JamiiForums is Tanzania’s most visited and trusted website and the most popular destination for Kiswahili speakers in East Africa and around the world that emphasizes the use of user-generated content for reporting critical issues.
Amejibu mbona yeye ndo mtendaji mkuu wa serikali yeye ndo msimamizi mkuu wa serikali yeye ndo mtoaji mkuu wa pesa kwaiyo aliamua asitoe atoi akiamua kesho sitaki muende kazini amuendi kwaiyo aitakiwi raisi kupigwa na kuulizwa kwanini atoi ela za safali na kwanini anatowa hela kwa wagonjwa anatimiza wajibu wake kutokana na tulivyo mwamini.
@PhilipoMwita-b2xКүн бұрын
Ahhhh msigwaaaa
@communicativegirls44332 күн бұрын
This woman is brilliant ❤
@mozanmozan16094 күн бұрын
kwaiyo ss Watt wetu wario enda basi arudishe musitusumburie wtt wetu kira siku amupitishi kinacho takiwa
@user-xb5td1jl3u9 күн бұрын
Ni rahisi kufahamu bei za bidhaa nchi za nje
@hamadsaburi356912 күн бұрын
2024
@Joseph-lu4yj18 күн бұрын
Aliapy
@user-oc8kw7xr8m20 күн бұрын
Asanteee
@deogratiaskatinda923222 күн бұрын
Mmmmmh
@respeacemgawe738724 күн бұрын
Labda viongozi wamejifunza kitu kutoka kwenye AIBU hii
@respeacemgawe738724 күн бұрын
Kwani huyu mzee bado ni Professor wa chuo gani?
@respeacemgawe738724 күн бұрын
Kwani hii ndo kamati ambayo Mh. Tundu Lissu alizungumzia bungeni? Kama alisema kamati ya Prof. Mruma na Prof. Osoro sijui ni professerial...?
@officialbabaivan25 күн бұрын
Bunge ni lakishamba sana saiv
@kalamuyangu125 күн бұрын
Ifike pahala hoja zijibiwe kwa hoja.
@hamadrashid514025 күн бұрын
Yaone yanavyojichekesha shenz kabisa
@AbubakaryOmary-qw5dk26 күн бұрын
Serikari ya hovyo sijawahi kushuhudia
@user-ge2ll3gf2x26 күн бұрын
Ona lilivyopauka
@user-ge2ll3gf2x26 күн бұрын
Hi takataka wangebakinayo huko mbeya tu ! Utumbo usiokamuliwa huwa unaliwa kwaradha mbili tofauti.
@lightnessalex708429 күн бұрын
Thanks mheshmiwa pinda
@travellahmsafirihiphop532529 күн бұрын
MAJUTO YA NINI WAKATI TRA NDIO WAPUMBAVU
@JUBRANBULAYHl-yb4keАй бұрын
Nimesikiliza maswali yote na maswali yote yatajibiwa na kujibiwa bila ubaguzi kwa swali lolote Mungu ndiye Mlinzi.☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
@StephenKituraАй бұрын
Fanya kazi bas dhibiti wizi
@IssaMbagaАй бұрын
Hongera sana majukumu mema
@mozejcs9160Ай бұрын
Shida sio deni! Mmekuwa wabinafsi sana na wezi msio na aibu! Km mwenye mbwa anawaruhusu mle urefu wa kamba zenu! Hapa pana usalama wa pesa zetu kweli! Na jinsi watu wasivyokuzingatia hawataki hata kuangalia upuuzi wako
@ibrahimomari2458Ай бұрын
Maguful alimfukuza kinana...leo hii kinana makamu mwenyekiti...
@davideditz2049Ай бұрын
Serikal wanajua internet zetu mbovu badala wairuhusu wanaikata
@aminbhulji1677Ай бұрын
Hao askari wa usalaama traffik na matochi kwakweli kwao umekua mradi mkubwa sana lakini hao wote kesho kwa mungu wote wata kwenda motoni.
@daniellyimo378Ай бұрын
Hapa ndo upinzani Kuna shida
@musangassa7543Ай бұрын
Allhamdulillah
@romanamassawe814Ай бұрын
Je ilikusaidia nini ?
@romanamassawe814Ай бұрын
Hivi mtu anashangiliwa kwa kila anachokiongea !
@georgekamosi9501Ай бұрын
Kabla hujataka kuheshimiwa anza na unyenyekevu
@SalminiAmurАй бұрын
Jeshi lapolisi ndio lifanya udaganyifu na kutapeli laiya mtakuwa mnayo majibu mbele ya ALLAH
@willymwaipaja6783Ай бұрын
Neno la Mungu linasema, Mithali 15:33 "Kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu" na tena "mwanamke wa adabu huheshimiwa siku zote- Mithali 11:16. Sasa anaongea kwa kudeka halafu anataka asikemewe. Wanawake wengi wao wanataka kuheshimiwa huku wao wenyewe wanadharau kwa waume zao na kiburi.
@willymwaipaja6783Ай бұрын
Kauli kama hizo akikemewa mwanaume si kudhalilisha ila kwa mwanamke. Huu udhaifu wazi wa wanawake katika kujihisi umwanamke. Inafika sasa wanawakre hata wajibu wao nyumbani, nguo zao za kike, michezo yao wanaikataa kwa fikra zile za kukataa jinsia. Mume akinyanyaswa si kosa, ila wao wakinyanyaswa na mwanamume wanakimbilia Dawati au TAMWA. Akimtaka mwanamume si kosa ila akitakwa yeye tayari ni kesi na hasa kama aliyekuwa anamtaka ana hela. Biblia imesema kuwa wanawake ni wasingiziaji.
@AidaniKahamaАй бұрын
Waliopigwa tochi za uonevu wakaandikiwa walilalamika na kuwekwa lokap wakati hawazidi mwendo nini fidia yake
@user-yh7yo5fo8xАй бұрын
Acheni umaandazi Sawa acheni Mkuuu WA MKOA afanye kazi hakuna pendekezo hapo acheni upuuzi MTU anafanya kazi vizur nyie mnaleta upuuzi wenu
@user-km5eg5ze6mАй бұрын
Sionhoja hizo tako wewe
@msafiriomary893Ай бұрын
Waongezeni mishahara mda mwingine sio wao njaaa ww mtu anaishi kwa mikopo unategemea iwe nini
@AllybinamourАй бұрын
sasa kwani si wamekopa wenyewe? au wamelazimishwa wakope? hatua stahiki ilochukuliwa na jeshi la police kwan limekua ni fundisho kwa wengine
@MiriamAbdallahАй бұрын
Mshahara ukiwa mdogo unautumia kwa kijibana na mikopo walichukuwa kwa shida zao kwa hiyo wasitafute wepesi kwa kudhumu raia, jeshi la police ndilo linaloongoza kwa uhalifu nchi
@AidaniKahamaАй бұрын
Je watu wameandikiwa fine kwa uonevu nini hatma yake
@piusrweyemamu3900Ай бұрын
Mh Makonda aendelee kufanya kazi.
@omarinyahegs4539Ай бұрын
Hivi nchi hii tutafika kweli kwa mwendo huu wa kuteteana
@piusrweyemamu3900Ай бұрын
Mbona wakikemewa wanaume, hamsemi ni udharirishaji, Nampongeza Makonda🎉
@TonnyFordАй бұрын
Anawadhalilisha kwa lipi?tunaojua tunatambua unatumiwa
@tumainijoseph6356Ай бұрын
unatumiwa tu
@smprotz2 ай бұрын
Cyber Crime na Electronic Warfare ni Suala linalohitaji Kuwekezwa Kwa Nguvu zote. Jambo la Kukosekana Kwa Mtandao ni dalili ya Mawingu tu, inabidi tushtuke tujipange Kwa Kweli. Naomba Kuunga mkono hoja
@StephenKitura2 ай бұрын
Amani
@liverpoolvsrangers22732 ай бұрын
Rais ajaye jafo nakuamini sana kaka
@user-rj2tu2ep5r2 ай бұрын
Zito nakuaminia
@RoanCorporation2 ай бұрын
Starlink solusheni , angalia shida tunapata sassaivi na internet , hadi ATM ya kutoa fedha aifani kazi
Пікірлер
Amejibu mbona yeye ndo mtendaji mkuu wa serikali yeye ndo msimamizi mkuu wa serikali yeye ndo mtoaji mkuu wa pesa kwaiyo aliamua asitoe atoi akiamua kesho sitaki muende kazini amuendi kwaiyo aitakiwi raisi kupigwa na kuulizwa kwanini atoi ela za safali na kwanini anatowa hela kwa wagonjwa anatimiza wajibu wake kutokana na tulivyo mwamini.
Ahhhh msigwaaaa
This woman is brilliant ❤
kwaiyo ss Watt wetu wario enda basi arudishe musitusumburie wtt wetu kira siku amupitishi kinacho takiwa
Ni rahisi kufahamu bei za bidhaa nchi za nje
2024
Aliapy
Asanteee
Mmmmmh
Labda viongozi wamejifunza kitu kutoka kwenye AIBU hii
Kwani huyu mzee bado ni Professor wa chuo gani?
Kwani hii ndo kamati ambayo Mh. Tundu Lissu alizungumzia bungeni? Kama alisema kamati ya Prof. Mruma na Prof. Osoro sijui ni professerial...?
Bunge ni lakishamba sana saiv
Ifike pahala hoja zijibiwe kwa hoja.
Yaone yanavyojichekesha shenz kabisa
Serikari ya hovyo sijawahi kushuhudia
Ona lilivyopauka
Hi takataka wangebakinayo huko mbeya tu ! Utumbo usiokamuliwa huwa unaliwa kwaradha mbili tofauti.
Thanks mheshmiwa pinda
MAJUTO YA NINI WAKATI TRA NDIO WAPUMBAVU
Nimesikiliza maswali yote na maswali yote yatajibiwa na kujibiwa bila ubaguzi kwa swali lolote Mungu ndiye Mlinzi.☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
Fanya kazi bas dhibiti wizi
Hongera sana majukumu mema
Shida sio deni! Mmekuwa wabinafsi sana na wezi msio na aibu! Km mwenye mbwa anawaruhusu mle urefu wa kamba zenu! Hapa pana usalama wa pesa zetu kweli! Na jinsi watu wasivyokuzingatia hawataki hata kuangalia upuuzi wako
Maguful alimfukuza kinana...leo hii kinana makamu mwenyekiti...
Serikal wanajua internet zetu mbovu badala wairuhusu wanaikata
Hao askari wa usalaama traffik na matochi kwakweli kwao umekua mradi mkubwa sana lakini hao wote kesho kwa mungu wote wata kwenda motoni.
Hapa ndo upinzani Kuna shida
Allhamdulillah
Je ilikusaidia nini ?
Hivi mtu anashangiliwa kwa kila anachokiongea !
Kabla hujataka kuheshimiwa anza na unyenyekevu
Jeshi lapolisi ndio lifanya udaganyifu na kutapeli laiya mtakuwa mnayo majibu mbele ya ALLAH
Neno la Mungu linasema, Mithali 15:33 "Kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu" na tena "mwanamke wa adabu huheshimiwa siku zote- Mithali 11:16. Sasa anaongea kwa kudeka halafu anataka asikemewe. Wanawake wengi wao wanataka kuheshimiwa huku wao wenyewe wanadharau kwa waume zao na kiburi.
Kauli kama hizo akikemewa mwanaume si kudhalilisha ila kwa mwanamke. Huu udhaifu wazi wa wanawake katika kujihisi umwanamke. Inafika sasa wanawakre hata wajibu wao nyumbani, nguo zao za kike, michezo yao wanaikataa kwa fikra zile za kukataa jinsia. Mume akinyanyaswa si kosa, ila wao wakinyanyaswa na mwanamume wanakimbilia Dawati au TAMWA. Akimtaka mwanamume si kosa ila akitakwa yeye tayari ni kesi na hasa kama aliyekuwa anamtaka ana hela. Biblia imesema kuwa wanawake ni wasingiziaji.
Waliopigwa tochi za uonevu wakaandikiwa walilalamika na kuwekwa lokap wakati hawazidi mwendo nini fidia yake
Acheni umaandazi Sawa acheni Mkuuu WA MKOA afanye kazi hakuna pendekezo hapo acheni upuuzi MTU anafanya kazi vizur nyie mnaleta upuuzi wenu
Sionhoja hizo tako wewe
Waongezeni mishahara mda mwingine sio wao njaaa ww mtu anaishi kwa mikopo unategemea iwe nini
sasa kwani si wamekopa wenyewe? au wamelazimishwa wakope? hatua stahiki ilochukuliwa na jeshi la police kwan limekua ni fundisho kwa wengine
Mshahara ukiwa mdogo unautumia kwa kijibana na mikopo walichukuwa kwa shida zao kwa hiyo wasitafute wepesi kwa kudhumu raia, jeshi la police ndilo linaloongoza kwa uhalifu nchi
Je watu wameandikiwa fine kwa uonevu nini hatma yake
Mh Makonda aendelee kufanya kazi.
Hivi nchi hii tutafika kweli kwa mwendo huu wa kuteteana
Mbona wakikemewa wanaume, hamsemi ni udharirishaji, Nampongeza Makonda🎉
Anawadhalilisha kwa lipi?tunaojua tunatambua unatumiwa
unatumiwa tu
Cyber Crime na Electronic Warfare ni Suala linalohitaji Kuwekezwa Kwa Nguvu zote. Jambo la Kukosekana Kwa Mtandao ni dalili ya Mawingu tu, inabidi tushtuke tujipange Kwa Kweli. Naomba Kuunga mkono hoja
Amani
Rais ajaye jafo nakuamini sana kaka
Zito nakuaminia
Starlink solusheni , angalia shida tunapata sassaivi na internet , hadi ATM ya kutoa fedha aifani kazi