JamiiForums

JamiiForums

JamiiForums is Tanzania’s most visited and trusted website and the most popular destination for Kiswahili speakers in East Africa and around the world that emphasizes the use of user-generated content for reporting critical issues.

Пікірлер

  • @josephdimosopantaleomadegh7599
    @josephdimosopantaleomadegh759916 сағат бұрын

    Amejibu mbona yeye ndo mtendaji mkuu wa serikali yeye ndo msimamizi mkuu wa serikali yeye ndo mtoaji mkuu wa pesa kwaiyo aliamua asitoe atoi akiamua kesho sitaki muende kazini amuendi kwaiyo aitakiwi raisi kupigwa na kuulizwa kwanini atoi ela za safali na kwanini anatowa hela kwa wagonjwa anatimiza wajibu wake kutokana na tulivyo mwamini.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2xКүн бұрын

    Ahhhh msigwaaaa

  • @communicativegirls4433
    @communicativegirls44332 күн бұрын

    This woman is brilliant ❤

  • @mozanmozan1609
    @mozanmozan16094 күн бұрын

    kwaiyo ss Watt wetu wario enda basi arudishe musitusumburie wtt wetu kira siku amupitishi kinacho takiwa

  • @user-xb5td1jl3u
    @user-xb5td1jl3u9 күн бұрын

    Ni rahisi kufahamu bei za bidhaa nchi za nje

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi356912 күн бұрын

    2024

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj18 күн бұрын

    Aliapy

  • @user-oc8kw7xr8m
    @user-oc8kw7xr8m20 күн бұрын

    Asanteee

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda923222 күн бұрын

    Mmmmmh

  • @respeacemgawe7387
    @respeacemgawe738724 күн бұрын

    Labda viongozi wamejifunza kitu kutoka kwenye AIBU hii

  • @respeacemgawe7387
    @respeacemgawe738724 күн бұрын

    Kwani huyu mzee bado ni Professor wa chuo gani?

  • @respeacemgawe7387
    @respeacemgawe738724 күн бұрын

    Kwani hii ndo kamati ambayo Mh. Tundu Lissu alizungumzia bungeni? Kama alisema kamati ya Prof. Mruma na Prof. Osoro sijui ni professerial...?

  • @officialbabaivan
    @officialbabaivan25 күн бұрын

    Bunge ni lakishamba sana saiv

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu125 күн бұрын

    Ifike pahala hoja zijibiwe kwa hoja.

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid514025 күн бұрын

    Yaone yanavyojichekesha shenz kabisa

  • @AbubakaryOmary-qw5dk
    @AbubakaryOmary-qw5dk26 күн бұрын

    Serikari ya hovyo sijawahi kushuhudia

  • @user-ge2ll3gf2x
    @user-ge2ll3gf2x26 күн бұрын

    Ona lilivyopauka

  • @user-ge2ll3gf2x
    @user-ge2ll3gf2x26 күн бұрын

    Hi takataka wangebakinayo huko mbeya tu ! Utumbo usiokamuliwa huwa unaliwa kwaradha mbili tofauti.

  • @lightnessalex7084
    @lightnessalex708429 күн бұрын

    Thanks mheshmiwa pinda

  • @travellahmsafirihiphop5325
    @travellahmsafirihiphop532529 күн бұрын

    MAJUTO YA NINI WAKATI TRA NDIO WAPUMBAVU

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4keАй бұрын

    Nimesikiliza maswali yote na maswali yote yatajibiwa na kujibiwa bila ubaguzi kwa swali lolote Mungu ndiye Mlinzi.☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻

  • @StephenKitura
    @StephenKituraАй бұрын

    Fanya kazi bas dhibiti wizi

  • @IssaMbaga
    @IssaMbagaАй бұрын

    Hongera sana majukumu mema

  • @mozejcs9160
    @mozejcs9160Ай бұрын

    Shida sio deni! Mmekuwa wabinafsi sana na wezi msio na aibu! Km mwenye mbwa anawaruhusu mle urefu wa kamba zenu! Hapa pana usalama wa pesa zetu kweli! Na jinsi watu wasivyokuzingatia hawataki hata kuangalia upuuzi wako

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458Ай бұрын

    Maguful alimfukuza kinana...leo hii kinana makamu mwenyekiti...

  • @davideditz2049
    @davideditz2049Ай бұрын

    Serikal wanajua internet zetu mbovu badala wairuhusu wanaikata

  • @aminbhulji1677
    @aminbhulji1677Ай бұрын

    Hao askari wa usalaama traffik na matochi kwakweli kwao umekua mradi mkubwa sana lakini hao wote kesho kwa mungu wote wata kwenda motoni.

  • @daniellyimo378
    @daniellyimo378Ай бұрын

    Hapa ndo upinzani Kuna shida

  • @musangassa7543
    @musangassa7543Ай бұрын

    Allhamdulillah

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814Ай бұрын

    Je ilikusaidia nini ?

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814Ай бұрын

    Hivi mtu anashangiliwa kwa kila anachokiongea !

  • @georgekamosi9501
    @georgekamosi9501Ай бұрын

    Kabla hujataka kuheshimiwa anza na unyenyekevu

  • @SalminiAmur
    @SalminiAmurАй бұрын

    Jeshi lapolisi ndio lifanya udaganyifu na kutapeli laiya mtakuwa mnayo majibu mbele ya ALLAH

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783Ай бұрын

    Neno la Mungu linasema, Mithali 15:33 "Kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu" na tena "mwanamke wa adabu huheshimiwa siku zote- Mithali 11:16. Sasa anaongea kwa kudeka halafu anataka asikemewe. Wanawake wengi wao wanataka kuheshimiwa huku wao wenyewe wanadharau kwa waume zao na kiburi.

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783Ай бұрын

    Kauli kama hizo akikemewa mwanaume si kudhalilisha ila kwa mwanamke. Huu udhaifu wazi wa wanawake katika kujihisi umwanamke. Inafika sasa wanawakre hata wajibu wao nyumbani, nguo zao za kike, michezo yao wanaikataa kwa fikra zile za kukataa jinsia. Mume akinyanyaswa si kosa, ila wao wakinyanyaswa na mwanamume wanakimbilia Dawati au TAMWA. Akimtaka mwanamume si kosa ila akitakwa yeye tayari ni kesi na hasa kama aliyekuwa anamtaka ana hela. Biblia imesema kuwa wanawake ni wasingiziaji.

  • @AidaniKahama
    @AidaniKahamaАй бұрын

    Waliopigwa tochi za uonevu wakaandikiwa walilalamika na kuwekwa lokap wakati hawazidi mwendo nini fidia yake

  • @user-yh7yo5fo8x
    @user-yh7yo5fo8xАй бұрын

    Acheni umaandazi Sawa acheni Mkuuu WA MKOA afanye kazi hakuna pendekezo hapo acheni upuuzi MTU anafanya kazi vizur nyie mnaleta upuuzi wenu

  • @user-km5eg5ze6m
    @user-km5eg5ze6mАй бұрын

    Sionhoja hizo tako wewe

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893Ай бұрын

    Waongezeni mishahara mda mwingine sio wao njaaa ww mtu anaishi kwa mikopo unategemea iwe nini

  • @Allybinamour
    @AllybinamourАй бұрын

    sasa kwani si wamekopa wenyewe? au wamelazimishwa wakope? hatua stahiki ilochukuliwa na jeshi la police kwan limekua ni fundisho kwa wengine

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallahАй бұрын

    Mshahara ukiwa mdogo unautumia kwa kijibana na mikopo walichukuwa kwa shida zao kwa hiyo wasitafute wepesi kwa kudhumu raia, jeshi la police ndilo linaloongoza kwa uhalifu nchi

  • @AidaniKahama
    @AidaniKahamaАй бұрын

    Je watu wameandikiwa fine kwa uonevu nini hatma yake

  • @piusrweyemamu3900
    @piusrweyemamu3900Ай бұрын

    Mh Makonda aendelee kufanya kazi.

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539Ай бұрын

    Hivi nchi hii tutafika kweli kwa mwendo huu wa kuteteana

  • @piusrweyemamu3900
    @piusrweyemamu3900Ай бұрын

    Mbona wakikemewa wanaume, hamsemi ni udharirishaji, Nampongeza Makonda🎉

  • @TonnyFord
    @TonnyFordАй бұрын

    Anawadhalilisha kwa lipi?tunaojua tunatambua unatumiwa

  • @tumainijoseph6356
    @tumainijoseph6356Ай бұрын

    unatumiwa tu

  • @smprotz
    @smprotz2 ай бұрын

    Cyber Crime na Electronic Warfare ni Suala linalohitaji Kuwekezwa Kwa Nguvu zote. Jambo la Kukosekana Kwa Mtandao ni dalili ya Mawingu tu, inabidi tushtuke tujipange Kwa Kweli. Naomba Kuunga mkono hoja

  • @StephenKitura
    @StephenKitura2 ай бұрын

    Amani

  • @liverpoolvsrangers2273
    @liverpoolvsrangers22732 ай бұрын

    Rais ajaye jafo nakuamini sana kaka

  • @user-rj2tu2ep5r
    @user-rj2tu2ep5r2 ай бұрын

    Zito nakuaminia

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation2 ай бұрын

    Starlink solusheni , angalia shida tunapata sassaivi na internet , hadi ATM ya kutoa fedha aifani kazi