Makonda amlalamikia mkurugenzi wa jiji, Magufuli amsimamisha kazi
Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe katika uzinduzi wa daraja la Kigamboni. Amemsimamisha baada ya Paul Makonda kumlaumu kwa mambo kadhaa ya kiutendaji.
Пікірлер: 75
Duuuh hili lilimpa pressure willson kabwe leo hayupo duniani Daah
Hekima ya mungu inasema.hata akili ya mwisho yake mungu haifikiwi na akili za binadamu. Haya maneno nimazito saana. Mungu atujaalie hekma na maarifa.
Tutakukumbuka sana siku ukiongoka kipind hicho hata wanafiki watakusifia
Jamani Mimi nifanyejeeeee😀😀😀😀😀
jamani uyu rais Ata sijui nimuombee dua gani dah Alihamdulilah mungu Akupe umri mrefu
Naumia sana nchi yangu
Baba na mwana
Mheshimiwa Rais hongera kwa kazi nzuli ya kupambana na rushwa, lakini hao akina Kabwe ni "upele" tu, lakini majipu makubwa bado hujayagusa , songa mbele usiwe na woga Mwenyezi Mungu yupo anakulinda, upasue majipu makubwa .
@abdalahrungwe7129
7 жыл бұрын
Henry Rwamugema
@sharifuamanzi2601
6 жыл бұрын
tunajisikia raa urikuwap
Napenda mtindo huu.
Maraisi wote walopita walikua soft sana.sasa wamepata kigogo
Yote tunayaacha hapahapa Duniani hakuna jipya hapo
Name and shame and jettison ...this man Mr. Kabwe has got off easy. In South Africa thieves are beaten up and before they lose consciousnesses, have car tires strung around them and then burnt to death. He is one very lucky man indeed!
@mzeeally2639
7 жыл бұрын
mh rais ongela kwa kazi nzuli mungu akupe maisha malefu
@danielelisha2617
7 жыл бұрын
asante mungu kutupatia kiongoz shupavu,asiyewaskliza waongoongo hao,na makonda astoke had nchdar esalaam yetu ikae sawa
@kabogodominika6305
6 жыл бұрын
Zabde-Ezra Ayienga kiswahili samahan
Mimi nahisi Raisi huyu angekua na kipindi maalum kwenye TV cha kutumbua majipu live sio hivi kwenye majukwaa kama mkutano wa kampeni.
@shodristvtv6121
6 жыл бұрын
Kishada Four hahaha
Saf mzee
kazi2
Mimi mtu wa ccm lakin makei punguza sifaaa
Inaumiza sana huu ni uongo na. kuchochea wenzio
Mambo yenu ya uongo
Sasa ni zamu yako mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
rushwa ina zorotesha nchi sana mwelekeo mzuri sana huo magu
@elishamachela927
6 жыл бұрын
usimamiz wa xheria bila kuzingatia katiba ni unyanyasaji wa haki za binadam
@whoknowsme832
4 жыл бұрын
@@elishamachela927 ,
Mbona mnatubomolea majumba kama mnatutetea madikini
2022
Kazi kwelikweli afu alivyofariki jamaa akaenda msibani duh
@jamesmzaki6041
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Huomsimamo uendelee mpaka usiishie njiani tumbuwa timbuwa mpaka kwa makonda iwapo kama itakuwa nikweli
@kijolimgeni199
5 жыл бұрын
tolu mnyama kweli kabisa usemayo
Iendap kumetokea mwenye kufanya nivigumu mno wayeye kudumu juu wengi humchimba kwa chini ndio ili wabaki wakinyonya wananch kma kupee
Wazee wa misifa
itafahamika 2
daaah!?
Nikwel kabisa rais wet wat weng huish kwakutuzurum ss tusio nakt ww timbuat na mbung atakulinda milele
Apa kazit
Ninauhakika wamungu kulengana na ujio wake jpm kwa kazi kwa hapa kazi tuu tz ingekuwa yenye mfano wakuigwa
Kwa hali hii makonda umekuwa raia itakuwaje?
Naomba urafiki na ramadhani wambangulu
uyonimwanae hawezikumfanyachochote
Watumbue hao makonda, bado majipu mengine yapo jiji!
@hamzamtila8304
5 жыл бұрын
Je na hili jipu la makonda utalitumbua au utaliacha?
@kijolimgeni199
5 жыл бұрын
Michael Waryoba Tumbua bila ganzi mueshimiwa
Tumbua hadi mafisadi wote wakuelewe
huruma sana
@cyrilkullaya32
6 жыл бұрын
Atubariki Yessaya
Wamezoea tumbua baba
@manrass5036
6 жыл бұрын
Imma Mlowe lavalava
@trysonmwaitete3143
5 жыл бұрын
Imma Mlowe za
Kaka ?????
HUYU NAE ANAPENDA FITINA,NKT
Mziki
@frolancemwanakusha3957
5 жыл бұрын
Edita Ssamwel
@ramadhanitati8952
5 жыл бұрын
Edita Samwel
"Kabwe rudi nyumbani ukitoka gerezani.. uje ujiunge nasi sote tushirikiane.. kulijenga taifa.. taifa letu changa Kabwe..!" Haya ndiyo Mwalimu alikuwa kisema.. mtoto akilila wembe UKIMPATIA.. UTAMKATA PALE PALE..! Kaka Kabwe kaipata freshiii.. Lmao..!
@paulcharles5374
7 жыл бұрын
..
@ufahamumelekizedeki2139
6 жыл бұрын
Joseph Gomalo
@peterduhew4103
6 жыл бұрын
Makond ni hatari
@ceciliajimmy5652
5 жыл бұрын
Bado mankontena baba.
@kulwagotta6761
5 жыл бұрын
Mungu mnusuru makonda anajitahidi kufanya kazi
Makonda dhambi hiyo inakufuata
Mbona hujampa nafasi yakujitetea kama yule mkurugenzi wa mkoa fulani uliambiwa ni mwizi. Huo mh.sio utendaji kazi bali ni geresha zako tuu utawafumba wavivu wa kufikiri lkn kwa werevu hawatadanganyika hata siku moja
Mbona makonda humsimamishi ni mwanao ila yote ni ya Mungu makonteina ndio hayo unapiga danadana tu ila wakil wa kwel ni Mungu
@mufasamufas6023
5 жыл бұрын
Sasa mfanyakazi wa serikali si binadamu kama wewe yale makontena siyo ya wizi ameyanunua akawa anaomba apunguziwe kodi mzee magu kamwambia hakuna cha kufanyakazi serikalini wala nini kama huna pesa yapigwe mnada na ndio kilichofanyika sasa afukuzwe kazi kwa kosa gani hapo
Rose Mbuna mbeya nna mapacha watatu ofisi ya Raisi niliambiwa ntapewa msaada mpaka leo:hakuna: tusaidieni watoto hawa nashindwa kuwamudu Mheshimiwa Magufuli:0784485142:walichukuwa picha ustawi wajamii:vyeti vya kuzaliwa wakasema subiri mpaka leoWana miaka minne na nusu
@sangijamadukwa1486
5 жыл бұрын
Rose Mbuna bando la kuingia utube unalpata wapi? Lea hao wanao
Sasa ni zamu yako mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
@amosmwita6820
5 жыл бұрын
nayeye ang'oke