LULU: "Majizo amenipa upendo kama Baba, tumepitia wakati mgumu"

Пікірлер: 16

  • @evamasinde8026
    @evamasinde80265 жыл бұрын

    Lulu Majizzo anakupenda sana umepata na matatizo hakutaka kutafuta mwanamke mwingine anaupendo na ww sana mshukuru mungu kwa kweri.

  • @kenya-yj3eq

    @kenya-yj3eq

    5 жыл бұрын

    Mimi pia Mungu anipe mume mwenye upendo kama majizo..Amen

  • @carolshiru4374
    @carolshiru43745 жыл бұрын

    All the best lulu dah nimelia pia 😭😭

  • @kacheali4777
    @kacheali47775 жыл бұрын

    Yani nafurahi Sana kila want nangalia tu video hii huku nkitokwa n machoz ya furaha.Hakika Mungu azid kupewa sifa .Lulu n majizo pongez Sana mumuweke Mungu mbele kila mipango yenu maishan team Lulu gonga like hapa+971

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir63205 жыл бұрын

    Raha kupendwa jmn

  • @jescajulius8048
    @jescajulius80485 жыл бұрын

    Mungu akusaidie utulie nae sasa, historia ya nyuma ifutwe

  • @lateefahramadhani4629
    @lateefahramadhani46295 жыл бұрын

    umeonyesha Heshima kweli mpaka unalia

  • @ftmat2805
    @ftmat28055 жыл бұрын

    Mmmmmh Kama baba tena😂😂😂😂

  • @kulway4669
    @kulway46693 жыл бұрын

    Hii

  • @sisunaali1920
    @sisunaali19204 жыл бұрын

    Wewe Bb Tena

  • @dboymudih3632
    @dboymudih36325 жыл бұрын

    Mi mwaniuz kuweka nusu nusu ndo nn

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar3015 жыл бұрын

    Tuweekeni yote jomon

  • @chickdee6402
    @chickdee64025 жыл бұрын

    Sa si uweke yote tu😡😡😡

  • @henrykishiwa6755
    @henrykishiwa67555 жыл бұрын

    Umefata minoti we we hauna Upendo wowote fack

  • @asnathbusongo6643

    @asnathbusongo6643

    5 жыл бұрын

    kwendraa nyau ww

  • @joycemfuru4752

    @joycemfuru4752

    Жыл бұрын

    Ulivyomtukana leo kiko wapi Huna haya wewe

Келесі