. Mungu atujaalie hekma na maarifa.

  • @manjalejuniorlg7024
    @manjalejuniorlg70245 жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana siku ukiongoka kipind hicho hata wanafiki watakusifia

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds26534 жыл бұрын

    Jamani Mimi nifanyejeeeee😀😀😀😀😀

  • @madinahamis3172
    @madinahamis31725 жыл бұрын

    jamani uyu rais Ata sijui nimuombee dua gani dah Alihamdulilah mungu Akupe umri mrefu

  • @paschalmakemba4000
    @paschalmakemba40008 жыл бұрын

    Naumia sana nchi yangu

  • @givendavidgoodluck3284
    @givendavidgoodluck32845 жыл бұрын

    Baba na mwana

  • @henryrwamugema841
    @henryrwamugema8418 жыл бұрын

    Mheshimiwa Rais hongera kwa kazi nzuli ya kupambana na rushwa, lakini hao akina Kabwe ni "upele" tu, lakini majipu makubwa bado hujayagusa , songa mbele usiwe na woga Mwenyezi Mungu yupo anakulinda, upasue majipu makubwa .

  • @abdalahrungwe7129

    @abdalahrungwe7129

    7 жыл бұрын

    Henry Rwamugema

  • @sharifuamanzi2601

    @sharifuamanzi2601

    6 жыл бұрын

    tunajisikia raa urikuwap

  • @immamlowe734
    @immamlowe7346 жыл бұрын

    Napenda mtindo huu.

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy4 жыл бұрын

    Maraisi wote walopita walikua soft sana.sasa wamepata kigogo

  • @robertjunior9916
    @robertjunior99165 жыл бұрын

    Yote tunayaacha hapahapa Duniani hakuna jipya hapo

  • @BBCFintl
    @BBCFintl8 жыл бұрын

    Name and shame and jettison ...this man Mr. Kabwe has got off easy. In South Africa thieves are beaten up and before they lose consciousnesses, have car tires strung around them and then burnt to death. He is one very lucky man indeed!

  • @mzeeally2639

    @mzeeally2639

    7 жыл бұрын

    mh rais ongela kwa kazi nzuli mungu akupe maisha malefu

  • @danielelisha2617

    @danielelisha2617

    7 жыл бұрын

    asante mungu kutupatia kiongoz shupavu,asiyewaskliza waongoongo hao,na makonda astoke had nchdar esalaam yetu ikae sawa

  • @kabogodominika6305

    @kabogodominika6305

    6 жыл бұрын

    Zabde-Ezra Ayienga kiswahili samahan

  • @kishadafour8307
    @kishadafour83078 жыл бұрын

    Mimi nahisi Raisi huyu angekua na kipindi maalum kwenye TV cha kutumbua majipu live sio hivi kwenye majukwaa kama mkutano wa kampeni.

  • @shodristvtv6121

    @shodristvtv6121

    6 жыл бұрын

    Kishada Four hahaha

  • @syv_habari
    @syv_habari6 жыл бұрын

    Saf mzee

  • @mara-cb3gx
    @mara-cb3gx7 жыл бұрын

    kazi2

  • @kabogodominika6305
    @kabogodominika63056 жыл бұрын

    Mimi mtu wa ccm lakin makei punguza sifaaa

  • @jumannendayigeze2899
    @jumannendayigeze2899 Жыл бұрын

    Inaumiza sana huu ni uongo na. kuchochea wenzio

  • @davidmziray4011
    @davidmziray40115 жыл бұрын

    Mambo yenu ya uongo

  • @albertosanga7744
    @albertosanga77445 жыл бұрын

    Sasa ni zamu yako mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu

  • @zandakingmwandaro4153
    @zandakingmwandaro41537 жыл бұрын

    rushwa ina zorotesha nchi sana mwelekeo mzuri sana huo magu

  • @elishamachela927

    @elishamachela927

    6 жыл бұрын

    usimamiz wa xheria bila kuzingatia katiba ni unyanyasaji wa haki za binadam

  • @whoknowsme832

    @whoknowsme832

    4 жыл бұрын

    @@elishamachela927 ,

  • @aishaebitokenakukubatisoma5726
    @aishaebitokenakukubatisoma57265 жыл бұрын

    Mbona mnatubomolea majumba kama mnatutetea madikini

  • @nindemkeremi3708
    @nindemkeremi37082 жыл бұрын

    2022

  • @robertjunior9916
    @robertjunior99165 жыл бұрын

    Kazi kwelikweli afu alivyofariki jamaa akaenda msibani duh

  • @jamesmzaki6041

    @jamesmzaki6041

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @simonkailanga
    @simonkailanga7 жыл бұрын

    Huomsimamo uendelee mpaka usiishie njiani tumbuwa timbuwa mpaka kwa makonda iwapo kama itakuwa nikweli

  • @kijolimgeni199

    @kijolimgeni199

    5 жыл бұрын

    tolu mnyama kweli kabisa usemayo

  • @mulakarisa2788
    @mulakarisa27888 ай бұрын

    Iendap kumetokea mwenye kufanya nivigumu mno wayeye kudumu juu wengi humchimba kwa chini ndio ili wabaki wakinyonya wananch kma kupee

  • @mudymagazine3003
    @mudymagazine30036 жыл бұрын

    Wazee wa misifa

  • @godlovebalaka3008
    @godlovebalaka30087 жыл бұрын

    itafahamika 2

  • @laumlimbila4337
    @laumlimbila43377 жыл бұрын

    daaah!?

  • @halimamwishehesaid3436
    @halimamwishehesaid34365 жыл бұрын

    Nikwel kabisa rais wet wat weng huish kwakutuzurum ss tusio nakt ww timbuat na mbung atakulinda milele

  • @halimamwishehesaid3436
    @halimamwishehesaid34365 жыл бұрын

    Apa kazit

  • @mulakarisa2788
    @mulakarisa27888 ай бұрын

    Ninauhakika wamungu kulengana na ujio wake jpm kwa kazi kwa hapa kazi tuu tz ingekuwa yenye mfano wakuigwa

  • @abubakarikisuju5374
    @abubakarikisuju53744 жыл бұрын

    Kwa hali hii makonda umekuwa raia itakuwaje?

  • @ramadhaniwambangulu716
    @ramadhaniwambangulu7168 жыл бұрын

    Naomba urafiki na ramadhani wambangulu

  • @dottoemannuel5712
    @dottoemannuel57125 жыл бұрын

    uyonimwanae hawezikumfanyachochote

  • @michaelwaryoba4904
    @michaelwaryoba49048 жыл бұрын

    Watumbue hao makonda, bado majipu mengine yapo jiji!

  • @hamzamtila8304

    @hamzamtila8304

    5 жыл бұрын

    Je na hili jipu la makonda utalitumbua au utaliacha?

  • @kijolimgeni199

    @kijolimgeni199

    5 жыл бұрын

    Michael Waryoba Tumbua bila ganzi mueshimiwa

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv61216 жыл бұрын

    Tumbua hadi mafisadi wote wakuelewe

  • @atubarikiyessaya4076
    @atubarikiyessaya40768 жыл бұрын

    huruma sana

  • @cyrilkullaya32

    @cyrilkullaya32

    6 жыл бұрын

    Atubariki Yessaya

  • @immamlowe734
    @immamlowe7346 жыл бұрын

    Wamezoea tumbua baba

  • @manrass5036

    @manrass5036

    6 жыл бұрын

    Imma Mlowe lavalava

  • @trysonmwaitete3143

    @trysonmwaitete3143

    5 жыл бұрын

    Imma Mlowe za

  • @robertjunior9916
    @robertjunior99165 жыл бұрын

    Kaka ?????

  • @mukundubayeyetom9704
    @mukundubayeyetom97048 жыл бұрын

    HUYU NAE ANAPENDA FITINA,NKT

  • @editasamwel2377
    @editasamwel23775 жыл бұрын

    Mziki

  • @frolancemwanakusha3957

    @frolancemwanakusha3957

    5 жыл бұрын

    Edita Ssamwel

  • @ramadhanitati8952

    @ramadhanitati8952

    5 жыл бұрын

    Edita Samwel

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo418 жыл бұрын

    "Kabwe rudi nyumbani ukitoka gerezani.. uje ujiunge nasi sote tushirikiane.. kulijenga taifa.. taifa letu changa Kabwe..!" Haya ndiyo Mwalimu alikuwa kisema.. mtoto akilila wembe UKIMPATIA.. UTAMKATA PALE PALE..! Kaka Kabwe kaipata freshiii.. Lmao..!

  • @paulcharles5374

    @paulcharles5374

    7 жыл бұрын

    ..

  • @ufahamumelekizedeki2139

    @ufahamumelekizedeki2139

    6 жыл бұрын

    Joseph Gomalo

  • @peterduhew4103

    @peterduhew4103

    6 жыл бұрын

    Makond ni hatari

  • @ceciliajimmy5652

    @ceciliajimmy5652

    5 жыл бұрын

    Bado mankontena baba.

  • @kulwagotta6761

    @kulwagotta6761

    5 жыл бұрын

    Mungu mnusuru makonda anajitahidi kufanya kazi

  • @siliviamwando6448
    @siliviamwando64485 жыл бұрын

    Makonda dhambi hiyo inakufuata

  • @danielhumble4292
    @danielhumble42925 жыл бұрын

    Mbona hujampa nafasi yakujitetea kama yule mkurugenzi wa mkoa fulani uliambiwa ni mwizi. Huo mh.sio utendaji kazi bali ni geresha zako tuu utawafumba wavivu wa kufikiri lkn kwa werevu hawatadanganyika hata siku moja

  • @ramambongo4069
    @ramambongo40695 жыл бұрын

    Mbona makonda humsimamishi ni mwanao ila yote ni ya Mungu makonteina ndio hayo unapiga danadana tu ila wakil wa kwel ni Mungu

  • @mufasamufas6023

    @mufasamufas6023

    5 жыл бұрын

    Sasa mfanyakazi wa serikali si binadamu kama wewe yale makontena siyo ya wizi ameyanunua akawa anaomba apunguziwe kodi mzee magu kamwambia hakuna cha kufanyakazi serikalini wala nini kama huna pesa yapigwe mnada na ndio kilichofanyika sasa afukuzwe kazi kwa kosa gani hapo

  • @rosembuna955
    @rosembuna9555 жыл бұрын

    Rose Mbuna mbeya nna mapacha watatu ofisi ya Raisi niliambiwa ntapewa msaada mpaka leo:hakuna: tusaidieni watoto hawa nashindwa kuwamudu Mheshimiwa Magufuli:0784485142:walichukuwa picha ustawi wajamii:vyeti vya kuzaliwa wakasema subiri mpaka leoWana miaka minne na nusu

  • @sangijamadukwa1486

    @sangijamadukwa1486

    5 жыл бұрын

    Rose Mbuna bando la kuingia utube unalpata wapi? Lea hao wanao

  • @albertosanga7744
    @albertosanga77445 жыл бұрын

    Sasa ni zamu yako mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu

  • @amosmwita6820

    @amosmwita6820

    5 жыл бұрын

    nayeye ang'oke

Келесі